Ckuhz Ndio Njama Zao Za Kuafanya At Mashekhe Wameritad ATI Walkua Waislam,Hz Njama Na Mbnu za Makafr,Lkn Wallah Allah Anafedhehesha ,Hakika Hii Din Ya Kislam N ya Allah km Ingekua Ya Mzungu Ucngekuwepo Uislam,Tazama Allah anavowanusuru Waja Wake walo AMIN,Mashekhe Wetu Allah Awalpen Kher Na Tuzd Kuitangaza Lailaha Ilaa Allah Muhammad RasuluAllah,Shekhe Maznge Na Wote Allah Awape Umr Mrefu Muzd Kutuelemsha Zaid ,Na Wapate kuujua Uislam Hao Wanokengeuka ,,
ukristo sio dini iliyonyooka kwenye misingi ya imani.. ila wakristo wanakitu kikubwa na cha thamani sana ambacho ni JINA LA YESU. nje na hapo maisha yao hayana sifa za imani thabiti.
Unachokiamini au kuaminishwa ukakiamini, kitakusaidia Maishani hata kama siyo Sahihi mbele za muumbaji. Wacolosai 3:17) ni amri na imani ya Paulo kutoka Roma mlitumie jina la Yesu. Warumi 1:7,8. Nguvu za giza siyo Yesu mfanyaji.
Wallah Ww Muislam Hakuna Sababu ya Kuacha Uislam Wko,Allah Atufshe tukiwa cc Sote Waislam Kamil,Allah Ndie Wakusujudiwa Kw Hak,Manabii Wote Waltia Udhuu Na Wakasujudu ,Sasa Ww Mkrsto Cjuw Unamfata Nan ,Km Humfat Yesu Au Nabii Issa Aliesujudu kw Jna La Allah
Allah akiibar huyu mwamba nazzani wakristo makao pitia humu chukueni kalamu n n a kalatasi kisha muansike, aya na maandiko yote kisha mkafungue vitabu mjisomee wenyewe arf mtapata ukweli wenyewe na mtajua haki ipo wapi na kisha mtaielekea, na sio kubisshana
mjinga ni ww maana ahusomi vitabu pia ahuna elimu yoyote ile kama ww ni muislamu umepotea kbs,watu mumependa uongo kuliko kweli ndivyo mtakavyo angamia ivo ivo!
@@PirfaImanipirfa umepotea kwa kuamini qu'ran na kutamka eti Muhammad ni mtume wa Mungu na Yesu si mwana wa Mungu bali ni mtume wa Mungu apo direct umepotea milele!
Uislam ni dini yake Allah mwenyewe...atailinda tu...sheikh mazinge akiondoka...sheikh Kisedee atachukua nafasi yake na wengine ...Maa shaa Allah...Allah awalinde masheikhe wote...ameen
Huyo Ndio Al-habib Sheikh Kesede, Nimekua nae kwenye group la WhatsApp kwa takriban myaka minne Yuko vizuri Sana kwenye kipengele Cha masuala ya mihadhara, Allah amzidishie Sana huyu sheikh
mashallah mashallah mashallah allah awajalie nyie mashekhe maana sasa hivi waislam wengi wamekua ndo washarati na kuwa waimbaji na kutupa dini zao binadam tusipo badirika na kufata alicho kisema allah basi tujue kesho akhera kuna athabu kubwa sana waislam acheni maisha ya kuiga ya Dunia tufanye anayo taka allah dunia mapito ukifa burud
Asalam anlaikum allaahu akbar Allah Akbar allah Akbar eeee Mzee mazinge Allah akubariki kwakazi kubwa unaifanya ya kutangaza na kufunza kwakweli kidjana wako kesede ametisha Sisi wa kongo tunamuita mazinge wa congo
Hakika ya Dini ya Hakki mbele ya Allah ni Uislam, Allah atujaalie tuwe ni miongoni mwa waja wema ambao wanamsujudia Allah na kufuata yale yote mema aliyotuamrisha na Atujaalie tufe hali ya kua ni waislam. AMIIN
Kumbe wawo mapasita walikuwa ndio mashetani wenyewe wanawa poteza waja wema kama alivyo mpoteza baba yetu adamu na hawa aliyumiya mbinu hizo hizo hsi biyallahu waneemal wakil
Sheikh Kisedee. Mara ya kwanza kumsikiliza. Allah ampe kheri ya dunya na akhira
Allahumah amiin thumah amiin
Nyinyi Kama hamukabari yesu no mwana wamungu mutacomwa kabisa
Mashallah Sheikh wa Kongo na Masheikh wetu kwa ujumla kwa kupigania dini yetu.
Eti dini hahaha moto unakuotea
@@MaaDii-iz3ur Uislamu ndo dini ya haki co dini yako ya mchongo ya masanamu, mungu wako anachongwa na binaadam mwenzio.
Hata hujui unacho sema
Subhaanallah wabihamdi..allahuakbar wallahi uislamu ni nuru na ni dini ya hakki Allah atuongoze katika kila la kheri na atupe mwisho mwema
Ameen 🙏🙏
Sheikhe mazinge Allah akuhifadhi na akupe pepo ya Firdausi
Huyu mwanafunzi ni htari sana ishallah mtakuwa pamoja peponi
Mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah
Allahu akbar ☝💪💪💪💪💪💪🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰yani rahaaaaaaa uislam tusome jmn tuige wazee watu Allah akuhifadhi babangu nakupenda bure yarabby hifadhi mawalii wako allahumma ameen 🤲🤲🤲🥰🥰🥰🥰🥰🥰yani maneno yamejihifadhi kichwani kisawasawa💯zawadi yako professor mazinge no 2
Uyu sheikh njo kanifanya kuwa muislam kutokana na mihadhara zake
Mashaalah
Maashallah allah akulipe pepo iliyo njema ndugu haki h u wa aijifichi sikuzote
MashaAllah,Allah Azd kukuongoza Kuijua Hak na Allah Akufshe Tukiwa Waislam
Mashalalah mashalalah
Mashaallah
Masha Allah for your special speech sheikh Alhamdulillah Islam is the best religion may Allah protect my faith 🙏🙏🖕Allahu Akbar I'm from Zambia ❤❤❤❤❤
Yes of course
@@issaamininibaruta6441htb 1l
Ckuhz Ndio Njama Zao Za Kuafanya At Mashekhe Wameritad ATI Walkua Waislam,Hz Njama Na Mbnu za Makafr,Lkn Wallah Allah Anafedhehesha ,Hakika Hii Din Ya Kislam N ya Allah km Ingekua Ya Mzungu Ucngekuwepo Uislam,Tazama Allah anavowanusuru Waja Wake walo AMIN,Mashekhe Wetu Allah Awalpen Kher Na Tuzd Kuitangaza Lailaha Ilaa Allah Muhammad RasuluAllah,Shekhe Maznge Na Wote Allah Awape Umr Mrefu Muzd Kutuelemsha Zaid ,Na Wapate kuujua Uislam Hao Wanokengeuka ,,
Mashallah mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Jmn huyu Sheikh mara ya mwanz kumsikia Allah Awahifadh masheik wet Wote takbiiiiiiiiir😍🤲🤲🤲🤲
ukristo sio dini iliyonyooka kwenye misingi ya imani.. ila wakristo wanakitu kikubwa na cha thamani sana ambacho ni JINA LA YESU. nje na hapo maisha yao hayana sifa za imani thabiti.
Unachokiamini au kuaminishwa ukakiamini, kitakusaidia Maishani hata kama siyo Sahihi mbele za muumbaji. Wacolosai 3:17) ni amri na imani ya Paulo kutoka Roma mlitumie jina la Yesu. Warumi 1:7,8. Nguvu za giza siyo Yesu mfanyaji.
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU AKBAR WALILLAHI AL HAMDU
MashaAllah MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika
Masha ALLAH sheikh Kisede wa DRC CONGO uko sawa ALLAH akulipe zaidi.
Uislam ni Amani mwenye Akili atatambua hili
amani gani unasema ww mfuasi wa mtume alie kaburini umepotea kuwa muislamu sikudanganyi kbs!
Maashallah taabaraka Allah!! SHEIKH kisedee.. Hy. Ni mazinge junior!!! Mungu awape Nuru!!
MashaAllah mwenyezimngu akukuze na kulinde kutokana na mambo mabaya Amiin InshaAllah 🤲🤲
Wallah Ww Muislam Hakuna Sababu ya Kuacha Uislam Wko,Allah Atufshe tukiwa cc Sote Waislam Kamil,Allah Ndie Wakusujudiwa Kw Hak,Manabii Wote Waltia Udhuu Na Wakasujudu ,Sasa Ww Mkrsto Cjuw Unamfata Nan ,Km Humfat Yesu Au Nabii Issa Aliesujudu kw Jna La Allah
Tunatakiwa kusoma biblia
Ma Shaa Allah! Shekh Mazinge umeacha alama kubwa saana. Allah akulipe hapa duniani na kesho Akhera
Sheikh kisedee Allah akurithie Inshaallah mungu atatukutanisha
Wao wanasema walikuwa waisilamu na mbona walikuwa hawajui yote ulio yasema hawakuyajuwa wala kuyafahamu yate hayo hasibiyallah waneemal wakil
Wewe ni gineus upo vzur sheikh
Ustadh mashallah mungu akuzidishie
Masha Allah Sheikh pia mwalimu wangu Apo Bwera pamoja na Musa @Al hajji Mubarak Makoti
Allah akuifadh sheikh
Masha Allah our sheikhs My Allah protect you all. From Kenya isiolo
mashaallah Allah awalipe kila lakher awajaaliye muwe daima waja wema awaingize peponi
Allah akiibar huyu mwamba nazzani wakristo makao pitia humu chukueni kalamu n n a kalatasi kisha muansike, aya na maandiko yote kisha mkafungue vitabu mjisomee wenyewe arf mtapata ukweli wenyewe na mtajua haki ipo wapi na kisha mtaielekea, na sio kubisshana
Namtaka Mazinge apa kwetu Congo 🇨🇩 jamani ili awakomoe ma pasta wa apa Congo 🇨🇩 wajinga awajue lolote.❤❤
mjinga ni ww maana ahusomi vitabu pia ahuna elimu yoyote ile kama ww ni muislamu umepotea kbs,watu mumependa uongo kuliko kweli ndivyo mtakavyo angamia ivo ivo!
@@JeanMuzaliwa-bs6qh okay, nieleze Nime potea kivipi ili ni kujibu.
@@PirfaImanipirfa umepotea kwa kuamini qu'ran na kutamka eti Muhammad ni mtume wa Mungu na Yesu si mwana wa Mungu bali ni mtume wa Mungu apo direct umepotea milele!
@@PirfaImanipirfaachananae kafiri huyo kapotea yeye ambae dini yake haina mashiko waabudu masanam hao
@@JeanMuzaliwa-bs6qhwe muabudu sanam la yesu maria we unaona una Akili kweli
mashaallah kisedee Allah akuzidishie
Mazinge mungu akupe maisha malefu
Inshaallah mazinge akufungulie milango yake ya heri .
Mazinge utaniua😂😂😂😂😂 Allah akulinde
Mashaallah kisedee ni mazinge kweli mungu awalinde na mahasidi muzidi kuitangaza dini ya Allah
Kizui cha ko napepo ni uhai tu ishalla pepoAllahatakupa tu ishallah
namshukuru MUNGU kwa kumuona tena Shekh Kisede tangu mwaka wa 2002 MUNGU ni mkubwa
S alk salama hamjambo vipi Hayo yote shekh mazinge ni zawadi kutoka kwa ALLAH tuwaachie urithi watoto wetu elimu hii....ammeen
Masha allah Allah awalipe kila laheri❤❤❤❤❤❤❤ mazige na kesede
Jazakallahu khaira shekh
Ubarikiwe sheikh .khatiibu mzuli nilimfahamu katika DAWA
Masha Allah Mwenyezi Mungu akujaaliye kheri insha Allah. Na Mashekhe wote duniani.
Innalillahi wa inna illeyhi rajiuun..Allah atuongoze waislamu
maashaAllah 🌹 Jazaakumullahu khaira 🙏 masheikh zetu tunafurahia kuwaona maashaAllah
Uislam ni dini yake Allah mwenyewe...atailinda tu...sheikh mazinge akiondoka...sheikh Kisedee atachukua nafasi yake na wengine ...Maa shaa Allah...Allah awalinde masheikhe wote...ameen
jazzakallahu kheir fy dunia wali akhera
Kweli wewe mrithi wa Mazinge Allah awajaalie yaliyo na kher nanyi Insha Allah
Allah akabar Mashallah blessed him sheikh sediye.
Allahuakbar ,Allah awape maisha marefu,tunawahitaji Kenya 😊
Nawafwatilia kutoka Oman . Shukran kwa kutupatia vitu[ mafundisho]
Wasalimie ndugu zangu. Naitwa Khalfani Nassor Farisy
Mashalla kiesedeee, Allah akupe umri wa miaka 950 ya NUHU,
muheshimiwa mzee shekh MAZINGE shukrani kwaku mufunza naku mpa kijana wako shekh kisede ilimu kubwa namuomba MUNGU iwe sikumoja anijalie niwe mwenye kukutana na wewe mzee shekh MAZINGE
Samaani vipi cheikh mazinge kamfunza cheikh kesede??? Uyo katoka Congo siyo mtanzaniya kamfunza wapi????
Shukuran Sana shekh wetu Kwan umegusa moyo ya watu in shaallah mwenyezi mungu akujalie umri mrefu ili utupe nasaa
Sheikh Mazinge umeshafanyakazi kuwa huyu ni mwanafunzi ww kwa uwezo wke Allah atakujalia Pepo ya Firds
Inshallah shehe kisede Allah akujalie kila la her
Shukran sana shekh
Shekh nimemkubali sana...nimestafidi vyem na haya mawaidhi masjid mtoro
Safi sanaa. Hili jembe lingine Allah katupa.
Huyo Ndio Al-habib Sheikh Kesede, Nimekua nae kwenye group la WhatsApp kwa takriban myaka minne Yuko vizuri Sana kwenye kipengele Cha masuala ya mihadhara, Allah amzidishie Sana huyu sheikh
Mie nilikua simjuwi daaaa yuko vizuri wallah. Tupe hio namba tujiunge na sisi. Jama yuko vizuri. Mashallah
Hahaha nimecheka hiyo maana ya tawhid aise Mungu akulipe
Mashallah km MAZINGE mbwemwbe zake Allah atu hifadhi na vitimbi vya makafiri
Masha Allah
MashaAllah ti njaa
Maasha Allah my deen my life is islaam ❤
SHEKHE YUKO VIZURI
ILA YOHANA 15:4 NAHISI IKO TOFAUTI
ILA Mashallah allah amembariki sana
mashallah mashallah mashallah allah awajalie nyie mashekhe maana sasa hivi waislam wengi wamekua ndo washarati na kuwa waimbaji na kutupa dini zao binadam tusipo badirika na kufata alicho kisema allah basi tujue kesho akhera kuna athabu kubwa sana waislam acheni maisha ya kuiga ya Dunia tufanye anayo taka allah dunia mapito ukifa burud
Huyu sheh namjua ni aliwah kuja apa mlandizi ijumaa moja.apa Allah kmjalia hekima
Asalam anlaikum allaahu akbar Allah Akbar allah Akbar eeee Mzee mazinge Allah akubariki kwakazi kubwa unaifanya ya kutangaza na kufunza kwakweli kidjana wako kesede ametisha Sisi wa kongo tunamuita mazinge wa congo
Allah akuhifadhi shekhe wetu ❤❤❤❤nawapenda kwa jili ya allah
Mazinge kapata mrithi
Mimi mwaka 2005 nilikua ulaya na niliwapatabu wakristo kwa aya moja tu mattayo 15/24..........
Maashallah mabruuk
Babu mazinge unatisha wanafunzi wako hao nimoto je wewe wallahhi wabilah watalah makafir wanatuogopa sana
Ma sha Allah Mazinge mdogo Allah awabarik tuwashinde makafiri
MashaAllah. Proud to be Muslim
Huyu muislamu naona amerogwa bado hajasoma vitabu vya kiislamu😁😁😁ett Mohammad ni mkubwa kuliko Yesu😂😂😂.
Masha Allah alhamndulillah Mwenyezi Mungu awalipe ma sheih zetu❤❤❤❤
Allah awalinde mashekhe wetu
Hakika ya Dini ya Hakki mbele ya Allah ni Uislam, Allah atujaalie tuwe ni miongoni mwa waja wema ambao wanamsujudia Allah na kufuata yale yote mema aliyotuamrisha na Atujaalie tufe hali ya kua ni waislam. AMIIN
kuna channel gani hapa youtube inatoa hii midahalo ya akina mazinge maana siini na napenda mimi
Mazinge ,keesede munakwenda motoni na waislamu wote
بسم ماشاء الله.
جزاك الله خيرا يا إخوان في دين
Kiswahili chako ni konki kabisa Sheikh.
Mashallah chuma kipya katika wahadhiri wapya.
Allahou Akbaru Allah azidi kuwafanyia wepesi penye uzito, azidi kuwalinda na kuwahifadhi awazidishie Elimu kwa wingi
Maashallah, Allah bless all our Sheikhs for fighting indeed . We're supposed to thank for your efforts.
Vvx
Kumbe wawo mapasita walikuwa ndio mashetani wenyewe wanawa poteza waja wema kama alivyo mpoteza baba yetu adamu na hawa aliyumiya mbinu hizo hizo hsi biyallahu waneemal wakil
MA SHA ALLAH
Manshaallah
OH! Simba ,Dume ! Piga mada na Mzee Wako USTADH MAZINGE
Mashallah mwenyezimungu atufanyie wepes
Mungu wa wacristo ndiye anawapiganiya alakini wa Islam wa napigania mungu wawo
Nikweli mazige anajitajisapatisana Allah ampeurimrfu
بارك الله فيكم
Mungu awajalie mashehe wutu awapatie muri murefu wakutangaza dini yake
Dini ambayo haipo Kwa ajili ya mambo yake, IPO kwaajili ya wakristo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahio tuwaache muendelee kuwapoteza watu au una maanisha?😂 tunawasaidieni kwa upotofu wenu tushukurunui sana
Mashaallah Allah awazidishie nguvu yakutangaza neno la allaj
Ndacha atawakaranga mbaya wakristo mwana yesu asifiwe
Wallahi wee swadkta Masha Allah
Mashaalah mungu yupo pamoja na ww
MashaAllah sheikh kisedee