inauma sana mwenye haki huchukia kusema uongo lakin sk hiz haki haipo kikubwa kuzd kumsih mungu hapa duniani tunapita lakini walio wengi hawajui ndo maana mtu anachoamua anafanya iposik kila jicho litamuona huwez ukajificha
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani wapendwa binafsi huwa naumia mno nikimkumbuka naangalia nyimbo zake Roho inaniumaa. We wokovu uliondoka mapema mnoo Ee MUNGU uliyewapa watumishi wako zawadi nzuri hakika utukuzwe mana ulijua kuwapa hekima ya kutunza za wadi uliyowapa......Nimekosa neno moyo waniuma tu. WOKOVU 😭😭😭😭😭😭😭
Mungu awatie nguvu ina umiza sana tumuombee apumzike mahali mema pepon
Inauma sana kwa kupoteza mutu wa maana katika tasinia ya mzik😂😂😂😂😂
Ina umiza sana Wokovu tume kukumbuka sana
inauma sana mwenye haki huchukia kusema uongo lakin sk hiz haki haipo kikubwa kuzd kumsih mungu hapa duniani tunapita lakini walio wengi hawajui ndo maana mtu anachoamua anafanya iposik kila jicho litamuona huwez ukajificha
Amina dada sifa mungu akubariki na dada ana
Sifa na we Ana mnatisha nawapenda
Mungu hamutupi mjawake mungu atajb
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani wapendwa binafsi huwa naumia mno nikimkumbuka naangalia nyimbo zake Roho inaniumaa. We wokovu uliondoka mapema mnoo Ee MUNGU uliyewapa watumishi wako zawadi nzuri hakika utukuzwe mana ulijua kuwapa hekima ya kutunza za wadi uliyowapa......Nimekosa neno moyo waniuma tu. WOKOVU 😭😭😭😭😭😭😭
Twende mbele kwa jina la Bwanaaaaa!!!!
Amina HAKIKA inatupasa kwa nguvu ya MUNGU.
Najuwa Kila mtu ni mpita njia ila Wokovu 😂
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂