Tafakari misingi ya maisha yako ukiona unashuudiwa uko vizuri ingia kazini kuwaambia na wengine mapenzi ya mungu ndoo tutapona sio kuliatu unatengeneza wewe ukimaliza unawatengeneza na wengine warumi 8;16 amina
Barikiwa sana sanaaaa tena sana Mbarikiwa baba Mungu azidi kuiponya hali yako na mkeo mpone kabisa mzidi kulitangaza neno lake mtumishi Mungu akuweke kwaajl yetu baba mbarikiwa
Da! MBONA KAZI za huyu mtumishi ni nzuri Sana hazikinaishi Zina nguvu .tukubali huyu nizaidi ya wachungaj wa kusomea bibilia nizaidi ya wachungaji wakubwa duniani.
HAKIKA MBARIKIWA SI MTU WA KAWAIDA, MAHUBIRI YAKE NA NYIMBO ZAKE NI UPONYAJI WA ROHO NA MWILI. Ipo siku nitahamia kwa Mbarikiwa ili niabudu hapo maisha yangu yote.
Ongera kwa hilo ila fahamu wakati tulio nao ni mdogo kwani mfalme anakuja kama nyimbo ya baba yangu mbarikiwa inavyo sema fanya uamuzi haraka kaka unachelewa
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU akutie nguvu maana umetumwa kama mjumbe wa kristo kuja kuonya mabaya na ili tuweze kutenda mema jina la BWANA liwe nawe siku zote za uhai wako mtumishi
Ubarikiwe mtumishi ni faraja tunapoana uko na furaha, maana watesi siku zote wanatamani uendelee kuumia na furaha zaidi pale wanapoona ukionyesha hali ya kuumia. Inatia sana moyo tunapoana unamsifu Mungu kwa furaha
siku zote msema kweli kuchukiwa nakupingwa ila kweli itabaki kweli milele.hata katika ngazi ya familia mkikaa vikao vya familia ukiwa unakosoa wengine kwa kuonya katika yaliyo mabaya kwakesema ukweli wa ubaya huwa itachukuwa,ila kuonyana na kufundishana sio dhambi.Mtu wa Mungu fanya kazi ya Mungu iko siku utalipwa na Mungu na wengi ikosiki watakukumbuka nakuelewa mafundisho yako
Amen it's powerful massage pastor keep it up more than, we are living in end of the days, may almighty father blesse you man of God l blessed. Mungu akubaliki amen.
Mungu tusaidie mwenye dhambi akiambiwa dhambi yake anachukia anataman akuue wakati unamupenda Unataka arekebishe,Ili apone,mi natamani nikifanya vibaya Mtumishi wa Mungu hata angenibiga makofi siwezi kuchukia ndipo nitampenda zaidi kuliko mitumishi Ambayo inachukuliana na Uovu.hii Mimi siipendi wanadamu hizi ni siku za Mwisho,unapo tenda uovu umedhalilisha jina la Yesu ukionywa wengine wajifunze wewe unakimbia mahakamani hii ni ajabu sana !!! Ukiharibu hadharani inatakiwa ukemewe hadharan Ili usihalalishe ule ubaya ulio Fanya
Safi sana mchungaji mbarikiwa Kwa kutupatia zawadi mzuri ya wimbo huu, hakika umenibariki sana mm na family yangu, Mungu akubariki sana Songa mbele, mti utoa matunda yaliyo mema lazima upigwe mawe kwa7bu kwenda kinyume na matakwa ya ulimwengu ni kuharibu falme zao.
Mathayo 13 14 Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama, wala hamtaona. 15 Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.
Kwanini weye njo umemutukana shusho kwa sawuti ndefu?.ungemuita unamwambiya muko wa wili.umeongeza cuki ndani ya shusho na weye tena.Na mungu amesema tupendane .tushauliyane.kwa Nini mungu amesema mwenye hajafanya Zambi acukuww jiwe apige ule mama?wote wamefika wanakimbia
Machozi inanitirika Mimi tu sijui ni wangapi watamwona MUNGU aliye hai katika kizazi hiki
Tafakari misingi ya maisha yako ukiona unashuudiwa uko vizuri ingia kazini kuwaambia na wengine mapenzi ya mungu ndoo tutapona sio kuliatu unatengeneza wewe ukimaliza unawatengeneza na wengine warumi 8;16 amina
Ni kweli
Ubarikiwe nikweli mungu akuongezee ujasiri. Mutumishi. Wa. Mungu
Huuuu wimbo nimeurudia kama mala 8 mzuri sana
Binafsi nampenda sana huyu mchungaji
Nami nampenda sana
hata mimi nampenda ajabu
Nampenda sana sana.
Du MUNGU akusaidiye na kukuweka katika kweli yote nasi piya kweli anukuja YESU
UTUKUFU WA MUNGU na uwe juu ya Baba yetu Mbarikiwa Mwakipesile MILELE NA MILELE
Barikiwa sana sanaaaa tena sana Mbarikiwa baba Mungu azidi kuiponya hali yako na mkeo mpone kabisa mzidi kulitangaza neno lake mtumishi Mungu akuweke kwaajl yetu baba mbarikiwa
Taka usitake Yesu yuaja mpendwa. Barikiwa kaka Mbarikiwa na team nzima🙏
Nasikitika. Sana mutumishi wa mungu utalipwa mungu ndie mutetenzi. Wako
Utake husitake, Upende husipende,Uhamini husihamini, Usikie husisikie, Usikilize husisikilize.
ANAKUJA YESU
Amina haleluya
ANAKUJA YESU
Amina haleluya
ANAKUJA YESU
Amina haleluya.
Da! MBONA KAZI za huyu mtumishi ni nzuri Sana hazikinaishi Zina nguvu .tukubali huyu nizaidi ya wachungaj wa kusomea bibilia nizaidi ya wachungaji wakubwa duniani.
HAKIKA MBARIKIWA SI MTU WA KAWAIDA, MAHUBIRI YAKE NA NYIMBO ZAKE NI UPONYAJI WA ROHO NA MWILI. Ipo siku nitahamia kwa Mbarikiwa ili niabudu hapo maisha yangu yote.
Kabisasasa
Kalibu
Ongera kwa hilo ila fahamu wakati tulio nao ni mdogo kwani mfalme anakuja kama nyimbo ya baba yangu mbarikiwa inavyo sema fanya uamuzi haraka kaka unachelewa
Nyimbo tu zinakupa hamasa za kuendelea mbele,hili ni kamanda la mbinguni
Asante maombi ni dawa ubarikiwe mtumishi
Barikiwa Sana mtumishi wa mung
Huu wimbo upako mwingi sana...
Hakika
Amen.... Amen.... Wimbo mzuri
❤❤❤❤❤❤Amen Aleluya Aleluya nabarikiwa sana
God bless you more and more
Umenikumbusha ,,dhambi inaua dhambii ,tune yake
Bwana atakuja pamoja nawe
Mungu akubariki sana
Amen Amen 🙏🏼🙏🏼🇹🇿🇹🇿🇫🇮🇫🇮
Amen,Amen, Alleluya Kweli kila goti litapigwa, na kila ulimi utakiri yakwamba YESU NI BWANA
Cjui niseme Nini katika huu wimbo asiyebarikiwa na huu wimbo bass c wa uflme wa mungu na anahitaji kuokoka kabisa.aminaa MCH.mwakipesile
Goood ubarikiwe Mbarikiwa una kipaji Cha kuimba
May God bless you abundantly and protect you, plus your family.
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU akutie nguvu maana umetumwa kama mjumbe wa kristo kuja kuonya mabaya na ili tuweze kutenda mema jina la BWANA liwe nawe siku zote za uhai wako mtumishi
Wimbo mzuri sana huu nimeupenda
Ubarikiwe mtu wa Mungu. Uko na Mungu. Kamwe hawatakuweza. Songa mbele ili umtangulie shetani.Amina sana
Hallelujah hallelujah ameeen
Wow that's wonderful
Wewe ni kiungo cha Mungu duniani hakuna wa kukuzuia songa mbele ktk haki na kweli utashinda zab 25
Ubarikiwe mtumishi ni faraja tunapoana uko na furaha, maana watesi siku zote wanatamani uendelee kuumia na furaha zaidi pale wanapoona ukionyesha hali ya kuumia. Inatia sana moyo tunapoana unamsifu Mungu kwa furaha
Amen Asante kwakutukumbusha haudaiwi kwakila atakae sikia wimbo huu in🙏🏻🙏🏻
Amen alellujah,,, BABA mtumishi ludi kwenye hizi mambo,, Yani tukisikilizaga haya mambo hata tushida tunakimbia,,
Mungu akubariki sana sana abariki familia yako na vitu vyako vyote mungu azidi kukuimarisha afya njema oooooh Jesus bariki mtumishi huyu
Mungu akupe maisha malefu naloli amasiku ghamalikee
Aminaaaa, ubarikiwe songa mbele usiache kusema kweli ya Mungu
Baba Mungu akuweke miaka mingi pamoja naunayo pitia ila Mungu yupo nawe
KESI YENYEWE BAADA YA WIMBO HUU IMEISHAAA❤
Wimbo mzuri
Amen and amen 🙏🙏
Amina kubwa
Wimbo mzuli 🙏
Ubarikiwe baba kazi zako zimevuviwa
Amen 🙏 ubarikiwe sana baba mungu aendelee kukuinua
Amen amen
siku zote msema kweli kuchukiwa nakupingwa ila kweli itabaki kweli milele.hata katika ngazi ya familia mkikaa vikao vya familia ukiwa unakosoa wengine kwa kuonya katika yaliyo mabaya kwakesema ukweli wa ubaya huwa itachukuwa,ila kuonyana na kufundishana sio dhambi.Mtu wa Mungu fanya kazi ya Mungu iko siku utalipwa na Mungu na wengi ikosiki watakukumbuka nakuelewa mafundisho yako
Neema ni nyingi sana
Amina Amina,,,njoo BWANA YESU KRISTO
Sauti ya mtu aliayeee Duniani kwasasa. 😭😭😭
Amen it's powerful massage pastor keep it up more than, we are living in end of the days, may almighty father blesse you man of God l blessed. Mungu akubaliki amen.
Kwakweli baba umewazidi wote
Mungu tusaidie mwenye dhambi akiambiwa dhambi yake anachukia anataman akuue wakati unamupenda Unataka arekebishe,Ili apone,mi natamani nikifanya vibaya Mtumishi wa Mungu hata angenibiga makofi siwezi kuchukia ndipo nitampenda zaidi kuliko mitumishi Ambayo inachukuliana na Uovu.hii Mimi siipendi wanadamu hizi ni siku za Mwisho,unapo tenda uovu umedhalilisha jina la Yesu ukionywa wengine wajifunze wewe unakimbia mahakamani hii ni ajabu sana !!! Ukiharibu hadharani inatakiwa ukemewe hadharan Ili usihalalishe ule ubaya ulio Fanya
Baba mungu akupe kibali chakuishi miaka mia unatuponya mwengi
Hakika wimbo mzuri sana unaleta amani na utulivu kiroho
Daaaaaah jamani mungu anavyombo vyake Dunia kama shetan alivyo
Hakika huu Wimbo unautukufu wa bwana,amen amen amen.❤❤❤❤❤
Waovu wakiutazama wimbo huu wanaogopa sanaaaaa wanatetemeka, ila mioyo Yao kubadilika ni migumuuuu!!!!!
Mungu yu pamoja na mtumishi na katika hayo yote wewe ni mshindi
Ubarikiwe sana mtumishi
Ila mimi ninaumia saana nikilinganisha huduma ya huyu Mwamba na mateso yake,aa basi MUNGU WEWE NDIYE MWENYE MATUMIZI NAE MTUMIE UPENDAVYO AMINA
Thank you for the song . I'm blessed.
Hakika nais kumuona Mungu kwa ujumbe huuu .......wakujikinai nmewaona ukengeufu
🎉
Utukufu kwa Mungu wetu juu mbinguni amen hallelujah
Amina mtumishi. Wimbo umenigusa sanaa
Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi wamungu
Hahaaaaaaa Baba mtumishi hatuoni kweli eti vimbunga vina majina, Mungu tusaidie tuzijue nyakati
Anakuja kuwalipa akina Nape......😭😭😭 wapende wasipende
Inginia inginia,,,sawa watalipwaaaaa kwa kazi zao
Eunice😢😢
😂😂😂😂
Ameena nimebarikiwa sana Mtumishi.
There is something great God has put in his life. How I wish he stops criticizing people and situations. Vita hivyo ni vya mungu mwenyewe.
Mungu mwema akubariki mtumishi wa mungu
hakika Kila ulimi utakiri yesu ni mungu
Safi sana mchungaji mbarikiwa Kwa kutupatia zawadi mzuri ya wimbo huu, hakika umenibariki sana mm na family yangu, Mungu akubariki sana Songa mbele, mti utoa matunda yaliyo mema lazima upigwe mawe kwa7bu kwenda kinyume na matakwa ya ulimwengu ni kuharibu falme zao.
Mungu akutunze mtumishi
Ni kweli kabisa YESU anakuja! Pinga upingwe.
Wimbo huu ni neema kutoka kwa mungu ni kwa vile sisi binadamu tumekuwa wagumu kupokea neema hii
Mungu atusaidie kujiandaa
Baba we sema kweli utakapoishia atakuwa Mungu ameamua penda sana nyie
Nimekusoma sana baba
Mathayo 13
14 Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama, wala hamtaona.
15 Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.
Àmiñà kubwa sana
Wimbo kutoka rohoni ❤❤❤
God bless you mbalikiwa
Wimbo mzuri sana huu
Barikiwaaa
TANZANIA NZIMA NI YESU ANAKUJA ,HAYO YA SHUSHO SUKARI TU KWENYE CHAI
Amen sanaaa
Acha wakusumbue mchungani wataenda na mafuriko mda mfupi ujao sijue wataenda kujibu nini kwa mungu
❤❤❤❤❤
Ameeeni oooh ameeen haleluya
Amina anakuja mfalme
most high GOD take care of your people of Jehovah wee
Amen Amen Amen 🙏 🙌 👏
Wimbo mzuri wa kuponya roho na mwili
Kwanini weye njo umemutukana shusho kwa sawuti ndefu?.ungemuita unamwambiya muko wa wili.umeongeza cuki ndani ya shusho na weye tena.Na mungu amesema tupendane .tushauliyane.kwa Nini mungu amesema mwenye hajafanya Zambi acukuww jiwe apige ule mama?wote wamefika wanakimbia
Kweli dalili zinaonekana kwamba yu karibu....
Kenya nakufatilia
Ni kweli kabisa tumezoea tu na mizambi yetu
Amen baba
good song
Wimbo wa kutuvusha
Huyo ndo Mchungaji Mbarikiwa
Amen Hallelujah 🎉🎉🎉
Amen Amen 👏👏👏