Video music:ANAKUJA YESU. Mbarikiwa atoa wimbo wa kurudi kwa Yesu baada kushtakiwa na Christina

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 05. 2024

Komentáře • 175

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před 2 měsíci +14

    Machozi inanitirika Mimi tu sijui ni wangapi watamwona MUNGU aliye hai katika kizazi hiki

    • @user-te1vg6dc2h
      @user-te1vg6dc2h Před měsícem

      Tafakari misingi ya maisha yako ukiona unashuudiwa uko vizuri ingia kazini kuwaambia na wengine mapenzi ya mungu ndoo tutapona sio kuliatu unatengeneza wewe ukimaliza unawatengeneza na wengine warumi 8;16 amina

    • @niyibigiraesperence7772
      @niyibigiraesperence7772 Před 21 dnem

      Ni kweli

  • @user-ed2jz5ym9u
    @user-ed2jz5ym9u Před měsícem +4

    Ubarikiwe nikweli mungu akuongezee ujasiri. Mutumishi. Wa. Mungu

  • @FESTOJAPHET-cw3fl
    @FESTOJAPHET-cw3fl Před 2 měsíci +9

    Huuuu wimbo nimeurudia kama mala 8 mzuri sana

  • @dicksonmlelwa1762
    @dicksonmlelwa1762 Před 2 měsíci +8

    Binafsi nampenda sana huyu mchungaji

  • @Word649
    @Word649 Před dnem

    Du MUNGU akusaidiye na kukuweka katika kweli yote nasi piya kweli anukuja YESU

  • @UAMSHOTV
    @UAMSHOTV Před 2 měsíci +4

    UTUKUFU WA MUNGU na uwe juu ya Baba yetu Mbarikiwa Mwakipesile MILELE NA MILELE

  • @joshuanguo
    @joshuanguo Před 2 měsíci +1

    Barikiwa sana sanaaaa tena sana Mbarikiwa baba Mungu azidi kuiponya hali yako na mkeo mpone kabisa mzidi kulitangaza neno lake mtumishi Mungu akuweke kwaajl yetu baba mbarikiwa

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 Před 2 měsíci +4

    Taka usitake Yesu yuaja mpendwa. Barikiwa kaka Mbarikiwa na team nzima🙏

  • @user-ed2jz5ym9u
    @user-ed2jz5ym9u Před měsícem +1

    Nasikitika. Sana mutumishi wa mungu utalipwa mungu ndie mutetenzi. Wako

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před 2 měsíci +3

    Utake husitake, Upende husipende,Uhamini husihamini, Usikie husisikie, Usikilize husisikilize.
    ANAKUJA YESU
    Amina haleluya
    ANAKUJA YESU
    Amina haleluya
    ANAKUJA YESU
    Amina haleluya.

  • @user-wm3dc1vq2s
    @user-wm3dc1vq2s Před měsícem +2

    Da! MBONA KAZI za huyu mtumishi ni nzuri Sana hazikinaishi Zina nguvu .tukubali huyu nizaidi ya wachungaj wa kusomea bibilia nizaidi ya wachungaji wakubwa duniani.

  • @paschalbernardludubula9838
    @paschalbernardludubula9838 Před 2 měsíci +24

    HAKIKA MBARIKIWA SI MTU WA KAWAIDA, MAHUBIRI YAKE NA NYIMBO ZAKE NI UPONYAJI WA ROHO NA MWILI. Ipo siku nitahamia kwa Mbarikiwa ili niabudu hapo maisha yangu yote.

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Před 2 měsíci +3

      Kabisasasa

    • @user-pk7xj3dr6w
      @user-pk7xj3dr6w Před 29 dny

      Kalibu

    • @EmmanuelSimkwai
      @EmmanuelSimkwai Před 22 dny

      Ongera kwa hilo ila fahamu wakati tulio nao ni mdogo kwani mfalme anakuja kama nyimbo ya baba yangu mbarikiwa inavyo sema fanya uamuzi haraka kaka unachelewa

    • @yusufulugona3439
      @yusufulugona3439 Před 8 dny

      Nyimbo tu zinakupa hamasa za kuendelea mbele,hili ni kamanda la mbinguni

  • @joycemapunda9915
    @joycemapunda9915 Před 18 dny

    Asante maombi ni dawa ubarikiwe mtumishi

  • @BujwigaMao
    @BujwigaMao Před 13 dny

    Barikiwa Sana mtumishi wa mung

  • @kikosikaziupdate
    @kikosikaziupdate Před 2 měsíci +13

    Huu wimbo upako mwingi sana...

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg Před měsícem

    ❤❤❤❤❤❤Amen Aleluya Aleluya nabarikiwa sana

  • @LeusiAnton-l6n
    @LeusiAnton-l6n Před 26 dny

    God bless you more and more

  • @felcRaphael
    @felcRaphael Před 2 měsíci +7

    Umenikumbusha ,,dhambi inaua dhambii ,tune yake

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w Před měsícem

    Amen,Amen, Alleluya Kweli kila goti litapigwa, na kila ulimi utakiri yakwamba YESU NI BWANA

  • @user-uh6of4dk6h
    @user-uh6of4dk6h Před 2 měsíci

    Cjui niseme Nini katika huu wimbo asiyebarikiwa na huu wimbo bass c wa uflme wa mungu na anahitaji kuokoka kabisa.aminaa MCH.mwakipesile

  • @jacksonlucas9322
    @jacksonlucas9322 Před 2 měsíci +1

    Goood ubarikiwe Mbarikiwa una kipaji Cha kuimba

  • @edwardchange1407
    @edwardchange1407 Před měsícem

    May God bless you abundantly and protect you, plus your family.

  • @user-ys4md3gg6o
    @user-ys4md3gg6o Před 2 měsíci

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU akutie nguvu maana umetumwa kama mjumbe wa kristo kuja kuonya mabaya na ili tuweze kutenda mema jina la BWANA liwe nawe siku zote za uhai wako mtumishi

  • @mwlvincentmwakisyala
    @mwlvincentmwakisyala Před 2 měsíci +2

    Wimbo mzuri sana huu nimeupenda

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 Před 2 měsíci

    Ubarikiwe mtu wa Mungu. Uko na Mungu. Kamwe hawatakuweza. Songa mbele ili umtangulie shetani.Amina sana

  • @GRACEOFJESUSCHANNEL357

    Hallelujah hallelujah ameeen

  • @purymumykarisa8863
    @purymumykarisa8863 Před 2 měsíci +2

    Wow that's wonderful

  • @Leonard-jl8gt
    @Leonard-jl8gt Před 8 dny

    Wewe ni kiungo cha Mungu duniani hakuna wa kukuzuia songa mbele ktk haki na kweli utashinda zab 25

  • @edenfamilymelody
    @edenfamilymelody Před 2 měsíci

    Ubarikiwe mtumishi ni faraja tunapoana uko na furaha, maana watesi siku zote wanatamani uendelee kuumia na furaha zaidi pale wanapoona ukionyesha hali ya kuumia. Inatia sana moyo tunapoana unamsifu Mungu kwa furaha

  • @PelesiMethod
    @PelesiMethod Před měsícem

    Amen Asante kwakutukumbusha haudaiwi kwakila atakae sikia wimbo huu in🙏🏻🙏🏻

  • @nuswemwakasala8687
    @nuswemwakasala8687 Před 2 měsíci

    Amen alellujah,,, BABA mtumishi ludi kwenye hizi mambo,, Yani tukisikilizaga haya mambo hata tushida tunakimbia,,

  • @FayChalamila
    @FayChalamila Před 2 měsíci

    Mungu akubariki sana sana abariki familia yako na vitu vyako vyote mungu azidi kukuimarisha afya njema oooooh Jesus bariki mtumishi huyu

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 2 měsíci

    Mungu akupe maisha malefu naloli amasiku ghamalikee

  • @gracelossy19
    @gracelossy19 Před 2 měsíci

    Aminaaaa, ubarikiwe songa mbele usiache kusema kweli ya Mungu

  • @JuneJune-xf4pc
    @JuneJune-xf4pc Před 2 měsíci

    Baba Mungu akuweke miaka mingi pamoja naunayo pitia ila Mungu yupo nawe

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 Před 2 měsíci +1

    KESI YENYEWE BAADA YA WIMBO HUU IMEISHAAA❤

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej Před 2 měsíci +3

    Wimbo mzuri

  • @deoelias841
    @deoelias841 Před 11 dny

    Amen and amen 🙏🙏

  • @pris_jimsband
    @pris_jimsband Před 2 měsíci +3

    Amina kubwa

  • @EstherManda-ex3bc
    @EstherManda-ex3bc Před měsícem

    Wimbo mzuli 🙏

  • @barikimtukula1619
    @barikimtukula1619 Před 2 měsíci

    Ubarikiwe baba kazi zako zimevuviwa

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 2 měsíci

    Amen 🙏 ubarikiwe sana baba mungu aendelee kukuinua

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před měsícem

    Amen amen

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp Před 2 měsíci

    siku zote msema kweli kuchukiwa nakupingwa ila kweli itabaki kweli milele.hata katika ngazi ya familia mkikaa vikao vya familia ukiwa unakosoa wengine kwa kuonya katika yaliyo mabaya kwakesema ukweli wa ubaya huwa itachukuwa,ila kuonyana na kufundishana sio dhambi.Mtu wa Mungu fanya kazi ya Mungu iko siku utalipwa na Mungu na wengi ikosiki watakukumbuka nakuelewa mafundisho yako

  • @mussajanke
    @mussajanke Před 2 měsíci +2

    Neema ni nyingi sana

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 Před 2 měsíci

    Amina Amina,,,njoo BWANA YESU KRISTO

  • @nethosiame14
    @nethosiame14 Před 11 hodinami

    Sauti ya mtu aliayeee Duniani kwasasa. 😭😭😭

  • @wonderkapichira6929
    @wonderkapichira6929 Před 2 měsíci

    Amen it's powerful massage pastor keep it up more than, we are living in end of the days, may almighty father blesse you man of God l blessed. Mungu akubaliki amen.

  • @thimoteslangay2010
    @thimoteslangay2010 Před měsícem

    Kwakweli baba umewazidi wote

  • @user-du3pd7gb4c
    @user-du3pd7gb4c Před 2 měsíci

    Mungu tusaidie mwenye dhambi akiambiwa dhambi yake anachukia anataman akuue wakati unamupenda Unataka arekebishe,Ili apone,mi natamani nikifanya vibaya Mtumishi wa Mungu hata angenibiga makofi siwezi kuchukia ndipo nitampenda zaidi kuliko mitumishi Ambayo inachukuliana na Uovu.hii Mimi siipendi wanadamu hizi ni siku za Mwisho,unapo tenda uovu umedhalilisha jina la Yesu ukionywa wengine wajifunze wewe unakimbia mahakamani hii ni ajabu sana !!! Ukiharibu hadharani inatakiwa ukemewe hadharan Ili usihalalishe ule ubaya ulio Fanya

  • @user-vq8gk2ub8s
    @user-vq8gk2ub8s Před 2 měsíci

    Baba mungu akupe kibali chakuishi miaka mia unatuponya mwengi

  • @EmmaKija
    @EmmaKija Před 2 měsíci

    Hakika wimbo mzuri sana unaleta amani na utulivu kiroho

  • @emmanuelMbembela-oy7pi
    @emmanuelMbembela-oy7pi Před 2 měsíci

    Daaaaaah jamani mungu anavyombo vyake Dunia kama shetan alivyo

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h Před 2 měsíci

    Hakika huu Wimbo unautukufu wa bwana,amen amen amen.❤❤❤❤❤

  • @user-do9mr6cb1l
    @user-do9mr6cb1l Před 2 měsíci

    Waovu wakiutazama wimbo huu wanaogopa sanaaaaa wanatetemeka, ila mioyo Yao kubadilika ni migumuuuu!!!!!

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u Před měsícem

    Mungu yu pamoja na mtumishi na katika hayo yote wewe ni mshindi

  • @FrankMwampashi-om9ww
    @FrankMwampashi-om9ww Před měsícem

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 Před 2 měsíci +1

    Ila mimi ninaumia saana nikilinganisha huduma ya huyu Mwamba na mateso yake,aa basi MUNGU WEWE NDIYE MWENYE MATUMIZI NAE MTUMIE UPENDAVYO AMINA

  • @Kasa.c
    @Kasa.c Před 2 měsíci

    Thank you for the song . I'm blessed.

  • @JentoMmary-et7py
    @JentoMmary-et7py Před 2 měsíci

    Hakika nais kumuona Mungu kwa ujumbe huuu .......wakujikinai nmewaona ukengeufu

  • @user-lq4mq7rz6h
    @user-lq4mq7rz6h Před 2 měsíci

    Utukufu kwa Mungu wetu juu mbinguni amen hallelujah

  • @miliamdaniel9046
    @miliamdaniel9046 Před 2 měsíci

    Amina mtumishi. Wimbo umenigusa sanaa

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 Před 2 měsíci

    Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi wamungu

  • @nuswemwakasala8687
    @nuswemwakasala8687 Před 2 měsíci

    Hahaaaaaaa Baba mtumishi hatuoni kweli eti vimbunga vina majina, Mungu tusaidie tuzijue nyakati

  • @kikosikaziupdate
    @kikosikaziupdate Před 2 měsíci +1

    Anakuja kuwalipa akina Nape......😭😭😭 wapende wasipende

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i Před 2 měsíci

    Ameena nimebarikiwa sana Mtumishi.

  • @Kasa.c
    @Kasa.c Před 2 měsíci

    There is something great God has put in his life. How I wish he stops criticizing people and situations. Vita hivyo ni vya mungu mwenyewe.

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Před 2 měsíci

    Mungu mwema akubariki mtumishi wa mungu

  • @SARAHTITOMWAMPASHI-vn9hc
    @SARAHTITOMWAMPASHI-vn9hc Před 2 měsíci +1

    hakika Kila ulimi utakiri yesu ni mungu

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 Před 2 měsíci +3

    Safi sana mchungaji mbarikiwa Kwa kutupatia zawadi mzuri ya wimbo huu, hakika umenibariki sana mm na family yangu, Mungu akubariki sana Songa mbele, mti utoa matunda yaliyo mema lazima upigwe mawe kwa7bu kwenda kinyume na matakwa ya ulimwengu ni kuharibu falme zao.

  • @GossesMwambene-eg8lo
    @GossesMwambene-eg8lo Před 2 měsíci

    Mungu akutunze mtumishi

  • @EmmanuelKiula
    @EmmanuelKiula Před 2 měsíci

    Ni kweli kabisa YESU anakuja! Pinga upingwe.

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw Před 2 měsíci

    Wimbo huu ni neema kutoka kwa mungu ni kwa vile sisi binadamu tumekuwa wagumu kupokea neema hii

  • @happymvula
    @happymvula Před 2 měsíci

    Mungu atusaidie kujiandaa

  • @NuruMbwile
    @NuruMbwile Před 2 měsíci

    Baba we sema kweli utakapoishia atakuwa Mungu ameamua penda sana nyie

  • @user-cw2pm4hg4t
    @user-cw2pm4hg4t Před měsícem

    Nimekusoma sana baba

  • @EmmanuelSimkwai
    @EmmanuelSimkwai Před 22 dny

    Mathayo 13
    14 Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama, wala hamtaona.
    15 Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.

  • @user-br5yb2uf4o
    @user-br5yb2uf4o Před 2 měsíci

    Àmiñà kubwa sana

  • @user-ub8vm1go9j
    @user-ub8vm1go9j Před 2 měsíci

    Wimbo kutoka rohoni ❤❤❤

  • @MenasehLiula
    @MenasehLiula Před 2 měsíci

    God bless you mbalikiwa

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj Před 2 měsíci

    Wimbo mzuri sana huu

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x Před 2 měsíci

    Barikiwaaa

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 Před 2 měsíci +4

    TANZANIA NZIMA NI YESU ANAKUJA ,HAYO YA SHUSHO SUKARI TU KWENYE CHAI

  • @joyceseguni2038
    @joyceseguni2038 Před 2 měsíci

    Amen sanaaa

  • @annaezra2344
    @annaezra2344 Před 2 měsíci

    Acha wakusumbue mchungani wataenda na mafuriko mda mfupi ujao sijue wataenda kujibu nini kwa mungu

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @PastorsTz
    @PastorsTz Před 2 měsíci +1

    Ameeeni oooh ameeen haleluya

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o Před 2 měsíci

    Amina anakuja mfalme

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před 2 měsíci

    most high GOD take care of your people of Jehovah wee

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 2 měsíci +1

    Amen Amen Amen 🙏 🙌 👏

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw Před 2 měsíci

    Wimbo mzuri wa kuponya roho na mwili

  • @user-ge2vv4zp3i
    @user-ge2vv4zp3i Před 2 měsíci

    Kwanini weye njo umemutukana shusho kwa sawuti ndefu?.ungemuita unamwambiya muko wa wili.umeongeza cuki ndani ya shusho na weye tena.Na mungu amesema tupendane .tushauliyane.kwa Nini mungu amesema mwenye hajafanya Zambi acukuww jiwe apige ule mama?wote wamefika wanakimbia

  • @Luckyseed138
    @Luckyseed138 Před měsícem

    Kweli dalili zinaonekana kwamba yu karibu....
    Kenya nakufatilia

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před 2 měsíci

    Ni kweli kabisa tumezoea tu na mizambi yetu

  • @Agnesimtaitin
    @Agnesimtaitin Před 2 měsíci

    Amen baba

  • @NestoryMisalaba
    @NestoryMisalaba Před 2 měsíci

    good song

  • @joyceseguni2038
    @joyceseguni2038 Před 2 měsíci

    Wimbo wa kutuvusha

  • @user-bj6tz3ns7g
    @user-bj6tz3ns7g Před 2 měsíci

    Huyo ndo Mchungaji Mbarikiwa

  • @NiyizigamaClaudine
    @NiyizigamaClaudine Před 2 měsíci

    Amen Hallelujah 🎉🎉🎉

  • @francoismalenge1373
    @francoismalenge1373 Před 2 měsíci

    Amen Amen 👏👏👏