HUU MOTO WA CHAMA MAZOEZINI NI BALAA KUBWA | DUBE AMPIGIA SALUTI | YANGA SC WAPIGA TIZI COCO BEACH
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Sport
Bacca yupo wapi
2:48 Kwaio kibwana ndo mfupi kiasi hicho?
Mbona simuoni doctor wa mpira jamani
Mkataba wake umeisha
Mbona simuoni dokta
Chama anahema si mchezo
M nawataka maude na bacca wako wapi
wapo likizo
MBELE DAIMA NYUMA MWIKO
Huyu chama watamuua na haya mazoezi
Wanasema chama mzeee? Tusubiri tuone uzee wake.
Tatizo jezi za Madunduka ukivaa zinakufanya uwe mzee. Lakini kumbe Chama bado kijana sana😂😂
Ndio ni mzee kwenye umri na uwiano wa mpira kwa ulaya lakin hii Africa chama bado sana tena kama kwa ligi yetu anacheza miaka 3+
Sema wana simba wanaumia roho hao makolobwanji
Kwan walikuwa wanamuita chama ni Mzee si ni nyie kina mama j mbona hamueleweki
@@yohanalukindo3737 mlokuwa mnalia hatupati matokeo wazee wengi ni Nyie makolobwanji
jamn mkude wap
Wengne bado