MANENO YA CHAMA BAADA YA KUPEWA JEZI NAMBA 17 NA FARIDI MUSA |

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024

Komentáře • 369

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 Před měsícem +45

    Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před měsícem +19

    Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 Před měsícem +6

    Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před měsícem +11

    Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove Před měsícem +41

    Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před měsícem +14

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 Před měsícem +6

    Mungu ,watunze wasipate majeraha
    Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza.
    Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu
    Aminaa

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před měsícem +41

    Farid ni mtu wa mungu sana

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 Před měsícem +35

    Ahsante farid mussa malick

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Před měsícem +9

    Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 Před měsícem +21

    Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 Před měsícem +37

    Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍

    • @ShakiraMasoud-ox5tj
      @ShakiraMasoud-ox5tj Před měsícem +1

      Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Před měsícem

      ​@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 Před měsícem +17

    Farid much respect wananchi tunakupenda ❤

  • @octavianluambano9081
    @octavianluambano9081 Před měsícem +15

    Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 Před měsícem +6

    Faridi is incredible player. Well done

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Před měsícem +4

    Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Před měsícem +6

    Narudia tena kusema
    MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!

  • @gwantualexis4064
    @gwantualexis4064 Před měsícem +7

    Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃‍♀️‍➡️..😅😅

  • @yussufshaaban1013
    @yussufshaaban1013 Před měsícem +2

    Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja Před měsícem +4

    Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 Před měsícem +4

    Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰

  • @jumambwambo
    @jumambwambo Před měsícem +7

    Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa

  • @user-bm2wo7hh3b
    @user-bm2wo7hh3b Před měsícem +5

    Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤
    LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 Před měsícem +3

    Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem +1

    Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Před měsícem +2

    Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...

  • @JusminSaid-zi6id
    @JusminSaid-zi6id Před měsícem +2

    Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Před měsícem +4

    Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 Před měsícem +6

    Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉

  • @FredyPeter-rn2il
    @FredyPeter-rn2il Před měsícem +10

    Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před měsícem +3

    Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions

  • @BonifasMjuni-zi1wg
    @BonifasMjuni-zi1wg Před měsícem +8

    Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb Před měsícem

      Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali..
      Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem +6

    Respect kwako Farid Mussa

  • @raymondkisinga4374
    @raymondkisinga4374 Před měsícem +12

    Big Up Farid Musa👏👏

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem

    Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛

  • @user-he1om2lu1f
    @user-he1om2lu1f Před měsícem +3

    Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem +18

    Asante kaka Farid Musa

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před měsícem +9

    Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u Před měsícem

    Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛

  • @_kidayyo
    @_kidayyo Před měsícem +6

    Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏

  • @LuckyAden-cd7wo
    @LuckyAden-cd7wo Před 25 dny

    Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Před měsícem +5

    Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f Před měsícem +27

    Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 Před měsícem +11

    Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 Před měsícem +3

    Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm Před měsícem +69

    Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns

  • @SüddyThíägø
    @SüddyThíägø Před měsícem +7

    Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛

  • @steamtvtz
    @steamtvtz Před měsícem +5

    Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Před měsícem

    Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 Před měsícem

    Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 Před měsícem

    Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Před měsícem +7

    Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před měsícem +10

    Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Před měsícem +8

    Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote

  • @user-pn1cb1lw4l
    @user-pn1cb1lw4l Před měsícem +6

    Kubali sana faridi musa

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před měsícem +2

    Twatotela baiche for playing for WANANCHI

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc Před měsícem +5

    Naipenda sana yanga

  • @RamsoPedro
    @RamsoPedro Před měsícem +10

    Yanga bwana mko Vizuri

  • @CosmasCosam
    @CosmasCosam Před měsícem

    Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Před měsícem +2

    Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 Před měsícem

    Mungu akubariki farid musa malick for the love

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu Před měsícem

    Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d Před měsícem

    Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee

  • @ErastoAmosy
    @ErastoAmosy Před měsícem

    Umetisha farid bigp saana

  • @CalvinMbaraka
    @CalvinMbaraka Před měsícem

    So wise Farid much respect

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před měsícem +1

    ❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před měsícem +9

    Mshery anategea😂😂

  • @fikcountry5547
    @fikcountry5547 Před měsícem

    Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz Před měsícem

    Farid ur man full of love to the fellow player

  • @VanesaKeneth
    @VanesaKeneth Před 29 dny

    Farid mungu akutangulie muungwana sana

  • @HamisKibungulu
    @HamisKibungulu Před měsícem +1

    Big up faridi ndo uhungwana huo

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 Před měsícem +4

    Big up farid mussa

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Před měsícem

    Hapo wanapngelea simba jike shirikisho

  • @RazakciAbdulRazakciAbdul
    @RazakciAbdulRazakciAbdul Před měsícem

    Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 Před měsícem

    Eeeh Mungu iepushe timu yetu dhidi ya kashfa na watu wote wenye roho mbaya dhidi yetu... eh Mungu ilinde timu yetu na viongozi wake, wape mafanikio na busara na nguvu na hekima za kukiendesha club yetu ya yanga. Amen.

  • @tintin0019
    @tintin0019 Před měsícem +8

    OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 Před měsícem

      😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 Před měsícem +1

    Big up kwa Farid Musa ❤

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Před měsícem

    NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 Před měsícem

    Uo ndio upendo wa timu faridi alicho kifanya Kwa chama ni kitu Cha maana sana MUNGU akubariki faridi Kwa upendo wako

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před měsícem +9

    😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz Před měsícem +1

      😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Před měsícem

      Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan Před měsícem

      Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet Před měsícem

      @@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Před měsícem

      @@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.

  • @LimseyMassawe
    @LimseyMassawe Před měsícem +5

    Mmemuona diara

    • @user-kd9tc4tl5f
      @user-kd9tc4tl5f Před měsícem

      Mazoezini hayupo ila Airport walikuwa watatu Aucho musonda na Diara

  • @shabaniiddi510
    @shabaniiddi510 Před měsícem

    Farid unajua sana mdogo angu sema endelea kukaza utafika mbali sana na kukubali kinoma

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile

  • @mkombozimella8436
    @mkombozimella8436 Před měsícem

    Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 Před měsícem +6

    Chama mbona kama amepania sana 😅😅

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před měsícem +3

    Uta ng'aa sana msimu ujao, 12 ni namba ya baraka

  • @pascaljonathan6865
    @pascaljonathan6865 Před měsícem

    Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Před měsícem

    Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 Před měsícem

    Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 Před měsícem

    Nawasalimu kwa jina la chama dube baleke maumiv yaendelee

  • @barakambeyale7207
    @barakambeyale7207 Před měsícem

    Kuna chura inapiga tizi pembeni kule ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @BeckaJunior
    @BeckaJunior Před měsícem +1

    Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 Před měsícem

    be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things

  • @DavisSongolo
    @DavisSongolo Před měsícem +1

    Ukomavuuu mkubwa sana kwa Farid 👏👏👏

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Před měsícem +1

    Ewaaaah..wamekwisha sasa😂

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 Před měsícem

    Respect sana Farid mussa

  • @ChachaWambura-ol2lq
    @ChachaWambura-ol2lq Před měsícem +1

    Hapo sawa kama kapewa jezi yake kazi ipo

  • @user-hg8jj3xk6c
    @user-hg8jj3xk6c Před měsícem

    Farid big up sana kaka

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc Před měsícem +2

    Farid ubarikiwe

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Před měsícem

    Farid hongela San kk hapo umefanya vizul san