Goodluck Gozbert- Asante (Official Music Video) For skiza SMS 9865518 to 811
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2024
- Goodluck Gozbert presents "Asante" music video.
Watch Goodluck Gozbert New EP "Ushindi": • Goodluck Gozbert - Kin...
Follow Goodluck Gozbert
Instagram: www.instagram....
Subscribe to CZcams Channel: / @gozbertministries
goodluckgozbert #Asante
Hii nyimbo imeimbwa kwa ajili yangu... my husband was diagnosed with kidney failure, 2021, yaani zile mbio tulipambana, sema kusemwa I rem watu wakisema namroga ili nibakie na nyumba na gari... surely nyumba na gari ingenilelea watoto at this young age, I fought na magoti na maombi, alipata kidney last year he is doing well, n out of the country, sasa wale wabaya wanataka kurudi weeeeeh Mungu wangu sina cha kukwambia... kwa yote bali asante na jina lako lizidi kuinuliwa.... am now ready for my white wedding...
Glory to Jesus
Glory to God.. All is well.. When God say yes no man can say no
Amen
Woow utukufu ni kwa Mungu pekee aliyekutetea we na mimi anitete
Binaadam
Asante hata kwa wabaya wamenifundisha kuku tumani Asante baba Asante YESU barikiwa kwa uimbaji nzuri nautunzi mzuri
Asante Mungu kwa kuzaliwa yesu christ leo nimeokolewa Asante babaa
Kwa kweli nasema asante Baba. Nikiangalia mahali umenitoa nakosa lakusema. Uko Mungu kweli.
Wimbo huu ukamuinue kila mtazamaji
Mungu shuka kwa mtumishi wako na ubari kazi yake maradufu kupitia jina ra yesu
Umebarikiwa! Kutusemea sote tulioguswa na wimbo huu wako mpya, as always!
Blessings!
Barikiwa sana my brother kwn umefanyika baraka kwangu kupiti nyimbo zako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you
Nime gonga like nasija sikia wimbo 🙈🙈 nyinyi je?
Asante mungu nashukulu Kwa huu wimbo mana umegusa moyo wangu,Asante hata Kwa mabaya niliopitia.
Whoever is reading this Merry Christmas and a prosperous 2022..Let's end this year with gratitude.. God will always be good.. He gave us His son.. Something a man cannot do.. Ata tukose yote ya Dunia, tumepewa YESU.❤️
Amen merry Christmas to you too
Amen 🙏
Amen 🙏🥰
Who else is keeping this song on repeat mode?? I cannot explain what I feel when listening to this song! I just feel like this song is all about me! Thankyou Jesus your everything to me 🙏🇰🇪
When it's done in spirit and in truth you will always know. I do keep alot of Goodluck's songs on repeat. I pray that God continues to use him for his glory 🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
czcams.com/video/syQCeCNTHRo/video.html
me too
I keep listening to it over and over😍
Asante Baba
Wewe ni mwema Sina kukupa lakini Asante haziwezi tosha
Be blessed Man of God
Asante Baba Kwa ha yote umenitendeya . Wendell wivu wamejaribu kuniharbia Nyumba yangu . Lakini umesimama na mimi Kwa Imani
Mungu juu ya vyote, hakuna anayeweza kupindisha injili, barikiwa sana gozbert kipaji ulicho barikiwa na akili havi nunuliki kwa pesa au mali.Wenye akili wameelewa.
Ninakila sababu zakumrudishia shukrani Baba yangu hakika, Asante Bwana wangu. Barikiwa sana Mt
Soul touching music 🙏🙏
Pia kazi lako unifuraisha,,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kijana etu, tunakupenda sanaa
💯
Mrseed wasemaje
Indeed, Ngoma noma sana. God bless 🙏
Kama umesubiri kama mimi gonga like
Asante Baba maana in wengi wanatamani kuona anguko letu Bali hujatuacha uko nasi umetishika na mkono wako wa KUUME MUNGU BABA waaibishe watesi wetu wakose mahali pa kuficha sura zao ASANTE BABA
Amina hakika bwana nimwema nimefurahi Sana wimbo nauludia ludia siuchoki 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen kwa hakika sisi Si bora kuliko wale ambao wametanguli.Hatuna budi ila kushukuku Mungu
Mungu azidi kukutunza, najikuta narudia mala tatu tatu kuusikiliza huu wimbo.
Nashkuru kwa wimbo msg iko ya kutia nguvu na kuweka karibu na mwenyezi mungu
que Dieu te benisse mon frere au nom de jesus.asante baba mungu ju ya maisha yako.rdc
Huu wimbo unanitia machozi, Asante baba yote ni Kwa wema
Kama kawaida representing code +254🇰🇪,Goodluck you have always been a blessing😇 to many and I decree declare that this song is going to minster to people's life & be a true inspiration📢 . #ASANTE to the world🌏💯🌟🎼🔥. (1st Thessalonians 5:18)
Asante 🙏 Sana Mungu amefanya mengi hapa nilipo Ni kwa uwezo wake .
Mnh asante hata kwa mabaya maana haukuyaruhusu yaniangamize!! I just love the song! Be blessed brother.
Ahsanteeee Mungu najua utatenda zaidi na kwangu soon🙏 unajua ninachokuomb na kukumbusha kila siku😭😭🙏🏾🙏🏾
Asante Baba 🙌 Amen amen 💃💃💃🇧🇮
🙏🙏🙏🙏🙏, asante baba kila siku mpya kwangu ni neema,.. 🙏🙏🙏🙏🙏
2023 bado tunaendelea asante Baba
Sisi ni Nan tusimwambie mungu ASANTE ,kwa yote
Ubarikiwe sana mtumishi na kaka yangu #GoodluckGozbert
Asante kwa mabaya na wabaya😌🙏
Ubarikiwe sana Gozbert kwa nyimbo safi yenye kusheheni maana ya kushukuru baada ya kupata ahueni fulani ya masumbuko uliyopitia kupitia jina la Yesu. Nimeipenda sana na inazidi kunipa tumaini la kusonga mbele na Yesu wangu. Mungu akubariki sana kwa huduma hii ya uimbaji, uzidi kukua na kukua hadi kimataifa. Thanks brother Gozbert for the God words passage via Gospel Songs.
Asante Haitoshi MUNGU Wangu❤❤❤❤❤
Umenibariki sana , huduma uliyoianza si nyepes sana kuna pepo nyingi zinavuma ila ukikaaa miguuni kwa wazee utafanya vyema zaid ya hapa; ni maombi yangu Mungu asiziache nyanyo zako ;
Asante kwa wimbo umeniguza watching from kenya barikiwa sana kaka mungu akupe kibalizaidi
Na Mungu anapokupa sauti ya kweli, inakua sauti ya kubariki kweli. Mungu akulinde kaka
Uzidi kwenda mbali kama baba mh.nabii mkuu alivyosema use baraka kwa wengine
Umeupiga mwingi Kaka,hakika mungu hatokuacha,, wimbo huu umenibariki sana
Mnaujua zaidi tuachieni hii nyimbo iende hadi january mana hamshindwi kuchafua hali hewa kisa tu mnajifanya mnajua sana,much thanks goodluck god bless u for giving us a good song.🙏
Asante Mungu kwa umbali huu...mengi umenivusha...barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo mzuri wa kumshukuru Mungu...Mungu akubariki na aibariki huduma yako Amen
Asante Mungu kwakunilinda mwaka mzima Asante Bwana
Sijawahi kuachwa kuguswa na nyimbo za kaka goodluck Gozbert
AHSANTE BABA, naanza mwaka mwingine wengi hawajapata nafac lkn mm umenipa neema 🙏🙏🙏 si kwa kuwa maybe nimekuwa mwema sana bali neema, na Rehema zako🙏🙏🙏🙏
I hear this song it's like you are telling my story but who is God alisimama kunitetea na kubadilisha mambo.Amina
Nimelia Sana hakika Kama si Mungu nisingekua hai hii leo 😭
MWAKA UMEFUNGWA NA KITU KIZITO KUTOKA MBINGUNI.. #ASANTE_YESU
Ahsante baba wimbo mnzr ,mungu ahsante kwa nipigania uja nipungukia katika maisha yangu afya umenipa katika biashara naona mkono wako , Asante
Iyi nyimbo Nay penda sana tana sana ,kila Mara Nay sikiliza
Asanteh hata kwa mabaya&wabaya walinifundisha kukutumaini MUNGU 🙌🙌🙌 #myBrother..Goodluck this is Powerful,🙏🙏🙏Barikiwa sanah
Asante Baba.✍🏻👏🏻
Asante baba kwakila kitu kwenyemaisha yangu
Sina kya ku kulipa baba, Ila tu na sema ahsante🙏🏽
Nauludia tangu siku niujue unapiga asubuhi mchana jioni Mungu akubariki
Asante baba kwa mabaya kwa maana hukuruhusu yaniangamize.Asante kwa wabaya maana walinifunza kukutumainia.Mtetezi,mfariji,kibilio langu.
Wow! Uneguza maisha yangu baba. Asante
Tunaisubili mtumishi achiaaaaaaaaa
Hakika mungu hamtupi mjawake , Goodluck endelea kumtukuza bwana wetu asiye na wivu maana yeye pale mwanadam anaposema tuone mwisho wake yeye ndo kwanza anazidi kunyoosha mkono wake hakika mungu ni mwema daima
Asante Mungu Baba.Asante Goodluck kwa wimbo huu., barikiwa sana.
Seems I'll never love any creature in this World more than I love you,God decided long ago and coz I can't be capable of running away from him,the is nothing I can do than accepting to face the music....
Hii ya kufungia mwaka. GOD BLESS YOU BROTHER
Good song
Umeona Eee
L.
Naona umepata Likes 43 hapa kwa gudlak go go go gozbert...... Ishengoma the great
@@annastaziasanga2642 eee
Hujawahi kuniangusha, mungu akuinue kwa viwango vya juu sana uwe sababu ya wengi kulijua na kulitumaini jina la kristo🙏nakuona mwimbaji mkubwa sana ajae Africa mashariki na duniani kote.
Daah!! Nabarikiwa San kaka na uimbaji wako Mungu akuzidish baraka kwako
Mungua aendelee kukulinda kna kukubari, nyimbo zako zinabariki wengi sana
Barikiwa sana uzidi kutuhubiri kupitia nyimbo zako tunabarikiwa sana!
Siku sote unaniguza roho yangu na wimbo zko God bless you
Yani umeiachilia ukiwa Taita Taveta 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
huyoo Jamaa kenya 🇰🇪 anapendwa sanaa
I thank God for true worshipers atleast kunao mmoja anatuthibitishia kutumainia Mungu ni vyema
Kazi nzuri sanaa my brodah... Asante Yesu umelinda.. Asante Babaa oooo...
Asante Baba😭😭🙏🙏
wimbo mzuli sana brother🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Asante baba kwa neema yako,upendo mwingi Goodluck from team Kenya.
Kwa kweri mungu ashukuriwe,,,,, asante babaaaaa!!!!!
Asant Sana mungu kwa apa nilipo fikia na kunilinda pia miaka yote
Asante mungu wangu kwakila kitu 😢🤲🙏
Asante Yesu🙏🙏🙏🙏🙏
Namshkuru mungu kwa umbali huu aisee! sijui ningekua wapi mimi. Jesus i love you.
Wouw my priority msani
Una nipa tumaini yakusonga mbele na Imani, tunzwa na Mungu
Wimbo mzuri sana..glory to God 🎉
Mwimbo mzuri sana @GoodluckGozbert. Siku hizi nautumia kama mwimbo wa shukrani
Asante mtetezi wangu Mungu wangu🙏
Ubalikiwe sana kanyimbo hii nina isikia macozi tuu joo yananidodoka
Mungu azidikuku inuwa
Asante Kaka tumemaliza mwaka kw a yote ni kwa neema,glory to God Asante!!
czcams.com/video/_NS38h-8qsk/video.html.
😭😭😭 Asante baba🙏🙏
Asante Baba 🙏🏼
Asante baba kwer Sina chakukulipa ila Asante baba mfaliji
Ahsante baba kwa kuniwezesha kusikiliza wimbo huu
Waahhh a very nice song
Asante baba kwa kuniheshima 🙏🏽🥰
Huu Ujumbe Good... Umenifanya nipate Furaha Moyoni mwangu.
Asante kwa shuklani hiyo
Amen nina kushukuru Baba Mungu wangu
Nimebarikiwa sana asante na baba ooh!
Asante baba ooh!
Kazi nzuri bro daaah hakika kuna kila sababu ya kumwambia Mungu asante barikiwa kaka
Asante baba maana umegusa pote...asante Mtumishi
Aminaaaa only one goodluck gozbert
Asante kwa sala hii kwa ajili yangu .Mungu akubariki sana
"Asante asante haitoshi ila natafuta maneno yananikosa"
Tupate wapi la thamani ya kutosheleza ukuu wake jameni?
Salamu nyingi kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪. Nimependa kazi hii.