Goodluck Gozbert - Ulinipenda SKIZA 6985415 TO 811
Vložit
- čas přidán 11. 09. 2024
- Goodluck Gozbert presents "Ulinipenda" . A thanks giving song, a reminder of the Past Grace,Present Mercy of God and a better future in Christ Jesus.
Watch the Goodluck Gozbert Latest EP "Ushindi" EP: • Goodluck Gozbert - Kin...
Follow Goodluck Gozbert:
Instagram: / goodluckgozbert
Subscribe to CZcams Channel: / @gozbertministries
#ulinipenda #goodluckgozbert #Chibonge #Sikuwamunene
Dud thanks for this song. Ni kali video imeweza
Nilikuwa nimemiss sana kuskia injili nzuri kutoka kwako kakangu..Naipenda sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Fantastic music.
I'm listening from mwanza tz
Kutoka utoto hata utu uzima sijawai ona mwenye Haki ameachwa!!! Katika Jina La Yesu ni bandika bandua mpk tunyakuliwe! Aaamen.
hiyowimbo imenibariki❤
Mungu aendeleee kukupigannia
Mighty man of God be blessed ☺☺🙏🙏
#ananipenda 🙌😍
Ulinipenda❤❤❤❤❤😊
Waiting
Asante sana kwa hii song,inanibariki
Hallelujah
Very Nice Song Bro.! Yes, Abba Father loves you more than you will ever know and you have not seen anything yet. Wait til starting 2024, you will be amazed at what He's gonna do for you! Your ministry is going to another level in Jesus name. I still remember the day He gave you a Benz. We rejoice with you here in America!
Ubarikiwege Mtoto Wa Mamaa Kemmy
Wow
Kazi nzuri kaka
Nimebarikiwa
Hivi ndivyo wakati mwingine Mungu huwa anasema na sisi kuwa yeye ni mkuu kupitia viumbe vyake hiki ni kiumbe moja wapo Mungu huwa anajidhiilisha kupitia huyu bwana kwa kazi zake ❤️❤️👌 Gory to God.
Wow , amen
@@Chachkid amina kubwa❤️👌
Hongera sana ubarikiwe
Its more than anointing song
God blessed you broder!!
Barikiwa Sana
Much love from Thr Central city of Africa 🇰🇪 ❤
Brow unajua nakuombea sana na mungu atunze kilichoko ndani yako shetani asikinyakuwe
Amina sana
For whom we've become and all we have, we give gratitude to The Lord God Almighty. Ni mungu tu Havana mwingine sifa na shukrani kwake kwani alitupenda na bado anatupenda 🙌
Ulinipenda Bwana
My favourite song
God bless you ❤
blessings 🙌
Beautiful song
Awesome brother nilkuambia hii ni nomaa zid❤kupendwa na Baba
Nimekupenda wimbo 🎉🎉🎉❤❤❤🕺🕺💃💃💃👯👯👯♀️👯♂️💃💃🕺🙋🙋🙋
God bless you brother
Nimebarikiwa sana kwa wimbo huu kwel mungu anazidi kutupenda zaidi na zaidi
Barikiwa sana
Tulikumis sana
Try listening to this song early in the morning.. you'll find yourself crying for the wonderful things God has been doing in our lives,🙏🙏wacha Mungu aitwe mungu
Eymeeeeen
🙌🙌🙌saa kumi na moja alfajiri naskliliza hii nyimbo😭😭🙌 hujakosea kaka, naskia bubujiko la roho wa mtakatifu nikikumbuka Mungu alikonitoa😭😭🙏🙏Asante YESU🙏🙏🙏🙏
My brother
My Brother Nilimiss Sana .....Wewe Ni Muimbaji Wangu Pendwa Wa Mara Zote Keep Up My Brother Yesu Anatupenda Sana
Nimetaza picha zangu za kale na za sasa siendani mimi ni mpya nina nuru usomi yote kwaajiri ya ukuu wako mungu wa mbinguni asante.
Good work my friend🎉
Unajua sana kaka Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu, tunabarikiwa sana nawe pamoja na kazi zako, sisi ma underground singers tunajifunza mengi kwako especially mimi Beny Daniel...🙏🙌😍🎧
Barikiwa sana ndugu. Your ministration is uplifting ✨️
Njia za ben pol
Nice broo❤
🔥🔥🔥🔥
Mungu akubariki na azidi kukuongoza, wewe ni my husband Twin 😂😂 I mean you look alike ❤ the older version ❤
Goodluck nakupendaga bureeeeee
Km naww wampenda G.G like pale👉
All the Glory to God. He is always faithful
🎉🎉❤🔥🔥🔥
From🇧🇮
🙌🙌🙌🙌
Ulinipenda, unanipenda. God is Good 🙏🏾
Amen
Always on point Brother 🎉🎉🎉🎉 God is talking to places
🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Good luck Good
Kichogo kimepunguaa😂
nimetazama picha nimeona sikuwa mnene chibongee blessing
Be blessed kijana wng ••• nyimbo zako huwa Zina ni funza ku ngojeya muda wa bwana, MUNGU mkuu na a zidi kuku tumiya ••• Asante ••• 🇨🇩
finally it has been realized after long waiting,God bless you brother Goodluck
Good music from 🇹🇿
Asanteeee
upendo wake Ni was milele....
mungu akutunze.
Jaman 19:00❤
#GOZBERT MTUMISH UBARIKIWE SANA KIIILA SIKU HUWA NAAMKA NA HUU WIMBO ASEE UBARIKIWE SANA
Hakika u njia ya kutuongoza kuelekea ufalme unaimba daima nyimbo za uhakika
Hakika, I am a living miracle. mimi kua uhai kwanza ni a big miracle.
Wow what an amazing song Good luck if not for the love and the mercy of God even the little we have we wouldn't be having the way we are if not for him we wouldn't be the way we are to God be the glory 🙏🏾
Ni sawa tu uliamua kutulia huku,uzuri unatubariki bado,hili ni bonge la hit tu,what a blessing❤💯👌🔥🔥
Ulinipenda na unanipenda Zaidi. Thank you Lord
Hii nyimbo haipo kwa platform jama 😢😢😢😢
Nyimbo nzuli Lakin nimfupi goodluck God bless you
Wooow.. powerful song bro.. congratulations 👏🎉 God bless you
It's terrific amazing song ever Be blessed 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
MAMA: Hongera kisogo kimepungua😅😅😅
😅😅😅
Unanipendaa Yesu❤
God's love ❤ is newest everyday.. be blessed brother Goodluck🙏
🎉🎉🎉❤❤❤❤
Congratulations 🎉 the man of God 🙏🏾🙏🏾🕺🏽
Nabarikiwa sana kaka gozbert
Repeated 100 times,,,, you never disappoint us God bless you!,,,
Kisogo kimepotea!!
Ni muuijiza
Àise goodluck gozbert umenikumbusha maisha yångû😢
Imana Iguhe kuramba✊
Good song ❤
Nyimbo nzur sana bro 🔥🔥❤️
Kaka na furai
Amen
Hii ni kubwa sana kaka, hongera sana. Ulinipenda 👏
Nimekapenda wimbo❤🎉🎉
I'm from Uganda 🇺🇬 and some kiswahili words are hard for me to interpret but there is life in your music Mr.Gozbert,may GOD bless you
I will teach you
Mungu Azidi Kutupenda Zaidi Kazi Nzuri Hongera Sana.
🎉🎉🎉
Hakika mungu anatupeenda❤🎉
Nyimbo tyamu lkn fupi❤❤❤❤❤
Much love from uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 Twakupenda Gozbert
Wow
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hongera broo kwa kazi yako nzuri unanibariki sana be bless
Nyuki hapigwi busu
Mungu akutumie zaid ya ha po kaka gozbet
Best melody.... My favorite singer .... Asante 🇹🇿