SIKILIZA MAONI YA RAIA WA BARAKA KUUSU MABANGO YALIO WEKWA NA RAISI FÉLIX ANTOINE CHISEKEDI FATCHI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 36

  • @lovirinaa
    @lovirinaa Před 7 měsíci +2

    Vizuri sanaa

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o Před 7 měsíci +2

    Léo ndo Miradi !!!! Alikua wapi!??? Tufungue Macho tuache ujinga.

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o Před 7 měsíci +1

    Kama alituma, kwanini asiende kuchunguzwa!? Alikuja kutembea siku Moja hapo Fiz!?

  • @bayilungachico8533
    @bayilungachico8533 Před 6 měsíci

    Fatshi ata tengeneza Fizi tumu patiye wakati , vitu vita kuwa sawa kabisa

  • @ChockNUMBE-dx6tt
    @ChockNUMBE-dx6tt Před 6 měsíci

    Wanaotufanyia makosa ni watoto wetu niwezi sana tena sana pesa zakufanya kazi ziko zinatolewa ila vijana wetu nibisuma vyamaajabu natena mutawachaguwa kwakuwadanganya tu

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 Před 7 měsíci +1

    Izo Bango Ni propaganda achaguliwe tu.ila kiukweli Felix hato fanya chochote Baraka Kwanza Baraka Hai fahamu.

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel Před 7 měsíci +1

    Huyo rais wenu ni mwongo, hatofanya chochote hata apewe miaka 2000

  • @ISAKWanjalamushimwenda-db9xd

    Iyo nikweli kabisa afatilie projet zake bila vile abata tumika tena
    Byote nibyamuzuri

  • @gracenagracetoujours8476
    @gracenagracetoujours8476 Před 7 měsíci +1

    AKUNA TERRICTOIRE IKO NA JENGEWA,,, FELIX HANA BILAN YOYOTE HII MIAKA 5 YOTE,,, AKUNA DON YOYOTE ILE ANA BALETEYA,,, JUU KWANZA ABAJUWIIII

  • @AkuluIbrahim-np9vj
    @AkuluIbrahim-np9vj Před 7 měsíci

    Mimi naipenda. Congo

  • @neeskpop
    @neeskpop Před 7 měsíci

    Makosa mengine,ni wa Gouverneurs ndo weko wanakula pesa za miradhi mbali mbali.

  • @fapacMusic
    @fapacMusic Před 7 měsíci

    Nakufata Mia kwa Mia kaka Jay.

  • @Sakala-xy3bb
    @Sakala-xy3bb Před 7 měsíci +1

    Nalitumika miyaka kapi

  • @henriette99
    @henriette99 Před 7 měsíci

    Fatchi anaweza towa pesa maisBa Gouverneurs batakula tena ile monnaie

  • @salehmnwemasumaili1051
    @salehmnwemasumaili1051 Před 7 měsíci

    Wemtangazaji kwanini unashindwa kupigania haki,uyo walukichwa hanajipya

  • @henryking6070
    @henryking6070 Před 7 měsíci

    Sisi wabembe tutamchaguwa Fatshi béton maana ni mzalendo na sisi wote ni WAZALENDO

    • @lovirinaa
      @lovirinaa Před 7 měsíci

      Kweli

    • @gracenagracetoujours8476
      @gracenagracetoujours8476 Před 7 měsíci

      Weye mbembe uta mchanguwa, alikufanyia nini,,, sisi mpaka leo tuko nalipa pesa za masomo,,, ba bembe muache ujinga,,, baluba bali sema pouvoir ya Felix niya baluba,,, sasa uko nasema nini...

    • @EstaJeanette-nk7fj
      @EstaJeanette-nk7fj Před 6 měsíci

      ​@@gracenagracetoujours8476acha ukabila. Hata hao waluba nao wanateseka hivyo hivyo. Wanasiasa wanatumikisha luga kama hizo ili kutu danganya na kutu gombanisha.

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b Před 7 měsíci

    Ndugu zangu nchi yetu hilikua kwenye shida kubwa sn lakini Rais wetu ametutoa mbali sn mimi nilikua naomba tumpe tumpe nchi kwa muula wa pili ili tuone atakachofanya🙏

  • @ChockNUMBE-dx6tt
    @ChockNUMBE-dx6tt Před 6 měsíci

    Ata ahadi ya Kabila nyingi zilikuwa zinatoka shido vijana wetu niovyo ovyo sana awatumike ajili ya FIZI wanatumika ajili ile tunasema mukibembe nipatela tu

  • @user-dj6rr4lu4p
    @user-dj6rr4lu4p Před 6 měsíci

    Mu mchague katumbi akuna kitu apo

  • @rashidikindu5434
    @rashidikindu5434 Před 6 měsíci

    Mchunge muone.nikikindi cha uchaguzi

  • @gracenagracetoujours8476
    @gracenagracetoujours8476 Před 7 měsíci

    Mbandu yangu wabembe,, UYU FELIX IKO NA WADANGANYA NDUNGU ZANGU,,, MUTOKE MU DISTRACTION,,,, MUSI VOTE FELIX TAFAZALI,,, BA NDUNGU YANGU...HAFANYI KITU CHOCHOTEE BA NDUNGU

    • @EstaJeanette-nk7fj
      @EstaJeanette-nk7fj Před 6 měsíci

      Kunge kuwa na mwingine Bora. Tunge chaguwa mwingine. Lakini kwa sasa hakuna mwingine aliye Bora.

  • @henryking6070
    @henryking6070 Před 7 měsíci

    Acha ujinga usiongee usiyo yajuwa huyo rais ameitowa CONGO mbali wapumbavu ni ba gouverneur wetu ndo wanakula pesa zetu za maendeleo ya kwetu FIZI

    • @mauricemissi1390
      @mauricemissi1390 Před 7 měsíci

      Alitowa Congo mbali wapi ni nini ndo alifanya kweli nime amini sisi wacongomani ndo akili Atuna

    • @EstaJeanette-nk7fj
      @EstaJeanette-nk7fj Před 6 měsíci

      ​@@mauricemissi1390 rudi myaka sita hapo. Wacongo hawakuwa hata na ota kama fasi kama fizi Pana weza onekana hivi.

    • @mauricemissi1390
      @mauricemissi1390 Před 6 měsíci

      @@EstaJeanette-nk7fj kwani fizi kuna nini dah nyinyi ndo madui na wachawi wa Congo kweli

    • @EstaJeanette-nk7fj
      @EstaJeanette-nk7fj Před 6 měsíci

      @@mauricemissi1390 hakuna kitu kwa sasa hivi lakini ni Bora kuliko myaka ya hapo nyuma. Sasa wewe unge shauri tuchague na ni? Kunge kuwa mwingine Bora tungemchaguwa. Adui wa congo ni wa governor na viongozi wengine wanao kula pesa zenu. Pumbafu.

    • @mauricemissi1390
      @mauricemissi1390 Před 6 měsíci

      @@EstaJeanette-nk7fj tchisekedi pia adui hivi unajuwa watu wa ngapi wana kufa kila siku huku mashariki na yeye alisemaga akishindwa kuweka amani mashariki ya Congo Yani tuchukuwe ame failed na ndo hivi sasa kasha failed haja fanya chochote zaidi ya kusafiri na kula bata sana raisi shavu nene kama tako la mzee ana bowa sana Huyu jama ni bure mwengine achaguliwe tu

  • @gracenagracetoujours8476
    @gracenagracetoujours8476 Před 7 měsíci

    Kama muna hipenda Congo musi pime ku vote Felix, kuazia 5ans ali bafanyiya nini?? Peuple Congo tuta kuwa wajinga mpaka lini????