DR Congo should not discriminate against your people , M23 are Kinyarwanda speaking Congolese, with discrimination and tribalism DR Congo will never have peace and it will always fight loosing wars. First blame the colonists who demarcated boarders, if the DR Congo doesn't want to accept them as it's people ,it should chase them together with their land. It seems some people are just haters, jealous and against the rapid and success development taking place in Rwanda as a country.
Mimi ni Siméon SEMASAKA journaliste toka Kivu-kaskazini, na pendezwa sana kufata kipindi hiki. Ni vema sana kilamara kuandaa mazungumuzo kama nahauya. Hongera sana
Jameni mujifunze historia ya Great Lakes Region. Wakati Europeans wali partition Africa, Eastern DRC, Karagwe, Kisoro (Uganda)zilikua Rwanda fasi za Rwanda. Na watu wa Rwanda wakawa wa Congo tangu partition of Africa. Kama hamjuwi historia, musizungumuze mambo ambao hamfahamu
Habari ndugu zangu, watu wote dunia nzimma najuwa kwamba m23 ni wananch wa Congo sio wanyarwanda , wanao pigania haji Zao kwasababa ya kubaguriwa na serikar, wakiwaita wanyarwanda watusi, naomba watufafanulie zaidiAhsante sana.
Siku wa congoman watakapo tambuwa kwamba m23 ni wacongomani nduguzao ,wakaacha kuwabaguwa ,kuwauwa, kuwaita Wanyarwanda watutsi, siku hiyo Congo itapata Amani, M23 wanapigania hakizao ,inchi Yao sehemu walipo zaliwa Toka bubu n'a mababu Zao. Hovyo sio wavamizi, niwazelenda halisi wanao pigania haki dhidi ya serikari ya Congo inayo wabaguwa
Siku wa congoman watakapo tambuwa kwamba m23 ni wacongomani nduguzao ,wakaacha kuwabaguwa ,kuwauwa, kuwaita Wanyarwanda watutsi, siku hiyo Congo itapata Amani, M23 wanapigania hakizao ,inchi Yao sehemu walipo zaliwa Toka bubu n'a mababu Zao. Hovyo sio wavamizi, niwazelenda halisi wanao pigania haki dhidi ya serikari ya Congo inayo wabaguwa
Kwa kweli mada ni nzuri lakini jina maji maji siyo kwa wabembe tu lakini kwa wafuasi wote Pierrre Mulele kwenye territoires mbili ya Sud-kivu ( wabembe, wafiliru na wavira )siyo tu wabembe. Nitaongeza tu kama rébellion ilikawiya tu ndani ya terrirpire ya Fizi kwa ajili ya misitu yao.
Leo congo ikiamua kupiga rwanda ni sikuchache congo itamaliza vita atatukiamua rwanda tuyipige tunauwezo wakukamata rwanda. Lakini vita ya congo rais wetu aache uwoga atangaze vita na ashikamane na jeshilake awapemchaara mzuri na asiaribu pesa nyingi kuwapa wa bumge na wa ministre tuna choka nakuuwawa baba raïs kumbuka inchiyako nakila mkongomani atumikiye inchiyake. Mungu bariki congo yetu.
Nawasalimia watangazaji mimi niko kigali niko muzalendo kbs napendacongo saana kongo ni inchi yangu nilikimia ilinipokeya nikakuwasalama kwahiyo wale waripokuja kushamburiyakongo mi siwapende ata vyongozi vyarwanda niwabaya sana
Kweli mada ninzuri, lakini napinga maneno ya mwenzangu lakusema kwamba Joseph kabila nichannzo, kwanza tutambue kama joseph kabila ndio raïs mwenye alileta amani ndani ya congo na anapenda inchiyake tatizo nisisi wenyewe ndio tunapenda kuleta vurugondani ya inchiyetu Joseph kabila mungu akubariki.
The orogin of m23 was about of colonialism where the part of Rwanda was taken to congo and government of congo ignored them as congoles. Therefore these people are fighting for their right,cause now they are nolonger rwandaise after thousands of years in congo.
Nikutowa utawala wa kidekiteta Watawala watumikiye inshi waache kujipenda wakamate wa kongomani kuwa wa faida Walipe wafanya kazi mishahara Wakwanja mwalimu wa pili askali Watatu ni rahiya waine wafanya sheyasha
Ndugu yetu tim russia inasikitisha kuanzia uvira hadi fosre bendera kambi yakijeshi ipowapi tena .mshahara bunge nimkubwa mno tz jeshi wana marupurupu mengi saa kujengewa nyumba
Dawa ya kutokuendelea kuvamiwa kwa RDCongo, inastahili : 1. Kufukuza MONUSCO ; 2. Kuongezea mishahara kwa jeshi ; 3. Kuwa na idadi kubwa ya kijeshi hadi kiwango cha 30.000.000 kutokana na idadi ya raïa. 4. Kupunguza mushahara kwa wa Députés na wa Senateurs.
Ni ukweli kua mishara mikubwa kwa viongozi wa inchi si kitu kizuri hasahasa katika hiki kipindi ambacho inchi iko katika hari ya vita. Kuna vitu vikubwa vingine ambavyo hizo hera zingekua zinachungana na vyo kama njia ya kupambana vita kiakili kuliko kulipa mishahara mikubwa kwa wanainchi. Hera zibakie mabenkini zitoke inje kwa hari zinazo na maana ya kueleweka. Inchi wenyenayo hawapashwi kuipendi juu ya mishshara mikubwa. Wanapashwa kuipenda kutokana na esprit patriotique wanaopashwa kuwa nayo obligatoirement et d'une façon innée sans aucune autre raison à côté. En tant que wenye inchi wa kweli, viongozi wakubwa wanapashwa kuona kwamba hiyo michahara mikubwa itavuruga saana ushindi ambao munatafuta kupata kwa hio vita kubwa saana ambao muko munapambana.
Mtangazaji, Mtanzania convey this message to Rais Suluhu. Tell her to stop helping Tsisekedi to kill his own people. She has accepted to help a genocidal Government under tje umbrella of SADC, and its not proper for her. She shouldhave sat down together with the Government she's heading and found out why M23 are fighting
Nifuatiriya maongezi ya ujinga mutupu hamupendi mazungumuzo na M23 wara wanyarwanda kama gisi mume yibariki jina isiyo yawo m23 hayija ogopa mapambano hata sikumoja nahayijashindwa hatasikumoja muendeleye mutapata chamutemakuni tena mujitayarishe kuwa wakimbizi milele namilele
Mimi jean Paul Chivava APA kongo ( territoire de kongo hakika mada haya nimazuri kabisa Ila jina majimaji ,ni jina inapatikane katika Kabila yote Ila kila wamoja wana lengo mbalimbali .
If you're dont inow the truth, you're evading it. Those people have been there since the Partition if Africa, but were discrimnated against by the DRC Governments, saying they are Rwandese. Baba wa Taifa alisema, if tou say they should go back to where they belong, send tjem together with their land hecause they were there before they were partitioned and added to Congo
Mayi mayi imeanziya Bandundu na Pièrre Mulele,Kabasele ect,ect, na huyo Mama onema alikuwaka anawa chanza hiyo Dawa ya mayi mayi, sasa wa mayi mayi wakaishiya Ubembe.
Congo haina sapoti mbona inaeendelea kupigwa na kundi dogo la M23? Ka Rwanda kama unavyosema ukubwa sio muhimu, cha muhimu ni organisation. Hata mkiwa na sapoti ya dunia nzima bila organisation ya nchi yenu mtaendelea kuteswa . Shida ni viyongozi wabaya.
Ivi tangu Joseph kabila atoke madarakani kama yeye ndio ilikuwachanzo lawukosefu wa amani mbona mpakasasa amani ayipo inchinimwetu? Leo katika serekali ya congo Joseph kabila na chamachake akuna mbunge ata umoja ambaye anatumikaleo katika serekali ya congo lakini amani akuna! Je? Joseph Kabila kosalake apo iko wapi?
You want to convince people Masisi, Ruchuru, Mulenge, jomba came with Kabila? Kuna documentary Mwalimu Nyerere (Baba wa Taifa) may his sweet soul rest in peace, alizungmuza haya mambo vuzuli
Sisi tunateseka lakini serekali yetu ayitujali sisi rayiya inajali maslah yao, kwanini leo waministre wa bungue wanapokea pesa nyingi sana kisha mimi rayiya nakosa amani nakosa ataginsi yakutembia kwawukosefu wabarabara! Mfano leo sisi atuna ushirikiano na rwanda lakini serekali yetu bado inategemea njia yarwanda, frontière ya rwanda congo ina ingiza pesa nyingi je? Kama kweli serekali inapenda warayiya wake wanashindwa nanini kujenga barabara ya kutoka bukavu mpaka fizi? Kwakweli atujawa na baati ya kuwa na raïs mwenyekutumikia inchiyake ila wanasematu kwamaneni vitendo ndio tatizo.
Ndiyo, inabidi kupunguza saaaaàana mishahara ya wanabunge. Kwasababu nihiyo mishahara ndiyo inatumaliza. Sisi wakogomani kwanuniwa ma group-armee mbali-mbali. Sababu ni pesa mingi.. ambayo hâta wenyenazo hawanazo kazi..ndipo kila mwanabunge, zake zinauza ma bunduki nakutengeza vikundi-vyawaasi.
Sasa hiyo congo haina jeshi mpaka inaomba msada wakijeshi inje kweli eti mtapigana na Rwanda na Uganda tengeneza kwanza jeshi la inchi kakundi kadogo kama M23 kweli
Hawawezi. They are a dysfunctional Government. Just greedy for money. Why don't they sit on a round table and listen to the demands of their people? M23 are youth born in DRC. Why kill their parents and siblings? They've been there for ages
Just evading the truth. They are just presenting long reasons to justify the genocide they are carrying out. International Community, UN, EU where's the "Never Again" just on paper? Shame
Tanzania, you have really let down the late Mwalimu Nyerere ( May his soul RIP). Tanzania will never be the same. Mwalimu was just too good. He spoke the truth, challenged greedy leaders.
DR Congo should not discriminate against your people , M23 are Kinyarwanda speaking Congolese, with discrimination and tribalism DR Congo will never have peace and it will always fight loosing wars. First blame the colonists who demarcated boarders, if the DR Congo doesn't want to accept them as it's people ,it should chase them together with their land. It seems some people are just haters, jealous and against the rapid and success development taking place in Rwanda as a country.
Good evening people DRC na FARDC wazalendo mungu awe namweye niko zambian evans mumba evans ❤ your good day
Mimi ni Siméon SEMASAKA journaliste toka Kivu-kaskazini, na pendezwa sana kufata kipindi hiki. Ni vema sana kilamara kuandaa mazungumuzo kama nahauya. Hongera sana
Bravo me frère congolais, la leçon bien expliqué bien compris que Dieu té bénisse abondamment.
Mwenyezi Mungu aba lindehee kokoko wenu FAUSTIN KOFO.
Unasema kweli hasante sana
munasema kweli ndugu.
Mnaenda vizuri sana, asanteni
Jameni mujifunze historia ya Great Lakes Region.
Wakati Europeans wali partition Africa, Eastern DRC, Karagwe, Kisoro (Uganda)zilikua Rwanda fasi za Rwanda. Na watu wa Rwanda wakawa wa Congo tangu partition of Africa.
Kama hamjuwi historia, musizungumuze mambo ambao hamfahamu
Asante kabisa namipiani mu congo DRC ichiyetu inauwawana wasiasawacongole watusi wanajere wanasiasawoote wanasiasatu nikumalizawanajeshiwetu tu
Habari ndugu zangu, watu wote dunia nzimma najuwa kwamba m23 ni wananch wa Congo sio wanyarwanda , wanao pigania haji Zao kwasababa ya kubaguriwa na serikar, wakiwaita wanyarwanda watusi, naomba watufafanulie zaidiAhsante sana.
Sorry HAKI zao
Siku wa congoman watakapo tambuwa kwamba m23 ni wacongomani nduguzao ,wakaacha kuwabaguwa ,kuwauwa, kuwaita Wanyarwanda watutsi, siku hiyo Congo itapata Amani,
M23 wanapigania hakizao ,inchi Yao sehemu walipo zaliwa Toka bubu n'a mababu Zao. Hovyo sio wavamizi, niwazelenda halisi wanao pigania haki dhidi ya serikari ya Congo inayo wabaguwa
Siku wa congoman watakapo tambuwa kwamba m23 ni wacongomani nduguzao ,wakaacha kuwabaguwa ,kuwauwa, kuwaita Wanyarwanda watutsi, siku hiyo Congo itapata Amani,
M23 wanapigania hakizao ,inchi Yao sehemu walipo zaliwa Toka bubu n'a mababu Zao. Hovyo sio wavamizi, niwazelenda halisi wanao pigania haki dhidi ya serikari ya Congo inayo wabaguwa
Kwa kweli mada ni nzuri lakini jina maji maji siyo kwa wabembe tu lakini kwa wafuasi wote Pierrre Mulele kwenye territoires mbili ya Sud-kivu ( wabembe, wafiliru na wavira )siyo tu wabembe. Nitaongeza tu kama rébellion ilikawiya tu ndani ya terrirpire ya Fizi kwa ajili ya misitu yao.
❤ ni kweli gavana inabidi apunguze mshahara ya wanasiyasa.
Asante ndugu kwamafafanuzi lakini mujuwe kwamba wazungu ( nato) musiyisahau wanalengo yakugawanya congo
😂😂😂😂😂 Mbona mnaanza kubishana eti Watembo ni wamajimaji akuna kabila la Maï maï tofauti na Wabembe
Muasi sio waliotoka nje kuvamia nchi,bali Muasi ni mtu aliyeamua kujitenga na Serikali kwa lengo la kupindua Nchi
Mimi Ni munyarwanda Lakini M3 Ni nguvu za Uganda Rwanda iri waone mawe !
Jambo mutangazaji kwakweli ninawafaatasa kwakweli gouvernement ipunguze mishaara Ku wanabunge nawengine jeshi ipewemushaara munono nimimi espoir kangongo
Leo congo ikiamua kupiga rwanda ni sikuchache congo itamaliza vita atatukiamua rwanda tuyipige tunauwezo wakukamata rwanda. Lakini vita ya congo rais wetu aache uwoga atangaze vita na ashikamane na jeshilake awapemchaara mzuri na asiaribu pesa nyingi kuwapa wa bumge na wa ministre tuna choka nakuuwawa baba raïs kumbuka inchiyako nakila mkongomani atumikiye inchiyake. Mungu bariki congo yetu.
Nawasalimia watangazaji mimi niko kigali niko muzalendo kbs napendacongo saana kongo ni inchi yangu nilikimia ilinipokeya nikakuwasalama kwahiyo wale waripokuja kushamburiyakongo mi siwapende ata vyongozi vyarwanda niwabaya sana
Kweli mada ninzuri, lakini napinga maneno ya mwenzangu lakusema kwamba Joseph kabila nichannzo, kwanza tutambue kama joseph kabila ndio raïs mwenye alileta amani ndani ya congo na anapenda inchiyake tatizo nisisi wenyewe ndio tunapenda kuleta vurugondani ya inchiyetu Joseph kabila mungu akubariki.
The orogin of m23 was about of colonialism where the part of Rwanda was taken to congo and government of congo ignored them as congoles. Therefore these people are fighting for their right,cause now they are nolonger rwandaise after thousands of years in congo.
Hakuna tofauti ya uzalendo n'a mai mai, yaani mai mai = muzalendo🙏🙏🙏
Wazalendo ni UMOJA na UMOJA NI NGUVU, Tanzania tunaunga mkono wazalendo
Asante mimi nawafuata
Amen 🙏🏼🙌🏼 amen 🙌🏼🙏🏼👏🙏🏼🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏼🙌🏼imana ishimwe cane 😊😊😁😁
Mai mai ni wa politics wa Congo wanaweka juu ya faida yapekee
Jameni wazalendo mutakufa bule tu. Geukeni muhone siasa ya Congo
Kama munaanzia hisitolia 96 ni ufupi wa ujuzi sana.
Bisco Uredi et ninawafata tano kwa tano,
Nikutowa utawala wa kidekiteta
Watawala watumikiye inshi waache kujipenda wakamate wa kongomani kuwa wa faida
Walipe wafanya kazi mishahara
Wakwanja mwalimu wa pili askali
Watatu ni rahiya waine wafanya sheyasha
Sasa mbona wangine walipenda kuwapa pesa nyungu kama warundi nanapokeya 5000 $ tena wanapokezwa n'a Congo
I feel so had when I hear people telling lies or saying thing by ignorance
Joseph Kabila ni Mcongo ila kasoma Tanzania .
Vijana watakomboa Congo , Tanzania vijana ndiyo wapiganaji.
Hamja ogeya kuhusu monisco
Maimai kabla kabila mzee kuingi woo walikuweko masisi lengo nikufukuza munyarwanda
Très bien papa
Jina maji maji tz ilikuwepo songea maji maji kenya mau mau congo mai mai mana maji maji uzalendo nikujitolea uwananchi kama mgambo maana moja
Ndugu yetu tim russia inasikitisha kuanzia uvira hadi fosre bendera kambi yakijeshi ipowapi tena .mshahara bunge nimkubwa mno tz jeshi wana marupurupu mengi saa kujengewa nyumba
Hekima île wazee
Mimi ni Murundi mkumbuke inci zetu tumefungwa na Ulaya kutuletea sheria ya kutukatariya kununua bunduki za kisasa hata Ibrahim traoré aliema
Muliye ,muliye bata tapika wenu Faustin KOFO BU MUAMI APANA YABA NDATABAYI,MAMI MAMI,BA NTAMBUKA.BULONGO NI YETU.
Vita ya MAJI MAJI ilipiganwa Tanganyika(Tanzania) wakati wa ukoloni
Weeee hauko mzalendo hauna hata mashauri nahaujuw kuongeya kwahuuwakati sio wakati wakulauliyana mtotowanyumbani akikuta Jirani aj
Eti ninyi ni wazalendo kweri wara ninyi wacheza gem
J'aime
NA NGOLEYA WANA INDJI BULONGO YETU TUGOMBANILE INDYI YETU.
Kwanza Kisha analaumu nyuma
Wanyamulenge ni wakongo?
Mbele hapakuwa Nord Kivu ama sud Kivu laki mume achanisha kwa wakati uu
Kwaleo musitazamie tanzania
Je? Munazani tanzania ya wakati yakikwete ndiyo tanzania yawaamu hii yamama samia suluhu?
M23 ni watoto wa Congo who have suffered racial discrimnation
Mko gizani
Jambo mutangazaji kwakweli Kabila Kabila angali mucongo hakunakitukitaendeleya ichinimwetu nimimi espoir kangongo
Tanguzamani kivu yakasikazini kulikuwaka wamayimayi( majimaji )
Wazalunndù musema bien hautapinga adui mpaka haufunge funga mbele mpaka
Sasa mbona hamsemi sababu ya M23 nia yao?
Mimi ni Mrundi , swali langu kwanini baadhi ya maneo na miji iliyo kamatwa na M23 ya na majina ya Kinyarwanda , ilipangwa lini iyo majina😢
Ninyi wabembe hakili fupi mutakufa nahakili mbovu
M23 ni jeshi ra watusi wa kinyarwanda na Uganda
Dawa ya kutokuendelea kuvamiwa kwa RDCongo, inastahili :
1. Kufukuza MONUSCO ;
2. Kuongezea mishahara kwa jeshi ;
3. Kuwa na idadi kubwa ya kijeshi hadi kiwango cha 30.000.000 kutokana na idadi ya raïa.
4. Kupunguza mushahara kwa wa Députés na wa Senateurs.
Ni ukweli kua mishara mikubwa kwa viongozi wa inchi si kitu kizuri hasahasa katika hiki kipindi ambacho inchi iko katika hari ya vita. Kuna vitu vikubwa vingine ambavyo hizo hera zingekua zinachungana na vyo kama njia ya kupambana vita kiakili kuliko kulipa mishahara mikubwa kwa wanainchi. Hera zibakie mabenkini zitoke inje kwa hari zinazo na maana ya kueleweka. Inchi wenyenayo hawapashwi kuipendi juu ya mishshara mikubwa. Wanapashwa kuipenda kutokana na esprit patriotique wanaopashwa kuwa nayo obligatoirement et d'une façon innée sans aucune autre raison à côté. En tant que wenye inchi wa kweli, viongozi wakubwa wanapashwa kuona kwamba hiyo michahara mikubwa itavuruga saana ushindi ambao munatafuta kupata kwa hio vita kubwa saana ambao muko munapambana.
Mtangazaji, Mtanzania convey this message to Rais Suluhu.
Tell her to stop helping Tsisekedi to kill his own people. She has accepted to help a genocidal Government under tje umbrella of SADC, and its not proper for her.
She shouldhave sat down together with the Government she's heading and found out why M23 are fighting
majimaji umeanza Tangu indépendance, namukubwa wako ni Lumumba,juu yauhuru wainchi, ilasasa leo, imekua muchanganiko, nawale wasio chanjwa dawa, wameitwa wazalendo.
Nifuatiriya maongezi ya ujinga mutupu hamupendi mazungumuzo na
M23 wara wanyarwanda kama gisi mume yibariki jina isiyo yawo m23 hayija ogopa mapambano hata sikumoja nahayijashindwa hatasikumoja muendeleye mutapata chamutemakuni tena mujitayarishe kuwa wakimbizi milele namilele
Sasa m 23 wanataka serikali wakaa chini waongee rais wa kongo awatambue mambo yaishe
Mimi jean Paul Chivava APA kongo ( territoire de kongo hakika mada haya nimazuri kabisa Ila jina majimaji ,ni jina inapatikane katika Kabila yote Ila kila wamoja wana lengo mbalimbali .
If you're dont inow the truth, you're evading it.
Those people have been there since the Partition if Africa, but were discrimnated against by the DRC Governments, saying they are Rwandese. Baba wa Taifa alisema, if tou say they should go back to where they belong, send tjem together with their land hecause they were there before they were partitioned and added to Congo
Mnapiga domo sana kuzidi vitendo,ACHA Wawapige hamna akili ,izo ajenda zasiri nisiri tena nmnazijuwa?wakongo mnapenda penda pessa sana,
Mayi mayi imeanziya Bandundu na Pièrre Mulele,Kabasele ect,ect, na huyo Mama onema alikuwaka anawa chanza hiyo Dawa ya mayi mayi, sasa wa mayi mayi wakaishiya Ubembe.
Unaulizwa swali la m 23 unaleta mambo ya Kabila
Mbona yulewa kushoto hajui kujibu maawali? Anaulizwa swali lakini anaongea mambo yasio, mu swali. Uki ulizwa swali, jibu moja kwa moja. Sio maongezi.
Lakini siyo kuwa wacongomani wanakosa guvu Ila mujue ya kama siyo Rwanda peke yake ni muongano wa kimataifa ndiyo wana sapoti m23,siyo ka Rwanda.
Congo haina sapoti mbona inaeendelea kupigwa na kundi dogo la M23? Ka Rwanda kama unavyosema ukubwa sio muhimu, cha muhimu ni organisation. Hata mkiwa na sapoti ya dunia nzima bila organisation ya nchi yenu mtaendelea kuteswa . Shida ni viyongozi wabaya.
Ivi tangu Joseph kabila atoke madarakani kama yeye ndio ilikuwachanzo lawukosefu wa amani mbona mpakasasa amani ayipo inchinimwetu? Leo katika serekali ya congo Joseph kabila na chamachake akuna mbunge ata umoja ambaye anatumikaleo katika serekali ya congo lakini amani akuna! Je? Joseph Kabila kosalake apo iko wapi?
If you're not versed with the History of the Partition of Africa, please musidanganye watu
You want to convince people Masisi, Ruchuru, Mulenge, jomba came with Kabila?
Kuna documentary Mwalimu Nyerere (Baba wa Taifa) may his sweet soul rest in peace, alizungmuza haya mambo vuzuli
Tuwe na adabu. Baba mzima kupita kwenye runinga na kapitula si vyema kabisa
M23 wame letwa na ule muuwaji kagame na zile mabebero wakubwa wazungu
Mayimayi/Bazarendo/ mayimayi>> are gangs>> using banaichi nibayizi to>>batakufa kama wubwa >> and fellow is absolutely ignorant!!
Are you sure North and South Kivu were inhabited by Kinyarwanda speaking people?
Sisi tunateseka lakini serekali yetu ayitujali sisi rayiya inajali maslah yao, kwanini leo waministre wa bungue wanapokea pesa nyingi sana kisha mimi rayiya nakosa amani nakosa ataginsi yakutembia kwawukosefu wabarabara! Mfano leo sisi atuna ushirikiano na rwanda lakini serekali yetu bado inategemea njia yarwanda, frontière ya rwanda congo ina ingiza pesa nyingi je? Kama kweli serekali inapenda warayiya wake wanashindwa nanini kujenga barabara ya kutoka bukavu mpaka fizi? Kwakweli atujawa na baati ya kuwa na raïs mwenyekutumikia inchiyake ila wanasematu kwamaneni vitendo ndio tatizo.
Acha uchabiki
Ndiyo, inabidi kupunguza saaaaàana mishahara ya wanabunge. Kwasababu nihiyo mishahara ndiyo inatumaliza. Sisi wakogomani kwanuniwa ma group-armee mbali-mbali. Sababu ni pesa mingi.. ambayo hâta wenyenazo hawanazo kazi..ndipo kila mwanabunge, zake zinauza ma bunduki nakutengeza vikundi-vyawaasi.
Sasa hiyo congo haina jeshi mpaka inaomba msada wakijeshi inje kweli eti mtapigana na Rwanda na Uganda tengeneza kwanza jeshi la inchi kakundi kadogo kama M23 kweli
Hawawezi. They are a dysfunctional Government. Just greedy for money.
Why don't they sit on a round table and listen to the demands of their people? M23 are youth born in DRC. Why kill their parents and siblings? They've been there for ages
Wewe kapambane uokowe inchi yako.
Nani kawaleta au walitokea wapi ni fix tu.
Ndugu zenu mnawauwa kwa dhambi ya ubaguzi.
Wakongomani kweli hamna akili swali ni hili M23 ilitoka wapi ni akina nani.Mnasema mishahara ya Kabila na upumbavu wenu
Just evading the truth. They are just presenting long reasons to justify the genocide they are carrying out.
International Community, UN, EU where's the "Never Again" just on paper? Shame
Tanzania, you have really let down the late Mwalimu Nyerere ( May his soul RIP). Tanzania will never be the same. Mwalimu was just too good. He spoke the truth, challenged greedy leaders.
Uwo mutu wa a droite bwenye anasema ni kweli.
No no no
Maybe you didn't study the Colonial History please msitudanganye.
Mjadala ni mzuri sana… Ila kwa aliye vaa kaptula kwa taaluma ya habari amekosea sana.
Mada zuri ila musieshie kuongea km watu zoeya kuongea ndo tabia ya Wakongomani wanao sio kufanya
Muace roho mbaya mjuwe kama ku iyi duniya tunapita tu
Acha uchabiki
Mimi Ni munyarwanda Lakini M3 Ni nguvu za Uganda Rwanda iri waone mawe !
Ubwo se urabeshya nde? Nonese kiriya gice ntabwo cyahoze Ari uRwanda, hamwe na Gisoro ya Uganda? Niba urI umunyarwanda nawe nta makuru ufite
Ushobora kuba wirengagiza ukuri.
Nonese abavuga ikinyarwanda batuye za Masisi, Ruchuru, jomba, bagiyeyo gushaka amabuye?
Ntimukagoreke amateka kubera inda nini nurwango
Acha uchabiki