CHIMBUKO LA WAASI WA M23 | WA MAI MAI KUBADILI JINA KUITWA WAZALENDO | MGOGORO WA VITA CONGO

Sdílet
Vložit

Komentáře • 111

  • @emmanziza5133
    @emmanziza5133 Před 4 měsíci +3

    DR Congo should not discriminate against your people , M23 are Kinyarwanda speaking Congolese, with discrimination and tribalism DR Congo will never have peace and it will always fight loosing wars. First blame the colonists who demarcated boarders, if the DR Congo doesn't want to accept them as it's people ,it should chase them together with their land. It seems some people are just haters, jealous and against the rapid and success development taking place in Rwanda as a country.

  • @user-mq1jx5ll4m
    @user-mq1jx5ll4m Před 4 měsíci +5

    Good evening people DRC na FARDC wazalendo mungu awe namweye niko zambian evans mumba evans ❤ your good day

  • @semasakasimeon3032
    @semasakasimeon3032 Před 4 měsíci +2

    Mimi ni Siméon SEMASAKA journaliste toka Kivu-kaskazini, na pendezwa sana kufata kipindi hiki. Ni vema sana kilamara kuandaa mazungumuzo kama nahauya. Hongera sana

  • @alainkendi6041
    @alainkendi6041 Před 4 měsíci +1

    Bravo me frère congolais, la leçon bien expliqué bien compris que Dieu té bénisse abondamment.

  • @KofoMatalatala
    @KofoMatalatala Před 3 měsíci +1

    Mwenyezi Mungu aba lindehee kokoko wenu FAUSTIN KOFO.

  • @FaidaRuamuka
    @FaidaRuamuka Před 4 měsíci +2

    Unasema kweli hasante sana

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Před 4 měsíci +2

    munasema kweli ndugu.

  • @mvunge7108
    @mvunge7108 Před 4 měsíci +2

    Mnaenda vizuri sana, asanteni

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci +1

    Jameni mujifunze historia ya Great Lakes Region.
    Wakati Europeans wali partition Africa, Eastern DRC, Karagwe, Kisoro (Uganda)zilikua Rwanda fasi za Rwanda. Na watu wa Rwanda wakawa wa Congo tangu partition of Africa.
    Kama hamjuwi historia, musizungumuze mambo ambao hamfahamu

  • @user-yu3sz3os2g
    @user-yu3sz3os2g Před 4 měsíci +1

    Asante kabisa namipiani mu congo DRC ichiyetu inauwawana wasiasawacongole watusi wanajere wanasiasawoote wanasiasatu nikumalizawanajeshiwetu tu

  • @user-gs6dp1bo4r
    @user-gs6dp1bo4r Před 4 měsíci +1

    Habari ndugu zangu, watu wote dunia nzimma najuwa kwamba m23 ni wananch wa Congo sio wanyarwanda , wanao pigania haji Zao kwasababa ya kubaguriwa na serikar, wakiwaita wanyarwanda watusi, naomba watufafanulie zaidiAhsante sana.

    • @user-gs6dp1bo4r
      @user-gs6dp1bo4r Před 4 měsíci

      Sorry HAKI zao

    • @user-gs6dp1bo4r
      @user-gs6dp1bo4r Před 4 měsíci

      Siku wa congoman watakapo tambuwa kwamba m23 ni wacongomani nduguzao ,wakaacha kuwabaguwa ,kuwauwa, kuwaita Wanyarwanda watutsi, siku hiyo Congo itapata Amani,
      M23 wanapigania hakizao ,inchi Yao sehemu walipo zaliwa Toka bubu n'a mababu Zao. Hovyo sio wavamizi, niwazelenda halisi wanao pigania haki dhidi ya serikari ya Congo inayo wabaguwa

    • @user-gs6dp1bo4r
      @user-gs6dp1bo4r Před 4 měsíci

      Siku wa congoman watakapo tambuwa kwamba m23 ni wacongomani nduguzao ,wakaacha kuwabaguwa ,kuwauwa, kuwaita Wanyarwanda watutsi, siku hiyo Congo itapata Amani,
      M23 wanapigania hakizao ,inchi Yao sehemu walipo zaliwa Toka bubu n'a mababu Zao. Hovyo sio wavamizi, niwazelenda halisi wanao pigania haki dhidi ya serikari ya Congo inayo wabaguwa

  • @SleepyIceSkate-gz4vd
    @SleepyIceSkate-gz4vd Před 4 měsíci +2

    Kwa kweli mada ni nzuri lakini jina maji maji siyo kwa wabembe tu lakini kwa wafuasi wote Pierrre Mulele kwenye territoires mbili ya Sud-kivu ( wabembe, wafiliru na wavira )siyo tu wabembe. Nitaongeza tu kama rébellion ilikawiya tu ndani ya terrirpire ya Fizi kwa ajili ya misitu yao.

  • @DavidButemboSantos-we2zp
    @DavidButemboSantos-we2zp Před 4 měsíci +1

    ❤ ni kweli gavana inabidi apunguze mshahara ya wanasiyasa.

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44 Před 4 měsíci +1

    Asante ndugu kwamafafanuzi lakini mujuwe kwamba wazungu ( nato) musiyisahau wanalengo yakugawanya congo

  • @anzurunialexis6954
    @anzurunialexis6954 Před 4 měsíci +2

    😂😂😂😂😂 Mbona mnaanza kubishana eti Watembo ni wamajimaji akuna kabila la Maï maï tofauti na Wabembe

  • @user-jr6vq6rw3c
    @user-jr6vq6rw3c Před 4 měsíci +2

    Muasi sio waliotoka nje kuvamia nchi,bali Muasi ni mtu aliyeamua kujitenga na Serikali kwa lengo la kupindua Nchi

  • @BaziyakaJ.Baptiste
    @BaziyakaJ.Baptiste Před 4 měsíci +1

    Mimi Ni munyarwanda Lakini M3 Ni nguvu za Uganda Rwanda iri waone mawe !

  • @EspoirMATABARO-yr3ov
    @EspoirMATABARO-yr3ov Před 4 měsíci +2

    Jambo mutangazaji kwakweli ninawafaatasa kwakweli gouvernement ipunguze mishaara Ku wanabunge nawengine jeshi ipewemushaara munono nimimi espoir kangongo

  • @user-to3te5ri7e
    @user-to3te5ri7e Před 3 měsíci +1

    Leo congo ikiamua kupiga rwanda ni sikuchache congo itamaliza vita atatukiamua rwanda tuyipige tunauwezo wakukamata rwanda. Lakini vita ya congo rais wetu aache uwoga atangaze vita na ashikamane na jeshilake awapemchaara mzuri na asiaribu pesa nyingi kuwapa wa bumge na wa ministre tuna choka nakuuwawa baba raïs kumbuka inchiyako nakila mkongomani atumikiye inchiyake. Mungu bariki congo yetu.

  • @imananiyonkuru9694
    @imananiyonkuru9694 Před 4 měsíci +1

    Nawasalimia watangazaji mimi niko kigali niko muzalendo kbs napendacongo saana kongo ni inchi yangu nilikimia ilinipokeya nikakuwasalama kwahiyo wale waripokuja kushamburiyakongo mi siwapende ata vyongozi vyarwanda niwabaya sana

  • @user-to3te5ri7e
    @user-to3te5ri7e Před 3 měsíci +1

    Kweli mada ninzuri, lakini napinga maneno ya mwenzangu lakusema kwamba Joseph kabila nichannzo, kwanza tutambue kama joseph kabila ndio raïs mwenye alileta amani ndani ya congo na anapenda inchiyake tatizo nisisi wenyewe ndio tunapenda kuleta vurugondani ya inchiyetu Joseph kabila mungu akubariki.

  • @scoviamusoni4353
    @scoviamusoni4353 Před 3 měsíci +1

    The orogin of m23 was about of colonialism where the part of Rwanda was taken to congo and government of congo ignored them as congoles. Therefore these people are fighting for their right,cause now they are nolonger rwandaise after thousands of years in congo.

  • @jeansimbi277
    @jeansimbi277 Před 4 měsíci +2

    Hakuna tofauti ya uzalendo n'a mai mai, yaani mai mai = muzalendo🙏🙏🙏

  • @United-Bantu-People
    @United-Bantu-People Před 4 měsíci +2

    Wazalendo ni UMOJA na UMOJA NI NGUVU, Tanzania tunaunga mkono wazalendo

  • @mwishajackson2694
    @mwishajackson2694 Před 4 měsíci +1

    Asante mimi nawafuata

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 Před 4 měsíci +2

    Amen 🙏🏼🙌🏼 amen 🙌🏼🙏🏼👏🙏🏼🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏼🙌🏼imana ishimwe cane 😊😊😁😁

  • @muziranengerakiri9693
    @muziranengerakiri9693 Před 3 měsíci +1

    Mai mai ni wa politics wa Congo wanaweka juu ya faida yapekee
    Jameni wazalendo mutakufa bule tu. Geukeni muhone siasa ya Congo

  • @user-yc4ui2kn8c
    @user-yc4ui2kn8c Před 4 měsíci +2

    Kama munaanzia hisitolia 96 ni ufupi wa ujuzi sana.

  • @BitangaorediBisco
    @BitangaorediBisco Před 4 měsíci +2

    Bisco Uredi et ninawafata tano kwa tano,

  • @user-oe1zc3vl3w
    @user-oe1zc3vl3w Před 4 měsíci +1

    Nikutowa utawala wa kidekiteta
    Watawala watumikiye inshi waache kujipenda wakamate wa kongomani kuwa wa faida
    Walipe wafanya kazi mishahara
    Wakwanja mwalimu wa pili askali
    Watatu ni rahiya waine wafanya sheyasha

  • @user-py5co2qr9o
    @user-py5co2qr9o Před 4 měsíci +1

    Sasa mbona wangine walipenda kuwapa pesa nyungu kama warundi nanapokeya 5000 $ tena wanapokezwa n'a Congo

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci +1

    I feel so had when I hear people telling lies or saying thing by ignorance

  • @user-jr6vq6rw3c
    @user-jr6vq6rw3c Před 4 měsíci +1

    Joseph Kabila ni Mcongo ila kasoma Tanzania .

  • @StevenKomba-rz7bm
    @StevenKomba-rz7bm Před 4 měsíci +1

    Vijana watakomboa Congo , Tanzania vijana ndiyo wapiganaji.

  • @kanefunabukye7193
    @kanefunabukye7193 Před 4 měsíci +1

    Hamja ogeya kuhusu monisco

  • @user-xh8ir5ln3x
    @user-xh8ir5ln3x Před 4 měsíci +1

    Maimai kabla kabila mzee kuingi woo walikuweko masisi lengo nikufukuza munyarwanda

  • @Eritier6-zc5qq
    @Eritier6-zc5qq Před 4 měsíci +1

    Très bien papa

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y Před 4 měsíci +1

    Jina maji maji tz ilikuwepo songea maji maji kenya mau mau congo mai mai mana maji maji uzalendo nikujitolea uwananchi kama mgambo maana moja

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y Před 4 měsíci +1

    Ndugu yetu tim russia inasikitisha kuanzia uvira hadi fosre bendera kambi yakijeshi ipowapi tena .mshahara bunge nimkubwa mno tz jeshi wana marupurupu mengi saa kujengewa nyumba

  • @Eritier6-zc5qq
    @Eritier6-zc5qq Před 4 měsíci +2

    Hekima île wazee

  • @joachimzeddy8834
    @joachimzeddy8834 Před 4 měsíci +1

    Mimi ni Murundi mkumbuke inci zetu tumefungwa na Ulaya kutuletea sheria ya kutukatariya kununua bunduki za kisasa hata Ibrahim traoré aliema

  • @KofoMatalatala
    @KofoMatalatala Před 3 měsíci +1

    Muliye ,muliye bata tapika wenu Faustin KOFO BU MUAMI APANA YABA NDATABAYI,MAMI MAMI,BA NTAMBUKA.BULONGO NI YETU.

  • @United-Bantu-People
    @United-Bantu-People Před 4 měsíci +1

    Vita ya MAJI MAJI ilipiganwa Tanganyika(Tanzania) wakati wa ukoloni

  • @DestinNondo-ge1ll
    @DestinNondo-ge1ll Před 4 měsíci +1

    Weeee hauko mzalendo hauna hata mashauri nahaujuw kuongeya kwahuuwakati sio wakati wakulauliyana mtotowanyumbani akikuta Jirani aj

  • @mwishajackson2694
    @mwishajackson2694 Před 4 měsíci +1

    Eti ninyi ni wazalendo kweri wara ninyi wacheza gem

  • @FaidaRuamuka
    @FaidaRuamuka Před 4 měsíci +1

    J'aime

  • @KofoMatalatala
    @KofoMatalatala Před 3 měsíci +1

    NA NGOLEYA WANA INDJI BULONGO YETU TUGOMBANILE INDYI YETU.

  • @DestinNondo-ge1ll
    @DestinNondo-ge1ll Před 4 měsíci +1

    Kwanza Kisha analaumu nyuma

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Před 4 měsíci +1

    Wanyamulenge ni wakongo?

  • @user-nj8in6qp7l
    @user-nj8in6qp7l Před 4 měsíci +1

    Mbele hapakuwa Nord Kivu ama sud Kivu laki mume achanisha kwa wakati uu

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44 Před 4 měsíci +1

    Kwaleo musitazamie tanzania

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44 Před 4 měsíci +1

    Je? Munazani tanzania ya wakati yakikwete ndiyo tanzania yawaamu hii yamama samia suluhu?

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci +1

    M23 ni watoto wa Congo who have suffered racial discrimnation

  • @2004sc
    @2004sc Před 4 měsíci +2

    Mko gizani

  • @EspoirMATABARO-yr3ov
    @EspoirMATABARO-yr3ov Před 4 měsíci +1

    Jambo mutangazaji kwakweli Kabila Kabila angali mucongo hakunakitukitaendeleya ichinimwetu nimimi espoir kangongo

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44 Před 4 měsíci +1

    Tanguzamani kivu yakasikazini kulikuwaka wamayimayi( majimaji )

  • @kambaleeugene1684
    @kambaleeugene1684 Před 4 měsíci +1

    Wazalunndù musema bien hautapinga adui mpaka haufunge funga mbele mpaka

  • @bwikizobilly5220
    @bwikizobilly5220 Před 4 měsíci +1

    Sasa mbona hamsemi sababu ya M23 nia yao?

  • @beejay7354
    @beejay7354 Před 3 měsíci

    Mimi ni Mrundi , swali langu kwanini baadhi ya maneo na miji iliyo kamatwa na M23 ya na majina ya Kinyarwanda , ilipangwa lini iyo majina😢

  • @prospermusafiri6720
    @prospermusafiri6720 Před 4 měsíci +1

    Ninyi wabembe hakili fupi mutakufa nahakili mbovu

  • @user-oe1zc3vl3w
    @user-oe1zc3vl3w Před 4 měsíci +1

    M23 ni jeshi ra watusi wa kinyarwanda na Uganda

  • @user-pe7ug3iy8c
    @user-pe7ug3iy8c Před 4 měsíci

    Dawa ya kutokuendelea kuvamiwa kwa RDCongo, inastahili :
    1. Kufukuza MONUSCO ;
    2. Kuongezea mishahara kwa jeshi ;
    3. Kuwa na idadi kubwa ya kijeshi hadi kiwango cha 30.000.000 kutokana na idadi ya raïa.
    4. Kupunguza mushahara kwa wa Députés na wa Senateurs.

  • @user-ey2nx5zg6y
    @user-ey2nx5zg6y Před 4 měsíci

    Ni ukweli kua mishara mikubwa kwa viongozi wa inchi si kitu kizuri hasahasa katika hiki kipindi ambacho inchi iko katika hari ya vita. Kuna vitu vikubwa vingine ambavyo hizo hera zingekua zinachungana na vyo kama njia ya kupambana vita kiakili kuliko kulipa mishahara mikubwa kwa wanainchi. Hera zibakie mabenkini zitoke inje kwa hari zinazo na maana ya kueleweka. Inchi wenyenayo hawapashwi kuipendi juu ya mishshara mikubwa. Wanapashwa kuipenda kutokana na esprit patriotique wanaopashwa kuwa nayo obligatoirement et d'une façon innée sans aucune autre raison à côté. En tant que wenye inchi wa kweli, viongozi wakubwa wanapashwa kuona kwamba hiyo michahara mikubwa itavuruga saana ushindi ambao munatafuta kupata kwa hio vita kubwa saana ambao muko munapambana.

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci

    Mtangazaji, Mtanzania convey this message to Rais Suluhu.
    Tell her to stop helping Tsisekedi to kill his own people. She has accepted to help a genocidal Government under tje umbrella of SADC, and its not proper for her.
    She shouldhave sat down together with the Government she's heading and found out why M23 are fighting

  • @user-pn4ks1si8p
    @user-pn4ks1si8p Před 4 měsíci

    majimaji umeanza Tangu indépendance, namukubwa wako ni Lumumba,juu yauhuru wainchi, ilasasa leo, imekua muchanganiko, nawale wasio chanjwa dawa, wameitwa wazalendo.

  • @user-jt3yp1kt1w
    @user-jt3yp1kt1w Před 3 měsíci

    Nifuatiriya maongezi ya ujinga mutupu hamupendi mazungumuzo na
    M23 wara wanyarwanda kama gisi mume yibariki jina isiyo yawo m23 hayija ogopa mapambano hata sikumoja nahayijashindwa hatasikumoja muendeleye mutapata chamutemakuni tena mujitayarishe kuwa wakimbizi milele namilele

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Před 4 měsíci

    Sasa m 23 wanataka serikali wakaa chini waongee rais wa kongo awatambue mambo yaishe

  • @user-jx9bb6wo6z
    @user-jx9bb6wo6z Před 4 měsíci

    Mimi jean Paul Chivava APA kongo ( territoire de kongo hakika mada haya nimazuri kabisa Ila jina majimaji ,ni jina inapatikane katika Kabila yote Ila kila wamoja wana lengo mbalimbali .

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci

    If you're dont inow the truth, you're evading it.
    Those people have been there since the Partition if Africa, but were discrimnated against by the DRC Governments, saying they are Rwandese. Baba wa Taifa alisema, if tou say they should go back to where they belong, send tjem together with their land hecause they were there before they were partitioned and added to Congo

  • @77r34
    @77r34 Před 3 měsíci

    Mnapiga domo sana kuzidi vitendo,ACHA Wawapige hamna akili ,izo ajenda zasiri nisiri tena nmnazijuwa?wakongo mnapenda penda pessa sana,

  • @andrekandeke2774
    @andrekandeke2774 Před 4 měsíci

    Mayi mayi imeanziya Bandundu na Pièrre Mulele,Kabasele ect,ect, na huyo Mama onema alikuwaka anawa chanza hiyo Dawa ya mayi mayi, sasa wa mayi mayi wakaishiya Ubembe.

  • @user-pz2kc3kw3e
    @user-pz2kc3kw3e Před 4 měsíci

    Unaulizwa swali la m 23 unaleta mambo ya Kabila

  • @njalengajerome7959
    @njalengajerome7959 Před 4 měsíci

    Mbona yulewa kushoto hajui kujibu maawali? Anaulizwa swali lakini anaongea mambo yasio, mu swali. Uki ulizwa swali, jibu moja kwa moja. Sio maongezi.

  • @jobkasereka4
    @jobkasereka4 Před 4 měsíci

    Lakini siyo kuwa wacongomani wanakosa guvu Ila mujue ya kama siyo Rwanda peke yake ni muongano wa kimataifa ndiyo wana sapoti m23,siyo ka Rwanda.

    • @mauriciomauro1095
      @mauriciomauro1095 Před 4 měsíci

      Congo haina sapoti mbona inaeendelea kupigwa na kundi dogo la M23? Ka Rwanda kama unavyosema ukubwa sio muhimu, cha muhimu ni organisation. Hata mkiwa na sapoti ya dunia nzima bila organisation ya nchi yenu mtaendelea kuteswa . Shida ni viyongozi wabaya.

  • @user-to3te5ri7e
    @user-to3te5ri7e Před 3 měsíci

    Ivi tangu Joseph kabila atoke madarakani kama yeye ndio ilikuwachanzo lawukosefu wa amani mbona mpakasasa amani ayipo inchinimwetu? Leo katika serekali ya congo Joseph kabila na chamachake akuna mbunge ata umoja ambaye anatumikaleo katika serekali ya congo lakini amani akuna! Je? Joseph Kabila kosalake apo iko wapi?

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci

    If you're not versed with the History of the Partition of Africa, please musidanganye watu

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci

    You want to convince people Masisi, Ruchuru, Mulenge, jomba came with Kabila?
    Kuna documentary Mwalimu Nyerere (Baba wa Taifa) may his sweet soul rest in peace, alizungmuza haya mambo vuzuli

  • @MoiseBalinda
    @MoiseBalinda Před 4 měsíci

    Tuwe na adabu. Baba mzima kupita kwenye runinga na kapitula si vyema kabisa

  • @chirhuzachishahira679
    @chirhuzachishahira679 Před 4 měsíci

    M23 wame letwa na ule muuwaji kagame na zile mabebero wakubwa wazungu

  • @franciskarangwa6554
    @franciskarangwa6554 Před 3 měsíci

    Mayimayi/Bazarendo/ mayimayi>> are gangs>> using banaichi nibayizi to>>batakufa kama wubwa >> and fellow is absolutely ignorant!!

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci

    Are you sure North and South Kivu were inhabited by Kinyarwanda speaking people?

  • @user-to3te5ri7e
    @user-to3te5ri7e Před 3 měsíci

    Sisi tunateseka lakini serekali yetu ayitujali sisi rayiya inajali maslah yao, kwanini leo waministre wa bungue wanapokea pesa nyingi sana kisha mimi rayiya nakosa amani nakosa ataginsi yakutembia kwawukosefu wabarabara! Mfano leo sisi atuna ushirikiano na rwanda lakini serekali yetu bado inategemea njia yarwanda, frontière ya rwanda congo ina ingiza pesa nyingi je? Kama kweli serekali inapenda warayiya wake wanashindwa nanini kujenga barabara ya kutoka bukavu mpaka fizi? Kwakweli atujawa na baati ya kuwa na raïs mwenyekutumikia inchiyake ila wanasematu kwamaneni vitendo ndio tatizo.

  • @user-pz2kc3kw3e
    @user-pz2kc3kw3e Před 4 měsíci +1

    Acha uchabiki

    • @AimerLwanzo
      @AimerLwanzo Před 4 měsíci

      Ndiyo, inabidi kupunguza saaaaàana mishahara ya wanabunge. Kwasababu nihiyo mishahara ndiyo inatumaliza. Sisi wakogomani kwanuniwa ma group-armee mbali-mbali. Sababu ni pesa mingi.. ambayo hâta wenyenazo hawanazo kazi..ndipo kila mwanabunge, zake zinauza ma bunduki nakutengeza vikundi-vyawaasi.

  • @user-hd2tv1nd5e
    @user-hd2tv1nd5e Před 4 měsíci

    Sasa hiyo congo haina jeshi mpaka inaomba msada wakijeshi inje kweli eti mtapigana na Rwanda na Uganda tengeneza kwanza jeshi la inchi kakundi kadogo kama M23 kweli

    • @dorothynyakato
      @dorothynyakato Před 4 měsíci

      Hawawezi. They are a dysfunctional Government. Just greedy for money.
      Why don't they sit on a round table and listen to the demands of their people? M23 are youth born in DRC. Why kill their parents and siblings? They've been there for ages

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před 4 měsíci

    Wewe kapambane uokowe inchi yako.
    Nani kawaleta au walitokea wapi ni fix tu.
    Ndugu zenu mnawauwa kwa dhambi ya ubaguzi.

  • @ruzazadany9633
    @ruzazadany9633 Před 4 měsíci

    Wakongomani kweli hamna akili swali ni hili M23 ilitoka wapi ni akina nani.Mnasema mishahara ya Kabila na upumbavu wenu

    • @dorothynyakato
      @dorothynyakato Před 4 měsíci

      Just evading the truth. They are just presenting long reasons to justify the genocide they are carrying out.
      International Community, UN, EU where's the "Never Again" just on paper? Shame

    • @dorothynyakato
      @dorothynyakato Před 4 měsíci

      Tanzania, you have really let down the late Mwalimu Nyerere ( May his soul RIP). Tanzania will never be the same. Mwalimu was just too good. He spoke the truth, challenged greedy leaders.

  • @rudasongegwa7187
    @rudasongegwa7187 Před 4 měsíci

    Uwo mutu wa a droite bwenye anasema ni kweli.

  • @dorothynyakato
    @dorothynyakato Před 4 měsíci

    No no no
    Maybe you didn't study the Colonial History please msitudanganye.

  • @devganchusac5153
    @devganchusac5153 Před 4 měsíci

    Mjadala ni mzuri sana… Ila kwa aliye vaa kaptula kwa taaluma ya habari amekosea sana.

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 Před 4 měsíci

    Mada zuri ila musieshie kuongea km watu zoeya kuongea ndo tabia ya Wakongomani wanao sio kufanya

  • @eliasnikobiba3104
    @eliasnikobiba3104 Před 4 měsíci

    Muace roho mbaya mjuwe kama ku iyi duniya tunapita tu

  • @user-pz2kc3kw3e
    @user-pz2kc3kw3e Před 4 měsíci

    Acha uchabiki

  • @BaziyakaJ.Baptiste
    @BaziyakaJ.Baptiste Před 4 měsíci

    Mimi Ni munyarwanda Lakini M3 Ni nguvu za Uganda Rwanda iri waone mawe !

    • @dorothynyakato
      @dorothynyakato Před 4 měsíci

      Ubwo se urabeshya nde? Nonese kiriya gice ntabwo cyahoze Ari uRwanda, hamwe na Gisoro ya Uganda? Niba urI umunyarwanda nawe nta makuru ufite

    • @dorothynyakato
      @dorothynyakato Před 4 měsíci

      Ushobora kuba wirengagiza ukuri.
      Nonese abavuga ikinyarwanda batuye za Masisi, Ruchuru, jomba, bagiyeyo gushaka amabuye?
      Ntimukagoreke amateka kubera inda nini nurwango

  • @user-pz2kc3kw3e
    @user-pz2kc3kw3e Před 4 měsíci

    Acha uchabiki