Pole sana father hili nalo litapita, binadam kazi yao kuongea, Mtazame Mungu ukitazama maneno ya watu utazidi kuumia huu ni mtihani wako, Jipe moyo na Mungu ashuhulike na walio husika kudhulumu haki ya Kijana.
@@judithkirenga9977 mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Mzee yupo sahihi kuwa dogo hajawaji jihusisha lkn sasa fikiria Umekutwa na boxer yakijeshi , umejificha ndani afu umevaa bullet proof. Nduguzangu waafrica tusitumiwe vibaya na hayo mataifa. Tusizungukwe inauma inauma inauma sanna jaman kupoteza mtoto au ndugu.
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Mungu akusimamie Baba. Wazazi nmepoteza kijana wenu. Ni ngumu sana ktk maisha kujua wazazi wanachopitia. Ila kwakuwa Mungu ni mwaminifu atawapa majibu yaliyo sahihi juu ya kijana wenu.
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Duh! Hili jambo linafikirisha sana. Yaani mtu unafanya mafunzo ya vitendo kwenye eneo lisilo na usalama!! Kwa nn serikali isiwarudishe hao wanafunzi waliobaki? Kwa nn wazazi wa wanafunzi waliobaki hawaiombi serikari iwarejeshe nyumbani? Usalama kwanza elimu baadaye.
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Ni kweli una uchungu wakumpoteza mpendwa wako kijana wako lakini usiwaite Maharamia kwani hawajavamia nchi yako wapo kwenye nchi yako nawanapambana kutetea Ardhi yao
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Anashindwa kueleza ukweli kua Mwanae alijiunga namajeshi ya kukodi maana skuizi yamekua ndio kimbilio lakujikwamua kimaisha hususani kwa sisi ambao maisha kidogo ni magumu kwa namna fulani
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Usiwaite maharamia ni wapigania uhuru wa nchi Yao ulioporwa na wazayuni ambao wameiwatesa kwa mda wa miaka 75 kwa maonevu ya Hali ya kutisha pole Kwa kufiwa vita Haina macho
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Usikute ajafa ila usuwaite maharamia ila wadai ardhi yao ata wao waisrael uwauwa kama aongei lugha yao mpaka makanisa waliwaua famili ya watu watatu tena kanisani walipishana lugha waliwauwa wanasema waliwauwa kimakosa sasa myahudi ana roho mbaya tunasubir Inshaallah arudi ndugu yetu akiwa salama
@@NgengeMkeni-uo5hqacha matusi Palestine hawaishi waislamu peke yao na wakiristo pia wapo mpaka makanisa yapo pia na Israel awachagui pa kupiga wanapinga mpaka makanisa na wanawauwa mpaka wakiristo wenzenu. Fatilia utajuwa
Ww umenda kudanganywa na waezrail, asa Rais Samia azungumze kuhusu nn na uturuki, yan umenda kuchanganywa uko ujui ata mzee unaongea point gani..but pole kwa msiba
pole sana mzee umempoteza kijana mdogo sana ila katka maelezo apo kambi ilkua na wanajeshj wa 5 wameuwawa kwahiy jamaaa atakua mjeshi nae maana hakuna wanafunzi wanaokaa kambini
Hao siyo maharamia sawa baba hao wanataka ardhi Yao iliyoorwa kimabavu na Waisrail kwa muda mrefu zaidi ya miaka 75 wananyanyaswa kwahiyo wanahaki ya kupambania haki Yao
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
MUNGU WA MBINGUNI ANASEMA LIA NAO WANAOLIA CHEKA NAO WANAOCHEKA BABA,KANISA LA NEW CHEMCHEM CHURCH LILILOKO ILKIUREI KATA YA KIRANYI BARABARA YA WHITE ROZI LINAKUPA POLE NYINGI SANA MUNGU ATAFUTILIA DAMU YA MWENETU AMEN AMEN AMEN,
pole sana mzee ila nlicho kiona mm jeshua bukta alio vaa yenye mfano wakijeshi ndio ilio mponza apa ndio unagundua kama jwtz walipo toa kauli ya kupiga marufuku kuvaa nguo inayo fanania na vazi lajeshi sahii kwa kuepuka hatari kama hizi
Hakuna aliezisha kwa maelezo ya baba, kwenye kambi aliyokuwepo waliiwawa na wanajeshi 5,na alikuwa kavaa bullet proof,hakuuwawa na wanachuo wenzake na sii hostel,lazima maswali yawapo
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Pale baba mbona anajichangaya kidogo.Anasema baada ya wale kuingia joshua akavaa bullet. Ina maana raia wote wanavaaga bullet kuna kitu nyuma yake nadhani
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
@@user-rh5yn3bc1o mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Pole sana hakika hiyo safari yako ilikua ngumu majonzi tele ila jamami kuhusu kuzaa kaptula ya rangi ya jeshi katka nchi nyingine watu wana vaa tuu hata hapa kenya wengi wanavaa ispokua sio halisi bali zinafanana tu hakuna marufuku kama Tanzania 🇹🇿
YULE SIYO KUVAA KAPTURA TUU ALIKUA AMESHIKA NA BUNDUKI TENEA ILE YENYE BAKULI ZA RISASI HATA HIVYO KIJANA ALIDAKWA AKIWA ANAPIGANA AKIJIDEI ANAFANYA MASOMO YA KILIMO
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Alikuwa mwanajeshi wazi anavyoelezea wanajeshi watano waliuwawa hapo hapo yye marehemu akavaa bullet proof na ndani ako na short ya kijeshi na walikuwa kambini hamas waliwaachilia raia wa ki thailand zaidi ya 10 bila kuwauwa ina maana wanajua raia na mwanajeshi
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Aslaam aleykum Warahmatullah Wabaraqatuh brother...Huyo Mzee aseme ukweli asifiche...Na kama sio kweli Mwenyezi Mungu Yuko..Mbona anachanganya mambo vipi Akutane IDF...? Mbona video zake zimejaa akiwa na uniform za jeshi la Israel....Na Tamaa binaadamu zinatuponza daima...Na sio vizuri kuwatiya ubayana wa Palestine inavo onesha huyu Mzee amesha nyamazishwa Kwa pesa ..Ndio akaitwa special huko Israel ili asije sema ukweli...Sijasikiapo mtu akifa Kwa accident wakaitwa wazee wake huko Israel na anaogopa watanzania kuja kujuwa wakala Walaani Kwa kwenda kutaka kuwauwa ndugu zao Waislam... SubhanaAllah duniya hadaa Ulimwengu NI shujaa...Mola Ni mkubwa daima.
Inasikitisha kuona kuna Watanzania wanabariki mauaji ya Mtanzania ...hizi dini inabidi tujitafakari....kwa namna yoyote niko kinyume na mauaji hasa ya watu wasio na hatia....Hata Ukienda Sudan kwenye mambo ya kitaaluma lazima utafundishwa mbinu za kujiokoa kwenye uvamizi kutokana na asili ya migogoro ya eneo husika!!!Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia.
Kweli kabisa ndugu yangu,unatolewa hostel unapelekwa Kambini na kupewa mafunzo kamili,hata uvaaji wa bullet proof,ila usiweke neno udini,tunaongea uhalisia,ila umenimaliza UNAPEWA mbinu ya kujihami?😭😭😭😭
Mzee waachie haya mambo suala la kupoteza kijana linaumiza sana na hasa ktk mazingira ya kifo chake,naomba sana watz tuwe na utu haya sio maneno sahihi kwa mwenzetu huyu kama hujiskii kumfaraji basi usimuumize
Maelezo ya Mzee Mollel 1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ? 2. Mtoto wake alivaa Bullet proof, -Bullet proof kijana aliipata wapi ? -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof? Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Pole sana papa, dah inauma sana damu yako, kpenzi chako, kesho yako, hazina yako kutolewa uhai kinyama ama kwa namna yyte aise. Nmeumia sana kusikia na kumwona jinsi mzee anavyohangaikia mwanae japo kafariki lkn da. Pole sana baba angu. Njaakirip Enkai papa lai.
Aya Mambo Yasikie Kwa Mwenzako Lakini Siku Moja Ukiamka Na Kukuta Mtu Ambae Yuko Moyoni Mwako Ayuko Tena Duniani Ndipo Utajua Ujui Sema Tujifunze Kitu Ukiona Taifa Fulani Linaanza Migogoro Kwanini Familia Yako Ibaki Uko Ondoa Familia Alaka Mpama Ujilizishe Amani Ya Taifa Usika
@@NgengeMkeni-uo5hqsiku zote mashoga ndo huwa wanatukanatukana hovyo na mashaka na wewe unaweza ukawa ni shoga na PAPA kaishaitangazia dunia mashoga wabarikiwe kuolewa.
@@NgengeMkeni-uo5hqIle ya mama yko unayotomba na ule mkundu wake unaufira ukoje, ungemwambia bila kumtukania mamaake asingelewa wee ulienda shule ikakusaidia Nini,jibu ni jepesi kumtukania wenzio wazazi wao
Mzee mnapoambiwa mukataze vijana wenu kuvaa mavazi yanayofanana na ya kijeshi ikiwa wao si wanajeshi hamsikii,, ila hii sasa itufanye tujifunze ukivaa nguo zinazofanana na za kijeshi basi uwe unayomafunzo yanayotokana mavazi hayo ila mkikatazwa mnaona mnaonewa .. ila poleni sana kwa tukio la Mtanzania mwenzetu... Ila alivaa mpaka bullet proof okay.. poleni sn
Cha kujiuliza kwamba kijana alivaaa bullet proof vest na hiyo huwezi kuipata chuoni hasa cha kilimo pili waliuwawa askari 5 hao askari walikua wanafanya nin hapo tatu dogo alivaa bukta ya kijeshi. Mbona kama kuna ukweli unafichwa hapo ikiwa alikua raia bullet proof aliipata wapi ? Mnatufanya sisi wapuuzi
Kaka huu ni msiba wa ndugu yetu awe raia awe mwanajeshi huyu ni damu yetu. Ni uungwana kusimama na wafiwa Kwa kuwapa pole badala ya kudadisi mambo ambayo haiwezekani kuyajua kiundani
Pole sana father hili nalo litapita, binadam kazi yao kuongea, Mtazame Mungu ukitazama maneno ya watu utazidi kuumia huu ni mtihani wako, Jipe moyo na Mungu ashuhulike na walio husika kudhulumu haki ya Kijana.
Mwanaume kulia sio udhaifu, pole sana baba Mungu wa mbinguni yupo kwaajili ya kila mmoja wetu
@@judithkirenga9977 mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Pole Sana mzazi mtoto anauma Mungu awatie nguvu
Pole Mzee hisia za uchungu ni kubwa ila unajikaza kiume kila nafc itaonja mauti Mungu ukupe subra na uvumilivu
Pole sana babaangu kwa kufiwa na kijana wako naomba Mungu akupe nguvu uweze kushinda hali ya uzuni ulionao AMINA
Katika watu wenye majina kama lako, wewe umeongea la maana, na lakufariji ila wenzi maneno yao yanaongeza mziba juu ya msiba.
Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu
Pole baba yangu , MAUMIVU YAKE NI MAKUBWA , MUNGU AKUPE UJASIRI NA AKUSIMAMIE
Baba Bwana Yesu awatue nguvu! Sis ambao tumeyapitia kuondokewa watoto nafahamu Ugumu ulionao. Bwana awape Faraja
Yesu Ana mamlaka ya kuabudiwa na wanaadam. Yesu NI Mwanaadam Kama sisi Ila yeye anacheo kapewa na Mungu tu NI Mtume Kama Mitume wengine.
@@saliminyusuph6122usitumie nguvu nyingi kubisha jambo jambo usilolijua, tumia nguvu nyingi kufanya research na kujifunza.
Ati Bwana Yesu awatie nguvu, Siku mkimjua Mungu wa kweli itakuwa mshachelewa sana.
@@Sheba4651mkundu wa babako fata yako
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Mzee yupo sahihi kuwa dogo hajawaji jihusisha lkn sasa fikiria Umekutwa na boxer yakijeshi , umejificha ndani afu umevaa bullet proof. Nduguzangu waafrica tusitumiwe vibaya na hayo mataifa. Tusizungukwe inauma inauma inauma sanna jaman kupoteza mtoto au ndugu.
Pole sana father.
R.I.P JOSHUA
Ewe Mungu Baba naomba uitie nguvu hii familia.
Toka lini Mungu akawa NI baba yako. Acheni uchuro.
Israel wabaya sana walimtanguliza ndugu yetu mstari wa mbele walimfanya chambo
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Wewe mpumbavu unaongea nini
@@deogratiusruzika8176 Naongea maneno
Hili swala la mzee wetu Juu ya mwanae Joshua Raisi wetu mssidie pia yupo sehemu ngumu mno
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Huyu alikuwa kwenye special mission...mzee anajichanganya
Pole sana Mzee wetu,
Nilivyoelewa Mimi ni kuwa ndugu yetu ameponzwa na mavazi yaliyofanana na mavazi ya kijeshi
Pole sana Baba, Mungu akupe nguvu
Pole sana ndugu yangu Mungu akutie nguvu
Pole sana baba na familia nzima. Mpe mama Pole sana. Tuendelee kumtegemea Mungu
inauma sana
Polee. Baba. Mungu atakupanguvu
Pole sana
Pole baba ni huzuni kubwa hakuna wa kuva kiatu chako mungu hatakuacha amina
Pole Sana baba
Mungu akusimamie Baba. Wazazi nmepoteza kijana wenu. Ni ngumu sana ktk maisha kujua wazazi wanachopitia. Ila kwakuwa Mungu ni mwaminifu atawapa majibu yaliyo sahihi juu ya kijana wenu.
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Poole sana sana. We feel it. Inaumiza sana
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Pole saaan baba yang
Duh! Hili jambo linafikirisha sana. Yaani mtu unafanya mafunzo ya vitendo kwenye eneo lisilo na usalama!! Kwa nn serikali isiwarudishe hao wanafunzi waliobaki? Kwa nn wazazi wa wanafunzi waliobaki hawaiombi serikari iwarejeshe nyumbani? Usalama kwanza elimu baadaye.
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Pole sana baba angu.
Kumbe alivaa bullet proof daah Ata huku Tz ukivaa nguo inayofanana na mavazi ya kijeshi yanaweza yakakuletea shida.
Tabu xn dogo aliipata wapi,inaumiza
Bullet sasa aliipata wapi???pole sana Mzee wangu mungu akupe nguvu
Ni kweli una uchungu wakumpoteza mpendwa wako kijana wako lakini usiwaite Maharamia kwani hawajavamia nchi yako wapo kwenye nchi yako nawanapambana kutetea Ardhi yao
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Anashindwa kueleza ukweli kua Mwanae alijiunga namajeshi ya kukodi maana skuizi yamekua ndio kimbilio lakujikwamua kimaisha hususani kwa sisi ambao maisha kidogo ni magumu kwa namna fulani
Nkweli uyu Mzee namuona kama muongo kwanini mtoto wake avae sare ya jeshi wakati wapo sehemu za machafuko ya kivita
@@HassanJaphari-rx7jyMzee kasha jua ukweli wa kifo Cha mwanae ila anashindwa kipanga maneno,inaelekea Mzee uongo sio asili yake
@@MiriamAbdallah Nkweli kabisa izi njaa mbaya sana
Pole sana baba na familia nzima ya mtoto wetu Joshua. Mungu wa mbinguni ajuaye yote awatie nguvu na kuwafariji.
Pole sana MUNGU akutie nguvu
Ila hamasi hapo hawaucki kabisa mcje wachukia bure
Pole sana kaka😭🙏
Daah mzee anaongea kwa uchungu sana😢
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Usiwaite maharamia ni wapigania uhuru wa nchi Yao ulioporwa na wazayuni ambao wameiwatesa kwa mda wa miaka 75 kwa maonevu ya Hali ya kutisha pole Kwa kufiwa vita Haina macho
😏😏😏😏😏😏😏😏
Hata mwanae alikuwa haramia ndo maana alikuwa na hawa mashetani wa IDF na sio wanachuo wenzake
Inauma sana
pole sana baba Joshua ,Mungu akutie nguvu,wanaoongea ovyo hawajafikwa pia hawajazaa,kwa mzazi yeyote angeumia moyoni.
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Pole sana baba
Pole baba MUNGU awe mfariji wako
Pole sana mzee😢😢😢
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
Mungu akutie nguvu
Jamani Rais wetu msaidia huyu mwananchi inauma sana sana
Amsaidie na nani sasa mwanawe tamaa imemponza
Aache kusaidia wagonjwa ambao hawana uwezo muhimbili asaidie mwanajeshi wa kukodiwa
Usiongee ukamaliza maneno.Hata wewe mwanao aweza kushawishiwa na kuingia kwenye tamaa bila hata ya wewe kujua.
@@user-db2hi8jn3e sasa amsaidie nn labda kwa mfano maana jamaa kashakufa sasa amrudishie rojo yke au
pole sana mzee inaumiza sana had unaona mwaka 2029
Pole sana kwa familia
Mungu akutie nguvu baba Joshua 🙏
Mungu atatenda baba muamin yeye haijalishi umepitia magumu gan😭😭
Usikute ajafa ila usuwaite maharamia ila wadai ardhi yao ata wao waisrael uwauwa kama aongei lugha yao mpaka makanisa waliwaua famili ya watu watatu tena kanisani walipishana lugha waliwauwa wanasema waliwauwa kimakosa sasa myahudi ana roho mbaya tunasubir Inshaallah arudi ndugu yetu akiwa salama
We kuma la mama ako, kama hujui unachoongea kaa kimya ... mnuka kuma mkubwa wee
Kwani hujaona Ile video wanavyomuua ndugu yetu
@@NgengeMkeni-uo5hqacha matusi Palestine hawaishi waislamu peke yao na wakiristo pia wapo mpaka makanisa yapo pia na Israel awachagui pa kupiga wanapinga mpaka makanisa na wanawauwa mpaka wakiristo wenzenu. Fatilia utajuwa
@@NgengeMkeni-uo5hq kiasi uisifie kuma Ndio ulipotokea wewe mbwa
@@NgengeMkeni-uo5hq na mamako anayo kuma au anashimo mwana mtoka kumani wee
Duuu mzee anauchungu Sana mpaka anasema alisafiri kwenda israel tarehe 24 desemba 2029 pole sana mzee wetu
hatari sana kwakwel
Sasa kambini alikwenda kufanya nini na hiyo buleti proof yanini na yeye anasoma kilimo
Mwamba kumbe umesikia nilichosikia mimi
Ww umenda kudanganywa na waezrail, asa Rais Samia azungumze kuhusu nn na uturuki, yan umenda kuchanganywa uko ujui ata mzee unaongea point gani..but pole kwa msiba
😏😏😏😏😏😏😏😏
duh pole mzee, mpaka ushafka 2029 umefka mbali sana.
Pole sana ni 2023 sio 29 , Mungu akutie nguvu
Ilikuaje kavaa bullet proof
Wavaaji bullet proof si wanajulikana?
Alikuwa shamba jamani hata hizo nguo zinapatikana humo
pole sana mzee umempoteza kijana mdogo sana ila katka maelezo apo kambi ilkua na wanajeshj wa 5 wameuwawa kwahiy jamaaa atakua mjeshi nae maana hakuna wanafunzi wanaokaa kambini
Hao siyo maharamia sawa baba hao wanataka ardhi Yao iliyoorwa kimabavu na Waisrail kwa muda mrefu zaidi ya miaka 75 wananyanyaswa kwahiyo wanahaki ya kupambania haki Yao
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Hukumu na kisasi ni juu ya Mungu Mungu hatawaacha wahuni wale
MUNGU WA MBINGUNI ANASEMA LIA NAO WANAOLIA CHEKA NAO WANAOCHEKA BABA,KANISA LA NEW CHEMCHEM CHURCH LILILOKO ILKIUREI KATA YA KIRANYI BARABARA YA WHITE ROZI LINAKUPA POLE NYINGI SANA MUNGU ATAFUTILIA DAMU YA MWENETU AMEN AMEN AMEN,
🙏
Uyo hakutekwa na hamasi kauwawa na wayahudi wenyewe
Una ushahidi?
@@NgengeMkeni-uo5hq kumbe mayahudi huwajui kama ni wazee wa kudabganya
@@salumjumaruhaga2513 atajulia wapi walishalishwa matango pori na wamarekani kuwa wale ndo waisraeli orengino
pole sana mzee ila nlicho kiona mm jeshua bukta alio vaa yenye mfano wakijeshi ndio ilio mponza apa ndio unagundua kama jwtz walipo toa kauli ya kupiga marufuku kuvaa nguo inayo fanania na vazi lajeshi sahii kwa kuepuka hatari kama hizi
it hurts
Kama alikuwa mwanajeshi tatizo lipo wapi
Pole sana baba Joshua walio zusha kuhusu Joshua kujiunga na jeshi la Ezraeli naomba wapuze wala hata usijibu hayo maswali yanaumiza
Hakuna aliezisha kwa maelezo ya baba, kwenye kambi aliyokuwepo waliiwawa na wanajeshi 5,na alikuwa kavaa bullet proof,hakuuwawa na wanachuo wenzake na sii hostel,lazima maswali yawapo
Pole baba yng 😭😭
Duh hadi serekali ya israeli inakuita hii si kawaida, mwanao alikua shushu wao
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
@@BADILIKA unatisha😂
@@banihashim5347kwanini wasikae na serikali,kunaalichoambiwa
2:10 2:12 2:13 2:14
Pale baba mbona anajichangaya kidogo.Anasema baada ya wale kuingia joshua akavaa bullet. Ina maana raia wote wanavaaga bullet kuna kitu nyuma yake nadhani
Ata mimi nimeelewa kitu apo kuna kitu ambacho sisi tunafichwa
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
@@allymahiyo2464Kwan we hujui ni akinani wanavaa bullet proof?
Usiamini kila kitu unachoambiwa na IDF, mbona mateka wengine hawajauliwa? Hivyo usiwe na side huwenda bado yuko hai
Mpelekeni sasa HAMAS wamsaidie
@@user-rh5yn3bc1o HAMAS ni watu wako peace sana, angalia mateka wengine wanavyosimulia, hao walioachiwa. Hizo ni chuki tu
@@user-rh5yn3bc1o mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Pole sana hakika hiyo safari yako ilikua ngumu majonzi tele ila jamami kuhusu kuzaa kaptula ya rangi ya jeshi katka nchi nyingine watu wana vaa tuu hata hapa kenya wengi wanavaa ispokua sio halisi bali zinafanana tu hakuna marufuku kama Tanzania 🇹🇿
YULE SIYO KUVAA KAPTURA TUU ALIKUA AMESHIKA NA BUNDUKI TENEA ILE YENYE BAKULI ZA RISASI
HATA HIVYO KIJANA ALIDAKWA AKIWA ANAPIGANA AKIJIDEI ANAFANYA MASOMO YA KILIMO
mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!
Alisafiri tarehe 24 mwezi 12 ,,2029😢😢😢sio 2023
Baba kachanganyikiwa😭😭
Mzee kishaenda kuvuta mpunga amerudi kifua mbele. Chezea HAMASI ww
😏😏😏😏😏😏😏😏
Huyo kijana alikuwa jeshini asitudanganye,
So sad😢
Alikuwa mwanajeshi wazi anavyoelezea wanajeshi watano waliuwawa hapo hapo yye marehemu akavaa bullet proof na ndani ako na short ya kijeshi na walikuwa kambini hamas waliwaachilia raia wa ki thailand zaidi ya 10 bila kuwauwa ina maana wanajua raia na mwanajeshi
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Ila mungu yp
Baba Moleli tugawane hizo pesa
Aslaam aleykum Warahmatullah Wabaraqatuh brother...Huyo Mzee aseme ukweli asifiche...Na kama sio kweli Mwenyezi Mungu Yuko..Mbona anachanganya mambo vipi Akutane IDF...? Mbona video zake zimejaa akiwa na uniform za jeshi la Israel....Na Tamaa binaadamu zinatuponza daima...Na sio vizuri kuwatiya ubayana wa Palestine inavo onesha huyu Mzee amesha nyamazishwa Kwa pesa ..Ndio akaitwa special huko Israel ili asije sema ukweli...Sijasikiapo mtu akifa Kwa accident wakaitwa wazee wake huko Israel na anaogopa watanzania kuja kujuwa wakala Walaani Kwa kwenda kutaka kuwauwa ndugu zao Waislam... SubhanaAllah duniya hadaa Ulimwengu NI shujaa...Mola Ni mkubwa daima.
Ukakasi upo,mwanachuo na bullet proof na wanajeshi wapi na wapi?
Mzee kweli hauko sawa', naona uko mbele ya kalenda, yaani umesafiri tar tarehe 14 , Mwezi wa 12 , Mwaka 2029..?...pole sana
Inasikitisha kuona kuna Watanzania wanabariki mauaji ya Mtanzania ...hizi dini inabidi tujitafakari....kwa namna yoyote niko kinyume na mauaji hasa ya watu wasio na hatia....Hata Ukienda Sudan kwenye mambo ya kitaaluma lazima utafundishwa mbinu za kujiokoa kwenye uvamizi kutokana na asili ya migogoro ya eneo husika!!!Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia.
Insumiza sana tunatopoka sn SS watz
Kweli kabisa ndugu yangu,unatolewa hostel unapelekwa Kambini na kupewa mafunzo kamili,hata uvaaji wa bullet proof,ila usiweke neno udini,tunaongea uhalisia,ila umenimaliza UNAPEWA mbinu ya kujihami?😭😭😭😭
Kama hakuwa mwanajeshi alikuwa akifanya nini kambini kwa jeshi mpaka avae bullet proof? Nauliza tu
Majibu ni magumu,
Kweli hata mie sijaelewa 😮 labda ilikuwa duh
Pole sana kwa kufiwa na mwanao kwa ushauri waliobaki huko Israel kusoma warudi nyumbani
wanalima kwanza tungojee mavuno mengine
kwanza picha inaanza mzee alisafiri tarehe 24/12/2029
😂😂😂😂😂ebu tuache tuna majonzi kwanza
💔💔🙏🏻
Mzee waachie haya mambo suala la kupoteza kijana linaumiza sana na hasa ktk mazingira ya kifo chake,naomba sana watz tuwe na utu haya sio maneno sahihi kwa mwenzetu huyu kama hujiskii kumfaraji basi usimuumize
😢😢😢😢
Wameuwa wanajeshi watano kwenye chuo cha kilimo, amevaa nguo ya kuzuia risasi kwenye chuo cha kilimo
Vyuo havina ulinzi au?? Nbona watu mnajitoa ufahamu?? Ukizingatia hao maharamia sio makomandoo kwamba kuuawa iwe ni mtihani!
@@lydialaurian4734 Nini maana ya maharamia..? Wayahud waliaua ndugu zao ili kutengeneza propaganda washindwe kuwaua wanafunzi( kama mnavowaita nyny )
Kwakweli maelezo tumesikia ila uki connect dots inaonekana lisemwalo lipo
Maelezo ya Mzee Mollel
1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
-Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
-Bullet proof kijana aliipata wapi ?
-Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
Maelezo ya Mzee yana ukakasi.
Kwa kweli mzee sijamuelewa kabisa @@BADILIKA
Pole sana mzee wangu nano lako zuri muachie mungu alafu umesikiza upande mmoja huwezi kupata ukweli
We kuma kaa kimya
Wewe mwenye ukwel hebu tujulishe!!
@@lydialaurian4734 Mimi sina ukweli ndio maana sijaongelea hilo. Ila wewe sasa Asha ndala ndefu
@@NgengeMkeni-uo5hqwe shoga embu acha matusi
@@NgengeMkeni-uo5hqyeye Kuma na ni msenge ,unafirwa
Pole sana papa, dah inauma sana damu yako, kpenzi chako, kesho yako, hazina yako kutolewa uhai kinyama ama kwa namna yyte aise. Nmeumia sana kusikia na kumwona jinsi mzee anavyohangaikia mwanae japo kafariki lkn da. Pole sana baba angu. Njaakirip Enkai papa lai.
Basi nguo za Jeshi kofia hatari sana
Alisafiri 2029 duuh!kweli mzee joshua ni nouma
Watoto wanachanganya xn wazazi sijui niseme upumbafu ujinga,au tamaa
Aya Mambo Yasikie Kwa Mwenzako Lakini Siku Moja Ukiamka Na Kukuta Mtu Ambae Yuko Moyoni Mwako Ayuko Tena Duniani Ndipo Utajua Ujui Sema Tujifunze Kitu Ukiona Taifa Fulani Linaanza Migogoro Kwanini Familia Yako Ibaki Uko Ondoa Familia Alaka Mpama Ujilizishe Amani Ya Taifa Usika
Pain
Siio maharamia baana,kama alikuwa amevaa bulet pluivuu uyo tayari alikuwa jeshi
Kumamake, eti pluivuuu😂😂... we kuma rudi shule ukasome acha kuzubaa mitandaoni mbwa ww
@@NgengeMkeni-uo5hqsiku zote mashoga ndo huwa wanatukanatukana hovyo na mashaka na wewe unaweza ukawa ni shoga na PAPA kaishaitangazia dunia mashoga wabarikiwe kuolewa.
@@NgengeMkeni-uo5hqIle ya mama yko unayotomba na ule mkundu wake unaufira ukoje, ungemwambia bila kumtukania mamaake asingelewa wee ulienda shule ikakusaidia Nini,jibu ni jepesi kumtukania wenzio wazazi wao
Bado hujasema mzee utasema tu
😅😅😅😅😅😅😅
Asituambie nusunusu aweke wazi
Baba usikatae san vijan huwa tuna tamaa huend ilikuw sir yake na huend ni usalama kaend kimafunzo sema kilimo tunazugwa but all in all pole sana
Mzee mnapoambiwa mukataze vijana wenu kuvaa mavazi yanayofanana na ya kijeshi ikiwa wao si wanajeshi hamsikii,, ila hii sasa itufanye tujifunze ukivaa nguo zinazofanana na za kijeshi basi uwe unayomafunzo yanayotokana mavazi hayo ila mkikatazwa mnaona mnaonewa .. ila poleni sana kwa tukio la Mtanzania mwenzetu... Ila alivaa mpaka bullet proof okay.. poleni sn
Cha kujiuliza kwamba kijana alivaaa bullet proof vest na hiyo huwezi kuipata chuoni hasa cha kilimo pili waliuwawa askari 5 hao askari walikua wanafanya nin hapo tatu dogo alivaa bukta ya kijeshi. Mbona kama kuna ukweli unafichwa hapo ikiwa alikua raia bullet proof aliipata wapi ? Mnatufanya sisi wapuuzi
Kaka huu ni msiba wa ndugu yetu awe raia awe mwanajeshi huyu ni damu yetu. Ni uungwana kusimama na wafiwa Kwa kuwapa pole badala ya kudadisi mambo ambayo haiwezekani kuyajua kiundani
Walijua mwanajeshi kupitia vazi lake ndani ya suruali , Tizama wanavyomvutavuta ile bukta ya jeshi inaonekana
Mngeandika "Arudi kutoka Israel" nasio Arudi Israel....