BABA JOSHUA ARUDI ISRAEL,AKASIRIKA MWANAYE KUITWA MWANAJESHI "NIMEKUTANA NA JESHI LA IDF ISRAEL"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 12. 2023

Komentáře • 634

  • @DumaBeatus-yz6mu
    @DumaBeatus-yz6mu Před 6 měsíci +4

    Pole sana father hili nalo litapita, binadam kazi yao kuongea, Mtazame Mungu ukitazama maneno ya watu utazidi kuumia huu ni mtihani wako, Jipe moyo na Mungu ashuhulike na walio husika kudhulumu haki ya Kijana.

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 6 měsíci +15

    Mwanaume kulia sio udhaifu, pole sana baba Mungu wa mbinguni yupo kwaajili ya kila mmoja wetu

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci +1

      @@judithkirenga9977 mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @osiahmwakasala1646
    @osiahmwakasala1646 Před 6 měsíci +4

    Pole Sana mzazi mtoto anauma Mungu awatie nguvu

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z Před 6 měsíci +4

    Pole Mzee hisia za uchungu ni kubwa ila unajikaza kiume kila nafc itaonja mauti Mungu ukupe subra na uvumilivu

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před 6 měsíci +8

    Pole sana babaangu kwa kufiwa na kijana wako naomba Mungu akupe nguvu uweze kushinda hali ya uzuni ulionao AMINA

    • @emmanuelmasatu
      @emmanuelmasatu Před 6 měsíci

      Katika watu wenye majina kama lako, wewe umeongea la maana, na lakufariji ila wenzi maneno yao yanaongeza mziba juu ya msiba.

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 6 měsíci +1

    Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 6 měsíci +1

    Pole baba yangu , MAUMIVU YAKE NI MAKUBWA , MUNGU AKUPE UJASIRI NA AKUSIMAMIE

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu4367 Před 6 měsíci +8

    Baba Bwana Yesu awatue nguvu! Sis ambao tumeyapitia kuondokewa watoto nafahamu Ugumu ulionao. Bwana awape Faraja

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 Před 6 měsíci +2

      Yesu Ana mamlaka ya kuabudiwa na wanaadam. Yesu NI Mwanaadam Kama sisi Ila yeye anacheo kapewa na Mungu tu NI Mtume Kama Mitume wengine.

    • @theodorythobius3965
      @theodorythobius3965 Před 6 měsíci

      ​@@saliminyusuph6122usitumie nguvu nyingi kubisha jambo jambo usilolijua, tumia nguvu nyingi kufanya research na kujifunza.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 6 měsíci +1

      Ati Bwana Yesu awatie nguvu, Siku mkimjua Mungu wa kweli itakuwa mshachelewa sana.

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 6 měsíci

      ​@@Sheba4651mkundu wa babako fata yako

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci +1

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

  • @mr.nonino3629
    @mr.nonino3629 Před 6 měsíci +5

    Mzee yupo sahihi kuwa dogo hajawaji jihusisha lkn sasa fikiria Umekutwa na boxer yakijeshi , umejificha ndani afu umevaa bullet proof. Nduguzangu waafrica tusitumiwe vibaya na hayo mataifa. Tusizungukwe inauma inauma inauma sanna jaman kupoteza mtoto au ndugu.

  • @shadrackmohamedi8765
    @shadrackmohamedi8765 Před 6 měsíci +4

    Pole sana father.
    R.I.P JOSHUA

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys Před 6 měsíci +4

    Ewe Mungu Baba naomba uitie nguvu hii familia.

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 6 měsíci +5

    Israel wabaya sana walimtanguliza ndugu yetu mstari wa mbele walimfanya chambo

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

    • @deogratiusruzika8176
      @deogratiusruzika8176 Před 6 měsíci

      Wewe mpumbavu unaongea nini

    • @salimfaraj5509
      @salimfaraj5509 Před 6 měsíci

      @@deogratiusruzika8176 Naongea maneno

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 Před 6 měsíci +3

    Hili swala la mzee wetu Juu ya mwanae Joshua Raisi wetu mssidie pia yupo sehemu ngumu mno

  • @BADILIKA
    @BADILIKA Před 6 měsíci +7

    Maelezo ya Mzee Mollel
    1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
    -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
    2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
    -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
    -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
    Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

    • @amirisaid6341
      @amirisaid6341 Před 5 měsíci

      Huyu alikuwa kwenye special mission...mzee anajichanganya

  • @saidhusseinmtitwa1269
    @saidhusseinmtitwa1269 Před 6 měsíci +2

    Pole sana Mzee wetu,
    Nilivyoelewa Mimi ni kuwa ndugu yetu ameponzwa na mavazi yaliyofanana na mavazi ya kijeshi

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 6 měsíci

    Pole sana Baba, Mungu akupe nguvu

  • @Solace577
    @Solace577 Před 6 měsíci

    Pole sana ndugu yangu Mungu akutie nguvu

  • @margarethshirima5654
    @margarethshirima5654 Před 6 měsíci +1

    Pole sana baba na familia nzima. Mpe mama Pole sana. Tuendelee kumtegemea Mungu

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 5 měsíci

    Polee. Baba. Mungu atakupanguvu

  • @reubengapy2878
    @reubengapy2878 Před 6 měsíci +2

    Pole sana

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 Před 6 měsíci

    Pole baba ni huzuni kubwa hakuna wa kuva kiatu chako mungu hatakuacha amina

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania Před 6 měsíci +1

    Pole Sana baba

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Před 6 měsíci

    Mungu akusimamie Baba. Wazazi nmepoteza kijana wenu. Ni ngumu sana ktk maisha kujua wazazi wanachopitia. Ila kwakuwa Mungu ni mwaminifu atawapa majibu yaliyo sahihi juu ya kijana wenu.

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci

      mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @ulludots
    @ulludots Před 6 měsíci +4

    Poole sana sana. We feel it. Inaumiza sana

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci

      mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 6 měsíci +1

    Pole saaan baba yang

  • @AlexKing-yg2cc
    @AlexKing-yg2cc Před 6 měsíci +5

    Duh! Hili jambo linafikirisha sana. Yaani mtu unafanya mafunzo ya vitendo kwenye eneo lisilo na usalama!! Kwa nn serikali isiwarudishe hao wanafunzi waliobaki? Kwa nn wazazi wa wanafunzi waliobaki hawaiombi serikari iwarejeshe nyumbani? Usalama kwanza elimu baadaye.

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci +1

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

  • @mzeeicon913
    @mzeeicon913 Před 6 měsíci

    Pole sana baba angu.

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci +4

    Kumbe alivaa bullet proof daah Ata huku Tz ukivaa nguo inayofanana na mavazi ya kijeshi yanaweza yakakuletea shida.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Tabu xn dogo aliipata wapi,inaumiza

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji Před 6 měsíci

      Bullet sasa aliipata wapi???pole sana Mzee wangu mungu akupe nguvu

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 6 měsíci +7

    Ni kweli una uchungu wakumpoteza mpendwa wako kijana wako lakini usiwaite Maharamia kwani hawajavamia nchi yako wapo kwenye nchi yako nawanapambana kutetea Ardhi yao

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

    • @amsiabbas3809
      @amsiabbas3809 Před 6 měsíci

      Anashindwa kueleza ukweli kua Mwanae alijiunga namajeshi ya kukodi maana skuizi yamekua ndio kimbilio lakujikwamua kimaisha hususani kwa sisi ambao maisha kidogo ni magumu kwa namna fulani

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Před 6 měsíci +1

      Nkweli uyu Mzee namuona kama muongo kwanini mtoto wake avae sare ya jeshi wakati wapo sehemu za machafuko ya kivita

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci +1

      ​@@HassanJaphari-rx7jyMzee kasha jua ukweli wa kifo Cha mwanae ila anashindwa kipanga maneno,inaelekea Mzee uongo sio asili yake

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Před 6 měsíci +1

      @@MiriamAbdallah Nkweli kabisa izi njaa mbaya sana

  • @veronicalaiser7869
    @veronicalaiser7869 Před 6 měsíci +2

    Pole sana baba na familia nzima ya mtoto wetu Joshua. Mungu wa mbinguni ajuaye yote awatie nguvu na kuwafariji.

  • @weslaus7750
    @weslaus7750 Před 6 měsíci

    Pole sana MUNGU akutie nguvu

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 6 měsíci +4

    Ila hamasi hapo hawaucki kabisa mcje wachukia bure

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 Před 6 měsíci +1

    Pole sana kaka😭🙏

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 Před 6 měsíci +10

    Daah mzee anaongea kwa uchungu sana😢

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci

      mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @abdullatifushambe4435
    @abdullatifushambe4435 Před 6 měsíci +4

    Usiwaite maharamia ni wapigania uhuru wa nchi Yao ulioporwa na wazayuni ambao wameiwatesa kwa mda wa miaka 75 kwa maonevu ya Hali ya kutisha pole Kwa kufiwa vita Haina macho

    • @user-zn9zl4kh1w
      @user-zn9zl4kh1w Před 6 měsíci

      😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Hata mwanae alikuwa haramia ndo maana alikuwa na hawa mashetani wa IDF na sio wanachuo wenzake

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Před 6 měsíci +1

    Inauma sana

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Před 6 měsíci

    pole sana baba Joshua ,Mungu akutie nguvu,wanaoongea ovyo hawajafikwa pia hawajazaa,kwa mzazi yeyote angeumia moyoni.

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci

      mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před 6 měsíci

    Pole sana baba

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Před 6 měsíci

    Pole baba MUNGU awe mfariji wako

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 6 měsíci +1

    Pole sana mzee😢😢😢

  • @bakarihamdouny1956
    @bakarihamdouny1956 Před 6 měsíci +1

    Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu

  • @jenifatarimo250
    @jenifatarimo250 Před 6 měsíci

    Mungu akutie nguvu

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 6 měsíci +5

    Jamani Rais wetu msaidia huyu mwananchi inauma sana sana

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j Před 6 měsíci +1

      Amsaidie na nani sasa mwanawe tamaa imemponza

    • @abdullatifushambe4435
      @abdullatifushambe4435 Před 6 měsíci +1

      Aache kusaidia wagonjwa ambao hawana uwezo muhimbili asaidie mwanajeshi wa kukodiwa

    • @user-db2hi8jn3e
      @user-db2hi8jn3e Před 5 měsíci

      Usiongee ukamaliza maneno.Hata wewe mwanao aweza kushawishiwa na kuingia kwenye tamaa bila hata ya wewe kujua.

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j Před 5 měsíci

      @@user-db2hi8jn3e sasa amsaidie nn labda kwa mfano maana jamaa kashakufa sasa amrudishie rojo yke au

  • @user-xz8qt4cn9g
    @user-xz8qt4cn9g Před 6 měsíci +1

    pole sana mzee inaumiza sana had unaona mwaka 2029

  • @anoldkavishe9223
    @anoldkavishe9223 Před 6 měsíci

    Pole sana kwa familia

  • @raymrash
    @raymrash Před 6 měsíci +2

    Mungu akutie nguvu baba Joshua 🙏

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 4 měsíci

    Mungu atatenda baba muamin yeye haijalishi umepitia magumu gan😭😭

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před 6 měsíci +9

    Usikute ajafa ila usuwaite maharamia ila wadai ardhi yao ata wao waisrael uwauwa kama aongei lugha yao mpaka makanisa waliwaua famili ya watu watatu tena kanisani walipishana lugha waliwauwa wanasema waliwauwa kimakosa sasa myahudi ana roho mbaya tunasubir Inshaallah arudi ndugu yetu akiwa salama

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 6 měsíci

      We kuma la mama ako, kama hujui unachoongea kaa kimya ... mnuka kuma mkubwa wee

    • @raymrash
      @raymrash Před 6 měsíci

      Kwani hujaona Ile video wanavyomuua ndugu yetu

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Před 6 měsíci

      ​@@NgengeMkeni-uo5hqacha matusi Palestine hawaishi waislamu peke yao na wakiristo pia wapo mpaka makanisa yapo pia na Israel awachagui pa kupiga wanapinga mpaka makanisa na wanawauwa mpaka wakiristo wenzenu. Fatilia utajuwa

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 Před 6 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hq kiasi uisifie kuma Ndio ulipotokea wewe mbwa

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 Před 6 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hq na mamako anayo kuma au anashimo mwana mtoka kumani wee

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 Před 6 měsíci +1

    Duuu mzee anauchungu Sana mpaka anasema alisafiri kwenda israel tarehe 24 desemba 2029 pole sana mzee wetu

  • @ramadhansoud2582
    @ramadhansoud2582 Před 6 měsíci +4

    Sasa kambini alikwenda kufanya nini na hiyo buleti proof yanini na yeye anasoma kilimo

  • @hamudseif
    @hamudseif Před 6 měsíci +3

    Ww umenda kudanganywa na waezrail, asa Rais Samia azungumze kuhusu nn na uturuki, yan umenda kuchanganywa uko ujui ata mzee unaongea point gani..but pole kwa msiba

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 Před 6 měsíci +1

    duh pole mzee, mpaka ushafka 2029 umefka mbali sana.

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 Před 6 měsíci

    Pole sana ni 2023 sio 29 , Mungu akutie nguvu

  • @mujibushamba4383
    @mujibushamba4383 Před 6 měsíci +4

    Ilikuaje kavaa bullet proof

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Wavaaji bullet proof si wanajulikana?

    • @rjhsyurjhsyu249
      @rjhsyurjhsyu249 Před 6 měsíci


      Alikuwa shamba jamani hata hizo nguo zinapatikana humo

  • @athumanimohamedi9921
    @athumanimohamedi9921 Před 6 měsíci

    pole sana mzee umempoteza kijana mdogo sana ila katka maelezo apo kambi ilkua na wanajeshj wa 5 wameuwawa kwahiy jamaaa atakua mjeshi nae maana hakuna wanafunzi wanaokaa kambini

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před 6 měsíci +3

    Hao siyo maharamia sawa baba hao wanataka ardhi Yao iliyoorwa kimabavu na Waisrail kwa muda mrefu zaidi ya miaka 75 wananyanyaswa kwahiyo wanahaki ya kupambania haki Yao

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

  • @davidtupa6599
    @davidtupa6599 Před 5 měsíci

    Hukumu na kisasi ni juu ya Mungu Mungu hatawaacha wahuni wale

  • @newchemchem5251
    @newchemchem5251 Před 6 měsíci +1

    MUNGU WA MBINGUNI ANASEMA LIA NAO WANAOLIA CHEKA NAO WANAOCHEKA BABA,KANISA LA NEW CHEMCHEM CHURCH LILILOKO ILKIUREI KATA YA KIRANYI BARABARA YA WHITE ROZI LINAKUPA POLE NYINGI SANA MUNGU ATAFUTILIA DAMU YA MWENETU AMEN AMEN AMEN,

  • @tbreakerboysir5031
    @tbreakerboysir5031 Před 6 měsíci

    🙏

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 6 měsíci +3

    Uyo hakutekwa na hamasi kauwawa na wayahudi wenyewe

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 6 měsíci

      Una ushahidi?

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 Před 6 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hq kumbe mayahudi huwajui kama ni wazee wa kudabganya

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      ​@@salumjumaruhaga2513 atajulia wapi walishalishwa matango pori na wamarekani kuwa wale ndo waisraeli orengino

  • @MHDFURNITURE-jn2rx
    @MHDFURNITURE-jn2rx Před 5 měsíci

    pole sana mzee ila nlicho kiona mm jeshua bukta alio vaa yenye mfano wakijeshi ndio ilio mponza apa ndio unagundua kama jwtz walipo toa kauli ya kupiga marufuku kuvaa nguo inayo fanania na vazi lajeshi sahii kwa kuepuka hatari kama hizi

  • @henry1933
    @henry1933 Před 6 měsíci

    it hurts

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 6 měsíci +2

    Kama alikuwa mwanajeshi tatizo lipo wapi

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime9357 Před 6 měsíci

    Pole sana baba Joshua walio zusha kuhusu Joshua kujiunga na jeshi la Ezraeli naomba wapuze wala hata usijibu hayo maswali yanaumiza

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Hakuna aliezisha kwa maelezo ya baba, kwenye kambi aliyokuwepo waliiwawa na wanajeshi 5,na alikuwa kavaa bullet proof,hakuuwawa na wanachuo wenzake na sii hostel,lazima maswali yawapo

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před 6 měsíci

    Pole baba yng 😭😭

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 6 měsíci +2

    Duh hadi serekali ya israeli inakuita hii si kawaida, mwanao alikua shushu wao

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci +3

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

    • @banihashim5347
      @banihashim5347 Před 6 měsíci

      @@BADILIKA unatisha😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      ​@@banihashim5347kwanini wasikae na serikali,kunaalichoambiwa

  • @mrishobhaya8965
    @mrishobhaya8965 Před 6 měsíci

    2:10 2:12 2:13 2:14

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Před 6 měsíci +4

    Pale baba mbona anajichangaya kidogo.Anasema baada ya wale kuingia joshua akavaa bullet. Ina maana raia wote wanavaaga bullet kuna kitu nyuma yake nadhani

    • @allymahiyo2464
      @allymahiyo2464 Před 6 měsíci

      Ata mimi nimeelewa kitu apo kuna kitu ambacho sisi tunafichwa

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci +1

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      ​@@allymahiyo2464Kwan we hujui ni akinani wanavaa bullet proof?

  • @nth3512
    @nth3512 Před 6 měsíci +3

    Usiamini kila kitu unachoambiwa na IDF, mbona mateka wengine hawajauliwa? Hivyo usiwe na side huwenda bado yuko hai

    • @user-rh5yn3bc1o
      @user-rh5yn3bc1o Před 6 měsíci

      Mpelekeni sasa HAMAS wamsaidie

    • @nth3512
      @nth3512 Před 6 měsíci

      @@user-rh5yn3bc1o HAMAS ni watu wako peace sana, angalia mateka wengine wanavyosimulia, hao walioachiwa. Hizo ni chuki tu

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci

      @@user-rh5yn3bc1o mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e Před 6 měsíci +1

    Pole sana hakika hiyo safari yako ilikua ngumu majonzi tele ila jamami kuhusu kuzaa kaptula ya rangi ya jeshi katka nchi nyingine watu wana vaa tuu hata hapa kenya wengi wanavaa ispokua sio halisi bali zinafanana tu hakuna marufuku kama Tanzania 🇹🇿

    • @hamynas
      @hamynas Před 6 měsíci +1

      YULE SIYO KUVAA KAPTURA TUU ALIKUA AMESHIKA NA BUNDUKI TENEA ILE YENYE BAKULI ZA RISASI
      HATA HIVYO KIJANA ALIDAKWA AKIWA ANAPIGANA AKIJIDEI ANAFANYA MASOMO YA KILIMO

    • @ahmedzahor9689
      @ahmedzahor9689 Před 6 měsíci

      mwenyezi mungu amjaalie huyu baba kujua ukweli wote na aseme wazi maana siamini jeshi la idf ambalo kazi yake ni kuua watoto wanawake na wazee . Yaani unaamini vipi jeshi la idf linaloua mpaka mtoto aliozaliwa Leo. Kweli kabisa !!!!!

  • @MohamedSaid-jx3df
    @MohamedSaid-jx3df Před 6 měsíci +1

    Alisafiri tarehe 24 mwezi 12 ,,2029😢😢😢sio 2023

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 6 měsíci +2

    Mzee kishaenda kuvuta mpunga amerudi kifua mbele. Chezea HAMASI ww

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před 6 měsíci

    Huyo kijana alikuwa jeshini asitudanganye,

  • @macvoice925
    @macvoice925 Před 6 měsíci

    So sad😢

  • @fishinginwatamukenya
    @fishinginwatamukenya Před 6 měsíci +2

    Alikuwa mwanajeshi wazi anavyoelezea wanajeshi watano waliuwawa hapo hapo yye marehemu akavaa bullet proof na ndani ako na short ya kijeshi na walikuwa kambini hamas waliwaachilia raia wa ki thailand zaidi ya 10 bila kuwauwa ina maana wanajua raia na mwanajeshi

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 6 měsíci

    Ila mungu yp

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 6 měsíci +1

    Baba Moleli tugawane hizo pesa

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Před 6 měsíci +1

    Aslaam aleykum Warahmatullah Wabaraqatuh brother...Huyo Mzee aseme ukweli asifiche...Na kama sio kweli Mwenyezi Mungu Yuko..Mbona anachanganya mambo vipi Akutane IDF...? Mbona video zake zimejaa akiwa na uniform za jeshi la Israel....Na Tamaa binaadamu zinatuponza daima...Na sio vizuri kuwatiya ubayana wa Palestine inavo onesha huyu Mzee amesha nyamazishwa Kwa pesa ..Ndio akaitwa special huko Israel ili asije sema ukweli...Sijasikiapo mtu akifa Kwa accident wakaitwa wazee wake huko Israel na anaogopa watanzania kuja kujuwa wakala Walaani Kwa kwenda kutaka kuwauwa ndugu zao Waislam... SubhanaAllah duniya hadaa Ulimwengu NI shujaa...Mola Ni mkubwa daima.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci +1

      Ukakasi upo,mwanachuo na bullet proof na wanajeshi wapi na wapi?

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 6 měsíci +1

    Mzee kweli hauko sawa', naona uko mbele ya kalenda, yaani umesafiri tar tarehe 14 , Mwezi wa 12 , Mwaka 2029..?...pole sana

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Před 6 měsíci

    Inasikitisha kuona kuna Watanzania wanabariki mauaji ya Mtanzania ...hizi dini inabidi tujitafakari....kwa namna yoyote niko kinyume na mauaji hasa ya watu wasio na hatia....Hata Ukienda Sudan kwenye mambo ya kitaaluma lazima utafundishwa mbinu za kujiokoa kwenye uvamizi kutokana na asili ya migogoro ya eneo husika!!!Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia.

    • @ellyitete938
      @ellyitete938 Před 6 měsíci

      Insumiza sana tunatopoka sn SS watz

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Kweli kabisa ndugu yangu,unatolewa hostel unapelekwa Kambini na kupewa mafunzo kamili,hata uvaaji wa bullet proof,ila usiweke neno udini,tunaongea uhalisia,ila umenimaliza UNAPEWA mbinu ya kujihami?😭😭😭😭

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w Před 6 měsíci +2

    Kama hakuwa mwanajeshi alikuwa akifanya nini kambini kwa jeshi mpaka avae bullet proof? Nauliza tu

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před 6 měsíci

    Pole sana kwa kufiwa na mwanao kwa ushauri waliobaki huko Israel kusoma warudi nyumbani

  • @amielraphael2927
    @amielraphael2927 Před 6 měsíci +2

    kwanza picha inaanza mzee alisafiri tarehe 24/12/2029

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂ebu tuache tuna majonzi kwanza

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před 6 měsíci

    💔💔🙏🏻

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 6 měsíci

    Mzee waachie haya mambo suala la kupoteza kijana linaumiza sana na hasa ktk mazingira ya kifo chake,naomba sana watz tuwe na utu haya sio maneno sahihi kwa mwenzetu huyu kama hujiskii kumfaraji basi usimuumize

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Před 6 měsíci +1

    😢😢😢😢

  • @hamudseif
    @hamudseif Před 6 měsíci +7

    Wameuwa wanajeshi watano kwenye chuo cha kilimo, amevaa nguo ya kuzuia risasi kwenye chuo cha kilimo

    • @lydialaurian4734
      @lydialaurian4734 Před 6 měsíci

      Vyuo havina ulinzi au?? Nbona watu mnajitoa ufahamu?? Ukizingatia hao maharamia sio makomandoo kwamba kuuawa iwe ni mtihani!

    • @hamudseif
      @hamudseif Před 6 měsíci

      @@lydialaurian4734 Nini maana ya maharamia..? Wayahud waliaua ndugu zao ili kutengeneza propaganda washindwe kuwaua wanafunzi( kama mnavowaita nyny )

    • @Mcbel331
      @Mcbel331 Před 6 měsíci

      Kwakweli maelezo tumesikia ila uki connect dots inaonekana lisemwalo lipo

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Před 6 měsíci +1

      Maelezo ya Mzee Mollel
      1. Katika kambi alokuwepo mwanae wameuwawa pia na Wanajeshi wa Israel
      -Kama ni Kambi ya Raia au Hostel Wanajeshi walikua wanafanya nin ?
      2. Mtoto wake alivaa Bullet proof,
      -Bullet proof kijana aliipata wapi ?
      -Tangia lini Raia anavaa Bullet proof?
      Maelezo ya Mzee yana ukakasi.

    • @Rmkh88
      @Rmkh88 Před 6 měsíci +1

      Kwa kweli mzee sijamuelewa kabisa ​@@BADILIKA

  • @e11said23
    @e11said23 Před 6 měsíci +1

    Pole sana mzee wangu nano lako zuri muachie mungu alafu umesikiza upande mmoja huwezi kupata ukweli

  • @user-ne2wd5rs1c
    @user-ne2wd5rs1c Před 6 měsíci

    Pole sana papa, dah inauma sana damu yako, kpenzi chako, kesho yako, hazina yako kutolewa uhai kinyama ama kwa namna yyte aise. Nmeumia sana kusikia na kumwona jinsi mzee anavyohangaikia mwanae japo kafariki lkn da. Pole sana baba angu. Njaakirip Enkai papa lai.

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Před 6 měsíci

    Basi nguo za Jeshi kofia hatari sana

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy Před 6 měsíci

    Alisafiri 2029 duuh!kweli mzee joshua ni nouma

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Watoto wanachanganya xn wazazi sijui niseme upumbafu ujinga,au tamaa

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 5 měsíci

    Aya Mambo Yasikie Kwa Mwenzako Lakini Siku Moja Ukiamka Na Kukuta Mtu Ambae Yuko Moyoni Mwako Ayuko Tena Duniani Ndipo Utajua Ujui Sema Tujifunze Kitu Ukiona Taifa Fulani Linaanza Migogoro Kwanini Familia Yako Ibaki Uko Ondoa Familia Alaka Mpama Ujilizishe Amani Ya Taifa Usika

  • @YusuphSadallah-um4sp
    @YusuphSadallah-um4sp Před 6 měsíci

    Pain

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 6 měsíci +1

    Siio maharamia baana,kama alikuwa amevaa bulet pluivuu uyo tayari alikuwa jeshi

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 6 měsíci

      Kumamake, eti pluivuuu😂😂... we kuma rudi shule ukasome acha kuzubaa mitandaoni mbwa ww

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Před 6 měsíci

      ​@@NgengeMkeni-uo5hqsiku zote mashoga ndo huwa wanatukanatukana hovyo na mashaka na wewe unaweza ukawa ni shoga na PAPA kaishaitangazia dunia mashoga wabarikiwe kuolewa.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      ​@@NgengeMkeni-uo5hqIle ya mama yko unayotomba na ule mkundu wake unaufira ukoje, ungemwambia bila kumtukania mamaake asingelewa wee ulienda shule ikakusaidia Nini,jibu ni jepesi kumtukania wenzio wazazi wao

  • @stevenkomanya1442
    @stevenkomanya1442 Před 6 měsíci +1

    Bado hujasema mzee utasema tu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 6 měsíci

    Baba usikatae san vijan huwa tuna tamaa huend ilikuw sir yake na huend ni usalama kaend kimafunzo sema kilimo tunazugwa but all in all pole sana

  • @kiondoshaghude4966
    @kiondoshaghude4966 Před 5 měsíci

    Mzee mnapoambiwa mukataze vijana wenu kuvaa mavazi yanayofanana na ya kijeshi ikiwa wao si wanajeshi hamsikii,, ila hii sasa itufanye tujifunze ukivaa nguo zinazofanana na za kijeshi basi uwe unayomafunzo yanayotokana mavazi hayo ila mkikatazwa mnaona mnaonewa .. ila poleni sana kwa tukio la Mtanzania mwenzetu... Ila alivaa mpaka bullet proof okay.. poleni sn

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Před 6 měsíci +1

    Cha kujiuliza kwamba kijana alivaaa bullet proof vest na hiyo huwezi kuipata chuoni hasa cha kilimo pili waliuwawa askari 5 hao askari walikua wanafanya nin hapo tatu dogo alivaa bukta ya kijeshi. Mbona kama kuna ukweli unafichwa hapo ikiwa alikua raia bullet proof aliipata wapi ? Mnatufanya sisi wapuuzi

    • @raymrash
      @raymrash Před 6 měsíci

      Kaka huu ni msiba wa ndugu yetu awe raia awe mwanajeshi huyu ni damu yetu. Ni uungwana kusimama na wafiwa Kwa kuwapa pole badala ya kudadisi mambo ambayo haiwezekani kuyajua kiundani

  • @user-om8ni4hg8m
    @user-om8ni4hg8m Před 4 měsíci

    Walijua mwanajeshi kupitia vazi lake ndani ya suruali , Tizama wanavyomvutavuta ile bukta ya jeshi inaonekana

  • @sssp1230
    @sssp1230 Před 6 měsíci

    Mngeandika "Arudi kutoka Israel" nasio Arudi Israel....