Video není dostupné.
Omlouváme se.

FURSA MBEYA: Ruge aelezea kinachowafelisha Watanzania kila siku

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 10. 2017
  • Fursa 2017 ilikuwa zamu ya Mbeya October 17, 2017 ambapo Watu wa Mbeya walipata darasa la bure kabisa kuhusu namna bora ya kujikwamua kiuchumi na kuongeza thamani ya vipato vyao vya kila siku.
    Mmoja wa waliokuwa wakitoa darasa hilo ni pamoja na Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba na hapa anatueleza namna watu wengi wanavyofeli katika maisha na namna wanavyoweza kuinuka wakiamua.

Komentáře • 17

  • @rosenoah2189
    @rosenoah2189 Před 5 lety +1

    Nitakukumbuka daima Ruge Mutahaba kwa kutufungulia njia ya kupambana katika utafugaji

  • @josephsiwale4983
    @josephsiwale4983 Před 6 lety +4

    kweli aiseeee
    pia shukrani millard kwa kutusogezea aya mambo mazuri be blessed bro
    by joseph siwale mbeya

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 6 lety +1

      karibu sana Joseph, nashukuru pia kwa kuniandikia comment yako

    • @josephsiwale4983
      @josephsiwale4983 Před 6 lety +1

      Millard Ayo
      usijali kaka napenda kazi yako be blessed bro
      0715193418
      karibu tena mbeya

    • @user-zj3ke9gc2u
      @user-zj3ke9gc2u Před 5 lety +1

      😢😢😢😢

  • @emaydickson4239
    @emaydickson4239 Před 5 lety +2

    nakubar sana fursa za hawa jamaa

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem

    Nimefatilia Mazungumuzo Yake Yani bc tuu Mungu Ndo Anajua Mchango MKubwa SANA

  • @annalisemayunga3632
    @annalisemayunga3632 Před 5 lety +2

    r.i.p kaka wa taifa

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 Před 6 lety +4

    Ni kweli kabisa alicho sema Ruge.

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 Před 5 lety +1

    R.I.P br

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 Před 5 lety +1

    Kweli shujaa umeenda dah

  • @ramadhanimagomba7395
    @ramadhanimagomba7395 Před 6 lety +3

    Aisee jamaa ana madini sana

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 6 lety +2

      asante sana Magomba kwa kutazama AyoTV

    • @magnusbugingo7471
      @magnusbugingo7471 Před 6 lety +1

      Ramadhani Magomba Aminia sana kaka mkubwa hivyo vitu ndo tunavyoitaji na vyenye uwezo wa kutupeleka mbele na sio vinginevyo

  • @petermbuligwe
    @petermbuligwe Před 5 lety +1

    mbona fursa ya mwaka 2018 hamtuoneshi , mnatunyima haki yetu jamani sisi ambao hatupo eneo husika.