Video není dostupné.
Omlouváme se.
FURSA MBEYA: Ruge aelezea kinachowafelisha Watanzania kila siku
Vložit
- čas přidán 17. 10. 2017
- Fursa 2017 ilikuwa zamu ya Mbeya October 17, 2017 ambapo Watu wa Mbeya walipata darasa la bure kabisa kuhusu namna bora ya kujikwamua kiuchumi na kuongeza thamani ya vipato vyao vya kila siku.
Mmoja wa waliokuwa wakitoa darasa hilo ni pamoja na Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba na hapa anatueleza namna watu wengi wanavyofeli katika maisha na namna wanavyoweza kuinuka wakiamua.
Nitakukumbuka daima Ruge Mutahaba kwa kutufungulia njia ya kupambana katika utafugaji
kweli aiseeee
pia shukrani millard kwa kutusogezea aya mambo mazuri be blessed bro
by joseph siwale mbeya
karibu sana Joseph, nashukuru pia kwa kuniandikia comment yako
Millard Ayo
usijali kaka napenda kazi yako be blessed bro
0715193418
karibu tena mbeya
😢😢😢😢
nakubar sana fursa za hawa jamaa
Nimefatilia Mazungumuzo Yake Yani bc tuu Mungu Ndo Anajua Mchango MKubwa SANA
r.i.p kaka wa taifa
Ni kweli kabisa alicho sema Ruge.
asante kwa kutazama Medard
R.I.P br
Kweli shujaa umeenda dah
Aisee jamaa ana madini sana
asante sana Magomba kwa kutazama AyoTV
Ramadhani Magomba Aminia sana kaka mkubwa hivyo vitu ndo tunavyoitaji na vyenye uwezo wa kutupeleka mbele na sio vinginevyo
mbona fursa ya mwaka 2018 hamtuoneshi , mnatunyima haki yetu jamani sisi ambao hatupo eneo husika.
Rip