Mnamdharirisha Mshikaji bila yeye kujua, hiyo Nguo ya kijeshi jeshi ikiwa full na koti lake inauzwa Tsh elfu 40, za kitanzania.. hicho kiatu kinauzwa elfu 45. za kitanzania.. kofia elfu 20 kwa 15. Unachukua.. na hiyo Tshet, ni Elfu 15, za kitanzania.. hivyo tu, kwa ufupi msitufanye wajinga tunaijua vyema thamani ya Dola.
Audemars piguet (AP) OG sio bei hiyo
Ni karibia mara 60 hadi 100 ya hyo bei
Upuuzi tu mtoto wa kiume hajisifu kweny kuvaa
Mnamcholesha Sana mchizi😂😂😂 na yeye anajibu daargh
Wape haoooo 😂😂😂 nimeipenda hiyooo
Mbuuzi 💥
Lunya lunya mbuzi tunakujua 😂😂😂😂 afu mbna hujang'aa
eti nguo garama
Kamwe huwezi kuwa mbuzi
MBUZI NI FID Q 2
Mkiugua Hamna hela mnaanza kutia uruma
Mkija kuomba michango kwa watu walikua wana save na kuvaa 70k full. Tutawaonesha izi video…
Mnamdharirisha Mshikaji bila yeye kujua, hiyo Nguo ya kijeshi jeshi ikiwa full na koti lake inauzwa Tsh elfu 40, za kitanzania.. hicho kiatu kinauzwa elfu 45. za kitanzania.. kofia elfu 20 kwa 15. Unachukua.. na hiyo Tshet, ni Elfu 15, za kitanzania.. hivyo tu, kwa ufupi msitufanye wajinga tunaijua vyema thamani ya Dola.
Aziuzwi kwa dollars uku msipigwe
Sisi tupo ugaibuni atupe Jina lailo vazi lakijeshi tuseme bei yake asiwapige weee izo dollar zote uku tunaziita makama flesh
Utupi shida tunakujuwa lunya wewe ni mze wa kujisifu