Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo
Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.
@@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.
Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin
Wanawake tunatakaga tu kujiumiza maana hawa wanaume kama wamezaliwa pamoja dada zangu tutafuten tu pesa maana
Sema dada katumia njia nyepesi sana kumuondoa tanisha kwa bwana ake hapo hatamuamini tena😅😅😅
😂😂😂 mim jamn moyo wang chuma kudadeki 😂😂
Mama yangu kevo amefika tz😅😅😅😅sasa kenya tumepumuwa waah kevo
😂😂
😂😂😂😂
We jamaa sku ukipigwamie simoo 😂😂
Me naomb unifanyie challenge plz 🙏🙏🙏 San Niko arusha njiro nawaomba San plz mr.uky and kiredio nawaomba San
Mwenye tatoo mmemwaribia tu kwa mabwana wengine kakosa amani
Nimesomanae huyodada namjuwa vizuri nyegezi sec Mwanza yunus mm latifa
Oya mtangazaji umemechi sana na tanisha
Majina ya kevoo nishida san
Jaman watanznia wana mambo kila jina lina ttzoo
Wanaume na pepo nisawa na maji na mafutaaaaa😊😅😅😅😅😅😢😢😢😂😂😂😂😂😂
Kasepa kajua kabisa nishaliwa dadeki
Wanaume mtafika mbinguni mmechoka kwa kwely😅
😂😂😂😂😂😂kw kwel
Jamaa kamchagua anayemtaka kwakujiongeza wauni tushaelewa🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Yan mm nnavyopenda minyamanyama huyo bonge nd cwezi kumpoteza na sio iko kimbaumbau cheupe
😂😂😂 dah
😂😂😂😂nmecheka
Namjua nimesoma nae hata jina lake sio hilo jaman,,watu tunafik mjini tunabadilisha majina duhh😂😂😂😂
Unamjua mchepuko au mke
Ila wanaume 😅😅 nacheka km mazur wallah Duuuh🙌🙌
Duuh majina ya kevoo🙌🙌
Kelvin
Kiukweli kabisa mwanamke mweusi anashawishi Sana hata ukimtazama tena watamu Sana Hana pooza joto Kama lote,
Mhhhh ya Kenya sasa tupo nayo BoNgo
Miak 2 yotee hiyo mim ningemovie one
Kudadek ujue anajua mzagamuano
😂😂😂😂wanaume hapana niliacha ujinga wa kumfatilia baada ya kujuwa anatembea na bwana yangu
😂😂
Pole tanisha
Zamda mama apo apakufai ..
Daah natamani Zamda aone comment yngu anichek, she's a wife material
Mimi namtafuta huyu kaka mr uky nampataje?
Hila we Mr uk utafika mbinguni umechoka
Na kiredio wake
Wanaume pepo mtaisikia tu😅😅
Nakpnd
😂😂😂😂😂😂 etii ana matatoo mengiii
Wanaume bwana
Hao wakina kevoooo
Aaah nimechoka kaulizwa mara ya kwanza unawqjua kasema ndio😅 mara ya pili kakataa hatua kumi😅
Asa Mbona kaondoka na yeye jmn
Jaman zamda pole mwaya duuh we n mrembo achana nae uyo bwana
Mbona uishi uishi Hadi mwisho jmn 😂😂😂😂
Akuna mwanaume wa mwanamke mmoja jaman tulieni tu kama uwez kaa na mwanaume basi kaa single
Hakuna mwanamke wa mwanamme mmoja in case you do know
Uchomvamishi tu ss unuhoji mtu alafu unaemuuliza yupo hp nia yk nn ndiodangaji
Mbona kama huyo mchepuko kwenye picha mzur live mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kevooo anaweza kula hta kilema😂
🤣🤣🤣
Dah🤣🤣
Huu ni utoto mwanaume anachagua mtu wa kuwanae jaman ukiona readflag sepa jaman acha kujizalilisha mwanawake mwenzangu yeuwiiiiiiiiiiiiiii
Bhana usipend post vitu nusu nusu unatutoa kwenye uwepo..ila wanaume 🙌🙌🙌🙌
Mwenyew sijapenda hii
Kwani kafunga nae ndoa
😂😂😂 this is men for you😂😂 men the will leave you in desert without water 😂😂 that it’s what happens to Tanisha.😂😂
Leo ndo nimeamini haya ni maigizo coz namuelewa vizuri huyo dada
😂😂😂 siku ya kuambiwa simfahamu unakula ndimu nzima nzima😺..
Hahahaha
Pat 2 please
Sawa
Mh jamn 🤐🤐🤐
Yaaani hivi unajua jamaaa anamtu na bado ukaamua kuendelea nae your not ok in mind yaaan unampendaje mtu Kiasi hicho
Ivi watu wanawezaje kupokea cm ngeni😅😅😅Yan me unaweza pga mpk ukakoma
Huyu mdada black beauty mie namfahamu namuonag mwanza
Next
Bonge mwezangu unapendwa mwaya asa huyo mwezangu na mie anaonekana ana mabwana wengi kihelehele pooo afu uje uombwe msamaha umpe tena aendelee kukuchezea 😅😅😅
Na uyo tanisha anaonekana ana maringo na dharau ndo mana kevoo ameona hapo ni bora asave kwa chaupole zamda
😢we kevoo wewe unahatarii
Wanawake tutafete hela huu sio wakati wa kugombania wanaume
Tatuu zimempoza nilitaka kusikia huwezi kuchaguliwa ukiwa mwanamke was ajabu hata uwe mweupe Kama mzungu
Jamn shda nn kujizalilisha khee😅😅😅😅kwani hakun alternative
😂😂😂😂😂 mm sinaga mda wakufatilia ata km mume wng atajijua mwenyw
😅😅😅😅😅tanisha mbn cimfahm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kwanza alisema imekuwaje wote wapo hapo,then anasema Tanisha mbona simjui😳😳😳fear men🏃🏃😤
Tanisha hatumjui bana mtu tattoo zote hizo tunamfahamia wapi😅
@@user-re8cp2if4jhatumjui kbs😂😂
Salut
Alafu atakae achwa na kevoo aje kwangu
Yani Mimi niwe ndiobtanasha Sina mda wakukaa hapo akati Sina uhakika wa kuchaguliwa Yani nazingua afu naondoka zangu sipo tayari kuachwaaa seh
Tanisha 😢 pol
Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo
Ni kweli unachosema but me naona kosa linatokana na pale ubapokuwa unamjua mke wake na ww unaenda tuu😢😅😅😅
Ulisikia wapi kunamwanaume anaishi na mpenzi 1 et
Pole zamda wetu ila wanaume watz kwakwer haya walishakosa nataman mfike njombe japo najua ningum
Ha ha ha ila zamda nimpole
Ikopoa lkn unatuacha vby nini kiliendelea baada ya hapo
party two ya wale wengine bdo hauja post na kila siku wahusika wapo mliman jmn hiv ni kwel au maigizo??
kesi za kevoo sasa ni too much
Duuh
Duuh 😢
Hzo tattoo lazima uchezewe tu, koma
Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.
Hakika unayosema tuvumiliane tu na subra ❤
Ebu Acha kua na mawazo finyu.....
Huo wako ni ujinga na nyie ndo wanaum wa hovyo kwan mwanamk han roho huo ni ufuska tu ulowajaa na laana
@@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.
@@abdulaziz703amri upi😂😂?
Mr uk , i wish nimuone gf wako😄
Huyo si zamda jmn nae anabwana mmoja kumbe😅😅😅
Na wew alokujaza uo ujinga kwamba kuna mwanamke wa mwanaume mmoja nani?
Apo uyo black ana pesa au uyo white mtamu kwahy sasa kila mmoja na nafasi yake
Mi nisinge mtafuta
Nyie wanawake acheni kuwalaumu wanawake ambao wanatembea na waume.zenu kuwa amekuchukulia yeye ametongozwa kama wewe ka mlaumu mumeo
😅😅
5:01
😢
😂😂😂
😂😂😂😂
Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin
Hiiiii kumbe
Kevoooo 😅😅😅😅
Watu mna moyo jamn Yani mwanaume tu ndo nimuangaikie hivy ten sio mme akwendreee
We pamoj na mm
Mpenzi tuu ndo una mhangaikia hivyo😂😂😂😂 angekuwa mume
😂😂😂😂😂😂
Shida sio mpenzi kunamagonjwa ndiomana unaona watu wanaangaika