MCHEPUKU ABANANISHWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 11. 2023
  • Dada alie chukua namba Ya mchepuko na kumtafutaa......

Komentáře • 143

  • @user-zs5en7oy1x
    @user-zs5en7oy1x Před 3 měsíci +11

    Wanawake tunatakaga tu kujiumiza maana hawa wanaume kama wamezaliwa pamoja dada zangu tutafuten tu pesa maana

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 7 měsíci +5

    Sema dada katumia njia nyepesi sana kumuondoa tanisha kwa bwana ake hapo hatamuamini tena😅😅😅

  • @MarryPatrick-kl2vk
    @MarryPatrick-kl2vk Před měsícem +4

    😂😂😂 mim jamn moyo wang chuma kudadeki 😂😂

  • @godsfavour1603
    @godsfavour1603 Před 2 měsíci +7

    Mama yangu kevo amefika tz😅😅😅😅sasa kenya tumepumuwa waah kevo

  • @user-vm5gq7ms8v
    @user-vm5gq7ms8v Před 4 měsíci +6

    We jamaa sku ukipigwamie simoo 😂😂

  • @LeahPhilipo-kx8yn
    @LeahPhilipo-kx8yn Před 3 dny

    Me naomb unifanyie challenge plz 🙏🙏🙏 San Niko arusha njiro nawaomba San plz mr.uky and kiredio nawaomba San

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 Před měsícem +4

    Mwenye tatoo mmemwaribia tu kwa mabwana wengine kakosa amani

  • @LatifaYusufu-eo9bz
    @LatifaYusufu-eo9bz Před měsícem

    Nimesomanae huyodada namjuwa vizuri nyegezi sec Mwanza yunus mm latifa

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 Před 3 měsíci +2

    Oya mtangazaji umemechi sana na tanisha

  • @user-bi9lh1kk1i
    @user-bi9lh1kk1i Před 7 měsíci +4

    Majina ya kevoo nishida san

    • @BeatriceDismas
      @BeatriceDismas Před 3 měsíci

      Jaman watanznia wana mambo kila jina lina ttzoo

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Před 7 měsíci +4

    Wanaume na pepo nisawa na maji na mafutaaaaa😊😅😅😅😅😅😢😢😢😂😂😂😂😂😂

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Před 2 měsíci +3

    Kasepa kajua kabisa nishaliwa dadeki

  • @user-qs2tq8ke1v
    @user-qs2tq8ke1v Před 7 měsíci +8

    Wanaume mtafika mbinguni mmechoka kwa kwely😅

  • @niyukurininettejoshua5665
    @niyukurininettejoshua5665 Před 7 měsíci +5

    Jamaa kamchagua anayemtaka kwakujiongeza wauni tushaelewa🤣🤣

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 7 měsíci +2

    Yan mm nnavyopenda minyamanyama huyo bonge nd cwezi kumpoteza na sio iko kimbaumbau cheupe

  • @MariumEzekiel
    @MariumEzekiel Před 2 měsíci +2

    Namjua nimesoma nae hata jina lake sio hilo jaman,,watu tunafik mjini tunabadilisha majina duhh😂😂😂😂

  • @rahmamsangi2190
    @rahmamsangi2190 Před měsícem

    Ila wanaume 😅😅 nacheka km mazur wallah Duuuh🙌🙌

  • @user-mf1gm8cx9c
    @user-mf1gm8cx9c Před 7 měsíci +1

    Duuh majina ya kevoo🙌🙌

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 Před 7 měsíci +1

    Kiukweli kabisa mwanamke mweusi anashawishi Sana hata ukimtazama tena watamu Sana Hana pooza joto Kama lote,

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 Před 7 měsíci

    Mhhhh ya Kenya sasa tupo nayo BoNgo

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py Před 7 měsíci +1

    Miak 2 yotee hiyo mim ningemovie one

  • @zahirimaulidi4702
    @zahirimaulidi4702 Před měsícem

    Kudadek ujue anajua mzagamuano

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Před 7 měsíci +5

    😂😂😂😂wanaume hapana niliacha ujinga wa kumfatilia baada ya kujuwa anatembea na bwana yangu

  • @daliahmachendenice8543
    @daliahmachendenice8543 Před 7 měsíci +2

    Pole tanisha

  • @user-jg3ek6ot3u
    @user-jg3ek6ot3u Před 7 měsíci +1

    Zamda mama apo apakufai ..

  • @JamalManzi
    @JamalManzi Před měsícem +1

    Daah natamani Zamda aone comment yngu anichek, she's a wife material

  • @NairathIddy
    @NairathIddy Před 6 dny

    Mimi namtafuta huyu kaka mr uky nampataje?

  • @user-xf1si9vd1j
    @user-xf1si9vd1j Před 4 měsíci +1

    Hila we Mr uk utafika mbinguni umechoka

  • @PendoUrasa
    @PendoUrasa Před 7 měsíci +2

    Wanaume pepo mtaisikia tu😅😅

  • @BarkixSeiph
    @BarkixSeiph Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 etii ana matatoo mengiii

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 Před 6 měsíci

    Wanaume bwana

  • @jescamkemwa9462
    @jescamkemwa9462 Před měsícem

    Hao wakina kevoooo

  • @Puxladen
    @Puxladen Před 4 měsíci

    Aaah nimechoka kaulizwa mara ya kwanza unawqjua kasema ndio😅 mara ya pili kakataa hatua kumi😅

  • @user-wk5km6di9c
    @user-wk5km6di9c Před 7 měsíci +2

    Asa Mbona kaondoka na yeye jmn

  • @praxedantale7817
    @praxedantale7817 Před 7 měsíci +1

    Jaman zamda pole mwaya duuh we n mrembo achana nae uyo bwana

  • @user-hb7oh7fg4z
    @user-hb7oh7fg4z Před 7 měsíci

    Mbona uishi uishi Hadi mwisho jmn 😂😂😂😂

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k Před měsícem

    Akuna mwanaume wa mwanamke mmoja jaman tulieni tu kama uwez kaa na mwanaume basi kaa single

    • @sophiemtitu9921
      @sophiemtitu9921 Před měsícem

      Hakuna mwanamke wa mwanamme mmoja in case you do know

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před měsícem +1

    Uchomvamishi tu ss unuhoji mtu alafu unaemuuliza yupo hp nia yk nn ndiodangaji

  • @FadhilaSalim-uy6jq
    @FadhilaSalim-uy6jq Před měsícem

    Mbona kama huyo mchepuko kwenye picha mzur live mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AngelTitus-sq7et
    @AngelTitus-sq7et Před 7 měsíci

    Kevooo anaweza kula hta kilema😂

  • @Lilian-le7dc
    @Lilian-le7dc Před 4 měsíci +3

    Huu ni utoto mwanaume anachagua mtu wa kuwanae jaman ukiona readflag sepa jaman acha kujizalilisha mwanawake mwenzangu yeuwiiiiiiiiiiiiiii

  • @user-ih6iv9hd8p
    @user-ih6iv9hd8p Před 7 měsíci +1

    Bhana usipend post vitu nusu nusu unatutoa kwenye uwepo..ila wanaume 🙌🙌🙌🙌

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Před měsícem

    Kwani kafunga nae ndoa

  • @liyloveonimakeuptv2400
    @liyloveonimakeuptv2400 Před 6 měsíci +2

    😂😂😂 this is men for you😂😂 men the will leave you in desert without water 😂😂 that it’s what happens to Tanisha.😂😂

  • @officialludahtz8152
    @officialludahtz8152 Před 2 měsíci

    Leo ndo nimeamini haya ni maigizo coz namuelewa vizuri huyo dada

  • @tedytitus7205
    @tedytitus7205 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂 siku ya kuambiwa simfahamu unakula ndimu nzima nzima😺..

  • @rosemaryrenatus8064
    @rosemaryrenatus8064 Před 7 měsíci

    Pat 2 please

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk Před 7 měsíci

    Sawa

  • @NasmaMfinanga
    @NasmaMfinanga Před 3 měsíci

    Mh jamn 🤐🤐🤐

  • @angelshonza8236
    @angelshonza8236 Před měsícem

    Yaaani hivi unajua jamaaa anamtu na bado ukaamua kuendelea nae your not ok in mind yaaan unampendaje mtu Kiasi hicho

  • @husnagel
    @husnagel Před měsícem

    Ivi watu wanawezaje kupokea cm ngeni😅😅😅Yan me unaweza pga mpk ukakoma

  • @user-vt4fr9ng8x
    @user-vt4fr9ng8x Před 3 měsíci

    Huyu mdada black beauty mie namfahamu namuonag mwanza

  • @user-bb7lc9td6o
    @user-bb7lc9td6o Před 4 měsíci

    Next

  • @angolina1768
    @angolina1768 Před 7 měsíci

    Bonge mwezangu unapendwa mwaya asa huyo mwezangu na mie anaonekana ana mabwana wengi kihelehele pooo afu uje uombwe msamaha umpe tena aendelee kukuchezea 😅😅😅

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 Před 7 měsíci

      Na uyo tanisha anaonekana ana maringo na dharau ndo mana kevoo ameona hapo ni bora asave kwa chaupole zamda

  • @user-ky7ne4uo4f
    @user-ky7ne4uo4f Před měsícem

    😢we kevoo wewe unahatarii

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 2 měsíci

    Wanawake tutafete hela huu sio wakati wa kugombania wanaume

  • @user-js4bu1jp7n
    @user-js4bu1jp7n Před 2 měsíci

    Tatuu zimempoza nilitaka kusikia huwezi kuchaguliwa ukiwa mwanamke was ajabu hata uwe mweupe Kama mzungu

  • @jescachandarua5898
    @jescachandarua5898 Před 4 měsíci

    Jamn shda nn kujizalilisha khee😅😅😅😅kwani hakun alternative

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂 mm sinaga mda wakufatilia ata km mume wng atajijua mwenyw

  • @user-kn8bm3kt1j
    @user-kn8bm3kt1j Před 5 měsíci

    😅😅😅😅😅tanisha mbn cimfahm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @devothabishagazi9360
    @devothabishagazi9360 Před 7 měsíci +2

    Kwanza alisema imekuwaje wote wapo hapo,then anasema Tanisha mbona simjui😳😳😳fear men🏃🏃😤

    • @user-re8cp2if4j
      @user-re8cp2if4j Před 7 měsíci

      Tanisha hatumjui bana mtu tattoo zote hizo tunamfahamia wapi😅

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Před 7 měsíci

      ​@@user-re8cp2if4jhatumjui kbs😂😂

  • @user-rb3ct9gk6m
    @user-rb3ct9gk6m Před 5 měsíci

    Salut

  • @user-yz3eg6ge8z
    @user-yz3eg6ge8z Před 3 měsíci

    Alafu atakae achwa na kevoo aje kwangu

  • @neemamabena-xx5er
    @neemamabena-xx5er Před 2 měsíci

    Yani Mimi niwe ndiobtanasha Sina mda wakukaa hapo akati Sina uhakika wa kuchaguliwa Yani nazingua afu naondoka zangu sipo tayari kuachwaaa seh

  • @user-eu9op8ie7p
    @user-eu9op8ie7p Před 7 měsíci

    Tanisha 😢 pol

  • @anithamsaki2040
    @anithamsaki2040 Před 3 měsíci

    Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo

    • @user-vh1xo2we9y
      @user-vh1xo2we9y Před 2 měsíci

      Ni kweli unachosema but me naona kosa linatokana na pale ubapokuwa unamjua mke wake na ww unaenda tuu😢😅😅😅

  • @rehemamgata224
    @rehemamgata224 Před 7 měsíci

    Ulisikia wapi kunamwanaume anaishi na mpenzi 1 et

  • @elizabethaniseth4560
    @elizabethaniseth4560 Před 7 měsíci

    Pole zamda wetu ila wanaume watz kwakwer haya walishakosa nataman mfike njombe japo najua ningum

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l Před 29 dny

    Ha ha ha ila zamda nimpole

  • @khamismtaly3825
    @khamismtaly3825 Před 6 měsíci

    Ikopoa lkn unatuacha vby nini kiliendelea baada ya hapo

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Před 7 měsíci

    party two ya wale wengine bdo hauja post na kila siku wahusika wapo mliman jmn hiv ni kwel au maigizo??

  • @FAUSTAMBAGA
    @FAUSTAMBAGA Před měsícem

    kesi za kevoo sasa ni too much

  • @Evelinweek
    @Evelinweek Před 7 měsíci +1

    Duuh

  • @EvelinJuma
    @EvelinJuma Před 4 měsíci

    Duuh 😢

  • @RACHELFESTO-pt6fv
    @RACHELFESTO-pt6fv Před 4 měsíci

    Hzo tattoo lazima uchezewe tu, koma

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 Před 7 měsíci +16

    Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.

    • @fauzenkassim8424
      @fauzenkassim8424 Před 7 měsíci +1

      Hakika unayosema tuvumiliane tu na subra ❤

    • @hamisahodari9229
      @hamisahodari9229 Před 4 měsíci +8

      Ebu Acha kua na mawazo finyu.....

    • @madammbago9787
      @madammbago9787 Před 4 měsíci +5

      Huo wako ni ujinga na nyie ndo wanaum wa hovyo kwan mwanamk han roho huo ni ufuska tu ulowajaa na laana

    • @abdulaziz703
      @abdulaziz703 Před 4 měsíci

      @@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x Před 4 měsíci

      ​@@abdulaziz703amri upi😂😂?

  • @user-tc1tl1sg5i
    @user-tc1tl1sg5i Před 3 měsíci

    Mr uk , i wish nimuone gf wako😄

  • @NeemaPatrick-jw9vv
    @NeemaPatrick-jw9vv Před 6 měsíci

    Huyo si zamda jmn nae anabwana mmoja kumbe😅😅😅

  • @user-qc3lj4qx8k
    @user-qc3lj4qx8k Před 4 měsíci

    Na wew alokujaza uo ujinga kwamba kuna mwanamke wa mwanaume mmoja nani?

  • @dolphintv8772
    @dolphintv8772 Před 7 měsíci

    Apo uyo black ana pesa au uyo white mtamu kwahy sasa kila mmoja na nafasi yake

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Před měsícem

    Mi nisinge mtafuta

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug Před měsícem

    Nyie wanawake acheni kuwalaumu wanawake ambao wanatembea na waume.zenu kuwa amekuchukulia yeye ametongozwa kama wewe ka mlaumu mumeo

  • @annandajilo2831
    @annandajilo2831 Před 7 měsíci

    😅😅

  • @user-rb3ct9gk6m
    @user-rb3ct9gk6m Před 5 měsíci

    5:01

  • @user-pv6kr1bm1e
    @user-pv6kr1bm1e Před 2 měsíci

    😢

  • @MarySimoni-tz3fm
    @MarySimoni-tz3fm Před 3 měsíci

    😂😂😂

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @hildakipalile7749
    @hildakipalile7749 Před 7 měsíci +2

    Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin

  • @devothabishagazi9360
    @devothabishagazi9360 Před 7 měsíci +2

    Kevoooo 😅😅😅😅

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr Před 7 měsíci

    Watu mna moyo jamn Yani mwanaume tu ndo nimuangaikie hivy ten sio mme akwendreee

  • @LydiaStephano
    @LydiaStephano Před 7 měsíci +2

    Mpenzi tuu ndo una mhangaikia hivyo😂😂😂😂 angekuwa mume

    • @Roggy2711
      @Roggy2711 Před 7 měsíci

      😂😂😂😂😂😂

    • @jonsiamarcus5863
      @jonsiamarcus5863 Před 7 měsíci

      Shida sio mpenzi kunamagonjwa ndiomana unaona watu wanaangaika