AIBU YA MWAKA, KAPEWA GARI SKU YA GRADU KUMBE ANACHEAT

Sdílet
Vložit

Komentáře • 443

  • @amosmahwago6496
    @amosmahwago6496 Před 8 měsíci +154

    Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,

    • @davicekombe4932
      @davicekombe4932 Před 8 měsíci +8

      Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani

    • @gedrickgerazi210
      @gedrickgerazi210 Před 8 měsíci +8

      Dah kweli Nimecheka sana yaani dem unashindwa kumjua boi wako mwenye hela

    • @dreamer123.
      @dreamer123. Před 8 měsíci +8

      Hahaha huyo atakuwa nao wenye hela kibao....😅

    • @gedrickgerazi210
      @gedrickgerazi210 Před 8 měsíci +1

      Hakika ila Si wakumpa gari ila udsm 🙌🙌😂

    • @immanueljoseph7190
      @immanueljoseph7190 Před 8 měsíci +2

      Dah imekatika kama umeme!!??

  • @user-gb2rt7tj2m
    @user-gb2rt7tj2m Před 8 měsíci +11

    Daaaaaaaah uyo mwanake hatari malaya uyo hafai kbs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kiredio hongera sana unafanya kazi vzr sana

  • @qinakimaka5308
    @qinakimaka5308 Před 8 měsíci +44

    Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.

    • @edgarndoleki8827
      @edgarndoleki8827 Před 8 měsíci

      Pole sana kama ni wew kwer

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy Před 8 měsíci

      Na hakuna atakae kuja kukununulia gari aiseee,

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Před 8 měsíci

      😂😂😂😂uyu mtangazaji eti kumamake daaaaa amejisahahu kama Kuna camera

  • @murielchikoko1165
    @murielchikoko1165 Před 8 měsíci +5

    Umalaya umezidi kashajiona mzuri kila bwana wake akome😂😂😂😂😂

  • @nadomkalikwanza5550
    @nadomkalikwanza5550 Před 8 měsíci +31

    daah huyo manzi anaweza kwenda kujinyonga ebu mfuatilieni 😂😂😂

  • @johnmdee7963
    @johnmdee7963 Před 8 měsíci +7

    😂😂😂 nmeipenda hiyo kwanza mapenzi shikamoo

  • @Moses.Waszczykowski
    @Moses.Waszczykowski Před 8 měsíci +40

    USIKUTE BENN NDO ANAMLETEAGA SANA AHADI ZA UWONGO ZA KUMNUNULIA GARI ILA HUYU DADA USHUHUDA HUU HADI KWA WAJUKUU😂😂😂

  • @7Ammy69
    @7Ammy69 Před 8 měsíci +10

    Katika kazi zako hiiii ndio nimeikubal sana 🎉

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 Před 8 měsíci +3

    😂😂😂 kazi nzuri kiredio 👏👏🔥🔥

  • @ShijaBugumba
    @ShijaBugumba Před 8 měsíci +7

    Yote Tisa inshallah kumi mapenzi shikamoooo

  • @aliaboud9202
    @aliaboud9202 Před 8 měsíci +5

    Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu demu anaachwa na wote

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 8 měsíci +81

    Udism malaya wakutosha sana,Hongera kiredio rudisha gari langu yard kaka! Vijana tunajitolea sana kisa hizi nguruwe lkn hawanaga akili kabisa

    • @KHABISIBRAH
      @KHABISIBRAH Před 8 měsíci +4

      Mbona usinipe mm nifate tu iringa

    • @najimafaustine1881
      @najimafaustine1881 Před 8 měsíci +4

      Pole sana

    • @user-ji9fv8se7e
      @user-ji9fv8se7e Před 8 měsíci +4

      Nipende mm kaka😂😂😂😂

    • @agriparose3942
      @agriparose3942 Před 8 měsíci +3

      Si ujege huku baba

    • @nnieraudhwa8611
      @nnieraudhwa8611 Před 8 měsíci +1

      Kama ni wewe seriously polee sanaa kaka but Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu amini katika yeye na atakupa mwanamke anae kustahili🙏🙏

  • @Sharifajafari-ys6gx
    @Sharifajafari-ys6gx Před 18 dny

    Jamani umalaya uuu jamani apana kaaaa ebu nitulie na mume wangu pengine anaweza nijalibu kama Ivo bule😂

  • @user-jd8lu1bk8k
    @user-jd8lu1bk8k Před 8 měsíci +11

    Kuna la kujifunza kwa wanawake wasiotaka kutulia na mwanaume mmojaa😢❤

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman Před měsícem

    Hamupendi ndo maana kataja jina lingine nakuondoka ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂clip hiyi nipeipenda duuui wadada wadogo mambo makubwa

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 Před 8 měsíci +3

    Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 Před 8 měsíci +14

    Nimehisi mm roho imeniuma😢😢😢😢😢😢 ndio maana mm nakuaga na wanaume mmoja Tu hata usingizini ukiniamsha namtaja 😢😢😢😢kakosa ndinga naumia mm😂😂😂😂😂

    • @abuumayunga3349
      @abuumayunga3349 Před 8 měsíci +2

      😂😂😂 Unakuaga na WANAUME MMOJA?.. NDIO NYINYI NYOTE

    • @user-xl3id7yc3u
      @user-xl3id7yc3u Před 8 měsíci

      Elewa neno wanaume 😂😂😂😂

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Před 8 měsíci

      Hahahah mbona kama keyboard imekusaliti vile "wanaume mmoja" au sio😂

    • @ibn__ibn
      @ibn__ibn Před 8 měsíci

      WANAUME MMOJA ..it's plural 😂😂
      We ni walewale wakina ..irine magari😂

  • @MaryamSuleiman-xs5ph
    @MaryamSuleiman-xs5ph Před 8 měsíci +1

    Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂

  • @fridakimwanya1158
    @fridakimwanya1158 Před 8 měsíci +1

    Duh umekosa ivi ivi hahah benny popote ulipo mpo wengi kwa uyu dada😂😂😂

  • @felicianmabepe3958
    @felicianmabepe3958 Před 8 měsíci +1

    ametajwa BENNY wakacheka kwanza😂😂,,

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 8 měsíci +5

    Huyo msichana hamtaki huyo jamaa ndo maana kaacha kila kitu na yeye anampenda ben😂

    • @MASAWE302
      @MASAWE302 Před 8 měsíci

      Ben mwenyewe ametajwa kashaka na yeye yupo Rehan

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 Před 8 měsíci

      Ben mwenyewe utakuta muuni zaid yake😂

  • @ibraahmfw1147
    @ibraahmfw1147 Před 2 měsíci

    Hii ni "Big project"... Safi sana Bro... MADEM WAZINGUAJI MNOO 😂😂😂

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy Před 8 měsíci

    Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 Před 8 měsíci +1

    Haka kamalaya kanaongea... Aibu naona Mimi mamake 😂😂

  • @mathiassakwa1551
    @mathiassakwa1551 Před 8 měsíci +3

    Kiredio msenge sana et Kumamae😂😂😂

  • @philipocharles8507
    @philipocharles8507 Před 8 měsíci +4

    Uskute ben ni mme wa mtu😅

  • @user-qv6ou3nu5s
    @user-qv6ou3nu5s Před 8 měsíci +4

    Good job kiredio 😂

  • @user-yb2qy8mb9u
    @user-yb2qy8mb9u Před 8 měsíci +1

    Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺

  • @fkimwaga
    @fkimwaga Před 8 měsíci +15

    kazi yako njema kaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wilonderby
    @wilonderby Před 8 měsíci +5

    Dah na unakuta mwana alikua yeye ndo boom mpaka anamaliza Chuo aise nimesikitika kama kiredio aisee 😔 kiredio kabaki kujilaumu Tu maskini dah.

  • @medyelira
    @medyelira Před 8 měsíci +2

    Ukute bro alkuwaga hajionyeshi anapesa mbele ya dem🤣🤣🤣kamtaja sponsor BEN ye hana huo mdaaa. Ndo ujifunze🙄

  • @user-gn6jz4qf7o
    @user-gn6jz4qf7o Před 8 měsíci +4

    Wanaume na wanawake wote malaya tuu sikuizi, ubahatishe saana kupata mwenzi atakaetulia kwenye mahusiano

  • @oshenifrank614
    @oshenifrank614 Před 8 měsíci +16

    #kiredio hii kityu sijawahi ona Kwene channel yoyote Toka niache kumiliki smart Leo ndo Kwa mara ya kwanza naona kwako big up broo

    • @Keyjop
      @Keyjop Před 8 měsíci

      Ooh! Wana Fanya saana wa Nigeria mpendwa 😂😂😂

    • @user-wm6eh9ri9f
      @user-wm6eh9ri9f Před 8 měsíci

      Kenya wamejaa kibao wakina kiredio wanavunja hadi ndoa za watu kiredio ameiga tu

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 8 měsíci +3

    maigizo yako mazuri kijana hongera unajua kuzipanga

  • @user-uc7pp3lw1r
    @user-uc7pp3lw1r Před 8 měsíci +4

    😢😢😢 daaah mapenz shikamo 😂😂

  • @asiakise2072
    @asiakise2072 Před 8 měsíci +1

    Eti mwanaume anakupenda na kukununulia Hadi gar anawapa kiredio akuletee😂😂

  • @user-sc9rh9qy7k
    @user-sc9rh9qy7k Před 8 měsíci +15

    Daaaaa ndo maana halisi ya uaminifu, adi moyo umepasukaaaa 💔💔💔

  • @user-ih1rj8ov8j
    @user-ih1rj8ov8j Před 8 měsíci

    Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔

  • @chrisstemba
    @chrisstemba Před 8 měsíci +2

    Aaah kumamakee msenge huyo ukute uyo beny ni mpiga tofali anaacha ndinga

  • @sein.208
    @sein.208 Před 8 měsíci +7

    Yaani ndiyo kamaliza chuo alafu akili ziro hatari

  • @bahatkisam8367
    @bahatkisam8367 Před 8 měsíci

    Hahahahahaha sjui nacheka nn ila😂😂😂😂😂 ni huzuniii

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 8 měsíci +2

    uhun mbay😂😂😂😂 kakos tako la nyani 😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Před 8 měsíci

    umetisha kiredio

  • @rusiabyaombe5494
    @rusiabyaombe5494 Před 8 měsíci +3

    Aaah weee moyo wangu mimi nimeumia kama ni mimi vile

  • @its.ramadjr751
    @its.ramadjr751 Před 8 měsíci +1

    Hio kmmk ya mwisho umesahau kuitoa mbonaa😅😅😅😅

  • @khatibuahmad6400
    @khatibuahmad6400 Před 8 měsíci

    Daaàah kiredio umempa manz mtihan mmoja mwepes San na mgumu pia kakosa ndiga kizembe ivi. ivi 😂😂😂

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 Před 8 měsíci +13

    sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂

    • @teddyemmanuelyemailteddyemmanu
      @teddyemmanuelyemailteddyemmanu Před 8 měsíci

      😂😂😂😂😂

    • @Officalnaph
      @Officalnaph Před 8 měsíci

      Ni uongo ni usanii

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 8 měsíci +1

      Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 Před 8 měsíci +5

    Kaka achana na content zako zote, shikilia hapa hapa unafanya kazi ya kijamii 😂

  • @prospermmary1388
    @prospermmary1388 Před 8 měsíci +1

    Mm ndo ben na sikutaki tena 😂😂

  • @AcrayMdemu-td4kr
    @AcrayMdemu-td4kr Před 8 měsíci +2

    😂😂Umetishaaaaaa

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před 8 měsíci +1

    Nliwambia nyie mtajavunja mahusiano ya watu na ndoa pia mumeona🤣🤣🤣😜😜

  • @yusuphchiputa4809
    @yusuphchiputa4809 Před 8 měsíci +1

    Au alikua na mabahasha wenye Hela wengi daah..😂

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 Před 8 měsíci +3

    Daaaaa Mungu wanguuu

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py Před 8 měsíci +1

    Michepuko so dirii Beniii😅😅😅😂😂

  • @zalhahmustaph7219
    @zalhahmustaph7219 Před 8 měsíci

    Ndio mana mm surprise czitak hta kuziona kabsaaa 😄😄😄

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Před 8 měsíci +2

    Hiyo gari si nipewe mm tu😢😂

  • @DavidMido
    @DavidMido Před 8 měsíci

    Daah nimeielewa sna ii clip yaan ,demu ana Mpenz Ambye ana uwezo wa kumpa gar lkn bdo tuu

  • @BerthaEdward
    @BerthaEdward Před 8 měsíci +3

    Daah 💔💔💔Iyo imeenda

  • @jabirkhamis5301
    @jabirkhamis5301 Před 8 měsíci +3

    Nimecheka ki KU###### "ETI KWENYE MA BOYFRIENDS ZAKO UNASHINDWA KUMJUA MTU MWENYE HELA MWANANGU"😂😂😂😂😂😂😂

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 Před 8 měsíci

      Hiki kisa kifatilie vizuri unaambiwa huyo jamaa mwenyewe anaishi life la kawaida sana tu kama bwege halafu sio kwamba anamkwanjaa saaana

  • @ZTsix
    @ZTsix Před 8 měsíci +3

    Sema kiredio umechoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emanuelmaeda7809
    @emanuelmaeda7809 Před 8 měsíci +3

    Reality at it peak

  • @deomaster77
    @deomaster77 Před 8 měsíci +16

    Yani kiredio kaumia utadhani yeye ndy alikuwa anapewa hilo gari😂😂😂

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 Před 8 měsíci +1

      Hapana we kama mwanaume utahisi anachohisi mshua huko home au kazini anapambana kwa ajili ya huyo mwisho anadhihirsha alivhokua anamficha cku zote

    • @restjaca82
      @restjaca82 Před 8 měsíci

      Itakuwa mume wa mtu alafu awajazoeana we angemzoea asingebabaika

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 8 měsíci +4

    Duuuh kidada Kikware balaa dah 🙌🇶🇦

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 8 měsíci +7

    Ningekua mim najijua nnamabwana wengi ningeondoka ata singeotea

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl Před 8 měsíci +1

    Usha haribu graduation ya mtu hapo😅

  • @collinspius5480
    @collinspius5480 Před 8 měsíci +3

    Ubunifu mzuri

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 Před 8 měsíci +14

    😂😂😂😂😂 kaacha gari sababu ya mwanaume wengi

    • @SupermanOman-qd6sd
      @SupermanOman-qd6sd Před 8 měsíci +1

      Maraya mm ningechukua tu

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 Před 8 měsíci

      @@SupermanOman-qd6sd usikute huyo Mwanaume anamjua ben ndy maana kashindwa

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 Před 8 měsíci

      Mi ningepambana alafu ningemwambia ben ni kk Yangu we mbele ya ndinga ningejua Cha kujieleza 😂😂😂😂

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 Před 8 měsíci

      @@zawadichalale4047 🤣🤣🤣 akili inaruka unachanganyikiwa kwa mda chezea kuchanganya dozi wewe 🤣🤣

  • @mwanaSalim-re4pn
    @mwanaSalim-re4pn Před 8 měsíci +3

    Mmmh kwan tamaa za waume wengi za nni mwanamke mzima

  • @realdude64
    @realdude64 Před 8 měsíci +1

    Ben kachana mkeka wa dada😂😂😂😂

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 Před 8 měsíci +1

    Hawa mabinti wa University wanakuwaga hivyo yani mahusiano kwao ni kama thamthilia anakuwaga na msururu wa wanaumwe lukuki kwa hiyo hakuna la ajabu hapo 😂😅

  • @doreenogola
    @doreenogola Před 8 měsíci

    Hujui kazi yako kijana unamkubalia kushika simu mbona

  • @jumalimbende4021
    @jumalimbende4021 Před 8 měsíci

    mnaachia matusi tu wasenge nyio😂😂😂😂😂

  • @Jonah_lee.
    @Jonah_lee. Před 8 měsíci

    Eti kirediooo 😂😂😂😂 tamaaa mbaya sana

  • @joakimndanga1170
    @joakimndanga1170 Před 8 měsíci

    😂😂😂 kiredio kama wewe ndo umekosa gari unavyo sikitika😂😂😂

  • @Jostany
    @Jostany Před 8 měsíci

    Ireneeee😂😂😂😂😂 huyuuu

  • @user-xt1ci3px3f
    @user-xt1ci3px3f Před 8 měsíci +1

    Loh jamani nimeumia Sana. Dada hata maua kaona mazito😂😂😂😂😂😂

  • @user-jy5rw2kx1w
    @user-jy5rw2kx1w Před 8 měsíci

    😂😂😂😂kaishiwa poz

  • @michaelmchome6067
    @michaelmchome6067 Před 6 měsíci

    Kiredio umetukana apo mwisho😂😂😂

  • @kendrickoffset981
    @kendrickoffset981 Před 8 měsíci

    😂😂😂🤣😂🤣😂😂😂kakosa kitu muhimu kila tamaa

  • @silamwamlima2758
    @silamwamlima2758 Před 8 měsíci

    Hiyo nimeipenda

  • @mzalendotz667
    @mzalendotz667 Před 8 měsíci

    umetukana kaka😁😁

  • @user-vj2go2xk8x
    @user-vj2go2xk8x Před měsícem

    Mh aibu naona mm jaman 😢😅😂😂

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před měsícem

    Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Před 7 měsíci

    Uaminifu kitu cha msingi sna😂😂😂😂

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 Před 8 měsíci

    Kuma make mademu wa sikuu izi daaaah😅😅😅😅😅

  • @witnessinary7807
    @witnessinary7807 Před 8 měsíci +3

    Wadada wa chuo😃😃😃😃

  • @dinaalfani
    @dinaalfani Před 8 měsíci

    Mmh.kiredio honger sn njoo na huku ukomeshe wachepukaj jmn n ayb kw kwel

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před měsícem

    umalaya mbaya sana aisee unaweza kupoteza vitu vingi

  • @Mr_Makoti
    @Mr_Makoti Před 8 měsíci

    Mwaka huu wataumbukw wengi xna kiredio nakukbar xana brother

  • @giftngowi1150
    @giftngowi1150 Před 8 měsíci

    Mungu anakuona 😂😂😂😂😂😂😂

  • @nero7941
    @nero7941 Před 8 měsíci

    Wanawake nyoko Apo katajwa Beni ukute mume wa mtu nae Muongo muongo 😂

  • @barakambise1859
    @barakambise1859 Před 8 měsíci

    Daaaaaaa hii imeendaaaaa

  • @josephmutalemwa1461
    @josephmutalemwa1461 Před 8 měsíci

    Daah kiredio 🎉🎉🎉 nakutafuta mke Wang nae nione vip

    • @umukulthumu1419
      @umukulthumu1419 Před 8 měsíci +1

      Mke hata akiwa namchepuko lazima atakuja ww mumewe mana wake zenu wakutoka nje yandoa huwa wanaiambia muchepuko yao kama anae mume yan hii challenge wanawake waliolewa hawawez kunasa😆😆😆 ila wanaume waliooa wananasa kwasababu huwa wakitoka nje hawawaambii michepuko kama wameoa zaid watadanganya ili tuu wapate ngono

  • @user-zi8dh3nw8d
    @user-zi8dh3nw8d Před 8 měsíci +1

    Pole sister😂😂

  • @user-fq8tp6zt3i
    @user-fq8tp6zt3i Před 8 měsíci +2

    Ukimpata mwanamke ama mwanaume muaminifu kwa karne hii. Tulia nae sana, maana uongo na usaliti umekuwa ni kigezo cha maendeleo ya watu wasio na upendo wa dhati.

  • @sophiemtitu9921
    @sophiemtitu9921 Před měsícem

    Wadada muwage mnatulia khaaaa

  • @user-ee4vq6yh8c
    @user-ee4vq6yh8c Před 8 měsíci

    Tatizo umalaya ndo unawaponzaga 😂😂 hahahahaaha

  • @noelmbena9565
    @noelmbena9565 Před 8 měsíci +4

    Ukahaba wake mwenyw umeharibu graduation yake 😂

  • @DM_15
    @DM_15 Před 8 měsíci

    😂hata jamaa aachane nahuyu dadatuu katapeli haka hakajui niyupi 😂😂😂

  • @victorwilliam9987
    @victorwilliam9987 Před 8 měsíci

    kwenye dakika ya 5:15 dada alikua anamkana jamaa, alianza kusema ssssssss alaf yaaah inamaana kwenye mahesabu kichea chake alitaka kusema simjui lakini ndani ya iyo sekunde akaona akubali tuu😅😅😅