Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee
Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Hawa mabinti wa University wanakuwaga hivyo yani mahusiano kwao ni kama thamthilia anakuwaga na msururu wa wanaumwe lukuki kwa hiyo hakuna la ajabu hapo 😂😅
Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto
Mke hata akiwa namchepuko lazima atakuja ww mumewe mana wake zenu wakutoka nje yandoa huwa wanaiambia muchepuko yao kama anae mume yan hii challenge wanawake waliolewa hawawez kunasa😆😆😆 ila wanaume waliooa wananasa kwasababu huwa wakitoka nje hawawaambii michepuko kama wameoa zaid watadanganya ili tuu wapate ngono
Ukimpata mwanamke ama mwanaume muaminifu kwa karne hii. Tulia nae sana, maana uongo na usaliti umekuwa ni kigezo cha maendeleo ya watu wasio na upendo wa dhati.
kwenye dakika ya 5:15 dada alikua anamkana jamaa, alianza kusema ssssssss alaf yaaah inamaana kwenye mahesabu kichea chake alitaka kusema simjui lakini ndani ya iyo sekunde akaona akubali tuu😅😅😅
Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Dah kweli Nimecheka sana yaani dem unashindwa kumjua boi wako mwenye hela
Hahaha huyo atakuwa nao wenye hela kibao....😅
Hakika ila Si wakumpa gari ila udsm 🙌🙌😂
Dah imekatika kama umeme!!??
Daaaaaaaah uyo mwanake hatari malaya uyo hafai kbs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kiredio hongera sana unafanya kazi vzr sana
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Pole sana kama ni wew kwer
Na hakuna atakae kuja kukununulia gari aiseee,
😂😂😂😂uyu mtangazaji eti kumamake daaaaa amejisahahu kama Kuna camera
Umalaya umezidi kashajiona mzuri kila bwana wake akome😂😂😂😂😂
daah huyo manzi anaweza kwenda kujinyonga ebu mfuatilieni 😂😂😂
Hahahahah
Afe kabisa
😂😂😂😂kwakwel apewe ulinzi
Malaya ajinyongi bado kuna sponsor mzee apo😂😂
Bora age mapema ili asituachie mbegu mbaya ya unafki wake,,
😂😂😂 nmeipenda hiyo kwanza mapenzi shikamoo
USIKUTE BENN NDO ANAMLETEAGA SANA AHADI ZA UWONGO ZA KUMNUNULIA GARI ILA HUYU DADA USHUHUDA HUU HADI KWA WAJUKUU😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 kwanza siku yake imeshaharibika dadeq zake
Fact.
Ben ni tapel maskini kamuaminisha dada wa watu😂
Katika kazi zako hiiii ndio nimeikubal sana 🎉
😂😂😂 kazi nzuri kiredio 👏👏🔥🔥
Yote Tisa inshallah kumi mapenzi shikamoooo
Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu demu anaachwa na wote
Udism malaya wakutosha sana,Hongera kiredio rudisha gari langu yard kaka! Vijana tunajitolea sana kisa hizi nguruwe lkn hawanaga akili kabisa
Mbona usinipe mm nifate tu iringa
Pole sana
Nipende mm kaka😂😂😂😂
Si ujege huku baba
Kama ni wewe seriously polee sanaa kaka but Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu amini katika yeye na atakupa mwanamke anae kustahili🙏🙏
Jamani umalaya uuu jamani apana kaaaa ebu nitulie na mume wangu pengine anaweza nijalibu kama Ivo bule😂
Kuna la kujifunza kwa wanawake wasiotaka kutulia na mwanaume mmojaa😢❤
Sio mara zote bwana 😂
Hamupendi ndo maana kataja jina lingine nakuondoka ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂clip hiyi nipeipenda duuui wadada wadogo mambo makubwa
Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤
Nimehisi mm roho imeniuma😢😢😢😢😢😢 ndio maana mm nakuaga na wanaume mmoja Tu hata usingizini ukiniamsha namtaja 😢😢😢😢kakosa ndinga naumia mm😂😂😂😂😂
😂😂😂 Unakuaga na WANAUME MMOJA?.. NDIO NYINYI NYOTE
Elewa neno wanaume 😂😂😂😂
Hahahah mbona kama keyboard imekusaliti vile "wanaume mmoja" au sio😂
WANAUME MMOJA ..it's plural 😂😂
We ni walewale wakina ..irine magari😂
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
Duh umekosa ivi ivi hahah benny popote ulipo mpo wengi kwa uyu dada😂😂😂
ametajwa BENNY wakacheka kwanza😂😂,,
Huyo msichana hamtaki huyo jamaa ndo maana kaacha kila kitu na yeye anampenda ben😂
Ben mwenyewe ametajwa kashaka na yeye yupo Rehan
Ben mwenyewe utakuta muuni zaid yake😂
Hii ni "Big project"... Safi sana Bro... MADEM WAZINGUAJI MNOO 😂😂😂
Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee
Haka kamalaya kanaongea... Aibu naona Mimi mamake 😂😂
Kiredio msenge sana et Kumamae😂😂😂
Uskute ben ni mme wa mtu😅
Good job kiredio 😂
Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺
kazi yako njema kaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah na unakuta mwana alikua yeye ndo boom mpaka anamaliza Chuo aise nimesikitika kama kiredio aisee 😔 kiredio kabaki kujilaumu Tu maskini dah.
Ukute bro alkuwaga hajionyeshi anapesa mbele ya dem🤣🤣🤣kamtaja sponsor BEN ye hana huo mdaaa. Ndo ujifunze🙄
Wanaume na wanawake wote malaya tuu sikuizi, ubahatishe saana kupata mwenzi atakaetulia kwenye mahusiano
#kiredio hii kityu sijawahi ona Kwene channel yoyote Toka niache kumiliki smart Leo ndo Kwa mara ya kwanza naona kwako big up broo
Ooh! Wana Fanya saana wa Nigeria mpendwa 😂😂😂
Kenya wamejaa kibao wakina kiredio wanavunja hadi ndoa za watu kiredio ameiga tu
maigizo yako mazuri kijana hongera unajua kuzipanga
😢😢😢 daaah mapenz shikamo 😂😂
Eti mwanaume anakupenda na kukununulia Hadi gar anawapa kiredio akuletee😂😂
Daaaaa ndo maana halisi ya uaminifu, adi moyo umepasukaaaa 💔💔💔
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
Aaah kumamakee msenge huyo ukute uyo beny ni mpiga tofali anaacha ndinga
Yaani ndiyo kamaliza chuo alafu akili ziro hatari
Hahahahahaha sjui nacheka nn ila😂😂😂😂😂 ni huzuniii
uhun mbay😂😂😂😂 kakos tako la nyani 😂
umetisha kiredio
Aaah weee moyo wangu mimi nimeumia kama ni mimi vile
Hio kmmk ya mwisho umesahau kuitoa mbonaa😅😅😅😅
Daaàah kiredio umempa manz mtihan mmoja mwepes San na mgumu pia kakosa ndiga kizembe ivi. ivi 😂😂😂
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
😂😂😂😂😂
Ni uongo ni usanii
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Kaka achana na content zako zote, shikilia hapa hapa unafanya kazi ya kijamii 😂
Mm ndo ben na sikutaki tena 😂😂
😂😂Umetishaaaaaa
Nliwambia nyie mtajavunja mahusiano ya watu na ndoa pia mumeona🤣🤣🤣😜😜
Au alikua na mabahasha wenye Hela wengi daah..😂
Daaaaa Mungu wanguuu
Michepuko so dirii Beniii😅😅😅😂😂
Ndio mana mm surprise czitak hta kuziona kabsaaa 😄😄😄
Hiyo gari si nipewe mm tu😢😂
Daah nimeielewa sna ii clip yaan ,demu ana Mpenz Ambye ana uwezo wa kumpa gar lkn bdo tuu
Daah 💔💔💔Iyo imeenda
Nimecheka ki KU###### "ETI KWENYE MA BOYFRIENDS ZAKO UNASHINDWA KUMJUA MTU MWENYE HELA MWANANGU"😂😂😂😂😂😂😂
Hiki kisa kifatilie vizuri unaambiwa huyo jamaa mwenyewe anaishi life la kawaida sana tu kama bwege halafu sio kwamba anamkwanjaa saaana
Sema kiredio umechoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Reality at it peak
Yani kiredio kaumia utadhani yeye ndy alikuwa anapewa hilo gari😂😂😂
Hapana we kama mwanaume utahisi anachohisi mshua huko home au kazini anapambana kwa ajili ya huyo mwisho anadhihirsha alivhokua anamficha cku zote
Itakuwa mume wa mtu alafu awajazoeana we angemzoea asingebabaika
Duuuh kidada Kikware balaa dah 🙌🇶🇦
Mamake 😂
Ningekua mim najijua nnamabwana wengi ningeondoka ata singeotea
😂
Usha haribu graduation ya mtu hapo😅
Ubunifu mzuri
😂😂😂😂😂 kaacha gari sababu ya mwanaume wengi
Maraya mm ningechukua tu
@@SupermanOman-qd6sd usikute huyo Mwanaume anamjua ben ndy maana kashindwa
Mi ningepambana alafu ningemwambia ben ni kk Yangu we mbele ya ndinga ningejua Cha kujieleza 😂😂😂😂
@@zawadichalale4047 🤣🤣🤣 akili inaruka unachanganyikiwa kwa mda chezea kuchanganya dozi wewe 🤣🤣
Mmmh kwan tamaa za waume wengi za nni mwanamke mzima
Ben kachana mkeka wa dada😂😂😂😂
Hawa mabinti wa University wanakuwaga hivyo yani mahusiano kwao ni kama thamthilia anakuwaga na msururu wa wanaumwe lukuki kwa hiyo hakuna la ajabu hapo 😂😅
Hujui kazi yako kijana unamkubalia kushika simu mbona
mnaachia matusi tu wasenge nyio😂😂😂😂😂
Eti kirediooo 😂😂😂😂 tamaaa mbaya sana
😂😂😂 kiredio kama wewe ndo umekosa gari unavyo sikitika😂😂😂
Ireneeee😂😂😂😂😂 huyuuu
Loh jamani nimeumia Sana. Dada hata maua kaona mazito😂😂😂😂😂😂
Yanaanzaje kuwa mepesi kwa mfano😂😂😂😂
😂😂😂😂kaishiwa poz
Kiredio umetukana apo mwisho😂😂😂
😂😂😂🤣😂🤣😂😂😂kakosa kitu muhimu kila tamaa
Hiyo nimeipenda
umetukana kaka😁😁
Mh aibu naona mm jaman 😢😅😂😂
Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto
Uaminifu kitu cha msingi sna😂😂😂😂
Kuma make mademu wa sikuu izi daaaah😅😅😅😅😅
Wadada wa chuo😃😃😃😃
Mmh.kiredio honger sn njoo na huku ukomeshe wachepukaj jmn n ayb kw kwel
umalaya mbaya sana aisee unaweza kupoteza vitu vingi
Mwaka huu wataumbukw wengi xna kiredio nakukbar xana brother
Mungu anakuona 😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake nyoko Apo katajwa Beni ukute mume wa mtu nae Muongo muongo 😂
Daaaaaaa hii imeendaaaaa
Daah kiredio 🎉🎉🎉 nakutafuta mke Wang nae nione vip
Mke hata akiwa namchepuko lazima atakuja ww mumewe mana wake zenu wakutoka nje yandoa huwa wanaiambia muchepuko yao kama anae mume yan hii challenge wanawake waliolewa hawawez kunasa😆😆😆 ila wanaume waliooa wananasa kwasababu huwa wakitoka nje hawawaambii michepuko kama wameoa zaid watadanganya ili tuu wapate ngono
Pole sister😂😂
Ukimpata mwanamke ama mwanaume muaminifu kwa karne hii. Tulia nae sana, maana uongo na usaliti umekuwa ni kigezo cha maendeleo ya watu wasio na upendo wa dhati.
Ohhh nipo me jamaniii uwiii
Upo wewe kivipi?
Wadada muwage mnatulia khaaaa
Tatizo umalaya ndo unawaponzaga 😂😂 hahahahaaha
Ukahaba wake mwenyw umeharibu graduation yake 😂
😅😅😅😅😅
😂hata jamaa aachane nahuyu dadatuu katapeli haka hakajui niyupi 😂😂😂
kwenye dakika ya 5:15 dada alikua anamkana jamaa, alianza kusema ssssssss alaf yaaah inamaana kwenye mahesabu kichea chake alitaka kusema simjui lakini ndani ya iyo sekunde akaona akubali tuu😅😅😅