KIPINDI MAALUM MIAKA 4 MADARAKANI YA RAIS DKT. MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - UJENZI
Vložit
- čas přidán 5. 11. 2019
- Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Mhandisi Kamwelwe akizungumzia Mafanikio ya Miaka 4 ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Sekta ya Ujenzi .
asante sana rais wetu mpendwa Magufuli unafanya kazi nzuri na kubwa na asante sana waziri wetu mpendwa Kamwele kwa kazi nzuri unazozifanya Mwenyezi Mungu awalinde na awabariki wote
safi nakubali Hon JPM adi 2040 tunakuombea afya njema na busara zaidi baba
Kazi nzuri kazeni buti tufikeee
Halafu mpumbavu mmoja anabeza juhud za awamu hii... Wakati yanayosemwa na waziri yanaonekana🤔
Safi xana mzee baba toa fact
Hongera sanaa MZEE BABA
Napenda sana video ikiwa ndefu. Tuwekeeni kama hivi tuone maendeleo ya nyumbani.tunarudi nyumbani kumenoga sanaa.hasa dodoma yani kama ulaya.
Mkuu ww kweli ni mtu mzalendo sana yaan...unajua kika kona ya Tanzania bila kuangalia karatasi. Ubarikiwe sana mkuu wetu.
kamua inchi iende raisi wangu wewe sasa ni kpz cha Watanzania na duniani watu wanakuelewa
Huyu waziri yupo vizuri anajua majina ya kila kona anakojenga barabara.
Mweshimiwa kamwelwe majita road bado ongereni sana hawamu ya tano
NI VIPOFU WA MAWAZO PEKEE NDIO WANAWEZA KUMPINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI
Kazi ni nzuri sana ....Nawapongeza sana nawaombea afya njema na maisha marefu ili tuendelee kunufaika na juhudi zenu Mungu Ibarariki Tanzania. I am so proud of you Hon. Dr. John Pombe Magufuli.
Wanakila sababu ya kuweka mpira kwapan Hongera maguful
Hii nisawa na kasi ya km 8000 kwa SAA piga kazi mzee
MH .Hiyo barabara ya Tarime Mgumu mukiijenga italeta uchumi mzuri maana magari ya watalii wanaitumia sana kutoka kenya , sirari hadi serengeti .ni barabara ambayo ni muhimu sana japo zote ni muhimu .Hapa kazi tu.Mgufuli hoyeeee
Asante waziri kamwele kwa ujenzi uwanja uwanja wa manyara
Mzee Magu inaonekana aliipania kuibadilisha nchi hii aisee.. Sema tu alikuwa anaumia moyoni ni namna gani angeupata urais
Pongezi ziende kwenu wazalendo wa kweli Tanzania inakwenda
Asanteni sana na mollah awatie nguvu amin
Nakwamin Mkuu... Unamsaidia uzur rais jpm
waziri wetu mpendwa Kamwele barabara za Musoma mjini hazijakamilika mfano kwenye mitaa mitaro haijafunikwa wazee wasiojiweza wanapata shida wakitoka kutaka kwenda hospital au hata kwenda kwenye shughuli zao hawewezi kuruka mitaro mpaka wabebwe
Hongereni sana Allah wasimamie ktk shughuli zenu ktk kujenga nchi yetu
Tupo vizuri
Pongoz sana
Please make sure the road connecting Burundi, Rwanda and Tanzania is well constructed because our trucks are suffering very much. It does not make sense how the internal route has been negligated and each truck is paying almost 150$ each time enters Tanzania border and plus all the money we are bringing you through different businesses. Please remember to build the unpaved road our trucks are suffering and we are wasting time and money.
Tujengee ni daraja Zanzibar to dar
Mimi na wapeda sana
Waziri kamwele naoba kazi tuijenge tz naoba kazi wale walioiteka ndege yetu huko afirika kusinituko na wao kbc vo8 kenya sio mtu mzuri
Jina la Wizara ni Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Mh! Msisahau Serengeti
Naomba muweke lami please,
Kama ni wanyama naomba kuwe na sign zote + speed limit + hii itakuza utalii kwa watu wengi hata wenye magari madogo
Ila wilaya ya Kilosa haina lami mheshimiwa waziri.
Jamani kamwelwe mkumbushe mh magufuli ahadi ni deni nyumba za wazo kota ....alisema nyumba hizo tutauziwa wote wanaoishi humo lakini kimya mpaka leo....john pombe magufuli tunakutegemea sana tena mno usitutupe wanyonge wako....napenda kuwakilishaaa
Mimi muiraq manyara karatu mbulu haidom karatu tu mangola hadi kwa hadi geita kwa rais iwe lami
Msitusahau barabara ya mambwepande.