KIPINDI MAALUM MIAKA 4 MADARAKANI YA RAIS DKT. MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - UJENZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2019
  • Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Mhandisi Kamwelwe akizungumzia Mafanikio ya Miaka 4 ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Sekta ya Ujenzi .

Komentáře • 35

  • @lexisavage1770
    @lexisavage1770 Před 4 lety +4

    asante sana rais wetu mpendwa Magufuli unafanya kazi nzuri na kubwa na asante sana waziri wetu mpendwa Kamwele kwa kazi nzuri unazozifanya Mwenyezi Mungu awalinde na awabariki wote

  • @davidelliot3267
    @davidelliot3267 Před 4 lety +12

    safi nakubali Hon JPM adi 2040 tunakuombea afya njema na busara zaidi baba

  • @justinecleophas2950
    @justinecleophas2950 Před 4 lety +6

    Kazi nzuri kazeni buti tufikeee

  • @mpandaboy2279
    @mpandaboy2279 Před 4 lety +9

    Halafu mpumbavu mmoja anabeza juhud za awamu hii... Wakati yanayosemwa na waziri yanaonekana🤔

  • @adrofgwahula7294
    @adrofgwahula7294 Před 4 lety +5

    Safi xana mzee baba toa fact

  • @joshmnzava3304
    @joshmnzava3304 Před 4 lety +5

    Hongera sanaa MZEE BABA

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Před 4 lety +2

    Napenda sana video ikiwa ndefu. Tuwekeeni kama hivi tuone maendeleo ya nyumbani.tunarudi nyumbani kumenoga sanaa.hasa dodoma yani kama ulaya.

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 4 lety +2

    Mkuu ww kweli ni mtu mzalendo sana yaan...unajua kika kona ya Tanzania bila kuangalia karatasi. Ubarikiwe sana mkuu wetu.

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 Před 4 lety +11

    kamua inchi iende raisi wangu wewe sasa ni kpz cha Watanzania na duniani watu wanakuelewa

  • @vince_vinson.2083
    @vince_vinson.2083 Před 4 lety +3

    Huyu waziri yupo vizuri anajua majina ya kila kona anakojenga barabara.

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 Před 4 lety +4

    Mweshimiwa kamwelwe majita road bado ongereni sana hawamu ya tano

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 4 lety +4

    NI VIPOFU WA MAWAZO PEKEE NDIO WANAWEZA KUMPINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI

  • @irenemkwizu2041
    @irenemkwizu2041 Před 4 lety +1

    Kazi ni nzuri sana ....Nawapongeza sana nawaombea afya njema na maisha marefu ili tuendelee kunufaika na juhudi zenu Mungu Ibarariki Tanzania. I am so proud of you Hon. Dr. John Pombe Magufuli.

    • @rajabumazua1935
      @rajabumazua1935 Před 4 lety

      Wanakila sababu ya kuweka mpira kwapan Hongera maguful

    • @rajabumazua1935
      @rajabumazua1935 Před 4 lety

      Hii nisawa na kasi ya km 8000 kwa SAA piga kazi mzee

  • @chachamwita8350
    @chachamwita8350 Před 4 lety +1

    MH .Hiyo barabara ya Tarime Mgumu mukiijenga italeta uchumi mzuri maana magari ya watalii wanaitumia sana kutoka kenya , sirari hadi serengeti .ni barabara ambayo ni muhimu sana japo zote ni muhimu .Hapa kazi tu.Mgufuli hoyeeee

  • @charleserastusnsense1305

    Asante waziri kamwele kwa ujenzi uwanja uwanja wa manyara

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 Před 4 lety +2

    Mzee Magu inaonekana aliipania kuibadilisha nchi hii aisee.. Sema tu alikuwa anaumia moyoni ni namna gani angeupata urais

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 Před 4 lety +3

    Pongezi ziende kwenu wazalendo wa kweli Tanzania inakwenda

  • @maulidhussein667
    @maulidhussein667 Před 4 lety +1

    Asanteni sana na mollah awatie nguvu amin

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 4 lety +2

    Nakwamin Mkuu... Unamsaidia uzur rais jpm

  • @lexisavage1770
    @lexisavage1770 Před 4 lety +2

    waziri wetu mpendwa Kamwele barabara za Musoma mjini hazijakamilika mfano kwenye mitaa mitaro haijafunikwa wazee wasiojiweza wanapata shida wakitoka kutaka kwenda hospital au hata kwenda kwenye shughuli zao hawewezi kuruka mitaro mpaka wabebwe

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 Před 4 lety

    Hongereni sana Allah wasimamie ktk shughuli zenu ktk kujenga nchi yetu

  • @henrickchambilo3119
    @henrickchambilo3119 Před 4 lety

    Tupo vizuri

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 4 lety +2

    Pongoz sana

    • @noeltech1
      @noeltech1 Před 4 lety

      Please make sure the road connecting Burundi, Rwanda and Tanzania is well constructed because our trucks are suffering very much. It does not make sense how the internal route has been negligated and each truck is paying almost 150$ each time enters Tanzania border and plus all the money we are bringing you through different businesses. Please remember to build the unpaved road our trucks are suffering and we are wasting time and money.

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 Před 4 lety

    Tujengee ni daraja Zanzibar to dar

  • @charleserastusnsense1305

    Mimi na wapeda sana

  • @charleserastusnsense1305

    Waziri kamwele naoba kazi tuijenge tz naoba kazi wale walioiteka ndege yetu huko afirika kusinituko na wao kbc vo8 kenya sio mtu mzuri

  • @TheFaraja
    @TheFaraja Před 4 lety

    Jina la Wizara ni Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

  • @lorencosimon2510
    @lorencosimon2510 Před 4 lety

    Mh! Msisahau Serengeti
    Naomba muweke lami please,
    Kama ni wanyama naomba kuwe na sign zote + speed limit + hii itakuza utalii kwa watu wengi hata wenye magari madogo

  • @saidmbanga2867
    @saidmbanga2867 Před 4 lety

    Ila wilaya ya Kilosa haina lami mheshimiwa waziri.

  • @julianamasunga700
    @julianamasunga700 Před 4 lety

    Jamani kamwelwe mkumbushe mh magufuli ahadi ni deni nyumba za wazo kota ....alisema nyumba hizo tutauziwa wote wanaoishi humo lakini kimya mpaka leo....john pombe magufuli tunakutegemea sana tena mno usitutupe wanyonge wako....napenda kuwakilishaaa

  • @charleserastusnsense1305

    Mimi muiraq manyara karatu mbulu haidom karatu tu mangola hadi kwa hadi geita kwa rais iwe lami

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Před 4 lety

    Msitusahau barabara ya mambwepande.