KIPINDI MAALUM MIAKA 4 MADARAKANI YA RAIS DKT. MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - MADINI
Vložit
- čas přidán 7. 11. 2019
- Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko akizungumzia Mafanikio ya Miaka 4 ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Sekta ya Madini
asante sana baba wa taifa mwalimu Nyerere kwa maono yako asante sana rais wetu mpendwa Magufuli kwa jinsi unavyowapenda Watanzania asante waziri wetu Dotto Biteko kwa kumsaidia rais wetu mpendwa Magufuli na kazi unazozifanya
Hii wizara kwa wakati huu naamini tumepa mtu sahihi KONGOLE kwako Ndg.Dotto Biteko
Tunamsikiliza Rais wetu kwa Hutuba zake, Tunamuelewa zaidi kwa vitendo vyake na tunafanya kwa matendo pia, ametufundisha uzalendo, ametupa ari ya kulipa kodi na ametumilikisha Taifa letu, sasa, tunajiona sawa kati ya Maskini na matajiri, Tunajiona sawa katika kupata huduma stahiki kutoka mamlaka ya kiserikali.
HAPA KAZI TU.
Baba waziri Biteko musaidieni Rais MAGUFULI. Madini yalikuwa yakiibiwa, Rais MAGUFULI ilikuwa ikimuuma sana, akasema ningekuwa mimi na uwezo wasingepeleka haya makinikia. Mungu akamusikia akafunguwa njia akamuitikia sasa tunaona mabadiliko. Mungu mulinde Rais wetu na wasaidizi wake
JPM Allah akubariki kwa uongozi wako unaoacha alama Insha Allah...!
Vyovyote iwavyo kuna mkono wa Mungu Tanzania naona namna anavyoliinua taifa. Glory to Jesus the Almighty God.
Amen Amen!
Viva magufuli
Tutafika tu
Miaka ya nyuma kweli Kulikuwa na migogoro mingi kwa wachimbaji wadogo kila mara kwenye habar unaona wamefukuzwa kwenye maeneo ya mwenye nguvu tena mbaya zaid polisi walikuwa wanatumika kuwaonea wachimbaji wadogo
TOKA JPM AINGIE KAZINI, MABADIRIKO MAKUBWA YAMEONEKANA MH WAZIRI