TARIMBA AMWAGA LAWAMA NYINGI KWA MAREFA/ AWACHANA MAKAVU HAUWEZI AMINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 12. 2021
  • Sport

Komentáře • 46

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 9 měsíci

    umekandwaasaaaa ukubali Tuuu

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před 9 měsíci

    Thanks ila abas tarimba hafai kuwa mdhamini mdhamini hafai kuwa shabiki kwa sababu unawaza ukatoa maagizo timu yako ishinde

  • @aminaami1103
    @aminaami1103 Před 9 měsíci

    Wadada.awajuyi
    Kuchezesha.watoke

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff Před rokem +1

    Talimba kama shabalala mzee na kapombe nenda kacheze na ww uone hhhhh sisi haoo yanga mwenye akili wawili tu lkn Talimba Haji hawamo so Hana akili talimba

  • @GodwinMtungi-py1cu
    @GodwinMtungi-py1cu Před 9 měsíci

    Karia anarib mpira magoli 2 yote kataliwa ranzimen tu lets ujinga jitos

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Před 8 měsíci

    Nyie ni watoa rushwa pumbavu yanga mbovu

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Před rokem

    Mheshimiwa kulalamika! Daaah haiji

  • @ridhiwanikhalifa9036
    @ridhiwanikhalifa9036 Před 2 lety +3

    acha kuzingua wewe leo refa kachezesha vizuri sana

  • @ivankakooza1765
    @ivankakooza1765 Před 2 lety +2

    Ukiangalia kiongozi mkubwa mwenye experience anaongea ujinga Kama huo mpira wa Tanzania Bado safari ndefu.

  • @mashauriitambe9880
    @mashauriitambe9880 Před 2 lety +1

    He he he. Mheshimiwa hapo kwenye this is my perception…UMEKANYAGA….anyway lugha nyingi Kiswahili,kihindi,na kiarabu lazima uchanganye maneno kigogo

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před 2 lety

    Uko sahihi kabisaa.tarimba

  • @mngindoonlinetv4851
    @mngindoonlinetv4851 Před 2 lety

    Hongera sana Kitenge

  • @mrikongosi3151
    @mrikongosi3151 Před 8 měsíci

    Hii ndio yanga ambayo haijatembea na bahasha

  • @ramadhanikwalo8457
    @ramadhanikwalo8457 Před 8 měsíci

    yani marefa wa Bongo hawafai kwakua kafumgwa Yanga. penati za faulo ya nje ya box mlichekelea na mkaona haki yenu

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 Před 2 lety +3

    GOLI HALALI LA YANGA linakataliwa bila sababu

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 2 lety

      Basi Kama umeliona hivyo puliza filimbi peleka mpira katikati wewe wesiunajua mpira Kuliko refa

  • @khatibuswalehe4996
    @khatibuswalehe4996 Před 9 měsíci

    ila pamoja na hayo makocha wetu tamaaa nyingi na makocha wananunua malefa kutokana nauwezo wa team zao kutojiweza huwa inaleta shida kwet

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 Před 2 lety

    Wewe Tarimba acha uwongo. Mbona goli aleio funga Bocco siku Simba ilipo cheza na yanga goli halali. Mbona husemi. Refa ali beba yanga. Mbona penalty waleio pata yanga wakati wamecheza na yanga. Lile lilikwa seio halali. Mbona husemi. Acha uwongo wako tarimba. Wewe hujuwi mpira.

  • @jumamaturanga9719
    @jumamaturanga9719 Před 2 lety

    Tatizo marefa posho zinatoka kidogo sana

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 8 měsíci

    Kisa utopolo limefungwa, kaa kimya, wameikataa bahasha zenu mnabaki kutupigia kelele, wwe tarimba ni utopolo org, kimya tafadhali, tulia hivyo hivyo

  • @hamadshembago7647
    @hamadshembago7647 Před 2 lety +1

    hawa viongoz wengine machoko sana eti anadai kama mpira utachezwa vizur yanga atakuwa bingwa,amesahau kuwa hao wenyew yanga ndo wanaharib mpira mara nyingi huwa wanatoa pesa kuhitaj matokeo😁😁baadhi ya mashabiki na viongoz wa simba hawajielew

  • @ashurachamwana5748
    @ashurachamwana5748 Před rokem

    Hunatimu timuyakombovu

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Před 9 měsíci

    Hawa utopolo kazi yao ni kulalamika tu mbona hamusemi penalt alizonyimwa simba mbona hawasemi walivikua wakisaidiwa wao kazi yao ni kulalamika tu

  • @lucasmombo-di4zr
    @lucasmombo-di4zr Před 9 měsíci

    Tarimba nikweli marefa wa bongo ni wengine ni shida !

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 Před 2 lety

    Hata majumbani mwetu.ukitaka kumsema mgeni tumia mtoto kutoa maneno mgeni akijijua Basi atajielewa.hapo Tarimba haisemi YANGA Bali yapo Mambo mengi Sana Timu nyingi zinafanyiwa Mambo yasiyo mazuri.lkn kule mwingine wao lolote Ni POA viporo Kama kawa.

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Před rokem

    Aibu yenu😂😂😂😂

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Před 2 lety

    Bila shak Ni lile goli la makambo

  • @ivankakooza1765
    @ivankakooza1765 Před 2 lety

    Hawa ndo wanaharibu mpira wa Tanzania.

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Před 2 lety

    Tarimba nahisi hujielewi ondoa sportspesa simba baking na Utopolo wako ulipaswa kuwa neutral kibiashara c kiupenzi

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 2 lety

    Ndio kaka ndio

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 Před 2 lety

    Mwenye akili atachments vizuri na sio matusi

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 Před 2 lety

    Umesema kweli kabisa

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 Před 2 lety +1

    Refa yuko sahii

  • @mohamedikaboza2488
    @mohamedikaboza2488 Před 2 lety

    Umeshindwa kuisema Tim yako

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před 2 lety +1

    Kweli abasi unasema ukweli kabisa waamuzi wanachangia kuangusha ubora wa ligi yetu kwakweli penati ile siyo kabisa

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato Před 2 lety +3

      Ndugu Mteja Umejishindia Zawadi Nono Ya Kuchomwa Kidole Gumba Mkunduni Mwako 😎🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕

    • @rhodaerasto6151
      @rhodaerasto6151 Před 2 lety

      @@NellyWaKidato 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rhodaerasto6151
      @rhodaerasto6151 Před 2 lety

      @ SAID SALUM iv w unaakili kwel ww yan penalt umeiona af unaongea upumbavu

  • @fredtango7908
    @fredtango7908 Před 2 lety

    Acha unafiki

  • @abdalajuma8163
    @abdalajuma8163 Před 2 lety

    Sasa mbona husem kosa liko wapi huna point kwendaaaa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 9 měsíci

    HIVI SIKU HIZI WANACHEZESHA VIDADA!!
    HAKUNA WANAUME WA KUCHEZESHA MPIRA?
    AU NDIYO KILA MAHALI NI FREE MASON NA UCHAFUZI WA MAADILI DUNIANI!!

  • @matashobyajosia2109
    @matashobyajosia2109 Před 2 lety +1

    wewe akuna jitu unaongea wewe karare una jipya

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 2 lety

    Tarimba ni shabiki mpumbavu. Mdhamini halafu unashibikia. Inabidi ujionyeshe kuwa ni neutral hata kujionyesha tu kama mtu mwenye akili timamu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před 2 lety

      Tulia Wewe Huyo Nae Nibinadamu Kama Nahayo Nimaoni Yake Tu.

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Před 2 lety

    Wewe mpumbavu sana na sport pesa na GSM mnadhamini vilabu tena mnaleta ushabiki wa mama kuku unajikanyaga sana wewe toka udhamini wk kinafiki