KIVUKO CHAKO (SEHEMU YA KWANZA) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our CZcams: www.youtube.co....
    #sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

Komentáře • 22

  • @marynjeri370
    @marynjeri370 Před rokem +2

    Kenya twakusubiri mtumishi wa Mungu. Kindly come please.

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Před rokem

    Naomba muwenaangalia sauti huwa inakua chini sana

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 Před rokem

    Aminaa

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 Před rokem +3

    A true man of God, hakika haya ni mafundisho yanayo hitajika wakati huu

    • @winnievickyliquidic5459
      @winnievickyliquidic5459 Před rokem +1

      Uyu ni mtumishi anafudisha neno sawa sawa sana have learnt alot from him may he continue to prosper

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    YESU AHSANTE

  • @gittsb1173
    @gittsb1173 Před rokem +1

    Amen

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před rokem +2

    Amen mtumushi barikiwa sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    Amen amen Daddy 😍

  • @sophiaandrew9230
    @sophiaandrew9230 Před rokem +3

    Mtumishi huduma yako ni nzuri sana ila shida jinsi ya kuwapata nimepata namba za simu yup tube lakini hampokei Wala mesege hamjibu

    • @janerosefrancis76
      @janerosefrancis76 Před rokem

      Karibu kanisan Sinza Mori karibu na ofisi za TAMWA

    • @lwanjiedna5233
      @lwanjiedna5233 Před rokem

      Ndio kabisa hata mimi ni mfuasi wao niko nje ya nchi lkn hawapokei simu,whatsupp hazijibiwi japo zinafika

    • @joycesanga6951
      @joycesanga6951 Před rokem

      Cjui kuna shida gani hata ukiomba appointment ya kuonana na mtumishi hujibiwi hata mm nina mwaka ninashiriki ibada kikamilifu lakini cjawahi kujibiwa .

    • @joycesanga6951
      @joycesanga6951 Před rokem

      Sophia Andrew Mungu wetu anafanya mambo kwa wakati na wala hakosei so cm tunazompigia na msg tunazomtumia anazipokea ila muda wa kujibu haujafika bado .muda wa kujibu ukifika ytutajibiwa . Tusimlazimishe wala kumharakisha asije akafanya sawasawa na mapenzi yetu badala ya mapenzi yake tuendelee kuwa waaminifu ktk IMANI yetu.Amen

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Před rokem +1

    Amen Amen barikiwa

  • @gittsb1173
    @gittsb1173 Před rokem +1

    Natamani kuvuka katika kivuko cha kuingia kwa ndoa

  • @innocentnsengimana1600

    Asante sana Mtumishi .ubarikiwe sana kwa mafundisho ya Ki Mungu.

  • @veronicanyalinga2845
    @veronicanyalinga2845 Před rokem

    Amen 🙇🏻‍♀️

  • @gracemoore9555
    @gracemoore9555 Před rokem

    NAPENDA MAHUBIRI YAKO MTUMISHI WA MUNGU

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 Před rokem

    samahani naomba kuuliza hivi naweza kupata namba sunbell

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    🙏🙏🙌🙌😢

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 Před rokem

    sunbella kyando namba yake