KIVUKO CHAKO (SEHEMU YA KWANZA) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our CZcams: www.youtube.co....
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Kenya twakusubiri mtumishi wa Mungu. Kindly come please.
Naomba muwenaangalia sauti huwa inakua chini sana
Aminaa
A true man of God, hakika haya ni mafundisho yanayo hitajika wakati huu
Uyu ni mtumishi anafudisha neno sawa sawa sana have learnt alot from him may he continue to prosper
YESU AHSANTE
Amen
Amen mtumushi barikiwa sana
Amen amen Daddy 😍
Mtumishi huduma yako ni nzuri sana ila shida jinsi ya kuwapata nimepata namba za simu yup tube lakini hampokei Wala mesege hamjibu
Karibu kanisan Sinza Mori karibu na ofisi za TAMWA
Ndio kabisa hata mimi ni mfuasi wao niko nje ya nchi lkn hawapokei simu,whatsupp hazijibiwi japo zinafika
Cjui kuna shida gani hata ukiomba appointment ya kuonana na mtumishi hujibiwi hata mm nina mwaka ninashiriki ibada kikamilifu lakini cjawahi kujibiwa .
Sophia Andrew Mungu wetu anafanya mambo kwa wakati na wala hakosei so cm tunazompigia na msg tunazomtumia anazipokea ila muda wa kujibu haujafika bado .muda wa kujibu ukifika ytutajibiwa . Tusimlazimishe wala kumharakisha asije akafanya sawasawa na mapenzi yetu badala ya mapenzi yake tuendelee kuwa waaminifu ktk IMANI yetu.Amen
Amen Amen barikiwa
Natamani kuvuka katika kivuko cha kuingia kwa ndoa
Asante sana Mtumishi .ubarikiwe sana kwa mafundisho ya Ki Mungu.
Amen 🙇🏻♀️
NAPENDA MAHUBIRI YAKO MTUMISHI WA MUNGU
samahani naomba kuuliza hivi naweza kupata namba sunbell
🙏🙏🙌🙌😢
sunbella kyando namba yake