Taarab: Siadhiriki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 11. 2014
  • Taarab Music of Zanzibar
  • Hudba

Komentáře • 657

  • @asmaaswadik5511
    @asmaaswadik5511 Před 5 měsíci +16

    Basi mimi nipo hapa 2024😂😂😂😂😂

  • @jibrilzaitun9981
    @jibrilzaitun9981 Před 4 lety +95

    Nani anaskiza 2020 👍

  • @Maiya-cg8cy
    @Maiya-cg8cy Před 2 měsíci +4

    Nyimbo yangu pendwa 2024❤❤❤

  • @judymrosso2725
    @judymrosso2725 Před rokem +27

    2023 2023 2023 STILL TOUCH MY HEART AND SOUL long life zuhuraaaaa💖💖💖💖🥰🥰

  • @esthermutali7270
    @esthermutali7270 Před 7 měsíci +5

    Mola amenistiri kwa kweli

  • @emmysiwiti876
    @emmysiwiti876 Před 3 lety +62

    Kitu paaambe 👌👌 hizi ndio zilikuwa nyimbo jamani mpaka nimetokwa na machoz 😭😭😭😭,, wale wa tunao sikiliza 2021tujuane

  • @bahatiyussuphu4407
    @bahatiyussuphu4407 Před 5 lety +8

    Hatari sana mama hizi ngoma hazichuji kabisa hata 2030 ukisikiliza kama umetoka jana.

  • @ashasvlog9246
    @ashasvlog9246 Před 3 lety +18

    Nyimbo hii yanikumbusha nikiwa ndogo jamani I miss my Dad 😥.Mungu aekaze roho yake mahala pema

  • @mwalimuhindo5740
    @mwalimuhindo5740 Před 2 lety +18

    Wow!! The song my late mum used to listen..humkumbuka nkiuskia..r.i.p mum😢

    • @dojabia2918
      @dojabia2918 Před 10 měsíci

      May her soul rest in peace🙏😔

  • @aumaachieng5105
    @aumaachieng5105 Před 3 lety +32

    Nimekuwa nikiutafuta huu wimbo kwa muda. Old is gold.😍😍

  • @rehsanhassan8141
    @rehsanhassan8141 Před rokem +16

    Still rocking with this classic song 2023❤❤❤❤

  • @wistonsanga6361
    @wistonsanga6361 Před 7 lety +31

    Naupenda sana wimbo huu Siadhiriki wa Zuhura Shaaban. kwani binadam wabaya hawana shukran acha tu.

  • @NeemaMngongo-fw3ku
    @NeemaMngongo-fw3ku Před 6 měsíci +2

    Jmn mimi siompenzi wa taarabu lakini kwenyw huu wimbo nilijikuta naupenda sana nahizi ndiyo zilikuwa taarabu.mashallal

  • @maduhusalumu3148
    @maduhusalumu3148 Před 2 lety +5

    Taarab siadhiriki wimbo huu umfikie mke wangu kipenz akiwa. Ukerewe rose maduhu

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 Před 9 lety +25

    Na wala hamuniwezi mtapanda mkishuka namuamini mwenyezi wala hana mshirika yeeeeeeeeeeeeeeba maneno matamu dada mtanzania ahsante sana

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 3 lety +27

    Yani Wimbo Kama Umetoka Leo, Jamani Zilipendwa Tamuuu Hongereni, Sauti Maa Shaa Allah. Ndani 2020.

  • @bintichitwanga7435
    @bintichitwanga7435 Před 4 lety +75

    Nani anasikiliza wimbo huu mwaka 2020 dondosha like yako

  • @faroukmahmoud8111
    @faroukmahmoud8111 Před 2 lety +17

    she once performed this song at KICC Nairobi,cant forget that night.

  • @user-yt6ip5gr9w
    @user-yt6ip5gr9w Před rokem +5

    Hu wimbo mi mzuri sana unanikumbusha mbali sana 10/07 2023

  • @rahimaally6471
    @rahimaally6471 Před 5 lety +5

    Hawana wema Wala shukurani binaadamu kweli wabaya 😍😍😍

  • @adamliverpool167
    @adamliverpool167 Před 4 lety +31

    Kama tupo wote tunasikiliza nyimbo hii 2020 gonga like

    • @salimaomalishaibu6001
      @salimaomalishaibu6001 Před 4 lety

      Mlitaka niadhirike kusudi lenumcheke likini mola maanani kaninusuru mja wake🙏🙏🙏

  • @ronarona2200
    @ronarona2200 Před 6 lety +8

    Enzi za taarab sio ss hv naipenda hii ngoma.

  • @muhammadomar1787
    @muhammadomar1787 Před rokem +8

    Huu wimbo umefanyiwa covers na wasanii wengine hata wasanii wa kubwa lakini hakuna aliyewahi kuitendea haki kama Zuhura alivyoitendea haki.this will remain to be the best of the best

    • @SaidSaid-rb3jw
      @SaidSaid-rb3jw Před 11 měsíci

      Original ni original siku zote ila kwenye kuutendea haki sabaha salum kauimba vzr mno

  • @maryammadodo8837
    @maryammadodo8837 Před 7 dny

    Yaani naujua siku nyingi huu winbo ila kwa yaliyonifika now umeni touch kwa kweli 2024

  • @zaitunihusseni6521
    @zaitunihusseni6521 Před 5 lety +123

    Nani anasikiliza wimbo huu 2019 tarehe 12/1/2019

  • @michaelmartin2462
    @michaelmartin2462 Před 3 lety +72

    Nani anaangalia 2021 like hapa twende sawa

  • @faidhaseleman3482
    @faidhaseleman3482 Před 4 lety +8

    Huu mwimbo ni mzuri sana unanikumbusha mbali sana

  • @hadijamashauri7983
    @hadijamashauri7983 Před 4 lety +7

    Nyimbo nzuriii Sana unatamani kuisikiliza kila wakati

  • @lilywei3672
    @lilywei3672 Před 5 lety +21

    Riziki mafungu saba anaetoa ni mora hawezi kuingiliwa❤️🙏🙏

  • @aimardede3585
    @aimardede3585 Před 5 lety +25

    Nausikiliza kila siku jamani maana mambo yanayoendelea ndio yapo ktk wimbo huu

  • @aliyambarak5024
    @aliyambarak5024 Před 4 lety +11

    2020,are together 👍

  • @asnathyasin3092
    @asnathyasin3092 Před rokem +9

    Jamn huu wimbo naupenda sana❤️

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Před 7 lety +20

    Naishi kwa nguvu za Mungu..kumbe watu waumia.!!! true dada.!!!

  • @jacksondismas4109
    @jacksondismas4109 Před rokem +5

    2023 bado tunasikiliza mambo ya pwan

  • @me0059
    @me0059 Před 3 lety +4

    Yaani hongera kwa mtunzi 2021 till forever.......

  • @abuzamahadh98
    @abuzamahadh98 Před 4 lety +3

    Naupenda sana wimbo huu ukiimba mwili wangu wanisisimka,kweli
    wastara hasumbuki nazidi kupata neema nimesafi roho yangu hta mkinichukia hupakata yaso yangu na kashfa kunikalia

  • @user-vg2sh8pb3y
    @user-vg2sh8pb3y Před rokem +3

    Mashaalah wimbo wenye mafunzo na ukweli mtupu swadakda mamaa naskiliza mara kumi kumi

  • @nairobianbullet
    @nairobianbullet Před rokem +2

    Ridhiki mafungu 7 langu hamtoliziba anyetoa ni mola hawezi kuingiliwa ♥️

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 5 lety +8

    Nazimudu shida zangu riziki najipatia! Nashangaa walimwengu ya shari mwajitafutia... Mola atanisitiri madhila hayanifiki kaniangazia nuru kizani hamuniweki...

  • @allymwinjuma1291
    @allymwinjuma1291 Před 4 lety +10

    Hii ngoma tamu sana...

  • @omaryhussein8317
    @omaryhussein8317 Před 6 lety +10

    binadam kweli wabaya mashaalla

  • @salimaomalishaibu6001
    @salimaomalishaibu6001 Před 4 lety +7

    Mlitaka niadhirike kusudi lenumcheke likini mola maanani kaninusuru mja wake 🙏🙏🙏11/4/2020

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 4 lety +13

    I miss East African Melody especially mr Haji Moh’d rest in peace. I miss you all 07April 2020

  • @alhadkatundu9688
    @alhadkatundu9688 Před 8 lety +5

    wabayaa kweri wabayaa binadamu kweri wabaya asante dd zuhura

  • @husnaabdarasuly4370
    @husnaabdarasuly4370 Před 4 lety +3

    Ahsantee kipenz kwa kuniliwaza nikiwa ktk wakat mgumu siachi kusikiliza vipande vyako Mollah atanisitir madhwila hayatanifika swadacta 🙏🙏

  • @ZAMDAHOSSENI-ih2cg
    @ZAMDAHOSSENI-ih2cg Před 8 měsíci +1

    Wimbo umebeba ujumbe mzito mno .... Hizi ndo nyimbo Sasa pongezi nyingi kwa mtunzi❤️❤️❤️

  • @akbarbakar6525
    @akbarbakar6525 Před 7 lety +17

    Namuona mzee yussuf kwa mbali

  • @jumabomba4316
    @jumabomba4316 Před 5 lety +63

    Try 31/2/2019 gonga Like km unapenda vya kale nidhahabu tujuwane

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 3 lety +4

    Huyu ndiye hasswa alistahiki kuitwa Malkia wa Taarabu na si mwingine.

  • @rehematawakali4462
    @rehematawakali4462 Před rokem +2

    Mashairi mpaka leo yanaishi big up kwako zuhura Shaban

  • @sharifaabdullah9345
    @sharifaabdullah9345 Před 6 lety +12

    Nzuri sana dada

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 Před 9 lety +6

    binaadamu hawana wema wala shukrani,nazimudu shida zangu rizki najipatia, ya shari mnayonitafutia Mola atanistiri, madhila hayanifiki, kaniangazia nuru gizani, hamuniweki, mlitaka niadhirike, mambo yangu yafujike, wastara hawazimbuki,nazidiki kupata neema ,nimesafi moyo wangu hata mukinichukia,siadhiriki miye bure mkiniandama heko mama mtanzania mola hana mshirika

  • @ngalowoka
    @ngalowoka Před 4 lety +18

    Naupenda sana huu wimbo 11/09/2019

  • @naimahnuhu4319
    @naimahnuhu4319 Před rokem +3

    Nyimbo zilikua zamni jmnii ❣️❣️ zuhura katika ubora wake

  • @salmakhalid5300
    @salmakhalid5300 Před 8 lety +11

    zuhura unaimba vizur sana mimi katika taraab napenda sana nyimbo zako

    • @mustafanyapara2723
      @mustafanyapara2723 Před rokem

      nyimbo zake na za sabaa salum, zanitoa machozi nikizikiza, tangu 2001 nikiwa Chuo Kikuu!

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 Před 2 lety +3

    Nyieeee nyimbo tamuu

  • @hamzahaji438
    @hamzahaji438 Před 11 měsíci +5

    I can't get enough with this song..

  • @maftahgerald4872
    @maftahgerald4872 Před 4 lety +17

    I still listen to this beautiful song in 2020

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 Před 4 lety +3

    Uko vizr yaani ka song pambeee
    👌👌👌 Hakichuji haadhliki mtu

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 Před 6 lety +15

    When Taarab was real...big up le madame

    • @dzamecbc2859
      @dzamecbc2859 Před 6 lety

      mm bado naskiza aki ni message......naskizia saudia

    • @mustafanyapara2723
      @mustafanyapara2723 Před rokem

      when taarab used to console & soothe my heart after tarmacking all day but no job!

  • @abdallahdula6573
    @abdallahdula6573 Před 8 lety +22

    Hii song inanikosha sana kwa kwel

  • @kineromakame7295
    @kineromakame7295 Před rokem +2

    Kweli wabaya sana binadamu hawana wema wala shukrani jamani mama 😢 😭 🙏 😞

  • @khalifasaidkhalifa7093
    @khalifasaidkhalifa7093 Před 4 lety +8

    Penda sanna hii nyimbo 2020

  • @rahimmaumba5364
    @rahimmaumba5364 Před 3 lety +4

    Asante kwa load huu mziki kumbukumbu itabaki daima..ujumbe wake mpaka leo unaishi.....

  • @hajramohammed1104
    @hajramohammed1104 Před 5 lety +4

    Izi ndio za kusikiliza mashaallah ,

  • @mariamkanyungu3150
    @mariamkanyungu3150 Před 4 lety +5

    Wimbo unanikumbusha mbali sana

  • @shakilamohamed7943
    @shakilamohamed7943 Před 3 lety +12

    I will always listen to this 1000 times over n over kweli wabaya wanadamu

  • @benjaminmwaria238
    @benjaminmwaria238 Před rokem +4

    Niseme nini? Beautiful song, beautiful singer, fantastic rythem. Mashalla.

  • @waviwangotv1924
    @waviwangotv1924 Před 4 lety +10

    Mashaa Laah 5/10/2019 Haiishi Ladha.

  • @husnanyundo110
    @husnanyundo110 Před rokem +1

    Nyimbo hii tamu kweli .ni kweli bina damu hatuna wema

  • @OmarMohamed-cb1tu
    @OmarMohamed-cb1tu Před 3 lety +4

    Ngoma zilikua izi 18 Oct 2020...mambo n 🔥🔥

  • @abuzamahadh98
    @abuzamahadh98 Před 4 lety +5

    Nikisikiliza Nyimbo hii mwili wangu
    wanisisimuka kweli binadamu wabaya

  • @mwanakhatibu3722
    @mwanakhatibu3722 Před 5 lety +5

    nani naangalia nyimbo hii 2018 mwez wakumi namoja🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @hajimahamudu7059
    @hajimahamudu7059 Před rokem +1

    ❤❤❤haiwezi kuchujaa hiingoma

  • @missmanaal6320
    @missmanaal6320 Před rokem

    siadhiriki enyi walimwenguuuu.... enyi walimwengu yangu yaniendeaaaa.... na ishi kwa nguvu za mungu kumbe nguvu za mungu na zimudu shida zangu rizik najipatia.... nashangaaa enyi walimwengu ya shari mwanitafutia.... mola atanistiri madhira hayanifiki.... kaniangazia nuru gizani hamniwekiiii....

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 Před 8 lety +5

    popoh mwaguzo. kweli binadamu wabaya hawapendi zuri la mwenzao asaantaaaaaa bibie

  • @hamadomar8386
    @hamadomar8386 Před 2 měsíci

    huu wimbo uliwah kunitoa machoz wallah

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 Před 8 měsíci +1

    Nyimbo nzuri na hta wapokeaji wameipokea vzuri naona watu wanacheza kiungwana.

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Před 6 lety +12

    Sichoki kukusiliza mwanana.!!😘

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h Před 8 měsíci +1

    Nilikuwa naipenda sana hii nyimbo hadi leo nipo nayo anajua muimbaji

  • @joanrwegoshora785
    @joanrwegoshora785 Před 10 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤ wimbo mtamuuuu

  • @user-es7wm1kv2m
    @user-es7wm1kv2m Před 6 měsíci

    ❤❤ binadamu kweli wabaya

  • @abuymchina3646
    @abuymchina3646 Před 5 lety +1

    Inankumbusha miaka ya 2000 hv lkn ukiiskia km imetoka juz hongera bibie Zuhura.ila bd npo nayo 2019

  • @zuwenasalum836
    @zuwenasalum836 Před 2 lety +2

    Nakupend Sana dada zuura

  • @radhiakabaka4360
    @radhiakabaka4360 Před 4 lety +17

    Wimbo mtamuu nan anaangalia 2020 like twende sawa

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx Před 3 lety +4

    Bado nipo hii nyimbo ina ujumbe mzuri...

  • @zulphahassan1100
    @zulphahassan1100 Před 6 lety +8

    ❤❤❤❤❤💖💖💖💖💋💋💋💋😘😘😘😘😘ful makopa kopa

  • @abdulrahmanlutenga5119

    Alhaj mzee yusuf enzi hizo akipiga kinanda kabla ya kuwa muimbaji ni mwaka 2001 leo hii ameacha taarab anaimba qaswida

  • @ahmedjay7725
    @ahmedjay7725 Před 5 lety +25

    Oh my goodness!! I can remember this song since I last listen to it was 2002..what a memory!!😂👍👍👍👍

    • @zenaal-baalawy1953
      @zenaal-baalawy1953 Před 2 lety +1

      Ahmed Jay@Even me too naikumbuka hii song 2001 to 2002 ilipoingia tukienda harusini inawekwa lol!😀Naikumbuka haswaaa miaka hii.

  • @anethfrolens5425
    @anethfrolens5425 Před 3 lety +4

    Riziki mafungusaba langu hamtoriziba, hanaetoa Ni mora hawezikuingiriwa.Asante sana kwawimbo mzuri utafikiri umetokaleo

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 Před 3 lety

    Wabaya kweli wabaya binadam kweli wabaya ohooo utalia nyieeeeeee💃💃💃💃💃

  • @gervascharlesmwatebela1421
    @gervascharlesmwatebela1421 Před 6 lety +35

    Tupo wengi tunausikiliza ya Kale ni Dhahabu

  • @nasraalharthy1338
    @nasraalharthy1338 Před 8 lety +13

    I like your songs

  • @salmamasoud6055
    @salmamasoud6055 Před 7 lety +25

    teeenaaa nashangaa inakuaje binadamu tunaroh dhaifuu penda hii tarabuu

  • @omaryahmed8388
    @omaryahmed8388 Před 4 lety +2

    Haichujii kabisaa 🥰

  • @sitintsoholi8350
    @sitintsoholi8350 Před 9 lety +10

    J'aime beaucoup african melody modern taarab mon premier groupe préféré et Jahaz modern taarab et TOT !!!

  • @iddyissa3109
    @iddyissa3109 Před rokem +2

    Mbona naona coment za jana, inamaan watu bado mnaufatiliag wimbo huu 🤙

  • @maryamali8585
    @maryamali8585 Před 4 lety +5

    2020 tukiwa bado na siadhiriki ya zuhura shaabani... tujuane..

  • @mirajikombo5413
    @mirajikombo5413 Před 4 měsíci

    Ni 2024 tar 20Feb bado huu Wimbo upo on 💥💥

  • @KulwaMizungumiti-wj5uc
    @KulwaMizungumiti-wj5uc Před rokem +1

    Zamani kulikuwa na taarabu bhana, album yenye nyimbo hii ilipigwa Sana home kwenye harusi yangu january 01, mwaka 2000, daah kumbukumbu nzuri mno