Huu wimbo umefanyiwa covers na wasanii wengine hata wasanii wa kubwa lakini hakuna aliyewahi kuitendea haki kama Zuhura alivyoitendea haki.this will remain to be the best of the best
Naupenda sana wimbo huu ukiimba mwili wangu wanisisimka,kweli wastara hasumbuki nazidi kupata neema nimesafi roho yangu hta mkinichukia hupakata yaso yangu na kashfa kunikalia
siadhiriki enyi walimwenguuuu.... enyi walimwengu yangu yaniendeaaaa.... na ishi kwa nguvu za mungu kumbe nguvu za mungu na zimudu shida zangu rizik najipatia.... nashangaaa enyi walimwengu ya shari mwanitafutia.... mola atanistiri madhira hayanifiki.... kaniangazia nuru gizani hamniwekiiii....
Basi mimi nipo hapa 2024😂😂😂😂😂
Tupo pamoja
Nani anaskiza 2020 👍
Nimetaka kwajili ya harusi jamn🥰
Nyimbo yangu pendwa 2024❤❤❤
2023 2023 2023 STILL TOUCH MY HEART AND SOUL long life zuhuraaaaa💖💖💖💖🥰🥰
Mola amenistiri kwa kweli
Kitu paaambe 👌👌 hizi ndio zilikuwa nyimbo jamani mpaka nimetokwa na machoz 😭😭😭😭,, wale wa tunao sikiliza 2021tujuane
2022
TUPO 2022 DECEMBER 😂
T
Tttttt
Yuko pamoja
Hatari sana mama hizi ngoma hazichuji kabisa hata 2030 ukisikiliza kama umetoka jana.
Nyimbo hii yanikumbusha nikiwa ndogo jamani I miss my Dad 😥.Mungu aekaze roho yake mahala pema
Pole sana
Me too I miss my dad😭😭😭😭
Amiin rabillah amiin inshallah
May his soul rest in peace🙏
Wow!! The song my late mum used to listen..humkumbuka nkiuskia..r.i.p mum😢
May her soul rest in peace🙏😔
Nimekuwa nikiutafuta huu wimbo kwa muda. Old is gold.😍😍
P
Sawa hii ndo nyimbo
Still rocking with this classic song 2023❤❤❤❤
Naupenda sana wimbo huu Siadhiriki wa Zuhura Shaaban. kwani binadam wabaya hawana shukran acha tu.
Nilikuwa simjui ila big up
Jmn mimi siompenzi wa taarabu lakini kwenyw huu wimbo nilijikuta naupenda sana nahizi ndiyo zilikuwa taarabu.mashallal
Taarab siadhiriki wimbo huu umfikie mke wangu kipenz akiwa. Ukerewe rose maduhu
Na wala hamuniwezi mtapanda mkishuka namuamini mwenyezi wala hana mshirika yeeeeeeeeeeeeeeba maneno matamu dada mtanzania ahsante sana
lovly nic song..heko mamaa.
Mtamuù
Yani Wimbo Kama Umetoka Leo, Jamani Zilipendwa Tamuuu Hongereni, Sauti Maa Shaa Allah. Ndani 2020.
Konkiii 26/12 naenda kuwaimba watu
@@nellyndowa5642 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Old is Gold 👌😘
@@altaafkassu2171 Nakwambia Yani Ndani 2021 Wimbo Unawika Bado.
Yani nautazama na kuusikiiza saa 6 usiku nmetulia najikuta natamani kulia nikikumbuka way back
Nani anasikiliza wimbo huu mwaka 2020 dondosha like yako
Mimi napenda
Muna
Ndio
she once performed this song at KICC Nairobi,cant forget that night.
Hu wimbo mi mzuri sana unanikumbusha mbali sana 10/07 2023
Hawana wema Wala shukurani binaadamu kweli wabaya 😍😍😍
Kama tupo wote tunasikiliza nyimbo hii 2020 gonga like
Mlitaka niadhirike kusudi lenumcheke likini mola maanani kaninusuru mja wake🙏🙏🙏
Enzi za taarab sio ss hv naipenda hii ngoma.
Huu wimbo umefanyiwa covers na wasanii wengine hata wasanii wa kubwa lakini hakuna aliyewahi kuitendea haki kama Zuhura alivyoitendea haki.this will remain to be the best of the best
Original ni original siku zote ila kwenye kuutendea haki sabaha salum kauimba vzr mno
Yaani naujua siku nyingi huu winbo ila kwa yaliyonifika now umeni touch kwa kweli 2024
Nani anasikiliza wimbo huu 2019 tarehe 12/1/2019
Mie
Amina Adam pamoja
daah zuhura kaenda haki
Riziki mafungu saba langu hamtoliziba anaetoa ni Mola hawezi kuingiliwa....
Zaituni Husseni
26/03/2019
Nani anaangalia 2021 like hapa twende sawa
Mm hp
Atarii
Mimi jaman
One more
Me from uk 🥰🥰🥰🥰
Huu mwimbo ni mzuri sana unanikumbusha mbali sana
Nyimbo nzuriii Sana unatamani kuisikiliza kila wakati
Riziki mafungu saba anaetoa ni mora hawezi kuingiliwa❤️🙏🙏
Nausikiliza kila siku jamani maana mambo yanayoendelea ndio yapo ktk wimbo huu
Hunishindi mpaka 2020 nipo nayo tuuuu
Kweli kbs
2020,are together 👍
Jamn huu wimbo naupenda sana❤️
Naishi kwa nguvu za Mungu..kumbe watu waumia.!!! true dada.!!!
2023 bado tunasikiliza mambo ya pwan
Yaani hongera kwa mtunzi 2021 till forever.......
Naupenda sana wimbo huu ukiimba mwili wangu wanisisimka,kweli
wastara hasumbuki nazidi kupata neema nimesafi roho yangu hta mkinichukia hupakata yaso yangu na kashfa kunikalia
Mashaalah wimbo wenye mafunzo na ukweli mtupu swadakda mamaa naskiliza mara kumi kumi
Ridhiki mafungu 7 langu hamtoliziba anyetoa ni mola hawezi kuingiliwa ♥️
Nazimudu shida zangu riziki najipatia! Nashangaa walimwengu ya shari mwajitafutia... Mola atanisitiri madhila hayanifiki kaniangazia nuru kizani hamuniweki...
Poa nasiki maneno ya kibinaadamu
Hii ngoma tamu sana...
binadam kweli wabaya mashaalla
Mlitaka niadhirike kusudi lenumcheke likini mola maanani kaninusuru mja wake 🙏🙏🙏11/4/2020
I miss East African Melody especially mr Haji Moh’d rest in peace. I miss you all 07April 2020
wabayaa kweri wabayaa binadamu kweri wabaya asante dd zuhura
Ahsantee kipenz kwa kuniliwaza nikiwa ktk wakat mgumu siachi kusikiliza vipande vyako Mollah atanisitir madhwila hayatanifika swadacta 🙏🙏
Wimbo umebeba ujumbe mzito mno .... Hizi ndo nyimbo Sasa pongezi nyingi kwa mtunzi❤️❤️❤️
hatar saaaaaana hii nyimbo
Namuona mzee yussuf kwa mbali
8u2 w"
Try 31/2/2019 gonga Like km unapenda vya kale nidhahabu tujuwane
juma bomba nakubali juma yakale no moto
Naziku bali sana
Rehema saja
Penda sana vya kale
Woyoooo
Huyu ndiye hasswa alistahiki kuitwa Malkia wa Taarabu na si mwingine.
Mashairi mpaka leo yanaishi big up kwako zuhura Shaban
Nzuri sana dada
binaadamu hawana wema wala shukrani,nazimudu shida zangu rizki najipatia, ya shari mnayonitafutia Mola atanistiri, madhila hayanifiki, kaniangazia nuru gizani, hamuniweki, mlitaka niadhirike, mambo yangu yafujike, wastara hawazimbuki,nazidiki kupata neema ,nimesafi moyo wangu hata mukinichukia,siadhiriki miye bure mkiniandama heko mama mtanzania mola hana mshirika
Mashaallah
huu wimbo yaan ukopoa
Naupenda sana huu wimbo 11/09/2019
07/12/2022 @3:44 am! nauskiza
Nyimbo zilikua zamni jmnii ❣️❣️ zuhura katika ubora wake
zuhura unaimba vizur sana mimi katika taraab napenda sana nyimbo zako
nyimbo zake na za sabaa salum, zanitoa machozi nikizikiza, tangu 2001 nikiwa Chuo Kikuu!
Nyieeee nyimbo tamuu
I can't get enough with this song..
I want to get married to this woman so she could just sing to me all day long and night.
I still listen to this beautiful song in 2020
Uko vizr yaani ka song pambeee
👌👌👌 Hakichuji haadhliki mtu
Jmn umeonaaa eeh ila ana sauti kama khadija Yusuph jmn
When Taarab was real...big up le madame
mm bado naskiza aki ni message......naskizia saudia
when taarab used to console & soothe my heart after tarmacking all day but no job!
Hii song inanikosha sana kwa kwel
Hongeraa
Kweli wabaya sana binadamu hawana wema wala shukrani jamani mama 😢 😭 🙏 😞
Penda sanna hii nyimbo 2020
Asante kwa load huu mziki kumbukumbu itabaki daima..ujumbe wake mpaka leo unaishi.....
Izi ndio za kusikiliza mashaallah ,
Wimbo unanikumbusha mbali sana
I will always listen to this 1000 times over n over kweli wabaya wanadamu
Niseme nini? Beautiful song, beautiful singer, fantastic rythem. Mashalla.
Mashaa Laah 5/10/2019 Haiishi Ladha.
Nyimbo hii tamu kweli .ni kweli bina damu hatuna wema
Ngoma zilikua izi 18 Oct 2020...mambo n 🔥🔥
Nikisikiliza Nyimbo hii mwili wangu
wanisisimuka kweli binadamu wabaya
nani naangalia nyimbo hii 2018 mwez wakumi namoja🙌🙌🙌🙌🙌🙌
❤❤❤haiwezi kuchujaa hiingoma
siadhiriki enyi walimwenguuuu.... enyi walimwengu yangu yaniendeaaaa.... na ishi kwa nguvu za mungu kumbe nguvu za mungu na zimudu shida zangu rizik najipatia.... nashangaaa enyi walimwengu ya shari mwanitafutia.... mola atanistiri madhira hayanifiki.... kaniangazia nuru gizani hamniwekiiii....
popoh mwaguzo. kweli binadamu wabaya hawapendi zuri la mwenzao asaantaaaaaa bibie
huu wimbo uliwah kunitoa machoz wallah
Nyimbo nzuri na hta wapokeaji wameipokea vzuri naona watu wanacheza kiungwana.
Sichoki kukusiliza mwanana.!!😘
Nilikuwa naipenda sana hii nyimbo hadi leo nipo nayo anajua muimbaji
❤❤❤❤❤ wimbo mtamuuuu
❤❤ binadamu kweli wabaya
Inankumbusha miaka ya 2000 hv lkn ukiiskia km imetoka juz hongera bibie Zuhura.ila bd npo nayo 2019
Nakupend Sana dada zuura
Wimbo mtamuu nan anaangalia 2020 like twende sawa
Tko pamoja
Mie mmoja wao nipo 2020
Naupenda sana
Tb
Bado nipo hii nyimbo ina ujumbe mzuri...
❤❤❤❤❤💖💖💖💖💋💋💋💋😘😘😘😘😘ful makopa kopa
Alhaj mzee yusuf enzi hizo akipiga kinanda kabla ya kuwa muimbaji ni mwaka 2001 leo hii ameacha taarab anaimba qaswida
Oh my goodness!! I can remember this song since I last listen to it was 2002..what a memory!!😂👍👍👍👍
Ahmed Jay@Even me too naikumbuka hii song 2001 to 2002 ilipoingia tukienda harusini inawekwa lol!😀Naikumbuka haswaaa miaka hii.
Riziki mafungusaba langu hamtoriziba, hanaetoa Ni mora hawezikuingiriwa.Asante sana kwawimbo mzuri utafikiri umetokaleo
Wabaya kweli wabaya binadam kweli wabaya ohooo utalia nyieeeeeee💃💃💃💃💃
Tupo wengi tunausikiliza ya Kale ni Dhahabu
kweli ya kale dhahabu. real a good song.
I like your songs
teeenaaa nashangaa inakuaje binadamu tunaroh dhaifuu penda hii tarabuu
Mh uko sawa
Nice hakuna kama hii
Real Boy87 ijjjohhiyjoiiijjjhjh
Bkjjkk
Haichujii kabisaa 🥰
J'aime beaucoup african melody modern taarab mon premier groupe préféré et Jahaz modern taarab et TOT !!!
que des belles paroles 😊😊
siti ntsoholi meci
Congratulations
Mbona naona coment za jana, inamaan watu bado mnaufatiliag wimbo huu 🤙
Yes mm hapa
2020 tukiwa bado na siadhiriki ya zuhura shaabani... tujuane..
Niatari sana
Ni 2024 tar 20Feb bado huu Wimbo upo on 💥💥
Zamani kulikuwa na taarabu bhana, album yenye nyimbo hii ilipigwa Sana home kwenye harusi yangu january 01, mwaka 2000, daah kumbukumbu nzuri mno