waislam mashekhe tuna mitihan sana mbele ya Allah kwa nn kufitinishana kama mtu kakosea inabidi umfate umwambie hapa umekosea fanya hivi sio kurushiana maneno shukran
Na Mimi nawaongezea tu sheikh wangu , Hao wanaodhani dini ni maneno ya taarab wanakata kata mambo ya haki wajuwe tu kwamba anaempandisha Mwenyezi Mungu binaadamu hawezi kumshusha waache kucheza Na Dunia ,Iko Siku Dunia itawacheza.
SHUKRAN SANA. MWENYEZI MUNGU AMUHIFADHI SHEIKH, BALI YATAKIWA UANGALIFU SANA KATIKA KUFANYA MIAMALA NA WATU WANAO ITWA WA KIMATAIFA, MARANYINGI WAO HUTAZAMA MASILAHI YAO HIVYO WAKO TAYARI KUFANYA LOLOTE ILI KUFANIKISHA MALENGO YAO!
Sheikh mwenyezi mungu akujalie kila la kheli, kwanini wakubadilieshie maongezi, inaonekana watu walipwa mishahara, mpaka wanalamizisha, inshallah watayakuta wanayo yatanguliza
```arafa kwa mahujaji ni sehemu(arafa penyewe) na wakati (tarehe 9 dhulhijja) kwa Muandamo wa saudia , ama kwa wasiokua saudia ni wakati tu(tarehe 9 dhulhijja) kwa kuzingatia muandamo wa kila sehemu peke yake kwa mfano Tanzania tarehe 9 yao sio lazima iwe sawa na saudia kwahivyo watafunga swaumu ya arafa tarehe 9 kwa mujibu wa muandamo wa Tanzania ila kama muandamo wao utakua sawa na saudia basi watafunga siku ya kisimamo cha arafa pamoja na saudia wallahu aalam``` @munir_elriamy . . #eidmubarak #arafa #ibadhi #ibadayahija #dhulhijjah #chinjakwaajiliyamolawako #zanzibar #oman #tz #عيد_مبارك
Sheikh wangu, Allah SWT akulipe mema, na umushukuru kwa neema zake kadha alizokuruku, miongoni ni hekma ambayo ktk Elmu kiasi unayo. Ila swali limenijia kama hivo ; Alikuja Mmoja wa waumini kwa Rasul SAW kutoka Vilimani, nakumpasha habari kwamba > Tuliuona Mwezi tayari sisi vijijini, Mtume akaamua moja kwa moja wafunge Wa Islam, bila kuushakia ushahidi huo, angalau ulikuwa mda wa Tano za Asubuhi, Wote wakafunga kwa amri ya Mtume. Utatupa jibu gani hapo mja wa Mungu ?
Dah jaman tunatia aibu sna haswaikaribia mwezi huu mtukufu kuna kua na contradition nying sana yani huu mkanganyiko sjui unatokewap jmn yani kila mtu anakua sharifu wa kutoa fAtwaha
Sheikh Waleed Bin Sheikh nimekuelew sana! Lkn nimekuelewa zaid kwny kupeana UDHURU zaid ya mara Sabini...! Allah awape kheyr nyote masheikh zetu... wkt mwngn mtu hukosa kwa sabbu ya furaha!
Yote hayo Ni Usheikhe wa Mkoa tu Hakuna kingine, Na InshaAlla Mwenyezi Mungu Atakupandisha daraja zaidi ya hapo Binafsi Nakuombea, Nina imani Wanaokuombea Mema Ni Wengi.
Hawa mashekh, ni hatari sana, Imamu wa msikiti kuanzi miaka ya 90.ndo ujue ni kingnganizi cha madarka,dunia haina miezi mingi,dunia ina mwezi mmoja.ukisema kila watu wafungue kwa mwandamo wa miezi yao, basi kila nchi ingefungua kwa tarehe yake. Nyie mnasoma kuna baadhi ya miji zamani ilikuwa ikifungua tofauti. Linaweza kutokea hilo kwasababu ya uongozi wa miji ile kujifakhalisha juu ya mwezake(nani mbabe) ndo kinachotokea hapa Tanzania na nchi nyingine, uislamu ni mmoja, mwezi ni mmoja. Hakuna nchi yenye tarehe tofauti,tofauti ni machweo na mawio , tofauti hiyo ipo hata hapa Tanzania.
Kuwa Imamu Mkuu toka miaka 90 kuna tatizo gani, laity ungejua Mashekh waliomkabidhi pale wala usingeyasema hayo unayoyasema leo, Nakukumbusha ndugu yangu kuwa na kiasi katika maneno yako kumbuka kila tunalilofanya hapa duniani tutaulizwa kesho mbele ya Mahakama ya Mungu. Sijui kama Historia ya elimu ya Dini ya Shekh Walid unaifahamu vizuri au unavyomuona mpole, haongei sana unamchukilia poa fahamu amepita kwenye mikona ya Mashekh wakubwa wakubwa na ndo waliomridhia wakamkabidhi Msikiti ule. Nakukumbusha tena sku zote fahamu kila ulifanyalo linaandikwa na siku ya mwisho kuna hesabu.
Nyinyi mulikwenda kwa sheikh muhammed idi kumuulizia kuhusu klip ya sheikh walid baadae munakwenda kwa sheikh waalid kumuulizia clip ya sheikh mohammed hamuoni munawagombanisha hao masheikh
Hawa mashekh ni mashee wa Dunia wanatubabaisha na mambo ambayo yapo wazi kua wanazuoni walitofautiana kihoja na hoja zote ni Sawa kulingana na kuelewa kwako. Wanajaribu kutusahaulisha matatizo ya waislamu kule China. Burma. Kashmir. Zanzibar. Chechnya. PALESTINIAN n. K. HAWA mashee wanajua fadhila za kwenda Aqsa lakini hawasemi na wanajua mayahudi jinsi wanavyo nyanyasa dada zetu wa kiislamu lakini wapo kimya. Saudi ni rafiki namba moja Wa adui wa uislam wanazuoni wa huko wakisema wananyongwa na nyiyi mnatushughulisha na mambo ambayo yapo wazi
Shekh analeta unafq anakataa wakat kabla ya video kuwekwa ilikuwa ni maongezi ya live na hii sio kweli kuwa video imeeditiwa ni unafq ARAFA NI MOJO tuache unafq
Kama kuna uwezekano mumtembelee shekhe Mziwanda nae tujue uhakika labda nayeye kadukuliwa au ndio kasimamia pale pale Maana alichokiongea kuhusu funga ya Arafa na kuhusu sheria bado ni utata katika jamii inafikia kipindi watu wanauliza na yeye katoa fatwa ile je anayo taaluma ya sheria?
Kuna waislamu, hawana msimamo wenyewe wapo kotekote, hawa ndo wale akija mtu akajiita kuwa yeye ndo mtume mhammadi(sw) watamfuata bila kujali vitabu vya dini vinasemaje?
alafu ww Salah abdulatif acha ujinga kwanza ww inaonyisha ni murtad umetoka katika nidi ya haki ya uislaamu umeenda kuwa kafiri pil hata uyo yesu aujui unasema tu yesu yesu ulipotoka aukupajua na zaid ulipoenda haupajui na autopajua kabisa unachanganya tu mara yesu mungu mara mwana wa mungu mara nabiii unajikanyaga tu auna elimu ya yesu wala aukua na elimu ya uislaamu Dini ya haki.
Naam ni kweli Shekh Abu Idi amejibu hoja kufuatana na ile clip inavyojieleza lakini kwa sisi Mamuma tunavyouelewa ukaribu wa Shekh Abu Idi na Shekh Walid bado SHekh Abu Idi alitakiwa awasiliane na ndugu yake apate ukweli pia clip hii si ya mwaka huu ni ya mwaka jana na Alhabib shekh Walid aliwahi itolewa ufafanuzi binafsi nimesikitika saaana ila nina amini watakuwa wameshawasiliana wamezungumza na kuna elimu kubwa sana ya kujifunza. Basi tumuombe MUngu atuepushe na wanaotugombanisha sisi na Mashekh zetu.
Mimi naswali msikiti huo lakini cina msimamo wako kwani zambi kufata mwexi wa suudia acheni ubabaishaji katika dini waadilifu wachache kwa tz zama hizi
Acha kusambaza fitna mbona mambo yepo mengi tuu yakuusaidia umma hata kuna watu wengi wanaitaji misaada we umekalia mambo yenye migogoro lazima tukwambie
@@abdulsalum2852 Ukiwa unazungumza uwe timamu na unachokizungumza, hao uliona wamefocwa kurikdiwa? Au uliona wapo studio yangu nimewaita, uwe na adabu Na hekma sio kuongea tu
Mimi sinakuvunjia adabu nimekwambia ukweli kuliko kusambaza fitna hizi sheikh uyu kazungumza hivi sheikh uyu kajibu hivi ni bora ukafanye mambo yamaana kuna waislam wengi wanahitaji misaada kama nimekuvunjia heshima yako mkuu nisamehe lakini nimetoa comment yangu kwa vile unavovipost na ulimwengu wetu ulivyojaa watu ambao ni wajuaji angalia comment zako katika video watu wanavo tukana wewe unaona raha akhy umma kuwa na mvurugano namna hii
Bobdeo mtangazaji Nenda Kasome Dini tafadhali.Huko ni kujiabisha kwa kusema Dunian kote watu wanakutana Miji mitukufu Makka na madina kwenda kuhijji. Ilihali Ibada ya Hijja Inapatikana Makka tu.
Baba Faisal yaan we umeliona hilo tu kusema wanakutana maka na madia ndio unathubutu kumwambia akasome?c dhani kua unamfikia hata robo kwa elmu yake maan ni hafidh wa qur an tena yte.na bado ana madrsa na wanafunzi kibao.usione et hajavaa kilemba kma ww ndio ukajua hajasoma.usimdharau usie mjua.kwanza madina mahujaji wote hua wanaenda kwa ajili ya kuizuru kaburi ya Mtume..halafu ww et unaona kakosea.
Astaghfirula ,hebu muitafuti hili jina halafu uamue mwenyewe andika=MASHEIKH WATOA KUHUSU FUNGA YA ARAFA,hala uangalie kama kuna edit hapo yeye mwenyewe amekariri hivyo
Masheikh wetu lazima mfaham saa zinapishana mzunguko wa dunia wakati wamesimama suudia nchi nyingine ni usiku itakua kuna funga ya usiku kweli kila nchi na muandamo wa mwezi
Acha kudanganya, hata Tanzania baadhi ya miji inatofautiana, mfano kigoma bado jua lipo lakini dar ni usiku. Kwa kutumia kigezo cha kila mji wafunge kulingana na mwandamo wa mwezi, huo ni upotoshaji, mfano saudia na Tanzania hatuzidiani saana masaa.
pia yohsn 20 17 marko 32 kasome ujifunzi yesu ni nani maana unamfuata mtu usiemjua alafu unaleta kashfa kwa waislaamu kaa kimya sisi tunamjua uyo munaemuita yesu kuliko nyie wenyewe na tunaifahamu sana iyo Dini yenu kurko nyie wenyewe
Quran tukufu ni muongozo kutoka kwa Muumba wa Mbingu na Nchi,aliyeumba viumbe wote waliopo ulimwenguni mbinguni na ardhini. Quran ni Muongozo kwa wachaMungu, ni kitabu kisichokuwa na khitilafu wala mfano . kama wewe uliyekashfu Quran unaweza kuleta mfano wake au kuikosoa kwa kosa lolote jaribu. Lakin nakwambia "tubia kabla hujatokwa na roho"
Khamis mashaa Allah kwa kucgukua habari huku na kile, ikiwa lengo lako ni la kheri Allah akuzidishie lakini ikiwa ni miongoni mwa hao wanao eneza fitna basi nakwambia hiyo biashara mwisho wake mbaya.
Sheikh omba msamaha kwa Allah na wenzio usiogope sababu cha ukweli umesema hakuna Edit ya kishki atakuumbua baadae omba Istikfaar wacha kuchanganya maneno kila mtu ajua umesema hata wewe pia
mashaalah sheikh walid.nakupenda kwa ajili ya allah.allah akuhifadhi...
Mashaallah sheikh walid alhady Allah akuhifadhi na shari za mahasidi
sheikh umeongea kwa hekma kubwa sana Allah akuhifadhi
Shekh wangu Allah akuhifadh, nakupenda kwa ajili ya Allah.
Alhamdulillah. Allah awazidishie hekma na elmu. Na atuepushe na kueneza habari za uchochezi na ufitini kwa Mashekhe zetu.
Nimependa usivobabaika kueleza unachokifahamu na unachokiamini mwenyezi mungu akuhifadhi
#sisi ni ndugu tulio lalia kitanda kimoja. Maneno ya hekima sana Allah akuhifadh shekh
Hikma na bussara ya hali ya juu, Sheikh Allah akuzidishie Elimu
Miaka 26 Mashaaallah sheikh Waleed M/MUNGU akuongoze
Maa shaa allaah sheikh waleed umeeleweka sana
Sheikhe inaonekana unasehemu ya uchamungu ALLAH akuzifishie nasi pia ALLAH aturuzuku uchamungu.
Mashaaalll umejibu vizuli bila ya vijembe.....hiyo sifa ya ushekhe inastahiki kwako
Sheikh Walid shukran Allah akujaalie kauli madhubuti
Shikh walid uko sawa mungu akuhifadhi
Maneno fasaha ya sheikh wetu.
Ni vizur kaweka wazi.
Hongeren Miladu online Tv kw kuzid kutuhabarisha.
Jazakumullahu khayra
Sheikh nimekuelewa saana, kwanza unahekma ya mazungumzo, si kututolea povu na kashfa kwa wengine!!!
Sheikh walid umezungumza hekma nzuri sana
Allah akuhifadhi ,hekma yako kubwa
Weye modo wamgu kwa maswala ya dini allah akupe elimu zaidi
waislam mashekhe tuna mitihan sana mbele ya Allah kwa nn kufitinishana kama mtu kakosea inabidi umfate umwambie hapa umekosea fanya hivi sio kurushiana maneno shukran
Mashallah shekhe waleed
Jazakallahu khaira shekh
Maashaallaah mwalimu umeeleweka Mungu akujaalie kheri
Shukran kwa ustz na muulizaji mmeeleweka
Na Mimi nawaongezea tu sheikh wangu , Hao wanaodhani dini ni maneno ya taarab wanakata kata mambo ya haki wajuwe tu kwamba anaempandisha Mwenyezi Mungu binaadamu hawezi kumshusha waache kucheza Na Dunia ,Iko Siku Dunia itawacheza.
Jazakumullah Kheyr
Allah akuhifadh shekh walid
Allah akulipe kila kheri sheikh waleed alhaad
Allahummah ameen
Amiin amiin amiin
Jazakallah kheir
شيخ محمد عيد حفظه الله
SHUKRAN SANA.
MWENYEZI MUNGU AMUHIFADHI SHEIKH, BALI YATAKIWA UANGALIFU SANA KATIKA KUFANYA MIAMALA NA WATU WANAO ITWA WA KIMATAIFA, MARANYINGI WAO HUTAZAMA MASILAHI YAO HIVYO WAKO TAYARI KUFANYA LOLOTE ILI KUFANIKISHA MALENGO YAO!
Sheikh mwenyezi mungu akujalie kila la kheli, kwanini wakubadilieshie maongezi, inaonekana watu walipwa mishahara, mpaka wanalamizisha, inshallah watayakuta wanayo yatanguliza
pole sheikh hao wanao fanya ivo wasikutie joto la roho ni wale ambao hawana elimu ata ya kusikiliza
M.Mungu ampe umri mrefu wallah tunafaidika sana
Ahsante mwalimu wangu
Shehe Allah akuongoze
Allah ibarek sheikh walid
Alhamdulillah
```arafa kwa mahujaji ni sehemu(arafa penyewe) na wakati (tarehe 9 dhulhijja) kwa Muandamo wa saudia , ama kwa wasiokua saudia ni wakati tu(tarehe 9 dhulhijja) kwa kuzingatia muandamo wa kila sehemu peke yake kwa mfano Tanzania tarehe 9 yao sio lazima iwe sawa na saudia kwahivyo watafunga swaumu ya arafa tarehe 9 kwa mujibu wa muandamo wa Tanzania ila kama muandamo wao utakua sawa na saudia basi watafunga siku ya kisimamo cha arafa pamoja na saudia wallahu aalam```
@munir_elriamy
.
.
#eidmubarak
#arafa #ibadhi #ibadayahija #dhulhijjah #chinjakwaajiliyamolawako #zanzibar #oman #tz #عيد_مبارك
Sheikh wangu, Allah SWT akulipe mema, na umushukuru kwa neema zake kadha alizokuruku, miongoni ni hekma ambayo ktk Elmu kiasi unayo. Ila swali limenijia kama hivo ; Alikuja Mmoja wa waumini kwa Rasul SAW kutoka Vilimani, nakumpasha habari kwamba > Tuliuona Mwezi tayari sisi vijijini, Mtume akaamua moja kwa moja wafunge Wa Islam, bila kuushakia ushahidi huo, angalau ulikuwa mda wa Tano za Asubuhi, Wote wakafunga kwa amri ya Mtume. Utatupa jibu gani hapo mja wa Mungu ?
ماشاء الله شيخ وليد حفظه الله
Mimi nilipoiona tu ile video nilisema imeeditiwa hii. Waleed ni imamu wangu zaidi ya miaka 7.
Aslm alkm ww..... Allah atuongoze.
MNACHOTAKIWA NI KUWAUNGANISHA WATU NA SIKUWAFARAKANISHA WATU MUOGOPENI ALLAH.
Umejibu vizr shekhewetu
Maashalla shekh uliejaa Hekma
maahaa'ALLAH ALLAH akuhifadhi shaykh letu nakupenda kwaajili ya ALLAH
Mwenyezingu akuidhi
Shekh waleed unahikima kubwa . Allah akuzidishie hikma
Hiv unajua maana ya Hikma!???
Dah jaman tunatia aibu sna haswaikaribia mwezi huu mtukufu kuna kua na contradition nying sana yani huu mkanganyiko sjui unatokewap jmn yani kila mtu anakua sharifu wa kutoa fAtwaha
Hapa shekh nimuelewa sana.
MWISHO WASIKU MTAWAGOMBANISHA MASHEIKH WETU .BADILISHENI MWENENDO WENU.
Sheikh Waleed Bin Sheikh nimekuelew sana! Lkn nimekuelewa zaid kwny kupeana UDHURU zaid ya mara Sabini...! Allah awape kheyr nyote masheikh zetu... wkt mwngn mtu hukosa kwa sabbu ya furaha!
Sheikh walid nimekuwelewa vizur sanaa!!
Mashaa Allah. Allah amekujalia hekima na elimu yatakiwa kuambatana na hekima. Sisi wote ni waislamu Allah atuhifadhi
alla mashaaaaalla shekhe Allah akuhifadhi shekhe waled
Maamuma Tuwe makini nahawamashehe haiwezekani mwezi nimmoja alafu ukatae muandamo wamwezako nahaiwezekani kila nchi iwe namwezi wake mwezi nimmoja tu
Yote hayo Ni Usheikhe wa Mkoa tu Hakuna kingine, Na InshaAlla Mwenyezi Mungu Atakupandisha daraja zaidi ya hapo Binafsi Nakuombea, Nina imani Wanaokuombea Mema Ni Wengi.
Sheikhe wangu, Pale Mwenyezi Mungu Alipokupangia, kwa Uwezo wake Patafika tuu, Hilo Lipo wazi.
Nakuombea Mwenyezi Mungu Akulinde, Aamina.
Mwenyezi Mungu Alishakuandaa, mwenye wivu ajinyonge.
Naa bado.
Umesema kweli uaminifu inswaaf na iklas
Hawa mashekh, ni hatari sana, Imamu wa msikiti kuanzi miaka ya 90.ndo ujue ni kingnganizi cha madarka,dunia haina miezi mingi,dunia ina mwezi mmoja.ukisema kila watu wafungue kwa mwandamo wa miezi yao, basi kila nchi ingefungua kwa tarehe yake. Nyie mnasoma kuna baadhi ya miji zamani ilikuwa ikifungua tofauti. Linaweza kutokea hilo kwasababu ya uongozi wa miji ile kujifakhalisha juu ya mwezake(nani mbabe) ndo kinachotokea hapa Tanzania na nchi nyingine, uislamu ni mmoja, mwezi ni mmoja. Hakuna nchi yenye tarehe tofauti,tofauti ni machweo na mawio , tofauti hiyo ipo hata hapa Tanzania.
Kuwa Imamu Mkuu toka miaka 90 kuna tatizo gani, laity ungejua Mashekh waliomkabidhi pale wala usingeyasema hayo unayoyasema leo, Nakukumbusha ndugu yangu kuwa na kiasi katika maneno yako kumbuka kila tunalilofanya hapa duniani tutaulizwa kesho mbele ya Mahakama ya Mungu. Sijui kama Historia ya elimu ya Dini ya Shekh Walid unaifahamu vizuri au unavyomuona mpole, haongei sana unamchukilia poa fahamu amepita kwenye mikona ya Mashekh wakubwa wakubwa na ndo waliomridhia wakamkabidhi Msikiti ule. Nakukumbusha tena sku zote fahamu kila ulifanyalo linaandikwa na siku ya mwisho kuna hesabu.
Hosne Hosne hata wewe peya ni kwa kila mtu ao mashekhe wao wanawaona hawajuwi kitu wanawadharau
Kwa aya gani au sura ipi inaonesha ukomo wa kuwa Imam
Kwani mtume alikuwa imamu miaka mingapi?? Wacha kuropokwa ww!!!
Maslahi ya kidunia yatakuponzeni,maish haya ni mafupi.
Nyinyi mulikwenda kwa sheikh muhammed idi kumuulizia kuhusu klip ya sheikh walid baadae munakwenda kwa sheikh waalid kumuulizia clip ya sheikh mohammed hamuoni munawagombanisha hao masheikh
Bila kwenda huko ungefahamu vp kama clip imechezewa?
Alhabibi Babdeo fanya juhudi uipate ile clip original iliyochezwa yote ili waislam wapate uelewa.
Apa nimekuelewa mwalimu wangu
Hawa mashekh ni mashee wa Dunia wanatubabaisha na mambo ambayo yapo wazi kua wanazuoni walitofautiana kihoja na hoja zote ni Sawa kulingana na kuelewa kwako. Wanajaribu kutusahaulisha matatizo ya waislamu kule China. Burma. Kashmir. Zanzibar. Chechnya. PALESTINIAN n. K.
HAWA mashee wanajua fadhila za kwenda Aqsa lakini hawasemi na wanajua mayahudi jinsi wanavyo nyanyasa dada zetu wa kiislamu lakini wapo kimya. Saudi ni rafiki namba moja Wa adui wa uislam wanazuoni wa huko wakisema wananyongwa na nyiyi mnatushughulisha na mambo ambayo yapo wazi
Ah jamani wenzetu lengo lenu khasa nini juu ya hiidini. mpaka kumbadilishia mtu hatamaneno aliyosema
Je na huyo mtangazaji wako nae ameeditiwa maana anasema waisilamu wako maka na madina kutekeleza ibadaya hija ibada ya hija ni maka yakhee sio madina
Muhidin Ali anakosea imamu ktka swala itakua yeye mwanadamu makosa yapo kwa mwanadamu
Sheikh yuko kiikhlas zaidi nimemkubali sana
Kuwa namsimamo mmoja kama kishki haya niya dunia
MEDIA SIKUHIZI INACHUKUA NAFASI KUBWASANA MUWE MAKINI.
Sawa
Shekh analeta unafq anakataa wakat kabla ya video kuwekwa ilikuwa ni maongezi ya live na hii sio kweli kuwa video imeeditiwa ni unafq ARAFA NI MOJO tuache unafq
Tubia acha kutumia lugha chafu kama huamini basi nyamaza tu au pita
KVP one line
Kama kuna uwezekano mumtembelee shekhe Mziwanda nae tujue uhakika labda nayeye kadukuliwa au ndio kasimamia pale pale
Maana alichokiongea kuhusu funga ya Arafa na kuhusu sheria bado ni utata katika jamii
inafikia kipindi watu wanauliza na yeye katoa fatwa ile je anayo taaluma ya sheria?
HUSSEIN SHAMTE Nam Sheikh Mziwanda anayo taaluma ya Sheria ni mwanasheria
HUSSEIN SHAMTE yaan na yy ni hvyo hvyo tu wameedit na wote ni toka mwaka jana.
Mi mwenyewe mmeiona video kuwa vibande vimekatwa
Kuna waislamu, hawana msimamo wenyewe wapo kotekote, hawa ndo wale akija mtu akajiita kuwa yeye ndo mtume mhammadi(sw) watamfuata bila kujali vitabu vya dini vinasemaje?
Ume kuwa Imam Kwa miaka 26 mpaka hapo unapo ongea.
Keep up the good work bro #babdeo
Sheikh mziwanda naye mumtembelee ajulikane msimamo wake
Yahh ni kwely video imechezewa
Narudia, Abu idi ni mbabe wahe wa hekma arudi akasomeshwe na kilemile somo La hekma
Hekma haina mwalimu ni tunu ya hakimu
alafu ww Salah abdulatif acha ujinga kwanza ww inaonyisha ni murtad umetoka katika nidi ya haki ya uislaamu umeenda kuwa kafiri pil hata uyo yesu aujui unasema tu yesu yesu ulipotoka aukupajua na zaid ulipoenda haupajui na autopajua kabisa unachanganya tu mara yesu mungu mara mwana wa mungu mara nabiii unajikanyaga tu auna elimu ya yesu wala aukua na elimu ya uislaamu Dini ya haki.
Amezungumza meneno mwiba Sheikh walid
kasome iyo 12 28 kitabu cha marko
Mohammed Iddi anamzuka hana hikma za Kiislamu
Idi, anakrupuka tu aonekane anajua kujibu🎻
Ndaibu usimuhukumu Shekh Idd hajakurupuka amefuata bile clip ilivyo
Naam ni kweli Shekh Abu Idi amejibu hoja kufuatana na ile clip inavyojieleza lakini kwa sisi Mamuma tunavyouelewa ukaribu wa Shekh Abu Idi na Shekh Walid bado SHekh Abu Idi alitakiwa awasiliane na ndugu yake apate ukweli pia clip hii si ya mwaka huu ni ya mwaka jana na Alhabib shekh Walid aliwahi itolewa ufafanuzi binafsi nimesikitika saaana ila nina amini watakuwa wameshawasiliana wamezungumza na kuna elimu kubwa sana ya kujifunza. Basi tumuombe MUngu atuepushe na wanaotugombanisha sisi na Mashekh zetu.
duu miaka 27jee ilienda soma ukiwa na umri gani
Mimi naswali msikiti huo lakini cina msimamo wako kwani zambi kufata mwexi wa suudia acheni ubabaishaji katika dini waadilifu wachache kwa tz zama hizi
we bab deo umekosa kazi za kufanya kusambaza upuuzi
Inshallah
Acha kusambaza fitna mbona mambo yepo mengi tuu yakuusaidia umma hata kuna watu wengi wanaitaji misaada we umekalia mambo yenye migogoro lazima tukwambie
@@abdulsalum2852 Ukiwa unazungumza uwe timamu na unachokizungumza, hao uliona wamefocwa kurikdiwa? Au uliona wapo studio yangu nimewaita, uwe na adabu Na hekma sio kuongea tu
Mimi sinakuvunjia adabu nimekwambia ukweli kuliko kusambaza fitna hizi sheikh uyu kazungumza hivi sheikh uyu kajibu hivi ni bora ukafanye mambo yamaana kuna waislam wengi wanahitaji misaada kama nimekuvunjia heshima yako mkuu nisamehe lakini nimetoa comment yangu kwa vile unavovipost na ulimwengu wetu ulivyojaa watu ambao ni wajuaji angalia comment zako katika video watu wanavo tukana wewe unaona raha akhy umma kuwa na mvurugano namna hii
@@abdulsalum2852 sasa mm ndio niliowaambia wazungumze? Au mm ndio nimewatuma wazungumze kwa maneno yako ndio maana yake
Maskini Alla atakulipa
Msimamo yenu ya maxoweya imaan haipo kwenye mioyo yenu
BABDEO DINI SI SIASA
Bobdeo mtangazaji Nenda Kasome Dini tafadhali.Huko ni kujiabisha kwa kusema Dunian kote watu wanakutana Miji mitukufu Makka na madina kwenda kuhijji. Ilihali Ibada ya Hijja Inapatikana Makka tu.
Baba Faisal yaan we umeliona hilo tu kusema wanakutana maka na madia ndio unathubutu kumwambia akasome?c dhani kua unamfikia hata robo kwa elmu yake maan ni hafidh wa qur an tena yte.na bado ana madrsa na wanafunzi kibao.usione et hajavaa kilemba kma ww ndio ukajua hajasoma.usimdharau usie mjua.kwanza madina mahujaji wote hua wanaenda kwa ajili ya kuizuru kaburi ya Mtume..halafu ww et unaona kakosea.
Ulimi hauna mfupa
@@zohoraramadan4540 Hawa wengi wao wanokotwa okotwa tu Akishasoma Sekula kdgo Basi Jina lake Abdallah So yeye anakuwa Anawez usemea Uislam.
Astaghfirula ,hebu muitafuti hili jina halafu uamue mwenyewe andika=MASHEIKH WATOA KUHUSU FUNGA YA ARAFA,hala uangalie kama kuna edit hapo yeye mwenyewe amekariri hivyo
muogope ALLAH wewe, kwa sie watu wa kuchezea hizo vitu inaonekana kabisa kama imechezewa hiyo video, hebu iangalie inavyoyumba kwenye hicho kipande
Sheikh unaacha kumuogopa Allah halafu unamuogopa Muhammad Idd??
Kamuogopa KVP?
Majawabu murwa
Masheikh wetu lazima mfaham saa zinapishana mzunguko wa dunia wakati wamesimama suudia nchi nyingine ni usiku itakua kuna funga ya usiku kweli kila nchi na muandamo wa mwezi
Acha kudanganya, hata Tanzania baadhi ya miji inatofautiana, mfano kigoma bado jua lipo lakini dar ni usiku. Kwa kutumia kigezo cha kila mji wafunge kulingana na mwandamo wa mwezi, huo ni upotoshaji, mfano saudia na Tanzania hatuzidiani saana masaa.
Wacha uwongo ww Saudis na Tanzania SAA ni moja
pia yohsn 20 17 marko 32 kasome ujifunzi yesu ni nani maana unamfuata mtu usiemjua alafu unaleta kashfa kwa waislaamu kaa kimya sisi tunamjua uyo munaemuita yesu kuliko nyie wenyewe na tunaifahamu sana iyo Dini yenu kurko nyie wenyewe
Unafiki ni hatari sana
KURUANI imekuja kwaajili yakupotosha nakupinga sheria zilizotoka mbinguni kuruani nikatiba yakipepo ndio maana mapepo yanaupenda uisilamu wanajuwa mnamuabudu baba yao amkeni wasiwagonganish vishwa hao hao nimawakala washeni nawala sio mawakala wayesu
Quran tukufu ni muongozo kutoka kwa Muumba wa Mbingu na Nchi,aliyeumba viumbe wote waliopo ulimwenguni mbinguni na ardhini. Quran ni Muongozo kwa wachaMungu, ni kitabu kisichokuwa na khitilafu wala mfano . kama wewe uliyekashfu Quran unaweza kuleta mfano wake au kuikosoa kwa kosa lolote jaribu. Lakin nakwambia "tubia kabla hujatokwa na roho"
Nini unaongea wewe?
Namaanisha huyu anaisema quraan Allah amsaidie awe kwenye njia njema.
Khamis mashaa Allah kwa kucgukua habari huku na kile, ikiwa lengo lako ni la kheri Allah akuzidishie lakini ikiwa ni miongoni mwa hao wanao eneza fitna basi nakwambia hiyo biashara mwisho wake mbaya.
Sheikh omba msamaha kwa Allah na wenzio usiogope sababu cha ukweli umesema hakuna Edit ya kishki atakuumbua baadae omba Istikfaar wacha kuchanganya maneno kila mtu ajua umesema hata wewe pia
Hukumuelewa vizur mskilize tena
ulichaguliwa kwa vigezo gani