Shekh Waleed ajibu wanaomshambulia kutokana na Video yake kusambaa

Sdílet
Vložit

Komentáře • 152

  • @ubinadamkazi997
    @ubinadamkazi997 Před 4 lety +5

    mashaalah sheikh walid.nakupenda kwa ajili ya allah.allah akuhifadhi...

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 5 lety +8

    Mashaallah sheikh walid alhady Allah akuhifadhi na shari za mahasidi

  • @abdulkarim7856
    @abdulkarim7856 Před 5 lety +10

    sheikh umeongea kwa hekma kubwa sana Allah akuhifadhi

  • @sulemanabbas9955
    @sulemanabbas9955 Před 5 lety +6

    Shekh wangu Allah akuhifadh, nakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 Před 5 lety +2

    Alhamdulillah. Allah awazidishie hekma na elmu. Na atuepushe na kueneza habari za uchochezi na ufitini kwa Mashekhe zetu.

  • @abdululomi5151
    @abdululomi5151 Před 5 lety +6

    Nimependa usivobabaika kueleza unachokifahamu na unachokiamini mwenyezi mungu akuhifadhi

  • @mahd_din9982
    @mahd_din9982 Před 5 lety +9

    #sisi ni ndugu tulio lalia kitanda kimoja. Maneno ya hekima sana Allah akuhifadh shekh

  • @nassoromar762
    @nassoromar762 Před 5 lety +5

    Hikma na bussara ya hali ya juu, Sheikh Allah akuzidishie Elimu

  • @othumanisamata1499
    @othumanisamata1499 Před 4 lety +4

    Miaka 26 Mashaaallah sheikh Waleed M/MUNGU akuongoze

  • @maalimrajabu1634
    @maalimrajabu1634 Před 5 lety +3

    Maa shaa allaah sheikh waleed umeeleweka sana

  • @awadhially1384
    @awadhially1384 Před 5 lety +8

    Sheikhe inaonekana unasehemu ya uchamungu ALLAH akuzifishie nasi pia ALLAH aturuzuku uchamungu.

  • @LizaLiza-sd5uu
    @LizaLiza-sd5uu Před 3 lety +1

    Mashaaalll umejibu vizuli bila ya vijembe.....hiyo sifa ya ushekhe inastahiki kwako

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 2 lety +1

    Sheikh Walid shukran Allah akujaalie kauli madhubuti

  • @madinkeymadinkeymcn1681
    @madinkeymadinkeymcn1681 Před 3 lety +1

    Shikh walid uko sawa mungu akuhifadhi

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis3884 Před 5 lety +3

    Maneno fasaha ya sheikh wetu.
    Ni vizur kaweka wazi.
    Hongeren Miladu online Tv kw kuzid kutuhabarisha.
    Jazakumullahu khayra

  • @allymafita2556
    @allymafita2556 Před 5 lety +9

    Sheikh nimekuelewa saana, kwanza unahekma ya mazungumzo, si kututolea povu na kashfa kwa wengine!!!

  • @nawawisaalim7173
    @nawawisaalim7173 Před 5 lety +5

    Sheikh walid umezungumza hekma nzuri sana

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 Před 5 lety +4

    Allah akuhifadhi ,hekma yako kubwa

  • @omarjumanne4356
    @omarjumanne4356 Před 4 lety +3

    Weye modo wamgu kwa maswala ya dini allah akupe elimu zaidi

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety

    waislam mashekhe tuna mitihan sana mbele ya Allah kwa nn kufitinishana kama mtu kakosea inabidi umfate umwambie hapa umekosea fanya hivi sio kurushiana maneno shukran

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu1200 Před 3 lety +2

    Mashallah shekhe waleed

  • @HUSENSHARIF-in3nd
    @HUSENSHARIF-in3nd Před 3 měsíci

    Jazakallahu khaira shekh

  • @abdusaalim1927
    @abdusaalim1927 Před 5 lety

    Maashaallaah mwalimu umeeleweka Mungu akujaalie kheri

  • @mudhihirsekavumo2763
    @mudhihirsekavumo2763 Před 4 lety

    Shukran kwa ustz na muulizaji mmeeleweka

  • @kassimmanaramalika8592

    Na Mimi nawaongezea tu sheikh wangu , Hao wanaodhani dini ni maneno ya taarab wanakata kata mambo ya haki wajuwe tu kwamba anaempandisha Mwenyezi Mungu binaadamu hawezi kumshusha waache kucheza Na Dunia ,Iko Siku Dunia itawacheza.

  • @benyoussoufaboubcar1575

    Jazakumullah Kheyr

  • @alikirobo141
    @alikirobo141 Před 5 lety +1

    Allah akuhifadh shekh walid

  • @omarothman986
    @omarothman986 Před 5 lety +3

    Allah akulipe kila kheri sheikh waleed alhaad

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety

    Jazakallah kheir

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 Před 5 lety +3

    شيخ محمد عيد حفظه الله

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 5 lety

    SHUKRAN SANA.
    MWENYEZI MUNGU AMUHIFADHI SHEIKH, BALI YATAKIWA UANGALIFU SANA KATIKA KUFANYA MIAMALA NA WATU WANAO ITWA WA KIMATAIFA, MARANYINGI WAO HUTAZAMA MASILAHI YAO HIVYO WAKO TAYARI KUFANYA LOLOTE ILI KUFANIKISHA MALENGO YAO!

    • @saidrashid2701
      @saidrashid2701 Před 5 lety

      Sheikh mwenyezi mungu akujalie kila la kheli, kwanini wakubadilieshie maongezi, inaonekana watu walipwa mishahara, mpaka wanalamizisha, inshallah watayakuta wanayo yatanguliza

    • @sadamussa3196
      @sadamussa3196 Před 3 lety

      pole sheikh hao wanao fanya ivo wasikutie joto la roho ni wale ambao hawana elimu ata ya kusikiliza

  • @abukheri2054
    @abukheri2054 Před 4 lety

    M.Mungu ampe umri mrefu wallah tunafaidika sana

  • @kassimtz9567
    @kassimtz9567 Před rokem

    Ahsante mwalimu wangu

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 Před 5 lety +3

    Shehe Allah akuongoze

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety

    Allah ibarek sheikh walid

  • @yusuphahmedymngombe3706
    @yusuphahmedymngombe3706 Před 5 lety +2

    Alhamdulillah

  • @munirriyamiy4194
    @munirriyamiy4194 Před 3 lety +1

    ```arafa kwa mahujaji ni sehemu(arafa penyewe) na wakati (tarehe 9 dhulhijja) kwa Muandamo wa saudia , ama kwa wasiokua saudia ni wakati tu(tarehe 9 dhulhijja) kwa kuzingatia muandamo wa kila sehemu peke yake kwa mfano Tanzania tarehe 9 yao sio lazima iwe sawa na saudia kwahivyo watafunga swaumu ya arafa tarehe 9 kwa mujibu wa muandamo wa Tanzania ila kama muandamo wao utakua sawa na saudia basi watafunga siku ya kisimamo cha arafa pamoja na saudia wallahu aalam```
    @munir_elriamy
    .
    .
    #eidmubarak
    #arafa #ibadhi #ibadayahija #dhulhijjah #chinjakwaajiliyamolawako #zanzibar #oman #tz #عيد_مبارك

  • @abdunur4585
    @abdunur4585 Před 5 lety +1

    Sheikh wangu, Allah SWT akulipe mema, na umushukuru kwa neema zake kadha alizokuruku, miongoni ni hekma ambayo ktk Elmu kiasi unayo. Ila swali limenijia kama hivo ; Alikuja Mmoja wa waumini kwa Rasul SAW kutoka Vilimani, nakumpasha habari kwamba > Tuliuona Mwezi tayari sisi vijijini, Mtume akaamua moja kwa moja wafunge Wa Islam, bila kuushakia ushahidi huo, angalau ulikuwa mda wa Tano za Asubuhi, Wote wakafunga kwa amri ya Mtume. Utatupa jibu gani hapo mja wa Mungu ?

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 Před 5 lety +3

    ماشاء الله شيخ وليد حفظه الله

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby3658 Před 5 lety +3

    Mimi nilipoiona tu ile video nilisema imeeditiwa hii. Waleed ni imamu wangu zaidi ya miaka 7.

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 9 měsíci

    Aslm alkm ww..... Allah atuongoze.

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli7163 Před 5 lety +1

    MNACHOTAKIWA NI KUWAUNGANISHA WATU NA SIKUWAFARAKANISHA WATU MUOGOPENI ALLAH.

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 4 lety

    Umejibu vizr shekhewetu

  • @khalidbuda4289
    @khalidbuda4289 Před 4 lety

    Maashalla shekh uliejaa Hekma

  • @agogotvharoune989
    @agogotvharoune989 Před 5 lety +1

    maahaa'ALLAH ALLAH akuhifadhi shaykh letu nakupenda kwaajili ya ALLAH

  • @ustkambangwa5100
    @ustkambangwa5100 Před 5 lety +3

    Shekh waleed unahikima kubwa . Allah akuzidishie hikma

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 Před 4 lety +1

    Dah jaman tunatia aibu sna haswaikaribia mwezi huu mtukufu kuna kua na contradition nying sana yani huu mkanganyiko sjui unatokewap jmn yani kila mtu anakua sharifu wa kutoa fAtwaha

  • @jambiaomary5516
    @jambiaomary5516 Před 2 lety

    Hapa shekh nimuelewa sana.

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli7163 Před 5 lety

    MWISHO WASIKU MTAWAGOMBANISHA MASHEIKH WETU .BADILISHENI MWENENDO WENU.

  • @ajmilee4204
    @ajmilee4204 Před 5 lety +1

    Sheikh Waleed Bin Sheikh nimekuelew sana! Lkn nimekuelewa zaid kwny kupeana UDHURU zaid ya mara Sabini...! Allah awape kheyr nyote masheikh zetu... wkt mwngn mtu hukosa kwa sabbu ya furaha!

    • @hamidmussa838
      @hamidmussa838 Před 5 lety

      Sheikh walid nimekuwelewa vizur sanaa!!

    • @brotherissesu
      @brotherissesu Před 5 lety

      Mashaa Allah. Allah amekujalia hekima na elimu yatakiwa kuambatana na hekima. Sisi wote ni waislamu Allah atuhifadhi

    • @ismailbakari7065
      @ismailbakari7065 Před 5 lety

      alla mashaaaaalla shekhe Allah akuhifadhi shekhe waled

  • @SaidSaid-cs7mm
    @SaidSaid-cs7mm Před 5 lety +4

    Maamuma Tuwe makini nahawamashehe haiwezekani mwezi nimmoja alafu ukatae muandamo wamwezako nahaiwezekani kila nchi iwe namwezi wake mwezi nimmoja tu

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před měsícem

    Yote hayo Ni Usheikhe wa Mkoa tu Hakuna kingine, Na InshaAlla Mwenyezi Mungu Atakupandisha daraja zaidi ya hapo Binafsi Nakuombea, Nina imani Wanaokuombea Mema Ni Wengi.

    • @binurusm8886
      @binurusm8886 Před měsícem

      Sheikhe wangu, Pale Mwenyezi Mungu Alipokupangia, kwa Uwezo wake Patafika tuu, Hilo Lipo wazi.

    • @binurusm8886
      @binurusm8886 Před měsícem

      Nakuombea Mwenyezi Mungu Akulinde, Aamina.

    • @binurusm8886
      @binurusm8886 Před měsícem

      Mwenyezi Mungu Alishakuandaa, mwenye wivu ajinyonge.

    • @binurusm8886
      @binurusm8886 Před měsícem

      Naa bado.

  • @user-di7sn2ro1v
    @user-di7sn2ro1v Před měsícem

    Umesema kweli uaminifu inswaaf na iklas

  • @amanabdallah9745
    @amanabdallah9745 Před 5 lety +1

    Hawa mashekh, ni hatari sana, Imamu wa msikiti kuanzi miaka ya 90.ndo ujue ni kingnganizi cha madarka,dunia haina miezi mingi,dunia ina mwezi mmoja.ukisema kila watu wafungue kwa mwandamo wa miezi yao, basi kila nchi ingefungua kwa tarehe yake. Nyie mnasoma kuna baadhi ya miji zamani ilikuwa ikifungua tofauti. Linaweza kutokea hilo kwasababu ya uongozi wa miji ile kujifakhalisha juu ya mwezake(nani mbabe) ndo kinachotokea hapa Tanzania na nchi nyingine, uislamu ni mmoja, mwezi ni mmoja. Hakuna nchi yenye tarehe tofauti,tofauti ni machweo na mawio , tofauti hiyo ipo hata hapa Tanzania.

    • @slamecktz
      @slamecktz Před 5 lety +1

      Kuwa Imamu Mkuu toka miaka 90 kuna tatizo gani, laity ungejua Mashekh waliomkabidhi pale wala usingeyasema hayo unayoyasema leo, Nakukumbusha ndugu yangu kuwa na kiasi katika maneno yako kumbuka kila tunalilofanya hapa duniani tutaulizwa kesho mbele ya Mahakama ya Mungu. Sijui kama Historia ya elimu ya Dini ya Shekh Walid unaifahamu vizuri au unavyomuona mpole, haongei sana unamchukilia poa fahamu amepita kwenye mikona ya Mashekh wakubwa wakubwa na ndo waliomridhia wakamkabidhi Msikiti ule. Nakukumbusha tena sku zote fahamu kila ulifanyalo linaandikwa na siku ya mwisho kuna hesabu.

    • @rizikisalum9678
      @rizikisalum9678 Před 5 lety

      Hosne Hosne hata wewe peya ni kwa kila mtu ao mashekhe wao wanawaona hawajuwi kitu wanawadharau

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 Před 2 lety +1

      Kwa aya gani au sura ipi inaonesha ukomo wa kuwa Imam

    • @user-kq8lk1cx8g
      @user-kq8lk1cx8g Před 4 měsíci

      Kwani mtume alikuwa imamu miaka mingapi?? Wacha kuropokwa ww!!!

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 5 lety +1

    Maslahi ya kidunia yatakuponzeni,maish haya ni mafupi.

  • @saidburuji9984
    @saidburuji9984 Před 5 lety +2

    Nyinyi mulikwenda kwa sheikh muhammed idi kumuulizia kuhusu klip ya sheikh walid baadae munakwenda kwa sheikh waalid kumuulizia clip ya sheikh mohammed hamuoni munawagombanisha hao masheikh

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  Před 5 lety +1

      Bila kwenda huko ungefahamu vp kama clip imechezewa?

    • @slamecktz
      @slamecktz Před 5 lety

      Alhabibi Babdeo fanya juhudi uipate ile clip original iliyochezwa yote ili waislam wapate uelewa.

  • @kassimtz9567
    @kassimtz9567 Před rokem

    Apa nimekuelewa mwalimu wangu

  • @abuuabuu4831
    @abuuabuu4831 Před 5 lety +3

    Hawa mashekh ni mashee wa Dunia wanatubabaisha na mambo ambayo yapo wazi kua wanazuoni walitofautiana kihoja na hoja zote ni Sawa kulingana na kuelewa kwako. Wanajaribu kutusahaulisha matatizo ya waislamu kule China. Burma. Kashmir. Zanzibar. Chechnya. PALESTINIAN n. K.
    HAWA mashee wanajua fadhila za kwenda Aqsa lakini hawasemi na wanajua mayahudi jinsi wanavyo nyanyasa dada zetu wa kiislamu lakini wapo kimya. Saudi ni rafiki namba moja Wa adui wa uislam wanazuoni wa huko wakisema wananyongwa na nyiyi mnatushughulisha na mambo ambayo yapo wazi

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 Před 5 lety

    Ah jamani wenzetu lengo lenu khasa nini juu ya hiidini. mpaka kumbadilishia mtu hatamaneno aliyosema

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 Před 5 lety +1

    Je na huyo mtangazaji wako nae ameeditiwa maana anasema waisilamu wako maka na madina kutekeleza ibadaya hija ibada ya hija ni maka yakhee sio madina

    • @saidiharuna3129
      @saidiharuna3129 Před 5 lety +1

      Muhidin Ali anakosea imamu ktka swala itakua yeye mwanadamu makosa yapo kwa mwanadamu

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 5 lety +5

    Sheikh yuko kiikhlas zaidi nimemkubali sana

  • @fatumajuma1341
    @fatumajuma1341 Před 5 lety

    Kuwa namsimamo mmoja kama kishki haya niya dunia

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli7163 Před 5 lety

    MEDIA SIKUHIZI INACHUKUA NAFASI KUBWASANA MUWE MAKINI.

  • @tastedigital
    @tastedigital Před 4 lety

    Sawa

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 3 lety +1

    Shekh analeta unafq anakataa wakat kabla ya video kuwekwa ilikuwa ni maongezi ya live na hii sio kweli kuwa video imeeditiwa ni unafq ARAFA NI MOJO tuache unafq

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 Před 2 lety

      Tubia acha kutumia lugha chafu kama huamini basi nyamaza tu au pita

  • @khamisimtonga3126
    @khamisimtonga3126 Před 5 lety

    KVP one line

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129 Před 5 lety +4

    Kama kuna uwezekano mumtembelee shekhe Mziwanda nae tujue uhakika labda nayeye kadukuliwa au ndio kasimamia pale pale
    Maana alichokiongea kuhusu funga ya Arafa na kuhusu sheria bado ni utata katika jamii
    inafikia kipindi watu wanauliza na yeye katoa fatwa ile je anayo taaluma ya sheria?

    • @maheralmuayqily1900
      @maheralmuayqily1900 Před 5 lety

      HUSSEIN SHAMTE Nam Sheikh Mziwanda anayo taaluma ya Sheria ni mwanasheria

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 Před 5 lety

      HUSSEIN SHAMTE yaan na yy ni hvyo hvyo tu wameedit na wote ni toka mwaka jana.

  • @salumalabry9627
    @salumalabry9627 Před 5 lety +2

    Mi mwenyewe mmeiona video kuwa vibande vimekatwa

  • @amanabdallah9745
    @amanabdallah9745 Před 5 lety

    Kuna waislamu, hawana msimamo wenyewe wapo kotekote, hawa ndo wale akija mtu akajiita kuwa yeye ndo mtume mhammadi(sw) watamfuata bila kujali vitabu vya dini vinasemaje?

  • @harounali9057
    @harounali9057 Před 4 lety

    Ume kuwa Imam Kwa miaka 26 mpaka hapo unapo ongea.

  • @hajimuhago3756
    @hajimuhago3756 Před 5 lety +1

    Keep up the good work bro #babdeo

    • @allymakamba6357
      @allymakamba6357 Před 5 lety

      Sheikh mziwanda naye mumtembelee ajulikane msimamo wake

  • @mahd_din9982
    @mahd_din9982 Před 5 lety +5

    Yahh ni kwely video imechezewa

  • @junhanbabu1218
    @junhanbabu1218 Před 5 lety +3

    Narudia, Abu idi ni mbabe wahe wa hekma arudi akasomeshwe na kilemile somo La hekma

  • @ibnmussaibnmussa9787
    @ibnmussaibnmussa9787 Před 5 lety +1

    alafu ww Salah abdulatif acha ujinga kwanza ww inaonyisha ni murtad umetoka katika nidi ya haki ya uislaamu umeenda kuwa kafiri pil hata uyo yesu aujui unasema tu yesu yesu ulipotoka aukupajua na zaid ulipoenda haupajui na autopajua kabisa unachanganya tu mara yesu mungu mara mwana wa mungu mara nabiii unajikanyaga tu auna elimu ya yesu wala aukua na elimu ya uislaamu Dini ya haki.

  • @hamadamaani2516
    @hamadamaani2516 Před 5 lety +2

    Amezungumza meneno mwiba Sheikh walid

  • @ibnmussaibnmussa9787
    @ibnmussaibnmussa9787 Před 5 lety

    kasome iyo 12 28 kitabu cha marko

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 5 lety +2

    Mohammed Iddi anamzuka hana hikma za Kiislamu

  • @junhanbabu1218
    @junhanbabu1218 Před 5 lety +1

    Idi, anakrupuka tu aonekane anajua kujibu🎻

    • @aminamodi8927
      @aminamodi8927 Před 5 lety +1

      Ndaibu usimuhukumu Shekh Idd hajakurupuka amefuata bile clip ilivyo

    • @slamecktz
      @slamecktz Před 5 lety +1

      Naam ni kweli Shekh Abu Idi amejibu hoja kufuatana na ile clip inavyojieleza lakini kwa sisi Mamuma tunavyouelewa ukaribu wa Shekh Abu Idi na Shekh Walid bado SHekh Abu Idi alitakiwa awasiliane na ndugu yake apate ukweli pia clip hii si ya mwaka huu ni ya mwaka jana na Alhabib shekh Walid aliwahi itolewa ufafanuzi binafsi nimesikitika saaana ila nina amini watakuwa wameshawasiliana wamezungumza na kuna elimu kubwa sana ya kujifunza. Basi tumuombe MUngu atuepushe na wanaotugombanisha sisi na Mashekh zetu.

  • @katalayshemndolwa3146
    @katalayshemndolwa3146 Před 3 lety

    duu miaka 27jee ilienda soma ukiwa na umri gani

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Před 2 lety

    Mimi naswali msikiti huo lakini cina msimamo wako kwani zambi kufata mwexi wa suudia acheni ubabaishaji katika dini waadilifu wachache kwa tz zama hizi

  • @abdulsalum2852
    @abdulsalum2852 Před 5 lety

    we bab deo umekosa kazi za kufanya kusambaza upuuzi

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  Před 5 lety

      Inshallah

    • @abdulsalum2852
      @abdulsalum2852 Před 5 lety

      Acha kusambaza fitna mbona mambo yepo mengi tuu yakuusaidia umma hata kuna watu wengi wanaitaji misaada we umekalia mambo yenye migogoro lazima tukwambie

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  Před 5 lety

      @@abdulsalum2852 Ukiwa unazungumza uwe timamu na unachokizungumza, hao uliona wamefocwa kurikdiwa? Au uliona wapo studio yangu nimewaita, uwe na adabu Na hekma sio kuongea tu

    • @abdulsalum2852
      @abdulsalum2852 Před 4 lety

      Mimi sinakuvunjia adabu nimekwambia ukweli kuliko kusambaza fitna hizi sheikh uyu kazungumza hivi sheikh uyu kajibu hivi ni bora ukafanye mambo yamaana kuna waislam wengi wanahitaji misaada kama nimekuvunjia heshima yako mkuu nisamehe lakini nimetoa comment yangu kwa vile unavovipost na ulimwengu wetu ulivyojaa watu ambao ni wajuaji angalia comment zako katika video watu wanavo tukana wewe unaona raha akhy umma kuwa na mvurugano namna hii

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  Před 4 lety

      @@abdulsalum2852 sasa mm ndio niliowaambia wazungumze? Au mm ndio nimewatuma wazungumze kwa maneno yako ndio maana yake

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 Před 5 lety

    Maskini Alla atakulipa

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Před 2 lety

    Msimamo yenu ya maxoweya imaan haipo kwenye mioyo yenu

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli7163 Před 5 lety

    BABDEO DINI SI SIASA

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 5 lety

    Bobdeo mtangazaji Nenda Kasome Dini tafadhali.Huko ni kujiabisha kwa kusema Dunian kote watu wanakutana Miji mitukufu Makka na madina kwenda kuhijji. Ilihali Ibada ya Hijja Inapatikana Makka tu.

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 Před 5 lety

      Baba Faisal yaan we umeliona hilo tu kusema wanakutana maka na madia ndio unathubutu kumwambia akasome?c dhani kua unamfikia hata robo kwa elmu yake maan ni hafidh wa qur an tena yte.na bado ana madrsa na wanafunzi kibao.usione et hajavaa kilemba kma ww ndio ukajua hajasoma.usimdharau usie mjua.kwanza madina mahujaji wote hua wanaenda kwa ajili ya kuizuru kaburi ya Mtume..halafu ww et unaona kakosea.

    • @zohoraramadan4540
      @zohoraramadan4540 Před 3 lety

      Ulimi hauna mfupa

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 3 lety

      @@zohoraramadan4540 Hawa wengi wao wanokotwa okotwa tu Akishasoma Sekula kdgo Basi Jina lake Abdallah So yeye anakuwa Anawez usemea Uislam.

  • @harunhassan5237
    @harunhassan5237 Před 5 lety

    Astaghfirula ,hebu muitafuti hili jina halafu uamue mwenyewe andika=MASHEIKH WATOA KUHUSU FUNGA YA ARAFA,hala uangalie kama kuna edit hapo yeye mwenyewe amekariri hivyo

    • @AbdulAbdul-pr9qe
      @AbdulAbdul-pr9qe Před 5 lety +2

      muogope ALLAH wewe, kwa sie watu wa kuchezea hizo vitu inaonekana kabisa kama imechezewa hiyo video, hebu iangalie inavyoyumba kwenye hicho kipande

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Před 4 lety

    Sheikh unaacha kumuogopa Allah halafu unamuogopa Muhammad Idd??

  • @salmamazeyane3067
    @salmamazeyane3067 Před 3 lety

    Majawabu murwa

  • @asriyaaljabri9582
    @asriyaaljabri9582 Před 5 lety

    Masheikh wetu lazima mfaham saa zinapishana mzunguko wa dunia wakati wamesimama suudia nchi nyingine ni usiku itakua kuna funga ya usiku kweli kila nchi na muandamo wa mwezi

    • @amanabdallah9745
      @amanabdallah9745 Před 5 lety +1

      Acha kudanganya, hata Tanzania baadhi ya miji inatofautiana, mfano kigoma bado jua lipo lakini dar ni usiku. Kwa kutumia kigezo cha kila mji wafunge kulingana na mwandamo wa mwezi, huo ni upotoshaji, mfano saudia na Tanzania hatuzidiani saana masaa.

    • @hawalul8094
      @hawalul8094 Před 5 lety

      Wacha uwongo ww Saudis na Tanzania SAA ni moja

  • @ibnmussaibnmussa9787
    @ibnmussaibnmussa9787 Před 5 lety +1

    pia yohsn 20 17 marko 32 kasome ujifunzi yesu ni nani maana unamfuata mtu usiemjua alafu unaleta kashfa kwa waislaamu kaa kimya sisi tunamjua uyo munaemuita yesu kuliko nyie wenyewe na tunaifahamu sana iyo Dini yenu kurko nyie wenyewe

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před 5 lety

    Unafiki ni hatari sana

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 Před 5 lety

    KURUANI imekuja kwaajili yakupotosha nakupinga sheria zilizotoka mbinguni kuruani nikatiba yakipepo ndio maana mapepo yanaupenda uisilamu wanajuwa mnamuabudu baba yao amkeni wasiwagonganish vishwa hao hao nimawakala washeni nawala sio mawakala wayesu

    • @amonfaustine103
      @amonfaustine103 Před 5 lety

      Quran tukufu ni muongozo kutoka kwa Muumba wa Mbingu na Nchi,aliyeumba viumbe wote waliopo ulimwenguni mbinguni na ardhini. Quran ni Muongozo kwa wachaMungu, ni kitabu kisichokuwa na khitilafu wala mfano . kama wewe uliyekashfu Quran unaweza kuleta mfano wake au kuikosoa kwa kosa lolote jaribu. Lakin nakwambia "tubia kabla hujatokwa na roho"

    • @ashuashu3843
      @ashuashu3843 Před 5 lety

      Nini unaongea wewe?

    • @ashuashu3843
      @ashuashu3843 Před 5 lety

      Namaanisha huyu anaisema quraan Allah amsaidie awe kwenye njia njema.

    • @OmanOman-ub7xh
      @OmanOman-ub7xh Před 5 lety

      Khamis mashaa Allah kwa kucgukua habari huku na kile, ikiwa lengo lako ni la kheri Allah akuzidishie lakini ikiwa ni miongoni mwa hao wanao eneza fitna basi nakwambia hiyo biashara mwisho wake mbaya.

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před 5 lety

    Sheikh omba msamaha kwa Allah na wenzio usiogope sababu cha ukweli umesema hakuna Edit ya kishki atakuumbua baadae omba Istikfaar wacha kuchanganya maneno kila mtu ajua umesema hata wewe pia

  • @allyndambwe4354
    @allyndambwe4354 Před 4 lety

    ulichaguliwa kwa vigezo gani