Sababu Ya Kumteua Sheikh Walid Ni Elimu Yake/Huyu Ni Mwanachuoni /Muft Sheikh . Aboubakar Zuber
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2024
- Sababu Ya Kumteua Sheikh Walid Ni Elimu Yake / Huyu Ni Mwanachuoni Na Anaambilika / Muft Sheikh . Aboubakar Zuber
Mashaa Allah Sheikh Walid Alhad akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sababu Ya Kumteua Sheikh Walid Ni Elimu Yake / Huyu Ni Mwanachuoni Na Anaambilika/Muft Sheikh . Aboubakar Zuber
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
CZcams @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Shekh Walid naomba dua zako nipate jabo nusu ya elimu yko nakupenda sana kwa ajili ya ALLAH mualimu wngu unaufasaha wa waonngezi wewe na Othman maalim maneno yenu mukiongea .maneno yenu yanapangika. M/Mungu akujaalie ww na Othman maalim akupeni zaidi ya elimu mulonayo.
Aaameeen yaaa Rabbal Aaalaaameen
Allahumma Aamiin
Alhamdulillah tunaye mufti aalim
Mahiri msikivu mbunifu Ductur mtulivu mwenye kufikiri mwenye kuthubutu Allah amjaalie subira kukitokea fitna Allah amjaalie makhraja Inshaallah
Mashallah, nawapenda sana kwa ajili ya Allah ❤...
Allah awatunze Mashekkh wetu🙏🙏
Masha allah alhamdullah ❤
Allah Akuhifadh Mufti hakika umetuleta Pamoja na kutuunganisha Waislam
Wallah! nampenda saaana huyu mufti
Mashaa Allah kwa unyenye kevu ninamuomba Allah Allah akuzidishie Afya na umri mrefu Akupe ulinzi wake popote ulipo daima watu wakudhanie mazuri na wala wasikudhanie vibaya YA RABBI asishindwe ashinde siku zote ktk kheri ktk kutuongoza daima tepe zidisha amani ktk nchi yetu upe nguvu uisilamu uzidi kwenda mbele YA RABBI zidisha mapenzi kati yetu umoja kati yetu tumeelekea kwako tuongooze mola wetu mlezi ktk yanayo kupendeza ww tusamehe madhambi yetu ss niwakosaji tupokelee maombi yetu hakika ww ndie unaesamehe madhambi na ww mola mlezi ulisema tukuombe hakika YA RABBI unajibu maombi Amiin.
Masha Allah maneno yenye maana sana hakika mufti upo sawa .mapungufu niyaninadamu Allah akupe maisha marefu ili ufanye makubwa kuwaunganusha waislaam tanzania
Masha Allah Akulinde Allah Akbar Amiiin.
Mansha ALLAH tabaraka Allah
Daaa❗nimepata mafunzo ..Asante 🙏
Allah Kareem subraa ibada
Mash Allah Allah akuweke Shekhe Walid .
Asalam alaykum nawapenda mashekhe wetu kwaajili ALLAH
Walaykum msalam walahmatullah wabarakaatu
Jazzak Allah kheri
Mashallah, Allah awahifadhwi mashekh wetu.
Masha Allah
Twayiibu. MOLA Awawafiki.
Ameen
❤Naam....Allah amtunze 🙏..
ami
Amin Muft
❤❤❤
MashaAllah mufti twakutambua vyema tukiwa Kenya..... Umoja ni muhimu kuliko sisi
Mashaalah, Mufti umeongea yote mema
Elimu ipo hapa,,, Allah tulindie
Shekhe mkuu hukukosea Sheikh Walid anafaa kabisa.
Mhh
Eeeeeh mola mtukufu unayajua yaliyo kifuani mwangu.nakukabidhi
Fitna ni mbaya sana ndugu zangu tuiogope