TAJIRI Shabiby Gumzo Dodoma, Dereva Bajaji Asimulia kilichomtokea Baada ya Kuchora Picha yake.
Vložit
- čas přidán 18. 08. 2022
- Athumani ni kijana ambaye ni Dereva wa Boda boda katika kituo cha CBE Dodoma, Kujana huyu ameamua kuonyesha mapenzi yake kwa mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby kwa kuamua kuchora Picha ya Mbunge huyo kwenye Bajaji ya Boss wake, Kijana huyo amesema anamkubali sana Mheshimiwa Ahmed Shabiby. Endelea kufwatili kisa cha kijana huyu Athumani Dereva bajaji. #mikasa
#mkasa Ep 1
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv
Shabiby anapendwa na kila mtu kwa sababu anaishi nawatu vizuri hongera ziende kwake 👍👍👍👍
Ni kweli Shabiby anaruho nzuri sana, hana dharau kama matajiri wengine. Siku moja nilikata tiket kwenye moja ya mabasi yake ya kwenda Tarakea. Familia yangu walichelewa kidogo na kuachwa, ilitakiwa nisirudishiwe nauli lakini nilipomwambia aliamuru nikatiwe tiket ya siku nyingine. Pia ameshawahi kunipa 40000 mara mbili.
Mheshimiwa angepewa aongoze nishati mambo yasingekuwa Kama yalivyo sasa. Bei ya mafuta na gharama za nishati katika ujumla wake ingeshuka.
Shabiby ni Mbunge open minded person with Good heart.
Kwakweli
Shabiby mungu amjalie na msukuma
MH SHABIBY HONGERA SANASANA KWA KUPENDWA NA WANYONGE MUNGU ATAKUSIMAMIA INSHALLAH!
Nice 👌
@@musananden9792 Ameen.
acha dharau Huyo chalii hapo sio mnyonge wewe .. maana ya mnyonge ni mtu .. hohehaye asie na mbele wa nyuma hana akili za kutosha
Mimi Kuna siku nlikua nasafiri kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam,Ilitokea hitilafu ya mimi kukosa nauli maana nilipungukiwa 20,000 tu yan. Bahati nzuri nilikutana nae ile kumuelezea shida yangu tu yan. Akanipa 60,000 Mara baada ya kumuelezea tu. Nlimshkuru sana yan na ntaendelea kumshkuru hadi siku naingia kaburini, sio kwa uzuri huo wa roho yake Mashallah ❤️
Napenda huduma nzuri ya kampuni yake ya mabasi ni mfano wa kuigwa.
MWENYEZI MUNGU ambariki sana.
czcams.com/video/jiiqdA-XoPA/video.html
Ila hemedi shabyb ni mtu wa watu sana hata mimi nimependa ulivyomchola
MIMI MWENYEWE NAMSIKILIZA HATA BUNGENI ANAONGEA VITU VYA MAANA SIO HAO VIHEREHERE POSHO.
Mwenyezi MUNGU ambariki sana mh Shabiby, hata michango yake ndani ya bunge ni ya uzalendo sana. Anawatetea sana wananchi. Watu wa namna hii huwa wachache sana. Kajaliwa na mwenyezi MUNGU utajili ambao unamanufaa kwa wengine. Hongera sana mbunge Shabiby maisha marefu kwako.
Wakati huku Ulaya tunaonaga watu wanapanda farasi, Tanzania Dodoma wanapanda ngamia..hongera chalii kwa kazi yako.
Hiyo ni kama oman
Mheshimiwa Shabibi ni jembe sana uwa namfatilia sana anapokuwa akiongea mjengoni siyo siri mh anajiamini sana na hanaga usiasa siasa yeye huongea point sana napenda sana kumsikiliza akiwa anaongea bungeni.hongera sana kijana kwa kumtambuwa.
Tisha sanaaa huo ndo upendo woyoo The Big boss SHABIBY 🏆🔥🔥🔥
1
% L 1
X0
MashaAllah MashaAllah mabrook mabrook mh shabiby
Muheshimiwa shabby hongera kwako .Dogo msaidie anamapenzi ya dhati kwako .Na mimi huwa nakufuatilia sana bungeni unamtazamo chanya kwa Watanzania .Kuna siku ulizungumzia swala la kupanda kwa petrol kwa uchungu sanaaaaa
Upo vizuri ila Tatizo kubwa ni umegezeuza bendera kwa msaada bendera blue inakaa chini sio juu
Mtangazaji hamna kitu hapo.unayemuhoji anajieleza vzur lakin wewe unakuja kumkatisha na swal ambalo majibu yake anakuwa anahama kwenye ctory
This guy is great kabisa
Big up sana ila kwa uku Dar waheshimiwa tunawaona wakiwa karibu na jamii ile mida wanapokuja kuomba kula tu na baada ya hapo tunawasikia na kuwaona kwenye vyombo vya habar
czcams.com/video/jiiqdA-XoPA/video.html
Acheni kuwatega watu ili baadae muwaombe pesa
Mh shabibi hana mbambamba Yuko poa sanaaaaa 🤓🤓🤓🤓🌹♥️♥️❤️💛
Asante muheshimiwa shabab kwa upendo wako God bless you bro
Ni kweri mheshimiwa yupo karibu na jamii
Ww mtagazaji mbona unakatisha story mtu hajamaliza kuongea ndo aende sem yenyewe unaulza swal jingne ntakuchania pepa 3 unanikela bhana jifunze nimekusamee kwa leo
anaboa kichiz
... Mungu amjalie
Matangazaji ni kimeo arudi Shule hajui kuhoji tukio la stori.
I didn't understand at all kwahiyo kakuungia au mbona mdomo mwingi
Good sana
Safi sana dogo tukuza chako kwenye Jamii yako
Mhushimiwa Shabiby Ana Roho nzuri Astahili kabisa.
Congratulations kijana
InshaAllah utapata, hata mimi namkubali Shabib
Kesho bajaji zote Dodoma zitakua na picture zake!
Dada kasome tena interview technique!
Aliekuwa Bondia wa NGUMI Duniani Mike Tyson alisema ukiwa na pesa wengi watakupenda hebu ishiwa pesa utashangaaa
What does it mean?
KIFARU🔥🔥🔥🔥🙌
Manshahallah 🙏
Mana nami nimependa sana iyo kazi napambana uku kwa waarabu nipate iyo bajani beigani
Mbunge safi na hoja zake nazikubari hasa upande wa nishati pale bungeni Dodoma
Hana makuu baba wa watu mungu na aampe.
Nampenda anasema ukweli💕
Anae hoji, simuelewi
Ata mm nampenda sana hususani ata kwa hoja zake bungeni huwa hapindish pindish
Uko sawa kijana shabiby akuone
Ata NAMI nakuunga mkono kijana Yuko vr Sana bosss
Shabib yuko kana rula kanyooka hana makando kando,big up shabib
jieleze vizuri ww
Ki ukweli mm ni mkazi wa kiteto ila namkubali sana shabiby kwani ni kiongozi ambaye anafaa kuigwa na jamii nikiwepo mm jeniffed big up boss mfanyabiashara kiongozi.
Shabiby ni mtu safi sana
Shabiby mtu mzr sana
Anaishi na watu vizuri mno
Jol
..,
Hapo umeongea la maana ukipata yako ni kweli Allahmdulillh chako ni chako
Njaa tu hamna cha mapenzi. Anachora kubahatisha mheshimiwa aone ampe hela
Acha roho mbaya
Iko ivo
Mtangazaji hamna kitu aise
Dada unakihelehele ww cha maswali siusubiri amalize honger sana kaka kwaulichokifanya
Mtu na akipendacho.hata mimi nimefurahi ulivyo weka bango la pc ya muheshimiwa shabibi.kwani na mfagiliaga sana akiwa bungeni.
🙏
Huyo mbunge. Ni makini sana mjengoni alinigusa sana Bima ya afya ipate makusanyo ziada kama toka tozo cm
Huu uvivu utauwaaa ,Mara mashoga ,Mara vi Ben ten na bado , mwaya wanawake pigeni kazi tuachane nao
Mh Shabiby.. Please Best offer kijana uyu mwema mtaji wa Balaji yake binafsi.. He deserve. Please stretch ur hand on this young man..
Yours, Tanzanians 🇺🇸
Huko nikutembelea nyiota njema na ikikubali unabutua ikikataa unabutuka!
Hii ni picha yakuchora kwa mkono ama ni bango limebandikwa😳😳🤔
hatar
Nikasema
Au wapambe ndiyo walioweka hiyo picha ili watafute hiyo hela nina wasiwasi
Mh Shabiby. Kijana huja kosea ni sahihi
Anae hoji na anae hujiwa wote kama vile hamjui mnacho kizungumza P'mbaf.
Mwandishi rudi shule kazi bado sana
Naomba jina la Sound track Please..👏🏾👏🏾
Asanteni kwa kutafuna MB Zangu hakuna cha maana hapo ni kiki
Mh.shabiby we ni mtu watu aise. Nakukubari sana mh. Shabiby.
czcams.com/video/jiiqdA-XoPA/video.html
Issue unahitaji usaidie bajaji
Namimi mnichole
Loop
Naona ngamia
Mwanahabari. Maswali yako yapangilie vizuri
Unavuruga story.
Akili yakee haifanyi kazi kaaabiisaaa
6:15 '....gari ya bei ndefu,ya hela nyingi...' lugha ya machalii wa arachuga..
ola dar mnauzaje bajaji
Mtangazaji jaribu kuwa na subra
Alhamdulillah Allah azidi kukujalia kheri mheshimiwa uko vizuri
Helooo
Shabiby ni bonge la mbunge. Kiukweli hata akianza kuchangia point bungeni unataman kuendelea kumsikiliza. Bira kumsahahu dr. Msukuma
Hofu yangu ni kwa mwanahabar kama ana taaluma na hiyo kazi
wacha roho mbaya wewe pumbaaaffffff
czcams.com/video/jiiqdA-XoPA/video.html
Dominic! Sema hana taaluma siyo ana taaluma
Yeah sure nimependa Kamdundo ka wimbo Na tunashukuru sana kwa kuweza kuwakumbuka Viongozi wetu wanaofanya kazi kwa ajili yetu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtangaz unazngua
Hapa muandishi sidhani kama anataaluma na huu mtingo
Umasikini mbaya Sana
Acha roho mbaya
Samahani kwani. Bajaji zinauzwa shilingingapi au.beigani
Mwanaume mtu mzima anabusu picha ya mwanaume mwwnzie mkumbwa mpe tano ww ?💥🤣🤣
Freemassoni
Ahmed Shabiby sio limbukeni wale mazukuku tia mchuzi pangu pakavu ndio wenye shida akipata kidogo tu SUB'HANALLAH a anaka watu mumjue kama yeye ni Bana kuba tai nyingi kushinda mashati alio nayo nyingene za Rangi tukufu ya Taifa mama Tanzania hiyo yote anaka awe tofauti na we wengine na Marsham Maushamba mengi tu P'mbaf
hamna mwana habar apoo
Sio mchongo huu
Kuna shabby
Kishimba Hawa wabunge
Wanaongeaga point tupu
Huyo mwana habari arudi shule ajifunze namna ya kuhoji watu. She's unprofessional
Nenda na wewe ukahoji kama yeye hawezi
ni kweli hajui kuhoji kwanza anarudia swali hilohilo
Ajaiwai kutoa oja mbovu bungen uyo
Unashindwa kuchora picha ya. Baba yako au mama
Hawana mzigo unibidi uweke mwenye mzigo ili ukipata mzigo uwasaidie wazaz
Ulitaka Amuweke Baba ako Baba ako anae mjua Nani 🇹🇿hii
Wewe KUMA tu.
Hijitambui wewe
Shabby ni mtu wapekee sana yuko tayari akae njaa wewe ushibe....mungu amlinde sana hamed shabby mabhugut.
huyu na mkubari mh shabibu halfu wanaume wote bungeni tambueni wananchi wanawapemda sana ila utawala ubadilike hapa imekua mvurugano rais mridhi hana uchungu na wananchi tumemkataa
Nakumbuka siku nimetoa nauli 40000 nikarudishiwa elf kumi
K
Yaaani weee reporter unaongeaaaa