TAJIRI Shabiby Gumzo Dodoma, Dereva Bajaji Asimulia kilichomtokea Baada ya Kuchora Picha yake.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2022
  • Athumani ni kijana ambaye ni Dereva wa Boda boda katika kituo cha CBE Dodoma, Kujana huyu ameamua kuonyesha mapenzi yake kwa mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby kwa kuamua kuchora Picha ya Mbunge huyo kwenye Bajaji ya Boss wake, Kijana huyo amesema anamkubali sana Mheshimiwa Ahmed Shabiby. Endelea kufwatili kisa cha kijana huyu Athumani Dereva bajaji. #mikasa
    #mkasa Ep 1
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
    ⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
    list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
    ⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
    v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
    ⚫️ SIASA : • Video
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
    ngasamedia@gmail.com
    WhatsApp: +255 716909567
    Call us : +255 716909567
    thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
    #sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv

Komentáře • 154

  • @jordanjob7155
    @jordanjob7155 Před rokem +26

    Shabiby anapendwa na kila mtu kwa sababu anaishi nawatu vizuri hongera ziende kwake 👍👍👍👍

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu8847 Před rokem +20

    Ni kweli Shabiby anaruho nzuri sana, hana dharau kama matajiri wengine. Siku moja nilikata tiket kwenye moja ya mabasi yake ya kwenda Tarakea. Familia yangu walichelewa kidogo na kuachwa, ilitakiwa nisirudishiwe nauli lakini nilipomwambia aliamuru nikatiwe tiket ya siku nyingine. Pia ameshawahi kunipa 40000 mara mbili.

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka9170 Před rokem +11

    Mheshimiwa angepewa aongoze nishati mambo yasingekuwa Kama yalivyo sasa. Bei ya mafuta na gharama za nishati katika ujumla wake ingeshuka.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před rokem +13

    Shabiby ni Mbunge open minded person with Good heart.

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před rokem +17

    MH SHABIBY HONGERA SANASANA KWA KUPENDWA NA WANYONGE MUNGU ATAKUSIMAMIA INSHALLAH!

    • @musananden9792
      @musananden9792 Před rokem

      Nice 👌

    • @swalehelshabiby5915
      @swalehelshabiby5915 Před rokem

      @@musananden9792 Ameen.

    • @Nufaila442
      @Nufaila442 Před rokem

      acha dharau Huyo chalii hapo sio mnyonge wewe .. maana ya mnyonge ni mtu .. hohehaye asie na mbele wa nyuma hana akili za kutosha

  • @motivational_leader
    @motivational_leader Před rokem +2

    Mimi Kuna siku nlikua nasafiri kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam,Ilitokea hitilafu ya mimi kukosa nauli maana nilipungukiwa 20,000 tu yan. Bahati nzuri nilikutana nae ile kumuelezea shida yangu tu yan. Akanipa 60,000 Mara baada ya kumuelezea tu. Nlimshkuru sana yan na ntaendelea kumshkuru hadi siku naingia kaburini, sio kwa uzuri huo wa roho yake Mashallah ❤️

  • @japhetrobert1728
    @japhetrobert1728 Před rokem +6

    Napenda huduma nzuri ya kampuni yake ya mabasi ni mfano wa kuigwa.
    MWENYEZI MUNGU ambariki sana.

    • @bengang3265
      @bengang3265 Před rokem

      czcams.com/video/jiiqdA-XoPA/video.html

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem +19

    Ila hemedi shabyb ni mtu wa watu sana hata mimi nimependa ulivyomchola

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před rokem +8

    MIMI MWENYEWE NAMSIKILIZA HATA BUNGENI ANAONGEA VITU VYA MAANA SIO HAO VIHEREHERE POSHO.

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před rokem +1

    Mwenyezi MUNGU ambariki sana mh Shabiby, hata michango yake ndani ya bunge ni ya uzalendo sana. Anawatetea sana wananchi. Watu wa namna hii huwa wachache sana. Kajaliwa na mwenyezi MUNGU utajili ambao unamanufaa kwa wengine. Hongera sana mbunge Shabiby maisha marefu kwako.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +4

    Wakati huku Ulaya tunaonaga watu wanapanda farasi, Tanzania Dodoma wanapanda ngamia..hongera chalii kwa kazi yako.

  • @daudmabulamashenene1854
    @daudmabulamashenene1854 Před rokem +4

    Mheshimiwa Shabibi ni jembe sana uwa namfatilia sana anapokuwa akiongea mjengoni siyo siri mh anajiamini sana na hanaga usiasa siasa yeye huongea point sana napenda sana kumsikiliza akiwa anaongea bungeni.hongera sana kijana kwa kumtambuwa.

  • @busungumakala8512
    @busungumakala8512 Před rokem +6

    Tisha sanaaa huo ndo upendo woyoo The Big boss SHABIBY 🏆🔥🔥🔥

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před rokem +2

    MashaAllah MashaAllah mabrook mabrook mh shabiby

  • @fatumamkondo3858
    @fatumamkondo3858 Před rokem +1

    Muheshimiwa shabby hongera kwako .Dogo msaidie anamapenzi ya dhati kwako .Na mimi huwa nakufuatilia sana bungeni unamtazamo chanya kwa Watanzania .Kuna siku ulizungumzia swala la kupanda kwa petrol kwa uchungu sanaaaaa

  • @josephjila957
    @josephjila957 Před rokem +3

    Upo vizuri ila Tatizo kubwa ni umegezeuza bendera kwa msaada bendera blue inakaa chini sio juu

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 Před rokem +5

    Mtangazaji hamna kitu hapo.unayemuhoji anajieleza vzur lakin wewe unakuja kumkatisha na swal ambalo majibu yake anakuwa anahama kwenye ctory

  • @kevinmoses9170
    @kevinmoses9170 Před rokem +1

    This guy is great kabisa

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 Před rokem +9

    Big up sana ila kwa uku Dar waheshimiwa tunawaona wakiwa karibu na jamii ile mida wanapokuja kuomba kula tu na baada ya hapo tunawasikia na kuwaona kwenye vyombo vya habar

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před rokem +2

    Mh shabibi hana mbambamba Yuko poa sanaaaaa 🤓🤓🤓🤓🌹♥️♥️❤️💛

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem

    Asante muheshimiwa shabab kwa upendo wako God bless you bro

  • @amosrusana8979
    @amosrusana8979 Před rokem +3

    Ni kweri mheshimiwa yupo karibu na jamii

  • @sandalathobias5015
    @sandalathobias5015 Před rokem +8

    Ww mtagazaji mbona unakatisha story mtu hajamaliza kuongea ndo aende sem yenyewe unaulza swal jingne ntakuchania pepa 3 unanikela bhana jifunze nimekusamee kwa leo

  • @kelvintarimo6761
    @kelvintarimo6761 Před rokem

    ... Mungu amjalie

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před rokem +4

    Matangazaji ni kimeo arudi Shule hajui kuhoji tukio la stori.

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 Před rokem +2

    I didn't understand at all kwahiyo kakuungia au mbona mdomo mwingi

  • @stmtv5267
    @stmtv5267 Před rokem

    Good sana

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem +6

    Safi sana dogo tukuza chako kwenye Jamii yako

  • @swalehelshabiby5915
    @swalehelshabiby5915 Před rokem +7

    Mhushimiwa Shabiby Ana Roho nzuri Astahili kabisa.

  • @saumusalimuhassan2499

    Congratulations kijana

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Před rokem

    InshaAllah utapata, hata mimi namkubali Shabib

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před rokem +3

    Kesho bajaji zote Dodoma zitakua na picture zake!

  • @chipambanyange4167
    @chipambanyange4167 Před rokem +1

    Dada kasome tena interview technique!

  • @juliuskidoto791
    @juliuskidoto791 Před rokem +4

    Aliekuwa Bondia wa NGUMI Duniani Mike Tyson alisema ukiwa na pesa wengi watakupenda hebu ishiwa pesa utashangaaa

  • @ramadhanigwalu2399
    @ramadhanigwalu2399 Před rokem

    What does it mean?

  • @silasjoseph9033
    @silasjoseph9033 Před rokem +1

    KIFARU🔥🔥🔥🔥🙌

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před rokem

    Manshahallah 🙏

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Před 10 měsíci

    Mana nami nimependa sana iyo kazi napambana uku kwa waarabu nipate iyo bajani beigani

  • @hilarylaurian7896
    @hilarylaurian7896 Před rokem

    Mbunge safi na hoja zake nazikubari hasa upande wa nishati pale bungeni Dodoma

  • @rozirashidi5950
    @rozirashidi5950 Před měsícem

    Hana makuu baba wa watu mungu na aampe.

  • @joshuakazimoto2607
    @joshuakazimoto2607 Před rokem

    Nampenda anasema ukweli💕

  • @kassimnangi9292
    @kassimnangi9292 Před rokem +1

    Anae hoji, simuelewi

  • @ramadhanijumakishai7783

    Ata mm nampenda sana hususani ata kwa hoja zake bungeni huwa hapindish pindish

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před rokem

    Uko sawa kijana shabiby akuone

  • @lupakisyomwambete1954

    Ata NAMI nakuunga mkono kijana Yuko vr Sana bosss

  • @African511
    @African511 Před rokem

    Shabib yuko kana rula kanyooka hana makando kando,big up shabib

  • @zakayosanga1430
    @zakayosanga1430 Před rokem

    jieleze vizuri ww

  • @jeniffermartin5719
    @jeniffermartin5719 Před rokem

    Ki ukweli mm ni mkazi wa kiteto ila namkubali sana shabiby kwani ni kiongozi ambaye anafaa kuigwa na jamii nikiwepo mm jeniffed big up boss mfanyabiashara kiongozi.

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 Před rokem

    Shabiby ni mtu safi sana

  • @musason1680
    @musason1680 Před rokem

    Shabiby mtu mzr sana

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Před rokem

    Anaishi na watu vizuri mno

  • @rehemabakari5797
    @rehemabakari5797 Před rokem

    Jol
    ..,

  • @fatmashija5637
    @fatmashija5637 Před rokem

    Hapo umeongea la maana ukipata yako ni kweli Allahmdulillh chako ni chako

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Njaa tu hamna cha mapenzi. Anachora kubahatisha mheshimiwa aone ampe hela

  • @hajimamba2066
    @hajimamba2066 Před rokem

    Mtangazaji hamna kitu aise

  • @fatumafatuma1503
    @fatumafatuma1503 Před rokem

    Dada unakihelehele ww cha maswali siusubiri amalize honger sana kaka kwaulichokifanya

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Před rokem +1

    Mtu na akipendacho.hata mimi nimefurahi ulivyo weka bango la pc ya muheshimiwa shabibi.kwani na mfagiliaga sana akiwa bungeni.

  • @raphaeltmasudi5295
    @raphaeltmasudi5295 Před rokem

    🙏

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před měsícem

    Huyo mbunge. Ni makini sana mjengoni alinigusa sana Bima ya afya ipate makusanyo ziada kama toka tozo cm

  • @elizabethmajaliwa5189
    @elizabethmajaliwa5189 Před rokem +3

    Huu uvivu utauwaaa ,Mara mashoga ,Mara vi Ben ten na bado , mwaya wanawake pigeni kazi tuachane nao

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Před rokem +2

    Mh Shabiby.. Please Best offer kijana uyu mwema mtaji wa Balaji yake binafsi.. He deserve. Please stretch ur hand on this young man..
    Yours, Tanzanians 🇺🇸

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Před rokem +2

    Huko nikutembelea nyiota njema na ikikubali unabutua ikikataa unabutuka!

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem

    Hii ni picha yakuchora kwa mkono ama ni bango limebandikwa😳😳🤔

  • @sigifridaloyce7116
    @sigifridaloyce7116 Před rokem

    hatar

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 Před rokem

    Nikasema

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Před rokem +1

    Au wapambe ndiyo walioweka hiyo picha ili watafute hiyo hela nina wasiwasi

  • @evamacha7896
    @evamacha7896 Před rokem

    Mh Shabiby. Kijana huja kosea ni sahihi

  • @amourmaftah258
    @amourmaftah258 Před rokem

    Anae hoji na anae hujiwa wote kama vile hamjui mnacho kizungumza P'mbaf.

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před rokem +1

    Mwandishi rudi shule kazi bado sana

  • @saidikorongo8274
    @saidikorongo8274 Před rokem

    Naomba jina la Sound track Please..👏🏾👏🏾

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 Před rokem +5

    Asanteni kwa kutafuna MB Zangu hakuna cha maana hapo ni kiki

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem +1

    Mh.shabiby we ni mtu watu aise. Nakukubari sana mh. Shabiby.

    • @bengang3265
      @bengang3265 Před rokem

      czcams.com/video/jiiqdA-XoPA/video.html

  • @mtigibrian1954
    @mtigibrian1954 Před rokem

    Issue unahitaji usaidie bajaji

  • @onesmominga844
    @onesmominga844 Před rokem +1

    Namimi mnichole

  • @michaelmasalago8068
    @michaelmasalago8068 Před rokem

    Loop

  • @danielbarickmunishi3785

    Naona ngamia

  • @cmstz
    @cmstz Před rokem +7

    Mwanahabari. Maswali yako yapangilie vizuri
    Unavuruga story.

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 Před rokem +1

      Akili yakee haifanyi kazi kaaabiisaaa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem

      6:15 '....gari ya bei ndefu,ya hela nyingi...' lugha ya machalii wa arachuga..

  • @rashidsuleiman1531
    @rashidsuleiman1531 Před rokem +1

    ola dar mnauzaje bajaji

  • @J4UPro
    @J4UPro Před rokem +2

    Mtangazaji jaribu kuwa na subra

  • @aishasaid8132
    @aishasaid8132 Před rokem

    Alhamdulillah Allah azidi kukujalia kheri mheshimiwa uko vizuri

  • @nelsongodfrey9952
    @nelsongodfrey9952 Před rokem

    Shabiby ni bonge la mbunge. Kiukweli hata akianza kuchangia point bungeni unataman kuendelea kumsikiliza. Bira kumsahahu dr. Msukuma

  • @dominicchigumila2202
    @dominicchigumila2202 Před rokem +9

    Hofu yangu ni kwa mwanahabar kama ana taaluma na hiyo kazi

  • @olesambekelaizer1117
    @olesambekelaizer1117 Před rokem

    Yeah sure nimependa Kamdundo ka wimbo Na tunashukuru sana kwa kuweza kuwakumbuka Viongozi wetu wanaofanya kazi kwa ajili yetu
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @okeymediatz1024
    @okeymediatz1024 Před rokem

    Mtangaz unazngua

  • @yusuphmakhahala6570
    @yusuphmakhahala6570 Před rokem +1

    Hapa muandishi sidhani kama anataaluma na huu mtingo

  • @neemakombe67
    @neemakombe67 Před rokem +3

    Umasikini mbaya Sana

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Před 11 měsíci

    Samahani kwani. Bajaji zinauzwa shilingingapi au.beigani

  • @anganilekajigilikajigili2641

    Mwanaume mtu mzima anabusu picha ya mwanaume mwwnzie mkumbwa mpe tano ww ?💥🤣🤣

  • @allymadenge4603
    @allymadenge4603 Před rokem

    Freemassoni

  • @amourmaftah258
    @amourmaftah258 Před rokem

    Ahmed Shabiby sio limbukeni wale mazukuku tia mchuzi pangu pakavu ndio wenye shida akipata kidogo tu SUB'HANALLAH a anaka watu mumjue kama yeye ni Bana kuba tai nyingi kushinda mashati alio nayo nyingene za Rangi tukufu ya Taifa mama Tanzania hiyo yote anaka awe tofauti na we wengine na Marsham Maushamba mengi tu P'mbaf

  • @mulladomuller4487
    @mulladomuller4487 Před rokem

    hamna mwana habar apoo

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Před rokem

    Sio mchongo huu

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo8820 Před rokem

    Kuna shabby
    Kishimba Hawa wabunge
    Wanaongeaga point tupu

  • @gordianbwemelo8489
    @gordianbwemelo8489 Před rokem +3

    Huyo mwana habari arudi shule ajifunze namna ya kuhoji watu. She's unprofessional

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Před rokem

    Ajaiwai kutoa oja mbovu bungen uyo

  • @bahatikazungu7657
    @bahatikazungu7657 Před rokem +4

    Unashindwa kuchora picha ya. Baba yako au mama

  • @everever2807
    @everever2807 Před rokem

    huyu na mkubari mh shabibu halfu wanaume wote bungeni tambueni wananchi wanawapemda sana ila utawala ubadilike hapa imekua mvurugano rais mridhi hana uchungu na wananchi tumemkataa

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Před rokem

    Nakumbuka siku nimetoa nauli 40000 nikarudishiwa elf kumi

  • @LovelyBanjo-qh7xb
    @LovelyBanjo-qh7xb Před měsícem

    K

  • @margrethjonesmshana8555

    Yaaani weee reporter unaongeaaaa