IMEFICHUKA: MANENO YA MWISHO YA MEMBE/AHUSISHWA NA UJASUSI/ KIKWETE ATAJWA/SIKU CHACHE KABLA YA KIFO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Membe #Dar24Media

Komentáře • 17

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 Před rokem +2

    Interview nzuri, hongereni mmemtendea haki BM

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem +2

    Ngoja niangalie maana ya ujasusi..

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Před rokem +2

    Hakuna kitu upuuzi alifrai juu ya kifo cha magufuli ivo inakua kama ivo

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před rokem +1

    Alimchafua jembe sana uyo kachelo hio ndo tanzania

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před rokem +1

    Umaarufu wamutu hapa.duniani hujichorayenyewe kufuatana najamiihusika inayomzunguka ameifanyianini haisambazwi namtummojammoja asiyeeleweka.hayo yanahusulkulu na mamboyaulinnzi hapohamunakazi yakufanya.

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 Před rokem +2

    Yeriko na dupe , miamia

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Před rokem

    Mwandishi pendelea kutumia Neno, napenda kusikia ukisema juu ya .... Au una mtazamo gani kwa..., Na sio kuamuru NATAKA ..!

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Před rokem +1

    Kwaiyo membe alikua ni jasusi?

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před rokem

    Hivi ni nani alie wahi kusema BAHARI IMETULIA? sasa naiona BAHARI kuchafuka

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před rokem

    Huo mfumo wa shule maalumu ni muhimu dunia nzima zipo shule Kwa wanafunzi wenye vipaji ndio hao wanaogundua mambo makubwa ya technology na wanapewa support kubwa lakini mshaanza changanya na wehu shule zinakosa sifa .za kutoa watu muhimu ktk nchi

  • @user-bo7zj5qn3m
    @user-bo7zj5qn3m Před rokem

    Umeshindwa kueleza nn maana ya foreist na jamaa alikuwa anabebwa na kikwete ,na ndiyo maana JPMalimupiga chini

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Před rokem

    Mwenzenu alikua kazini😀 nyie mnajua ni interest binafsi 😅

  • @marxmusntambala7996
    @marxmusntambala7996 Před rokem

    Hii ndio Tanzania

  • @nicholaschalle8288
    @nicholaschalle8288 Před rokem

    MUNGU wa Mbinguni atupatie akina MEMBE WENGI kwaajili ya TAIFA

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo Před rokem

    Hayo hayaruhusu kamwe

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo Před rokem

    Hayo yanakuja wewe kwa sasa haitusaidii

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před rokem +1

    Kama Kuna aliyefurahi au kuchangia Kifo cha Magufuli anakumbushwa njia ni moja na sio mbili. Kwani Magufuli alitangulia tuu naye atafuata.