IMEFICHUKA: MANENO YA MWISHO YA MEMBE/AHUSISHWA NA UJASUSI/ KIKWETE ATAJWA/SIKU CHACHE KABLA YA KIFO
Vložit
- čas přidán 15. 05. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Membe #Dar24Media
Interview nzuri, hongereni mmemtendea haki BM
Ngoja niangalie maana ya ujasusi..
Hakuna kitu upuuzi alifrai juu ya kifo cha magufuli ivo inakua kama ivo
Alimchafua jembe sana uyo kachelo hio ndo tanzania
Umaarufu wamutu hapa.duniani hujichorayenyewe kufuatana najamiihusika inayomzunguka ameifanyianini haisambazwi namtummojammoja asiyeeleweka.hayo yanahusulkulu na mamboyaulinnzi hapohamunakazi yakufanya.
Yeriko na dupe , miamia
Mwandishi pendelea kutumia Neno, napenda kusikia ukisema juu ya .... Au una mtazamo gani kwa..., Na sio kuamuru NATAKA ..!
Kwaiyo membe alikua ni jasusi?
Hivi ni nani alie wahi kusema BAHARI IMETULIA? sasa naiona BAHARI kuchafuka
Huo mfumo wa shule maalumu ni muhimu dunia nzima zipo shule Kwa wanafunzi wenye vipaji ndio hao wanaogundua mambo makubwa ya technology na wanapewa support kubwa lakini mshaanza changanya na wehu shule zinakosa sifa .za kutoa watu muhimu ktk nchi
Umeshindwa kueleza nn maana ya foreist na jamaa alikuwa anabebwa na kikwete ,na ndiyo maana JPMalimupiga chini
Mwenzenu alikua kazini😀 nyie mnajua ni interest binafsi 😅
Hii ndio Tanzania
MUNGU wa Mbinguni atupatie akina MEMBE WENGI kwaajili ya TAIFA
Hayo hayaruhusu kamwe
Hayo yanakuja wewe kwa sasa haitusaidii
Kama Kuna aliyefurahi au kuchangia Kifo cha Magufuli anakumbushwa njia ni moja na sio mbili. Kwani Magufuli alitangulia tuu naye atafuata.