HUKUMU YA MUZIKI
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2021
- Apostle Mtalemwa alitumia mfano wa muziki wa Tabu ley {MUZINA}
kuelezea jinsi watu wanavyohukumu bila kufanya utafiti wa kina Muziki huu una maneno ya Mungu na siyo ya kidunia.
ILI KUCHANGIA HUDUMA HII TUMA SADAKA YAKO KATIKA NAMBA HII
0682 979585 {JINA ECG CHURCH}
Hakika ww ni mtumishi wa Mungu....... Ubarikiwe Sana! Endelea na kazi ya BWANA mwalimu.
Aaaaa...men Apostle very powerful explanation mayGod bless you
Apostle MTALEMWA, UWEZI KULEMEWA. MOLA AWE NAWE MILELE. AMINA.
i honestly like the way this Pastor is passing the msg of God to his congregation through music. This is awesome.
Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa
Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992
1994
Huyo ndo Chief Apostle Mtalemwa salute kwako Mtu wa MUNGU
Wazee wa rhumba wamechangamka sana.Wangepewa divai,ingekuwa sawa zaidi
Hakika kanisani ni sehemu ya kuponya Moyo..tukacheza na kufurahi!!
Mungu akubariki Baba.
Duuh! Kweli tusiwe wepesi kuhukumu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Mimi nilikuwa sijui mtumishi, asante sana. Muzinaaa 🔥🔥🔥💃🏻💃🏻💃🏻
Hakika nimejifunza mi nilikuwa sielewi .ubarikiwe mtumishi unanibarki Sana
Aisee.. nimekuelewa sana mtumishi wa MUNGU.. kila siku napata kitu kimpya ..
Mungu nisamehe maana hata Mimi nikuskia hii nyimbo ikitumika Sana lakini sikujua ninyimbo ya Mungu kama nimekujaji Kwa kufikiri nisamehe pia
Tucheze mpaka keshooooooo safi sana
Nimekuelewa pastor mungu azidi kukupak mafuta yake
Kiukweli Mungu akuinue viwango nimefunguka macho na masikio
Ctajudge tena,Asante saana mtumishi
Let the Spirit of God guide us all, coz there's a spirit behind everything we say or do...
This is such a lovely lesson and delivered so well.
I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune.
Thank you very much for translating and bringing it to our attention.
Barikiwa.
Kwa kweli itakuwa vigumu binadamu kama Mimi kuingia katika ufalme wa mbingu
Mwenyezi mungu naomba unisamehe dhambi zangu nilizotenda bila kujua
Amen Amen 🙏
Amen mtumishi Wa mungu
Ubarikiwe kwa tafsir nilijua muzina wa litata vinakaribiana na kiha
Hii nyimbo itabidi
waimbe siku ya
harusi yangu 🔥🧎♀️
Ubarikiwe!!
Hauja hubiri saaana lakn message nimeipata "DON'T JUDGE TOO QUICK"... powerful
Barikiwa Sana mtumishi ninaiman cku moja utakuja kanisan kwangu
Amen barikiwa mpendwa
Ubarikiwe baba sikujua maana ya wimbo huu
Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏
Oyaaaa apostle that was my f favourite and many didn't know it was a gospel uko juu mtumishi live long with wisdom
Nimekuelewa mtumishi
Baraka ... Pastor karibu kenya
Kwa mara ya kwanza kujua tafsiri yake kwa kweli nipenda sana ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Halleluya Halleluya mtumishi wangu 🙌sijutii kuwa humu ecg ⛪
I love you so much postle mtalemwa 🥰🥰 mungu akuepuche kwakira kilakitu? Namm pia usinisahau popote uyendapo amen
Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏
Ubarikiwe mm niliucheza Sana enzi hizi sikujua ni kipi kinaongelewa nimefurahi Apostle
Blessed Sana mchungaji!!!! Just known the truth behind musina.Fabulous!!!!
Dah, you almost messed me up Apostle, I was wondering what's going on here!!
The only faith that held me up, was the fact that I know who my mentor is thus I kept on with curiosity...
I never knew what this song was all about, I repent for my thoughts.
Indeed, we should not judge the matter after hearing from one side.
Blessed art thou Man of God.
I also danced the song instantly. Thank you apostle Mtalemwa. God forgive us for wrong judgement.
1st day to listen to you and you have really teacher me alot
Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah
Sina usemi.Mungu tupe macho ya rohon .ngafuu bwa gwituuu
Fumba kinywa ww
Hao wadda wanavaaje hivo mchungaji! Unahubiri vizuri Siku zote lakin kemea sana hao Dada! Yan wapo uchi
Don't judge
Wooow after kuona tafsiri hata nkaipenda zaidi sikua nishai fuatilia rylics zake....mchungaji mzuri kweli barikiwa umetufungua macho.🙏🙌
Nimekumbuka mbali sana,tulicheza disco waliita siku ya bakulutu,bolingo time,vijana wa zamani hapo umewashika
Hakika nmebarikiwa kupitia huu wimbo baada ya kujua tafsiri yake
Barikiwa Mtumishi
They should call a teacher too,you're amazing
Daaaah Mungu akubariki sana Nipeipenda sana hii
Furahini katika Bwana tena nasema FURAHINI
Hakika nijejifunza kitukikubwa sana katika ibada hii Mungu aturehem.
Whaaaat!!all those years i never knew this is a gospel song, but again why wasnt played most in discos than in church
Tatizo ni moja, kumekosekana utofauti kati ya mapigo ya muziki wa kidini na wa kidunia. Lakini mi naamini ni lazima kuwe na tofauti.
Très bien
Soyez béni monsieur le pasteur.
Tatizo sio wimbo kupigwa bar ila lugha njo ilikuwa tatizo wa Tanzania 🇹🇿 abajuwi lingala sisi tulikuelewa Pastor apo unasaidiya watu wengi Mungu aku bariki
Excellent pastor. You have won a Visa to come and preach for me right at my home. barikiwa Paste.
hongera.kaka.posta
Love you chief Apostle zaidi ya mambo yakiroho unatumika sana kutufungua fahamu tunazidi kujitambua na zaidi tunacheka nakuongeza miaka God bless you man of God sanaa.
SIKUKUWA NA MTOTO WA KIUME. nILIFANYISA WIMBO HU WA mZEE tABULEY nIKAMUPATA kIJANA MARUFU.!! Mngu a sifiwe sana..
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu. Kweli Mugu aturehemu kwa mengi.
Dah! Naipendaga huu wimbo tangu utoton lakin maana take sijuiag,kumbe ndo hivi! Be blessed
Powerful message 💯💯
Whaaat! Inashangaza sana, kwani huwa ni Gospel! Sikuwai juwa ila huwa naipenda.
Daaaa sikujua maana yake, ubarikiwe mtumishi.
Amen 🙏 🙏 🙏 raha ndani ya Yesu kristo mtumishi wa Mungu barikiwa sana nakwambia nabarikiwa tu sana...na Mwenyezi Mungu aturehemu tusiwe wepesi wa KUHUKUMU am watching from Saudi 🇸🇦 am Phanice Okongo.
Ukosawa Mchungaji asante kwa kunihelewesha Mungu awabariki
Great gospel song indeed...but only fools will end up judging.We should deeply think on something b4 judging someone..Its good to ask something if we don't understand rather than judging.
Ubarikiwe kwa kiwango cha juu apostle, umetubariki kwa ujumbe wa Leo, tusiwe wepesi wa kujudge ktk maisha yetu.
Mungu akujaalie afy njemaaaa Tena miaka bukuuuu🙏🙏
Waaaa wonderful pastor this is full wisdom be blessed alot we love you from kenya
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 hatari na nusu... Kiukweli mtumishi nilivyoona nilijudge na mimi nikaona hee leo mtumishi amekula nini ila nilivyosoma maneno ya huo wimbo aaaah nimetubu kwa machozi kama petro🙌🙌🙌 kweli don't judge
Pole sana sister, zipo nyingi sana hizo nyimbo za Wakongo/Zaire. Kina Kanda bongoman, marehemu Aurlus Mabelee, nk wote hao kwenye album zao walikuaga wanachanganya na wimbo wa kumtukuza Mungu, Kuna nyimbo 1 inaitwa NINA imeimbwa na Nyiboma na Pepe Kalle ni ya Kimungu pia; wanamuziki wa Zaire wa wakati ule zilikuaga products za kanisani. Nadhani huyu mwamba ali record hi baada ya mpenzi/mke wake kumtosa mzee huyu.
Thanks alot. I didn't know the meaning of that song and i used to love ot soo much. Now i know
Ahimidiwe mungu wa mbinguni
Following, you have blessed me and l can't regret why following really l have learned many reasons from u man of God more grace to serve God's people AMEN&AMEN
Aposto wewe ni kitu kingine mmmmmh!!!!!!!Mungu wa mbinguni akutunze Mwanangu
Kucheza mpaka kushika vitambi kweli huko ndio lugha yangu tunasema kuvina
Nothing can stop the word of God, even after the demise of Tabule his song is ministering bigtime...
Mimi naelewa leo dah!! Mungu akubariki sana nimependa
Leo pasta umenifurahisha sana
Thank you Apostle for the Powerful message 👏
Amina mtumishi nahic hii nyimbo itakua yakuitia sasa😂
Yaani sikujua kama huu mziki kweli unazungumzia Mungu. Asanteni sana nimejifunza jipyaaaa
Apostle unanijenga sana kabisa ubarikiwe il from Congo DRC
Thanks a lot. very rich and well intended song/message. God bless you
I didn't know it's a song that exalts the name of the Lord Jesus Christ.hallalujah
Mtumishi ninashukuru kutufungua. Ndiyo kwanza nafahamu maana ya wimbo huu. we should not be quick to judge. Be blsd Man of God
Wapendwa ktk Bwana bila kujali dini Wala dhehebu tunaomba musabuscribe kwa wingi ktk channel hii, mpaka kufikia July/mwezi wa saba tuwe family ipatayo laki 500000 na zaidi....
Mziki bila jasho aposawa wapi apostle wapi mtatalemwa kulekukuleeeee shika kawaya hallelujah
Very true we should not be quick to judge before having enough investgations
Nakupenda mtumishi unanibariki saaana
Asante mtumishi nimejifunza kitu Kwa kweli
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Kiufupi to ubarikiwe MTUMISH wa Mungu 😁👍🎶
Ahahahaaa pastor umetisha baba nitakuja skumoja
Nmekubali Chief, Bwanna Yesu anisaidie kupona katika hilo!!!
Good words mtumish...
Unaongea kama Hassan Joho kabisaaa
Amina kwakweli mm nilikucharge mungu anisamehe mungu anisaidie nisiwe mwepesi wa kuukumu yeyote.
Mtalenwa your so good teacher
Nabarikiwa na mafundisho yako hakika umenifungua kwa hatua kubwa
Ooooohhh God please have mercy on me!!I like this song,yaan
Waooo prophetic pastor sikujua kwel be blessed man of God
This is wisdom, don't judge I've learned something today, be blessed man of God
Tablei huyo kumbe tafsili take iko vizuri
Tumepata fuzo kubwa sana mtumishi barikiwa sana
Mtumishi, INJILI YAKO NGUM!