HUKUMU YA MUZIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2021
  • Apostle Mtalemwa alitumia mfano wa muziki wa Tabu ley {MUZINA}
    kuelezea jinsi watu wanavyohukumu bila kufanya utafiti wa kina Muziki huu una maneno ya Mungu na siyo ya kidunia.
    ILI KUCHANGIA HUDUMA HII TUMA SADAKA YAKO KATIKA NAMBA HII
    0682 979585 {JINA ECG CHURCH}

Komentáře • 306

  • @MARCELINMDENDEMI
    @MARCELINMDENDEMI Před měsícem

    Hakika ww ni mtumishi wa Mungu....... Ubarikiwe Sana! Endelea na kazi ya BWANA mwalimu.

  • @AgnessNyansambo
    @AgnessNyansambo Před 4 hodinami

    Aaaaa...men Apostle very powerful explanation mayGod bless you

  • @omutsyabandi4869
    @omutsyabandi4869 Před 4 měsíci

    Apostle MTALEMWA, UWEZI KULEMEWA. MOLA AWE NAWE MILELE. AMINA.

  • @georgedinda7400
    @georgedinda7400 Před 7 měsíci

    i honestly like the way this Pastor is passing the msg of God to his congregation through music. This is awesome.

  • @paulpius6566
    @paulpius6566 Před 3 lety +7

    Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 Před 3 lety

      Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992

    • @joshuakapai9380
      @joshuakapai9380 Před 3 lety

      1994

  • @charlespeter4675
    @charlespeter4675 Před 2 lety

    Huyo ndo Chief Apostle Mtalemwa salute kwako Mtu wa MUNGU

  • @dominicshem2491
    @dominicshem2491 Před 3 lety

    Wazee wa rhumba wamechangamka sana.Wangepewa divai,ingekuwa sawa zaidi

  • @yvonnemashuda3004
    @yvonnemashuda3004 Před 3 lety +5

    Hakika kanisani ni sehemu ya kuponya Moyo..tukacheza na kufurahi!!
    Mungu akubariki Baba.

  • @doricelema2591
    @doricelema2591 Před 3 lety +8

    Duuh! Kweli tusiwe wepesi kuhukumu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Mimi nilikuwa sijui mtumishi, asante sana. Muzinaaa 🔥🔥🔥💃🏻💃🏻💃🏻

  • @matekesaid8524
    @matekesaid8524 Před 3 lety

    Hakika nimejifunza mi nilikuwa sielewi .ubarikiwe mtumishi unanibarki Sana

  • @geraldnjali9077
    @geraldnjali9077 Před 3 lety

    Aisee.. nimekuelewa sana mtumishi wa MUNGU.. kila siku napata kitu kimpya ..

  • @rehemar3659
    @rehemar3659 Před 3 lety +5

    Mungu nisamehe maana hata Mimi nikuskia hii nyimbo ikitumika Sana lakini sikujua ninyimbo ya Mungu kama nimekujaji Kwa kufikiri nisamehe pia

  • @patrickandrea4829
    @patrickandrea4829 Před 3 lety +1

    Tucheze mpaka keshooooooo safi sana

  • @upendodagras9371
    @upendodagras9371 Před 3 lety

    Nimekuelewa pastor mungu azidi kukupak mafuta yake

  • @geofreymhina3472
    @geofreymhina3472 Před 3 lety

    Kiukweli Mungu akuinue viwango nimefunguka macho na masikio

  • @mildredwekesa5844
    @mildredwekesa5844 Před 2 lety

    Ctajudge tena,Asante saana mtumishi

  • @stephenkahindi8678
    @stephenkahindi8678 Před 2 lety +1

    Let the Spirit of God guide us all, coz there's a spirit behind everything we say or do...

  • @wangarimuriithi8748
    @wangarimuriithi8748 Před 3 lety +5

    This is such a lovely lesson and delivered so well.
    I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune.
    Thank you very much for translating and bringing it to our attention.
    Barikiwa.

  • @jovinjonasbuy6092
    @jovinjonasbuy6092 Před 3 lety +6

    Kwa kweli itakuwa vigumu binadamu kama Mimi kuingia katika ufalme wa mbingu
    Mwenyezi mungu naomba unisamehe dhambi zangu nilizotenda bila kujua

  • @maarifahub5066
    @maarifahub5066 Před 3 lety +2

    Ubarikiwe kwa tafsir nilijua muzina wa litata vinakaribiana na kiha

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 Před 3 lety +1

    Hii nyimbo itabidi
    waimbe siku ya
    harusi yangu 🔥🧎‍♀️
    Ubarikiwe!!

  • @joshuajacob2475
    @joshuajacob2475 Před 3 lety +3

    Hauja hubiri saaana lakn message nimeipata "DON'T JUDGE TOO QUICK"... powerful

  • @aminamogan6547
    @aminamogan6547 Před 3 lety +2

    Barikiwa Sana mtumishi ninaiman cku moja utakuja kanisan kwangu

  • @amosmbulazi298
    @amosmbulazi298 Před 3 lety

    Amen barikiwa mpendwa

  • @mariamahenge1409
    @mariamahenge1409 Před 2 lety

    Ubarikiwe baba sikujua maana ya wimbo huu

  • @seekerofpurpose
    @seekerofpurpose Před 3 lety +2

    Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏

  • @cyliakamuthoni8748
    @cyliakamuthoni8748 Před 3 lety +5

    Oyaaaa apostle that was my f favourite and many didn't know it was a gospel uko juu mtumishi live long with wisdom

  • @parsalaachpelente4406
    @parsalaachpelente4406 Před 3 lety

    Baraka ... Pastor karibu kenya

  • @sokosibora7161
    @sokosibora7161 Před 3 lety +2

    Kwa mara ya kwanza kujua tafsiri yake kwa kweli nipenda sana ubarikiwe sana mtu wa Mungu

  • @joycemaige8683
    @joycemaige8683 Před 3 lety +1

    Halleluya Halleluya mtumishi wangu 🙌sijutii kuwa humu ecg ⛪

  • @fanniebanda562
    @fanniebanda562 Před 2 lety

    I love you so much postle mtalemwa 🥰🥰 mungu akuepuche kwakira kilakitu? Namm pia usinisahau popote uyendapo amen

  • @neemahamis6399
    @neemahamis6399 Před 3 lety +3

    Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏

  • @betridafidelis9411
    @betridafidelis9411 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe mm niliucheza Sana enzi hizi sikujua ni kipi kinaongelewa nimefurahi Apostle

  • @jaredmoturi5783
    @jaredmoturi5783 Před 3 lety +1

    Blessed Sana mchungaji!!!! Just known the truth behind musina.Fabulous!!!!

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 Před 3 lety +5

    Dah, you almost messed me up Apostle, I was wondering what's going on here!!
    The only faith that held me up, was the fact that I know who my mentor is thus I kept on with curiosity...
    I never knew what this song was all about, I repent for my thoughts.
    Indeed, we should not judge the matter after hearing from one side.
    Blessed art thou Man of God.

  • @jeremiahmbogua442
    @jeremiahmbogua442 Před 3 lety +2

    I also danced the song instantly. Thank you apostle Mtalemwa. God forgive us for wrong judgement.

  • @mr.helmet6167
    @mr.helmet6167 Před 3 lety +2

    1st day to listen to you and you have really teacher me alot

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 Před 3 lety +2

    Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah

  • @yohanekasonkwa2612
    @yohanekasonkwa2612 Před 3 lety +1

    Hao wadda wanavaaje hivo mchungaji! Unahubiri vizuri Siku zote lakin kemea sana hao Dada! Yan wapo uchi

  • @johniemarsha1561
    @johniemarsha1561 Před 3 lety

    Wooow after kuona tafsiri hata nkaipenda zaidi sikua nishai fuatilia rylics zake....mchungaji mzuri kweli barikiwa umetufungua macho.🙏🙌

  • @samsonmgonja4014
    @samsonmgonja4014 Před 3 lety +2

    Nimekumbuka mbali sana,tulicheza disco waliita siku ya bakulutu,bolingo time,vijana wa zamani hapo umewashika

    • @sokosibora7161
      @sokosibora7161 Před 3 lety +1

      Hakika nmebarikiwa kupitia huu wimbo baada ya kujua tafsiri yake

  • @emmanuelsmihulu725
    @emmanuelsmihulu725 Před 3 lety

    Barikiwa Mtumishi

  • @lispermomanyi8715
    @lispermomanyi8715 Před 3 lety +1

    They should call a teacher too,you're amazing

  • @hagaigospelband_tz4735
    @hagaigospelband_tz4735 Před 3 lety +1

    Daaaah Mungu akubariki sana Nipeipenda sana hii

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 Před 3 lety

    Furahini katika Bwana tena nasema FURAHINI

  • @wisembuya7891
    @wisembuya7891 Před rokem

    Hakika nijejifunza kitukikubwa sana katika ibada hii Mungu aturehem.

  • @okandafu8045
    @okandafu8045 Před 3 lety +1

    Whaaaat!!all those years i never knew this is a gospel song, but again why wasnt played most in discos than in church

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Tatizo ni moja, kumekosekana utofauti kati ya mapigo ya muziki wa kidini na wa kidunia. Lakini mi naamini ni lazima kuwe na tofauti.

  • @amiwitu1445
    @amiwitu1445 Před 3 lety +2

    Très bien
    Soyez béni monsieur le pasteur.

  • @yangikaefaraja
    @yangikaefaraja Před 3 lety +2

    Tatizo sio wimbo kupigwa bar ila lugha njo ilikuwa tatizo wa Tanzania 🇹🇿 abajuwi lingala sisi tulikuelewa Pastor apo unasaidiya watu wengi Mungu aku bariki

  • @pmekenye5050
    @pmekenye5050 Před 3 lety +1

    Excellent pastor. You have won a Visa to come and preach for me right at my home. barikiwa Paste.

  • @hangayamafenya8883
    @hangayamafenya8883 Před 3 lety

    hongera.kaka.posta

  • @doreennkya5524
    @doreennkya5524 Před 3 lety

    Love you chief Apostle zaidi ya mambo yakiroho unatumika sana kutufungua fahamu tunazidi kujitambua na zaidi tunacheka nakuongeza miaka God bless you man of God sanaa.

  • @omutsyabandi4869
    @omutsyabandi4869 Před 4 měsíci

    SIKUKUWA NA MTOTO WA KIUME. nILIFANYISA WIMBO HU WA mZEE tABULEY nIKAMUPATA kIJANA MARUFU.!! Mngu a sifiwe sana..

  • @honestyminde5519
    @honestyminde5519 Před 3 lety +1

    Ahsante sana Mtumishi wa Mungu. Kweli Mugu aturehemu kwa mengi.

  • @yohanekasonkwa2612
    @yohanekasonkwa2612 Před 3 lety

    Dah! Naipendaga huu wimbo tangu utoton lakin maana take sijuiag,kumbe ndo hivi! Be blessed

  • @suzanalemau6601
    @suzanalemau6601 Před 3 lety +4

    Powerful message 💯💯

  • @emmanuellee.6793
    @emmanuellee.6793 Před 3 lety

    Whaaat! Inashangaza sana, kwani huwa ni Gospel! Sikuwai juwa ila huwa naipenda.

  • @deborajackson7284
    @deborajackson7284 Před 3 lety +1

    Daaaa sikujua maana yake, ubarikiwe mtumishi.

  • @Lucy-nr2sm
    @Lucy-nr2sm Před 3 lety

    Amen 🙏 🙏 🙏 raha ndani ya Yesu kristo mtumishi wa Mungu barikiwa sana nakwambia nabarikiwa tu sana...na Mwenyezi Mungu aturehemu tusiwe wepesi wa KUHUKUMU am watching from Saudi 🇸🇦 am Phanice Okongo.

  • @bernadette6266
    @bernadette6266 Před 3 lety

    Ukosawa Mchungaji asante kwa kunihelewesha Mungu awabariki

  • @Jonah854
    @Jonah854 Před 3 lety

    Great gospel song indeed...but only fools will end up judging.We should deeply think on something b4 judging someone..Its good to ask something if we don't understand rather than judging.

  • @leonardcharles3169
    @leonardcharles3169 Před 3 lety

    Ubarikiwe kwa kiwango cha juu apostle, umetubariki kwa ujumbe wa Leo, tusiwe wepesi wa kujudge ktk maisha yetu.

  • @akileifelixfelesian7250

    Mungu akujaalie afy njemaaaa Tena miaka bukuuuu🙏🙏

  • @gladysgladys7393
    @gladysgladys7393 Před 2 lety

    Waaaa wonderful pastor this is full wisdom be blessed alot we love you from kenya

  • @gracekwila5674
    @gracekwila5674 Před 3 lety +10

    😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 hatari na nusu... Kiukweli mtumishi nilivyoona nilijudge na mimi nikaona hee leo mtumishi amekula nini ila nilivyosoma maneno ya huo wimbo aaaah nimetubu kwa machozi kama petro🙌🙌🙌 kweli don't judge

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 Před 3 lety

      Pole sana sister, zipo nyingi sana hizo nyimbo za Wakongo/Zaire. Kina Kanda bongoman, marehemu Aurlus Mabelee, nk wote hao kwenye album zao walikuaga wanachanganya na wimbo wa kumtukuza Mungu, Kuna nyimbo 1 inaitwa NINA imeimbwa na Nyiboma na Pepe Kalle ni ya Kimungu pia; wanamuziki wa Zaire wa wakati ule zilikuaga products za kanisani. Nadhani huyu mwamba ali record hi baada ya mpenzi/mke wake kumtosa mzee huyu.

  • @peterkimanthi30
    @peterkimanthi30 Před 3 lety +1

    Thanks alot. I didn't know the meaning of that song and i used to love ot soo much. Now i know

  • @emmanuelmwanawima6266
    @emmanuelmwanawima6266 Před 3 lety

    Ahimidiwe mungu wa mbinguni

  • @fgkl8200
    @fgkl8200 Před 3 lety

    Following, you have blessed me and l can't regret why following really l have learned many reasons from u man of God more grace to serve God's people AMEN&AMEN

  • @AgnessNyansambo
    @AgnessNyansambo Před 3 měsíci

    Aposto wewe ni kitu kingine mmmmmh!!!!!!!Mungu wa mbinguni akutunze Mwanangu

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 Před 3 lety +1

    Kucheza mpaka kushika vitambi kweli huko ndio lugha yangu tunasema kuvina

  • @ev.kermandela
    @ev.kermandela Před 3 lety

    Nothing can stop the word of God, even after the demise of Tabule his song is ministering bigtime...

  • @musapaul2901
    @musapaul2901 Před 3 lety

    Mimi naelewa leo dah!! Mungu akubariki sana nimependa

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Před 3 lety +1

    Leo pasta umenifurahisha sana

  • @jacquelinenyange5549
    @jacquelinenyange5549 Před 3 lety +1

    Thank you Apostle for the Powerful message 👏

  • @beyou5538
    @beyou5538 Před 3 lety +3

    Amina mtumishi nahic hii nyimbo itakua yakuitia sasa😂

  • @yusufarasathegreat9007
    @yusufarasathegreat9007 Před 3 lety +1

    Yaani sikujua kama huu mziki kweli unazungumzia Mungu. Asanteni sana nimejifunza jipyaaaa

  • @josephmatunda2297
    @josephmatunda2297 Před 3 lety

    Apostle unanijenga sana kabisa ubarikiwe il from Congo DRC

  • @sammymwove4217
    @sammymwove4217 Před 3 lety

    Thanks a lot. very rich and well intended song/message. God bless you

  • @michaelongina7138
    @michaelongina7138 Před 2 lety

    I didn't know it's a song that exalts the name of the Lord Jesus Christ.hallalujah

  • @glorianshimanyi1545
    @glorianshimanyi1545 Před 3 lety

    Mtumishi ninashukuru kutufungua. Ndiyo kwanza nafahamu maana ya wimbo huu. we should not be quick to judge. Be blsd Man of God

  • @krafydrafy7854
    @krafydrafy7854 Před 3 lety +5

    Wapendwa ktk Bwana bila kujali dini Wala dhehebu tunaomba musabuscribe kwa wingi ktk channel hii, mpaka kufikia July/mwezi wa saba tuwe family ipatayo laki 500000 na zaidi....

  • @josephkiswili1955
    @josephkiswili1955 Před 3 lety

    Mziki bila jasho aposawa wapi apostle wapi mtatalemwa kulekukuleeeee shika kawaya hallelujah

  • @jobwanyama1073
    @jobwanyama1073 Před 3 lety +2

    Very true we should not be quick to judge before having enough investgations

  • @vickysteven9257
    @vickysteven9257 Před 3 lety +1

    Nakupenda mtumishi unanibariki saaana

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 Před 3 lety

    Asante mtumishi nimejifunza kitu Kwa kweli

  • @adamfundikira9978
    @adamfundikira9978 Před 3 lety

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana

  • @daudmshimbe4642
    @daudmshimbe4642 Před 3 lety

    Kiufupi to ubarikiwe MTUMISH wa Mungu 😁👍🎶

  • @elisantennko7811
    @elisantennko7811 Před 3 lety

    Ahahahaaa pastor umetisha baba nitakuja skumoja

  • @basilkihanga8019
    @basilkihanga8019 Před 3 lety

    Nmekubali Chief, Bwanna Yesu anisaidie kupona katika hilo!!!

  • @bransonnyamai8132
    @bransonnyamai8132 Před 3 lety +1

    Good words mtumish...
    Unaongea kama Hassan Joho kabisaaa

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Před 3 lety

    Amina kwakweli mm nilikucharge mungu anisamehe mungu anisaidie nisiwe mwepesi wa kuukumu yeyote.

  • @pastorjimsonchengula844
    @pastorjimsonchengula844 Před 3 lety +1

    Mtalenwa your so good teacher

  • @aminamogan6547
    @aminamogan6547 Před 3 lety

    Nabarikiwa na mafundisho yako hakika umenifungua kwa hatua kubwa

  • @marymgore6714
    @marymgore6714 Před 3 lety

    Ooooohhh God please have mercy on me!!I like this song,yaan

  • @georgenicodemus4845
    @georgenicodemus4845 Před 3 lety

    Waooo prophetic pastor sikujua kwel be blessed man of God

  • @jacklineedith1531
    @jacklineedith1531 Před 3 lety

    This is wisdom, don't judge I've learned something today, be blessed man of God

  • @atiliosanga6955
    @atiliosanga6955 Před 3 lety

    Tablei huyo kumbe tafsili take iko vizuri

  • @wilsondalalijunior2201

    Tumepata fuzo kubwa sana mtumishi barikiwa sana

  • @suzanakamala3615
    @suzanakamala3615 Před 3 lety +1

    Mtumishi, INJILI YAKO NGUM!