Mimi ni MLUTHERI na wala sitetereki wala kuhofia kitu. Lakini tunavyoendeshwa na hii serikali chafu ya kiBaguzi ya ccm ni UONEVU mkubwa wa haki za raia. Serikali ya ccm ya KIKATOLIKI ndio iliochukua Utawala baada tu ya uhuru ( uhuru wa bendera ) hadi ivi sasa ccm ya KIKATOLIKI wanaendelea kutawala inchi. Hakukuwepo wala musitegemee kuwepo na Raisi kutoka dhehebu jengine inchini Tanzania. Ata hao waislamu ni mizuzu tu isiojitambua hadi Leo hii. Wengi ndio waliopigania uhuru. Wengi ndio waliouwawa kwenye mapambano. Lakini wengi wao ivi sasa wanatumika kwa ajili ya KURA. idadi yao ni kubwa kwenye visanduku. Kwavile wanajulikana ni Maboya tu. Akili hakuna na Elimu hakuna. Tunaelewa agenda ya serikali ya ccm tokea ianzishwe ni KUWAWEKA WAKATOLIKI INCHINI NAFASI ZA JUU KATIKA KILA MAENEO. JESHINI. POLISH. MAGEREZA. WIZARANI.IDARANI. VYUONI. MAENEO NYETI YA IKULU . MAENEO NYETI YA UCHUMI. MAENEO NYETI YA MIHELA . Uyo aliefariki tunamjua ni mtu aliekuwa akiendeleza na kusimamia AGENDA na MAAZIMIO ya Mzee kambarage. Hatushangazwi kuona mazishi yake yakigarimu maBilioni ya hela za inchi katika kipindi ichi kigumu cha UCHUMI . Embu tusubiri mazishi ya Mzee ruhsa watamfanyia nini ^^^ ccm ni chama cha WAKATOLIKI ..kimeasisiwa kwa malengo malumu. Wapumbavu na Wajinga wataendelea tu kukipigia kura ili wapate kofia na sh 20, 000 .huku wakiendelea kula dagaa wakavu na sembe. Nguo zao viraka vitupu. Elimu kwao inaishia darasa la saba. Ili awe tu mjinga Asione mbele. Hakuna MLUTHERI aliepo ccm ila atakuwa zezeta hilo. Bv
Nyinyi mnao sema R.I.P. (Rest In Peace)/Pumzika kwa Amani. Hivi mnadhani kaburi ama akhera ninyumba yenu ata mumwambie mtu pumzika kwaamani? Wewe kama mwanaadamu nahususan kama wewe ni muislamu basi haikupasi kusema maneno hayo kwayeyote yule. Mamlaka yakusema maneno hayo niwewe kumkaribisha mtu nyumbani kwako ama kazini kwako au ofisini kwako tuu kwasababu hizo nisehemu unazo zimiliki wewe kwahio unayo haki yakumwambia mtu pumzika kwa amani nautulivu pia Ila maisha yakaburini ile sio nyumba yako huna mamlaka Bali wewe inakufalia kusema Allaah akurehemu/akusamehe/akupe kauli Tahiti. Apo utakua umemuombea dua kwa kumuacha Allaah afanye kinacho stahiki. Ama kusema pumzika kwa amani hilo neno halifai kwamuislamu kulitamka
That's the problem with Islamic, too much religious. Ya nini kujifanya mtu wa dini dear ?? Huh , kwani unazani hawo waislamu wanao comment R.I.P hawajui maandiko ya Quran. Kumbuka hapa kuna watu wenye dini za kila aina na kila mtu ana commenting anacho taka . So shut up
Jarjaani Gezina ww ni mjinga sana pia yafaa kukuripoti tcra. Kuna laana inakutafuna si bure. Comment zako zote ni za kipumbavu. Kama unajua kuwa hukumu ni ya Mungu pekee sasa mbona ww umeingilia kazi za Mungu kwa kuhukumu wenzio akiwemo Rais wetu mpendwa marehemu BwM? Jirekebishe.
Nafikiri hamkumuelewa alichokisema, Anasema kusema " KAPUMZIKE KWA AMANI" ni kama tunatoa amri kwamba " AKAPUMZIKE " ndio maana mbele akasema inatakiwa mtu akifa tumuombee asemehewe makosa na apokelewe vizuri huko aendako, sioni kama kuna tatizo kwenye dhamira ya alichokisema. Sasa mtu ukipewa machaguo mawili umfanyie mpendwa wako aliyefariki kati ya 1.kusema "PUMZIKA KWA AMANI" AU 2.KUMUOMBEA MSAMAHA MUNGU AMPOKEE VIZURI sijui utachagua kipi kati ya hayo!??
@@mariamramadhani6185 nashangaa kama nini sijui binadamu tupoje jamani mtu akijalalia huku unatoa maneno mazito ambayo hata hakusikii, simngesema wakati alipo kuwa hai ili ajue amekosea na awaombe msamaha? Huyo allah unaemsema huenda mwenzio alishatubu na pepo anaiona wewe huku unabaki kuidhurumu nafsi kwa maneno mazito.
@@jackmichael1953 hujui ukisemacho alijidai kuwa atawalipa fidia alipwaua na wengine kuwatia vilema na kuwasababishia watu kuwa vizuka na wengine kuwaacha kuwa mayatima
Hana amani atakayo ipata muuwaji mkubwa uyo amesha anza kukiona kile alicho kipanda Mm siwezi kusahau mauwaji aliyo yafanya Januari 21 mwaka 2001 kule Zanzibar hususan Pemba Watu kunajisiwa nakulawitiwa mke kwamume nawengine hadi leo vilema. Sasa nashangaa kuona mtu mwenye majina yaliyo tajwa ndani ya Qur'an kusema maneno kama hayo Apo hakuna amani kabisa wote walio kufa nakudhulimiwa nakuteseka kwasababu yake wanamsubiri
@@zeituniismail2946, Hata km lkn pia sote tunajua kua hakua muisilam. Kwa hio mwenye hio kazi ya kuhukumu Allah ameeka wazi ktk Qur-an kwa kusema:- Qur-an 9:113. "Haipaswi Nabii na wale walioamini kuwatakia msamaha washirikina, ijapokua ni jamaa zao, baada ya kwisha bainika kua hao ni watu wa motoni".
@@zeituniismail2946, Sasa apumzike wapi pa amani na ikiwa Allah ameshakataza kwenye Qur-an? Zeitun ndugu yangu kinachoelezwa/kukatazwa kwenye Qur-an kina uzito na kizingatie zaidi mana ni maneno yanatoka straight kwa Allah na sio hadithi km tutasema alisikiwa na nani huenda ikawa sawa au sio.
Tutakukumbuka daima baba uliinua mishahara ya watumishi walidharauliwa hapo zamani na kila mtu ila ukumbukwe kwa kuibadilisha mishahara ya watumishi.Tukutane asubuhi njema.
@@jackmichael1953 kila kilicho umbwa kitakufa kila nafsi itaonja mauti lkn binadamu uloumbwa umepewa nafasi ya kutenda mema sio maovu sisi wazanzibari bado hatutosahau alichotufanyia 2001 nyie msifuni kwa mema lkn kila mtenda maovu mwisho wake mbaya binadamu hamuna kitu lkn tunajisahau Sana tunapopata dhamana za uongozi
Aisha Muhammad je midhambi yote unayoifanya ikiwemo ya kulala guest house tena na waume za watu unaikumbuka? Mbona husemi ya kwako unasema ya wenzio? Utakufa vbaya mrudie Mungu wa mbinguni akusamehe dhambi zako wewe. Ujinga umejaa rohoni mwako.
@@aishamuhammad7785 Tuwe na hofu ya Mungu jamani, hivi kweli Mkapa anaweza kuwapelekea wanajeshi kufanya mambo hayo, hivi hatujiulizi kuwa ndani ya vurugu kama hizi na watu wengine huwa wana-take advantage wakati wa mambo kama hayo? Mungu huyu sio wa mtu mmoja kiasi cha kutoa hukumu naye akakusikiliza huenda mwenzenu alishatubu na Mungu amemsamehe na amepokelewa huku nyie mnakumbuka na kuumia. Sisi wenyewe tuwadhambi hatujawa watakatifu/wakamilifu na hatupaswi kunyoosha kidole kwa mwingine.
Pumzika kwa amani baba Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.....amen×3
Buriani baba nimeumia sana mzee wetu sina la kuongea nakuombea kwa mungu akupokee watanzania tutakukumbuka daima
This guy was a real G. we have lost a champ.. You will always be remembered
Pumzika kwa amani mzee wetu ulitupenda nasi tunakupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.
Speech yako Mh. Mkapa yanathibitisha wewe ni genius. R.I.P baba.
Shujaa ameenda jamani Rest in Peace
milele tutakukumbuka
He was a legend a good president we should continue his legacy forever
R.I.P our president
RIP baba ,babu,mjomba tutakukumbuka daima
R.i.p Benjamin Willium Mkapa.we will remember you our former president.
R.I.P BENJAMIN WILLIUM MKAPA WE WILL MISS YOU OUR SRTONG FORMER PRESIDENT
Mzee mkapa katika uongozi wake hakupendelea. Watumishi na wasiowatumishi wote walipata stahiki zao
Mungu akuweke mahali pema
Ukamilifu wa kiumbe chochote kilicho hai One Giant has Fallen Rest in Peace Former President
Naitwa William kwa7bu yako RIP wajina Mungu kakupenda zaidi upumzike mahala pema peponi Amen
Rip poleni sana familiar #254🇰🇪🇰🇪
Upumzike salama BWM na Mungu atakulipa kwa uliyoyatangaliza, zaidi kwa ulichotufanyia Zanzibar
Yeah, malipo yapo na mlipaji hasahau ala hafi
Umepigana kwa ajili ya nchi yangu Tanzania na mwendo umeumaliza baba kwa kheri tutakutana mbinguni.
Inauma sana Mungu mpokee kwako mbinguni😭😭😭😭😭
Mungu akulaze mahali pema pepon Rais wetu awam3,tulikupenda sana ila Mungu kakpenda zaid
Rambi rambi kwa kupoteza Rais Mkapa Poleni Mungu awarehemu
Rest in peace our former president
Hakika kila nafsi itaonja umauti. Pumzika kwa amani mzee wetu!
R.I.P Mkapa
R.i.p mzee MKAPA Mungu akulaze mahali pema peponi amin
Hakika utakumbukwa kwa mengi uliyo yatenda R.I.P
Nashukuru rais Benjamin Mkapa kwa kuinusuru Kenya kutokana vurugu ya uchaguzi wa mwaka 2007...Rest in peace....
Hiyo ilikuwa ni Saut iliyojaa mamlaka
Tutakukumbuka daima kiongozi mwadilifu hakika Tz tunajivunia marais wote tulio wapata tangu enzi ya Baba wa taifa
Umeumaliza mwendo imani umeirinda pumzika kwa amani
Umemaliza mwendo umevipiga vita vilivyo vizuri imani umeilinda pumzika kwa amani our former president Benjamin William Mkapa!
Rest in Eternal Peace
Mimi ni MLUTHERI na wala sitetereki wala kuhofia kitu. Lakini tunavyoendeshwa na hii serikali chafu ya kiBaguzi ya ccm ni UONEVU mkubwa wa haki za raia. Serikali ya ccm ya KIKATOLIKI ndio iliochukua Utawala baada tu ya uhuru ( uhuru wa bendera ) hadi ivi sasa ccm ya KIKATOLIKI wanaendelea kutawala inchi.
Hakukuwepo wala musitegemee kuwepo na Raisi kutoka dhehebu jengine inchini Tanzania. Ata hao waislamu ni mizuzu tu isiojitambua hadi Leo hii. Wengi ndio waliopigania uhuru. Wengi ndio waliouwawa kwenye mapambano. Lakini wengi wao ivi sasa wanatumika kwa ajili ya KURA. idadi yao ni kubwa kwenye visanduku. Kwavile wanajulikana ni Maboya tu. Akili hakuna na Elimu hakuna.
Tunaelewa agenda ya serikali ya ccm tokea ianzishwe ni KUWAWEKA WAKATOLIKI INCHINI NAFASI ZA JUU KATIKA KILA MAENEO. JESHINI. POLISH. MAGEREZA. WIZARANI.IDARANI. VYUONI. MAENEO NYETI YA IKULU . MAENEO NYETI YA UCHUMI. MAENEO NYETI YA MIHELA .
Uyo aliefariki tunamjua ni mtu aliekuwa akiendeleza na kusimamia AGENDA na MAAZIMIO ya Mzee kambarage. Hatushangazwi kuona mazishi yake yakigarimu maBilioni ya hela za inchi katika kipindi ichi kigumu cha UCHUMI . Embu tusubiri mazishi ya Mzee ruhsa watamfanyia nini ^^^
ccm ni chama cha WAKATOLIKI ..kimeasisiwa kwa malengo malumu. Wapumbavu na Wajinga wataendelea tu kukipigia kura ili wapate kofia na sh 20, 000 .huku wakiendelea kula dagaa wakavu na sembe. Nguo zao viraka vitupu. Elimu kwao inaishia darasa la saba. Ili awe tu mjinga Asione mbele.
Hakuna MLUTHERI aliepo ccm ila atakuwa zezeta hilo.
Bv
Nyinyi mnao sema R.I.P. (Rest In Peace)/Pumzika kwa Amani.
Hivi mnadhani kaburi ama akhera ninyumba yenu ata mumwambie mtu pumzika kwaamani?
Wewe kama mwanaadamu nahususan kama wewe ni muislamu basi haikupasi kusema maneno hayo kwayeyote yule.
Mamlaka yakusema maneno hayo niwewe kumkaribisha mtu nyumbani kwako ama kazini kwako au ofisini kwako tuu kwasababu hizo nisehemu unazo zimiliki wewe kwahio unayo haki yakumwambia mtu pumzika kwa amani nautulivu pia
Ila maisha yakaburini ile sio nyumba yako huna mamlaka
Bali wewe inakufalia kusema Allaah akurehemu/akusamehe/akupe kauli Tahiti.
Apo utakua umemuombea dua kwa kumuacha Allaah afanye kinacho stahiki.
Ama kusema pumzika kwa amani hilo neno halifai kwamuislamu kulitamka
That's the problem with Islamic, too much religious. Ya nini kujifanya mtu wa dini dear ?? Huh , kwani unazani hawo waislamu wanao comment R.I.P hawajui maandiko ya Quran. Kumbuka hapa kuna watu wenye dini za kila aina na kila mtu ana commenting anacho taka . So shut up
Jarjaani Gezina ww ni mjinga sana pia yafaa kukuripoti tcra. Kuna laana inakutafuna si bure. Comment zako zote ni za kipumbavu. Kama unajua kuwa hukumu ni ya Mungu pekee sasa mbona ww umeingilia kazi za Mungu kwa kuhukumu wenzio akiwemo Rais wetu mpendwa marehemu BwM? Jirekebishe.
Wewe katoe tuu ripoti hivi unadhania mm naogopa hebu nenda haraka naona wachelewa
@@piusacademic3256
Sikulaumu ndugu hio niimani yako wacha mm niwe mjinga tuu kisha kua wewe mwerevu haijalishi
Ila pia sms zangu ziko wazi nilikua nimewakusudia zaidi Waislamu
Nafikiri hamkumuelewa alichokisema, Anasema kusema " KAPUMZIKE KWA AMANI" ni kama tunatoa amri kwamba " AKAPUMZIKE " ndio maana mbele akasema inatakiwa mtu akifa tumuombee asemehewe makosa na apokelewe vizuri huko aendako, sioni kama kuna tatizo kwenye dhamira ya alichokisema.
Sasa mtu ukipewa machaguo mawili umfanyie mpendwa wako aliyefariki kati ya
1.kusema "PUMZIKA KWA AMANI"
AU
2.KUMUOMBEA MSAMAHA MUNGU AMPOKEE VIZURI
sijui utachagua kipi kati ya hayo!??
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun.
So pity you have gone too soon. Tuta imiss sana hii sauti yenye mamlaka ndani yake.
Muuaji mkubwa dhalim number one we will never forget. Allah ndie hakimu.
Duh
@@mariamramadhani6185 nashangaa kama nini sijui binadamu tupoje jamani mtu akijalalia huku unatoa maneno mazito ambayo hata hakusikii, simngesema wakati alipo kuwa hai ili ajue amekosea na awaombe msamaha? Huyo allah unaemsema huenda mwenzio alishatubu na pepo anaiona wewe huku unabaki kuidhurumu nafsi kwa maneno mazito.
Tena km muuwaji asisemwe
@@jackmichael1953 hujui ukisemacho alijidai kuwa atawalipa fidia alipwaua na wengine kuwatia vilema na kuwasababishia watu kuwa vizuka na wengine kuwaacha kuwa mayatima
Hayo maneno ataenda kuyamalizia mbele ya Allah , na akajibu mashtaka ya mauwaji ya wazanzibari
Mkapa aliwaua au ilikuwaje?
Una uhakika? Wewe ndo uangalie usije ukaenda motoni kwa kusema maneno usiyo na uhakika nayo
@@josephignas3436 aa kumbe iv aliwauaje ebu2pe uo ubuyu lafiki e2
Rest in peace our president mkapa
Kapumzike mzee baba msalimie nkurunzinza"
Pumzika kwa amani mzee wetu
R.I.P rais wangu
Alichosema Mkapa: RUSHWA IDUMU 🤣🤣🤣🇹🇿
duuuh mungu akupumuzishe kwa amani
Pole sana Mama Anna Mkapa. Rest In Peace Kamanda
Rest in piece my president
R I p Mungu akutangulie
Hakika atakumbukwa milele
Rais aliyetuanganisha na majirani zetu na wawekezaji.
Hahahaha hapa kuna kitu
Salute. Rest in peace
Pumzika kwa aman mzee wetu mkapa
Rip Big Ben😭😭😭
Pumzika kwa amani hakika tutakukumbuka sana mzee wetu
Hana amani atakayo ipata muuwaji mkubwa uyo amesha anza kukiona kile alicho kipanda
Mm siwezi kusahau mauwaji aliyo yafanya Januari 21 mwaka 2001 kule Zanzibar hususan Pemba
Watu kunajisiwa nakulawitiwa mke kwamume nawengine hadi leo vilema.
Sasa nashangaa kuona mtu mwenye majina yaliyo tajwa ndani ya Qur'an kusema maneno kama hayo
Apo hakuna amani kabisa wote walio kufa nakudhulimiwa nakuteseka kwasababu yake wanamsubiri
Hiyo kazi ni ya Mwenyez Mungu yeye ndiye ayajuaye madhambi yetu huwez kuhukumu wewe
@@zeituniismail2946 tena una majina mazur Maa Sha Allah
@@zeituniismail2946, Hata km lkn pia sote tunajua kua hakua muisilam. Kwa hio mwenye hio kazi ya kuhukumu Allah ameeka wazi ktk Qur-an kwa kusema:-
Qur-an 9:113.
"Haipaswi Nabii na wale walioamini kuwatakia msamaha washirikina, ijapokua ni jamaa zao, baada ya kwisha bainika kua hao ni watu wa motoni".
@@zeituniismail2946, Sasa apumzike wapi pa amani na ikiwa Allah ameshakataza kwenye Qur-an? Zeitun ndugu yangu kinachoelezwa/kukatazwa kwenye Qur-an kina uzito na kizingatie zaidi mana ni maneno yanatoka straight kwa Allah na sio hadithi km tutasema alisikiwa na nani huenda ikawa sawa au sio.
Tutakukumbuka daima baba uliinua mishahara ya watumishi walidharauliwa hapo zamani na kila mtu ila ukumbukwe kwa kuibadilisha mishahara ya watumishi.Tukutane asubuhi njema.
Wosia wa Busara na hekima kutoka kwa kiongozi wetu mpendwa( R.I.P BENJAMIN MKAPA)., "MAGUFULI ENEDELEA HIVYO HIVYO MBELE KWA MBELE"
Sauti ya mamlaka iyo RIP MR PRESIDENT
Mbele yako nyuma yetu mzee NENDA kapumzike salama 😭☹️
RIP BWM
Inauma sana, , ,
R.I.P rais
May God pay u for the good things and changes that u made during your life time
R.i.p father
Pumzika kwa amani hakika tutakukumbuka sana mzee wetu
RIP MZEE
Baba zetu wanatuacha jamani rip our president
Rest in peace my father😄😭😭
Nenda baba!!! Nasi tuko nyuma yako!!😢😢
Oh dear rest well
R I P mheshimiwa rais wang
Mustapha yasin mungu ailaze roho take mahali pema
Mimi pia ni rais wangu
RIP Anko Ben
Rest in peace Mr President
Mmmmh mkapa
Hi
RIP beloved former President
ان لله و ان اليه راجعون
Pumnzika kwa amani mzee
HISTORIA YA MH. RAIS BENJAMIN MKAPA
(gusa link👇👇👇Kutazama)
czcams.com/video/_bVo1ZcdyMQ/video.html
R.i.p
R.I.P in Peace
Pumzika kwa amani Mzee wetu
Rest in peace
R.I.P.
Tazama kauli ya Magufuli kuhusu eneo atakalozikwa Mkapa :- czcams.com/video/B0JP1z4yEkY/video.html
R.I .P
R I P baba etu
Rip
Pumzika kwa amani
RIP
Mauti jifunzeni viongozi musijisahau tendeni haki dhulma hazifai
ndugu yangu kwani mauti haimkuti anaetenda wema? mwacheni apumzike
@@jackmichael1953 kila kilicho umbwa kitakufa kila nafsi itaonja mauti lkn binadamu uloumbwa umepewa nafasi ya kutenda mema sio maovu sisi wazanzibari bado hatutosahau alichotufanyia 2001 nyie msifuni kwa mema lkn kila mtenda maovu mwisho wake mbaya binadamu hamuna kitu lkn tunajisahau Sana tunapopata dhamana za uongozi
R.I.P MZEE WETU MKAPA WATANZANIA TUJIFARIJI NA WIMBO HUU KIPINDI HIKI KIGUMU
czcams.com/video/gemIdf5TsCk/video.html
Rest in peace dady
Sauti yako itakumbukwa milele baba yatu.
Tuta
January 2001 Zanzibar
Tunaikumbuka vyema
Kulikuwa na nn 2001,Zanzibar ongea tujue
Andrea Majjar mkapa alipeleka jeshi Pemba wakauwa raia na kuwanajis
Aisha Muhammad je midhambi yote unayoifanya ikiwemo ya kulala guest house tena na waume za watu unaikumbuka? Mbona husemi ya kwako unasema ya wenzio? Utakufa vbaya mrudie Mungu wa mbinguni akusamehe dhambi zako wewe. Ujinga umejaa rohoni mwako.
@@aishamuhammad7785 Tuwe na hofu ya Mungu jamani, hivi kweli Mkapa anaweza kuwapelekea wanajeshi kufanya mambo hayo, hivi hatujiulizi kuwa ndani ya vurugu kama hizi na watu wengine huwa wana-take advantage wakati wa mambo kama hayo? Mungu huyu sio wa mtu mmoja kiasi cha kutoa hukumu naye akakusikiliza huenda mwenzenu alishatubu na Mungu amemsamehe na amepokelewa huku nyie mnakumbuka na kuumia. Sisi wenyewe tuwadhambi hatujawa watakatifu/wakamilifu na hatupaswi kunyoosha kidole kwa mwingine.
Rip
Rip