Makubwa! RAY VANNY amtuhumu PAULA kutembea na 'kaka yangu niliyemheshimu sana kwenye muziki wangu'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 261

  • @GloiSa-of6vo
    @GloiSa-of6vo Před rokem +18

    Kama umeelewa kaka yake Rayvani anayedaiwa kutembea na Paula ni Diamond nipe likes zako tafadhali

  • @RichWise671
    @RichWise671 Před rokem +93

    Kama unamwamini Mange kimambi twende sawa kwa like 10 tu 🔥🔥🔥

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před rokem +1

    Nakutambua sana Chuiii ravnnyn ndiamondi macvoice 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😎😎

  • @miriamvihenda7408
    @miriamvihenda7408 Před rokem +25

    Paula mdomo wangu nakupenda bure twende kazi kipenzi habibity ❤❤❤❤❤💃🏻💃🏻💃🏻

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před rokem +9

    Hivi ni kweli Ray anaajibu hivi, inabidi washauri wake wampe counseling @ Mkk 🇬🇧

  • @yasminlyall7665
    @yasminlyall7665 Před rokem +8

    Ravanny says the truth. We all know the truth hurts. Ravanny should get the law to stop his image and name in that reality show and cut off their relationship forever. Daimond ate the left overs. Ravanny is back home where he belongs. I hope he has learnt a lesson. Surely was it worth it. I am very sure he regrets touching Paula. It was not worth it at all.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem +4

    Mario anajiuliza "What did i get myself into."

  • @aashayhakeem
    @aashayhakeem Před rokem +35

    Ila mange nimeanza kumwamini😭😋😋

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před rokem +12

      Huu ugomvi ni somo kubwa sana kwa Mario kama atapata muda wa kutafakari kwa makini atajua kile anacho kiendea. Kuna usemi usemao "Mwenzako akinyolewa na wewe tia maji kichwa chako"

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před rokem

      Mange haongeagi uongo

  • @mwatangachaurembo3405
    @mwatangachaurembo3405 Před rokem +11

    Kiukweli katika ndio maana huwa nakwepaga majibizano za girl's huwa najua girl's kwenye mdomo wapo vizuri

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před rokem +8

    Acha akome,unamuacha mwanamke kama Fahima alie kuheshim eti unamguata Mwajuma ndala mbili ngoja akome,huyu Mungu huyu hayo ni malipo ya machozi ya Fahima. Paula we nae mwanaume hazaliliki shoga yangu hapo utachamba hadi upewe ushindi ila bado wewe ndo tunakuona kituko

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 Před rokem +7

    This gal can kuchamba ,she is 🔥 🔥🔥

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před rokem +1

      Clearly swahili is not your first language

    • @kissmyceleb
      @kissmyceleb Před rokem +1

      @@nightwishisthegreatestband6355 au wewe hukusoma yellow buses primary schools ,watu wanatumiaga huo msemo often in primary schools afu sio lazima aongee lugha sanifu its never that serious

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Před rokem +17

    Huyu ni diamond kwa kweli🤣🤣ila mange🔥🔥🔥🤣🤣

  • @mamajd269
    @mamajd269 Před rokem +9

    Daimoooo 😂😭

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před rokem +15

    Jaman mariooo toa nyimbo Sasa,,toa nyimbo izo

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 Před rokem +2

      Yan hapo angekua Mmakonde ni fursa hiyo, jion unasikia kaachia nyimbo iki iwe faida

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n Před rokem

    Ravnyn Chuiii kasha kuja faiyma anamupenda zana ❤

  • @kimah9855
    @kimah9855 Před rokem +1

    Ray needs to grow up

  • @imma_billy
    @imma_billy Před rokem +31

    Aiseeee yani unatoka kwa Diamond, Zari na Fantana unakuja kwa Vanny, Fahima & Paula! Hii week mbona itakuwa ndefu sana 🤣 Alafu ukigeuka huku Diamond & Majizzo! Aloooh Tigo naomba ulinzi wa bando langu 🤣🤣🤣🤣

  • @nihadshighadi4095
    @nihadshighadi4095 Před rokem +3

    Huo ni uongoooo ata daimond alisema zari alitembea na p square

  • @mwatangachaurembo3405
    @mwatangachaurembo3405 Před rokem +14

    Inamaana kweli Mond kamla paula

  • @abdulrahmankenya5478
    @abdulrahmankenya5478 Před rokem +3

    From kenya hivi sasa ndo nimeamin kwamba mange ndo mwenye siri zote za hawa watu ukitaka kujua ukweli mfatilie mange you will now the fact

  • @shakylahamad8326
    @shakylahamad8326 Před rokem +3

    Mambo ni 🔥🔥🔥

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před rokem +4

    Mange alisema na ndo maana urafiki na zuchu ukaisha imagine ila kajala malezi uliyomlea aisee bint kama huyu na mambo hayo

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před rokem +6

    Inawezekana kimbuka Mange ku posti zake alisemaka yakwamba kipindi mama yake iko kule kwa bwana Rajabu diamond alikuwa anaenda kule kwa Kajala 😳😳 na aka sema kwamba alitembeyaka naye sasa ndo haya

  • @budaboss990
    @budaboss990 Před rokem +7

    Harmonize 😂😂😂😂 kakula mama na mtoto 😮😮😮

  • @saniaidrisa3920
    @saniaidrisa3920 Před rokem +5

    Yote kwa yote mwanamke ndo anajidhalilisha duh😳

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před rokem

      Nikweli usemacho

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem +1

      Anaongelea ubikira na ulisharambwa kurambwa

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 Před rokem

      @@damariszuckschwert9489 kifupi mwanaume ni mwanaume hata aonekane kalala na wanawake 90 ataitwa rijali Ila mwanamke ataitwa Malaya hapo nani anaumia Sasa na nani anaharibiwa hapo yani sijui hii familia wameamua kuishi hivo yetu macho

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Před rokem +8

    😅😅😅😅Paula nakupenda gafla❤

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 Před rokem +1

    Makubwa mimi naona Rayvan anyamaze itakuwa jibu zuri sana
    Huyo Paula amkaa kimaslah tuone kwa Marioo itakuwaje wanamroga azibe maskio

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 Před rokem

    Yangu macho

  • @zuwenaadja2261
    @zuwenaadja2261 Před rokem +4

    Sijawahi kuelewa ikiwa mwanaume anakupenda hapendi kukuona mmeachana ukaazisha mahusiano na mtu mwingine hatakama yeye tayari anamtu wake hupenda akuone unakufa single why sisi wadada tukiachana nikapata mwingine ujue kukukumbuka hilo sahau😂😅😅

  • @heritierpaluku7320
    @heritierpaluku7320 Před rokem +6

    Nina furahi sana kwani Nina kumbuka siku wali luchafua conde boy niliga machozi nika mungu amulinde sana conde kwani ilikuaga kipindi ki gumu kwake sasa malipo ni hapahapa bora uuzima conde boy ha apa congo DRC tuna mukubali sana asante sana SNS radio 📻yangu pendwa Tanzanie

  • @michilita2959
    @michilita2959 Před rokem +6

    Huyo Paula kataa kusoma anamdomo zaidi ya Fanta .mtoto huyu jamani ajuwe social media ni mimba hazifutiki wala kufichika

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 Před rokem +6

    rayvanny na yeye ana mambo ya kitoto kweli ,unamjibuje sasa mtoto unategemea nn

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Před rokem +4

    Rayvany,sifa ya mwanaume ni kukaa kimya.

  • @ericnjau5642
    @ericnjau5642 Před rokem +1

    Mimi apo wananichanganya kwenye bikira tu 😢😢
    Kwa batata zote zile dubai tena before short guy lamda ilikuwepo ya upande mmoja

  • @sharlharl5890
    @sharlharl5890 Před rokem +7

    Ila Paula anajua kuchambana jamani

  • @albertinaheritier7420
    @albertinaheritier7420 Před rokem +6

    Bwana sms unanimalizak sana unavyo chambua izo drama zetu😅

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Před rokem +2

    Daaash!! Marioo anakazi nzito😂😂😂😂😂😂

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před rokem +1

    Wallah acha niishiwe kila kitu lkn co hela ya bando,haya mambo ndo nayoyapendaga me mwenznenu😅😅😅😅😅lkn hapa kuna funzo mume wa mtu ni mume wa mtu tu😢

  • @sabitinaeastafrica5822
    @sabitinaeastafrica5822 Před rokem +1

    Danmond only

  • @umukulthumu1419
    @umukulthumu1419 Před rokem +2

    Namuamin paula nadhani vipo ving tuu wanamsingizia ila anashindwa jins yakujitetea akijitetea watu hawatomuamin

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před rokem +7

    Paula anajua Sana kuchamba Yan,,,safiiiii,,, rayvani usiendelee tena kubishana na Paula mana utaumbuka mzeee baba,,,Paula anasiri zako,,,🤣🤣,,ray van kausha usije ukaumbuka buree

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc Před rokem +2

      Sio fundisho hapo anajidharirisha yy mwanamke mwanaum hadhaririki

    • @najmahamso8364
      @najmahamso8364 Před rokem

      ​@@Zainab-sq1tc 🤝umeona mwanamume akiamua kua malaya yy huwa hajali kikubwa haongwi pesa anayo anafanya atakacho ila kwa mwanamke haipendezi kwanza Paul tamaa ndio ilimponza 😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před rokem

      ​@@Zainab-sq1tc ameshadhalilika sana mwache ampe vidonge vyake 😂😂

  • @najmamansour9743
    @najmamansour9743 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před rokem +10

    😂😂😂😂acha watuambia ya moyoni sasa harmo pita huku 😂😂😂😂

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před rokem +1

    Nan Anakumbuka #wapo au #vibaya ya hrmonize

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 Před rokem

    Pole kwa Fayma mwanaume akikujaza maneno we mwangalie tu pita hivi usilolijua usiku wa giza

  • @christinebelinda3498
    @christinebelinda3498 Před rokem

    Paula❤❤❤❤

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před rokem +2

    Hapo nawaamin wote. Sifa ya kuropoka kwa kutumia jaziba 75% huwa n kwel

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Před rokem +1

    Ila Mimi naweza kusema kua mwanamke ndo anaezalilika zaidi kuliko mwanamme

  • @blacktiger4439
    @blacktiger4439 Před rokem

    Uswahilini kuna mambo...i am chilling on my glass of 🍷& following you guys bein here in LSK,dem unamtoa bikra harafu anakucheat na ndugu yako unayemheshimu kwenye mziki, wew rarua hio kitu bhana nguvu imuishie ya kuenda enda...naona ni kama Harmo ametajwa🤣🤣🤣Ray aache vita na ladies maana wako na black belt mdomoni

  • @claudejc8648
    @claudejc8648 Před rokem +6

    Simba asha kula muzingo tayari 🤣😂😂😂😂😂

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Před rokem +12

    Paula ❤mambinti huwa tunasiri nyingi sana aka ka mchezo kalinikuta yani ata jina la uyo mwanaume sipendi atakuliskia Pumbavu yule😏😏

    • @zahertanzanian8583
      @zahertanzanian8583 Před rokem +1

      pole

    • @umukulthumu1419
      @umukulthumu1419 Před rokem +1

      Hata mimi mwanaume nilikuwaga nae kwenye mahusiano aliwahi niambia nimetoka kimapenzi na ndugu yake alokuwa kama rafik na anamiini mpaka kesho jambo kam hili likitokea huwa linakuwa gumu sana kujisafisha 😢

    • @ghadaalzuhari2739
      @ghadaalzuhari2739 Před rokem +3

      @@umukulthumu1419 ndivyo walivyo awa washenzi ukiwa zowea sana wanaweza kukuvua nguo azarani na rayvanny ndie alie haribu maisha ya paula

    • @prettymasha2430
      @prettymasha2430 Před rokem

      @@ghadaalzuhari2739 unamdingizia tu kwani yy ndo alomtoa bikira 😊

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem +1

    Kwahiyo wakati analala naye alikuwa ajui kama anadomo kubwa ni kweli paula unadomo kubwa but who am i to judge you utajuwa mwenyewe wewe ni cha wote

  • @dnx_Gr
    @dnx_Gr Před rokem +3

    😅😅 nchi hii siami

  • @axelnshimirimana5147
    @axelnshimirimana5147 Před rokem +1

    Mtaje @sadala wa tandale

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Před rokem +2

    Sijawahi ona huyu mtoto ni mpole...ila nikama wote wanautoto mwingi...

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 Před rokem

    Huyo ni Daimond

  • @zahertanzanian8583
    @zahertanzanian8583 Před rokem

    me too I'm keyboard gengster jaribu nikunyooshe😀😀

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 Před rokem +1

    Namuamini paula angetaka kutembea na diamond why aaze na rayvani hapo ukweli haupo na huo mchezo wakuwadanganya akiwa na fayma hataki kusumbuliwa na akiwa na paula hataki kusumbuliwa ujue mume malaya ndiyo mchezo wake mtoto umejua kunifurahisha ongeza dawa

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem +2

    Du ati mfupi ka Red bull 👊🏼👊🏼🤸‍♂️🤸🤸‍♀️

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem

    Mmmmh kwani watu hawawezi kuachana kwa amani😮😮😮huu ni utoto

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 Před rokem +1

    Mambo hayo

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Před rokem +7

    Raivany mpuuzi sana ana wivu tu

  • @baimarrajahbuayan6237

    Huyu. Mtotot wanamchezea 😢😢😢😢😢daaaa hiv kajala uon jaman 😢

  • @godlema6104
    @godlema6104 Před rokem

    Kikubwa umeshaliwa bas

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před rokem

    Nilicho tambua ni kwamba
    Paula hana heshima
    Vanny boy bigapuuu kaka
    Mtaje huyooo kaka
    Tumjue

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před rokem

    Their business

  • @tausibakari5793
    @tausibakari5793 Před rokem +6

    Kama mm ndio rayvan ningejinyamazia maana akiguswa mtt anatiririka vzur mno duh haya na ww bi dada uko una yepi

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Před rokem +1

    Mange igwe igwe igweeeee 🙊❤😂

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 Před rokem

    Ngoja ni download hi video siku wa kwangu lakini zingua nakop hapa😜😜😜

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Před rokem +4

    😂😂😂😂daimo

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před rokem

    Yaleyale ya Kule ndio yanakuja hapa

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Před rokem +2

    Watoto wa 2000 Mko wapiiii?

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 Před rokem +2

    Nakupenda bure paula ❤😂safi sana

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Před rokem

    Mtupishe mayanyie

  • @DeBeasts66
    @DeBeasts66 Před rokem +4

    NILISEMA ILOO SIO BIKRA ONA KALAMBWA MPAKA KWA MONDYYYYYYY😁😁😁

    • @sophiahmedza929
      @sophiahmedza929 Před rokem

      😂😂😂😂

    • @sofianaku3455
      @sofianaku3455 Před rokem +1

      Umeambiwa Mondy ndoaliemzaa Ray?acheni kujaji mtoto anahaki yakutoka na ampendae

  • @sophiahmedza929
    @sophiahmedza929 Před rokem +3

    Nahurumia Mario si kwa reality show hii😅😅

  • @nasrafadhili7408
    @nasrafadhili7408 Před rokem

    Hawa wrote nikiki nawako kitu 1 kwaajili ya ela revanny wiki iliyopita kaja arusha mtaan kwetu anachukua shutin ya wimbo wake mpy kwhy atawaaminii hawa wanatengeneza pesa

  • @salmonmkanulasalmonmkanula807

    Paula 100%
    Rayvan 10%
    😂😂😂😂 Ustar kazi sana

  • @najmamansour9743
    @najmamansour9743 Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Paula 👌👌🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před rokem +1

    Ray anataka kujisafisha tu lkn alipaswa kukaa kimya tu

  • @constancekarisa1605
    @constancekarisa1605 Před rokem +3

    Kwanini zuchu hawaongei na paula kwaniniiii hamjiulizi

  • @saumusalimuhassan2499

    Mimi sina Team, ila nasimama na Paula Mwanamke mwenzangu, sisi sio Maharufu ndio maana hayatukuti haya ila yapo kikawaida, ila tu wanamuonea Paula wa watu.

  • @alvinbuchumi8689
    @alvinbuchumi8689 Před rokem

    Hawana Akili Hawa,wote hamnazo uchafu wao wanamshirikisha Nani Sasa,wakaombe Toba hayatuusu

  • @Michoarbah
    @Michoarbah Před rokem

    Makikii

  • @user-mc2bs8me4x
    @user-mc2bs8me4x Před rokem +1

    Let's go 😂

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Před rokem +8

    Diamond 😢😂😂😂

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Před rokem +1

    Yani Familia msanja Familia ya mama yake au

  • @deogratiusjacob5658
    @deogratiusjacob5658 Před rokem

    Aaaaaah weeeee mondi hilo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před rokem

    Zamani umbea ulikua haulipi, kwa sasa unalipa na wanatuambia tuchangie na sisi

  • @rehemaomary3493
    @rehemaomary3493 Před rokem

    Nyie bado mnapendana rudianeni tu

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 Před rokem +1

    Huyo sio yeye anandika hiyo mandishi ni juma lokole😂😂😂tunajua kicho endelea.

  • @masikasoki8889
    @masikasoki8889 Před rokem

    Eti a na ta ka te na yanini 😀

  • @mwenendoassani9127
    @mwenendoassani9127 Před rokem +2

    Nipo apooooo Mimi nasikiya tu mchezo apo Niko pâle 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 twende kwaza kila Siku zaidi sasa djo tunakoseya kk

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Před rokem

    Thank you Paula kipenzi

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo9356 Před rokem +1

    Hii reality show imepata promo kweli 😝😝😝

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před rokem +1

    Rayvanny is afool here ...Paula mpe huyo mpuuzi dose yake mamii love you

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před rokem +1

    Maneno megii zan🤣

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Před rokem

    Marioo ni namba 4😂😂😂hapo do

  • @roi2554
    @roi2554 Před rokem

    Harmonize au Marioo?

  • @ddontz
    @ddontz Před rokem

    Maamaee😹😹😹 kwanzaa