ILA WABONGO!! WALICHOFANYA SAFARI YA KWANZA YA TRENI YA UMEME DAR TO MORO ITAKUSHANGAZA N..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • ILA WABONGO!! WALICHOFANYA SAFARI YA KWANZA YA TRENI YA UMEME DAR TO MORO ITAKUSHANGAZA N..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    . #SAFARIYAKWANZAYATRENIYAUMEME #DARESSALAAMTOMOROGORO
    .#UTAPENDA #SAFARIYAKWANZAYATRENIYAUMEME #DARTOMOROGORO
    .#TRENIMPYAZAUMEME #TRC #TRENIYAUMEME #naibuwazirimkuu #dotobiteko #igpwambura #POLISI #tikitvkiakilizaidi #RCCHALAMILA

Komentáře • 27

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před 14 dny

    Safiii sana Tanzania 🇹🇿 oyeeee

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 17 dny +1

    Msije mkapanga bei za juu mkawafanya watanzania kushindwa kupanda hiyo treni na mkatoa nafasi kwa wenye mabasi kujimwambafai, jambo amabalo litapelekea treni kufa.

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 Před 18 dny +2

    Wamikowani muwatangazie nauli rasmi ni shilingi ngapi wajuwe sio kutangaza tu treni tangazeni nauli yujuwe tusije tukakutana na wenye treni kwani africa au watanzani a sadahivi utasikia.kuna wapiga debe au wakatisha. Tiketi wengine wa nje wrkeni tahadhari.

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Před 18 dny +4

    JPM.... CONGRATULATIONS 👏👏

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 18 dny +1

    safi sana

  • @MartinDismas-ou5oy
    @MartinDismas-ou5oy Před 17 dny

    Hongereni sana❤😊

  • @renatuskarushaija9604
    @renatuskarushaija9604 Před 18 dny

    Mungu tunakushukuru kwa hatua hii,tunaomba usimamie mapato tuweze kupata faida

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před 18 dny +2

    ❣️🇹🇿👏

  • @saidbakar-qo6ri
    @saidbakar-qo6ri Před 17 dny

    Tayari wachaga wameshajipenyeza kwenye ajira ya sgr treni yote itakuwa ya wachaga tu tuache ukabila kwenye kupeana ajira watu washindanishwe kihalali

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před 18 dny

    Kazi iendelee

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 Před 17 dny

    Tunakukumbuka mzee magu

  • @user-xl4io3or7r
    @user-xl4io3or7r Před 12 dny

    Utashangaa umeme utakuwa aghali kuliko mafuta.

  • @danielbernard4080
    @danielbernard4080 Před 18 dny

    Za mchongoko ziko wapi mbona haziendi?

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 18 dny

    Wawe wanapanga na foleni basi sio kuingia kwavuruguvurugu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 18 dny

    Hii treni ni ya wenye fedha tu😂😂😂

  • @homeboybeyondtheborders4935

    Walipeana mapema taarifa kwamba usafiri wa bure

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 18 dny

    Wekeni na Bei sasa

  • @revocatussebastian2427

    Hii ni fundisho kwaviongozi waliopo madarakani Magufuli aliwezaje miradi mingi kama hii kwamiaka 5? Kwanza ni Uzalendo na hofu ya Mungu

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 Před 17 dny

    JPM ULALE SALAMA WEWE UKO HAI,TUTAKUPA KURA

  • @user-rv3ml6cf7e
    @user-rv3ml6cf7e Před 18 dny

    Ila shilika lenu alitoi mapato kwa mwaka cjui kwann kama tanseko wao kilasiku hasara atali sna

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 Před 18 dny

    Mama oyeeee

  • @dominicmasawe7501
    @dominicmasawe7501 Před 18 dny

    Kama mna utajiri wote huo mayai ,ndege ngombe mbuzi etc mbona mnakopa kila siku na tangu uhuru kila raisi akija ni kkp tu

    • @dominicmasawe7501
      @dominicmasawe7501 Před 18 dny

      What is nxt

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 18 dny

      Matajiri wote wanakopa sababu wanakopesheka na wakopeshaji wana uhakika wa kulipwa, ulisikia wapi maskini akakopeshwa mabilioni?

    • @kichenjewillian5720
      @kichenjewillian5720 Před 17 dny

      We ujawai kopa...Kama no bas hustail kukaa mjini