ILA WABONGO!! WALICHOFANYA SAFARI YA KWANZA YA TRENI YA UMEME DAR TO MORO ITAKUSHANGAZA N..
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- ILA WABONGO!! WALICHOFANYA SAFARI YA KWANZA YA TRENI YA UMEME DAR TO MORO ITAKUSHANGAZA N..
.
.
.
.
.
.
. #SAFARIYAKWANZAYATRENIYAUMEME #DARESSALAAMTOMOROGORO
.#UTAPENDA #SAFARIYAKWANZAYATRENIYAUMEME #DARTOMOROGORO
.#TRENIMPYAZAUMEME #TRC #TRENIYAUMEME #naibuwazirimkuu #dotobiteko #igpwambura #POLISI #tikitvkiakilizaidi #RCCHALAMILA
Safiii sana Tanzania 🇹🇿 oyeeee
Msije mkapanga bei za juu mkawafanya watanzania kushindwa kupanda hiyo treni na mkatoa nafasi kwa wenye mabasi kujimwambafai, jambo amabalo litapelekea treni kufa.
Wamikowani muwatangazie nauli rasmi ni shilingi ngapi wajuwe sio kutangaza tu treni tangazeni nauli yujuwe tusije tukakutana na wenye treni kwani africa au watanzani a sadahivi utasikia.kuna wapiga debe au wakatisha. Tiketi wengine wa nje wrkeni tahadhari.
JPM.... CONGRATULATIONS 👏👏
safi sana
Hongereni sana❤😊
Mungu tunakushukuru kwa hatua hii,tunaomba usimamie mapato tuweze kupata faida
❣️🇹🇿👏
Tayari wachaga wameshajipenyeza kwenye ajira ya sgr treni yote itakuwa ya wachaga tu tuache ukabila kwenye kupeana ajira watu washindanishwe kihalali
Kazi iendelee
Tunakukumbuka mzee magu
Utashangaa umeme utakuwa aghali kuliko mafuta.
Za mchongoko ziko wapi mbona haziendi?
Wawe wanapanga na foleni basi sio kuingia kwavuruguvurugu
Hii treni ni ya wenye fedha tu😂😂😂
Walipeana mapema taarifa kwamba usafiri wa bure
Wekeni na Bei sasa
Hii ni fundisho kwaviongozi waliopo madarakani Magufuli aliwezaje miradi mingi kama hii kwamiaka 5? Kwanza ni Uzalendo na hofu ya Mungu
JPM ULALE SALAMA WEWE UKO HAI,TUTAKUPA KURA
Ila shilika lenu alitoi mapato kwa mwaka cjui kwann kama tanseko wao kilasiku hasara atali sna
Shilika ndio Nini Sasa Rudi shule
Mama oyeeee
Kama mna utajiri wote huo mayai ,ndege ngombe mbuzi etc mbona mnakopa kila siku na tangu uhuru kila raisi akija ni kkp tu
What is nxt
Matajiri wote wanakopa sababu wanakopesheka na wakopeshaji wana uhakika wa kulipwa, ulisikia wapi maskini akakopeshwa mabilioni?
We ujawai kopa...Kama no bas hustail kukaa mjini