Majaribio Mengine Treni ya Umeme DAR - MORO yatumia Saa 2,MABEHEWA 14/Prof.Mbarawa afunguka A-Z

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2024

Komentáře • 175

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 Před 3 měsíci +11

    Hongera Magufuli huko ulipo. Tutakukumbuka daima.

  • @olivamatama590
    @olivamatama590 Před 3 měsíci +11

    Ni sahihi kabisa, natamani angalau iwepo Magufuri day,angalau taifa Kwa ujumla limkumbule na SI familia tu.

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 Před 3 měsíci +8

    Magufuli Mungu amsamehe, ametutendea mema sana.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Před 3 měsíci +5

    Rest in Zion comred John Joseph Pombe Magufuli,,,,,muasisi na mbeba ono la SGR

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Před 3 měsíci +9

    Magufuli thanks

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Před 3 měsíci +9

    Mbona humtaji magufuli acheni unafik mungu yupo teteeni matumbo2

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @user-kx7sw6iy8l
      @user-kx7sw6iy8l Před 3 měsíci

      Rais Samia amesimamia na kuwendeleza lazima asifiwe angekuwahataki jeeee?

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 3 měsíci

      Mungu kuwepo kuna uhusiano gani na kumsifia Magu?

  • @RamaZuberi
    @RamaZuberi Před 3 měsíci +6

    Sio Samia magufuli

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @thobiasanthony-ep6lb
      @thobiasanthony-ep6lb Před 3 měsíci +1

      Watu wakitambua ukweli utatumia nguvu nyingi sana kuwabadilisha😂

  • @SaidGella
    @SaidGella Před 3 měsíci +4

    Mama Samia kafanya nini katika hilo? Acheni kukwepa ukweli kwa kutetea ugali
    Zote hzo ni mipango ya MWENDA ZAKE (MAGUFULI)

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 3 měsíci +5

    Ni kawaida binadamu akishafariki mazuri yote huzikwa nayo! Waziri mmeisahau juhudi , maarifa na ubunifu wa Marehemu Magufuli katika mradi huu?

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 3 měsíci +10

    Isingekuwa Magufuli, hivi hivi vitu visingekuwepo. Kwahiyo fanyeni kitu ili tumkumbuke huyu Magufuli rais wa ukweli sijawahi kuona chini ya hii jua. Magufuli yaani yule mtu sijui alikuwa ni mtu wa namna gani, cjui nimwite nabii au jina gani la maana? Yule ndiye rais mzalendo wa nchi hii ya Tanzania. CCM wakamwua. Yaani bac tu!! Maana Magufuli alikuwa adui wa CCM. Hanaga chama yule jamaa!! 🎉🎉🎉🎉🎉 Kwa Magufuli hata kama hayupo duniani.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před 3 měsíci +1

      Ila alikuwa mwizi wa kimya. kimya.Na angekuwepo mpaka leo ungemchukia kuliko binadamu wote hapa duniani

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 2 měsíci

      @@yakobokuzenza6837 ww ni bonge la mjinga

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před 2 měsíci

      @@user-cw8zn2dn6m Bora mm mjinga.Ww ni bonge la mpumbavu.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 2 měsíci

      @@yakobokuzenza6837 kweli mimi ni mpumbavu. Bwana Yesu alisema kaeni katika pendo langu. Yohana 15:9. Upo!!

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Před 3 měsíci +2

    R.I.P JPM, ongera wote mlio pamabana kufanikisha mradi huu.. Tanzania na isonge mbele !!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @thobiasmasabile-cw9xo
    @thobiasmasabile-cw9xo Před 3 měsíci +7

    Aliefanya kazi kubwa ni magufuli, Alie acha amesharipia pesa zoto sio simia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před 3 měsíci +1

      Kwa hiyo unatuaminisha kuwa aliyekufa bado anafanya kazi?Hayo ni mawazo ya mtu aliyekufa akili na kubakisha mwili tu

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 Před 3 měsíci +1

      Mkandarasi huwa halipwi hela zote,hulipwa kwa awamu,kipindi Cha magufuli alikuwa amelipa hela kidogo Sana.😊

    • @SaidGella
      @SaidGella Před 3 měsíci +2

      @@brysonkaale3003 hata kama marais wangap wamepita ulisikia hata fununu ya SGR? Yote hayo yapo kwenye makaratasi yalio andaliwa na hayat magu
      Hakuna kipya cha huyo mamaenu Zaid ya FILAMU yake kule ngorongoro

    • @bavonnyaulingo4188
      @bavonnyaulingo4188 Před 3 měsíci

      Mbona naona mabishano sana,shida nn,ww angalia kitu kipo tayali kwa kutumia.
      Kila mtu na wakat wake na nafas yake kwa hiyo unataka kusema aliyopo madarakan hajafanya jambo,je angeamua kupotezea kusimamia ungeona hata hii SGR.
      Tuache chuki na unafiki mtu akifanya vizur apewe maua yake.

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx Před 3 měsíci +2

    Hongera r.i.p magufuli kwa uhodari wako

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Před 3 měsíci +1

    JPM, tunashukuru mungu akuweke mahali pema Amin

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Před 3 měsíci +2

    Rip Magufuli hongera sana mama Samia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @hamisiabdallah1405
    @hamisiabdallah1405 Před 3 měsíci +1

    Jpm MngU amlaze maali pema tumeaon matunda yake pamoja na mama Samia suluu asani mwinyi duh🙏🙏🙏☝️

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AlexMtega-rm9yn
    @AlexMtega-rm9yn Před dnem

    Nasubili inayotoka Arusha mbaka mbeya❤❤

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya Před 2 měsíci

    Asante Magufuli kwa kuanzisha mradi huu Asante mam Samia kwa kuuendeleza. Rip JPM😊

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura3491 Před měsícem

    Mama siku zote yupo radhi yeye asile ila watoto wale na wala hapendi kuona watoto wakisononeka je huyo mnayemwita mama anaweza 🤔 pongezi kwa Dr. Magu R.I.P kiboko yao🎉🎉🎉🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @FloraIkwabe-qy3yb
    @FloraIkwabe-qy3yb Před 3 měsíci

    Hongera jembe magufuri ndiye aliyefanya usubutu na alicha imefikia hatua nzuri. Bila yeye isingekuwepo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufatilia

  • @HassanMoha-rc8oq
    @HassanMoha-rc8oq Před 2 měsíci

    CCM hoyeeeeee mola Amilinde mama suluhu hassan kipenzi cha watu ❤❤❤❤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 3 měsíci +2

    Magufuli baba lala salama umetoka hata uliwaacha hawakutaji wamesahau wewe ndiye ulianzisha mambo yote mazuri leo hii wanasifiwa wengine

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Ktufatilia

  • @olivamatama590
    @olivamatama590 Před 3 měsíci +1

    Watanzania tunasifika Kwa upendo dunia pote je upendo wetu umeenda wapi? Tumkumbuke laliyekuwa Rais wetu John pombe Magufuri Hata Kwa kumsifia Kwa mema mengi aliyoyafanya.Mungu atatuuliza siku Moja juu ya hilo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @IdanIsack-ko6ye
    @IdanIsack-ko6ye Před 2 měsíci

    Asante mugufuli kwa jitiada zako mungu akulinde uko uliko

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-on6im4oi5q
    @user-on6im4oi5q Před 3 měsíci

    Mama tunakuomba sana makame mbarawa apigwe chini Amna kitu anafanya zaidi ya kelele mingi mpangie kazi nyingine kama lukuvi na kabudi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Před 15 dny

    Da angekuwepo mwenyewe....raha sana

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 Před 3 měsíci

    Nasubir kuona mabehewa ya ghorofa yakifanya kazi yake in shaa Allah.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před 2 měsíci

    Kaziyamagufuri siyo mama samia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-xs6sh5wh4p
    @user-xs6sh5wh4p Před 3 měsíci

    Hawajamaa ni wanafki cjui kama mungu atawasamehe dhambi hizi.hakuna kama magufuli.rest in peace dady magufuli.tutakukumbuka daima baba😢😢😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 3 měsíci +2

    RIP JPM

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-bq7gx1jh9s
    @user-bq7gx1jh9s Před 2 měsíci

    Rip John pombe joseph magufuli hakika umeacha alama kubwa sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-wd8wh1lh4b
    @user-wd8wh1lh4b Před 3 měsíci +3

    Speed bado

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kastoriooko7157
    @kastoriooko7157 Před měsícem

    yaani kwa kweli

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 3 měsíci +1

    Sasa mimi nashangaa kila siku majaribio au kuchezea tu pesa za serikali?!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před 2 měsíci

    Msitudanganye nyinyi naunasema umefunga alafu unasema uongo unashindwa kumtaja nguvu zamagufuli nyinyi ni kumtaja samia tu wakati kafanya maisha yamekuwa magum mwenzake aliacha kuunganishiwa umeme sh elfu ishirini kaondoka imekuwa lakitatu nakitu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @julaimbwilo1018
    @julaimbwilo1018 Před 2 měsíci

    Napenda kuipongeza serikali kwa huu ujio wa treni ya umeme

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-xt8zm6wz5g
    @user-xt8zm6wz5g Před 13 dny

    Pia tunamshukuru rais wetu samia kwa kukamilisha utendaji hivyo tunakuomba mama utusimamie ili yote ikamilike

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti Před 3 měsíci

    Kazi nzuri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Ramambena
    @Ramambena Před 2 měsíci

    Safi sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 3 měsíci +1

    Huyu jamaa anafansna na waziri mwigulu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @charlesjohn5792
    @charlesjohn5792 Před 3 měsíci +1

    Mabehewa Gani hayo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @olivamatama590
    @olivamatama590 Před 2 měsíci

    We want Magufuri day please.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @allysalim3534
    @allysalim3534 Před 3 měsíci

    Hv mbona hatuoni mkipita kwenye Yale mashimo usikute hata moro hamufiki

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Ktufuatilia

  • @shabanihababuu7332
    @shabanihababuu7332 Před 2 měsíci

    Samia kakuta miladi sofa mnazompa Sio zake hamjisikii Aibu nyinyi wa2 sio vizuli ila vizuli wa. Tz 2najua kilaki2

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RamaZuberi
    @RamaZuberi Před 3 měsíci

    Mnakula kodizetu TU?

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ShafiiStar
    @ShafiiStar Před 3 měsíci

    Bado xan Tanzania daaah

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AlfredYahhi-rq4tp
    @AlfredYahhi-rq4tp Před 3 měsíci

    Yakifanana nakupendeza alafu tusigeze zikawa basi zetu siti izo jaman

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před 2 měsíci

    Watu tunajuwa nana katengeneza reri nimagufuri kwelichukimbaya

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @NicholausMahugugu
    @NicholausMahugugu Před 3 měsíci

    Mheshimiwa Samia naye anastahili pongezi zake mpaka hapa mladi ulipofika ni kwa sababu ya juhudi na utashi wake ili mladi ukamilike!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 Před 2 měsíci

    Unga ishapita mpaka mbeya

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda Před 3 měsíci +1

    Majaribio ni hasara fanyeni kazi yalishajaribiwa hayo, bas Nchi hii mpka nazeeka utasikia majaribio. Hakuna kazi, kingine acheni unafiki mbna fikra za nyerere zinadumishwa mpka leo alafu magufuli znasahaulika naona promo kwa mama kiaje yan kwa mfano? Fanyeni kaz acheni uchawa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 2 měsíci

    Waongo mrugenzi Millard kahojiwa anasema dar wameondoka saa 4 kasoro Jioni dodoma wamefika saa 7 usiku Ina maana Moro itumie masaa mwili dodoma lisaa Moja mue wakweri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @anwaritesal4695
    @anwaritesal4695 Před 3 měsíci

    JPM daima tutakukumbuka daima uliowaacha hawakutaji kabisa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @barikibenson4678
    @barikibenson4678 Před 3 měsíci

    Kenya tuko mbele sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-mp6kj9mq3w
    @user-mp6kj9mq3w Před 2 měsíci

    Tren ya magu samia wann

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @francismlelema8754
    @francismlelema8754 Před 2 měsíci

    Ni umasikini wa kutupwa kujivuna kuwa mna treni ya mwendokasi, wakati mnataka kuibinafisisha kwa mwekezaji. Inamaana mpaka sasa Tanzania haina rasilimali watu wa kusimamia na kuendesha hii treni?!!! 😢😢😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @NurhatMussa
    @NurhatMussa Před 19 dny

    Bado hamjabotesha mnatia hasara wafanya biashara kuzima umeme siku nzima bila kuingiza kipato chochote kisa treni

  • @maalimjabbar1996
    @maalimjabbar1996 Před 2 měsíci

    Kwani magufuli alifanya akiwa karibu saana na Samia mipango yote hiyo walikubaliana na kupanga pamoja ndo maana Samia anasema kazi iendelee anajua alichopana pamoja na magufuli

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @rajjoshua7328
    @rajjoshua7328 Před 3 měsíci

    Masaa mawili mnajisifu? Hovyo kabisaaaa, hovyo, ni tr2n ya mwendo kasi dar moro inatakiwa kutumia dakika 45 tu.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kulaushibe3036
    @kulaushibe3036 Před 3 měsíci

    Majaribio yoyote huwa yanafanya spidy kubwa ili upate wastan wa spidy unayoitaka huwesi kufanya kwa spidy ndogo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-px3bz4vq9i
    @user-px3bz4vq9i Před 3 měsíci

    Magufuli angekuwa hai angefikisha Arusha mjini

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @zulekhaponti9353
    @zulekhaponti9353 Před 3 měsíci

    Baado barabara ya Airport na taa hatuoni usiku😊

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 3 měsíci

    Akuna kitu apo inatembea kama roli la mkaa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x Před 3 měsíci

    Acha woga,mama Samia wa nini Sasa hapa😂😂😂

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RamadhaniWaziri-ut9ti
    @RamadhaniWaziri-ut9ti Před 3 měsíci

    Poapo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ShafiiStar
    @ShafiiStar Před 3 měsíci

    Na xio xamia magufuli ndo alieye fany izooo vp nyenye

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před 2 měsíci

    Nani kama MAKUFULI

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 3 měsíci

    Mwendo akuna apo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutfuatilia

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj Před 2 měsíci

    Vichwa vya tren vilikuwa vishalipiwa na Jpm nadhani .....Kweli alijitoa kwaajili yetu wa Tz @ huu mradi ungezinduliwa na Makonda 🤣🤣🤣🤣pangewaka

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 Před 3 měsíci

    aliefanya magufuli sio samia mboni unapindisha ukweli wakati upo kwe ibada ya mfungo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 3 měsíci

    Tisiini au tisini??

  • @froma3732
    @froma3732 Před 3 měsíci

    Huu Mradi tuwe Wakweli haukuanza Magufuli

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ULUMBIADAM
    @ULUMBIADAM Před 2 měsíci

    Kikombe Cha chai mara maji mara samahani nimefungs ni muongo huyu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 2 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 3 měsíci

    Treni ya mchongo hamna chochote MAGUFULI alikuwa bonge la RAISI BHANA SIO huyo kigulu na njia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Ktufatilia

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před 3 měsíci

    Pongezi kubwa kwa serikali TAZara pia iwe sgr na iwe va umeme.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Před 3 měsíci

    Nani kama MAGU.,,MZEEE KIKOMBE CHA CHAI AU KIKOMBE CHA MAJI..? LABDA GLAS YA WINNE??

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Před 3 měsíci

    Blah blah Kila siku

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před 3 měsíci

      Asante Kwa Kutufuatilia