Isingekuwa Magufuli, hivi hivi vitu visingekuwepo. Kwahiyo fanyeni kitu ili tumkumbuke huyu Magufuli rais wa ukweli sijawahi kuona chini ya hii jua. Magufuli yaani yule mtu sijui alikuwa ni mtu wa namna gani, cjui nimwite nabii au jina gani la maana? Yule ndiye rais mzalendo wa nchi hii ya Tanzania. CCM wakamwua. Yaani bac tu!! Maana Magufuli alikuwa adui wa CCM. Hanaga chama yule jamaa!! 🎉🎉🎉🎉🎉 Kwa Magufuli hata kama hayupo duniani.
@@brysonkaale3003 hata kama marais wangap wamepita ulisikia hata fununu ya SGR? Yote hayo yapo kwenye makaratasi yalio andaliwa na hayat magu Hakuna kipya cha huyo mamaenu Zaid ya FILAMU yake kule ngorongoro
Mbona naona mabishano sana,shida nn,ww angalia kitu kipo tayali kwa kutumia. Kila mtu na wakat wake na nafas yake kwa hiyo unataka kusema aliyopo madarakan hajafanya jambo,je angeamua kupotezea kusimamia ungeona hata hii SGR. Tuache chuki na unafiki mtu akifanya vizur apewe maua yake.
Mama siku zote yupo radhi yeye asile ila watoto wale na wala hapendi kuona watoto wakisononeka je huyo mnayemwita mama anaweza 🤔 pongezi kwa Dr. Magu R.I.P kiboko yao🎉🎉🎉🎉
Watanzania tunasifika Kwa upendo dunia pote je upendo wetu umeenda wapi? Tumkumbuke laliyekuwa Rais wetu John pombe Magufuri Hata Kwa kumsifia Kwa mema mengi aliyoyafanya.Mungu atatuuliza siku Moja juu ya hilo
Majaribio ni hasara fanyeni kazi yalishajaribiwa hayo, bas Nchi hii mpka nazeeka utasikia majaribio. Hakuna kazi, kingine acheni unafiki mbna fikra za nyerere zinadumishwa mpka leo alafu magufuli znasahaulika naona promo kwa mama kiaje yan kwa mfano? Fanyeni kaz acheni uchawa
Waongo mrugenzi Millard kahojiwa anasema dar wameondoka saa 4 kasoro Jioni dodoma wamefika saa 7 usiku Ina maana Moro itumie masaa mwili dodoma lisaa Moja mue wakweri
Ni umasikini wa kutupwa kujivuna kuwa mna treni ya mwendokasi, wakati mnataka kuibinafisisha kwa mwekezaji. Inamaana mpaka sasa Tanzania haina rasilimali watu wa kusimamia na kuendesha hii treni?!!! 😢😢😢
Kwani magufuli alifanya akiwa karibu saana na Samia mipango yote hiyo walikubaliana na kupanga pamoja ndo maana Samia anasema kazi iendelee anajua alichopana pamoja na magufuli
Hongera Magufuli huko ulipo. Tutakukumbuka daima.
Asante Kwa Kutufuatilia
❤@@ICONTVTZ
Ni sahihi kabisa, natamani angalau iwepo Magufuri day,angalau taifa Kwa ujumla limkumbule na SI familia tu.
💯
Asante Kwa Kutufuatilia
Magufuli Mungu amsamehe, ametutendea mema sana.
Asante Kwa Kutufuatilia
Rest in Zion comred John Joseph Pombe Magufuli,,,,,muasisi na mbeba ono la SGR
Asante Kwa Kutufuatilia
Magufuli thanks
Asante Kwa Kutufuatilia
Mbona humtaji magufuli acheni unafik mungu yupo teteeni matumbo2
Asante Kwa Kutufuatilia
Rais Samia amesimamia na kuwendeleza lazima asifiwe angekuwahataki jeeee?
Mungu kuwepo kuna uhusiano gani na kumsifia Magu?
Sio Samia magufuli
Asante Kwa Kutufuatilia
Watu wakitambua ukweli utatumia nguvu nyingi sana kuwabadilisha😂
Mama Samia kafanya nini katika hilo? Acheni kukwepa ukweli kwa kutetea ugali
Zote hzo ni mipango ya MWENDA ZAKE (MAGUFULI)
Asante Kwa Kutufuatilia
Ni kawaida binadamu akishafariki mazuri yote huzikwa nayo! Waziri mmeisahau juhudi , maarifa na ubunifu wa Marehemu Magufuli katika mradi huu?
Asante Kwa Kutufuatilia
Isingekuwa Magufuli, hivi hivi vitu visingekuwepo. Kwahiyo fanyeni kitu ili tumkumbuke huyu Magufuli rais wa ukweli sijawahi kuona chini ya hii jua. Magufuli yaani yule mtu sijui alikuwa ni mtu wa namna gani, cjui nimwite nabii au jina gani la maana? Yule ndiye rais mzalendo wa nchi hii ya Tanzania. CCM wakamwua. Yaani bac tu!! Maana Magufuli alikuwa adui wa CCM. Hanaga chama yule jamaa!! 🎉🎉🎉🎉🎉 Kwa Magufuli hata kama hayupo duniani.
Asante Kwa Kutufuatilia
Ila alikuwa mwizi wa kimya. kimya.Na angekuwepo mpaka leo ungemchukia kuliko binadamu wote hapa duniani
@@yakobokuzenza6837 ww ni bonge la mjinga
@@user-cw8zn2dn6m Bora mm mjinga.Ww ni bonge la mpumbavu.
@@yakobokuzenza6837 kweli mimi ni mpumbavu. Bwana Yesu alisema kaeni katika pendo langu. Yohana 15:9. Upo!!
R.I.P JPM, ongera wote mlio pamabana kufanikisha mradi huu.. Tanzania na isonge mbele !!
Asante Kwa Kutufuatilia
Aliefanya kazi kubwa ni magufuli, Alie acha amesharipia pesa zoto sio simia
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwa hiyo unatuaminisha kuwa aliyekufa bado anafanya kazi?Hayo ni mawazo ya mtu aliyekufa akili na kubakisha mwili tu
Mkandarasi huwa halipwi hela zote,hulipwa kwa awamu,kipindi Cha magufuli alikuwa amelipa hela kidogo Sana.😊
@@brysonkaale3003 hata kama marais wangap wamepita ulisikia hata fununu ya SGR? Yote hayo yapo kwenye makaratasi yalio andaliwa na hayat magu
Hakuna kipya cha huyo mamaenu Zaid ya FILAMU yake kule ngorongoro
Mbona naona mabishano sana,shida nn,ww angalia kitu kipo tayali kwa kutumia.
Kila mtu na wakat wake na nafas yake kwa hiyo unataka kusema aliyopo madarakan hajafanya jambo,je angeamua kupotezea kusimamia ungeona hata hii SGR.
Tuache chuki na unafiki mtu akifanya vizur apewe maua yake.
Hongera r.i.p magufuli kwa uhodari wako
Asante Kwa Kutufuatilia
JPM, tunashukuru mungu akuweke mahali pema Amin
Asante Kwa Kutufuatilia
Rip Magufuli hongera sana mama Samia
Asante Kwa Kutufuatilia
Jpm MngU amlaze maali pema tumeaon matunda yake pamoja na mama Samia suluu asani mwinyi duh🙏🙏🙏☝️
Asante Kwa Kutufuatilia
Nasubili inayotoka Arusha mbaka mbeya❤❤
Asante Kwa Kutufuatilia
Asante Magufuli kwa kuanzisha mradi huu Asante mam Samia kwa kuuendeleza. Rip JPM😊
Asante Kwa Kutufuatilia
Mama siku zote yupo radhi yeye asile ila watoto wale na wala hapendi kuona watoto wakisononeka je huyo mnayemwita mama anaweza 🤔 pongezi kwa Dr. Magu R.I.P kiboko yao🎉🎉🎉🎉
Asante Kwa Kutufuatilia
Hongera jembe magufuri ndiye aliyefanya usubutu na alicha imefikia hatua nzuri. Bila yeye isingekuwepo
Asante Kwa Kutufatilia
CCM hoyeeeeee mola Amilinde mama suluhu hassan kipenzi cha watu ❤❤❤❤
Asante Kwa Kutufuatilia
Magufuli baba lala salama umetoka hata uliwaacha hawakutaji wamesahau wewe ndiye ulianzisha mambo yote mazuri leo hii wanasifiwa wengine
Asante Kwa Ktufatilia
Watanzania tunasifika Kwa upendo dunia pote je upendo wetu umeenda wapi? Tumkumbuke laliyekuwa Rais wetu John pombe Magufuri Hata Kwa kumsifia Kwa mema mengi aliyoyafanya.Mungu atatuuliza siku Moja juu ya hilo
Asante Kwa Kutufuatilia
Asante mugufuli kwa jitiada zako mungu akulinde uko uliko
Asante Kwa Kutufuatilia
Mama tunakuomba sana makame mbarawa apigwe chini Amna kitu anafanya zaidi ya kelele mingi mpangie kazi nyingine kama lukuvi na kabudi
Asante Kwa Kutufuatilia
Da angekuwepo mwenyewe....raha sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Asante Kwa Kutufuatilia
Nasubir kuona mabehewa ya ghorofa yakifanya kazi yake in shaa Allah.
Asante Kwa Kutufuatilia
Kaziyamagufuri siyo mama samia
Asante Kwa Kutufuatilia
Hawajamaa ni wanafki cjui kama mungu atawasamehe dhambi hizi.hakuna kama magufuli.rest in peace dady magufuli.tutakukumbuka daima baba😢😢😢
Asante Kwa Kutufuatilia
RIP JPM
Asante Kwa Kutufuatilia
Rip John pombe joseph magufuli hakika umeacha alama kubwa sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Speed bado
Asante Kwa Kutufuatilia
yaani kwa kweli
Asante Kwa Kutufuatilia
Sasa mimi nashangaa kila siku majaribio au kuchezea tu pesa za serikali?!
Asante Kwa Kutufuatilia
Msitudanganye nyinyi naunasema umefunga alafu unasema uongo unashindwa kumtaja nguvu zamagufuli nyinyi ni kumtaja samia tu wakati kafanya maisha yamekuwa magum mwenzake aliacha kuunganishiwa umeme sh elfu ishirini kaondoka imekuwa lakitatu nakitu
Asante Kwa Kutufuatilia
Napenda kuipongeza serikali kwa huu ujio wa treni ya umeme
Asante Kwa Kutufuatilia
Pia tunamshukuru rais wetu samia kwa kukamilisha utendaji hivyo tunakuomba mama utusimamie ili yote ikamilike
Asante Kwa Kutufuatilia
Kazi nzuri
Asante Kwa Kutufuatilia
Safi sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu jamaa anafansna na waziri mwigulu
Asante Kwa Kutufuatilia
Mabehewa Gani hayo
Asante Kwa Kutufuatilia
We want Magufuri day please.
Asante Kwa Kutufuatilia
Hv mbona hatuoni mkipita kwenye Yale mashimo usikute hata moro hamufiki
Asante Kwa Ktufuatilia
Samia kakuta miladi sofa mnazompa Sio zake hamjisikii Aibu nyinyi wa2 sio vizuli ila vizuli wa. Tz 2najua kilaki2
Asante Kwa Kutufuatilia
Mnakula kodizetu TU?
Asante Kwa Kutufuatilia
Bado xan Tanzania daaah
Asante Kwa Kutufuatilia
Yakifanana nakupendeza alafu tusigeze zikawa basi zetu siti izo jaman
Asante Kwa Kutufuatilia
Watu tunajuwa nana katengeneza reri nimagufuri kwelichukimbaya
Asante Kwa Kutufuatilia
Mheshimiwa Samia naye anastahili pongezi zake mpaka hapa mladi ulipofika ni kwa sababu ya juhudi na utashi wake ili mladi ukamilike!
Asante Kwa Kutufuatilia
Unga ishapita mpaka mbeya
Asante Kwa Kutufuatilia
Majaribio ni hasara fanyeni kazi yalishajaribiwa hayo, bas Nchi hii mpka nazeeka utasikia majaribio. Hakuna kazi, kingine acheni unafiki mbna fikra za nyerere zinadumishwa mpka leo alafu magufuli znasahaulika naona promo kwa mama kiaje yan kwa mfano? Fanyeni kaz acheni uchawa
Asante Kwa Kutufuatilia
Waongo mrugenzi Millard kahojiwa anasema dar wameondoka saa 4 kasoro Jioni dodoma wamefika saa 7 usiku Ina maana Moro itumie masaa mwili dodoma lisaa Moja mue wakweri
Asante Kwa Kutufuatilia
JPM daima tutakukumbuka daima uliowaacha hawakutaji kabisa
Asante Kwa Kutufuatilia
Kenya tuko mbele sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Tren ya magu samia wann
Asante Kwa Kutufuatilia
Ni umasikini wa kutupwa kujivuna kuwa mna treni ya mwendokasi, wakati mnataka kuibinafisisha kwa mwekezaji. Inamaana mpaka sasa Tanzania haina rasilimali watu wa kusimamia na kuendesha hii treni?!!! 😢😢😢
Asante Kwa Kutufuatilia
Bado hamjabotesha mnatia hasara wafanya biashara kuzima umeme siku nzima bila kuingiza kipato chochote kisa treni
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwani magufuli alifanya akiwa karibu saana na Samia mipango yote hiyo walikubaliana na kupanga pamoja ndo maana Samia anasema kazi iendelee anajua alichopana pamoja na magufuli
Asante Kwa Kutufuatilia
Masaa mawili mnajisifu? Hovyo kabisaaaa, hovyo, ni tr2n ya mwendo kasi dar moro inatakiwa kutumia dakika 45 tu.
Asante Kwa Kutufuatilia
Majaribio yoyote huwa yanafanya spidy kubwa ili upate wastan wa spidy unayoitaka huwesi kufanya kwa spidy ndogo
Asante Kwa Kutufuatilia
Magufuli angekuwa hai angefikisha Arusha mjini
Asante Kwa Kutufuatilia
Baado barabara ya Airport na taa hatuoni usiku😊
Asante Kwa Kutufuatilia
Akuna kitu apo inatembea kama roli la mkaa
Asante Kwa Kutufuatilia
Acha woga,mama Samia wa nini Sasa hapa😂😂😂
Asante Kwa Kutufuatilia
Poapo
Asante Kwa Kutufuatilia
Na xio xamia magufuli ndo alieye fany izooo vp nyenye
Asante Kwa Kutufuatilia
Nani kama MAKUFULI
Asante Kwa Kutufuatilia
Mwendo akuna apo
Asante Kwa Kutfuatilia
Vichwa vya tren vilikuwa vishalipiwa na Jpm nadhani .....Kweli alijitoa kwaajili yetu wa Tz @ huu mradi ungezinduliwa na Makonda 🤣🤣🤣🤣pangewaka
Asante Kwa Kutufuatilia
aliefanya magufuli sio samia mboni unapindisha ukweli wakati upo kwe ibada ya mfungo
Asante Kwa Kutufuatilia
Tisiini au tisini??
Kwani we waonaje
@@abuubilal2646 sijui ndo maana nimeuliza
Asante Kwa Kutufuatilia
Huu Mradi tuwe Wakweli haukuanza Magufuli
Asante Kwa Kutufuatilia
Kikombe Cha chai mara maji mara samahani nimefungs ni muongo huyu
Asante Kwa Kutufuatilia
Treni ya mchongo hamna chochote MAGUFULI alikuwa bonge la RAISI BHANA SIO huyo kigulu na njia
Asante Kwa Ktufatilia
Pongezi kubwa kwa serikali TAZara pia iwe sgr na iwe va umeme.
Asante Kwa Kutufuatilia
Nani kama MAGU.,,MZEEE KIKOMBE CHA CHAI AU KIKOMBE CHA MAJI..? LABDA GLAS YA WINNE??
Asante Kwa Kutufuatilia
Blah blah Kila siku
Asante Kwa Kutufuatilia