Engineer anajua details zote za eneo lake la mradi, hata kama hujathibitisha anachoelezea unapata feeling kwamba hadanganyi, he knows his stuff , big up
Magosha huwa wanameza Mimi nimesoma nao wana kunywa mstari kwa mstari. Huyo jamaa wa Pili ni Ngosha.. Unaona Hata Mh Rais Magufuli anavyomeza tarakim Kama anasoma.... Hongera Sana Mh Rais , hongera Sana Eng huyo wa Pili..
Hongera Mh.Rais JOHN MGUFULI kwa kazi wetu Mungu akulinde kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya Watanzania tuko pamoja na wewe, najua katika maisha huwezi ukapendwa na kila mtu ,unachokifanya ni kwa munufaa ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na kijacho Mungu aendelee kukupa ujasiri wa kusimama imara.
Mzungumzaji wa mwisho anajua anachozungumza kwa undani,anachonifurahisha anataja neno mradi wetu maana yake anajiona ni sehemu ya huo ujenzi kama mzalendo safi sana kuwemo kwenye huo mradi ni alama unaiacha kwa vizazi na vizazi
Huyu jamaa wa mwisho yuko vizuri sana anajua anachofanya namfananisha na mkuu wa nchi kipindi akiwa waziri alikuwa na uwezo wa kusimamia wizara na kujua kila kitu kinachohusiana na wizara yake
Dah!!! ntakua mnyimi wa fadhila kam sitampongeza engineer wa pili ameeleza vizuri mno yani hata kama huelewagi unaelewa !!!! Big brother keep it up!!!! SGR Project gonna transform our local railway transportation system to next level!!!! Good work
Wapinzani wachache wanalaana Mungu anawaona sasa kusema uongo ule maanake nini kwa nini watu kama hawa waongo wachonganishi hawawekwi detantion kama alivyokua anafanya Mwalimu maana wanapotosha watu kweli Mungu anawaona.
Naamini simuda mrefu nchi yetu itaondokana na tatizo la kudharauliwa na mataifa mengine kuwa ni taifa maskini lisilo na maendeleo. Go go my Country Tanzania, God is with you.
si kuna wabunge wa upinzani walisema hadi mataruma wanaagiza Nje ya nchi kweli kuna wabunge ni waongeaji tyu ila siyo wafatiliaji ndo maana magufuri anafanya yake,hongera prezida
@@freddymello3227 ila kuna wabunge ni vibaraka kabisa na mimi katika kitu waliniamiisha na nikaona kweli magu kabugi ni Hapa kwenye kuagiza mataluma kumbe ni wanatoa maneno ya mtaani
Kuna wabunge wengine kazi yao ni kuropoka tu na kupinga mazuri yanayofanywa na serikali yaan full vilaza serikali ili nunua ndege wakaponda kila kitu ni kuposha tu hasa wale wabunge wa upinzani kila kitu ni kibaya kazi kusingizia wananchi wanataka katiba mpya wakati wananchi wanataka maendeleo
Damian Makala natamani sana raisi aendelee na mwendo huuu huu kama akiona jambo lina manufaa kwataifa nauwezo wakulifanikisha upo achukue maamuzi pekeake na washauri wake jambo lifanyike kuliko kuwapelekea hao wanao yasemea matumbo yao pale bungeni watatuchelewesha ....waacheee wao waendelee kupiga mdomo sisiwananchi tunakuunga mkono unacho kifanya
@@fathermore9772 kwelii kwa sababu maendeleo tunayaonaa sasa c bora abaki tu huyu rais kuliko kumchagua mtu hajui hata nchi na wananchi wabahitaji ninii bali wanajuaa maslai yao tu na familia zao
Hamna sababu ya kumchaguaa raisi mwingine mwacheni tuu magufuli ilii tz iwe kama nchi za wenzetu zilizoendeleaa kuliko kuchagua watu wanaotazamaa nafsi zao
kweli rais magufuli aongoze tanzania miaka mingi zaidi ili tanzania yetu iwe kama ulaya.. hao wapiga dili wasipewe nafasi kabisa...Hongera Magu.... mungu akulinde.
tuseme ukweli kuna watanzania Ni ma mbumbumbu hasa wa chadema hivi tunataka maendeleo gari sisi kweli saivi tunapata heshima kweli Mungu wangu yaani Wale wachaga sijui wamewalisha Nini wananchi wao
maendeleo haya chama wala chama hakileti maendeleo, bali watu wazarendo kama rais wetu magufuli ndio wanaleta maendeleo, yeye hagalii watu wa chama chake, yeye anaagalia wana nchi wake waishi vizuri, YESU akutiee guvu zaidi ninakuombea,
*TUNATAFUTA WATU 73 AMBAO MUDA WOTE WANAKUA ONLINE* tutakao wafunza na kuwaonyesha biashara yakufanya wakiwa online kisha kutengeneza pesa kwa kila siku,kila wiki,na kwa mwezi ,Pia Mafunzo na usimamizi mpaka mafanikio ni BURE na haitoingilia ratiba zako za kila siku,. Bofya link hii sasahivi kisha Andika neno *"NIONGEZE NAMI"* kwa muongozo na taarifa zaidi.👇🏽👇🏽 wa.me/255777891433
Magufuli uko vizuri sana kura yangu inakuhusu jembe langu sihitaji kampeni kuni impress we we ndo jibu LA Tanzania ninayoitaka Mungu akupe wepesi na uvumilivu
Huyu wa pili kweli ni injinia anachambua kitu kimoja kimoja.. Nimemkubali sana.. Naomba like zenu!
Wote wameongea vizuri mkuu
1mjanja jgbnjjh
M
Engineer anajua details zote za eneo lake la mradi, hata kama hujathibitisha anachoelezea unapata feeling kwamba hadanganyi, he knows his stuff , big up
Hongera Muheshimiwa Rais wangu Dr. John Joseph Magufuri Vijana tupo Nyuma yako#Hapa KAZI tu.
Magosha huwa wanameza
Mimi nimesoma nao wana kunywa mstari kwa mstari.
Huyo jamaa wa Pili ni Ngosha..
Unaona Hata Mh Rais Magufuli anavyomeza tarakim Kama anasoma....
Hongera Sana Mh Rais , hongera Sana Eng huyo wa Pili..
Ahsante Rais wangu JPM, They know that your the best but they dont wanna accept that but we are so keep it up. HAPA KAZI TU!
Hongera Mh.Rais JOHN MGUFULI kwa kazi wetu Mungu akulinde kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya Watanzania tuko pamoja na wewe, najua katika maisha huwezi ukapendwa na kila mtu ,unachokifanya ni kwa munufaa ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na kijacho Mungu aendelee kukupa ujasiri wa kusimama imara.
Mzungumzaji wa mwisho anajua anachozungumza kwa undani,anachonifurahisha anataja neno mradi wetu maana yake anajiona ni sehemu ya huo ujenzi kama mzalendo safi sana kuwemo kwenye huo mradi ni alama unaiacha kwa vizazi na vizazi
l
n
Uko makini
Hongera sana Mh. Raisi kwa hatua unazo zipiga tupo nyuma yako kwa kusurpot kazi zako. 🙏🙏 Dr John Joseph Pombe Magufuli. HAPA KAZI TU
Mm nimerudia mala2 kuicheck JAMAAA UNAMUELEWA Ata km Sio msomi,, Alafu Nimefurahi Kuona ni Mtanzania mwenzangu,, Hongera JPM
Perfect work.... Millard tusaidie animation videos za stations. Asante
Hongera bro nimekuelewa sana ..umejieleza vzr umetetea Elimu vema big up
My Blessings Tanzania
Huyu jamaa wa mwisho yuko vizuri sana anajua anachofanya namfananisha na mkuu wa nchi kipindi akiwa waziri alikuwa na uwezo wa kusimamia wizara na kujua kila kitu kinachohusiana na wizara yake
wow Dr j.j.p.m kaz njema sana rais barikiwe sana kwa kaz nzur
Daah! Ama kwel tutakuwa tu km ulaya ni suala la mda
huwa nafurahi sana kuona mtanzania mwenzangu anajua vitu yani kuna vibe napata this is Tanzania ya magufuli.......I am proud to be Tanzania
Ee mungu mubali jpm kwa kazi nzuri anayoifanya. Mungu ibaliki tanzania.
Engenear unaelezea had nafurahi sana, ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri, Tanzania mpya inakuja jmn
Kuongozwa na Na Rais mwana sayansi wa kweli ni raha, hajwahi kufeli kwenye miradi yake
Dah!!! ntakua mnyimi wa fadhila kam sitampongeza engineer wa pili ameeleza vizuri mno yani hata kama huelewagi unaelewa !!!! Big brother keep it up!!!!
SGR Project gonna transform our local railway transportation system to next level!!!!
Good work
Hongera sana mh Rais daaah! tulidhani masihara kumbe kweli daaah!
Waoooooooooooooh! I love tz
uyo mwamba wa mwisho inaonekana anazo akili nyingii sanaa
*Huyu injia wa kwanza anaongea kama anahofia kutumbuliwa sijui ndio mara ya kwanza kuhojiwa hatuwezi jua au yuko field* 😂😂
Tanzania mpya hiyooooo hongera raisi wetu JPJM
Wapinzani wachache wanalaana Mungu anawaona sasa kusema uongo ule maanake nini kwa nini watu kama hawa waongo wachonganishi hawawekwi detantion kama alivyokua anafanya Mwalimu maana wanapotosha watu kweli Mungu anawaona.
Safi sana hongereni
Safi sana. Mungu yupo upande wetu
this is Tz big up magu, uwe rais miaka 20 , siasa haina nafasi kwa sasa
Huyo jamaa wa pili kama Mwl kashasha,,,,,,,,, anavyochambua
Hahaaaha hakii
Ilaa iyoo tren itakuwaa inajaaaa hata kama watu hawataki kusafili watasafilii tuu
Proud of my country
I wish Kenya’s SGR was not build by chine,,,it seems Tanzania’s SGR is more advanced and cheaper .
dah wanangu watafaidi xana maisha..hongeren serikali
Naamini simuda mrefu nchi yetu itaondokana na tatizo la kudharauliwa na mataifa mengine kuwa ni taifa maskini lisilo na maendeleo. Go go my Country Tanzania, God is with you.
Dah ngosha anajua, big up sana
Shikamoo JPM na awamu ya 5 kwa ujumla hapa kazi 2
Millard Ayo big up sana unarusha vitu vinavoeleweka
Tanzania mpya inakuja.... Like kwa wapenda maendeleo wenzangu 🙏🙏🙏
si kuna wabunge wa upinzani walisema hadi mataruma wanaagiza Nje ya nchi kweli kuna wabunge ni waongeaji tyu ila siyo wafatiliaji ndo maana magufuri anafanya yake,hongera prezida
@@freddymello3227 ila kuna wabunge ni vibaraka kabisa na mimi katika kitu waliniamiisha na nikaona kweli magu kabugi ni Hapa kwenye kuagiza mataluma kumbe ni wanatoa maneno ya mtaani
Kuna wabunge wengine kazi yao ni kuropoka tu na kupinga mazuri yanayofanywa na serikali yaan full vilaza serikali ili nunua ndege wakaponda kila kitu ni kuposha tu hasa wale wabunge wa upinzani kila kitu ni kibaya kazi kusingizia wananchi wanataka katiba mpya wakati wananchi wanataka maendeleo
Damian Makala natamani sana raisi aendelee na mwendo huuu huu kama akiona jambo lina manufaa kwataifa nauwezo wakulifanikisha upo achukue maamuzi pekeake na washauri wake jambo lifanyike kuliko kuwapelekea hao wanao yasemea matumbo yao pale bungeni watatuchelewesha ....waacheee wao waendelee kupiga mdomo sisiwananchi tunakuunga mkono unacho kifanya
Namimi nimekumbuka kweli wakisema tunaagiza nje na wakatoa na gharama zinazitumika, tena huyi MB akawa anasema "sisi tulishauri....". Kumbe .... Dah! Aksante Millard Ayo!
@@wilsonkaseha2034 hawa jamaa wamekaa kusingizia katiba,kweli katiba tunaihitaji Ila maendeleo tunayahitaji zaidi ya katiba
Masanja uko vizuri,ngosha akipata nafasi hajawahi kutuangusha,wabheja nkoyi
Nakupenda rais wetu Magu
HUYU JAMAA NI MWALIMU MPENI DARASA AFUNDISHE MANA KILA NENO LINAFAHAMIKA KWA KWELI HATA KAMA HUTAKI KUFAHAMU UTAFAHAMU TU
Hussain Omar
Hahahaaaa Hussain...umenifanya nicheke...
Kumbe eeh ahsante
Nimependa anatumia kiswahili zaidi. Tuko pamoja anko John
Jpm ni konk, konk, konk master. Well done
Maajabu zake JPM
Hongera rais wetu
Mungu azid kumlinda Jpm awatumikie watanzania.
Machibya Masanja
Huyo ni Ngosha
mashaka kadashi peter sema huyo ni Mtanzania mengine hayana maana zaidi ya kuleta malumbano.
hayo ndio maendeleo tunayo yataka Watanzania
Big up saaana Classmate umepikwa ukapikika, Eng Machibya Masanja, proudly kizazi cha Tanzania, tujenge Nchi
La msingi magufuri aiongozee tuu tz miaka yotee kwa sababu anafaa anafanyaa vitu vinaonekanaa Allah amuongozee
💯 kama sultan Qaboos Oman 🇴🇲 yan Allah amjalie maisha maref na afya njema 🤲🏻
natamani watanzia tungeliona hili tukafanya maamuzi kama haya nchi hii ingekua bora duniani
@@fathermore9772 kwelii kwa sababu maendeleo tunayaonaa sasa c bora abaki tu huyu rais kuliko kumchagua mtu hajui hata nchi na wananchi wabahitaji ninii bali wanajuaa maslai yao tu na familia zao
Faudhia Salim amin yarrabi 🥰🥰🥰🥰🌹🇴🇲
mungu atupe nini jamani kama sio magufuli?
Tundu Lissu tu ndo nchi hii inahitaji , Mungu ampe maisha marefu
Hongera 🤗🤗🤗🤗
Shikamooni wanyakyusa....km mpo niangushieni like zangu maana uyo engeneer very young.....
👏👏👏
wolf Gang ,acha ukabila bwege wewe
@@freddymello3227 Hiii mi bwege tena umenukuu vibaya then we ndo umeleta ukabila mi mwenyewe sio mnyakyusa........,,God bless you....
Reli over Reli 😂😂 #Asante kwa #Msamiati#
big up
Hamna sababu ya kumchaguaa raisi mwingine mwacheni tuu magufuli ilii tz iwe kama nchi za wenzetu zilizoendeleaa kuliko kuchagua watu wanaotazamaa nafsi zao
Kadeja Hoe,Haswaaaaaa hapo ni penyewa.
acha usenge
@@kelvincharles7263 hasante
kweli rais magufuli aongoze tanzania miaka mingi zaidi ili tanzania yetu iwe kama ulaya.. hao wapiga dili wasipewe nafasi kabisa...Hongera Magu.... mungu akulinde.
Eeeeh!bro unaelezea vzur sana,sijui na were nimsukuma km jpm/ni wakanda ya ziwa tz? Maana watu wa knd ya ziwa nawasalute qa skills.
yes!!!!!!!!!
Safi injinia Masanja. Details Safi kabisa.
tuseme ukweli kuna watanzania Ni ma mbumbumbu hasa wa chadema hivi tunataka maendeleo gari sisi kweli saivi tunapata heshima kweli Mungu wangu yaani Wale wachaga sijui wamewalisha Nini wananchi wao
Dah, ASANTE rais
Asante Mungu
ila huyu eng wa pili ni fundi wa kuelezea hatua kwa hatua neno kwa neno na vitu vina eleweka
Bora millard uwe unatuletea maendeleo ya ujenz wa rel maana mwantala kashindwa kz mtuonyeshe na station ya posta unavoendelea.
Asee jamaa anaelezea kama mm ila yule wa kwanza sio mhandisi bana anatania
Yule wa kwanza ni site engineer ,huyu mwingine ni Project manager,lazima kuwe na totauti wahandisi wanaelewa😀😀😀
Huyu jamaa ni kichwa kama anko fulani
Jpm umetisha
Yeyooooooo magu chapa kaz mzeeeeee.... watu tunakitaka chuma cha umeme hichooooo....
Pamoja Sana
hiyo mhandisi yuko vizuri sana anasitahili umeneja wa you mradi
Huyu jamaa anajua kwelii
Nakukubal miaka mia lais wangu
Camera man anavoelezea tafsir ya gauge ungeonyesha picha ya reli tuone vzuri badala ya kuendelea kumuonyesha injinia
🔥🔥
kwass wanakigoma tutafaidi sana
Mpaka rakha. Hongerani wote
Mmh usafiri rahisi zaidi duniani ni meli
Huyu wa mwisho kweli ni mwamba mamae anachambua balaa
Lazaroo😀
Kazi nzuri Sana ila nataka kujua kidogo Itatumia umeme Sasa bahati mbaya umeme umekatika katikati ya safari inakuaje ?
Kaka wewe ni kweli ni Engineer nimekusoma mkuu
Acheni siasa nyingi na matusi. Huyu jamaa kameza data sana. Acha ateme. Hii sio akili ya kuazima aisee
Tuonyeshe iyo picha kama kofia ya mfarume au kilemba cha mwanamke
Mbona reli njoa moja tu ya kwenda ya kurudi mbona siioni
Watanzania hatuna haja ya kupoteza pesa kwa kampen zingine mh magufuri anatosha.
Milard tuwekee na picha za station za mfano zilivyo before kuisha.
maendeleo haya chama wala chama hakileti maendeleo, bali watu wazarendo kama rais wetu magufuli ndio wanaleta maendeleo, yeye hagalii watu wa chama chake, yeye anaagalia wana nchi wake waishi vizuri, YESU akutiee guvu zaidi ninakuombea,
Hii ni Konki Konki Konki Masta
Mambo siyo mabaya.
Tafadhali naomba sapoti yenu kwa Kusabuscribe channel yangu.
Watu wengine mnakuwaje kla sehem mnaomba support , kah !! Tukusaporti kwa lipi?? Na ww unajenga standard gauge ama??
Wenzenu huku uturuki wamefanya kitu steel kama vip muwashikishe
*TUNATAFUTA WATU 73 AMBAO MUDA WOTE WANAKUA ONLINE* tutakao wafunza na kuwaonyesha biashara yakufanya wakiwa online kisha kutengeneza pesa kwa kila siku,kila wiki,na kwa mwezi ,Pia Mafunzo na usimamizi mpaka mafanikio ni BURE na haitoingilia ratiba zako za kila siku,.
Bofya link hii sasahivi kisha Andika neno *"NIONGEZE NAMI"* kwa muongozo na taarifa zaidi.👇🏽👇🏽
wa.me/255777891433
Jamaa uyu wa pili uelekezaji wake unapata elimu tosha
Mbona hamtuonyeshi michoro ya majengo na official images za hiyo electric train, ukute yana sura mbaya landrover ya mwaka 47
Wataelewa tu magu
mataluma ya reliiiii
SGR...sio bullet train
Nmeinjoy xn jamaa anavyoelezea
noma sana
Sioni sababu ya uchaguzi 2020 zaidi ya kubadilisha katiba Mhe magufuli aendee kuongoza bigup sana jpm.
Magufuli uko vizuri sana kura yangu inakuhusu jembe langu sihitaji kampeni kuni impress we we ndo jibu LA Tanzania ninayoitaka Mungu akupe wepesi na uvumilivu
Jamaa anarafuz kama makonda
Ila hako kapicha ka pembeni ka uongo..hizo ni kama ile waliyozindua Morroco, ya 320km/h
maengeneer wa tz hao
Huyu ni magufuli wa pili
Wapinzani wao hawajui chochote kuhusu haya yanayofanyika,
Huyo jamaa kichwa kwel anachambua mpaka unaelewa,cdhan kama kun aliekatisha kutazama hi video mpaka mwisho
JPM TZ UMEIWEZA ATUNA MASHAKA
8:22-8:32 😁
Juhudi zetu zitatufikisha tunapo taka
Huyu inginia siyo mchezo
makufuri ndio habari ya mjini kwa sasa tupo nyuma yako