JIONEE UJENZI WA RELI YA KISASA ULIPOFIKIA DAR - MORO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 11. 2018

Komentáře • 185

  • @1mjanja
    @1mjanja Před 5 lety +74

    Huyu wa pili kweli ni injinia anachambua kitu kimoja kimoja.. Nimemkubali sana.. Naomba like zenu!

  • @emanuelcharles3548
    @emanuelcharles3548 Před 5 lety +5

    Engineer anajua details zote za eneo lake la mradi, hata kama hujathibitisha anachoelezea unapata feeling kwamba hadanganyi, he knows his stuff , big up

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 Před 5 lety +1

    Hongera Muheshimiwa Rais wangu Dr. John Joseph Magufuri Vijana tupo Nyuma yako#Hapa KAZI tu.

  • @mashakakadashipeter6926
    @mashakakadashipeter6926 Před 5 lety +19

    Magosha huwa wanameza
    Mimi nimesoma nao wana kunywa mstari kwa mstari.
    Huyo jamaa wa Pili ni Ngosha..
    Unaona Hata Mh Rais Magufuli anavyomeza tarakim Kama anasoma....
    Hongera Sana Mh Rais , hongera Sana Eng huyo wa Pili..

  • @football-galaxy7210
    @football-galaxy7210 Před 5 lety +5

    Ahsante Rais wangu JPM, They know that your the best but they dont wanna accept that but we are so keep it up. HAPA KAZI TU!

  • @yusuphntibhinigira3355

    Hongera Mh.Rais JOHN MGUFULI kwa kazi wetu Mungu akulinde kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya Watanzania tuko pamoja na wewe, najua katika maisha huwezi ukapendwa na kila mtu ,unachokifanya ni kwa munufaa ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na kijacho Mungu aendelee kukupa ujasiri wa kusimama imara.

  • @frankmaria6717
    @frankmaria6717 Před 5 lety +21

    Mzungumzaji wa mwisho anajua anachozungumza kwa undani,anachonifurahisha anataja neno mradi wetu maana yake anajiona ni sehemu ya huo ujenzi kama mzalendo safi sana kuwemo kwenye huo mradi ni alama unaiacha kwa vizazi na vizazi

  • @snagaboytv3847
    @snagaboytv3847 Před 5 lety +24

    Hongera sana Mh. Raisi kwa hatua unazo zipiga tupo nyuma yako kwa kusurpot kazi zako. 🙏🙏 Dr John Joseph Pombe Magufuli. HAPA KAZI TU

  • @mapenzi_tz1511
    @mapenzi_tz1511 Před 5 lety +4

    Mm nimerudia mala2 kuicheck JAMAAA UNAMUELEWA Ata km Sio msomi,, Alafu Nimefurahi Kuona ni Mtanzania mwenzangu,, Hongera JPM

  • @erickwilson8873
    @erickwilson8873 Před 5 lety +13

    Perfect work.... Millard tusaidie animation videos za stations. Asante

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Před 5 lety

    Hongera bro nimekuelewa sana ..umejieleza vzr umetetea Elimu vema big up

  • @kisinzaemmanuel6318
    @kisinzaemmanuel6318 Před 5 lety +6

    My Blessings Tanzania

  • @aidanwilliam9637
    @aidanwilliam9637 Před 5 lety +9

    Huyu jamaa wa mwisho yuko vizuri sana anajua anachofanya namfananisha na mkuu wa nchi kipindi akiwa waziri alikuwa na uwezo wa kusimamia wizara na kujua kila kitu kinachohusiana na wizara yake

    • @chaguselya4163
      @chaguselya4163 Před 5 lety

      wow Dr j.j.p.m kaz njema sana rais barikiwe sana kwa kaz nzur

    • @JohnJohn-vu9vn
      @JohnJohn-vu9vn Před 3 lety

      Daah! Ama kwel tutakuwa tu km ulaya ni suala la mda

  • @swahiliacademy
    @swahiliacademy Před 5 lety

    huwa nafurahi sana kuona mtanzania mwenzangu anajua vitu yani kuna vibe napata this is Tanzania ya magufuli.......I am proud to be Tanzania

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 Před 5 lety +1

    Ee mungu mubali jpm kwa kazi nzuri anayoifanya. Mungu ibaliki tanzania.

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 5 lety

    Engenear unaelezea had nafurahi sana, ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri, Tanzania mpya inakuja jmn

  • @gabrielgodwin2576
    @gabrielgodwin2576 Před 5 lety +7

    Kuongozwa na Na Rais mwana sayansi wa kweli ni raha, hajwahi kufeli kwenye miradi yake

  • @jacksonmpumpa2262
    @jacksonmpumpa2262 Před 5 lety

    Dah!!! ntakua mnyimi wa fadhila kam sitampongeza engineer wa pili ameeleza vizuri mno yani hata kama huelewagi unaelewa !!!! Big brother keep it up!!!!
    SGR Project gonna transform our local railway transportation system to next level!!!!
    Good work

  • @evelynmon6491
    @evelynmon6491 Před 5 lety +1

    Hongera sana mh Rais daaah! tulidhani masihara kumbe kweli daaah!

  • @dianajafety8228
    @dianajafety8228 Před 5 lety +4

    Waoooooooooooooh! I love tz

  • @naitwachilipo892
    @naitwachilipo892 Před 5 lety +23

    uyo mwamba wa mwisho inaonekana anazo akili nyingii sanaa

  • @b12chomolla62
    @b12chomolla62 Před 5 lety +2

    *Huyu injia wa kwanza anaongea kama anahofia kutumbuliwa sijui ndio mara ya kwanza kuhojiwa hatuwezi jua au yuko field* 😂😂

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath4330 Před 5 lety +18

    Tanzania mpya hiyooooo hongera raisi wetu JPJM

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Před 5 lety

      Wapinzani wachache wanalaana Mungu anawaona sasa kusema uongo ule maanake nini kwa nini watu kama hawa waongo wachonganishi hawawekwi detantion kama alivyokua anafanya Mwalimu maana wanapotosha watu kweli Mungu anawaona.

  • @maryammarym4437
    @maryammarym4437 Před 5 lety +4

    Safi sana hongereni

  • @frjohnsembuyagi3301
    @frjohnsembuyagi3301 Před 5 lety +3

    Safi sana. Mungu yupo upande wetu

  • @papahamis9253
    @papahamis9253 Před 5 lety

    this is Tz big up magu, uwe rais miaka 20 , siasa haina nafasi kwa sasa

  • @culturetztv4941
    @culturetztv4941 Před 5 lety +12

    Huyo jamaa wa pili kama Mwl kashasha,,,,,,,,, anavyochambua

  • @kadejahoe6543
    @kadejahoe6543 Před 5 lety +8

    Ilaa iyoo tren itakuwaa inajaaaa hata kama watu hawataki kusafili watasafilii tuu

  • @winfridamwinuka7391
    @winfridamwinuka7391 Před 5 lety +1

    Proud of my country

  • @hakansavasci1880
    @hakansavasci1880 Před 5 lety +1

    I wish Kenya’s SGR was not build by chine,,,it seems Tanzania’s SGR is more advanced and cheaper .

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 Před 5 lety

    dah wanangu watafaidi xana maisha..hongeren serikali

  • @isacksamwel1769
    @isacksamwel1769 Před 5 lety

    Naamini simuda mrefu nchi yetu itaondokana na tatizo la kudharauliwa na mataifa mengine kuwa ni taifa maskini lisilo na maendeleo. Go go my Country Tanzania, God is with you.

  • @malembelamfungo2223
    @malembelamfungo2223 Před 5 lety

    Dah ngosha anajua, big up sana

  • @shindanopapaya2084
    @shindanopapaya2084 Před 5 lety +4

    Shikamoo JPM na awamu ya 5 kwa ujumla hapa kazi 2

  • @mathayoemmanuel7891
    @mathayoemmanuel7891 Před 5 lety

    Millard Ayo big up sana unarusha vitu vinavoeleweka

  • @Alamatvonline
    @Alamatvonline Před 5 lety

    Tanzania mpya inakuja.... Like kwa wapenda maendeleo wenzangu 🙏🙏🙏

  • @jmchannel549
    @jmchannel549 Před 5 lety +20

    si kuna wabunge wa upinzani walisema hadi mataruma wanaagiza Nje ya nchi kweli kuna wabunge ni waongeaji tyu ila siyo wafatiliaji ndo maana magufuri anafanya yake,hongera prezida

    • @jmchannel549
      @jmchannel549 Před 5 lety +1

      @@freddymello3227 ila kuna wabunge ni vibaraka kabisa na mimi katika kitu waliniamiisha na nikaona kweli magu kabugi ni Hapa kwenye kuagiza mataluma kumbe ni wanatoa maneno ya mtaani

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 Před 5 lety +2

      Kuna wabunge wengine kazi yao ni kuropoka tu na kupinga mazuri yanayofanywa na serikali yaan full vilaza serikali ili nunua ndege wakaponda kila kitu ni kuposha tu hasa wale wabunge wa upinzani kila kitu ni kibaya kazi kusingizia wananchi wanataka katiba mpya wakati wananchi wanataka maendeleo

    • @fathermore9772
      @fathermore9772 Před 5 lety +1

      Damian Makala natamani sana raisi aendelee na mwendo huuu huu kama akiona jambo lina manufaa kwataifa nauwezo wakulifanikisha upo achukue maamuzi pekeake na washauri wake jambo lifanyike kuliko kuwapelekea hao wanao yasemea matumbo yao pale bungeni watatuchelewesha ....waacheee wao waendelee kupiga mdomo sisiwananchi tunakuunga mkono unacho kifanya

    • @wilsonkaseha2034
      @wilsonkaseha2034 Před 5 lety

      Namimi nimekumbuka kweli wakisema tunaagiza nje na wakatoa na gharama zinazitumika, tena huyi MB akawa anasema "sisi tulishauri....". Kumbe .... Dah! Aksante Millard Ayo!

    • @jmchannel549
      @jmchannel549 Před 5 lety

      @@wilsonkaseha2034 hawa jamaa wamekaa kusingizia katiba,kweli katiba tunaihitaji Ila maendeleo tunayahitaji zaidi ya katiba

  • @petercosmas4376
    @petercosmas4376 Před 5 lety

    Masanja uko vizuri,ngosha akipata nafasi hajawahi kutuangusha,wabheja nkoyi

  • @khamiskashinje3809
    @khamiskashinje3809 Před 5 lety

    Nakupenda rais wetu Magu

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 Před 5 lety +14

    HUYU JAMAA NI MWALIMU MPENI DARASA AFUNDISHE MANA KILA NENO LINAFAHAMIKA KWA KWELI HATA KAMA HUTAKI KUFAHAMU UTAFAHAMU TU

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 5 lety +1

    Jpm ni konk, konk, konk master. Well done

  • @sande6410
    @sande6410 Před 5 lety +3

    Maajabu zake JPM

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine1445 Před 5 lety +1

    Hongera rais wetu

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 Před 5 lety

    Mungu azid kumlinda Jpm awatumikie watanzania.

  • @mashakakadashipeter6926
    @mashakakadashipeter6926 Před 5 lety +12

    Machibya Masanja
    Huyo ni Ngosha

    • @isacksamwel1769
      @isacksamwel1769 Před 5 lety +1

      mashaka kadashi peter sema huyo ni Mtanzania mengine hayana maana zaidi ya kuleta malumbano.

  • @zhnnnsafisanamweshimiawata1312

    hayo ndio maendeleo tunayo yataka Watanzania

    • @mosesgerald8716
      @mosesgerald8716 Před 5 lety

      Big up saaana Classmate umepikwa ukapikika, Eng Machibya Masanja, proudly kizazi cha Tanzania, tujenge Nchi

  • @kadejahoe6543
    @kadejahoe6543 Před 5 lety +8

    La msingi magufuri aiongozee tuu tz miaka yotee kwa sababu anafaa anafanyaa vitu vinaonekanaa Allah amuongozee

    • @faudhiasalim3305
      @faudhiasalim3305 Před 5 lety +3

      💯 kama sultan Qaboos Oman 🇴🇲 yan Allah amjalie maisha maref na afya njema 🤲🏻

    • @fathermore9772
      @fathermore9772 Před 5 lety +1

      natamani watanzia tungeliona hili tukafanya maamuzi kama haya nchi hii ingekua bora duniani

    • @kadejahoe6543
      @kadejahoe6543 Před 5 lety

      @@fathermore9772 kwelii kwa sababu maendeleo tunayaonaa sasa c bora abaki tu huyu rais kuliko kumchagua mtu hajui hata nchi na wananchi wabahitaji ninii bali wanajuaa maslai yao tu na familia zao

    • @elchapo9125
      @elchapo9125 Před 5 lety

      Faudhia Salim amin yarrabi 🥰🥰🥰🥰🌹🇴🇲

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 5 lety +8

    mungu atupe nini jamani kama sio magufuli?

    • @samateryussuf5938
      @samateryussuf5938 Před 5 lety

      Tundu Lissu tu ndo nchi hii inahitaji , Mungu ampe maisha marefu

  • @munajafu3080
    @munajafu3080 Před 5 lety

    Hongera 🤗🤗🤗🤗

  • @habarinamichezo6427
    @habarinamichezo6427 Před 5 lety +3

    Shikamooni wanyakyusa....km mpo niangushieni like zangu maana uyo engeneer very young.....

    • @historianyeusi9524
      @historianyeusi9524 Před 5 lety

      👏👏👏

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 Před 5 lety

      wolf Gang ,acha ukabila bwege wewe

    • @habarinamichezo6427
      @habarinamichezo6427 Před 5 lety +1

      @@freddymello3227 Hiii mi bwege tena umenukuu vibaya then we ndo umeleta ukabila mi mwenyewe sio mnyakyusa........,,God bless you....

  • @nkuhimmary6007
    @nkuhimmary6007 Před 5 lety +1

    Reli over Reli 😂😂 #Asante kwa #Msamiati#

  • @kandidosamwel3030
    @kandidosamwel3030 Před 5 lety +1

    big up

  • @kadejahoe6543
    @kadejahoe6543 Před 5 lety +12

    Hamna sababu ya kumchaguaa raisi mwingine mwacheni tuu magufuli ilii tz iwe kama nchi za wenzetu zilizoendeleaa kuliko kuchagua watu wanaotazamaa nafsi zao

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 Před 5 lety +2

      Kadeja Hoe,Haswaaaaaa hapo ni penyewa.

    • @kelvincharles7263
      @kelvincharles7263 Před 5 lety

      acha usenge

    • @kadejahoe6543
      @kadejahoe6543 Před 5 lety +1

      @@kelvincharles7263 hasante

    • @heshimakibali1431
      @heshimakibali1431 Před 5 lety

      kweli rais magufuli aongoze tanzania miaka mingi zaidi ili tanzania yetu iwe kama ulaya.. hao wapiga dili wasipewe nafasi kabisa...Hongera Magu.... mungu akulinde.

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni6889 Před 4 lety

    Eeeeh!bro unaelezea vzur sana,sijui na were nimsukuma km jpm/ni wakanda ya ziwa tz? Maana watu wa knd ya ziwa nawasalute qa skills.

  • @nyengaahmadi6697
    @nyengaahmadi6697 Před 5 lety +2

    yes!!!!!!!!!

    • @kinigarm8239
      @kinigarm8239 Před 5 lety +1

      Safi injinia Masanja. Details Safi kabisa.

  • @joh255tv4
    @joh255tv4 Před 5 lety +9

    tuseme ukweli kuna watanzania Ni ma mbumbumbu hasa wa chadema hivi tunataka maendeleo gari sisi kweli saivi tunapata heshima kweli Mungu wangu yaani Wale wachaga sijui wamewalisha Nini wananchi wao

  • @damianmosoka8254
    @damianmosoka8254 Před 5 lety +1

    Dah, ASANTE rais
    Asante Mungu
    ila huyu eng wa pili ni fundi wa kuelezea hatua kwa hatua neno kwa neno na vitu vina eleweka

  • @hawaahawaa4808
    @hawaahawaa4808 Před 5 lety +1

    Bora millard uwe unatuletea maendeleo ya ujenz wa rel maana mwantala kashindwa kz mtuonyeshe na station ya posta unavoendelea.

  • @OfficielSamJr
    @OfficielSamJr Před 5 lety +4

    Asee jamaa anaelezea kama mm ila yule wa kwanza sio mhandisi bana anatania

    • @lazarokakondele7290
      @lazarokakondele7290 Před 5 lety

      Yule wa kwanza ni site engineer ,huyu mwingine ni Project manager,lazima kuwe na totauti wahandisi wanaelewa😀😀😀

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 Před 5 lety +3

    Huyu jamaa ni kichwa kama anko fulani

  • @annankya7616
    @annankya7616 Před 5 lety

    Jpm umetisha

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 4 lety

    Yeyooooooo magu chapa kaz mzeeeeee.... watu tunakitaka chuma cha umeme hichooooo....

  • @isakayolam
    @isakayolam Před 4 lety

    Pamoja Sana

  • @nkondokubini6882
    @nkondokubini6882 Před 5 lety

    hiyo mhandisi yuko vizuri sana anasitahili umeneja wa you mradi

  • @issayajuma9787
    @issayajuma9787 Před 5 lety

    Huyu jamaa anajua kwelii

  • @boasmbwaga5114
    @boasmbwaga5114 Před 5 lety

    Nakukubal miaka mia lais wangu

  • @noahmadal753
    @noahmadal753 Před 5 lety +1

    Camera man anavoelezea tafsir ya gauge ungeonyesha picha ya reli tuone vzuri badala ya kuendelea kumuonyesha injinia

  • @tiaschris7070
    @tiaschris7070 Před 5 lety +2

    🔥🔥

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Před 5 lety

    Mmh usafiri rahisi zaidi duniani ni meli

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 Před 5 lety

    Huyu wa mwisho kweli ni mwamba mamae anachambua balaa

  • @faza4023
    @faza4023 Před 4 lety

    Lazaroo😀

  • @stephanomlanga194
    @stephanomlanga194 Před 5 lety

    Kazi nzuri Sana ila nataka kujua kidogo Itatumia umeme Sasa bahati mbaya umeme umekatika katikati ya safari inakuaje ?

  • @josephsaghana1056
    @josephsaghana1056 Před 5 lety

    Kaka wewe ni kweli ni Engineer nimekusoma mkuu

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 Před 5 lety

    Acheni siasa nyingi na matusi. Huyu jamaa kameza data sana. Acha ateme. Hii sio akili ya kuazima aisee

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety +1

    Tuonyeshe iyo picha kama kofia ya mfarume au kilemba cha mwanamke

  • @mmlove9127
    @mmlove9127 Před 5 lety

    Mbona reli njoa moja tu ya kwenda ya kurudi mbona siioni

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před 5 lety

    Watanzania hatuna haja ya kupoteza pesa kwa kampen zingine mh magufuri anatosha.

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Před 5 lety

    Milard tuwekee na picha za station za mfano zilivyo before kuisha.

  • @sylvesteraron4972
    @sylvesteraron4972 Před 5 lety

    maendeleo haya chama wala chama hakileti maendeleo, bali watu wazarendo kama rais wetu magufuli ndio wanaleta maendeleo, yeye hagalii watu wa chama chake, yeye anaagalia wana nchi wake waishi vizuri, YESU akutiee guvu zaidi ninakuombea,

  • @konkifootballnews1582
    @konkifootballnews1582 Před 5 lety +5

    Hii ni Konki Konki Konki Masta
    Mambo siyo mabaya.
    Tafadhali naomba sapoti yenu kwa Kusabuscribe channel yangu.

    • @deomadili6837
      @deomadili6837 Před 5 lety

      Watu wengine mnakuwaje kla sehem mnaomba support , kah !! Tukusaporti kwa lipi?? Na ww unajenga standard gauge ama??

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 5 lety

    Wenzenu huku uturuki wamefanya kitu steel kama vip muwashikishe

  • @CoachKhalifa
    @CoachKhalifa Před 5 lety

    *TUNATAFUTA WATU 73 AMBAO MUDA WOTE WANAKUA ONLINE* tutakao wafunza na kuwaonyesha biashara yakufanya wakiwa online kisha kutengeneza pesa kwa kila siku,kila wiki,na kwa mwezi ,Pia Mafunzo na usimamizi mpaka mafanikio ni BURE na haitoingilia ratiba zako za kila siku,.
    Bofya link hii sasahivi kisha Andika neno *"NIONGEZE NAMI"* kwa muongozo na taarifa zaidi.👇🏽👇🏽
    wa.me/255777891433

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety

    Jamaa uyu wa pili uelekezaji wake unapata elimu tosha

  • @mwamengele
    @mwamengele Před 5 lety

    Mbona hamtuonyeshi michoro ya majengo na official images za hiyo electric train, ukute yana sura mbaya landrover ya mwaka 47

  • @jofreyshabani5621
    @jofreyshabani5621 Před 5 lety

    Wataelewa tu magu

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 Před 5 lety

    mataluma ya reliiiii

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 Před 5 lety +1

    SGR...sio bullet train

  • @loveofficial74
    @loveofficial74 Před 5 lety

    Nmeinjoy xn jamaa anavyoelezea

  • @mashaurilugayila4462
    @mashaurilugayila4462 Před 5 lety

    noma sana

    • @mtangombayaya7000
      @mtangombayaya7000 Před 5 lety

      Sioni sababu ya uchaguzi 2020 zaidi ya kubadilisha katiba Mhe magufuli aendee kuongoza bigup sana jpm.

    • @faustinefs1148
      @faustinefs1148 Před 5 lety

      Magufuli uko vizuri sana kura yangu inakuhusu jembe langu sihitaji kampeni kuni impress we we ndo jibu LA Tanzania ninayoitaka Mungu akupe wepesi na uvumilivu

  • @shabanikadirimbenakadiri2083

    Jamaa anarafuz kama makonda

  • @piruuaziz8944
    @piruuaziz8944 Před 5 lety

    Ila hako kapicha ka pembeni ka uongo..hizo ni kama ile waliyozindua Morroco, ya 320km/h

  • @jamesntobo1510
    @jamesntobo1510 Před 5 lety

    maengeneer wa tz hao

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 Před 5 lety

    Huyu ni magufuli wa pili

  • @henryndosi3800
    @henryndosi3800 Před 5 lety +4

    Wapinzani wao hawajui chochote kuhusu haya yanayofanyika,

  • @godfreysway1732
    @godfreysway1732 Před 5 lety

    Huyo jamaa kichwa kwel anachambua mpaka unaelewa,cdhan kama kun aliekatisha kutazama hi video mpaka mwisho

  • @angelusilljujalijuja9852

    JPM TZ UMEIWEZA ATUNA MASHAKA

  • @Teksani
    @Teksani Před 5 lety

    8:22-8:32 😁

  • @directorshadaka5205
    @directorshadaka5205 Před 5 lety

    Juhudi zetu zitatufikisha tunapo taka

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety

    Huyu inginia siyo mchezo

  • @idrisamohamedmatulaa5067

    makufuri ndio habari ya mjini kwa sasa tupo nyuma yako