#SGR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Dar Es Salaam Tanzania

Komentáře • 102

  • @mazeenmasoud7297
    @mazeenmasoud7297 Před 4 lety +13

    Wanao mkata Rais Mugufuli wote vicha kama uko na mimi sawa gonga like

  • @allyallybenard3275
    @allyallybenard3275 Před 4 lety +5

    Mnaotaka magufuli aongoze mpaka mwisho wake gonga like tujuane

  • @amani2555
    @amani2555 Před 4 lety +7

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Před 4 lety +7

    Asante kwa taarifa

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 Před 4 lety +8

    Nyie wasomi wa uhandisi, jifunzeni kwa mhasibu kadogosa. Mnatabia ya kujikweza ili hali miradi mnayosimamia hupotelea matumboni mwenu. Hili liwe ni somo kwenu. Eloi wetu u baraka umetuletea nuru Duniani -Magufuli.

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 Před 4 lety +9

    Safi sana serekali ya awamu ya tano ifanyekazi vizuri mambo haya sio rahisi kama unavofikiria

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 Před 4 lety +2

      Mohd Salum Hongera pia kwa kufuatilia huu mradi bro.nimekuwa nikikuona siku nyingi sana!Ubari
      kiwe sana kwa kuwa mzalendo halisi.

    • @mohdsalum3832
      @mohdsalum3832 Před 4 lety +3

      @@freddymello3227 lazima tuunge mkono maendeleo ya tano ifanyekazi na Tanzania inabadilika sana lazm tuwe wazalendo kusifu vya kwetu

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 Před 4 lety +1

      Mohd Salum,ni kweli kabisa MH.raisi anahitaji kuungwa mkono sana.maana mambo anayofanya ni ya kipekee sana katika maendeleo ya Taifa letu.
      Nakushukuru sana kuwa sehemu ya wanaomuunga mkono Jemedari wetu.tuendelee kumuombea bila kuchoka

    • @manpelo8064
      @manpelo8064 Před 4 lety

      @@freddymello3227 watu wanakufa na njaa maendeleo gani nchi bado maskini dunian

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 Před 4 lety +1

      @@manpelo8064 ,Hujasoma ripoti ya shirika la umoja wa mataifa kwa mwaka 2019.
      Tanzania sio nchi masikini.na wao wameshakubali kuliondoa jina la nchi yetu katika orodha ya mataifa masikini duniani.
      Sasa wewe huo umasikini unaoongelea ni wa fikra zako binafsi.umekariri kuwa unaishi katika nchi masikini.(hata mheshimiwa raisi anaposema sisi sio masikini hukumuelewa inavyoonyesha)
      Pili hakuna serikali inayopelekea watu wake chakula wale duniani,au inayogawa pesa kwa wananchi wake.
      Kupambana na hali yako ya maisha ni kuongeza bidii katika shughuli zako za kila Siku ili maisha yako yawe bora.
      Ukisubiri utafuniwe umeze hakika nakuhakikishia utakufa masikini wa kutupwa.
      Pia nikufahamishe kuwa serikali inawekeza katika miundombinu n.k ili kukuwezesha shughuli zako zifanyike kwa urahisi.inawekeza katika kutoa mikopo ya halmashauri kuwezesha wanawake,vijana na walemavu,inawekeza katika elimu,afya n.k ili kurahisisha mambo .ila hakuna siku itakayotokea serikali ikagawa pesa mitaani.
      Na hilo sio hapa duniani tuu.Hata MUNGU hagawi riziki pasipo muhusika kufanya kazi na kujituma.ndio maana akasema "asiyefanya kazi na asile!!".
      Jikomboe kwa kuchapa kazi kwa bidii.

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 Před 4 lety +6

    Nice 👍🏻

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 Před 4 lety +26

    Halafu et jpm mshamba..!! mshamba atengeneze mji wa kisasa halafu auhame?? Hata hiyo akili ya kutengeneza mji wa kisasa unaitoa wapi km ww ni mshamba????

  • @georgejoseph2295
    @georgejoseph2295 Před 4 lety +11

    Mabasi ya moshi mwaka huu mmm tusubili mchawi muda

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 Před 4 lety +2

    Hongera hawamu ya 5 hongera rais wetu bila ya wewe tusingepiga hatua Allah akutir nguvu na afya tele pmj na uongozi mzm

  • @johnplacid8885
    @johnplacid8885 Před 4 lety +8

    Nizamu ya kaz iko poa

  • @rwegoshoramichael3144
    @rwegoshoramichael3144 Před 4 lety +2

    Good

  • @razackkambi2839
    @razackkambi2839 Před 4 lety +9

    Jpm miaka 100 piga kazi baba

  • @johnsteytler3597
    @johnsteytler3597 Před 4 lety +1

    Good job TZ love from Kenya 🇰🇪

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 Před 4 lety +7

    Kazi Ni kubwa sana hakika juhudi imefanyika mpaka kufikia asilimia 70/. Sio Jambo dogo magufuli kafanya kazi atakumbukwa kwa hili.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 4 lety

      Mi mwenyewe nlikuwa simpendi magu ila kwa jinsi ana jenga hivi jamaa ana faa kuwa raisi

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 4 lety +10

    Sasa tunataka nini zaidi ya maendeleo??

  • @jameslazarus8016
    @jameslazarus8016 Před 4 lety

    #Tanzania Unforgettable# Hapa Kazi Tu.... May all the projects in our country under construction be completed timely for the development of our beloved motherland and improvements of our people's welfare...! Keep up the good deed our dear Commander in Chief HE DR President JPM...1

  • @mahirwilliam5109
    @mahirwilliam5109 Před 4 lety +1

    Hongera Jpm Hongera walipa kodi wote wa Tz

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 4 lety +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @johnplacid8885
    @johnplacid8885 Před 4 lety +20

    Afu utasikia jtu linasema lireli lann sis ndege hazituhusu nyambafu wapinga maendeleo

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 Před 4 lety

      Na wew una matatizo ya akili, inakuhusu nini akiimba

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 Před 4 lety

      Ukiumwa utatibiwa na ndege mbona akili kidogo

    • @johnplacid8885
      @johnplacid8885 Před 4 lety +1

      Haha🤣🤣🤣hujui Kam hyo hella y kumlipa doctor Ni route moja y Mumbai zidisha Mara 4 per week unapata 🏨🏨🏥🏥 za kutoxha je ? Doctor asipopata mshahar akagoma kuktibu busha lako utatibiwa na nan n Kwann hujui Ethiopia inategemea usafri wa anga??

    • @johnplacid8885
      @johnplacid8885 Před 4 lety

      😀🤗🤗😅😅mbona unajistukia kwn mm nimemsema mtu kaimba au unawataja wlio baki lete defender lete mapanga bx tuongeekiharakat

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 Před 4 lety

      @@johnplacid8885 poor reasoning, alafu ungejua schedules za matibabu ndo ungeongea hayo

  • @sagudanicasnicas2660
    @sagudanicasnicas2660 Před 4 lety +4

    Ni mkuda tuu ndoo anaweza toa maneno ya kebehi

  • @franciskanuth1705
    @franciskanuth1705 Před 4 lety +2

    Next time Ben muulize engineer kuhusu majengo ya station ya Dar,maana kwenye ramani majengo yanaonekana ni mawili lakini hadi sasa linaonekana jengo moja tu ndo linajengwa..Na ni vipi abiria wataingia kwenye trains baada ya kufika floor ya pili kwa hizo ladders,lifts na oscillators maana kuna umbali kidogo kutoka kwenye floor ya pili kulifikia daraja la trains???

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine7906 Před 4 lety +3

    Da kweli nchi inapaa

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 Před 4 lety +5

    Kazi inakamilika muda si mrefu.
    tuandae nauli sasa wenyeji wa mikoa ya ukanda wa kati ambao hatujarudi makwetu kwa miaka mingi.ili tuzindue safari za treni hii kwa kishindo na rekodi ya kipekee.

    • @tarikj3782
      @tarikj3782 Před 4 lety +1

      Nina hamu sana kazi ikamilike haraka sana lakini inavyoonekana kazi kukamilika haswa mpaka 2021 kama sio zaidi ya hapo.

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 Před 4 lety +2

      Tarik J Tuendelee kuwaombea hawa walioko mstari wa mbele kwenye mapambano .wajaaliwe nguvu na wasirudi nyuma.
      watupe mradi wetu mapema iwezekanavyo

  • @henrickchambilo3119
    @henrickchambilo3119 Před 4 lety +6

    Msitukwamishe sisi eeeeh

  • @ericksama2788
    @ericksama2788 Před 4 lety +2

    Big up Ben nmejuwa wa kwanza comment

  • @kimayahlawrence1893
    @kimayahlawrence1893 Před 4 lety

    Long live TANZANIA and her people,hard work with proper planing brings success not democracy.

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine7906 Před 4 lety +4

    Haya majengo chakavu pembeni serikali iyatathimini vzrii.maana seven inatakia kuwa nzri ili kuvutia wageni,pia utarii wa ndani

  • @petermabiki7798
    @petermabiki7798 Před 4 lety +2

    Kwa anayefahamu Hiyo Train ya deluxe inachukua muda gani kutoka Dsm hadi Moshi?

  • @bakaringarioka2783
    @bakaringarioka2783 Před 4 lety +7

    Kongela magufuli

  • @rebornpharaoh3617
    @rebornpharaoh3617 Před 4 lety +3

    translation

  • @rastokapunji7191
    @rastokapunji7191 Před 4 lety +1

    Je SGR itafika Lindi Mtwara?wengine tungependa kutalii Tanzania na Reli itakuwa muafaka sana

  • @karyori69
    @karyori69 Před 4 lety +5

    Daraja la Nkurumah linaitwa "cable stayed bridge" na si cable bridge!

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 Před 4 lety

      Kwa hiyo hapo kakosea nini? Yaani hiyo stayed umeona ni tatizo isipowekwa.

  • @rajabomary4222
    @rajabomary4222 Před 4 lety +3

    Tupeni na Bei za Mwanza - Dar

  • @machengendutu8736
    @machengendutu8736 Před 4 lety

    This tanzania

  • @kinjeketilengwale1141
    @kinjeketilengwale1141 Před 4 lety +2

    Acha punguani wapige kelele wataokuja kua kuamua kipi kilikua sahihi na kipi sio ni kizazi kijacho na sio hizi pumba za mitandaoni! wavivu wapiga madeal huu ndio uwanja wao kule kwenye maisha ya kawaida mkuu amekaza😂

  • @MWALIMUMBUNIFU89
    @MWALIMUMBUNIFU89 Před 4 lety

    Inavutia sana

  • @dr.njipaysophon3209
    @dr.njipaysophon3209 Před 4 lety +9

    Ben mbona kama hatusogei kila siku ni asilimia 70?

    • @frankd1156
      @frankd1156 Před 4 lety +1

      Huyu sasa ni click bait..no new news.usanii mtupu

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 Před 4 lety

    Awamu ya tano5 nawaona hivyo asanteni sana

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 4 lety +2

    Jpm umenifanya niuwamini usemi usemao mti wenye matunda ndio upigwa mawe,,

    • @dunduumaster4815
      @dunduumaster4815 Před 4 lety

      Nenda kamtunuku basi

    • @grivinmkumbo4534
      @grivinmkumbo4534 Před 4 lety +1

      @@dunduumaster4815 Sisi watu wa Moshi na Arusha tunao kwenda kuesabiwa mwezi wa kumi na mbili raha kweli maana hatuta gongwa tena nauri na usafiri tunaweza tukapanda watu wote wa Arusha na Moshi Mara moja na tukafika kwa wakati mmoja

    • @Tiffany340
      @Tiffany340 Před 4 lety

      @@dunduumaster4815 punga sese Wewe

  • @qasimbhai5842
    @qasimbhai5842 Před 4 lety

    Tanga pia tunahitaji treni ya abiria

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 4 lety +1

    steshen ya morogoro itakua wapi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 4 lety

    Kusema ukweli magufuli ni baba lao kaah yani kwa kazi hii nchi lazma iendelee

  • @bbmediafirm
    @bbmediafirm Před 4 lety

    vituo sio vizuri kabisa vilipaswa kuwa vizuri zaidi

    • @grivinmkumbo4534
      @grivinmkumbo4534 Před 4 lety

      vituo siyo muhimu kama usafiri wenyewe

    • @rastokapunji7191
      @rastokapunji7191 Před 4 lety

      Yatosha kaka.hii ni mwanzo tu na hela itoke wapi?usilinganishe tz na ulaya.mwendo ndio umeanza na tutafika tu

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Před 4 lety

    Rais wakikuzingua siku ukimaliza muda wako uza vyote ulivyonunua na bomoa vyote ulivyojenga maana hawana jema

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 Před 4 lety

    Dah nakubali

  • @franklinurio1348
    @franklinurio1348 Před 4 lety

    Korogwe na nauli ya kulala wap wap? hata Moshi yenyewe embu kuweni wabunifu toeni hizo behewa za vyumba ili mbebe watu wengi zaidi.

  • @habibndulilah2794
    @habibndulilah2794 Před 4 lety

    Alafu mtu mmoja anasimama ansema hakuna kilicho fanyika,, Mmmmmmmmmmmm!!!! "WAPUUZENI WA* VU HAO"

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 Před 4 lety +1

    Malizeni ujenzi, acheni porojo

    • @sagudanicasnicas2660
      @sagudanicasnicas2660 Před 4 lety

      My Brevis ai250 acha ukuda

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 4 lety

      Kwa akili zako una fikiri ata huko Ulaya wana jenga vitu vyao kwa siku moja tuu? Ujenzi lazma uchukue mda laa sivyo ni kulipua lipua

    • @odethaoscar2173
      @odethaoscar2173 Před 4 lety

      We unafikiri huo ujenz ni rahis rahis tu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před 4 lety

    Fikeni asilimia 90 basi ..Kila siku 70

  • @allananam6631
    @allananam6631 Před 4 lety +1

    Hii reli yenu imekwama asilimia 70%?