HOUSE GIRL EP 38 || love story💞💕

Sdílet
Vložit

Komentáře • 895

  • @user-bj1gu8cw3b
    @user-bj1gu8cw3b Před 17 dny +158

    Mapenzi ya dawa unaishi kwa wasiwasi yakiisha huna chako iyo nzuri nimeipenda kama tuko pamoja gonga like kwa wingi

  • @LinaLina-uu5pw
    @LinaLina-uu5pw Před 17 dny +101

    Mafundisho,vichekesho,maelimisho mazuri tunafurahia mno kwa hii movie ❤kama unawapenda waigizaji tupa likes kwa wingi.

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj Před 17 dny +97

    Wale tunao enjoy maamuzi ya kai tugonge like

  • @user-nh5zw9fg1h
    @user-nh5zw9fg1h Před 17 dny +232

    Woyooooo wanaofrahia maamzi ya kai gonga like hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @joshuzaro9
    @joshuzaro9 Před 17 dny +33

    Hii ni noma sana kai kachukua maamuzi ya kiume ,sjawai pata like kuanzia nianze kuangalia hii muvi naombeni like

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před 17 dny +68

    Jamani ambao tulisubiri mpaka tukakata tamaa like hata kumi nienjoy kidogo please 🙏❤️😂😂

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před 17 dny +41

    Ambao tulikuwa tunasubiri kuona sapraiz ya kai mko wap😂😂😂😂😂😂

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx Před 17 dny +69

    Muvi iko nomba Sana kwa kweli ila taizo ni moja tu kipande inaisha dakika zenyewe chache ila zile sini muhim ambazo tuna ham nazo hamuchezi munazinguwa munaweka Mambo mengi hayana ata maana. tulio pamoja na hili tujuane kwa like apa.

    • @FatmaSalim-dc6zp
      @FatmaSalim-dc6zp Před 17 dny +2

      Mie nakuunga mkono wanakera sana

    • @dorcaswandera8829
      @dorcaswandera8829 Před 17 dny +2

      𝐾𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑗𝑎𝑒𝑙𝑒𝑤𝑎 ℎ𝑖𝑘𝑖 𝑘𝑖𝑠𝑤𝑎ℎ𝑖𝑙𝑖 𝑐ℎ𝑎𝑘𝑜..𝑢𝑛𝑎𝑠𝑒𝑚𝑎𝑎???

  • @Norah-dee
    @Norah-dee Před 17 dny +193

    Candy uchawi tyu kuoga aahhh hy ss tujuane ambao tupo kwny maandalizi ya harusi candy bahn candy gooo hy tjuane🎉🎉 kwa like

  • @JoshuaLoth-qy1yk
    @JoshuaLoth-qy1yk Před 17 dny +109

    Hii movie inafundisha , inaelimisha ,,inachekesha pia kama unakubaliana na mimi tujuane kwa like hapa

    • @gersonissa9124
      @gersonissa9124 Před 17 dny +2

      😂😂🎉🎉🎉

    • @MankaMeski-o5k
      @MankaMeski-o5k Před 17 dny +2

      Sikweli inafundisha San ila kendi anaboa kama nn nasurayake mby mungu ty ndy anajua alivyo mtengeneza kweli mung nisamehe ty kama nakosea

    • @melanianjau3244
      @melanianjau3244 Před 17 dny +1

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 Před 17 dny +2

      Sana tu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b Před 17 dny

      Mm na enjoy tu jmn😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f Před 17 dny +53

    Leo 200naomba like jamani mwenye atakuja nyuma ❤🎉❤🎉

  • @AgnesDavdi-rz9hg
    @AgnesDavdi-rz9hg Před 17 dny +33

    Leo nmechelewa muvi zenu kiwango mambo ni moto kama unanifatilia gonga like zifike 100😃

  • @Saumu254
    @Saumu254 Před 17 dny +22

    Malipo n dunian candy kula chuma icho tena cha kutu😂😂😂😂

  • @FatmaAli-wr7mm
    @FatmaAli-wr7mm Před 17 dny +45

    Man nkajua me wakwanz enywey like kwa kai🎉🎉🎉

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Před 17 dny +28

    Kai umekuwa chizi juu ya zuu utakuwa naye karibuni tu zuu wako ❤❤❤❤

  • @patrickmutuku5726
    @patrickmutuku5726 Před 17 dny +16

    Wagapi tunawatch tukiwa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💥💥💥

  • @user-dt2be7eg1c
    @user-dt2be7eg1c Před 17 dny +12

    Any Kenyan here enjoying these beautiful episodes😑

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj Před 17 dny +15

    Waliekuw wakiifikiria hii suprze anaeonyeshwa kai like hap😋

  • @faridasaleh4982
    @faridasaleh4982 Před 17 dny +46

    Tunaomuona Kai kama kachanganyikiwa tujuane Kwa like

    • @elifurahamassawe2275
      @elifurahamassawe2275 Před 17 dny +3

      Ajachanganyikiwa subiri uachwe na mpenz wak,alafu uwe na nguo zake ndani utajua😅

    • @AnithaMwijonge
      @AnithaMwijonge Před 17 dny

      😢😢😂😂😂😂😂😂😂​@@elifurahamassawe2275

    • @MarianeKibada
      @MarianeKibada Před 16 dny

      Haja changanyikiwa mapenz yanauma yaan kama hujawahi kupenda huwezi elewa

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw Před 16 dny

      ​@@MarianeKibada😂😂 kweli kabisa siwezi elewa

  • @AshuraShafii
    @AshuraShafii Před 17 dny +2

    Candy gooooh goooooh harusi tunayo na tunatamba nayo wanaotaka zuu awe wifi yetu gonga like hapa❤❤❤😂😂

  • @JoycePeter-rk4hf
    @JoycePeter-rk4hf Před 17 dny +15

    Jamani now days mmekua na Kazi nyingi mnatuma kidogo sana mjitahidi basi mfanye kama zamani busati tv movie Ni nzuri Ndio ila sasa ikichelewa kama hivi inakosa radha

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 Před 17 dny +15

    Yaan Kila moja ANAOMBA like hamna kitu chakusema

  • @user-yt3nn9gz8u
    @user-yt3nn9gz8u Před 17 dny +23

    Wakwanza jamani naombeni like zangu❤😂😂😂

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Před 17 dny +22

    Sikwa mbio hio yani imenipata humuhum tu mkuje polepol nime mop xai tu 😂😂😂

  • @sikukuusaid-ki1yn
    @sikukuusaid-ki1yn Před 17 dny +15

    jamani hii movie ni ipi na ipi sababu Kuna km hii haya bs naombeni hata like moja jamani

  • @buru1235
    @buru1235 Před 17 dny +16

    Wow Leo top 100 Mashallah thanks so much

  • @AaAaarehema
    @AaAaarehema Před 17 dny +9

    Candy kimemuramba,ujanja wa nyani kaishia jangwani.😂😂😂😂😂hapa hapa mama,hongira sana

  • @AkimanaVely-gq9cu
    @AkimanaVely-gq9cu Před 17 dny +64

    Watu mnashindahumu nyieeee like kwa wana wa burundi tujuane kwa like

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 Před 17 dny +11

    Yaan nmekimbilia uku karibu nianguke lkn mshawai tyr duuh 😂😂😂😂❤team zuuu tupo Yaan 😊

  • @user-hf7pk2lx4v
    @user-hf7pk2lx4v Před 17 dny +3

    Candy doa ni ufumilivu na kuomba sana mwenzi mungu ailinde sasa. Ww ulionelea ukatafutane na mizimu ona sasa umepoteza kila kitu samahani dada tujifunze na kendi

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 Před 17 dny +14

    Nmewah leo jmn naomben likes hat 3 ty 🎉🎉🎉🎉

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m Před 17 dny +9

    Candy waskia maneno ya mama 😭😭😭hufai tena bila baraka za mama hata huyo masozi atakutupa

  • @josephmunywoki8304
    @josephmunywoki8304 Před 17 dny +8

    Am the first one to comment...I am Jose from Kenya I like the movie keep it up Kai alafu bro akh ingekua sio kuingiza ... walahi keddy angekua mtu

  • @winniejapheth5071
    @winniejapheth5071 Před 17 dny +15

    Napenda Sana hii movie ❤

  • @MaryWachira-m5y
    @MaryWachira-m5y Před 17 dny +27

    Nimewahi Leo nipeni like

    • @OneEmanuelAlly
      @OneEmanuelAlly Před 17 dny

      Kuomba like tu subscribe aaah😂😂😂😂

  • @JladyKadzo
    @JladyKadzo Před 17 dny +6

    Yani kendy hujui kuwa mple hata kwa mama mzazi wewe kwisha sasa mimi niko kusubiria kula ubwabwa tuna harusi mbili sasa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ElizabethNanjala-lm5ec
    @ElizabethNanjala-lm5ec Před 17 dny +5

    Haya basi wa mwisho kutizama nipee likes zangu 🎉🎉❤❤😂😂

  • @user-kv8rj3ib4o
    @user-kv8rj3ib4o Před 17 dny +8

    😂😂kai utafika mbinguni Kwa njia ya mtandao 😅😅😅😅haya

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b Před 17 dny

      😂😂😂😂 hata mm naona hvyo

  • @DianaRumbanisa
    @DianaRumbanisa Před 17 dny +14

    Kimewakaaaa mamb yako motooooooo mnajua had mnajua tenaaa🎉🎉🎉❤❤❤chukueni maua yenuuuuu❤❤❤

  • @Aishybeb
    @Aishybeb Před 17 dny +3

    Nyie ata one hour haijaisha like na comment km zote,, thats great work congratulations team zuu n kai kwa kazi yenu nzuri aisee 🎉🎉❤

  • @JacklinePaul-oq3ws
    @JacklinePaul-oq3ws Před 17 dny +10

    Kai unakwama wapi aiiii ...maamuzi ya taratbu hvo maneno makali lakini unaongea kiustaarabu ...mbona huku duniani n mateke kabsa na hawez kubaki mtu

  • @vanessanathan3135
    @vanessanathan3135 Před 17 dny +25

    SCRIPT ZA KUONGEA ZIMEKUWA NDEFU SANAA, YANI EPISODE NZIMA KUNA SCRIPT MBILI TUU MPAKA CHARACTERS WENGINE WANASHINDWA KUONEKANA DIRECTOR PLZ REKEBISHA HILI, FUPISHA MAZUNGUMZO KWA CHARACTERS.
    though ni kazi nzuri sanaa.. keep it up team💯

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Před 17 dny

      Niliwah ongelea ili jambo kitambo sana scene moja inamaliza dakk nne akat muv inachkua dakk 15

  • @Fatuma-vz9zl
    @Fatuma-vz9zl Před 17 dny +11

    Mashallah Allah awape nguvu zaid muzd kusonga mbele

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Před 17 dny +12

    dan niatar kweli yani mupaka raha 💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️

  • @MaryChemnyetich
    @MaryChemnyetich Před 17 dny +1

    Wale wamefurai mahamuzi wa kai wapi like yake🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Před 17 dny +4

    wow kai sahii bdo maandalizi y harisi n zuu 🎉🎉🎉

  • @rinciakhasoah
    @rinciakhasoah Před 17 dny +9

    Leo nimewa nipewa atabusu jamani😊😊😊

  • @MtabibuAsilia
    @MtabibuAsilia Před 17 dny +15

    Tiliokua tunasubiri tangu asubuhi tujuane

  • @VailethYusi
    @VailethYusi Před 17 dny +8

    Wakwanza leo naomba like zangu

  • @user-bq3hg6oi5p
    @user-bq3hg6oi5p Před 17 dny +65

    Jamani tangu niangalie hii move sijawahi kupata like nipeni na mm😊

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 Před 17 dny +7

    Kai😂😂😂 nguo Za zuu tu umeishaaa mapezdi jameni

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie Před 17 dny +8

    Wakwanza mie nimengojea xn house girl

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze Před 17 dny +16

    Pigeni vigelegele muache kuomba likes😂😂😂

  • @Beathasimon
    @Beathasimon Před 17 dny +8

    Hello guys jaman like ata mojaaaaaaa 😅😅

  • @selinajosepbat2993
    @selinajosepbat2993 Před 17 dny +6

    Aaah nimechungulia huku leo manzee mpk nikakata tamaaa

  • @user-fr1nr5zu6p
    @user-fr1nr5zu6p Před 16 dny +1

    kwan ukipewa like kinatokea nini jaman mi sijawah omba like alooo haya wa kunilike karibu ni

  • @edimaralupenza917
    @edimaralupenza917 Před 17 dny +4

    Next inatoka saa ngap jaman maan Leo mmeanza kurusha kipande cha Jana please next mutuwaishie

  • @Sada-sk
    @Sada-sk Před 17 dny +2

    Jamani huko kwengine sija kubaliana na nako lakin hapa hadi natoa machozi,candy ni wakumuambia mama nyamazaaaa,huyu mdada hana radhi kabca

  • @FATMARAHMARahma
    @FATMARAHMARahma Před 17 dny +1

    MAMAN kandy shikamo mman nakusalimia maman🤗🤗 unanikosha moyo wallah bibi yetu nae Milele daima🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd Před 17 dny +3

    Jameni mnatuchelewisha aki jaribu kueka mapema maana nangoja hdi nachoka🎉🎉🎉🎉

  • @user-dx3yy5oh2r
    @user-dx3yy5oh2r Před 17 dny +6

    Wa kwanza mm naomba like zangu pls

  • @Jackiline-kw3zq
    @Jackiline-kw3zq Před 17 dny +1

    Mov nzuli San , wanaojifunza kitu chochote kupitia mov hii gonga like hapo

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 Před 16 dny +1

    Kaz nzuri san mungu azid kukupa nguvu na ubunifu mtunzi🎉🎉🎉🎉

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee Před 17 dny +9

    candy kudanga 2 kuoga aaaaaaahh

  • @monarm9363
    @monarm9363 Před 17 dny

    Hahaaa mapenzi ya dawa simapenzi jamani nimejifunza mengi hapa kheri nijikibali nilivyo mtu akinipenda anipende asiponipenda nikipendwa na wazazi wangu inatosha wallah hii movie inamafunzo mazuri sana hongerani sana Wana busati kwa maelimisho yenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HrdaKahimbi
    @HrdaKahimbi Před 17 dny +2

    Waooo mov kuanzia mwanzo mpka mwshoo ni kalii blaaa 🎉🎉❤❤❤❤

  • @MohammedyJuma-wf3jc
    @MohammedyJuma-wf3jc Před 17 dny +5

    Wakwanza leo Mm ndo kontawa 🎉🎉🎉

  • @AbiaClement
    @AbiaClement Před 17 dny +2

    Like kumi tu naomba

  • @Igra254
    @Igra254 Před 17 dny +1

    Nilitamani iwe hivyo jameni❤likes hapa Kwa wingi

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Před 17 dny +2

    Kai uko sawa bt Tasha why Sania?? Halaf 😂😂😂😂😂mama candy jamani nipe nafasi nipumue hta kidogo,,aty ndevu kama mbuzi za nini eishy hyu mama Ako on next level 👏👏 very interesting show nawapenda sana mie jirani wenu 254🇰🇪🇰🇪

  • @EsterWikama
    @EsterWikama Před 17 dny +1

    Jaman mm huku kutwa nashinda kuchungulia tuuuuuuu😂😂😂😂 kazin nzur sana jamn et eeee

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei

    Kai maamuzi mema nakupenda sana🎉🎉🎉

  • @MercySilvester
    @MercySilvester Před 17 dny +4

    Mbna sikuhizi mwachelewesha ongezi ata madakika basi 🎉🎉🎉

  • @user-cl1po8pj5c
    @user-cl1po8pj5c Před 17 dny +8

    Namba moja

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa Před 9 dny

    Napenda movie zenu jamn nixakiwango kama unapenda kama unafatilia gonga like50

  • @VickyFrancis-eb2vp
    @VickyFrancis-eb2vp Před 17 dny +3

    Jana tumebshana sana .. suplz n shoga ake candy 🍭🍭😅😅😅😅😅😅

  • @rehemalimonga9058
    @rehemalimonga9058 Před 17 dny

    Laana ya Mama mbaya 😢😢,,,Mungu atusaidie tuwaheshim Wazazi wetu waliotuleta Duniani 👏👏💪💪.

  • @MaryamSaid-pq6ix
    @MaryamSaid-pq6ix Před 17 dny +3

    Mi nawapenda nyote jamn movie tamu hii❤❤

  • @Mariam55-hz8if
    @Mariam55-hz8if Před 17 dny +4

    Viguu kama udi devu kama ndevu za nini😂😂😂😂

  • @user-ex2ck5zw9c
    @user-ex2ck5zw9c Před 17 dny +3

    Kimenuka leo waaah lazima kieleweke kwa kai lazima ushindi urudi kwa zuu

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg Před 17 dny

    Kai umenifrahisha jaman duhhhhh hongeren kwa kaz nzri wapedwa ila ombi langu msicheleweshe move ban wat hatulali tunasubir move

  • @AminaChile-bx8hv
    @AminaChile-bx8hv Před 17 dny +2

    Mmmh jamn hta hamwatch ndio mkacomment hya twenden nalo😂😂😂

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk Před 17 dny

    Candy kashayabananga n bado anazidi kuyabananga team kai n zuu tujuan kwa like 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před 17 dny +17

    Chap chap wa 6 niwekeeni like za kutosha nikuhadisieni ina malizia vip 😂 from 🇴🇲

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl Před 17 dny

    🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi guys congratulations sem imekua fupi sijamuona bi daa zuu

  • @Ismaelmeja
    @Ismaelmeja Před 17 dny +4

    Aky hii nayo ni moto 🔥🔥🔥🔥

  • @DorcusLongo
    @DorcusLongo Před 17 dny

    Duuh kua na mtot kam candy bola niwapeeee wagumba wanixaidie kulea mm aaaaah 🎉🎉🎉

  • @LesianJuma
    @LesianJuma Před 17 dny +3

    Kazi za hawa ni danger ni nzuriii hatari ukiangalia huwezi acha angalia kiukweliiii ziko na mvuto tuliopak movie nyingine na kufatilia hii comment chochote

  • @MandiZERO
    @MandiZERO Před 17 dny +2

    Wow muvi nzuli jm 😍 👏 👌

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Před 17 dny +1

    Waaah haki hii movie inamafunza sana candy 😅😅😅😅mama ni mama

  • @millysitati8844
    @millysitati8844 Před 17 dny +1

    Mama candy matusi jamaani😂😂😂😂😂😂😂😂 ati wengine mindevu kama nini ya mbuzi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EvaluluMpandagoya
    @EvaluluMpandagoya Před 17 dny +2

    Wanaotaman watuachie na 39 leoleo gonga like apa

  • @Doricah-pm2jc
    @Doricah-pm2jc Před 17 dny +1

    Kaa nimeku like pia nilike tukiendelea kunyifusha

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 Před 17 dny

    Candy hana adabu
    Wallah anamyamanzisha mama yake asiseme
    Subhana Allah 😮

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il Před 17 dny

    Nyie kwan kamkondeee amuja sikiaa 😬😂😂😂😂 naombeni like zanguu ❤

  • @charitychadrek
    @charitychadrek Před 17 dny +7

    Nimewahi reo 🎉🎉🎉

  • @HajiMwanz-to3vg
    @HajiMwanz-to3vg Před 17 dny +1

    Kai kweli kahamua kwa maamuzi mazuri hongera

  • @ZulfaHamza-e8h
    @ZulfaHamza-e8h Před 15 dny

    Jaman hii move naipend na naifatilia sanaa jamn❤

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul Před 17 dny

    Ila kai ndo ulale na nguo za zuu et harufu yako imetawala 😂😂 team kai mkuje kwa like jomon

  • @user-iv2ni4bz6n
    @user-iv2ni4bz6n Před 17 dny

    Fun Mkubwa wa hii episode...... from Kenya 🇰🇪 likes zikam