Video není dostupné.
Omlouváme se.

NI NANI ABDULQADIR JAILAN, Sheikh Dkt. ABDULRAZAK Amir

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 11. 2020
  • Ziara kwa Sheikh Salim MTIMKAVU, Arusha Matejoo.

Komentáře • 39

  • @user-ov8pn3he3m
    @user-ov8pn3he3m Před 5 měsíci

    🎉🎉🎉🎉

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Před 2 lety +2

    Tujiangalie sana tusije kuingia kwenye RIAAAA.

  • @sayeedsaleem6395
    @sayeedsaleem6395 Před 3 lety +1

    MashaAllah

  • @haideryally2469
    @haideryally2469 Před 3 lety +1

    Ahsantum

  • @fatmatraashidu8522
    @fatmatraashidu8522 Před 3 lety

    MashaAllah,MashaAllah!!! 😍😍😍😍😍

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +1

    ABDULQADRI JAILANI ALIKUWA AHLUSUNNAH WALJAMAA,HAWAKUWA SHIA,WALA HAKUWA NA ITIQADI MBOVU WALIYONAYO MAPUNDA WA MASHIA,WANAOWAALIKA MASHIA KWENYE HAFLA ZAO!!

  • @Mrman_55
    @Mrman_55 Před 10 měsíci

    2:50 Mambo gani ndugu, si tuskize sheikh pole pole jameni?

  • @user-tl2ks4fl4h
    @user-tl2ks4fl4h Před 6 měsíci

    Acheni ukafiri

  • @msemajafar3873
    @msemajafar3873 Před 3 lety

    Hakika yawewe unakonga nyoyo zawajawema

  • @twariqatushadhily1549
    @twariqatushadhily1549 Před 2 lety

    HAWA MASHIA TUSIWAALIKE KWENYE HAFLA ZETU

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před 7 měsíci

      Kwa nini? Basi akili yako imebanwa. Umeumbwa uwe huru kiakili na isibanwe na watu wengine.

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před 6 měsíci

      Ushia ni ukafiri ulio wazi kabisa

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před 6 měsíci

      @@eddieeddie2755 Ukafiri wao umetoka wapi? Ikiwa ushia ni ukafiri basi madhehebu mengine pia ni ukafiri kwa sababu wengi katika wanachuoni wa ahlusunna wamesoma kwa imam wa sita wa kishia anayejulikana kwa jina la imam jaffar as-swadiq (a.s)

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před 6 měsíci

      Ndiyo maana madh-hab ya shia inaitwa kwa jina la jaffariya. Imam jaffar ndiye aliyepata fursa ya kueneza mafunzo za kizazi tukufu cha mtume (s.a.w.w)

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před 6 měsíci

      @@ismailosanoomar3326 Abubakar Sadiq na Omar Othman, ( R.A) kwa mashia ni wabaya zaidi ya makafiri , je wewe unalikubali hilo?

  • @mohammedsalum4418
    @mohammedsalum4418 Před 2 lety

    Hapo sheikh wangu unaugawa uislam nini maana ya qaadiriyah coz bado hujafafanua qaadiriyah ni kundi ama ndini nahiyo umeitoa wapi ktk Quran ama hadith na sunna za bwana mtume s a w

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 2 lety +1

      Kadiria ni twariqa. Kuna twariqa nyingi lakini zote hufikia kwa Mtume saw. Maana ya twariqa ni swahaba gani njia yako imepitia. Mtume saw amesema " maswahaba wangu ni kama nyota, yoyote utaemfuata hutapotea" Sasa qadiria na shadhilia ni twariqa ya sayyid na Ally k. w. Ukisikia NAKSHABANDI ni Sayyid na Abuubakar ra ilipopitia. Kuna baalawi, yaani zipo nyingi na zote ni utungo wa maswahaba R. A. Ndio mtume saw akasema katika hadithi mashuhuri " ASHERIYATU KASSAFIINA WAL TWARIIKATU KAL BAHRI WAL MAARIFATU..........." yaani hadithi ime endelea meifupisha. Yaani. Kusoma elimu ya sheria ni kama jahazi na elimu ya twariqa ni kama bahari na ukiitaka lulu (pepo ) iliopo katikati ya bahari basi panda jahazi na upite kwenye bahari..., maksudio sheria tupu au twariqa tupu hupati pepo. Lazima uwe na yote mawili. Usome sheria na ujulikane weye umepitia kwa swahaba gani?. Sasa akisema mimi ni kadiriy ujue Sayyid na Ally kw. Kwa ufupi tu huo.

    • @mohammedsalum4418
      @mohammedsalum4418 Před 2 lety

      @@hilalkhalfan1452 hiyo hadith imepokelewa na nani pia tuambie bwana mtume s a w alikua ktk kundi gani usitupe maelezo tupe ushahidi wakimaandiko hapo masheikh ndipo tunapokosea tunapenda ushabiki nakuugawa uislam bwana mtume s a w hajafundisha hayo mambo kwamba nani kadiria nani shia bali masheikh wasasa tunapenda kutengeza makundi ilikujipatia maslai

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 2 lety

      @@mohammedsalum4418 fa's aluu Ahlu dhikri inkuntum LAA taalamuun. Mimi nlitoka nikaenda huko walipo Hao watu na ni kasoma. Kwaio kama hujui ndugu yangu nenda kapige goti na upate elimu. Kwa kukufunza hadithi moja tu bado hujafikia kutoa fatuwa Hali weye lengo lako nikutoa fatuwa. Kama weye umeshamaliza elimu na hadithi za Mtume saw ndio maana ukatoa kauli hio ya mashekhe wanagawa watu basi yaonyesha wewe watakiwa ufute elimu yako ya kichwani na ukaanze upya.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 2 lety +1

      @@mohammedsalum4418 yaani weye ushatoa fatuwa kabla hujafunzwa. Ushasema Mtume saw hakufundisha hayo mambo. Sasa toka Kisha nikuelekeze sehemu ukasome. Niambie upo wapi nikuelekeze ukasome.

    • @mohammedsalum4418
      @mohammedsalum4418 Před 2 lety

      @@hilalkhalfan1452 tatizo sio kusoma tu wewe umeyatoa ktk kitabu gani