Video není dostupné.
Omlouváme se.
NI NANI ABDULQADIR JAILAN, Sheikh Dkt. ABDULRAZAK Amir
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 12. 11. 2020
- Ziara kwa Sheikh Salim MTIMKAVU, Arusha Matejoo.
Komentáře • 39
Další v pořadí
Automatické přehrávání
KISA CHA MIIRAJI 08 By Khalifa Mussa IssaKHALIFA MPYA TV
zhlédnutí 1,1K
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid AlhadKalamutz
zhlédnutí 90K
SHEIKH WALID AMSOMESHA MTOTO WA BACHU | SEMA HUJUI SIO HAKUNA | HADHARA YA MASJID MTORO 2023MASJID MTORO ONLINE TV
zhlédnutí 101K
Vybíráme outfit na koncert😅 Berete 💛 nebo 🩷? #justforfunLollipopz
zhlédnutí 140K
Third Wheel Problems 🥲Alan Chikin Chow
zhlédnutí 22M
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎Senza Limiti
zhlédnutí 12M
MBINU ZA MAFANIKIO KATIKA MAISHA SHEIKH ABDULRAZAK AMIR JUMASAUTI YA AHLULBAYT
zhlédnutí 2,4K
Nafasi ya mke na mume katka maisha ya ndoa || Masjid Noor ArushaDkt. Sheikh Abdulrazak Amir
zhlédnutí 166
Sayyidunaa Ali Bin Abii Twaalib رضي الله عنه... Sheikh Mbarak Ahmed AwesSheikh Mbarak Ahmed Awes
zhlédnutí 6K
SHEIKH :-OTHMAN MAALIM"HISTORIA YA KUUMBWA MAJINI MPAKA KULAANIWAZVP ONLINE TV
zhlédnutí 1,8K
KHUTBA YA EID AL-ADH'HA || 2024/1445هDkt. Sheikh Abdulrazak Amir
zhlédnutí 95
Radd na Nasaha kwa Aliyekuwa Rafiki yetu Sheikh Hilal Kipozeo kwa Kuzua Visa vya UONGOSheikh Salim Barahiyan
zhlédnutí 73K
CHECHE ZA SHEIKH MZIWANDA MBELE YA SH WA MKOA DSM MPYA "USIPOKIJUA VIZURI UNACHOTAKA KUFANYA"BABDEO MILADU
zhlédnutí 34K
Kundi la Peponi katika Makundi 73KHALIFA MPYA TV
zhlédnutí 1,1K
Co na to ŘÍKÁTE?🔥 JIŽ online na HEROHERO🔥TĚLO na TĚLO - podcast
zhlédnutí 56K
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصيرOne More Arabic
zhlédnutí 51M
【斗罗大陆】坏人居然敢欺负唐舞桐? 斗罗家族可不好惹哟!#斗罗大陆#唐舞桐#唐三#小舞萌萌与舞桐
zhlédnutí 40M
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funnySKITS
zhlédnutí 19M
Díl který byl OSOBNÍ🔥 JIŽ online na HEROHERO🔥TĚLO na TĚLO - podcast
zhlédnutí 102K
JAK SE ŠKRTÍ?!! #alkan_ #fortniteAlkanhraje
zhlédnutí 133K
Attack a Terezka jdou na rande… KINOAttackShorts
zhlédnutí 465K
🎉🎉🎉🎉
Tujiangalie sana tusije kuingia kwenye RIAAAA.
MashaAllah
Ahsantum
MashaAllah,MashaAllah!!! 😍😍😍😍😍
ABDULQADRI JAILANI ALIKUWA AHLUSUNNAH WALJAMAA,HAWAKUWA SHIA,WALA HAKUWA NA ITIQADI MBOVU WALIYONAYO MAPUNDA WA MASHIA,WANAOWAALIKA MASHIA KWENYE HAFLA ZAO!!
2:50 Mambo gani ndugu, si tuskize sheikh pole pole jameni?
Acheni ukafiri
Hakika yawewe unakonga nyoyo zawajawema
Jazakallahu ghaira
HAWA MASHIA TUSIWAALIKE KWENYE HAFLA ZETU
Kwa nini? Basi akili yako imebanwa. Umeumbwa uwe huru kiakili na isibanwe na watu wengine.
Ushia ni ukafiri ulio wazi kabisa
@@eddieeddie2755 Ukafiri wao umetoka wapi? Ikiwa ushia ni ukafiri basi madhehebu mengine pia ni ukafiri kwa sababu wengi katika wanachuoni wa ahlusunna wamesoma kwa imam wa sita wa kishia anayejulikana kwa jina la imam jaffar as-swadiq (a.s)
Ndiyo maana madh-hab ya shia inaitwa kwa jina la jaffariya. Imam jaffar ndiye aliyepata fursa ya kueneza mafunzo za kizazi tukufu cha mtume (s.a.w.w)
@@ismailosanoomar3326 Abubakar Sadiq na Omar Othman, ( R.A) kwa mashia ni wabaya zaidi ya makafiri , je wewe unalikubali hilo?
Hapo sheikh wangu unaugawa uislam nini maana ya qaadiriyah coz bado hujafafanua qaadiriyah ni kundi ama ndini nahiyo umeitoa wapi ktk Quran ama hadith na sunna za bwana mtume s a w
Kadiria ni twariqa. Kuna twariqa nyingi lakini zote hufikia kwa Mtume saw. Maana ya twariqa ni swahaba gani njia yako imepitia. Mtume saw amesema " maswahaba wangu ni kama nyota, yoyote utaemfuata hutapotea" Sasa qadiria na shadhilia ni twariqa ya sayyid na Ally k. w. Ukisikia NAKSHABANDI ni Sayyid na Abuubakar ra ilipopitia. Kuna baalawi, yaani zipo nyingi na zote ni utungo wa maswahaba R. A. Ndio mtume saw akasema katika hadithi mashuhuri " ASHERIYATU KASSAFIINA WAL TWARIIKATU KAL BAHRI WAL MAARIFATU..........." yaani hadithi ime endelea meifupisha. Yaani. Kusoma elimu ya sheria ni kama jahazi na elimu ya twariqa ni kama bahari na ukiitaka lulu (pepo ) iliopo katikati ya bahari basi panda jahazi na upite kwenye bahari..., maksudio sheria tupu au twariqa tupu hupati pepo. Lazima uwe na yote mawili. Usome sheria na ujulikane weye umepitia kwa swahaba gani?. Sasa akisema mimi ni kadiriy ujue Sayyid na Ally kw. Kwa ufupi tu huo.
@@hilalkhalfan1452 hiyo hadith imepokelewa na nani pia tuambie bwana mtume s a w alikua ktk kundi gani usitupe maelezo tupe ushahidi wakimaandiko hapo masheikh ndipo tunapokosea tunapenda ushabiki nakuugawa uislam bwana mtume s a w hajafundisha hayo mambo kwamba nani kadiria nani shia bali masheikh wasasa tunapenda kutengeza makundi ilikujipatia maslai
@@mohammedsalum4418 fa's aluu Ahlu dhikri inkuntum LAA taalamuun. Mimi nlitoka nikaenda huko walipo Hao watu na ni kasoma. Kwaio kama hujui ndugu yangu nenda kapige goti na upate elimu. Kwa kukufunza hadithi moja tu bado hujafikia kutoa fatuwa Hali weye lengo lako nikutoa fatuwa. Kama weye umeshamaliza elimu na hadithi za Mtume saw ndio maana ukatoa kauli hio ya mashekhe wanagawa watu basi yaonyesha wewe watakiwa ufute elimu yako ya kichwani na ukaanze upya.
@@mohammedsalum4418 yaani weye ushatoa fatuwa kabla hujafunzwa. Ushasema Mtume saw hakufundisha hayo mambo. Sasa toka Kisha nikuelekeze sehemu ukasome. Niambie upo wapi nikuelekeze ukasome.
@@hilalkhalfan1452 tatizo sio kusoma tu wewe umeyatoa ktk kitabu gani