#TBC1
Vložit
- čas přidán 20. 02. 2023
- Kipindi hiki Cha Wekeza Tanzania kinaeleza fursa ya kumiliki nyumba katika eneo la Iyumbu Makao makuu ya nchi Dodoma ukiwa ni uwekezaji wa makazi uliofanywa na shirika la nyumba la taifa NHC.
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji- Neligwa Muggitu
Mdhamini - Azania Bank
Kipindi Cha Wekeza Tanzania ni Kila Jumanne saa 12:00 jioni na marudio jumatano saa 7:30 Mchana TBC1.
Good job
Bei gani nyumba
Mmeingia ndani na kuendelea na mahojiano, sio kuonyesha nyumba ilivyo ndani