Ndugu zangu zabron singers msife Moyo,Marco ni sawa Na mbegu Na mbegu ikiingia ardhini lazima itachipuka hivyo tarajieni makubwa kwani mbegu hiyo itachipuka tena.poleni sana
My heart goes out for you dear Zabron singers, servants of God.... It is indeed the most difficulty season and words fail..I have washed you on CZcams since your brother Joseph departed...your broken dear ones's been remembering you in prayer from Nairobi Kenya❤May God Him self visit with each of you individually and encampass you with His presence and help you through this heavy loss of your brother.I see you sing and your song moved my heart...God knows your pain ..may He uphold you. and carry you... Together with you..I pray that His dear family, wife,young babies..will receive comfort in a personal way from our maker. The wife is completely broken... His parents, sibs.. All you. May God walk you though this and bind you with cords of love that will not be broken...my prayers remain with you.be covered by the blood of Jesus Christ
Pole sana ndugu zangu kazi ya MUNGU aina makosa, tumuombee afike mbinguni, pole sana ndugu zangu 😭😭😭😭
Mungu awafariji wana zabron singers wacha marco alale salama ,,,japhet yote wachia mwenyezi mungu akusitiri ili ueze kuendelea kufanya kazi ya mungu
Ndugu zangu zabron singers msife Moyo,Marco ni sawa Na mbegu Na mbegu ikiingia ardhini lazima itachipuka hivyo tarajieni makubwa kwani mbegu hiyo itachipuka tena.poleni sana
Neno la faraja sana hakika ume nitia moyo na kunigusa mm pia naomboleza mpka xaxa nina uchungu sana
Poleni sana ndg jamaa namarfiki mungu awape uvumilivu katika kipind hichikigumu
Poleni sana ndungu zetu mpaka nashindwa kujizuia ninasikia uchungu sana
My heart goes out for you dear Zabron singers, servants of God....
It is indeed the most difficulty season and words fail..I have washed you on CZcams since your brother Joseph departed...your broken dear ones's been remembering you in prayer from Nairobi Kenya❤May God Him self visit with each of you individually and encampass you with His presence and help you through this heavy loss of your brother.I see you sing and your song moved my heart...God knows your pain ..may He uphold you.
and carry you...
Together with you..I pray that His dear family, wife,young babies..will receive comfort in a personal way from our maker.
The wife is completely broken...
His parents, sibs..
All you.
May God walk you though this and bind you with cords of love that will not be broken...my prayers remain with you.be covered by the blood of Jesus Christ
Pole Sana zabron singers mungu awape nguvu wakati huu mugumu, waja mungu aweke roho yake pema peponi 😭💔
Poleni sana hakika mungu ametowa piya mungu ametwaaa Kaz ya mungu Haina makosa hapo inauma sana jaman
Polen sana mungu awape faraja ktk kipind kigumu cha majonz.
Hakika nipigo kubwa sana mungu awafariji wapenz wangu ipo siku tutaonana nae
Poleni sana wapendwa wetu mungu akawe faraja ktk kipindi hiki kigumu
Mungu ailaze roho yke pahali pema 😢aiziidi kuwafarijii
Poleni sana mwenyezi mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu
Looh polen sana Zabron singers ama kweli tumeumia duuh kazi ya mungu Haina makosa
Poleni sana mwenyezi mungu awatie nguvu wana familia na kikundi kwa ujumla katika kipindi hiki kigumu
Pollen mungu akutie nguvu mam wa watoto3 wew ndo mam na bab kwa wanao akutie nguvu ktk makuzi yao
Uyu kaka anitoki moyoni Eee Mungu mpokee
mtumishi wako 🙏
Japhet vaa viatu usiogope Mungu atakushika mkono.
YOU ARE STILL THE ONE IN ZABRON CHOOSEN BY THE GOD.
May God protect you Japheth,Marco rest in peace.heaven really gain,us we lose
Poleni sana Mungu awatie Nguvu katika kipindi kigumu hiki
So sad 😢joel una saut nzr sana na nyimbo nzr pia,mungu ampumzshe kwa Aman mtumishi wake
Poleniii sanaaa kaka MUNGU Awe Faraja kwenu😢😢
Poleni saana Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Japhet amejikaza kaongea vzr sana Poleni sana
Daaa nimeumia sana pole sana mke wa malko
MUNGU awape nguvu mumpumzish ndugu yetu kwa aman.poleni sana wapendwa ktk kristo
Poleni sana kwa msiba huu mungu awafariji wakati huu
Jamaniii polen sana Mungu awafariji sana Cha msingi na sisi tujiandae WATUMISHI sisi sote tunasafiri
Mungu hawafariji nyote na haifariji familia ya ndugu yetu Marco Mungu hailaze roho yake mahala pema peponi
Pole sana ndugu zangu hapa tuko wapita njia kwetu ni mbinguni.
Poleni sana huu msiba una uma sanaa
Poleni wezangu kz ya mungu haina makosa tulimpenda mungu akampendq zaidi😢😢😢😢😢
Pole Sanaa jamn tumeumia sana
Poleni sana tumeumia wote, Mungu awe mfariji wenu huko
Pole Wana Zabron singers, it's indeed a heartbreak 💔 to all of us. 🇰🇪
Poleni sana hii familia wekeni namba tutumie rambi rambi
Poleni sana ndugu zangu
Poleni sana....Marco apumzike kwa amani
Mungu awatie nguvu
Mungu awape faraja Zabron singers RIP Marco Joseph.
Poleeni sana Ndungu zangu mipango yamungu haina makosa😭😭😭😭😭😭😭😭
Poleni xana mungu awape waraja yake
Poleni tulìmpenda MUNGU kampenda zaidi
Poleni sana Mungu ampokee
Pole san nduguzetu
Zaburi 116:15
Roho Mtakatifu Awapenyie ufariji mkubwa safarini. Bwana wetu na kaka Yesu yu mlangoni yuaja. Jitieni moyo
Poleni sana farijikeni ndani ya yesu
Mungu awatie nguvu😢Wana zabron
Poren sana Mungu awatie nguvu sana katika kipindi hiki Cha majonzi amuna
Poleni Sana Mungu Awa tie nguvu
Poleni sanaa
Poleni sana Mungu awape nguvu
Hugs hugs watu wetu,tulimpenda ndugu yetu, lakini mungu kampenda zaidi😢🫂🫂🫂🙏
😭😭😭😭😭😭 pumzika tuuu
🎉mungu atutie nguvu wote maana wote tumeumia sanaa
Polen San mungu awafunge mkanda
Inauma saana
Poleni sana wanafamilia ya Zablon singers
Poleni sana wanazabron
Poleni sana 😢
Mungu awatie nguvu wan zobron🙏😭😭😭😭😭
Poleni sana tena Sana sana mana
Poleni Sana mungu hamtangulie inauma sana😢
Mungu awe nanyi na awatie nguvu
Polen Sana ndugu zangu
Poleni Mungu awatie Nguvu
Rest easy Marco Joseph! Till we meet again.
Poleni sana
POLENI SANA WAFIWA WOTE. NA WANAKWAYA WOTE LOO INAUMA SANA
Poleni sana wanakwaya wenzangu
Pole tena pole zabron tumekosa mtuwaajabu
Poleni sanaa 😢😢😢
Joel ubarikiwe sana
Mungu awazidishie amani yake.
apumzike kwaaman
Farijika kwa jina la Yesu 🙏🙏🙏🙏🙏
Poleni sana Mungu awape faraja 😰😰💔
Pole sana kaka
Wafilipi 1:21
😭😭😭😭😭😭Rip
Poleni sn
😭😭😭😭😭oooh my God this is painful
Polen sana inauma
poleni sana Mungu awafariji😭😭😭
Poleni sana Mungu awatie nguvu 😭😭😭
Polen sana
Poleni 😢😢 sana tumuombee safari yke yamwisho
polen sana mungu atasimama nanyi
May his soul rest in peace
bwana ametowa na bwana ametwaa,
Poleni Sana 😭😭😭
Dah poleni sana😭😭😭😭😭😭
Mugu awaited nguvu
Mbele yake nyuma yetu apumzike kwa aman😢
Polen ndugu zangu inauma sn jaman😢😢
Pole Sana
Rest in heaven Marco
Sasa munavaa nguo nyeusi kwani hamujuwi maanayake ni kumuaga mtu anayeenda kuzim
My condolences
Rip Marco😭😭😭