MAKONDA AMUAGIZA ATAFUTWE MOJAA/ NIMEPEWA TAARIFA ZAKE WANANCHI WAIBUKA KUMLALAMIKIA
Vložit
- čas přidán 1. 06. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
man of God and man of the people
kwwli kwahiloo mama namuunga mkono huyoo nijambazi sugu nahapo sentro usipo badilishaa haoo sio maaskari ni wezi kabisa
Mojaaaa anaungana na askari wa Central
Naunga mkono hapo kwa mojaaaa ni kweli ni lidude la hovyo Sana ,linashirikiana na au basi ngoja nijae Roho mtakatifu nitasema
Bless you hon. Makonda.
man of the people
Watanzania wanamaumivu hawana wakuwasaidia
Watt wa marehem wakaingia tamaa
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana
kweli makondaa huyoo mojaaa anashirikiana na masikari sentro kunyanyasa watuuu huyoo nimtuu hatari sana kwajiji la arushaa
Duh
Wamama wengine mnazingua sana hapo sio kwenye msiba aisee
Mkuu yupo sahihi
Unaweza kuwa na una HAKI ILA MAKELELE YAKAKUTOA KWENYE HAKI
Sasa si unyamaze
😊 uchungu jmn
Kama hataki kunyamaza basi tumwache kwanza akimaliza kulia tutamsikiliza.
UCHULO MBELE YA AZALA MBONA ULIKUJA KINYAKINYA NINĜEKUA MIMI MAKONDA NINGEKUFUKUZA UKALIE WIKI MZIMA UKIMALIZA NDIO UJE😂😂😂