''KILA NIKIMUONA PROF JANABI NABANA TUMBO'' - CHALAMILA AWAVUNJA MBAVU VIONGOZI MBELE ya RAIS SAMIA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- ''KILA NIKIMUONA PROF JANABI NABANA TUMBO'' - CHALAMILA AWAVUNJA MBAVU VIONGOZI MBELE ya RAIS SAMIA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Jamani hizi tambulisho watu zinaumuhim gani hapo kila mtu atambuliwe jamani naona kama kupoteza mda na inabowa kwa kweli
Ndugu ni taratibu serekali sio kama kijiweni hapo kuna serikali za nchi mbalimbali lazima wajue pia wenyeji wao wawajue
ndo maana ya itifaki kuzingatiwa rudi shule tafadhari
Kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza.
❤❤❤
Rais wa Msumbiji, Tanzania ni ya kwake tena!? We Chalamila vp hapo!?
Yajayo yanafurahisha,nyie jitambulisheni tu na kusifiana ila kuna cku mtaelewa kuwa kupigiana makofi kwenu ipo cku kutawatokea puani
Kabisa
Chuki za nini
Upuuzi mtupu unaongea hapo chalamila
Mavi yako yalokuganda mkunduni
Samia alivyo wakusanya watu utadhani ana jambo jipya la kuongea
Lazima likubane unaogopa kufa huyo janabi ni silent killer huyu ndie muuwaji wakiomgozi wetu pendwa RIP JPM
@@zuenahamoud1532 nalichukia sn Janaba,ipo cku litalipa gharama za uovu alututendea kwa mpendwa wetu.
Hakika nae siku moja atakufa tu. Damu ya mzee haitowaacha salama.Mungu ni wetu sote
Una huakika hau uwa mnaropokaga tu chungeni vinywa venu mtakuja kukutana na wale wasiojulikana shauri yenu me Niko pale.😂😂😂😂
Chalamila nilikua na kukubali ila mbona sasa unavuka mipaka ndugu unataka nikukatae
Kwani ni bwana wako hata umuache
@@Mumewangu natamani kukujibu ila kwahekma ngoja ninyamaze
@@handenitakuru6696 KUNYAMAZA NI USAMA WAKO. MANAKE ALKISASU FIL KISWASU
Can you please raise
amevuka mipaka ipi? usiponkubali wewe unadhan mshahara wake hau8ngii? ovyo
Kumuheshimu mtu ni wajibu hatakama humpendi jaman mkikitana ibadani mtaombeana kweli😳
Ko ikulu kuamia dodoma ndobasi tena😢😂
Wamezoe kula bata Dar dodo wanapaona kama jangwa la sahara
Maonesho ni Dar mjomba
Kuna wakati uwe makini,punguza matani
Rise tena??
Vyombo vya ulinzi na usalama avipo apo
Hii nchi haki yanani acha tusema2 R.I.P JPM
Kwani magufuli nchi yake we vipi😂
Yaani Watu wengine hata Mungu Hakumbukwi Kila kitu
R.I.P Magufuli 😂
Mfuate Chatu huko