MAZOEZI YA KUJENGA UWEZO WA KUZUNGUMZA
Vložit
- čas přidán 16. 03. 2023
- Katika somo hili, tunajadili mazoezi mazuri ya kujenga uwezo wako wa kuzungumza kwa ufasaha na ufanisi. Tunakupa njia rahisi za kukuza ujuzi wako wa mawasiliano na kuboresha uwezo wako wa kuzungumza bila kujali lugha unayoitumia.
Pamoja na mbinu na vidokezo vyetu, utajifunza jinsi ya kuongeza ujasiri wako, kuimarisha utamaduni wa kusikiliza, kuongeza msisimko wako, na kuwa mzungumzaji bora.
Tumia mazoezi haya ya kujenga uwezo wa kuzungumza kama msingi wa kujenga uhusiano mzuri na watu wengine na kufanikiwa katika maisha yako ya kibinafsi na kitaaluma.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#mazoezi #uwezo #kuzungumza
Mkuu nimeanza jana kukufatilia aiseeee nahisi bado sjachelewa kuwa mwanafunzi wako wewe ni zaidi ya Mwalimu naamini ipo siku nitakuja na ushuhuda mzuri . Respect 🙌🏾 Mungu akuzidishie
Nashukuru sana Frank. Na hujachelewa kaka...karibu sana. Usiache ku-share mawazo yako kwa yale utakayopata humu. Stay blessed!
Tuko pamoja sana kaka
Kozi
Utamkaji wa maneno, kuzungumza Kwa sauti, kusoma Kwa sauti mara Kwa mara ni mazoezi ambayo nayafanya sana brother ezden Kwa sababu kweli natamani kuwa mzungumzaji mzuri .
Asante saana theach Ila Sasa mimi mukuongeya huwa napaniki Paka pumzi zinaniichiya wakati ambapo Bado sijaongeya hâta kwawingi wamanene kwaurefu sijuwi unanisaidiyaje
❤
Napenda sana kuwa mzungumzaji mzuri,nahitaji Sana msaada Toka kwako mtaalam.
Karibu sana Rahma, njoo whatsapp tafadhali 0759191076
💪👈🤳
Asante mwalimu ulinisaidia sana katika hilo God bless
Nashukuru sana...karibu sana
🔥🔥🔥
Each one teach one 💪
For reeeeeal....💪🏾💪🏾💪🏾
SPN BIG