MAZOEZI YA KUJENGA UWEZO WA KUZUNGUMZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 03. 2023
  • Katika somo hili, tunajadili mazoezi mazuri ya kujenga uwezo wako wa kuzungumza kwa ufasaha na ufanisi. Tunakupa njia rahisi za kukuza ujuzi wako wa mawasiliano na kuboresha uwezo wako wa kuzungumza bila kujali lugha unayoitumia.
    Pamoja na mbinu na vidokezo vyetu, utajifunza jinsi ya kuongeza ujasiri wako, kuimarisha utamaduni wa kusikiliza, kuongeza msisimko wako, na kuwa mzungumzaji bora.
    Tumia mazoezi haya ya kujenga uwezo wa kuzungumza kama msingi wa kujenga uhusiano mzuri na watu wengine na kufanikiwa katika maisha yako ya kibinafsi na kitaaluma.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #mazoezi #uwezo #kuzungumza

Komentáře • 16

  • @frankomary5426
    @frankomary5426 Před rokem +6

    Mkuu nimeanza jana kukufatilia aiseeee nahisi bado sjachelewa kuwa mwanafunzi wako wewe ni zaidi ya Mwalimu naamini ipo siku nitakuja na ushuhuda mzuri . Respect 🙌🏾 Mungu akuzidishie

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +2

      Nashukuru sana Frank. Na hujachelewa kaka...karibu sana. Usiache ku-share mawazo yako kwa yale utakayopata humu. Stay blessed!

    • @frankomary5426
      @frankomary5426 Před rokem

      Tuko pamoja sana kaka

  • @BoscoMartine
    @BoscoMartine Před 2 měsíci +1

    Kozi

  • @Therapist_simbila
    @Therapist_simbila Před rokem +1

    Utamkaji wa maneno, kuzungumza Kwa sauti, kusoma Kwa sauti mara Kwa mara ni mazoezi ambayo nayafanya sana brother ezden Kwa sababu kweli natamani kuwa mzungumzaji mzuri .

  • @FibiMugisha
    @FibiMugisha Před měsícem

    Asante saana theach Ila Sasa mimi mukuongeya huwa napaniki Paka pumzi zinaniichiya wakati ambapo Bado sijaongeya hâta kwawingi wamanene kwaurefu sijuwi unanisaidiyaje

  • @rahmakassim1632
    @rahmakassim1632 Před rokem +1

    Napenda sana kuwa mzungumzaji mzuri,nahitaji Sana msaada Toka kwako mtaalam.

  • @yongtifu3069
    @yongtifu3069 Před rokem

    💪👈🤳

  • @counselingandmotivationcenter

    Asante mwalimu ulinisaidia sana katika hilo God bless

  • @matendoandrewmgeni1135

    🔥🔥🔥

  • @stiangabrirl
    @stiangabrirl Před rokem +1

    Each one teach one 💪

  • @JohnsonValerian-hi7wn

    SPN BIG