Waoooow much love last scene i enjoyed it 💋💋 mnatufundshaa kuna mapenz ya kwel jamnii japo ni adimu kuyajuaa adi tupate changamotoo you guys keep it up we need to see more about you 💪
Movie ni tamu sana alfu Rose cyo kwa kibao kile jmn kah ata kama mtu ampendi 🤣 nimempenda kelvin kwenye hii move ni mwanaume mvumilivu kaubeba husika vzr 🥰🥰😍
Mwenyezi Mungu awatunze, awalinde, awatangulie katika kazi zenu Mr Kalvin miss Victoria nawapenda,nawaombea mwenyezi akuze vipaji vyenu,awabariki katika Kila jambo mlifanyalo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante kwa hii Jamn Hadi Basi shukran sina ziada Zaidi ya kuwashukuru tuu Allah awazidishie ufahamu kuliko fikra zenu sante Kelvin Victoria 💕💕💕💕💕💞💞💞💞💞💞💞💓💓💓🌹😍💞
Waoooow much love last scene i enjoyed it 💋💋 mnatufundshaa kuna mapenz ya kwel jamnii japo ni adimu kuyajuaa adi tupate changamotoo you guys keep it up we need to see more about you 💪
Movie ni tamu sana alfu Rose cyo kwa kibao kile jmn kah ata kama mtu ampendi 🤣 nimempenda kelvin kwenye hii move ni mwanaume mvumilivu kaubeba husika vzr 🥰🥰😍
Napenda Sana 😜
Napenda sana
Nmependa hyo
❤❤❤❤
Kevis Hatukuelewi Ww na Jems mlikuwa Pea nzur xn Hakika kz zenu zilitubamba sasa hatumuon yuko wp Jem's Yule jamaa Ulipata kila secter anajua Tz kwer Mnavipaji 🙏🙏🙏
Kwakweli hii igizo inatufundisha Mambo mengi sana hasa kwetu sisi wanawake,
Vicky dera la blue la majani linakera msirudie nguo guys...ila kazi zenu perfect ❤
woow! it's a wonderful movie...kweli mapenzi ni kitendawili ambacho kukitegua inahitaji umakini Sana...asanteni Kwa kua mnatulisha kilicho bora
Shukuran sana i love you soo much
Shukuran sana i love you soo much
Yanaitwa mapnz yalaniwe ppte yalipo walh😢😢😢😢mungu haibark kaz yenu 🤲🤲🥰🤗 much love frm 🇰🇪
Zinafundish sana aiseeee😢😢😢😢
Kupenda c kazi wakuu😢 ila kupata anayekupenda ndo kazi
Aki nakupenda bure kak kelvin. Uko sahihi
Kwel iyi movie Sawa kabisa
Mashallah kazi nzr 👌 mno nawapenda nyote washiriki, asanteni kwa funzo hili,haya ni maisha halic ambayo huwepo
Bro Kelvin na Sis Victoria nawakubali katika uigizaji wenu Mungu awazidishie kipaji amen❤
Waoooooh much love
Kelvin I love this movie too much it teaches us many things about love thank you kelvin
Mm nina toka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤎🤎🤎
Wao movie zenu nzuri sana nazipenda sana💋
Kelvin umeweza yaan unaweza na umeweza
Nawapenda sana
Jameni Mapenzi Shikamoooo Subirini Nitoke Qatar Nije Nimpe Kelvin Penzi Mpka Juu Ya Siling😂😂😂😂😂😂😂😂
Wow ii movie ntamu Sana.....nawapenda Sana...movie zenu nazipenda Sana kevo na Vicky ntam Sana ..
Kwa movie zenu mmenifanya kuwa mfuatiliaji mzuri stamani kumiss Kila sehemu inayokuja "IT IS EDUCATIVE MOVIES IN REAL LIFE .
Bwana kelvin kwenye izi muvi za donta tv nimikukubali wewe na lavuness❤❤❤❤ 21:50
Somebody to give me the author of song. It's lit 🔥
Sasa ndio ulie😢 siutafute mwingine akupenaye
We kijana wembe kijana mzima unalishwa na dem kevi unaliwa na tapeli vik.
😂😂i wish i could tag gitf na endu na waone 😂😂ndio wanilaani paka kufa😅
Wow 👌 movie zenu tamu sana nazipenda sana❤
Kelvin the best masha'Allah
Hongereni ndugu zanguni kazi zuri sana sichoki kuwafatilia ni kiwa saudi
Kev kaka ujawai kufer nakupenda sana unajuwa kaka Asante sana 💯💯👌👌
Kaka Kelvin,sister Victoria mmetisha , mapenzi ni fumb
Kelvin haunatofauti na hemed Suleman part zenu ni moja doctor wa mapenzi
Safi sana kevin uko powa kwa maamuzi
Kweli hii kipindi naipenda bongo kunavipaji aky napenda sana hii kipindi mimi na wife aky inatufunza mengi sana
Hiyo sin ya rozi angecheza kendy hajui huyo 😊😊
Love from chadia official to 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Love brother kelvn🎉😢❤
Mchezo tena😂😂😂 nipenda sana movie zako kelvin
Mwenyezi Mungu awatunze, awalinde, awatangulie katika kazi zenu Mr Kalvin miss Victoria nawapenda,nawaombea mwenyezi akuze vipaji vyenu,awabariki katika Kila jambo mlifanyalo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Uigizaji wenu🎉💓💞💟mungu
Ahsante kwa hii Jamn Hadi Basi shukran sina ziada Zaidi ya kuwashukuru tuu Allah awazidishie ufahamu kuliko fikra zenu sante Kelvin Victoria 💕💕💕💕💕💞💞💞💞💞💞💞💓💓💓🌹😍💞
More love kelvin naburudika tu mm ❤
Nimekuja kuzipenda movie hizi sana ,ziko n mafunzo
Exactly dear
Sna kabisaa
Movie nzur Ila Kibao Hicho je🤪😋
Ela Kelvin na Victoria wanapenda walai had bas tu siku hizi mapenzi n toka nikae ausio hongera nyote barikiweni vipenz❤❤❤❤
Napenda sn jmn hiz movie z kelvin🥰🥰
Asante sana
Ata mimi
Duuh🙊🙊yani hii kali
Umekoma Victoria yuko sahihi hukuwai kumpenda kwanza nimuvumilivu mi nisinge vumiliya izosikuzote
@wembetz🤣🤣🤣 nimekupenda bure kwenye hii movie yani big up bro more love💓
Asante kaka nitaongeza juhud zaid
@@Wembe_tv 😂 mm sio kaka bhana dada
Asante 🙏
Congratulations ❤❤❤❤❤
Nimeipenda bule jamani mnatupa mafunzo
Mmh kuigiza kazi sana me siwez ila hicho huwa ni kipaji kutoka kwa mungu to ongereni sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Good lessons to the youth s .choose wisely by putting God first
I like your movies kelvin it earns a lot to my life
Ni nzuri Sanaa kelvin unajua kufurahisha Kiukwel
Asante sana 🙌
Ur welcome
Hah ila wwwww victoria ulikuwa na mzinga yanguvu ety
Ilove this movie tamu kweli.
I like it
Ahsanteni kwa move
😮😮😮😮😮😮😮mapenzi haya🙌
Somo zaidi ya jana akt
Wow! Nice movie also educating one ❤
Nime penda movie zenu❤❤❤😊
Nakubar san kivin
Good lesson to men like wembe
Ninzuriiii saaaana jmn 👌👌
Thanks
Asante sana
Asante sana
@@Dontatv255I love your movies
Wow Kelvin congratulations
Waah mvi ni tamu sana aki nimeipenda sana❤
Hii move kuchapo sana❤❤❤
Hhaaa atr san
Sana Mr iko powa 👍👍
Hahahahaaa kelvin respect for you
Mwanaume ovyo huyo😂😅
It's a nice movie.inamafunzo
Asante sana
Kelvn wafundisha mapenz wasio kuw wanjua mapend wanajua toka kwako
Nime penda movie zenu❣️❣️❣️🌹🌹🌹🌹
Aki nakupenda bure kaka Kelvin. Uko sahihi
Ningepat mwanaume kam kelvin nisingemuach
CONGRATULATIONS. Movie nzuri sana♥♥♥♥♥
Kumpenda anaekupenda na kumwacha unaempenda ni unafki
Vik ni mpumbavu kbs katika movie nyingi
Haha jamani mapenzi,khaa mahaba niue twaumia huku Saudi wenzenu
Hahahahaha aoge ndio aende kwani huwa hamuogi 😁😁😁😁
Waaaoooh bro umeweza nigependa nijiuge nawe
Karibu sana
Nzuli sana wembe hatali sana
Wow ❤❤❤
Bwana kelvin niunajua mpaka unajua tena nakukubal sana bro
Napesanasinemazenu❤❤❤❤
Hak hiyo imenipata 🥺🥺
Yani ni mbunifu wa hiz kaz au unachukua nafasi kanumba nn mbona v2 amazing xan
Yn kweny movie zenu watu wawil ndio wap sirious san n kz yao n Victoria n Kelvin
Donta tv ebu acheni kuact na huu dem anajiita victoria uwa anaboesha movie sana...ata better wale wengine
Anakosea wapi?
@@Dontatv255 uwa anaboo tu hajui kuact....am always fan of DOnta TV but hajanifuraisha..
Wapumbavu kama wembe wapo weng sana kuna moja limenusurka Kifo kwa aliemuona anampenda
Kama hakufurahishi wew fresh tu ila wengine anatufurahisha,hongera Victoria
Yupo vizuri kutokana na nafasinanayopewa
Nimeipenda 🎉❤❤❤
Inapamba kupamba imeishia hpo ama kuna part two 😊
Ndio nashangaa nkm imeisha na suspence..nilidhn mwisho kelvin atamfuma huyu demu na yule jamaa mwengine
Nzur sana
Wembe mkubafu sana💔💔💔💔
Asante kwa kumpiga wembe amezoea pesa ya viki 😂
Movie tamusana kwa sisi vijana😂🎉🎉🎉
Hichi kibao nimeshtuka mm mtazamaji jamani cyo pia
Napenda mov. Zenu❤️❤️❤️
Sichoki kutazama❤❤