🚨Mpya Simba wachezaji hawa wazawa Kutua Simba,mwamnyeto,je ni Usajili sahihi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 06. 2024
  • #ahmedally #alikamwe #simbaislive #simbatanzania #yangafc #youtube #yangatv #simba #yangasc #football

Komentáře • 12

  • @bone102
    @bone102 Před 9 dny +1

    Yaani wachambuzi wetu Yaani Simba imchukue mwamyeto ambaye tayar ni mzee tena kutoka Yanga

  • @JosephFryd
    @JosephFryd Před 6 dny

    Kweli attached mzee

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj Před 9 dny

    Mungu ibariki simba

  • @NahreenFahad-kj5vx
    @NahreenFahad-kj5vx Před 9 dny +1

    Mwamnyetoatuwache

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před 9 dny +2

    SIMBA NI DUDE KUBWA SANA ...KILA SIKU HABARI ZENU NI SIMBA TU... Tunahifadhi hizi sauti ZENU ZA KUBANA PUA ....BILA SIMBA NO FM .....simba nguvu moja.....ETI NAMBA TANO HALISI.....Hatumtaki INONGA ....ACHENI SIASA ZA KUMTAFUTIA HELA YA USAJILI HUKO YANGA.....Watangazi wabana PUA tupa KULE ...Hivi MAGOLI atasajili Mwamwenyeto....????

  • @cyprianboniphace-oz5lw

    Mwamnyeto kuja simba hapana.

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw Před 9 dny +1

    mwamnyeto si tunakataa wazee af et mwamnyeto 🙄

  • @user-bz8dy3on9v
    @user-bz8dy3on9v Před 8 dny

    Wanatuzia mwanyeto waowanaenda chukuwa beki kitasa

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před 8 dny

    Mpira wa kisasa hakuna ile kukaba m nikae free 😂😂😂 ....ila mwamnyeto ni best achana na changamoto za kipindi ambacho yupo na matatizo ya kifamilia

  • @leonardmakwela5551
    @leonardmakwela5551 Před 9 dny

    Mwamnyeto ?!
    Duh!
    Huyu ni mwananchi!
    Hatatusaliti huy jamaa ?😅

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Před 9 dny +2

    Acheni mambo yakijinga mwamnyeto beki gani huyo takaka au mmetumwa na mangungu?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 8 dny +1

      Pale udundukani hakuna beki wa kumueka NJe Bakar Nondo .... Nyie jidanganyeni tu ila Nondo sio che Malone, Wala Huseni kazi au Kennedy juma..... Msione pale jangwani anaingia na kutoka ila ni stopa difender kweli