SIMBA NI DUDE KUBWA SANA ...KILA SIKU HABARI ZENU NI SIMBA TU... Tunahifadhi hizi sauti ZENU ZA KUBANA PUA ....BILA SIMBA NO FM .....simba nguvu moja.....ETI NAMBA TANO HALISI.....Hatumtaki INONGA ....ACHENI SIASA ZA KUMTAFUTIA HELA YA USAJILI HUKO YANGA.....Watangazi wabana PUA tupa KULE ...Hivi MAGOLI atasajili Mwamwenyeto....????
Pale udundukani hakuna beki wa kumueka NJe Bakar Nondo .... Nyie jidanganyeni tu ila Nondo sio che Malone, Wala Huseni kazi au Kennedy juma..... Msione pale jangwani anaingia na kutoka ila ni stopa difender kweli
Yaani wachambuzi wetu Yaani Simba imchukue mwamyeto ambaye tayar ni mzee tena kutoka Yanga
Kweli attached mzee
Mungu ibariki simba
Mwamnyetoatuwache
SIMBA NI DUDE KUBWA SANA ...KILA SIKU HABARI ZENU NI SIMBA TU... Tunahifadhi hizi sauti ZENU ZA KUBANA PUA ....BILA SIMBA NO FM .....simba nguvu moja.....ETI NAMBA TANO HALISI.....Hatumtaki INONGA ....ACHENI SIASA ZA KUMTAFUTIA HELA YA USAJILI HUKO YANGA.....Watangazi wabana PUA tupa KULE ...Hivi MAGOLI atasajili Mwamwenyeto....????
Mwamnyeto kuja simba hapana.
mwamnyeto si tunakataa wazee af et mwamnyeto 🙄
Wanatuzia mwanyeto waowanaenda chukuwa beki kitasa
Mpira wa kisasa hakuna ile kukaba m nikae free 😂😂😂 ....ila mwamnyeto ni best achana na changamoto za kipindi ambacho yupo na matatizo ya kifamilia
Mwamnyeto ?!
Duh!
Huyu ni mwananchi!
Hatatusaliti huy jamaa ?😅
Acheni mambo yakijinga mwamnyeto beki gani huyo takaka au mmetumwa na mangungu?
Pale udundukani hakuna beki wa kumueka NJe Bakar Nondo .... Nyie jidanganyeni tu ila Nondo sio che Malone, Wala Huseni kazi au Kennedy juma..... Msione pale jangwani anaingia na kutoka ila ni stopa difender kweli