Tazama kipindi cha Mshikemshike Viwanjani kikiwa na habari kemkem za michezo ikiwemo mjadala wa idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi ya Tanzania kama ina athari kwa Taifa Stars.
Tatizo wachezaji wetu uwaga wanalewaga sifa haraka sana na kuanza kujinyanyuwa sana hona yaliyo fanywa na feitoto alivyo pata kasifa kadogo tu akahanza kunyanyuwa mabega kwakweli wazawa siwema niwasumbufu sana
Kumbuka Toka wameludu usajili walivyo ogeza timu yetu yataifa imepanda sana kwakuwa wanaiga
Sawa
Kwel kbs wachezaj wa kigeni nd wanaoleta chachu ya ubora wa lg yetu
Tatizo wachezaji wetu uwaga wanalewaga sifa haraka sana na kuanza kujinyanyuwa sana hona yaliyo fanywa na feitoto alivyo pata kasifa kadogo tu akahanza kunyanyuwa mabega kwakweli wazawa siwema niwasumbufu sana
Si kama wazawa nawao wao c wakacheze nchi zingnee ili wasaminiwe
Acheni Unafki Wabongo Yan Uchezesh Ambay Ajitumi Kisa Ni Mzawa
Nenden nje nanyie muache ujing hamjitum pumbavu zen
Wachezaji wa kigeni wa Ndio wanawapa chalechi ya wachezaji ndan
Acheni unafiki wazawa hawajitumi
Na Watanzania muende nje na nyie pumbavu an tukose raha kisa eti wenyeji wanataka nafasi kwenye timu ya taifa hawajitumi ujinga tuache sisi😂😂
acha umama