Idrisa Salum hebu mind your business. Kimekutuma nini kuja kusikiliza nyimbo hii? Hivi hapo ndio unadhani umeandikiwa thawabu. Waache watu waomboleze wanavyotaka. Usikae hapo unajifanya balozi wa Mungu hali ya kuwa na wewe unamadhambi yako kedekede. Respect the dead and respect other people’s feeling. Mxxiiiuuuu.
@@madydragneel4131 usiongee kwahisia zako zakibinaamu swali ni kwamba Kuna maandiko gani kwenye kitabu hicho unachokiamiani kilichoruhusu mambo haya kama kweli ww nimesema kweli sio kupayukatu ukweli hamuutaki mnataka kujiridhisha nafsi zenu
Nyimbo zenu bdo zinanitoa machozi daaa mwenyewezi mungu ungetuachia ruge bdo tunaumia
r.i.p Ruge akili yangubado haiamin kama role model wangu umeondoka duniani pumzika kwa aman one da nitafanya hija kwa kaburi lako pumzika kaka
Rest Easy brother Ruge
Ameen asante watoto wa Ruge mnaniliza kwakweli nyimbo nzuri
Amini kweli amelala
Missing you father sana yaani Leo ndio imenihit ni real hatuko pamoja kwenye hili gurudumu la Dunia #respect sana kwako mlezi wangu
I miss Ruge today
Miaka 20 ya CLOUDSMEDIA nimerudi kuangalia safari ya mwisho Ruge mutahaba R.I.P Shujaa
RIP shujaaa poleni sana watanzania na africa mashariki kwa jumla kwa kupoteza kiongozi,mentor and man of the people
This guy was one of the greatest young leader Tanzania had RIP RUGE
Ruge nenda nipo nyuma yako ila bado nakuenzi na Mungu akupe pumziko salama🙏
Namshukuru mungu kwa kila jambo kwakua mungu akosei lazima maisha yaendelee lazima maisha yaendelee rip ruge
Mungu akupe pumziko la milele 😢 😢
2023 Hii Lakn Bado Hii Ngoma Inatutoa Machozi
udongo unameza RIP RUGE
Mr president ameenda jmn 🙌🏾🥺
Poleni sana mwaya mmelia sana waume kwa wake,Iliobaki kumuombea kila tunapomkumbuka, kwani wake wake Hauwezi futika,
Machoozii huzunii ,,mungu atujalie tulio bakia R,i,P ruge,inatupasa kutengeneza njia zetu tulio bakia
Rest in peace brother Ruge
thank you Magufuli Goodbye Baba😰😭
Its 2021 still remembering you legend
rest in peace ruge, nice emotional song #tht
Amazing talent rest inpeace ruge mutahaba
THT watamkumbuka Sana huyu raia
Yan hii nymbo dah😣😣😣😣
Rip kaka Sijui kama atatokea mtu kama huyu mwenye kuliliwa mpaka leo
Hakuna kwakwel
aka kadada. kameimba mwisho kakashindwa kakaanza kulia kiukwl kanasikitisha sana daaa ila ndio ivo jmn tukubalini matokeo tu
Wimbo huo naupenda sana unatugusa
😭😭😭😭😭😭 huyu dada amenifanya nilie sana r.i.p ruge pumzika kwa amani
😭😭😭😭😭😭 huyu dada amenifanya nilie sana r.i.p ruge pumzika kwa amani
Poleni, Mungu Mfungulie.
Bahati mbya juu ya kusafisha njia n sasa baada ya kufa hakuna up mlango
Pumzika kwa aman ruge...😢😢😢
😭😭😭😭 umelala huto amka tena dadyoooo😭😭😭😭😭
Pengo kubwa
appreciation to u #barnaba #linnah #mwasiti #allynipishe #pipi #amini #bekatitle #mataluma #msami #ditto r.I.p ruge
R.i.p Ruge tunakukumba kwa hekima busara zako
Ya tanzania one soul ni konkiii R.I.P luge
R.I.P ruge tutakukumbuka daima
Hard to believe but that's the only way..... Rest in peace Ruge
Happy reborn day Baba .... R.I.P Ruge
This song 😭 R.I. P Boss
ali nipishe umenigusa kwa kipande icho😥
AllyNipishe ni balaa
Daaaah ali nipishe kaua kweny huu wimbo
Hii nyimbo inatoa sana machozi.
one souldier report for the duty sir,pumzika askari.
Nyie watu poleni sana ila Tanzania tumepoteza MTU sahihi tuzid kumuombea ruge daa inauma sana
inna lillahi wainnalillah rajun
Kuweni na subra
Rest in peace Baba Mpendwa Ruge
Pumzika bosi ruge mutahaba
Rip Ruge 🙏🏿🙏🏿😭😭😭😭
Kifo kinaondoa ndugu jamaaa na marafiki inauma xana
r.i.p Ruge
R.I.P RUGE MUTAHABA
R. I. P Ruge
Rest In Peace Ruge Mutahaba
R I P jasiri Ruge
26 february rest in peace Genius
Continue dancing with angle
R.I.P #RUGE
Inauma kwakweli
R.I.P boss
Amen...RIP
RIP. RUGE
Rip bro
Rip Ruge
rest in peace Ruge
R.I.p
😭🙏
😭😭😭😭
RiP
🎶🎼🎼🎶🎶📀🎧🎤🎸🎺🎷
Jaman achen basi najua inauma na kuondoka kwake nipigo kwa watanzania kiujumla inauma xana tuzid kumuombea BOS ruge
😅😪
Hakuna kitabu chochote kinachosema kwamba music ni halali kwaiyo ichomnachokifanya ni kujenga nyumba ya karata hakunakitu hapo msijisumbue
Kuma nn ww......kuna Kitabu kimeandika uje youtube mkundu ww.....emu tukaushie tufanye tunachokitaka ......ww nenda kaswaliii umeitwa umuu
Idrisa Salum hebu mind your business. Kimekutuma nini kuja kusikiliza nyimbo hii? Hivi hapo ndio unadhani umeandikiwa thawabu. Waache watu waomboleze wanavyotaka. Usikae hapo unajifanya balozi wa Mungu hali ya kuwa na wewe unamadhambi yako kedekede. Respect the dead and respect other people’s feeling. Mxxiiiuuuu.
@@madydragneel4131 usiongee kwahisia zako zakibinaamu swali ni kwamba Kuna maandiko gani kwenye kitabu hicho unachokiamiani kilichoruhusu mambo haya kama kweli ww nimesema kweli sio kupayukatu ukweli hamuutaki mnataka kujiridhisha nafsi zenu
@@jurmainezaidi739 Asante br
kwan kaswida zenu sio mziki ? acha kujifanya mwema wakat una midhambi mpk unashindwa kutembea nayo
R.I.P RUGE
Rip Ruge
8
R.I.P RUGE
R. I. P Ruge
R.I.P RUGE