BOKO BOKO - KISWAHILI
Vložit
- čas přidán 1. 04. 2018
- Mahitaji Bokoboko
Chakula kutosha kiasi watu 4 - 6
Kikombe 1 ½ Ngano zikutwanga (Bulgur Course #3)
Maji vikombe 5-6
3 cloves of fresh garlic
Tangawizi mbichi kiasi cha ukubwa wa kidole gumba
Hiliki nzima kiasi 4
Vijiti 2 vya mdalasini
Magi cube 1 au 2 ( inategemea chumvi utakavyopenda)
Chumvi kiasi
Samli vijiko 2 vikubwa
Sosi ya ( Torshe)
Tende nzima kiasi 6
Maji mazito ya ukwaju , vijiko 2 vikubwa
Zabibu kavu nyeusi kiasi kijiko 1 kikubwa
Sukari kijiko 1 kikubwa
Maji robo kikombe
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e... - Jak na to + styl
Allah akuongezee kila kheri ..
I wish members wako tunge kupatia hata zawadi wallahi watoa msaada mkubwa sana, i love you dada very much wallah.
Shukran Sana nyie kufanikiwa ni zawadi kubwa kwangu 😘
Mashallah. Harees is my favourite.
Allah akuzidishie barka katika kila unachofanya. Unatusaidia sana aisee. @aroma of Zanzibar
Shukran, Allah akuzidishie.
MashAllah nzuri nimeipenda😋
Ahaa kumbe huu mlo ndio waitwa boko boko..hua naula huku wakati wa ramadhan but sijawai jua waitwa vipi..shukran kwa maelezo yako dada
sawa dada asante sana mungu akubarik
Yummy asante jazakallah khayran
Jaman umenifundiah kitu rohoo inapendaa asantee my dadaa
Mashawahu katika siku ulonifurahisha moja leo mana hichi chakula nakipenda sana a will try 💋
mashaallah ,i like 🥰🥰🥰
waoooh mix u
Mashallah nimeipenda
Jazakallahul kher
MaashaaALLAAH
Nmeipenda ntapikia watoto
Mashallwahu mwanamke jiko na kujiamini mapishi muhimu
tanzania...sion anayekufikia mama...unapika hatari...👍👍👍
Ahsante dada
Mashallah
mashallah mashallah mashallah 🤗🤗🤗
Mashaallah nimelipenda
عزيزتي انا من اشد المتابعين والمعجبين لك عندنا في السلطنه مطاعم زنجباريه كنت اشتري من عندهم والان بعد فيديوهاتك تعلمت اسرار الطبخ شكرا لك من كل قلبي ما تقدمينه يعتبر تاريخ للارث العماني في زنجبار
Thank you , glad it will be of some use to you
Jamani 🤗🤗
Shukran sis
Napenda sana huu mlo waarabu huita hariss
Ndio kabisa , harees ndio hio ya ngano.na boko boko ni ya mchele.
Mashallah
Mashaallah
Nice mashaAlla habibty
Tamu Sana huku kwa warabu tuita Jirish ama Haris💞👍
Nice. I love your cooking.
MaashaAllah bokoboko nzuri na tamu kwa machono😊❤
Alhamdulilah
Mashallwah
MASHAALLAH, mimi hupenda sana Boko Boko waeza sema ndio favourite yangu kila jioni hua lazima nile leo Aroma Zanzibar mumenifurahisha Sana. Asante Sana.
Alhamdulilah nimefurahi alao mtu mmoja amefurahi au vipi ??
Kabisa, kuna asie penda boko boko
safi sana dada
Ma shaa Allaah.Ukhty yaatikil Afya.mkono uwe na barka .shukran ya kutufunza
Mashallah nice boko boko mashallah
Ahsante sana mungu akulipe heri inshaallah
Amina kwetu sote
Shukran habbty 😋😋😍😍
Maxallah 😋
Mashaallaah
Nzuri
very very healthy and delicious, asante sana for the recipe - step by step
Thank you, glad to know you enjoyed it
Masha Allah,naomba utufunze matobashi shukran
SAlwa Wairimu Inshallah sie tunaita vipopoo 😉😉
Masha Allah Allah bless you always 🙏🙏🙏 am your fun nimejifunza kupika through your video's my sister am sooo greatful walai you have made me a good cook my prayers for always 🙏🙏🙏🌹🌹🌹
Thanks darling
Salam alekum mashaallah nimependa sana bokoboko ni mm amina kutoka kenya
Shukran dear
Oman ndo chakula cha waarabu tushakizoea pia nikitamu balaaa asante Sana 😋😋
Wow Nishajua jinsi ya kupika barikiwa Sana kwa mafundisho
Hongera
Asante sana na mm nitajaribu kupika
hii kitu sijawahi kula,hongera sana kwa kazi nzuri na bidii,kati ya watu ambao nimetumia sana kazi zako,ni mbunifu mno na jiko unaliweza,Barikiwa
Ahsante sana, nashkuru
Big up dada
Thanks habibty for sharing. I just cook it today and it was so sooo yummy delicious MaashaAllah Allah barik. A special the sauce👌🙏🏼
Thank you, glad to know that you enjoyed it
Ah mungu ndio anajua cha kukulipa dada angu sisi twasema ahsanteeeeeee
Karibu
Upo wapi ukhty nije khasaa elimu kwa vitendo
@@saadaissa2524 mie nipo.marekani
Mashallah nimependa torish yako na nimejua jins ya kuitengeneza shukraaaaaan habbty
Ntajaribu hii inshaa Allah😍😍😍😍😋
Ishaallah
Tunaomba la mchere boko boko shukran saan mamii 😘
Dada mimi sijawahi kupika la mchele nimekulia la ngano tu
sante yaani nilikua nna ham yakujua kupika bokoboko thanx
My favorite
Nakupenda bure Mumy Allah akujaalie kila la kheri
Shukran, amin kwetu sote
great
mashaallah kumbe boko boko halitiwi chumvi
Linatiwa lakini kwa vile nimetumia magi cube inachumvi nyingi ndio maana sijatumia chumvi
Aroma of Zanzibar Ahsante sana
Nilikula bokoboko Zanzibar katika 1960s huko Malindi katika wakati wa Maghrib. Nitamuomba mke wangu ajaribu aipike hapa Paris. Nakuskuriya sana kwa mapishi yako. Mapishi ya Zanzibar hakuna pengine mtu atakula katika bara la Africa, isopukua Mombasa na kidogo Comoros. Hii ni mali kubwa ambayo itakua bora ijulikane katika nchi zote za Africa khususan West Africa.
Ahsante sana, hii ni culture yetu ni lazima tu preserve.
Shukran saana nimejifunza alau na inshaallah nitajaribu kupika
Inshallah
Sijawah ona hili pishi but i will try it looks yummy!
Haya ni baadhi ya mapishi ya warabu ambayo yanajulikana sana Zanzibar
Shukran dear, Allah ibarik
Mashallah nice leo nimechelewa kidogo lkn hamna neno .nimependa saaana .mashallah Shaksia
Salam alekum mashaallh chakula kizuri
Alhamdulilah
ni me furahi kuona lakini mim pia ni zanzibari nime kula na sukari na nysna ndhniyake it was tasty
Sio vibaya na sugar hata sie sometimes tunakula na sugar
Mashaallah bi aroma uwa lapigwa apa na madam wangu
Hongera anti fathiya kwa kutupa ujuzii...maashallah nimependa
Asalam aleykum sikwetu wanaita haris la mchere wanaita bokoboko
mashaalla unajua kupika 😘😘😘 naomba utufahamishe jinsi yakutengeza homosi
Shukran, Humus Inshallah nitaleta
MashaALLAH Thankyou for the recipe. 1 question please, What If I use Instant oats with this chicken with bones when do I put the oats please? Or do I have to remove the chicken and cook oats first?
Instant oats cook very fast so cook the chicken and remove the bones and then add the oats
@@aromaofzanzibar thankyou so much for your reply sister❤️
Amazing thank you so much I appreciate your hard work 👍🌹
Thank you dear
Kwani barley ndio ngano nzima?
@@aromaofzanzibar ma'am can I use quinoa grains instead of ngano zikutwanga
@@repentingservant4384 I have tried coz it has a different texture altogether
im inlove with your recipes
Thanks dear
Maa shaa Allah,
Wow!!!
Waarabu wa saudia wanaita jarish wanatia maxziwa ya unga ama maji au laban(yoghurt)tamu balaa
Kuna harisi NA bokoboko ya mchele
Mimi nataka kujimfunza misanifu
Msanif nimeweka zamani utapata hapa tafuta
sijaangaalia mda nilipata shida ya mtandao ....so nice but ngen kwangu
Clara Milanzi Pole sana kwa matatizo ya mitandao.
Mashallah mashallah mashallah habbty
Maashallah
Nilikuwa nishalisahau kwa kweli jamani sijala miana migi asante habity mambo mazuri
Aa.aunty happy to see u.am Afia from mombasa.leo nimejaribu kuku wa kfc
Slow cooker kaanga vitunguu pembeni
Niko dubai huku bc, waarabu ndio chakula chao hiko, hadi nimeshazoea kulipika wanaliita harsia kisha wao sana wapenda kulipika na nyama ya ngamia hua linakua tamu kweli, lkni huko kulisaga ndio kazi lazma tuliponde na miti yale ya kinu, kwasababu ni jingi na linapikwa kwa sufuria kubwa yani watu wafamilia nzima wanakula, sana sana ijumaa ndio lapikwa kwaajili ya wageni, mm hata limenikinaisha sasa.
Mie sijawahi la nyama ya ngamia itabidi nikija huko nitafute. Na huko Dubai sana wanatumia ngano nzima zinachukua mda kusonga kwa sababu ni ngumu mie nilikua natumia blender la mkono kuponda
Aroma of Zanzibar ndio hivyo na ngano zahuku pia zinachkua mda kuiva kweli, kisha wao lazma bokoboko lisagwe ndio waeza kula waarabu, lkni eti ulisonge wakiona ngano bado nzima wakwambia halijaiva.😀😁😂😂kisha hupenda kulila na mafuta ya zeituni
Ngano nzima tabu wakati mengine ni vizuri kupika kwa preasure cooker
Aroma of Zanzibar fanya ujaribu kulipika la nyama ya ngamia hua ni tamu kisha nyama ya ngamia ni laini kweli haisumbui kuiva
Dada nikija huko Dubai , huku hakuna nyama ya ngamia
tumefurhi twajigunza mengi
Shukran dear
Tuleteee bokoboko la Mchele pls
Sorry dear Mimi sio mpishi wa la mchele ninezoea la ngano tu
@@aromaofzanzibar it's ok hbbty
Shukran habibity
Waarabu wanaita jerish waatumia maziwa ya mtindi au maziwa mala
Hio translation iko funny 😁😁😁😁
Theres an English link to all my videos
Assente sana, nime penda hi recipe. Sasa kuna Boko boko ambawo ena liwa Oman na ena pikwa na muchele + ngano. Please tuletei recipe hiyo. Assente.
Afwan, wallah mimi sijawahi kupika la mchele napenda la ngano tu
Ni hyo hyo kama unaona tabu kufanya ngano unatumia mchele.. km mm nikitamani na naona tabu kufanya ya ngano pengine sina natumia mchele. Lakini haswa ni ngano.. ya Mchele wanaita Harees.
Ukitaka u can just mix kama unao ngano kidogo na mchele kurahisisha sababu ngano inachelewa.
Assente sana. Jazakalla khair
Tuli pata ku liya hiyo harees ya mchele Muscat, Oman siku ya Eid ul Fitr. Nzuri sana, lazeez.
me nilijua siku zote boko boko ni mchele wallah 😂😂😂
Sisi wato wa Zanzibar tumezoea sana la ngano nzima lakini watu sehemu za mikowani na bara wanatumia mchele
maashaallah nimependa pishihili mungu akulipe heri
@@aromaofzanzibar ntalipika na Mimi
Ma sha Allah
Kama limebaki niletee mie😜
Mbona umechelewa, tushaoksha masufuria tena
Mashaallah sorry aunt fathiya hiyo magic cube unaweza weka kwenye mchuzi inaladha nzuri au ni chumvi tu??????
Magi cube ziko za ladha ya kuku, nyama au mboga inatia ladha lakini utahadhari chumvi
Hiyo amma sindio omani wanatia harisi au ile yakupikia harisi sio ngano hrmbu unifahamishe mana napenda kweli
Ndiyo hiyo inapikwa aina nyingi tofauti wengine wanapikia mchele
Must try this yummy thingi..:)..♥
A.alaykoum. nataka hizo spices zako nitazipataje?
Wa aleikum Musalaam, mie siuzi spices hiyo video ni markiti ya Zanzibar na Mombasa
Saudia inaitwa jeerish
Ahsante
NIMEPENDEZEWA ZAID HASWA HIYO BOKOBOKO YA KUKU ODAAAAA
Asalam alaikum asante sana kwa mapichi mazuri unotupa mimi niko Paris sijui hizi ngano zinaitwaje kwa kifaransa nahili bokoboko na lipenda sana na sijui nitapata wapi
Aleikum Musalaam most important kama kuna maduka ya wahindi huto kosa au unaweza kununua ngano nzima uroweke usiku kucha
Asante
Ahsant ila nataka kujua umeweka thomu tangawiz hiliki mdalasini na icho chengine sijakijua bda
Nimeandika viungo vyote hapo chini kwenye description box
Nimelipenda sana ukwaju walioko nao ni ukwaju mtamu huwa siupendi saana. Ugwadu huwa ni mzuri hata kwenye kutengeza vitu mbalimbali
Billy's Family Ahsante huu kwaju hauna sukari
Huu mzuri hata kwa juice
A,a habibty kama sijaona ukiweka chumvi ama sukari kwa bokoboko amanimekosea
Nimetumia magi cube ambayo inayo.chumvi ya kutosha lakini unaweza kuongeza.kiasi.chako
Nzuri ila nauliza kuku awe mgumu au mlaini
Mlaini ndio atanyambuka,
Inamaana jeerish n niko boko ni chakula tofauti?
Sijui Jeerish ni chakula gani inaweza ni sawa lakini majina tofauti
I think tofaut kisg