Masha Allah bibi Fathiya nimefurahi sn kukuona napenda sn mapishi yako nakufuatiliya sn nilikuwa nikiona uko zanzibar kumbe ulikuwa USA keep it up Fatihiya
Ahsante sana SNS. Intérview nzuri sana ina mafunzo na jokes yàani nime enjoy kusikiliza. Fathiya ni kipenzi chetu. Nimejifunza mapishi mengi kutoka Aroma of Zanzibar. Nampenda sana.
MashaaAllah kumbe ww umesomeya upishi sisi Connection zetu tunapata mapishi yako Allah akuzidishie kila la kheri mm na kufatiliya tangu siku ya kwanza Naingiya Oman 🇴🇲 2013hadi Leo unajuwa Sana 😍 😍 😍
Sky simu ni rahisi zaidi, kwa kila kitu hata kuupload video za youtube, siku jaribu kuweka video kwenye sd card then upload kupitia youtube app.....inaupload kwa speed zaid kushinda utavyo upload kwenye pc/laptop
Mashallah yaani fat-hiya sauti yako Kama yahaloo wangu yupo Oman anaitwa Zahra na hata sura mumefanana lkn yy amenenepa saiv yaani sauti zenu same same kabisa Hadi sura yaani duniani wawili wawili nikikuskiliza wewe naona Kama namsikiliza haloo wangu kabisa yaani nakupenda sana kwaajili ya Allah napenda Sana mapishiyako😘
Wow at last tumemfahamu. Very pretty woman! Anatusaidia sana sana ktk Channel yake ya Aroma of Z’bar. Moyo wako mzuri sana, MUNGU aendelee kukufanikisha
Nilipo fika ulaya , nikajifunza kupika msosi kupitia channel ya huyu dada, Nikawa mpishi mzuri, na nikaenda kuwa mpishi na nikapata kazi kwenye production kitchen (kuandaa na kupika mapishi ya yote, asia food, italian and french food , junky food , take away kwa ajili ya passenger airport , na mpk leo pisi kali zikiibuka gheto zinapenda msosi wangu🤣🤣,( all in all Aroma of Zanzibar ilinipa kujiamini kwenye kupika, na anachosema kupika ni technique tu, Najivunia uzoefu sio cheti🤣🤣....SNS UNYAMWEZI MWINGI🔥🔥🔥
Huyu ni mama katika mama alie okay ndoa nyingi za mabinti wakiafirika she is a super woman wallahi sky kunywa soda leo umetuletea mwanamke bomba mimi km mswiss mental na mpa sky na aroma thanks zangu
Madam nakupenda nimekuwa mpishi kupitia ww mashaa allah yaan Kama hujui kupika ni uvuvi wako tu lakini madam fauthiya umetufundisha wengi sana mungu akuwe madam niko oman ❤️💪
Mapishi yako ni world class ,you have taken our African recipes to another level .I agree your cooking techniques are excellent.keep up the good work.cooking with an edge👌👌😋
Ooh dada Fathiya hata mimi nlikuwa nakujua kama Aroma 🤣🤣🤣🤣🤣. I love you so much my dada. You just don't know how much you inspired me and made be one of the best cooks to my family, relatives and friends hapa Marekani. I can cook vitumbua, chapati, mishikaki, pilau and many more...
Mashaa Allah mashaa Allah Mashaa Allah nimefurahi kukuona hapa Mwalimu wangu M'mungu akupe kila la kheri jazzayako utaipata kwa Allah mimi nipo Oman Salalah naomba kama una darasa ya live nifike kuhudhuria
gonga like kam umeona huyu dada sauti yake n km zuhura yunusu wa bbc swahili
nimekubali
Kweli hasaa
Yeah nice kavu
Yeah
MashaAllah huyu mmama nampendaga Sana she's everyone's inspiration,our role model.
czcams.com/video/BgMGzu78Y88/video.html
Aweeee 😍💥 Aroma of Zanzibar wetuuuuu .......mwalimu wetuuu wa mapishi ...
Ahsante,🥰🥰
Masha Allah bibi Fathiya nimefurahi sn kukuona napenda sn mapishi yako nakufuatiliya sn nilikuwa nikiona uko zanzibar kumbe ulikuwa USA keep it up Fatihiya
MashaAllah mapishi yako mazuri sana huwa nikikwama mahali naingia kutafuta namna gani nifanye
Madam Fathiya amenifundisha mapishi mengi sana Mungu ambariki🙏👌
Jamani mi nampenda uyu dada, I have been watching her CZcams since 2016, she's amazing
Ahsante sana kwa support
Hongera unaweza dada Fat-hiya
Mashaallah Leo nimemwona live hapa kwenye sns she's soo talented! Napenda upishi wake
Shukran darling
Ahsante sana,🥰
Masha Allah tunashukuru kukuona chief cook wetu❤❤😊
I love her so much. Very good woman, mashaAllah. We love you Fathia our teacher of Aroma of Zanzibar
Shukran darling 🥰
Ahsante sana SNS. Intérview nzuri sana ina mafunzo na jokes yàani nime enjoy kusikiliza. Fathiya ni kipenzi chetu. Nimejifunza mapishi mengi kutoka Aroma of Zanzibar. Nampenda sana.
Hongera sana kwa mapishi Fathiya , nafuatilia sana channel yako .
Ahsante sana
Bi Fathiya big up ujue unatusaidia sana wakati wa Ramadhan kujishauwa kwenye upande huu wa misosi.Thank you pia SnS mmetsha
Mashallah, hongera kwa wazee wake.hakukaa sana tz lakini anaongea kiswahili uzuri.
Ma shaa Allah
Napenda namna unavyofundisha mapishi unaelewesha mpaka mtu anaelewa kabisaa
Be blessed
Nakukubali sana sky. 🙏🏻🙏🏻💪🏽💪🏽💪🏽
She inspired me to start up my CZcams channel 🙏real inspiration indeed ❤
Shukran 😘
God bless SNS peace and Love from a Kenyan in Emarates
Mashaallah nakupenda sana dada pia najifunza mengi sana kutoka kwako 💞💞
MashaaAllah kumbe ww umesomeya upishi sisi Connection zetu tunapata mapishi yako Allah akuzidishie kila la kheri mm na kufatiliya tangu siku ya kwanza Naingiya Oman 🇴🇲 2013hadi Leo unajuwa Sana 😍 😍 😍
Mm Nakupenda Sana Fathiya mapishi yako nakuelewa sanaaa my sis
Nakufuatilia sana kwenye mapishi Fathiya nimejifunza kupika vitu vingi nashukuru
Thank you for bringing my hero on board❤
Sky simu ni rahisi zaidi, kwa kila kitu hata kuupload video za youtube, siku jaribu kuweka video kwenye sd card then upload kupitia youtube app.....inaupload kwa speed zaid kushinda utavyo upload kwenye pc/laptop
Mashaallah mapish aroma waaooo keep it up
Mashallah Aroma Zanzibar Shukurani sana umenifundisha kupika kupitia channel yako 🙏🙏😍😍
Ahsante sana kwa support
- OMG I Watch Her All The Way From USA 🇺🇸 I Love Her So Much
Thank you for the support
Kaka sky umenifanya niwe happy today nakupenda sana da Fathiya kwa mapishi yako M.mungu akubariki kwa kila kwenye kazi yako💋💋💋
Shukran. Amin kwetu sote
Yaaan nampendaa huyu mama nimeweza kupika pizza na mapishi mengine yoote kwa video zakee mashalla da aroma of zanzibar ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💕💕💕💕💕
Shukran 😘
@@aromaofzanzibar 😍😍😍😍😍😍😍😍😍
mimi nampenda sana mashalla mapish yake nayapenda sana habibty nimeona video yako kama upo Omani na mimi pia ni mu oman naomba wts tuonge
Mashallah yaani fat-hiya sauti yako Kama yahaloo wangu yupo Oman anaitwa Zahra na hata sura mumefanana lkn yy amenenepa saiv yaani sauti zenu same same kabisa Hadi sura yaani duniani wawili wawili nikikuskiliza wewe naona Kama namsikiliza haloo wangu kabisa yaani nakupenda sana kwaajili ya Allah napenda Sana mapishiyako😘
Nampenda da fathya jmn!! Amenisave kwenye mambo mengi!! Allah akulipe kwakweli my sis.😘🥰
Mwalimu wetu wa mapishi! Nakupenda sana Aroma of znz
Mungu akueke mama
Ahsante sana kwa support
Somo yangu mie huyo wa mapishi,
Natamba mjini kwa ajili yake,
Love you Da' Fathiya.
Thank you for your support
Masha'allah dada kwa umri wako yamkini ww ni dada yangu nakupenda sana wallah 💕💕💕💕💕
MashaaAllah huyu Dada napenda mapishi yake MashaaAllah MashaaAllah ntakuja unifunze kupika na mm nipo Oman 🇴🇲 😍😍😍😍
nakupenda sana Fathiya, nimejifundisha mapishi mengi sana kupitia ww, na mimi saiv nipo OMAN ni mpishi
Maasha Allah dada fathiya Allah akuzidishie ujuzi uzidi kutufunza mambo mapya na mazuri, tumefurahi kwa kweli kukuona kwenye hii interview
Ahsante sana Nashkuru
Hongera Sky kutuletea Fathiya hata mm sikua namjua na napenda mapishi yke ya Aroma.
Shukran
MashaAllah umenifunza sana mammy... Shukran. Nimefurahi kukuona leo.
Shukran
Nampenda uyu mwanamke
Mashaa Allah thank you Sns nam nakusikiliza nikiwa England
Asante sana da fathiya channel yako imenirahisishia sana kuwapikia maboss zangu chakula cha jioni hai sipati tabu
Hongera dear
@@aromaofzanzibar asante sana Allah akulipe Kheri.kwa sadaka unayotoa
Yaani you are my person when it comes to different ways of cooking and baking. Your recipes are simple and easy to follow. Thank you Fathiya!!!
Ahsante sana 😘
Sanaaa anaeleweka mnoo
Wow at last tumemfahamu. Very pretty woman! Anatusaidia sana sana ktk Channel yake ya Aroma of Z’bar. Moyo wako mzuri sana, MUNGU aendelee kukufanikisha
Shukran Amin
Jamaniii mama yetu,hongera kwa mapishi yako mazuri matamu.tunajifunza sana
Ahsante sana Nashkuru
Mwalimu wangu wa mapishi huyoo😍😍😍😍
Mashallah aroma of zanzibar my favourite ❤ nikija Oman itabidi nije dukani kwako in sha Allah
Shukran darling karibu sana
Mimi ni mtanzania naishi Sweden nimejifunza mapishi ya kitanzania kutoka chanel yako naipenda sana chanel yako naiangalia kila siku
Mashallah Fathiya nice to see you unapika mpaka bas mashallah
Mashallah aroma zanzibar
Mashallah mashallah, Allah ampe maisha marefu...Amiin,mapishi mengii nimejifunza kwake Alhamdulillah..Shukran Fathiya😘😍
Shukran kwa support
Eeeh Asante SnS. Mwenyewe nimejfunza kupka vtu vngi kuptia channel yake aroma of Zanzibar she's amazing❤️❤️❤️❤️
Woooow nampenda Sana huyu mama nilidhani yuu aishi Zanzibar, nimda mrefu Sana namfatilia
Ahsante sana 😘
Mashaallah wajina inshaallah tutakutafuta hapa Oman .nice to see you live😍😍
I love her voice....mashaAllah
Nilipo fika ulaya , nikajifunza kupika msosi kupitia channel ya huyu dada, Nikawa mpishi mzuri, na nikaenda kuwa mpishi na nikapata kazi kwenye production kitchen (kuandaa na kupika mapishi ya yote, asia food, italian and french food , junky food , take away kwa ajili ya passenger airport , na mpk leo pisi kali zikiibuka gheto zinapenda msosi wangu🤣🤣,( all in all Aroma of Zanzibar ilinipa kujiamini kwenye kupika, na anachosema kupika ni technique tu, Najivunia uzoefu sio cheti🤣🤣....SNS UNYAMWEZI MWINGI🔥🔥🔥
Umetisha sana Mzee 🙌
Big up kwako
Hongera sana kwa jitihada zako. Nimefurahi kusikia kwamba ninechangia katika safari yako
Ubarikiwe
Big up to the presenter for acknowledging that he want to learn about etiquette 👋👌
itakuja soon
Mashallah tabarakallah nimefurahi kukuona kwa hio clip yako i like your recipes very amazing mashallah tabarakallah
Asante sana sky kuleta Aroma Zanzibar. Nampenda sana sana sana
Ahsante sana kwa support
Ma Shaa Allah habbty
Well done and wishing you all the best...
Nampenda sana yaan mimi mapish huwa naangalia kwa channel yako namuelewa sana km huwa anafundisha live na napika kinatoka vzr 😍😍
Ahsante sana 😘
@@aromaofzanzibar 😍😍
Huyu ni mama katika mama alie okay ndoa nyingi za mabinti wakiafirika she is a super woman wallahi sky kunywa soda leo umetuletea mwanamke bomba mimi km mswiss mental na mpa sky na aroma thanks zangu
Ahsante sana kwa support.
@@aromaofzanzibar welcome my dear ur adefination of agreat woman my Allah bless u n ur future offspring inshallah uwe igo lafarmilia kwa kila njia
@@michiali2860 Amin
Mashaallah tabarakallah mabrouq mngu akuzidishie kipaji cha mapishi
Amina kwetu sote
Nakupenda sana ❤
Ahsante sana kwa support
Nampenda huyu dada anajua kufundisha sana nimejua mapishi mengi kupitia huyu dada
Asante kwa mapishi mazuri tunatamani kukutembelea upo oman sehemu gani
Nipo Alkhodh piga simu 71555561 kwa recipe
MAA SHAA LLAH naona kiswahili unakijua vizuri ALLAH akupe umri mrefu wenye kheri na baraka ndani yake
Naam nakijua hasa
Yan Mimi nilimjua upo zenji hongera
Shukrani sana👏
😘
Nampenda huyu dada jaman
Mashaallah leo nimekuona.mungu akuzidishie habbty
Amina
Nampenda huyu beautiful woman..... Chanel yake nimekua nikiitizama kwa muda sasa. Keep up good job 😘😘😘😘😘
Thank you 😊💗
@@aromaofzanzibar karibu sana 💗. Siku hizi napika biriani hatari 😅 na wewe ndo mwalimu wangu 🙏🏾
Aunt mwana sns mwenzetu hahaha lv u my chef..
@@hamidasalum1232 kabisaa 💗
Fathiya you made people believe nimeishi na waswahili🥰🥰🥰. Thank you for your chanel and your voice should be on radio/TV🙏🏽
Mashaallah...nampenda sana Fathiya
Ahsante sana 😘
Madam nakupenda nimekuwa mpishi kupitia ww mashaa allah yaan Kama hujui kupika ni uvuvi wako tu lakini madam fauthiya umetufundisha wengi sana mungu akuwe madam niko oman ❤️💪
Shukran darling 😘💗
Asallam aleikum uko sehemu gani hapa Oman nafuatilia mapishi yako na nimejifunza Asante Sana allah akubarik
Leta Whatsapp 71555561
She is very humble .I love her cooking.
Oyooo asanteeee bro sky kwa kumleta huyu dada Nampenda sana huwa nafatia sana chaneli yake ya CZcams hadi nami nimejua kupika hasa chapati
Ahsante sana Nashkuru
@@aromaofzanzibar hongera sana mwalimu wetu umetuokoa sana wanawake wenzio kwenye mapishi Allah akulipe kwa kazi ya mikono yako
MashaAllah shukran mama karibu tena SnS
Shukran
Nakupenda❤️
Mapishi yako ni world class ,you have taken our African recipes to another level .I agree your cooking techniques are excellent.keep up the good work.cooking with an edge👌👌😋
Thank you so much 🥰
Asalam aleikum jamani mama huyu nampenda sana na ana mapishi mazuri sana.shukran kwa kutonesha live leo.aroma of zanzibar hoyee
Ahsante sana kwa support
Small world fati is long time inshallah nikija oman nitakutafuta miss u babe girl welk done
Shukran, nani mwenzangu
@@aromaofzanzibar bi zu holland
Yaani anakasauti kadhur akiwa anaelekeza kupika💜💜
My all time favourite chef! You made me love cooking
Amenisaidia mnooo kujua kupika vitu vingi... 😘😘😘.I can't thank her enough. MUNGU AZIDI KUMBARIKI JAMAN
Shukran
Aroma Of Zanzibar..Love you Big ♥️❤💜🧡💗💋🌹
duh huyu dada namfwatalia snaa mapishi yke na siwajawai kumuona duh mungu mkubwa🥰❤🙏
Shukran Amina
Hongera tutafutie na shuna
Shunas kitchen channel
Wazo langu kabisa
Ooh dada Fathiya hata mimi nlikuwa nakujua kama Aroma 🤣🤣🤣🤣🤣. I love you so much my dada. You just don't know how much you inspired me and made be one of the best cooks to my family, relatives and friends hapa Marekani. I can cook vitumbua, chapati, mishikaki, pilau and many more...
Thank you for your support 😘. Hongera kwa jitihada zako
I love this Dada
Nakupenda Mamy Aroma
Nimefurahi sana kukuona. Nakupenda sana. Barikiwa.
Shukran 😘💗
ماشاءاللہ
Mashaa Allah mashaa Allah Mashaa Allah nimefurahi kukuona hapa Mwalimu wangu M'mungu akupe kila la kheri jazzayako utaipata kwa Allah mimi nipo Oman Salalah naomba kama una darasa ya live nifike kuhudhuria
Ahsante sana kwa support, Nashkuru. Mie sina darasa hapa Oman
Shukurani nimejifuza kupika biriani kupitia Chanel yako. Shukurani mungu akuzidishie
Shukran, Amin kwetu sote 😘
Namfatilia huyu mm kwenye channel yake ya CZcams
MashaAllah love u Mama Fathiya♥️💋😘