Kocha tunaomba next match skudu apewe dakika nyingi za kucheza wananchi tunataka burudani ya watu kulamba nyasi kama mwana wa singida kidogo atapike alizeti
Noms sana! Uongozi, kama suluhu ya kuwa na mshambuliaji kinara wa timu yetu, nashauri muangalie uwezekano wa kumsajili Moses Phiri kwenye dirisha dogo. Naona jamaa zetu wa upande wa pili wanashindwa kumtumia, lakini ni mtu sana yule jamaa!
Mashabiki wanao kaa upande wa Skudu waongeze kiingilio
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Jamani mtangazaji unanitoa mbavu et anamgeuza mtu kama samaki gwagwa duh skudu 💛💚💛💚💕
Waziri waraha skudu makudubela
Simba damu but kwa pira la skudu anaburudisha sana
natamani siku skudu aanze mechi akiwa na AZIZI KI, PACOME NA MAXI
😂😂hii ndo tulkuwa tunasubiri
Skudu makudubelaa
uliyemleta skudu yanga Mungu anakuona sio kwa balaa wanalopata wenzio
Kocha tunaomba next match skudu apewe dakika nyingi za kucheza wananchi tunataka burudani ya watu kulamba nyasi kama mwana wa singida kidogo atapike alizeti
😂😂😂😂 watu walikuwa washaanza kumuona kwmba hafaii ila mwamba ameludi kwakasi sasa akipew dakika nyingi tutafulahi wallah😂😂😂
@@fatmasaaed144 sana
Huyu m2 majeraha ndio yalimfanya awe kimya,lkn tutaona mengi
Mengi saanq wallah yajayo yanafurahishaa watu tulikuwa tumemkatiaa tamaa tukajuwa tumepigwaa bhna😂😂😂😂
Yanga wasipo muweka skudu kwenye dabi aise watakuwa wamenikosea sana SKUDU NAKUKUBALI MIAKA MIAaaaaaaaaaaaaaa
Kwa burudani anayotoa skudu hata mpinzan anaweza akaacha kumkaba huku akishangaa vitu vyake
Noma sana
Skudu manoka makudubela🙌
Hongela skudu manoka makudubela
@@mussamaganga2631 🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐
😂😂😂😂😂king of skills in yangaaaa and in Tanzania nani kama skuduuuuu boyyyy
Huyu skudu akiendelea hivi haki za binaadamu wachukue hatua pls 🤣😂
😂😂
Umeonaeeee😂😂😂😂😂😂
Tunapigwa chenga hadi wana youtube😢😢
Our skudu ❤️❤️❤️
Noms sana! Uongozi, kama suluhu ya kuwa na mshambuliaji kinara wa timu yetu, nashauri muangalie uwezekano wa kumsajili Moses Phiri kwenye dirisha dogo. Naona jamaa zetu wa upande wa pili wanashindwa kumtumia, lakini ni mtu sana yule jamaa!
nama sana😂😂😂😂
tunamtaka skudu mechi ijayooo watan walieee
Huu ni unyanyasaji kwakweli😢
skudu wangu wazir wa raha
Mpira ni burdani tunashinda mechi hakafu raha 😂😂😂😂sio pira magimbi halafu mnashinda mechi mnagombana kama madunduka😂😂😂😂
Hahhahhaha an wewe marimba tena
Magimbii
Nd kwanzaa asubuh yan apo badoo😂😂😂💚💪
Yaan hapo bado
Ntalimbo
Yusuph kagoma hatoisahau
Sukudu ❤❤❤
Skuduu atakuja auwe mtu adondoke n kichogoo😂😂😂
😂😂😂
Hatimae nimeipata aloooo😂😂😂
😂😂😂😂😂
Noma.skudu
💚💚💚💛💛👏👏👏✅
Jamaa mwepesi kama table ya pili kuna Watu watalia
Daaa jaman tebo ya pili
Atakuja kuvunja watu viuno huyu
Big up
Yanga ni fire maana hata kibabage baye kwa dk chache alizocheza alitisha mnoo
Sana TU kwa kweli
😂😂🎉😢😅 waooooooo skudu
Timu Kubwa Mmetolewa Mmeanguka Mwanguko Wa Mende Miguu Juu Tuacheni Na Yanga Yetu Tufurahi Jamani Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
,😂🤣🤣
Oya uyo skudu ❤❤❤❤😂😂😂
ninoma
Mpira burudan
Skudu 😂❤
Skuduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu skuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hatari chenga kama ronadinyo
Tunaomba skudu apewe dk 90 uwanjan💚💛
❤❤❤
Nikikaa upande anaocheza Skudu inabidi niongeze kiingilio
Hapo itakua 🔥
One love from Geita
Unaambiwa Apo bdo hajachanganya yaan Apo bado
💚💚💚💚
Bado amjasema🤫
Skudu the footballer
skudu atafungiwa soon
Kwann
Hayakuhusu
@@andrewzimba692 sawa
Waziri wa rahaaaaaaaa jmn hiii yanga itanipa kisukari
Yanga tamu ❤️
Hongera skudu
Love from S.A 🇿🇦
visit Tanzania
Skudu 😂😂😂😂😂 aloooooh
🤭🤭🤭🤭🤭🤭😂😂😂
Nampenda skudu makudu bera😢😂
Makolo wanasemaje
😂😂
Muweke na mauya Jana kauwasha kwer
Haswaaa jna wlicaharuka wachezaji wote 😂😂😂😂😂😂😂
Pitia frm 254🔥🔥
Gamond Kuna baadh ya wachezaji atawauwa kiwango
Skuduuuu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa akipewa nafasi ni mtu sana
mwamba ni fundi wa mpira sana nita furahi sana tarehe 5 acheze yule babu kapombe iwe ndo siku yake ya kustafu sako kwa aibu. atakayo ipata
weekend and sikud
Skudu is better than Tau, bisha tuu!
Yanga ilichomwa sana ,hana lolote, skudu.hakana uwezo wa kuleta matokeo
Jaman hadi rahaaa skudu weee
Baroter
Skuduuuuuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂
Vitukoko baroter uwanjani
Nikwel waongeze bhn wanafaid xan vyenga vya xkudu
😂😂😂😂😂
Yanga ni hatari San haooo utopolo watpigw 5 bila
Alisankaki
Fundiiiiii
Hili linatokea yanga tu mchezaji anajitekenya miguu washabk wanashangilia upuuz mtupu
Dunduka unaumia ukiwa wp
Onana 🤓
@@mutakagoza4759 niiumie kwa tmu gar la mkaa Kama yanga?
Jitekenye wewe basi 😂😂 kolo
Hiyo tena Husudaa😂
Ataishia ivo ivoo tuuu labda sio soka la bongo
Endelea kupiga dua mjomba
Kwa uchawi wako dundukaa😅😅😅😅😅
Huyo kaletwa kutoa raha ikitokea amefunga ni kheri pia
Ulikula raha na umeendelea kula mpaka CZcams 😅😅😅😅😅😅
@@lucymsheshi5871 ndio maana yake
Ni mchezaj gn hap tz alie fundi kama makudu bela
Hiv hyu makudubela Hana assist wala bao bas tu tumekuwa wajinga wanayanga ila faida yke ndogo had sasa
Ndo maana kaitwa Waziri wa Rahaa🧡💛💚🔰🏆💪
Kwan Yeye ni straika ?? Jaman tuwe wapole muda mwingine mchezaji tumpe muda ...
Umeambiwa bosi kamleta ili atupe Raha ndokilicho mleta