Mgundini: Sheikh Kipozeo Aeleza Ruksa Mume Kumpiga Mkewe | Mwanamke Hawezi Kumpa Talaka Mumewe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Sheikh Kipozeo anatoloea ufafanuzi juu ya mwanamke anaweza kumuacha mumewe kama ambavyo Shilole alipost kwenye instagram account yake, na je mwanamke anatakiwa kupigwa na mumewe, na vipi watu kuingilia ndoa za watu ni sawa?

Komentáře • 47

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma264 Před 4 lety +5

    Comment zote ni ngoma ngoma munaskiza.maneno ya Sheikh ama ngoma

  • @saidaally5105
    @saidaally5105 Před 3 lety +3

    huu muziki sio mahala pake

  • @manenojongo3470
    @manenojongo3470 Před 4 lety +2

    Nyinyi wapuuz mziki wann xx

  • @abuibra
    @abuibra Před 3 lety +2

    Kuna hukumu ya wazinifu ambao hawajafunga ndoa na pia kunahukumu ya waliofanya zinaa wakiwa katika ndoa kwanini hufafanui hata kupiga huwezi mpiga usoni mkeo,wala kumuumiza fafanua vizuri shaikh kipozeo wengi tunakusikia mtandaoni.

  • @muddyaforeal1145
    @muddyaforeal1145 Před 4 lety +3

    Huyu dada mbona mzuri mpaka chenji inabaki

  • @hanssabiti3625
    @hanssabiti3625 Před 3 lety +1

    Jamani,sasa mambo ya mwenyezi Mungu mnaisindikiza kwa mziki ?

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 3 lety +1

    Mimi naongezea watu washa shibana kila jambo kabla ya ndoa wakiowana ndio ifae nini shida tuliambiwa tuowe wanawake wenyewe dini twaenda owa wanamuziki wacheza kigodoro ili mupate kiki mitandaoni matokeo ndio hayo

  • @lionking3015
    @lionking3015 Před 4 lety +1

    Mnakosea hebu jirekebisheni.. sheikhe anatoa mawaidha ya dini afu munapiga mziki background.. mawaidha yanataka utulivu ili watu wapate faida ya maneno ya Allah..

  • @khatibuhijja459
    @khatibuhijja459 Před 4 lety +1

    Mm nashangaa sana, hiyo Mingoma ya nn,heshimuni mnachokiongelea na mnaeongea nae,mnakera mazungumzo ya maana mnaweka muziki washenzi nyinyi

  • @suleymanially974
    @suleymanially974 Před 4 lety +3

    Sasa hayo magoma ya nn?

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před 2 lety

    Inallilalahi miziki mingi ila mawaidha mazuri Allah akupeni ufahamu wakuna

  • @assoumnassor2930
    @assoumnassor2930 Před 4 lety +1

    By the way,nimependa ndugu ntangazaji ulivojitahidi kujistiri,umependeza sana,ila next time jitahidi kuzidi kujistiri maeneo ya shingoni,manake nakuona Masha Allah umefunika viganja ambavo ni sawa kuonekana kwa dini yetu ya kiislam,lkn kdg umeshindwa maeneo ya kwe shingo while ndi ni haram kuonekana kiislam.

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling4738 Před 4 lety +1

    Sasa iyo solo beat niyann wakati mada apo imebase kwenye dini.mbona hamna heshima na dini .?

  • @johsea122
    @johsea122 Před 3 lety +1

    Shekhe anamaneno mazuri, yakufurahisha

  • @azizaabdallah6491
    @azizaabdallah6491 Před rokem

    Mimi sijaelewa sasa nasikiliza mawaidha na nyimbo au vipi
    Chagueni moja basi jamani aidha mawaidha ama nyimbo.

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 Před 3 lety +2

    Reduce the volume of music damn!!! Inaleta disturbance or destruction please

  • @assoumnassor2930
    @assoumnassor2930 Před 4 lety +1

    Wazungu wanasema "The pen is mightier than the sword"
    Sasa wapenzi watazamaji na waskilizaji wenzang tushaona kdg wtaarishaji kipindi wamekosea kutuwekea music,kwnn hatujaribu kuwaambia politely hadi tutoe maneno makali makali namna hii?
    Siku zote maneno mazuri humtoa nyoka pangoni,lkn kwa hvi tunavofanya itakuwa hatulinganii badala yke ni tunaonesha tunataka mvutano...Tubadilikeni!
    Hadithi sahihi inasema (ktk uislam),ukiona uovu ktk jamii anza kwa kusema,ikishindikana ondoa uovu huo kwa mikono yako,na ikishindikana bc chukia ktk nafsi yako.Shukran

  • @bignation3959
    @bignation3959 Před 4 lety +1

    Mnaenda kumhoji sheikh kuhusu mambo muhimu thn background mnapiga beats sijui kinanda, sijui singeli hio

  • @ummialey6391
    @ummialey6391 Před 4 lety +2

    Mmechemsha mziki

  • @ummialey6391
    @ummialey6391 Před 4 lety +2

    Shehe umeeleweka

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před 2 lety

    mnajadili juu ya kupigwa mwanamke wakati mwanamke alikwenda kwa muhhamad ngozi yake imebadilika imekuwa ya kijani kwa kigigo.. na muhhamad akasema anastahili... sasa unasemaje?? uislam hauruhusu.. kupiga??? pili kuna Aya..kwenye Quran inasema Allah ndio kaleta... uchawi kwaajili ya kuvunja ndoa tu.. sasa mbona anashangaa wakati Allah ndio kaushusha uchawi ili mke na mume wawe wansachana kwahiyo kwenye uislam ni kazi ya Allah

  • @mbembelatv
    @mbembelatv Před 4 lety +1

    Nmeupenda muzik huo background 👏😅

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 2 lety

    Mtangazaji umefanya vizuri kwa kumkabili sheikh kwa kujistiri

  • @walidalesry7482
    @walidalesry7482 Před 2 lety

    Sasa yanini mziki

  • @mujyu3438
    @mujyu3438 Před 4 lety +1

    mnaongea masaili ya kidini sasa huo mziki wa nini? kwa nini hata maswala ya serious mnafanyia mzaha,? Katika editors wenu wote hamna Muislam aliyesema kuuondoa huo mziki?

  • @sarahhabib5902
    @sarahhabib5902 Před 2 lety

    Wimbo? na mawaitha inatolewa ?

  • @hmwdy_1173
    @hmwdy_1173 Před 2 lety

    Mziki wa kishenzi inaonesha nyinyi siyo wema

  • @alithabit7617
    @alithabit7617 Před 2 lety

    Achen ushamba kuweka mziki wakati Sheikh anaongea vitu vya Maana

  • @aishagakurya1964
    @aishagakurya1964 Před 3 lety

    🎶music wanini kwa mawaidha

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 Před 2 lety

    Maharage yambie hawana kheri 😀😀

  • @sarahhabib5902
    @sarahhabib5902 Před 2 lety

    Aslaamlekum. Shekh sithani kwanza Kama ni vizuri kumpiga mke wako au mwanamke bora kumu talaka ? Pia vipi huyo mwanamke atakupenda kama unampiga?

  • @babikirmusa6963
    @babikirmusa6963 Před 3 lety +1

    Nimepata mafunzo

  • @saajasnews576
    @saajasnews576 Před 3 lety

    samahani ingependeza music ikapunguzwa ili tukaweza kujifunza kutoka kwa shekh

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene3636 Před 4 lety +1

    NAOMBA NIKUALIKE
    Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html

  • @Ab-kq7ql
    @Ab-kq7ql Před rokem

    Dinî ya ajabu

  • @idrissamustafabukenya6110

    Music wako anakera daada.yani apana kabisa

  • @idrissamustafabukenya6110

    Music kero

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před rokem

    Jat the background music for? Can't listen to this mess. Ujinga mtupu inakuje myu anaongea na background music?

  • @mayangeramadhani8497
    @mayangeramadhani8497 Před 2 lety

    Mdundo upuuzi mtuupu mnakera

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene3636 Před 4 lety +1

    NAOMBA NIKUALIKE
    Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene3636 Před 4 lety +1

    NAOMBA NIKUALIKE
    Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene3636 Před 4 lety +1

    NAOMBA NIKUALIKE
    Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html