😂😂Daah! bonge moja la interview la kufungia mwaka Naungana na wewe Mussa kama ulivyosema ya MUNGU mengi ni kweli hata mimi nimeona hilo kuna jambo linataka kutokea weka kumbukumbu ya leo mi niko pale najifunza hicho kicheko chako cha kinafki ili nikicheke siku utabiri wako utakapotimia 😂😂
Vifo vyote vya watu maarufu vimenisikitisha lakini kifo cha Gadner kimeniskitisha sana ..kazi ya Allah haina makosa apumzike kwa aman
Mumepoteza zaidi ya dakika 4 za kwanza bila kitu cha msingi, introduction yenu imetipotezea muda. Hakikisha intro sekunde 30 tu sio dakika 4 zote
Jamani natamani mrudiane kama zamani please jamani ilikuwa couple nzuri sana❤❤❤
Jamaniiiii sisi tunapenda biaaa Salute kwenu D.D.O.S Uhai wa chama ni vikao....
Hakuna rafiki wakudumu au adui wakudumu....be flexible...experience life
Natamani sasa siku moja Jide apige ngoma moja na Juliana Kanyomozi. Dah! Itakuwa dope sana.
Kweli dunia inazunguka, leo lady jay dee anahojiwa clouds 😢😢kweli siku hazigandi
Kwaiyo ukitaka ahojiwe na redio gani mpaka ushangae au cloud atakiwi kuojiwa
@@jacksondamian4347 wanao elewa historian ya muziki wa jayde ,na wanyonyaji washanielewa,🇹🇿🇹🇿
@@jacksondamian4347 kama unaijua historia ya muziki wa jay dee na crouds uwezi kuuliza ivo ,umezaliwa 2005 😂😂
@@hezronjoseph405😂😂😂😂😂😂km nakuelewa
Kweli hakuna rafiki wala advice wa kudumu. Nakumbuka ule waraka wa jide mwaka 2013 kwa Ruge na kusaga.
Daaah MUNGU akupumzishe kwa amani 🙏🙏🙏🙏😭😭😭
super interview , i love you guys i can imagine that chemistry. big respect to you all.❤🧡💚💙💜
Natamani Gadna na komando warudiane kwaajili ya Kareen kama naona atakavyo furahi huyo karen Mungu fanya maajabu
Dadaangu chukua mauwa yako❤️
Mngemuuliza kuhusu Spicy jamani
Leo nimeamin wale walosema bado mengi hujajua duh jide na gardna🙌nasoma comment nakuta wame2kana hadi mwaka nilozaliwa so ctouliza k2 maan nshajua😂😂😂
Big up CMG
Interview kali saaana ❤
i see love see the Jide's deep breath and the Gadner's.EYES
Rip gadner siamini mimi ila nachoshukuru umekufa mkiwa sawa na jide
Mungu akupunguzie adhabu yakabulin
Very sad😢 R.I.P. Gadna
😂😂😂As always baadhi ya comments ni kushauri kuhusu mahusiano..asee wananchi wa hii nchi wanapenda mapenzi na kushauri...mnashauri sana
ndo utamu uliobaki hatuna hela ya kula kuku
😂😂😂😂
😅
Ila Jide nakuelewa sanaaa
Jude nnakupenda Sana jamani
Nimeipenda
Rest in peace Gadna
Nataman nimpate ex wangu ninae elewana nae Kama nyie
M -search
Uwiii😢😢😢Gadna jamani umemuacha mkiwa kareen na Jd..tutaonana baadae
😂
nikikumbuka maneno ya garner kua alishamkojoza jide for more than ten years na leo ni marafiki na anamnunulia zawadi khaaa moyo unadunda dunda
Ndio maana tunaambiwa tusimalize maneno duniani.
Balaa
R.I.P
Hawa jama wanajua saana
Nmeipenda sana hii
JD bado anampenda sana Gardner...
❤❤❤❤❤
Hawa wanakulana, wallah tena nawaambia,sasa wewe unamuuliza ex wako eti nini kilitokea kati yetu, si usanii huo, wanakulanaaaa😢
Hiyo mikwaruzo ondoaaaa
😂😂Daah! bonge moja la interview la kufungia mwaka Naungana na wewe Mussa kama ulivyosema ya MUNGU mengi ni kweli hata mimi nimeona hilo kuna jambo linataka kutokea weka kumbukumbu ya leo mi niko pale najifunza hicho kicheko chako cha kinafki ili nikicheke siku utabiri wako utakapotimia 😂😂
Gadner...
Rudianeni
Komandooo
Umemkojoza tena Mukubwa 😂
😅
Kumanina zenu......
Kheee😂😂😂😅
Kheee😂😂😂😅
Akuli nyama nyekundu,,,kwani kuku si nyama
Kuku ni white meat siyo Nyama nyekundu go back to school
Hii interview nzuri sana ma ex na mashemeji wawili wakihojiana 😅😅😅😅
Hawa watakuja kufanya surprise tu mara wamerudiana
😂😂😂😂 umeona kadalili flanii
Nitafurahi sana
Itakuwa heri jamani
Very poor production
komando
Weka yako pumbavu
Mmh jaman kumbe gadna na jide waliwai kua wanafamilia!?
Mke na Mume kwa miaka kibao tu
Miaka 10 ndoa kabisa.
Umezaliwa mwaka gani? Tuanzie hapo
@@moseschrislumole2496😂
@@moseschrislumole2496hawa ndo watoto wa 2023 hawa
Mungu akupunguzie adhabu yakabulin