LIVE : Captain na Jide wakutana live kwenye Jahazi,

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 89

  • @ghalibalhinai2078
    @ghalibalhinai2078 Před 4 měsíci +2

    Vifo vyote vya watu maarufu vimenisikitisha lakini kifo cha Gadner kimeniskitisha sana ..kazi ya Allah haina makosa apumzike kwa aman

  • @luc66lumona93
    @luc66lumona93 Před 10 měsíci +4

    Mumepoteza zaidi ya dakika 4 za kwanza bila kitu cha msingi, introduction yenu imetipotezea muda. Hakikisha intro sekunde 30 tu sio dakika 4 zote

  • @tumainimgaya2512
    @tumainimgaya2512 Před 11 měsíci +3

    Jamani natamani mrudiane kama zamani please jamani ilikuwa couple nzuri sana❤❤❤

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 Před 11 měsíci +3

    Jamaniiiii sisi tunapenda biaaa Salute kwenu D.D.O.S Uhai wa chama ni vikao....

  • @mudidachi8616
    @mudidachi8616 Před 11 měsíci +8

    Hakuna rafiki wakudumu au adui wakudumu....be flexible...experience life

  • @charlesluanda9161
    @charlesluanda9161 Před 11 měsíci +2

    Natamani sasa siku moja Jide apige ngoma moja na Juliana Kanyomozi. Dah! Itakuwa dope sana.

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 11 měsíci +21

    Kweli dunia inazunguka, leo lady jay dee anahojiwa clouds 😢😢kweli siku hazigandi

    • @jacksondamian4347
      @jacksondamian4347 Před 11 měsíci +1

      Kwaiyo ukitaka ahojiwe na redio gani mpaka ushangae au cloud atakiwi kuojiwa

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 Před 11 měsíci +8

      @@jacksondamian4347 wanao elewa historian ya muziki wa jayde ,na wanyonyaji washanielewa,🇹🇿🇹🇿

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 Před 11 měsíci +5

      @@jacksondamian4347 kama unaijua historia ya muziki wa jay dee na crouds uwezi kuuliza ivo ,umezaliwa 2005 😂😂

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Před 11 měsíci +1

      ​@@hezronjoseph405😂😂😂😂😂😂km nakuelewa

    • @user-bl7qn2ty5u
      @user-bl7qn2ty5u Před 11 měsíci +2

      Kweli hakuna rafiki wala advice wa kudumu. Nakumbuka ule waraka wa jide mwaka 2013 kwa Ruge na kusaga.

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h Před 4 měsíci +2

    Daaah MUNGU akupumzishe kwa amani 🙏🙏🙏🙏😭😭😭

  • @kashindijohn5145
    @kashindijohn5145 Před 11 měsíci

    super interview , i love you guys i can imagine that chemistry. big respect to you all.❤🧡💚💙💜

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 11 měsíci +2

    Natamani Gadna na komando warudiane kwaajili ya Kareen kama naona atakavyo furahi huyo karen Mungu fanya maajabu

  • @user-nt5gq9gu2f
    @user-nt5gq9gu2f Před 11 měsíci +3

    Dadaangu chukua mauwa yako❤️

  • @eveandrew7096
    @eveandrew7096 Před 11 měsíci +3

    Mngemuuliza kuhusu Spicy jamani

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Před 11 měsíci

    Leo nimeamin wale walosema bado mengi hujajua duh jide na gardna🙌nasoma comment nakuta wame2kana hadi mwaka nilozaliwa so ctouliza k2 maan nshajua😂😂😂

  • @robinsonjames9711
    @robinsonjames9711 Před 11 měsíci +1

    Big up CMG

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 11 měsíci +1

    Interview kali saaana ❤

  • @genovievkisaka1860
    @genovievkisaka1860 Před 11 měsíci +1

    i see love see the Jide's deep breath and the Gadner's.EYES

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 4 měsíci +1

    Rip gadner siamini mimi ila nachoshukuru umekufa mkiwa sawa na jide

  • @SuleimanEmily
    @SuleimanEmily Před 4 měsíci

    Mungu akupunguzie adhabu yakabulin

  • @neycoleclassic4426
    @neycoleclassic4426 Před 4 měsíci

    Very sad😢 R.I.P. Gadna

  • @aud548
    @aud548 Před 11 měsíci +4

    😂😂😂As always baadhi ya comments ni kushauri kuhusu mahusiano..asee wananchi wa hii nchi wanapenda mapenzi na kushauri...mnashauri sana

  • @glorydaniel6549
    @glorydaniel6549 Před 4 měsíci

    Ila Jide nakuelewa sanaaa

  • @TwalibuhamdaUtonu
    @TwalibuhamdaUtonu Před 10 měsíci

    Jude nnakupenda Sana jamani

  • @ThophilyyusuphThophilyyusuphu
    @ThophilyyusuphThophilyyusuphu Před 11 měsíci

    Nimeipenda

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 4 měsíci

    Rest in peace Gadna

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 Před 11 měsíci +5

    Nataman nimpate ex wangu ninae elewana nae Kama nyie

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 4 měsíci

    Uwiii😢😢😢Gadna jamani umemuacha mkiwa kareen na Jd..tutaonana baadae

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Před 11 měsíci +1

    nikikumbuka maneno ya garner kua alishamkojoza jide for more than ten years na leo ni marafiki na anamnunulia zawadi khaaa moyo unadunda dunda

    • @user-ey7wn4li4i
      @user-ey7wn4li4i Před 11 měsíci

      Ndio maana tunaambiwa tusimalize maneno duniani.

  • @anithamsigwa
    @anithamsigwa Před 4 měsíci

    Balaa

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 4 měsíci

    R.I.P

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 11 měsíci

    Hawa jama wanajua saana

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 11 měsíci +2

    Nmeipenda sana hii

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 5 měsíci

    JD bado anampenda sana Gardner...

  • @user-gw5lb9ju5m
    @user-gw5lb9ju5m Před 11 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 11 měsíci

    Hawa wanakulana, wallah tena nawaambia,sasa wewe unamuuliza ex wako eti nini kilitokea kati yetu, si usanii huo, wanakulanaaaa😢

  • @aishakaumbya4082
    @aishakaumbya4082 Před 11 měsíci

    Hiyo mikwaruzo ondoaaaa

  • @martinmaleyek4996
    @martinmaleyek4996 Před 11 měsíci +2

    😂😂Daah! bonge moja la interview la kufungia mwaka Naungana na wewe Mussa kama ulivyosema ya MUNGU mengi ni kweli hata mimi nimeona hilo kuna jambo linataka kutokea weka kumbukumbu ya leo mi niko pale najifunza hicho kicheko chako cha kinafki ili nikicheke siku utabiri wako utakapotimia 😂😂

  • @jacquilinemakundi1841
    @jacquilinemakundi1841 Před 4 měsíci

    Gadner...

  • @henrywambua7770
    @henrywambua7770 Před 11 měsíci +1

    Rudianeni

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa1582 Před 11 měsíci

    Komandooo

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Před 9 měsíci

    Umemkojoza tena Mukubwa 😂

  • @rosemaeda1985
    @rosemaeda1985 Před 4 měsíci

    😅

  • @kelvinhk8675
    @kelvinhk8675 Před 11 měsíci

    Kumanina zenu......

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před 11 měsíci

    Akuli nyama nyekundu,,,kwani kuku si nyama

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele Před 11 měsíci

      Kuku ni white meat siyo Nyama nyekundu go back to school

  • @amirially750
    @amirially750 Před 11 měsíci

    Hii interview nzuri sana ma ex na mashemeji wawili wakihojiana 😅😅😅😅

  • @FrankKiondo-fq8hf
    @FrankKiondo-fq8hf Před 11 měsíci +2

    Hawa watakuja kufanya surprise tu mara wamerudiana

  • @luc66lumona93
    @luc66lumona93 Před 10 měsíci +1

    Very poor production

  • @FidelisiFilibati-vr6xx
    @FidelisiFilibati-vr6xx Před 11 měsíci +2

    Mmh jaman kumbe gadna na jide waliwai kua wanafamilia!?

  • @SuleimanEmily
    @SuleimanEmily Před 4 měsíci

    Mungu akupunguzie adhabu yakabulin