BREAKING NEWS MSIKITI WA MTORO WAMUOMBA RADHI MUFT KABLA YA SWALA YA IDD SHEKH ABAS ASIKITISWA SANAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 04. 2024

Komentáře • 129

  • @akilikarama3331
    @akilikarama3331 Před 2 měsíci +3

    Hakuna alie juu ya Mungu na sheria zake mufti kakosea kasema kima zowea bila kufuata sheria na shekhe osumani kaja kuongezeea jamboa kisheria kwa kumlikava mufuti mbona abuu bAkari arfa wa kwanza wa mtume alikosolewa na mwana mke narudia tena hakuna alie juu ya mungu wala kitabu chake wa mtume wake bina damu hajawa na ukamilfu yeye shekhe osuman alikua upande wa mufut bila kutafakali mmemu ataki shekhe osuman bila kujua dini haitaki mazowea na dini inaendeshwa kisheria na sio kima zowea na haya mazowea ndio yanayo tupoteza sisi maamuma sasa mtakeni radhi mwenyezi mungu kwa kumletea mazowea

  • @Abuu180
    @Abuu180 Před 3 měsíci +5

    Kwa hyo yaumul shakka iko kilugha tarehe 29 na 30 kifiqh aw sio. Itaqillah mas'ala kwene uislam yamethibitiwa mtu akibadilisha kdg tu hta mtoto mdg huweza msahisha na hyo ndio neema ya uislamu,

    • @sungitatv9887
      @sungitatv9887 Před 3 měsíci

      Usome uislam mtume alisahau kusalisha vipi maswahaba walimuendea kua na adabu na kiongozi

    • @sdsd5140
      @sdsd5140 Před 3 měsíci +2

      Aahh usimuonee mwenzio alhabib. hapo huwezi kuweka qiyaasw maana huyu ni bwana Mtume s.a.w halingani kwa chochote na Mufti. Pili kule alisahau, huku aliteleza lkn anasisitiza kuwa yuko sawa tena aombwe na radhi, tuwacheni politics. Kukiri kuteleza ni sehemu ya uchamungu na wara'a kwa kiongozi.

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Před 2 měsíci

      watu wamche "Allah" wanajitahidi kutafuta njia za kujinasua..

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 Před 2 měsíci +4

    Shekhe hapana hapana uislam umekamilika hauna mtu mkubwa kama mtume aliulizwa muft nani ?

  • @abdulrahmanmohammed4449
    @abdulrahmanmohammed4449 Před 3 měsíci +4

    Kwani mufti hawezi kukosea? Kwann mnalazmisha hjakosea wakat amekosea? Na km mtu amezungumza kulingana na fiqhi ilivyo ss mnataka azungumze kulingana na nini

  • @user-xb7jv2jt7d
    @user-xb7jv2jt7d Před 3 měsíci +1

    MASHALLAH! IMAMU WETU ABBAS BIN RAMADHAN ABBAS HUO NDIO UKOMAVU WA UONGOZI MSÀMAHA KWA MUFTI WETU KIPENZI SHEIKH ZUBEIR NAAMINI AMEUPOKEA KWA MOYO MKUNJUFU. EID MUBARAK

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 Před 3 měsíci +6

    Sasa nyie kina sheikh Abbasi Ramadhani hapo munakosea, ilitakiwa yy sheikh Othman aje aelezee yy mwenyewe. Yaani angejikosoa mwenyewe na akajiweka sawa.

  • @mohamedmtahiyatu9113
    @mohamedmtahiyatu9113 Před 3 měsíci +3

    UMEZUNGUKA TU SHEKH AJE MWENYEWE KWA KIFUPI AMEJICHANGANYA

  • @fatmaissa5685
    @fatmaissa5685 Před 3 měsíci

    Mashalhaaa binafsi nakupenda sana ndugu yangu katika imam imam wa msikiti wa mtoro Imam Abbas ibn Ramadhani allah akujalie kila lenye kheir

  • @theworldandcraziestguys2729
    @theworldandcraziestguys2729 Před 3 měsíci

    Halafu Kaka Swaimu Gwao....umeshakuwa mtu Mkubwa Alhamdulillah...
    Emu jiweke Ki professional....hii sauti yako inasikikika Kwa nyuma Ya Msemaji wa Mheshimiwa Mufti....
    Mambo ya Milion mia tano Sijui Kukuona Azam sijui MARA SALMA VIPI SIJUI NINI NA nini na Vicheko cheko ungetoka Msiktini kama ulikuwa Masjid au ungezima Simu Kwa kulinda Heshima na Ubora wa kazi yako...
    Allah akubariki sanaaa Ndugu Swaimu Gwao...
    Anaekujua Sauti yako anaijua...Hii sihitaji ITHIBAAT YA KIFIQHI WALA NINI...
    KULA CHUMA HIKO KWA AJILI YA ALLAH...KAZI ZAKO ZITAENDA MBALI INSHAALLAH

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Před 2 měsíci

      Saimu gwao kakosea mheshimiwa mufti hajakosea

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před 3 měsíci +8

    Kwani shekhe othman alishasema hajamjibia Wala kumkosoa anamhami na kumtetea alisema wazi na kasema wazi mufti hajakosea naona linakuzwa

    • @sulaymanabdulrahman9154
      @sulaymanabdulrahman9154 Před 3 měsíci +1

      Nalelewa ndani kwa shekh Othman nasiku hiyo nilikuwepo naww umesema kweli hili linakuzwa kwa maslahi binafsi. Allahul mustaan

    • @AhmedMohamed-un4zh
      @AhmedMohamed-un4zh Před 3 měsíci

      @@sulaymanabdulrahman9154ni kweli sheikh athumani alisema vzr wala hajamkosea adabu bali jambo linakuzwa

  • @fadhilameir8364
    @fadhilameir8364 Před 3 měsíci +1

    Tunawashkuru Masheikh zetu kwa kutufunza namna nzuri ya kukosoana ikiwa ipo haja ya kufanya hivyo. Naomba kusema yafuatayo
    1. KIUKWELI ISSUE YA YAUMU SHAK 29 or 30 haileti athari na utofauti wowote kwenye kujengea hukmu kwa sababu hata ukisema ni 29 au 30 basi nyote itawabidi tu mukamilishe 30 ikiwa mwezi hautoonekana.
    2. Ni bora tuwaambie waumini kwamba lugha ya kisheria yaumu shak ni 30 na ndio vitabu vinavyoandika, na kauli ya 29 ni ufahamu wa waswahili tu.
    3. Ikiwa pana tofauti kati ya lugha ya sheria na lugha ya mazoea ya watu basi kinachozingatiwa ni lugha ya kisheria kama ilivyo ktk jambo hili.

    • @sdsd5140
      @sdsd5140 Před 3 měsíci +2

      Kukiri kuteleza (Mufti) ni sehemu ya uchamungu na wara'a kwa wanavyuoni wala kusingempunguzia kitu ktk cheo chake. Syd Ahmad bin Hassan Al Attas r.a wakati mmoja alipokuwa akiswalisha akabadilisha kiraa bila ya kukusudia, alipomaliza swala akasimama akasema samahanini nilikosea sikukusudia kubadilisha kiraa. Viongozi tuwache siasa, tushughulike na mambo ya msingi.

    • @ZamaksharAllii-hs4yz
      @ZamaksharAllii-hs4yz Před 3 měsíci +2

      Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuhu mbona mambo yapo wazi jamani tunafungafunga kitu gani hii ni dini ya allaah azza wajallaah tumuogopeni allaah azza wajallaah tutakwenda kuumia ndani ya makaburi.

    • @ZamaksharAllii-hs4yz
      @ZamaksharAllii-hs4yz Před 3 měsíci +1

      Hivi hatukumbuki wakati SAYYIDINAA UMAR aliposema kua atakayezidisha Ktk dirhamu 400 nikisa kirefu hatukumbuki haya vip alipoambiwa alipaniki alivimba mbona konakona zimekua nyingi?.

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 Před 3 měsíci +5

    Lau mngalifuata mnhaji salaf ingekua bora kwenu,kwani manhaji salafi ni mwenendo na njia aliokua nayo Mtume swala na amani ziwe juu yake na maswahaba zake na wale waliowafuata kwa wema

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 3 měsíci

      Mmh aliyekwambia twambie tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi kazi yenu kumzushia mtume

    • @Kaankaraz
      @Kaankaraz Před 3 měsíci

      Hawa ni watu wa bida'a

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 Před 2 měsíci

      ​@@Kaankaraz hawataweza kumuelewa siyo???

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 2 měsíci

      ..hata we mwenyewe ulipo hapo ni bid​aa.!! Kwani we ulikuwepo wakati wa mtume wewe.!!? @@Kaankaraz

    • @Kaankaraz
      @Kaankaraz Před 2 měsíci

      @@swalehemrombo9301 huna akili

  • @alihussein5107
    @alihussein5107 Před 3 měsíci +2

    Kukosea binaadamu nijambo la kawaida na kusahau pia kummkosowa mtu ni wajibu huko ndoo kumpenda zaidi kuliko kumuwacha akaharibikiwa

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 Před 2 měsíci +1

      MWENYEZI MUNGU AKUBAARIKI NA AKUONGEZEE UELEWA SAFI UTOKAO KWAKE

  • @SuleshSudes
    @SuleshSudes Před 2 měsíci

    Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma

  • @allykassimhemba1412
    @allykassimhemba1412 Před 2 měsíci

    Kitendo cha kusema Mufti aendelee kuwa pamoja na Msikiti wa Mtoro kwani aliekosea ni mtu mmoja tu kwangu naona ni kitendo cha usaliti kwa sheikh Othman, so maneno haya Imamu Abbas hakupaswa kuyasema akiwa kama kiongozi,

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 Před 3 měsíci +8

    HAPPY IDD UL FITRI to all My Muslim Ummah

  • @ismailmsangule1380
    @ismailmsangule1380 Před 3 měsíci +2

    Maashaallah sheikh abbaas hapo upo kama sheikh Zuber bin Yahya

  • @user-fv4pl3rw2l
    @user-fv4pl3rw2l Před 3 měsíci +2

    Alama ya kiongozi bora ni pale anapokoseya anakubali kukosolewa kwani kila mwanadam ni mkosaji ikiwa kama omary ibnulhatwabi alikoseya mbele ya umati wa watu na akakosolewa na mwanamke naye akakiri kuwa amekoseya na mwanamke ndye alopatiya kumheshemu mtu ni bora lakini kuheshimu sheriya ya Allah ni bora zaidi

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 Před 2 měsíci +1

      DAAH SIJUI NIKUOMBEE DUA GANI EWE NDUGU YANGU KWA MANENO YAKO HAYA YANAYOASHIRIA UADILIFU WAKO KWENYE SHERIA YA ALLAH. NAMUOMBA ALLAH AKUEPUSHE NA SHAHWA KATIKA SHARI NA SHUBHA NA AKUPE PEPO YA JUU

    • @user-fv4pl3rw2l
      @user-fv4pl3rw2l Před 2 měsíci +1

      Allahumma aamin atupe sote inshaallah

  • @WaziriMjukuu
    @WaziriMjukuu Před 2 měsíci +1

    Inabidi tupate somo zaidi kuhusu yaumu SHAKA...

  • @kibwanasimba6431
    @kibwanasimba6431 Před 3 měsíci +2

    Mimi binafsi sijamsikia huyo shekh uthmani lakini naamini Sasa dini inakuangumu kwasababu mashee zetu wanaacha kuyachukulia mambo muhim wanayachukulia mambo madogo madogo huyu shekh uthmani sindio kila siku anamtetea mufti atakwenye kadhia ya baraiyani kuletanga SI tumemskia shekh uthmani akimjibu ivisi tunanini atuoeani udhuru tukampa mtu mda japo kidogo

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Před 3 měsíci +5

    Mimi niseme Sheikh Othman pole sana maana hapo kwa hakika wewe ndie mlengwa.

  • @mussamussa9446
    @mussamussa9446 Před 3 měsíci +5

    Bakwata kuna matatizo makubwa sana wallah,

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 Před 2 měsíci +1

    Masufi yani Mnatafuta uchochoro weeee ilimradi TU mufti aonekane hakoseagi!! Na bahati nzuri umekiri kuwa kwa istilahi za kifiqhi mufti alikosea Sasa kama darsa ilikuwa ya lugha sawa........

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 2 měsíci

    UPUMBAVU HUO ACHENI UJINGA HII DINI SIO YA MUFTI NI NI DINI YA ALLAH

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 3 měsíci +1

    Kigezo cha mtu kuchaguliwa Mufti iwe na taaluma nyingine pia awe nayo, Changamoto ninayo iyona kwa Huyu Mufti wa Tanzania 🇹🇿 yuko inferior saana and unsecure , hajiamini hata kidogo, sasa ukiwa Kiongozi wa Dini wa kusemwa, ku challenged, kukosolewa mbona ni jambo la kawaida saana , cheo cha Mufti ni cha kidini sio cha ki Serikali mana Serikalini ukimkosoa Number moja au PM shughuli unayo , sasa Mufti nae anajihisi ni mtu wa Serikalini kabisaaaa, tunakuheshimu saana Mufti lakini jiamini , yaani akitangaza mwezi mwingine tu anapanik anajisahau anaetangaza nae ana taasisi na imesajiliwa kama Bakwata, ndo mana huwa namkubali Alhad Mussa saaana ana busara somtimes na Elimu

  • @abdallahhaji9603
    @abdallahhaji9603 Před 3 měsíci +2

    Jambo zuri lkn msilikuze, kukosea ni jambo la kawaid na sheikh othman alifanya vile kw kumhami Mufti. muione nia njema ya sheikh othman kuliko kumlaumu

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 Před 2 měsíci

      ALLAH AKULIPE KWA UELEWA WAKO NA AKUPE UELEWA ZAIDI NDUGU. HAKUNA MKAMILIFU HIVYO MTU AKISAHIHISHA PALE ULIPOKOSEA NI JAMBO LA KUMSHUKURU WALLAH MAANA HII NI HATARI MBELE YA ALLAH

  • @Kaankaraz
    @Kaankaraz Před 3 měsíci +3

    Acheni kumtukuza

  • @MudirMuhsinAlly-zw1hi
    @MudirMuhsinAlly-zw1hi Před 3 měsíci +2

    Swaimu Punguza Kuongea Sana. Sauti zinaingiliana

  • @SuleshSudes
    @SuleshSudes Před 2 měsíci

    8:23 Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 3 měsíci +3

    Kama kakosea akaleta ukhurafi wake asiambiwe?

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před 2 měsíci

    Sifikirii kama mufti katoa agizo hili mufti ni mchamungu na anajua kua ye anajua na alivodema sh othman ni kweli kua ulimi ndovunemtangulia kwani mufti anajua na pale kama binaadam kateleza tu Lakin kujua anajua

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 2 měsíci

    KWAHIYO SHEKH OTHMANI HAJAKOSEA KILA MTU KASEMA KWA ENGO YAKE

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 Před 3 měsíci +1

    😂😂😂😂😂 kazi ipo cjui tutafika lini duh nilifikiria kunajambo kubwa lakutia taharuki kumbe jambo la kawaida kabisa mamwinyi bwana eeeeeeeh kazi kweli

  • @alawisaid280
    @alawisaid280 Před 2 měsíci +1

    mufti amejikoroga akubali tu

  • @salimalmazrui9261
    @salimalmazrui9261 Před 2 měsíci

    Namuunga mkono Mufti, kuhusu yaumu shaka, kuwa ni mwezi 29. Kwani mwezi 29. Ndiyo penye shaka kuhusu muandamo. Watu wafunge mwezi 29. Wasubiri mwezi 30. Ili wafunguwe. Ni wajibu. Lakini ndani ya mwezi 29. Pana shaka kweli. Lakini penye mwezi 30 hapana shaka. Faima watu wafunge au wafunguwe-Wabillahi tawfiq

  • @user-ue5ek3vu6w
    @user-ue5ek3vu6w Před 2 měsíci

    Kwahio leo mnamkataa shekh othman kabisa lkn mim nilishangaa juz mufti alivyoondoka tu mkaanza kumkosoa huku nyuma na muft alikuwa sahihi huwez kusema siku ya 30 ndo yaumu shaka wakat hapo mwez hata kama haujaonekan watu wanakula Kwa kuwa hakuna funga 31

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 Před 2 měsíci +1

    Mi ata sion hapi la maana mmepoteza mda tu.

  • @YAHYAHASSAN-zu9ju
    @YAHYAHASSAN-zu9ju Před 2 měsíci

    Acheni kujikweza na viburi wengi wamepita mshazoea kutulisha mchana ndio yenu tu ayo.

  • @Sambawiytv
    @Sambawiytv Před 3 měsíci +1

    Doh

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 3 měsíci +3

    Ukikosea ni kurekebishwa tu katika uislam Umufti hauondoki uko palepale
    Mujue katika uislam taraajuu ipo

  • @abdulsalum2852
    @abdulsalum2852 Před 2 měsíci

    🤣🤣Dah kutukuzwa uku hata mtume hajawahi kutukuzwa ivi kama kakosea kakosea na mkamilifu ni Allah tuuu jamani acheni uoga

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 3 měsíci +4

    WE ABASI NI MNAFIKI SANA
    SI ULIKWEPO WAKATI SHEIKH OTHMAN KHAMIS ANAZUGUMZA HAYO? MBONA HUKUMWAMBIA KAMA UNAMKOSEA MUFTI.
    MINAFIKI MITUPUUUUUU

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 Před 3 měsíci +1

      Mbona jazba kwenye jambo la elimu.

    • @sdsd5140
      @sdsd5140 Před 3 měsíci

      Sheikh Abbas hamna kitu pale kwenye mas-ala ya ilmu, hawezi kumjibu Sheikh Othman. na hata hicho kilichotoka kwa Mufti inaonekana hajakielewa. Tuacheni siasa..

    • @jumayusuphu322
      @jumayusuphu322 Před 3 měsíci

      Alimwambia

  • @manhajsalafafrica
    @manhajsalafafrica Před 3 měsíci +1

    Mmeanza kumomonyoka wenyewe kwa wenyewe

  • @husseinmohamed9365
    @husseinmohamed9365 Před 3 měsíci +1

    Yani mwenye kunyenyekewa ni Allaah pekeee,yani 😢mtihan

    • @Kaankaraz
      @Kaankaraz Před 3 měsíci +1

      Mufti hataki kukosolewa inashangaza sana

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 3 měsíci +1

    OTHMAN KHAMISI AJITUTUMUA MNO KUJIONA KAMALIZA ELIMU ZOTE,,, LAKINI UKWELI WA MAMBO BADO ATAKIWA ASOME SANA!

    • @iddimazugo4332
      @iddimazugo4332 Před 3 měsíci +3

      Hakukosea muogope allah mungu alimkosoa mtume wake yeye mwenyewe na alituambia kuwa mtume hazungumzi ispokuwa ni wahyi so sh othman aliweka jambo sawa coz wote nikiwemo mimi nilijua 29 ni yaumu shaka kumbe sio
      Tumuogope allah waislam

    • @user-hb8vi9fx6g
      @user-hb8vi9fx6g Před 3 měsíci

      SASA UMEONA WASEMA MUNGU KAMKOSOA MTUME SASA MUNGU NA MTUME WANALINGANA?!
      UNGE SEMA MASWAHABA WAMEMKOSOA MTUME!

    • @kiddrc353
      @kiddrc353 Před 3 měsíci +3

      We umesoma nin hadi umuone othman anahitaji kusoma sana

    • @mohamedlali4229
      @mohamedlali4229 Před 3 měsíci

      Yaummu shaka ni 29, kwa Sabab ndyo kuna shaka kuwa kesho ni 30 au 1. Sheikh Othaman alikosea. 30 haiwez kuwa shaka, hata sheikh Adulqadir Al Ahdary alishawah kusema. Ktk suna za swaum haifai kufunga yaumu shaka lkn mwez 30 inafaa kufunga sunna kwa sabab 30 hakuna shaka tena

    • @sdsd5140
      @sdsd5140 Před 3 měsíci

      @Mohammed Kwahiyo iliposemwa kuwa haifai kufunga yaumu shaka ilikusudiwa haifai kufunga mwezi 29, ndo hivyo?? hujaelewa..

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 2 měsíci

    Kwanini yeye asipambanue, acheni usiasa

  • @SuleshSudes
    @SuleshSudes Před 2 měsíci

    Asalam alaykum hakuna mwez 31 namaanisha shaka 29 kuelekea 30

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před 2 měsíci

    Hapa maelezo ya kusahihisha yanaingia akilini mufti yupo sahihi

  • @MauridiMashakaLauma
    @MauridiMashakaLauma Před 2 měsíci

    Bakwata hakuna jipya Musti timizeni 30 kwanza mana mmefunga 29

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 3 měsíci +1

    YANI HAMKOSEAGI????😅

  • @jafariomari3552
    @jafariomari3552 Před 3 měsíci

    Ww

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 2 měsíci

    Maswahaba walipo kosea walikosolewa

  • @Inukanaalmasipodcast
    @Inukanaalmasipodcast Před 2 měsíci

    Da uchawa hadi kwenye dini??????? Kwahiyo muft na Abou akar nani mkubw???????

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 2 měsíci

    Hivi hao wanao kubali kupoteswa,

  • @badispensor6983
    @badispensor6983 Před 3 měsíci +1

    Ss wewe unaomba radhi au unachochea faraq huu ni unaafik wa kiwango cha lami

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 2 měsíci

      Hapa alitakiwa asimamie Mwenyewe sheikh Othman ndio ingekuwa sahihi kwa sbb ndio alotamka hayoo kwahiyo km ni kujikosoa na kuweka sawa alitakiwa aweke yeye mwenyewe.! lkn Sasa Hawa wenzie ndio kuja kufanya hivi ni km kumkaanga mwenzao tuu..!

  • @feisalomar-hr3hq
    @feisalomar-hr3hq Před 2 měsíci

    Kapingwa mtume isije kuwa ww mufti wakuchakuliwa na serekali ya kikafiri

  • @abuuallmaanalmuusawy
    @abuuallmaanalmuusawy Před 3 měsíci

    Hao ndio bakwata mufti wa bakwata kakosea siku ya shaka ni 30

  • @msafiriswalehe683
    @msafiriswalehe683 Před 3 měsíci

    Aonekane alie mkosoa na aombe radhi

  • @OmarySalum-gw2sl
    @OmarySalum-gw2sl Před 3 měsíci

    Kwnihuyo aliemkosoa mufti anajua asli na sababu yamwezi tisa

  • @tumamohd-rs4ut
    @tumamohd-rs4ut Před 3 měsíci

    Taarifa muhimu km hizi musitie sauti za instrumental sau zozite zile maana husukii uzuri haipendezi

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 Před 2 měsíci

      Ctaarifa ya maana ni porojo tuu

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 2 měsíci

      Sasa Kuna taarifa muhimu Gani ya maana hapo yenye maslahi mapana na uislam zaidi ya kupambana tu na kuvishanda vilemba vya ukokaa.!!?

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni Před měsícem

    Wewe Abbas usitufokee na wacha unafiki wakumpamba mtu hata kama Kakosea,huu uislam usituletee Ujinga wako haiwi mtume wa Allah kakoselewa kupitia daraja ya Quran sembuse huyo mufti.

  • @mohamedmketo2414
    @mohamedmketo2414 Před 3 měsíci

    Mhhm

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 3 měsíci

    Kwani dini ya Muft

  • @rajabujuma3633
    @rajabujuma3633 Před 2 měsíci

    Kwan mufti ni mheshimiwa kama wabunge?????? Al islam nadhwif

  • @abuaiman2496
    @abuaiman2496 Před 3 měsíci

    Mufti pia anakosea

  • @abuusuhayl7830
    @abuusuhayl7830 Před 3 měsíci

    Mmeanza kuchapana Ahahaha

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 měsíci

      😅

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 3 měsíci

      Sasa kinachokufurahisha hapo ni nini? Sio vyema kushadadia haya mambo

  • @abubakkarjumaseif-fb8wp
    @abubakkarjumaseif-fb8wp Před 3 měsíci

    Mnalinda MASLAHI YA MATUMBO YENU

  • @dullahmponda3421
    @dullahmponda3421 Před 3 měsíci

    kwan muft nan nyiny asikosolewe achane ujinga hakuna yaumu shaqa ya mwez 29 .iye kifiq au lughatan

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 Před 3 měsíci

    Kwan Mufti Hakosei?

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před 3 měsíci

    Mufti.wa.bakwata.sio.mungu..anakosolewa.tu.hivyo.vyeo.vya.kidunia.tu.mnavyopeana.na.kutuzana..sio.mpango.wa.mungu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 3 měsíci

    HUYO MUFTI ANGEFUNGA PEKEYAKE,,,JAMANI KILA MTU ASIMAMIE ANAPOPAAMINI,,,TUSILAZIMISHANE

  • @mohamedlali4229
    @mohamedlali4229 Před 3 měsíci

    Sheikh othman amekosea, hakuna shaka ya 30. Yaumu shaka ni 29

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Před 3 měsíci

      We hata hujui neno shaq'a limetokana na lugha gani na huko kwenye lugha yake asali linatumika vipi kilugha na kisheria acheni kukurupuka kishabiki someni kwanza

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 Před 3 měsíci +1

    Acheni kubabaika na huyo mufti kumpamba

  • @SuleshSudes
    @SuleshSudes Před 2 měsíci

    Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před 3 měsíci +1

    Wapuuzi nyie,
    Dini hii sio ya Muft,
    Akikosea ni lazika akosolewe tu,

    • @user-zz3ek5ny6k
      @user-zz3ek5ny6k Před 3 měsíci

      taratibu basiiiii

    • @latifahkhalid7261
      @latifahkhalid7261 Před 3 měsíci

      Kama wewe Ni muislam umekosea kuwaita masheikh wapuuzi.. waisalm tunatakiwa kuwa watii kwa viongozi wetu wa kidini...na hili Jambo si kubwa Kama linavyowekwa. Mmungu atujaalie tuwe na khofu na yeye pekee na kuheshimiana inshallah

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 3 měsíci

      mpuuzi babako na mamako mbwa wewe

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 3 měsíci

      ​@@user-zz3ek5ny6khilo shiga hilo lishenzi

    • @HassanHassan-pe7kj
      @HassanHassan-pe7kj Před 3 měsíci

      😂😂Badwater mnachekesha😅

  • @SuleshSudes
    @SuleshSudes Před 2 měsíci

    Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma