Hakuna alie juu ya Mungu na sheria zake mufti kakosea kasema kima zowea bila kufuata sheria na shekhe osumani kaja kuongezeea jamboa kisheria kwa kumlikava mufuti mbona abuu bAkari arfa wa kwanza wa mtume alikosolewa na mwana mke narudia tena hakuna alie juu ya mungu wala kitabu chake wa mtume wake bina damu hajawa na ukamilfu yeye shekhe osuman alikua upande wa mufut bila kutafakali mmemu ataki shekhe osuman bila kujua dini haitaki mazowea na dini inaendeshwa kisheria na sio kima zowea na haya mazowea ndio yanayo tupoteza sisi maamuma sasa mtakeni radhi mwenyezi mungu kwa kumletea mazowea
Kwa hyo yaumul shakka iko kilugha tarehe 29 na 30 kifiqh aw sio. Itaqillah mas'ala kwene uislam yamethibitiwa mtu akibadilisha kdg tu hta mtoto mdg huweza msahisha na hyo ndio neema ya uislamu,
Aahh usimuonee mwenzio alhabib. hapo huwezi kuweka qiyaasw maana huyu ni bwana Mtume s.a.w halingani kwa chochote na Mufti. Pili kule alisahau, huku aliteleza lkn anasisitiza kuwa yuko sawa tena aombwe na radhi, tuwacheni politics. Kukiri kuteleza ni sehemu ya uchamungu na wara'a kwa kiongozi.
Kwani mufti hawezi kukosea? Kwann mnalazmisha hjakosea wakat amekosea? Na km mtu amezungumza kulingana na fiqhi ilivyo ss mnataka azungumze kulingana na nini
MASHALLAH! IMAMU WETU ABBAS BIN RAMADHAN ABBAS HUO NDIO UKOMAVU WA UONGOZI MSÀMAHA KWA MUFTI WETU KIPENZI SHEIKH ZUBEIR NAAMINI AMEUPOKEA KWA MOYO MKUNJUFU. EID MUBARAK
Sasa nyie kina sheikh Abbasi Ramadhani hapo munakosea, ilitakiwa yy sheikh Othman aje aelezee yy mwenyewe. Yaani angejikosoa mwenyewe na akajiweka sawa.
Halafu Kaka Swaimu Gwao....umeshakuwa mtu Mkubwa Alhamdulillah... Emu jiweke Ki professional....hii sauti yako inasikikika Kwa nyuma Ya Msemaji wa Mheshimiwa Mufti.... Mambo ya Milion mia tano Sijui Kukuona Azam sijui MARA SALMA VIPI SIJUI NINI NA nini na Vicheko cheko ungetoka Msiktini kama ulikuwa Masjid au ungezima Simu Kwa kulinda Heshima na Ubora wa kazi yako... Allah akubariki sanaaa Ndugu Swaimu Gwao... Anaekujua Sauti yako anaijua...Hii sihitaji ITHIBAAT YA KIFIQHI WALA NINI... KULA CHUMA HIKO KWA AJILI YA ALLAH...KAZI ZAKO ZITAENDA MBALI INSHAALLAH
Tunawashkuru Masheikh zetu kwa kutufunza namna nzuri ya kukosoana ikiwa ipo haja ya kufanya hivyo. Naomba kusema yafuatayo 1. KIUKWELI ISSUE YA YAUMU SHAK 29 or 30 haileti athari na utofauti wowote kwenye kujengea hukmu kwa sababu hata ukisema ni 29 au 30 basi nyote itawabidi tu mukamilishe 30 ikiwa mwezi hautoonekana. 2. Ni bora tuwaambie waumini kwamba lugha ya kisheria yaumu shak ni 30 na ndio vitabu vinavyoandika, na kauli ya 29 ni ufahamu wa waswahili tu. 3. Ikiwa pana tofauti kati ya lugha ya sheria na lugha ya mazoea ya watu basi kinachozingatiwa ni lugha ya kisheria kama ilivyo ktk jambo hili.
Kukiri kuteleza (Mufti) ni sehemu ya uchamungu na wara'a kwa wanavyuoni wala kusingempunguzia kitu ktk cheo chake. Syd Ahmad bin Hassan Al Attas r.a wakati mmoja alipokuwa akiswalisha akabadilisha kiraa bila ya kukusudia, alipomaliza swala akasimama akasema samahanini nilikosea sikukusudia kubadilisha kiraa. Viongozi tuwache siasa, tushughulike na mambo ya msingi.
Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuhu mbona mambo yapo wazi jamani tunafungafunga kitu gani hii ni dini ya allaah azza wajallaah tumuogopeni allaah azza wajallaah tutakwenda kuumia ndani ya makaburi.
Lau mngalifuata mnhaji salaf ingekua bora kwenu,kwani manhaji salafi ni mwenendo na njia aliokua nayo Mtume swala na amani ziwe juu yake na maswahaba zake na wale waliowafuata kwa wema
Kitendo cha kusema Mufti aendelee kuwa pamoja na Msikiti wa Mtoro kwani aliekosea ni mtu mmoja tu kwangu naona ni kitendo cha usaliti kwa sheikh Othman, so maneno haya Imamu Abbas hakupaswa kuyasema akiwa kama kiongozi,
Alama ya kiongozi bora ni pale anapokoseya anakubali kukosolewa kwani kila mwanadam ni mkosaji ikiwa kama omary ibnulhatwabi alikoseya mbele ya umati wa watu na akakosolewa na mwanamke naye akakiri kuwa amekoseya na mwanamke ndye alopatiya kumheshemu mtu ni bora lakini kuheshimu sheriya ya Allah ni bora zaidi
DAAH SIJUI NIKUOMBEE DUA GANI EWE NDUGU YANGU KWA MANENO YAKO HAYA YANAYOASHIRIA UADILIFU WAKO KWENYE SHERIA YA ALLAH. NAMUOMBA ALLAH AKUEPUSHE NA SHAHWA KATIKA SHARI NA SHUBHA NA AKUPE PEPO YA JUU
Mimi binafsi sijamsikia huyo shekh uthmani lakini naamini Sasa dini inakuangumu kwasababu mashee zetu wanaacha kuyachukulia mambo muhim wanayachukulia mambo madogo madogo huyu shekh uthmani sindio kila siku anamtetea mufti atakwenye kadhia ya baraiyani kuletanga SI tumemskia shekh uthmani akimjibu ivisi tunanini atuoeani udhuru tukampa mtu mda japo kidogo
Masufi yani Mnatafuta uchochoro weeee ilimradi TU mufti aonekane hakoseagi!! Na bahati nzuri umekiri kuwa kwa istilahi za kifiqhi mufti alikosea Sasa kama darsa ilikuwa ya lugha sawa........
Kigezo cha mtu kuchaguliwa Mufti iwe na taaluma nyingine pia awe nayo, Changamoto ninayo iyona kwa Huyu Mufti wa Tanzania 🇹🇿 yuko inferior saana and unsecure , hajiamini hata kidogo, sasa ukiwa Kiongozi wa Dini wa kusemwa, ku challenged, kukosolewa mbona ni jambo la kawaida saana , cheo cha Mufti ni cha kidini sio cha ki Serikali mana Serikalini ukimkosoa Number moja au PM shughuli unayo , sasa Mufti nae anajihisi ni mtu wa Serikalini kabisaaaa, tunakuheshimu saana Mufti lakini jiamini , yaani akitangaza mwezi mwingine tu anapanik anajisahau anaetangaza nae ana taasisi na imesajiliwa kama Bakwata, ndo mana huwa namkubali Alhad Mussa saaana ana busara somtimes na Elimu
Jambo zuri lkn msilikuze, kukosea ni jambo la kawaid na sheikh othman alifanya vile kw kumhami Mufti. muione nia njema ya sheikh othman kuliko kumlaumu
ALLAH AKULIPE KWA UELEWA WAKO NA AKUPE UELEWA ZAIDI NDUGU. HAKUNA MKAMILIFU HIVYO MTU AKISAHIHISHA PALE ULIPOKOSEA NI JAMBO LA KUMSHUKURU WALLAH MAANA HII NI HATARI MBELE YA ALLAH
Sifikirii kama mufti katoa agizo hili mufti ni mchamungu na anajua kua ye anajua na alivodema sh othman ni kweli kua ulimi ndovunemtangulia kwani mufti anajua na pale kama binaadam kateleza tu Lakin kujua anajua
Namuunga mkono Mufti, kuhusu yaumu shaka, kuwa ni mwezi 29. Kwani mwezi 29. Ndiyo penye shaka kuhusu muandamo. Watu wafunge mwezi 29. Wasubiri mwezi 30. Ili wafunguwe. Ni wajibu. Lakini ndani ya mwezi 29. Pana shaka kweli. Lakini penye mwezi 30 hapana shaka. Faima watu wafunge au wafunguwe-Wabillahi tawfiq
Kwahio leo mnamkataa shekh othman kabisa lkn mim nilishangaa juz mufti alivyoondoka tu mkaanza kumkosoa huku nyuma na muft alikuwa sahihi huwez kusema siku ya 30 ndo yaumu shaka wakat hapo mwez hata kama haujaonekan watu wanakula Kwa kuwa hakuna funga 31
Sheikh Abbas hamna kitu pale kwenye mas-ala ya ilmu, hawezi kumjibu Sheikh Othman. na hata hicho kilichotoka kwa Mufti inaonekana hajakielewa. Tuacheni siasa..
Hakukosea muogope allah mungu alimkosoa mtume wake yeye mwenyewe na alituambia kuwa mtume hazungumzi ispokuwa ni wahyi so sh othman aliweka jambo sawa coz wote nikiwemo mimi nilijua 29 ni yaumu shaka kumbe sio Tumuogope allah waislam
Yaummu shaka ni 29, kwa Sabab ndyo kuna shaka kuwa kesho ni 30 au 1. Sheikh Othaman alikosea. 30 haiwez kuwa shaka, hata sheikh Adulqadir Al Ahdary alishawah kusema. Ktk suna za swaum haifai kufunga yaumu shaka lkn mwez 30 inafaa kufunga sunna kwa sabab 30 hakuna shaka tena
Hapa alitakiwa asimamie Mwenyewe sheikh Othman ndio ingekuwa sahihi kwa sbb ndio alotamka hayoo kwahiyo km ni kujikosoa na kuweka sawa alitakiwa aweke yeye mwenyewe.! lkn Sasa Hawa wenzie ndio kuja kufanya hivi ni km kumkaanga mwenzao tuu..!
Wewe Abbas usitufokee na wacha unafiki wakumpamba mtu hata kama Kakosea,huu uislam usituletee Ujinga wako haiwi mtume wa Allah kakoselewa kupitia daraja ya Quran sembuse huyo mufti.
We hata hujui neno shaq'a limetokana na lugha gani na huko kwenye lugha yake asali linatumika vipi kilugha na kisheria acheni kukurupuka kishabiki someni kwanza
Kama wewe Ni muislam umekosea kuwaita masheikh wapuuzi.. waisalm tunatakiwa kuwa watii kwa viongozi wetu wa kidini...na hili Jambo si kubwa Kama linavyowekwa. Mmungu atujaalie tuwe na khofu na yeye pekee na kuheshimiana inshallah
Hakuna alie juu ya Mungu na sheria zake mufti kakosea kasema kima zowea bila kufuata sheria na shekhe osumani kaja kuongezeea jamboa kisheria kwa kumlikava mufuti mbona abuu bAkari arfa wa kwanza wa mtume alikosolewa na mwana mke narudia tena hakuna alie juu ya mungu wala kitabu chake wa mtume wake bina damu hajawa na ukamilfu yeye shekhe osuman alikua upande wa mufut bila kutafakali mmemu ataki shekhe osuman bila kujua dini haitaki mazowea na dini inaendeshwa kisheria na sio kima zowea na haya mazowea ndio yanayo tupoteza sisi maamuma sasa mtakeni radhi mwenyezi mungu kwa kumletea mazowea
Kwa hyo yaumul shakka iko kilugha tarehe 29 na 30 kifiqh aw sio. Itaqillah mas'ala kwene uislam yamethibitiwa mtu akibadilisha kdg tu hta mtoto mdg huweza msahisha na hyo ndio neema ya uislamu,
Usome uislam mtume alisahau kusalisha vipi maswahaba walimuendea kua na adabu na kiongozi
Aahh usimuonee mwenzio alhabib. hapo huwezi kuweka qiyaasw maana huyu ni bwana Mtume s.a.w halingani kwa chochote na Mufti. Pili kule alisahau, huku aliteleza lkn anasisitiza kuwa yuko sawa tena aombwe na radhi, tuwacheni politics. Kukiri kuteleza ni sehemu ya uchamungu na wara'a kwa kiongozi.
watu wamche "Allah" wanajitahidi kutafuta njia za kujinasua..
Shekhe hapana hapana uislam umekamilika hauna mtu mkubwa kama mtume aliulizwa muft nani ?
Kaaa kimyaa bwege weww
Kwani mufti hawezi kukosea? Kwann mnalazmisha hjakosea wakat amekosea? Na km mtu amezungumza kulingana na fiqhi ilivyo ss mnataka azungumze kulingana na nini
MASHALLAH! IMAMU WETU ABBAS BIN RAMADHAN ABBAS HUO NDIO UKOMAVU WA UONGOZI MSÀMAHA KWA MUFTI WETU KIPENZI SHEIKH ZUBEIR NAAMINI AMEUPOKEA KWA MOYO MKUNJUFU. EID MUBARAK
Sasa nyie kina sheikh Abbasi Ramadhani hapo munakosea, ilitakiwa yy sheikh Othman aje aelezee yy mwenyewe. Yaani angejikosoa mwenyewe na akajiweka sawa.
UMEZUNGUKA TU SHEKH AJE MWENYEWE KWA KIFUPI AMEJICHANGANYA
Mashalhaaa binafsi nakupenda sana ndugu yangu katika imam imam wa msikiti wa mtoro Imam Abbas ibn Ramadhani allah akujalie kila lenye kheir
Halafu Kaka Swaimu Gwao....umeshakuwa mtu Mkubwa Alhamdulillah...
Emu jiweke Ki professional....hii sauti yako inasikikika Kwa nyuma Ya Msemaji wa Mheshimiwa Mufti....
Mambo ya Milion mia tano Sijui Kukuona Azam sijui MARA SALMA VIPI SIJUI NINI NA nini na Vicheko cheko ungetoka Msiktini kama ulikuwa Masjid au ungezima Simu Kwa kulinda Heshima na Ubora wa kazi yako...
Allah akubariki sanaaa Ndugu Swaimu Gwao...
Anaekujua Sauti yako anaijua...Hii sihitaji ITHIBAAT YA KIFIQHI WALA NINI...
KULA CHUMA HIKO KWA AJILI YA ALLAH...KAZI ZAKO ZITAENDA MBALI INSHAALLAH
Saimu gwao kakosea mheshimiwa mufti hajakosea
Kwani shekhe othman alishasema hajamjibia Wala kumkosoa anamhami na kumtetea alisema wazi na kasema wazi mufti hajakosea naona linakuzwa
Nalelewa ndani kwa shekh Othman nasiku hiyo nilikuwepo naww umesema kweli hili linakuzwa kwa maslahi binafsi. Allahul mustaan
@@sulaymanabdulrahman9154ni kweli sheikh athumani alisema vzr wala hajamkosea adabu bali jambo linakuzwa
Tunawashkuru Masheikh zetu kwa kutufunza namna nzuri ya kukosoana ikiwa ipo haja ya kufanya hivyo. Naomba kusema yafuatayo
1. KIUKWELI ISSUE YA YAUMU SHAK 29 or 30 haileti athari na utofauti wowote kwenye kujengea hukmu kwa sababu hata ukisema ni 29 au 30 basi nyote itawabidi tu mukamilishe 30 ikiwa mwezi hautoonekana.
2. Ni bora tuwaambie waumini kwamba lugha ya kisheria yaumu shak ni 30 na ndio vitabu vinavyoandika, na kauli ya 29 ni ufahamu wa waswahili tu.
3. Ikiwa pana tofauti kati ya lugha ya sheria na lugha ya mazoea ya watu basi kinachozingatiwa ni lugha ya kisheria kama ilivyo ktk jambo hili.
Kukiri kuteleza (Mufti) ni sehemu ya uchamungu na wara'a kwa wanavyuoni wala kusingempunguzia kitu ktk cheo chake. Syd Ahmad bin Hassan Al Attas r.a wakati mmoja alipokuwa akiswalisha akabadilisha kiraa bila ya kukusudia, alipomaliza swala akasimama akasema samahanini nilikosea sikukusudia kubadilisha kiraa. Viongozi tuwache siasa, tushughulike na mambo ya msingi.
Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuhu mbona mambo yapo wazi jamani tunafungafunga kitu gani hii ni dini ya allaah azza wajallaah tumuogopeni allaah azza wajallaah tutakwenda kuumia ndani ya makaburi.
Hivi hatukumbuki wakati SAYYIDINAA UMAR aliposema kua atakayezidisha Ktk dirhamu 400 nikisa kirefu hatukumbuki haya vip alipoambiwa alipaniki alivimba mbona konakona zimekua nyingi?.
Lau mngalifuata mnhaji salaf ingekua bora kwenu,kwani manhaji salafi ni mwenendo na njia aliokua nayo Mtume swala na amani ziwe juu yake na maswahaba zake na wale waliowafuata kwa wema
Mmh aliyekwambia twambie tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi kazi yenu kumzushia mtume
Hawa ni watu wa bida'a
@@Kaankaraz hawataweza kumuelewa siyo???
..hata we mwenyewe ulipo hapo ni bidaa.!! Kwani we ulikuwepo wakati wa mtume wewe.!!? @@Kaankaraz
@@swalehemrombo9301 huna akili
Kukosea binaadamu nijambo la kawaida na kusahau pia kummkosowa mtu ni wajibu huko ndoo kumpenda zaidi kuliko kumuwacha akaharibikiwa
MWENYEZI MUNGU AKUBAARIKI NA AKUONGEZEE UELEWA SAFI UTOKAO KWAKE
Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma
Kitendo cha kusema Mufti aendelee kuwa pamoja na Msikiti wa Mtoro kwani aliekosea ni mtu mmoja tu kwangu naona ni kitendo cha usaliti kwa sheikh Othman, so maneno haya Imamu Abbas hakupaswa kuyasema akiwa kama kiongozi,
HAPPY IDD UL FITRI to all My Muslim Ummah
Maashaallah sheikh abbaas hapo upo kama sheikh Zuber bin Yahya
Alama ya kiongozi bora ni pale anapokoseya anakubali kukosolewa kwani kila mwanadam ni mkosaji ikiwa kama omary ibnulhatwabi alikoseya mbele ya umati wa watu na akakosolewa na mwanamke naye akakiri kuwa amekoseya na mwanamke ndye alopatiya kumheshemu mtu ni bora lakini kuheshimu sheriya ya Allah ni bora zaidi
DAAH SIJUI NIKUOMBEE DUA GANI EWE NDUGU YANGU KWA MANENO YAKO HAYA YANAYOASHIRIA UADILIFU WAKO KWENYE SHERIA YA ALLAH. NAMUOMBA ALLAH AKUEPUSHE NA SHAHWA KATIKA SHARI NA SHUBHA NA AKUPE PEPO YA JUU
Allahumma aamin atupe sote inshaallah
Inabidi tupate somo zaidi kuhusu yaumu SHAKA...
waache kuleta taawiyli
Mimi binafsi sijamsikia huyo shekh uthmani lakini naamini Sasa dini inakuangumu kwasababu mashee zetu wanaacha kuyachukulia mambo muhim wanayachukulia mambo madogo madogo huyu shekh uthmani sindio kila siku anamtetea mufti atakwenye kadhia ya baraiyani kuletanga SI tumemskia shekh uthmani akimjibu ivisi tunanini atuoeani udhuru tukampa mtu mda japo kidogo
Mimi niseme Sheikh Othman pole sana maana hapo kwa hakika wewe ndie mlengwa.
Bakwata kuna matatizo makubwa sana wallah,
Bakwata usibishane nayo ni mali ya wenyewe ,baana ,sistim ,
Tena matatizo makubwa sana
Bakwata haipo kwaajili ya waislam
@@salumjumaruhaga2513😂😂😂😂
Masufi yani Mnatafuta uchochoro weeee ilimradi TU mufti aonekane hakoseagi!! Na bahati nzuri umekiri kuwa kwa istilahi za kifiqhi mufti alikosea Sasa kama darsa ilikuwa ya lugha sawa........
UPUMBAVU HUO ACHENI UJINGA HII DINI SIO YA MUFTI NI NI DINI YA ALLAH
Kigezo cha mtu kuchaguliwa Mufti iwe na taaluma nyingine pia awe nayo, Changamoto ninayo iyona kwa Huyu Mufti wa Tanzania 🇹🇿 yuko inferior saana and unsecure , hajiamini hata kidogo, sasa ukiwa Kiongozi wa Dini wa kusemwa, ku challenged, kukosolewa mbona ni jambo la kawaida saana , cheo cha Mufti ni cha kidini sio cha ki Serikali mana Serikalini ukimkosoa Number moja au PM shughuli unayo , sasa Mufti nae anajihisi ni mtu wa Serikalini kabisaaaa, tunakuheshimu saana Mufti lakini jiamini , yaani akitangaza mwezi mwingine tu anapanik anajisahau anaetangaza nae ana taasisi na imesajiliwa kama Bakwata, ndo mana huwa namkubali Alhad Mussa saaana ana busara somtimes na Elimu
Jambo zuri lkn msilikuze, kukosea ni jambo la kawaid na sheikh othman alifanya vile kw kumhami Mufti. muione nia njema ya sheikh othman kuliko kumlaumu
ALLAH AKULIPE KWA UELEWA WAKO NA AKUPE UELEWA ZAIDI NDUGU. HAKUNA MKAMILIFU HIVYO MTU AKISAHIHISHA PALE ULIPOKOSEA NI JAMBO LA KUMSHUKURU WALLAH MAANA HII NI HATARI MBELE YA ALLAH
Acheni kumtukuza
Swaimu Punguza Kuongea Sana. Sauti zinaingiliana
8:23 Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma
Kama kakosea akaleta ukhurafi wake asiambiwe?
Sifikirii kama mufti katoa agizo hili mufti ni mchamungu na anajua kua ye anajua na alivodema sh othman ni kweli kua ulimi ndovunemtangulia kwani mufti anajua na pale kama binaadam kateleza tu Lakin kujua anajua
KWAHIYO SHEKH OTHMANI HAJAKOSEA KILA MTU KASEMA KWA ENGO YAKE
😂😂😂😂😂 kazi ipo cjui tutafika lini duh nilifikiria kunajambo kubwa lakutia taharuki kumbe jambo la kawaida kabisa mamwinyi bwana eeeeeeeh kazi kweli
mufti amejikoroga akubali tu
Namuunga mkono Mufti, kuhusu yaumu shaka, kuwa ni mwezi 29. Kwani mwezi 29. Ndiyo penye shaka kuhusu muandamo. Watu wafunge mwezi 29. Wasubiri mwezi 30. Ili wafunguwe. Ni wajibu. Lakini ndani ya mwezi 29. Pana shaka kweli. Lakini penye mwezi 30 hapana shaka. Faima watu wafunge au wafunguwe-Wabillahi tawfiq
Kasome kwanza acha akili yak ikutawale
Kwahio leo mnamkataa shekh othman kabisa lkn mim nilishangaa juz mufti alivyoondoka tu mkaanza kumkosoa huku nyuma na muft alikuwa sahihi huwez kusema siku ya 30 ndo yaumu shaka wakat hapo mwez hata kama haujaonekan watu wanakula Kwa kuwa hakuna funga 31
Mi ata sion hapi la maana mmepoteza mda tu.
Acheni kujikweza na viburi wengi wamepita mshazoea kutulisha mchana ndio yenu tu ayo.
Doh
Ukikosea ni kurekebishwa tu katika uislam Umufti hauondoki uko palepale
Mujue katika uislam taraajuu ipo
🤣🤣Dah kutukuzwa uku hata mtume hajawahi kutukuzwa ivi kama kakosea kakosea na mkamilifu ni Allah tuuu jamani acheni uoga
WE ABASI NI MNAFIKI SANA
SI ULIKWEPO WAKATI SHEIKH OTHMAN KHAMIS ANAZUGUMZA HAYO? MBONA HUKUMWAMBIA KAMA UNAMKOSEA MUFTI.
MINAFIKI MITUPUUUUUU
Mbona jazba kwenye jambo la elimu.
Sheikh Abbas hamna kitu pale kwenye mas-ala ya ilmu, hawezi kumjibu Sheikh Othman. na hata hicho kilichotoka kwa Mufti inaonekana hajakielewa. Tuacheni siasa..
Alimwambia
Mmeanza kumomonyoka wenyewe kwa wenyewe
Yani mwenye kunyenyekewa ni Allaah pekeee,yani 😢mtihan
Mufti hataki kukosolewa inashangaza sana
OTHMAN KHAMISI AJITUTUMUA MNO KUJIONA KAMALIZA ELIMU ZOTE,,, LAKINI UKWELI WA MAMBO BADO ATAKIWA ASOME SANA!
Hakukosea muogope allah mungu alimkosoa mtume wake yeye mwenyewe na alituambia kuwa mtume hazungumzi ispokuwa ni wahyi so sh othman aliweka jambo sawa coz wote nikiwemo mimi nilijua 29 ni yaumu shaka kumbe sio
Tumuogope allah waislam
SASA UMEONA WASEMA MUNGU KAMKOSOA MTUME SASA MUNGU NA MTUME WANALINGANA?!
UNGE SEMA MASWAHABA WAMEMKOSOA MTUME!
We umesoma nin hadi umuone othman anahitaji kusoma sana
Yaummu shaka ni 29, kwa Sabab ndyo kuna shaka kuwa kesho ni 30 au 1. Sheikh Othaman alikosea. 30 haiwez kuwa shaka, hata sheikh Adulqadir Al Ahdary alishawah kusema. Ktk suna za swaum haifai kufunga yaumu shaka lkn mwez 30 inafaa kufunga sunna kwa sabab 30 hakuna shaka tena
@Mohammed Kwahiyo iliposemwa kuwa haifai kufunga yaumu shaka ilikusudiwa haifai kufunga mwezi 29, ndo hivyo?? hujaelewa..
Kwanini yeye asipambanue, acheni usiasa
Asalam alaykum hakuna mwez 31 namaanisha shaka 29 kuelekea 30
Hapa maelezo ya kusahihisha yanaingia akilini mufti yupo sahihi
Bakwata hakuna jipya Musti timizeni 30 kwanza mana mmefunga 29
YANI HAMKOSEAGI????😅
Ww
Maswahaba walipo kosea walikosolewa
Da uchawa hadi kwenye dini??????? Kwahiyo muft na Abou akar nani mkubw???????
Hivi hao wanao kubali kupoteswa,
Ss wewe unaomba radhi au unachochea faraq huu ni unaafik wa kiwango cha lami
Hapa alitakiwa asimamie Mwenyewe sheikh Othman ndio ingekuwa sahihi kwa sbb ndio alotamka hayoo kwahiyo km ni kujikosoa na kuweka sawa alitakiwa aweke yeye mwenyewe.! lkn Sasa Hawa wenzie ndio kuja kufanya hivi ni km kumkaanga mwenzao tuu..!
Kapingwa mtume isije kuwa ww mufti wakuchakuliwa na serekali ya kikafiri
Hao ndio bakwata mufti wa bakwata kakosea siku ya shaka ni 30
Aonekane alie mkosoa na aombe radhi
Kwnihuyo aliemkosoa mufti anajua asli na sababu yamwezi tisa
Taarifa muhimu km hizi musitie sauti za instrumental sau zozite zile maana husukii uzuri haipendezi
Ctaarifa ya maana ni porojo tuu
Sasa Kuna taarifa muhimu Gani ya maana hapo yenye maslahi mapana na uislam zaidi ya kupambana tu na kuvishanda vilemba vya ukokaa.!!?
Wewe Abbas usitufokee na wacha unafiki wakumpamba mtu hata kama Kakosea,huu uislam usituletee Ujinga wako haiwi mtume wa Allah kakoselewa kupitia daraja ya Quran sembuse huyo mufti.
Mhhm
Kwani dini ya Muft
Kwan mufti ni mheshimiwa kama wabunge?????? Al islam nadhwif
Mufti pia anakosea
Mmeanza kuchapana Ahahaha
😅
Sasa kinachokufurahisha hapo ni nini? Sio vyema kushadadia haya mambo
Mnalinda MASLAHI YA MATUMBO YENU
kwan muft nan nyiny asikosolewe achane ujinga hakuna yaumu shaqa ya mwez 29 .iye kifiq au lughatan
Kwan Mufti Hakosei?
Anakosea eeeehh...unataka kusemaje?
@@jacksonhantik7597
Mbona debate mode Mr?!,
Mufti.wa.bakwata.sio.mungu..anakosolewa.tu.hivyo.vyeo.vya.kidunia.tu.mnavyopeana.na.kutuzana..sio.mpango.wa.mungu
HUYO MUFTI ANGEFUNGA PEKEYAKE,,,JAMANI KILA MTU ASIMAMIE ANAPOPAAMINI,,,TUSILAZIMISHANE
Sheikh othman amekosea, hakuna shaka ya 30. Yaumu shaka ni 29
We hata hujui neno shaq'a limetokana na lugha gani na huko kwenye lugha yake asali linatumika vipi kilugha na kisheria acheni kukurupuka kishabiki someni kwanza
Acheni kubabaika na huyo mufti kumpamba
Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma
Wapuuzi nyie,
Dini hii sio ya Muft,
Akikosea ni lazika akosolewe tu,
taratibu basiiiii
Kama wewe Ni muislam umekosea kuwaita masheikh wapuuzi.. waisalm tunatakiwa kuwa watii kwa viongozi wetu wa kidini...na hili Jambo si kubwa Kama linavyowekwa. Mmungu atujaalie tuwe na khofu na yeye pekee na kuheshimiana inshallah
mpuuzi babako na mamako mbwa wewe
@@user-zz3ek5ny6khilo shiga hilo lishenzi
😂😂Badwater mnachekesha😅
Unakuaje nashaka wakati ushakamilisha 30 mashallah watu wanazidi kusoma