Leo nimezidi kuelewa kua ktk serekali ya ccm kuna viongozi wamejaaliwa busara na hekima kubwa sana, Mwenyezi Mungu awape umri mrefu, na afya njema, na awazidishie busara. Pia viongozi hawa wanaumwa sana na amani iliopo Tanzania, ndiomana wako tayari kuilinda kwa gharama yeyote, Allaah awape nguvu kwenye hilo. Lakini pia nime gundua viongozi wa bakwata wana mkono mrefu wa fitna na ufisadi ktk Tanzania hii. Fujo hilo lililo tokea na migomo hio na matokeo ya fitna za bakwata. Viongozi wetu amani ya nchi iko kwenye shingo zenu, na bakwata niwatu wasiojali amani ya tanzania, wanacho jali ni maslahi yao tu, wako tayari kuwawekea vikwazo waislamu wenzao na hata kuwafitinisha na serekali au wafanya biashara ili tu yakwao yatimie. Niwatu waovyo sana, busara na hekimu hakuna kwa watu wa bakwata
mashlla watu wameanzaa kuelewaa sasa ! Masufi mtaawali pekee wallah mm nasema Hata mtume anaanza Dawa watu walimuona kama mchawi vile lkn baadae wakamuelewa Salim Barahiyyan Allah ayupo na ww ! sunna ya Mtume itaenea tu! Mimi nko Uturuki huku ndipo mama wa masufi bidaa kila kona lakn tumefunga arafa 15.06 na Eid tumekula lep 16.06.2024 wanafuata muandamo wa Suudia idd zote mbili., masaa yetu Kenya-Tz - Uturuk- Suidia ni sawa!
Mwezi wa kimataifa ni mwezi wa marekani ktk dini haupo. Wanaofata mwezi wa kimataifa ni sawa na pale tulipo sadikishwa kuwa. Icc,,,Islamic state,,,Al shabab na boko haramu kuwa ni makundi ya waislam wenye misimamo mikali. Tuweni na tahadhari na waislam wenye kupenda dunia. Mmarekani huwatumia watu kama hawa kwa ajili ya kuwafar8kisha waislam. Mtu unaakili sahihi mtume amesha sema fungeni kwa kuona na fungulieni kwa kuona ww unalazimishaje ufate mwezi wa saudia ???! Wasaudi wenyewe wanakatqza hawataki kufatwa na washasema wazi wazi kila mtu afate mwandamo wake. Duniani kuna watu na nusu watu.
TAASISI IANDIKE BARUA RASMI KUMPELKEA MKUU WA MKOA KUMPA SHUKRANI NA PIA KUMUOMBA ATOE MAAGIZO TUPEWE UWANJA KWA AJILI YA SHUGHULI ZA KIIBADA NA MICHEZO
Ibada ilitangulia kabla ya biashara haijahamia hapa. kwahiyo waliotangulia ndio wenye haki mwenyekiti nakundi lake hawana haki kisheria isipokuwa wanatumika na kundi jingine la waumini kutengeneza uchafuzi wa amani Ili KUYAPAKAZIA watu sunna
YANI MASHEKHE WA SASA NA WAISLAMU WAKISASA WANACHEKESHA SANA AMBIWA KILA MMOJA ANAJIONA YEYE KAONGOKA MIMI NAFAFA USHAUR WA RASUL KAA CHINI YA AMIR MMOJA KAMA HAKUNA KIKUNDI CHINI YA AMIR MMOJA KAA MBALLI LIA TUBU KWA DHAMBI ZAKO MPKA MAUTI YAKUKUTE
Pale hajalalamika Kwa suali la kidini!amelalamika Kwa baadhi ya watendaji wa Serikali kuingilia masuala ya kidini na hii iko wazi ni nyie Waislamu wanafiki kuitumia Serikali isiyo na dini kukidhi ughulafi wenu Kwa kulazimisha Waislamu wafuate ujinga wenu
wewe fasiq unamjua wewe ndio Allah au we ni raqib na atid usitakabbar ww ni udongo tu mimi sipend watu wnajikweza wanataqwa kwa taqw gani hasa hta kutoa chozi kwajili ya dhambi zako hujawah siajabu
Leo nimezidi kuelewa kua ktk serekali ya ccm kuna viongozi wamejaaliwa busara na hekima kubwa sana, Mwenyezi Mungu awape umri mrefu, na afya njema, na awazidishie busara.
Pia viongozi hawa wanaumwa sana na amani iliopo Tanzania, ndiomana wako tayari kuilinda kwa gharama yeyote, Allaah awape nguvu kwenye hilo.
Lakini pia nime gundua viongozi wa bakwata wana mkono mrefu wa fitna na ufisadi ktk Tanzania hii.
Fujo hilo lililo tokea na migomo hio na matokeo ya fitna za bakwata.
Viongozi wetu amani ya nchi iko kwenye shingo zenu, na bakwata niwatu wasiojali amani ya tanzania, wanacho jali ni maslahi yao tu, wako tayari kuwawekea vikwazo waislamu wenzao na hata kuwafitinisha na serekali au wafanya biashara ili tu yakwao yatimie.
Niwatu waovyo sana, busara na hekimu hakuna kwa watu wa bakwata
Allah ipe nguvu Sunnah na awapenguvu mashekh wa Sunnah na afya tele abu fadhil barahiyan na wote allah azidi kuwapa afya Ili wazidi kulisimamia Sunnah
Sema waislam wote
Sunnah ?!!! Suna mchezo. Labda mwezi wa kitaifa mwezi wa marekani ndio wenye umoja wa kitaifa usionamaana yyte wapalestina wanauwawa kimyaa
Mashallah watu tanzaniya hususa tanga wameelewa iddy ni jumapili ❤❤❤❤
Waombe dua waislam wote wanaswali kabla na wale wataswali baada. Wote ni waislam
mashlla watu wameanzaa kuelewaa sasa !
Masufi mtaawali pekee wallah mm nasema
Hata mtume anaanza Dawa watu walimuona kama mchawi vile lkn baadae wakamuelewa
Salim Barahiyyan Allah ayupo na ww ! sunna ya Mtume itaenea tu!
Mimi nko Uturuki huku ndipo mama wa masufi bidaa kila kona lakn tumefunga arafa 15.06
na Eid tumekula lep 16.06.2024
wanafuata muandamo wa Suudia idd zote mbili.,
masaa yetu Kenya-Tz - Uturuk- Suidia ni sawa!
Mwezi wa kimataifa ni mwezi wa marekani ktk dini haupo. Wanaofata mwezi wa kimataifa ni sawa na pale tulipo sadikishwa kuwa. Icc,,,Islamic state,,,Al shabab na boko haramu kuwa ni makundi ya waislam wenye misimamo mikali. Tuweni na tahadhari na waislam wenye kupenda dunia. Mmarekani huwatumia watu kama hawa kwa ajili ya kuwafar8kisha waislam. Mtu unaakili sahihi mtume amesha sema fungeni kwa kuona na fungulieni kwa kuona ww unalazimishaje ufate mwezi wa saudia ???! Wasaudi wenyewe wanakatqza hawataki kufatwa na washasema wazi wazi kila mtu afate mwandamo wake. Duniani kuna watu na nusu watu.
Allah akulipe sheikh wetu wenye chuki wafe na chuki zao tu
Uislam ni umoja
Pamoja na ww
Maashaallah tabarakallah kwa wote
TAASISI IANDIKE BARUA RASMI KUMPELKEA MKUU WA MKOA KUMPA SHUKRANI NA PIA KUMUOMBA ATOE MAAGIZO TUPEWE UWANJA KWA AJILI YA SHUGHULI ZA KIIBADA NA MICHEZO
MashaaAllah
Elimu muhimu sio ushindani haya mambo ni mapya lakini ukweli utadhihiri na mtatejea kwenye sirat mustakima inshaAllah
Kwani kiwanja ni kimoja? Tafuteni viwanja vingine ili kuepuka mizozo mizozo
Ibada ilitangulia kabla ya biashara haijahamia hapa. kwahiyo waliotangulia ndio wenye haki mwenyekiti nakundi lake hawana haki kisheria isipokuwa wanatumika na kundi jingine la waumini kutengeneza uchafuzi wa amani Ili KUYAPAKAZIA watu sunna
ما شاء الله
Kila mwaka nihayohayotu sisi tushayachoka himiza watu kheri mambo mengine yaendelee hayo yashapita nahatuna ogomvi kwasasa
Kwa kuwa wewe si muathirika wa fitna hizi au pengine unahusika na hayo ndiyo maana waona haya si muhimu
Uolewa wako mdogo kuelimishwa na kunasihiwa ni Kila siku acha mwaka na nikazi ya wàlim
Km Ushachok daw n moj t uc ckilize wal uc tizame ustadh wng
Ikiwa wewe umechoka kaa kando mapambano bado inaendelea
Wacha chuki
Mashallah
Dah!
hapo kuna makosa sheikh hebu jaribu kuangalia ni wapi mwakosea sio kila mwaka kulalamika
❤❤❤❤
Kwa hiyo siku hiyo hukuswsli adhuhuri
Anasalimiwa na sufi mwezake mafuta
Shekhe nenda mdogo mdogo to utafika unapataka
YANI MASHEKHE WA SASA NA WAISLAMU WAKISASA WANACHEKESHA SANA AMBIWA KILA MMOJA ANAJIONA YEYE KAONGOKA MIMI NAFAFA USHAUR WA RASUL KAA CHINI YA AMIR MMOJA KAMA HAKUNA KIKUNDI CHINI YA AMIR MMOJA KAA MBALLI LIA TUBU KWA DHAMBI ZAKO MPKA MAUTI YAKUKUTE
Sheikh Salim Barahiyani nimekusoma habati zako mbinguni falam min shawar bishara min haqi. waminanal tawaba rahma.
Umesema kweli wanaoelewa ZAID mipango yako ni vijana..Nakukumbusha kauli ya mtume s,a. Ujana ni 1/2 ya ..... Nimepita tu
Shekh nenda kwa mashekh wenzio mkae kitako mtizame wapi mnakosea haiwezekani kila mara wewe tu unalalamika
Pale hajalalamika Kwa suali la kidini!amelalamika Kwa baadhi ya watendaji wa Serikali kuingilia masuala ya kidini na hii iko wazi ni nyie Waislamu wanafiki kuitumia Serikali isiyo na dini kukidhi ughulafi wenu Kwa kulazimisha Waislamu wafuate ujinga wenu
BAKWATA na MAMLAKA yA SAUDIA ITAKUWA NA TAFAUTI GANI ?
Du unafananisha bakwata na mamlaka ya Saudia?
@@saadallah6287 Naam, sababu shekhe alaumu Bakwata Kwa waloyafanza je Saudi nayo inayoyafanya?
I nafanya nini suudia@@mwanamutemi
Mawahabi wakati wote wao wanapalilia migogoro tu kila kukicha,kwani huna mada zingine ndugu?mwisho mtaanzana ninyi kwa ninyi
Ukitaka kuharibu ibada zako we fuata bakwata na mufti wao basi utaangukia pabaya
Kwani ww ndiye mwenye kuabudiwa hata useme wapo wanao haribu ibada kwa kufuata bakwata na mufti. Au ww mfuata upepo tu
Naona kila siku niwakulalamika tu
MAFASIKI WA UISLAM
wewe fasiq unamjua wewe ndio Allah au we ni raqib na atid usitakabbar ww ni udongo tu mimi sipend watu wnajikweza wanataqwa kwa taqw gani hasa hta kutoa chozi kwajili ya dhambi zako hujawah siajabu
Acha ujahili wewe mpumbavu wa kisufi
@@mohdkhatib223 sio ujahili ww umeandika na Allah kaona tutakutanasiku ya kiama mwalimu utaeleza ni ufasiq gani alionao mimi sikufich ntaman sana kiama kifike ili tuwaone nyie mtakavyo ingia pepon bila hesabu mna nyie mmepewawahyi wakuwa mumeongoka
wewe kila mwaka unalalamika tu
Huyo ni shekh malalamiko sjui na malalamiko ni sunnah 😅😅😅😅😅😅
Lkn mbn wao hawafuati mwandamo wa sehem nyengine huu ni uyahudi kabisa
Je mwezi ukianza kuandama Tanzania kabla ya saudia utafuata wp
Hamanga hoja niviakili tu bc
@@Silay1034Wewe ni Zwazwa kweli na una mtindio wa ubongo.Mpuuzi wewe
MashaaAllah
MashaaAllah
MashaaAllah