SHEIKH BARAHIYAN ASIKITISHWA NA KILICHOTOKEA AMSHUKURU MKUU WA MKOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Komentáře • 79

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 2 měsíci +2

    Leo nimezidi kuelewa kua ktk serekali ya ccm kuna viongozi wamejaaliwa busara na hekima kubwa sana, Mwenyezi Mungu awape umri mrefu, na afya njema, na awazidishie busara.
    Pia viongozi hawa wanaumwa sana na amani iliopo Tanzania, ndiomana wako tayari kuilinda kwa gharama yeyote, Allaah awape nguvu kwenye hilo.
    Lakini pia nime gundua viongozi wa bakwata wana mkono mrefu wa fitna na ufisadi ktk Tanzania hii.
    Fujo hilo lililo tokea na migomo hio na matokeo ya fitna za bakwata.
    Viongozi wetu amani ya nchi iko kwenye shingo zenu, na bakwata niwatu wasiojali amani ya tanzania, wanacho jali ni maslahi yao tu, wako tayari kuwawekea vikwazo waislamu wenzao na hata kuwafitinisha na serekali au wafanya biashara ili tu yakwao yatimie.
    Niwatu waovyo sana, busara na hekimu hakuna kwa watu wa bakwata

  • @albahsans
    @albahsans Před 2 měsíci +2

    Allah ipe nguvu Sunnah na awapenguvu mashekh wa Sunnah na afya tele abu fadhil barahiyan na wote allah azidi kuwapa afya Ili wazidi kulisimamia Sunnah

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 2 měsíci

      Sema waislam wote

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před 2 měsíci

      Sunnah ?!!! Suna mchezo. Labda mwezi wa kitaifa mwezi wa marekani ndio wenye umoja wa kitaifa usionamaana yyte wapalestina wanauwawa kimyaa

  • @musarashid-xw1qm
    @musarashid-xw1qm Před 2 měsíci +1

    Mashallah watu tanzaniya hususa tanga wameelewa iddy ni jumapili ❤❤❤❤

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před 2 měsíci +4

    Waombe dua waislam wote wanaswali kabla na wale wataswali baada. Wote ni waislam

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 měsíci +2

    mashlla watu wameanzaa kuelewaa sasa !
    Masufi mtaawali pekee wallah mm nasema
    Hata mtume anaanza Dawa watu walimuona kama mchawi vile lkn baadae wakamuelewa
    Salim Barahiyyan Allah ayupo na ww ! sunna ya Mtume itaenea tu!
    Mimi nko Uturuki huku ndipo mama wa masufi bidaa kila kona lakn tumefunga arafa 15.06
    na Eid tumekula lep 16.06.2024
    wanafuata muandamo wa Suudia idd zote mbili.,
    masaa yetu Kenya-Tz - Uturuk- Suidia ni sawa!

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před 2 měsíci

      Mwezi wa kimataifa ni mwezi wa marekani ktk dini haupo. Wanaofata mwezi wa kimataifa ni sawa na pale tulipo sadikishwa kuwa. Icc,,,Islamic state,,,Al shabab na boko haramu kuwa ni makundi ya waislam wenye misimamo mikali. Tuweni na tahadhari na waislam wenye kupenda dunia. Mmarekani huwatumia watu kama hawa kwa ajili ya kuwafar8kisha waislam. Mtu unaakili sahihi mtume amesha sema fungeni kwa kuona na fungulieni kwa kuona ww unalazimishaje ufate mwezi wa saudia ???! Wasaudi wenyewe wanakatqza hawataki kufatwa na washasema wazi wazi kila mtu afate mwandamo wake. Duniani kuna watu na nusu watu.

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 Před 2 měsíci +3

    Allah akulipe sheikh wetu wenye chuki wafe na chuki zao tu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 2 měsíci

    Maashaallah tabarakallah kwa wote

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 Před 2 měsíci +2

    TAASISI IANDIKE BARUA RASMI KUMPELKEA MKUU WA MKOA KUMPA SHUKRANI NA PIA KUMUOMBA ATOE MAAGIZO TUPEWE UWANJA KWA AJILI YA SHUGHULI ZA KIIBADA NA MICHEZO

  • @Hafisa-ws8mw
    @Hafisa-ws8mw Před 2 měsíci

    MashaaAllah

  • @zahranahmed4263
    @zahranahmed4263 Před 2 měsíci

    Elimu muhimu sio ushindani haya mambo ni mapya lakini ukweli utadhihiri na mtatejea kwenye sirat mustakima inshaAllah

  • @markazabihurairah5211
    @markazabihurairah5211 Před 2 měsíci +2

    Kwani kiwanja ni kimoja? Tafuteni viwanja vingine ili kuepuka mizozo mizozo

  • @user-oz6oo3qw9u
    @user-oz6oo3qw9u Před 2 měsíci +1

    Ibada ilitangulia kabla ya biashara haijahamia hapa. kwahiyo waliotangulia ndio wenye haki mwenyekiti nakundi lake hawana haki kisheria isipokuwa wanatumika na kundi jingine la waumini kutengeneza uchafuzi wa amani Ili KUYAPAKAZIA watu sunna

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Před 2 měsíci

    ما شاء الله

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr Před 2 měsíci +5

    Kila mwaka nihayohayotu sisi tushayachoka himiza watu kheri mambo mengine yaendelee hayo yashapita nahatuna ogomvi kwasasa

    • @shmohd11
      @shmohd11 Před 2 měsíci

      Kwa kuwa wewe si muathirika wa fitna hizi au pengine unahusika na hayo ndiyo maana waona haya si muhimu

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa Před 2 měsíci

      Uolewa wako mdogo kuelimishwa na kunasihiwa ni Kila siku acha mwaka na nikazi ya wàlim

    • @HajjNgwali
      @HajjNgwali Před 2 měsíci

      Km Ushachok daw n moj t uc ckilize wal uc tizame ustadh wng

    • @AbuSaeed-pz2kb
      @AbuSaeed-pz2kb Před 2 měsíci

      Ikiwa wewe umechoka kaa kando mapambano bado inaendelea

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 Před 2 měsíci

      Wacha chuki

  • @FadhilaHamad-fr3sb
    @FadhilaHamad-fr3sb Před 2 měsíci

    Mashallah

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 Před 2 měsíci

    Dah!

  • @abdulkadirfumo9959
    @abdulkadirfumo9959 Před 2 měsíci +1

    hapo kuna makosa sheikh hebu jaribu kuangalia ni wapi mwakosea sio kila mwaka kulalamika

  • @yusuphahmed-yt5gg
    @yusuphahmed-yt5gg Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @user-dn3jh6oz8s
    @user-dn3jh6oz8s Před 2 měsíci

    Kwa hiyo siku hiyo hukuswsli adhuhuri

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Před 2 měsíci

    Anasalimiwa na sufi mwezake mafuta

  • @omarsuleiman9064
    @omarsuleiman9064 Před 2 měsíci +1

    Shekhe nenda mdogo mdogo to utafika unapataka

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe Před 2 měsíci

    YANI MASHEKHE WA SASA NA WAISLAMU WAKISASA WANACHEKESHA SANA AMBIWA KILA MMOJA ANAJIONA YEYE KAONGOKA MIMI NAFAFA USHAUR WA RASUL KAA CHINI YA AMIR MMOJA KAMA HAKUNA KIKUNDI CHINI YA AMIR MMOJA KAA MBALLI LIA TUBU KWA DHAMBI ZAKO MPKA MAUTI YAKUKUTE

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Před 2 měsíci

    Sheikh Salim Barahiyani nimekusoma habati zako mbinguni falam min shawar bishara min haqi. waminanal tawaba rahma.

  • @ayubuzomboko9502
    @ayubuzomboko9502 Před 2 měsíci

    Umesema kweli wanaoelewa ZAID mipango yako ni vijana..Nakukumbusha kauli ya mtume s,a. Ujana ni 1/2 ya ..... Nimepita tu

  • @saidalhabsi6485
    @saidalhabsi6485 Před 2 měsíci

    Shekh nenda kwa mashekh wenzio mkae kitako mtizame wapi mnakosea haiwezekani kila mara wewe tu unalalamika

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 2 měsíci +1

      Pale hajalalamika Kwa suali la kidini!amelalamika Kwa baadhi ya watendaji wa Serikali kuingilia masuala ya kidini na hii iko wazi ni nyie Waislamu wanafiki kuitumia Serikali isiyo na dini kukidhi ughulafi wenu Kwa kulazimisha Waislamu wafuate ujinga wenu

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi Před 2 měsíci

    BAKWATA na MAMLAKA yA SAUDIA ITAKUWA NA TAFAUTI GANI ?

    • @saadallah6287
      @saadallah6287 Před 2 měsíci

      Du unafananisha bakwata na mamlaka ya Saudia?

    • @mwanamutemi
      @mwanamutemi Před 2 měsíci

      @@saadallah6287 Naam, sababu shekhe alaumu Bakwata Kwa waloyafanza je Saudi nayo inayoyafanya?

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 Před 2 měsíci

      I nafanya nini suudia​@@mwanamutemi

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 Před 2 měsíci

    Mawahabi wakati wote wao wanapalilia migogoro tu kila kukicha,kwani huna mada zingine ndugu?mwisho mtaanzana ninyi kwa ninyi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 měsíci

    Ukitaka kuharibu ibada zako we fuata bakwata na mufti wao basi utaangukia pabaya

    • @kunsule9261
      @kunsule9261 Před 2 měsíci

      Kwani ww ndiye mwenye kuabudiwa hata useme wapo wanao haribu ibada kwa kufuata bakwata na mufti. Au ww mfuata upepo tu

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 Před 2 měsíci

    Naona kila siku niwakulalamika tu

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    MAFASIKI WA UISLAM

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe Před 2 měsíci

      wewe fasiq unamjua wewe ndio Allah au we ni raqib na atid usitakabbar ww ni udongo tu mimi sipend watu wnajikweza wanataqwa kwa taqw gani hasa hta kutoa chozi kwajili ya dhambi zako hujawah siajabu

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 2 měsíci

      Acha ujahili wewe mpumbavu wa kisufi

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe Před 2 měsíci

      @@mohdkhatib223 sio ujahili ww umeandika na Allah kaona tutakutanasiku ya kiama mwalimu utaeleza ni ufasiq gani alionao mimi sikufich ntaman sana kiama kifike ili tuwaone nyie mtakavyo ingia pepon bila hesabu mna nyie mmepewawahyi wakuwa mumeongoka

  • @darajanida
    @darajanida Před 2 měsíci +1

    wewe kila mwaka unalalamika tu

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 2 měsíci

      Huyo ni shekh malalamiko sjui na malalamiko ni sunnah 😅😅😅😅😅😅

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 2 měsíci

      Lkn mbn wao hawafuati mwandamo wa sehem nyengine huu ni uyahudi kabisa

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 2 měsíci +1

      Je mwezi ukianza kuandama Tanzania kabla ya saudia utafuata wp

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 2 měsíci

      Hamanga hoja niviakili tu bc

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 Před 2 měsíci +1

      ​@@Silay1034Wewe ni Zwazwa kweli na una mtindio wa ubongo.Mpuuzi wewe

  • @Hafisa-ws8mw
    @Hafisa-ws8mw Před 2 měsíci

    MashaaAllah

  • @Hafisa-ws8mw
    @Hafisa-ws8mw Před 2 měsíci

    MashaaAllah

  • @Hafisa-ws8mw
    @Hafisa-ws8mw Před 2 měsíci

    MashaaAllah