SHEIKH MSELEM ASIKITISHWA NA WANAO MRAD MITANDAONI"MIMI YANANIFIKA MENGI SIMJIBU MTU NAKAA KIMYA TU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #AdilTV

Komentáře • 67

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 Před 3 měsíci +12

    Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 Před 3 měsíci +6

    Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!

  • @bakarfaki-vb8kv
    @bakarfaki-vb8kv Před 3 měsíci +10

    Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 3 měsíci

      Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 Před 3 měsíci

      Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 3 měsíci

      Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 3 měsíci

      Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 Před 3 měsíci

      @@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema

  • @kondomrisho8776
    @kondomrisho8776 Před 3 měsíci +8

    Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak3979 Před 3 měsíci +4

    Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah

  • @suleim505
    @suleim505 Před 3 měsíci +3

    HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.

  • @jumagora3462
    @jumagora3462 Před 3 měsíci +3

    Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 Před 3 měsíci +4

    Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 Před 3 měsíci +7

    Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi

  • @musasefu6092
    @musasefu6092 Před 3 měsíci +2

    May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x Před 3 měsíci +2

    Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi
    من تواضع رفعه الله
    Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Před 2 měsíci

    Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤

  • @PeacefulSoccerGoal-ki7td
    @PeacefulSoccerGoal-ki7td Před 3 měsíci +2

    Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 3 měsíci +2

    Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 3 měsíci +2

    Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab

  • @fahimkarama9341
    @fahimkarama9341 Před 3 měsíci +2

    mungu akulinde shekhe wangu

  • @mchinaaanavoijuwaadiniikiu7823

    Mashaallah Allah ambarkii shkhee watu

  • @noorsa88d
    @noorsa88d Před 3 měsíci

    Allah akuhifadh Sheikh Mselem

  • @HusseinAbdul-is9xq
    @HusseinAbdul-is9xq Před 3 měsíci +2

    Naam jazzakallahkhery 🎉

  • @HassanMohammed-x4s
    @HassanMohammed-x4s Před 7 hodinami

    Haji cha upepo unafeli home boy sheikh muache hayo huwez kuogelea wee bado sana fanya mathnaa

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Před 3 měsíci +3

    Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi

  • @samiruiddi2077
    @samiruiddi2077 Před 3 měsíci

    Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Před 3 měsíci

    MashaAllah Allah azidi kupa sbra

  • @husseinhaji9550
    @husseinhaji9550 Před 3 měsíci

    Allah akuhifadhi Sheikh wetu

  • @ShekhKhamisi
    @ShekhKhamisi Před 3 měsíci

    جزاك الله الخير

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 3 měsíci +1

    shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve Před 3 měsíci

    Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 3 měsíci +1

    shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka

  • @SalimAbdulla-gw5rq
    @SalimAbdulla-gw5rq Před 3 měsíci

    Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .

  • @user-ru1xm6og4j
    @user-ru1xm6og4j Před 3 měsíci

    ما شاء الله

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 3 měsíci +1

    Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 3 měsíci +1

    Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.

  • @jumagora3462
    @jumagora3462 Před 3 měsíci

    Asante kitabu kimemaliza kila kitu

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k Před 3 měsíci

    Huyu ndio shekh sio kujikweza

  • @ahmedbadi5822
    @ahmedbadi5822 Před 3 měsíci

    Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.

  • @HasanatAli-de3bf
    @HasanatAli-de3bf Před 3 měsíci

    Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve Před 3 měsíci +3

    Yulekijana yule upepo yule dawayake inachemka yule

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 Před 3 měsíci

      Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa
      hilo ni kosa kwan ndugu?

  • @BaloziHussein-g1e
    @BaloziHussein-g1e Před 3 dny

    Ee ALLAH ! Tufanye mfano wa huyu

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Před 3 měsíci +1

    Haji upepo shika adabu yako..

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 3 měsíci

      Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 Před 3 měsíci

      Setup hiyo NA WEWE USHIKE ADABU YAKO MWEHU WW

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve Před 3 měsíci

    Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki

  • @saidhassan-xg2uo
    @saidhassan-xg2uo Před 3 měsíci

    Yule kijana ashike adabu yake

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk9493 Před 3 měsíci

    Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 3 měsíci

      Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo

    • @HamadaZubeirTahir
      @HamadaZubeirTahir Před 3 měsíci

      Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 Před 3 měsíci

      Acha zako ww mzushi

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 Před 3 měsíci

      Wewe je huna chakuiga

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa Před 3 měsíci

      Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 měsíci

    Haji upepe huyo hule jamaa bwana

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 3 měsíci

    😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema

  • @JamesMakes-rn6kz
    @JamesMakes-rn6kz Před 3 měsíci

    haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele

  • @JandaalHaqeem
    @JandaalHaqeem Před 3 měsíci

    Zanzibar hakuna shekh kwa ajili ya dini