Msanii Eliza akiimba wimbo wake wa hamasa na Mgombea Urais wa CCM Rais John Pombe Dk Magufuli na watoto wenye ulemavu wa ngozi wakati wa mkutano wa hadhara mjini Bariadi
Maana ya wimbo (sio neno kwa neno) JPM ni mtu Bora na Moyo wake ni mwema tukamchague awe kiongozi. Uchaguzi umewadia Magufuli tukamchague pia CCM Ana Moyo wa kulea watu twendeni tukamchague. Kumbe ni ndugu yetu tumpeni kura mwana wa Suzana. WATANZANIA sisi tunsipigia kura CCM barabara zenye taa tunaziona jamani tumchagueni kwani ni jembe pamoja na wenzake Samia, Majaliwa, Mangula, Bashiru, Polepole ni majembe tuchagueni CCM inaleta maendeleo.
Wimbo wa mwaka kampeni 2020 ni fire fire kweli Hongera sana msani uliyetunga huo wimbo. Ni hamasa tosha kwa kampeni, japo lugha iliyotumika baadhi ya maneno ni ya kilugha. Big up sana.
Jamani tulioelewa ujumbe mzito wa Dada yetu Elizabeth ngonga like.nimeludia Mara mia huu wimbo hakuna aliyemfikia huyu Dada kwa ujumbe mzito kwa rais wetu.shinyanga,tabora,simiyu,mwanza,bariadi na wote tulioelewa wimbo huu tuseme ccm oyeeeeeeee kwa mwana Susana yaani magufuli oyeeeeeee.
Hawa nduguzetu wenyeulemavu wa ngozi walikuwa nawasiwasi mkubwa haswa katika vipindi kama hivi vya kuelekea uchaguzi lakini sasa mambo nitofauti, hii inatupatia picha yakuwa vilivyokuwa halamu vilipita nasasa Mungu yu upande wetu,all the blessing from Algeria.
Yaani kweli kabisa sio siri watu wana dhambi watajibu na wataanzia kujibu hapa Dunuani kesho kwa Mungu hesabu itatimilika kwa dhambi zao sasa walifanikiwa Nini kama sio majuto tumshukuru Mwenyeezimungu huyu Baba mtu wa Mungu amani imepatikana kwa hawa watu Albino jamani waliuawa jamani yaani yamepita Mungu Mkubwa Magufuli Mungu aazidi kumuinua na watanzania woote tumpe Kura za kishindo na wasaidizi wake woote.
Well said brother your message touched me a lot but with strong leadership of magufuri they are now happy to me magufuri is the leader to remember 5 tena
Mungu mwema kaleta wa kuwalinda nikikumbuka walivyokuwa wanakatwa viungo na kuuwawa bila huruma inaumiza moyo. Leo wapo hadi kwenye kampeni wakiwa na amani na matumaini tele ya kuishi kwa amani. Mungu endelea kumlinda Magufuli
Siifaham kiundani lakini ni nzr kuliko nyimbo za wasanii maarufu ni kelele tu lakini hii ikitokea zawadi kwa nyimbo Bora za uhamasishajibna kusherehesha kampeni bc inastahili 👍
Ww mama ufunika ote cjui vizur kisukuma Ila nimefurahi Sana my hicho kigelegele umwnikimbuaha sikuku za Saba Saba na nane du nimemiss tabora kwetu du ❣️❣️❣️❣️❤️
Hawa wamam waliovaa viremba na matisheti ya ccm nimewaangalia .hadi machozi yamenitoka aisee wamekomaa.maskini kutuhangaikia watoto wao .mwallah walaaniwe watoto ambao hawawasaidii wazazi wao wakati uwezo.wanao🙏😭 kwa waliofiwa na mama zao Allah awape.pepo ya juu insha Allah
Unajua Dada umepata sana itabidi mnene kgwa lugha ili. Atu wajue magufuli ndie aliyetumwa na Mungu kuikomboa tz alafu yashati is maneno aliyo Nena jpm nitachaguliwa na kila kitu hembu ona watoto Hao waliyofurahi EE jamani mungu atujalie amani siku kwa siku tz
Japo sijaelewa yote yaliyo kwenye wimbo yana maanisha nini, ila uu ndiyo wimbo wangu bora katika kampeni za mwaka uu. Hongera sana mama una kipaji kikubwa
Huu wimbo utafunika kwa lugha ya kisukuma.Hongela sana mama Mungu akubariki
Sio wale wahuni wenu kina Diamond cjui nan kujipendekeza pendekeza tu#
Mzalendo sikiliza hii kitu czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
Rip rais wetu
cjaelewa alichoimba ila nmeipenda sana 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰MAGUFULI OYEEEE🥰🥰🥰🥰🥰
me Zenji huku sielewi hata nini anaimba zaidi ya MAGUFUL ndo ninaelewa
Magufuli baba laoooooooooooo
@@habarikazanzibar3667 Cheka Ufurahi 😂😂😂 czcams.com/video/vE3AfUSKUCM/video.html NZURI🔥🔥 Sana👈👈
Tuachie wasukuma mambo haya
Maana ya wimbo (sio neno kwa neno)
JPM ni mtu Bora na Moyo wake ni mwema tukamchague awe kiongozi.
Uchaguzi umewadia Magufuli tukamchague pia CCM
Ana Moyo wa kulea watu twendeni tukamchague.
Kumbe ni ndugu yetu tumpeni kura mwana wa Suzana. WATANZANIA sisi tunsipigia kura CCM barabara zenye taa tunaziona jamani tumchagueni kwani ni jembe pamoja na wenzake Samia, Majaliwa, Mangula, Bashiru, Polepole ni majembe tuchagueni CCM inaleta maendeleo.
Hongereni sana Wasukuma. Mko juuu.! Mungu ibariki Tanzania.
Kweli kabisa Mungu yupo anamuinua kila mtu kwa wakati wake huyu mheshimiwa ni wakati wake Mungu bariki kazi yake
Unaonge kweli
czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
Wimbo wa mwaka kampeni 2020 ni fire fire kweli Hongera sana msani uliyetunga huo wimbo. Ni hamasa tosha kwa kampeni, japo lugha iliyotumika baadhi ya maneno ni ya kilugha. Big up sana.
Mungu awe nawe ubarikiwe nimeipenda sana wasukuma juu
Ccm oyeeeeee kula zote za ndio
Tanzania masha Allah rais mpenda aman mwenye kujali wanyonge ..mungu amuongoze kwa kweli all frm kenya🇰🇪🇰🇪
Viva Elisa for the well composed song with Sukuma traditionally flavored....! Viva Magufuli.....!
Jamani tulioelewa ujumbe mzito wa Dada yetu Elizabeth ngonga like.nimeludia Mara mia huu wimbo hakuna aliyemfikia huyu Dada kwa ujumbe mzito kwa rais wetu.shinyanga,tabora,simiyu,mwanza,bariadi na wote tulioelewa wimbo huu tuseme ccm oyeeeeeeee kwa mwana Susana yaani magufuli oyeeeeeee.
Sio msukuma lakini napenda nyimbo za kisukuma
Ndio nachopendea Watanzania. Lugha 120 bado tunaelewana, kuheshimiana na kudhaminiana. Viva mwl Nyerere Viva!!!💪💪💪
Vivaaaaa 💪🏽💪🏽
Vivaaaa
Si mchezo very beautiful language
Imependeza it's sounds wonderful
Sielew kisukuma. Ila napenda sana nyimbo za kuluga. Yaan hapa najikuta nipo south Africa. Napendaga sana nyimbo zao za makabila
Sasa huu ndo wimbo halisi wa kampeni za CCM kuliko hizi za wasanii wa bongo fleva kama unakubali hili tia like hapa twende sambamba
Waooo, kaimba vizuri sana, kapangilia maneno yanatiririka vizurii sana .. ni wimbo unaoshawishi sana sana,
Kwa huu wimbo hata Kama zilikua mageuzi unaweza ukajikuta unahamia ccm bila kujua
😀😀😀😀
😂😂😂Mimi naona nishaingia na kila kitu changu kwa mapenzi makubwa nilionayo na mh.magufuli
😂😂😂😂😂😂umeona eeeh
Ccm oyeeeeeeweeeeeee
Sana sana
Elizabeth Maliganya oyeeeee,kazi nzuri sana
Magufuri tukachangulagi basukumu tulinigembeeeeeee
Lilimwigulya Sana iligemve ili
czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
Hatunaye tena Raisi wetu,kipenzi chetu
Nimejikuta nimeamia Ccm jameni toka leo Niko Ccm ,CCM oyeeeeeeee magufuli Oyeeeeeee
Ooyeeeeeeeeeeeeeeeeee
Oyeeeeeeee
Safi oyeeeee
🤣🤣🤣Kariiiibu nyumbani
Kalibuuuuuuu ccm oyeeeeeweeee
Mageuz shokagi kaya omagufuli ke mtomwenja nyimbo nzur sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Magufuli yuko kwao sasa. Kwenu ni kwenu tu . Mungu Ibariki Tanzania Yetu .
Halafu mtu aseme asijenge uwanja wa ndege kwao asikilize wimbo waliotungia
Sio magufuli tu hapa namimi yani kanitoa machozi
Daah Sina chakusema
Hakika wimbo unagusa sana huu
Jamani inagusa moyo na inaliza sasa sijui ni furaha au ni utukufu kwa Mungu
Hata mie machozi yamanitoka jamani,
Nimetokwa na Machozi kwa fraha
Wasukuma wote tujuane
Safi san wasukuma juu
Hivi ndivyo chaguo la mungu lilivyo mpaka ndege porini wanashangilia mungu akutunze Dr John pombe magufuli wewe mbele sisi nyuma yako baba
Magufuli jembeeeeee💪❤️
Wasukuma tumchague magufuli jamani wanyumbani kabisa
Hawa nduguzetu wenyeulemavu wa ngozi walikuwa nawasiwasi mkubwa haswa katika vipindi kama hivi vya kuelekea uchaguzi lakini sasa mambo nitofauti, hii inatupatia picha yakuwa vilivyokuwa halamu vilipita nasasa Mungu yu upande wetu,all the blessing from Algeria.
Yaani kweli kabisa sio siri watu wana dhambi watajibu na wataanzia kujibu hapa Dunuani kesho kwa Mungu hesabu itatimilika kwa dhambi zao sasa walifanikiwa Nini kama sio majuto tumshukuru Mwenyeezimungu huyu Baba mtu wa Mungu amani imepatikana kwa hawa watu Albino jamani waliuawa jamani yaani yamepita Mungu Mkubwa Magufuli Mungu aazidi kumuinua na watanzania woote tumpe Kura za kishindo na wasaidizi wake woote.
Well said brother your message touched me a lot but with strong leadership of magufuri they are now happy to me magufuri is the leader to remember 5 tena
Mungu mwema kaleta wa kuwalinda nikikumbuka walivyokuwa wanakatwa viungo na kuuwawa bila huruma inaumiza moyo. Leo wapo hadi kwenye kampeni wakiwa na amani na matumaini tele ya kuishi kwa amani. Mungu endelea kumlinda Magufuli
Kazi nzur mwana dada kwa kumwimbia nyimbo nzuri rais wet wa Ccm magufuri oyeeeeeeeeee
Magufuri Safi flyover oyeeeeeeeeee
Siifaham kiundani lakini ni nzr kuliko nyimbo za wasanii maarufu ni kelele tu lakini hii ikitokea zawadi kwa nyimbo Bora za uhamasishajibna kusherehesha kampeni bc inastahili 👍
Kweli kabisa
Natongwa Sana agakeema omo kalembaa😍Magufuli
Nyimbo nzur yenye hisia kali nimejikut natoa chozi naipenda ccm
Hongera bi Dada mambo ya nyumbani hayo wasukuma oyeeee
am a kenyan and like that song CCM yamkaya magufuli he will win
Nice song women from simiyu bariad by king from south Africa
Jamani sierew kisukuma lakini nimecheza like zanguuuuuuu🙏🙏🙏
Walorejea kama kutazama video wanipe like zangu sifaham ila nyimbo inaingia mpka moyon kwautam
Pole saana wanamsifia Magufuli kuleta ufalme kwa wasukuma
Ntemi
. .
Sielewi lakini inaniingia nasikia tu tumpe kura
@@renahtesha7121 hahahhahaha ww ipende ivoo tu
Wanyumbani tumchague , amamoyo mzuri wakuongoza watu vizuri ...
👍👍👍👍👍
Sielewi lakini goma liko juu ccm hoyeee I'm from Kenya
Aliyeweza kuirudia zaidi ya maramoja kama mm nikuone
Jaman mbona kawimbo kazuli sna
Saf
Tupo wengi xana tunairudia
Mi nimeu download kabisa Kila wakati nausikiliza
Noma Sana ndg zang watanzania tuwe wamoja tutafika mbali Sana
Well done my tribe😍😍 im proud to be sukuma, no worries
Siuongee kisusukuma ili kunogesha koment
@@rachelbahahazo6362 mwetaga chiza kabhela lyane...... 😅😅😅 sikijui vizuri nisije nikatukana buree
Nakubali am proud much
Mungu akutunze Rais wetu mpendwa
Nice one safiiii sana mama💪💪
safiiii geteeeeee w
omukayaaaa geeteeeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇸🇦🇸🇦tulihamoooooo uligembee sanaaa Eliza maligaya
Ukwel siy siri huyu rais binafs m nampenda n mt mmj wa pekee tuweken pemben siasa kaz zak t ni jibu tosha kura za ndio kwak
Leo imebaki historia jamani RIP Mr
President we will always remember you you died fighting for your country
I love the song! It's so sweet to my ears 😘😘
Shokagi kukaya like zenu wanaoelewa
@neno Elimu tv czcams.com/channels/XRnzYKmyWcRNSPqyB3T65g.html
Wimbo mzr sana
@neno Elimu tv 2²222²²²12
À access as q
Nakupta vizur mno
Dada unajua kweli ongera
Nimejikuta nacheza bila kujuwa na nimejawa furaha teleeeee
Uligembe maguful
Hakuna tena magu anachukua zote kura
hahahahahaha aya bwana
mimi mwenyewe jaman
Hahaa
Bila unafiki huyu dada kaamsha shangweee la kutoshaaa big up
Kweli kabisa Ccm oyeeeeee
Shenegete CCM yamkaya
🌹🌹🌹❤️❤️😜Jaman hii nyimbo ni nzur Sana mungu akubarik Sana dada
Haitatokeaaaaaa lala JPM mzalendo mwana wa Africa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪👍
Duh Mtu anaimbaa mpaka akili za Watu zinachanganya Kiukweli nimeupenda huu Wimbo Hongera Dada wee ni Kiboko
Ww mama ufunika ote cjui vizur kisukuma Ila nimefurahi Sana my hicho kigelegele umwnikimbuaha sikuku za Saba Saba na nane du nimemiss tabora kwetu du ❣️❣️❣️❣️❤️
Ccm oyeeeeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥
Huu wimbo unaweza kuwa bora kwa kampeni za mwaka huu maana mimi nikitulia tu natafuta hii video naangalia
Jamani nijikuta natokwa na machozi ya furaha Jarmani wimbo mtam,mpaka mb zimeisha kwakurudia rudia
Wooow sielewi anasema nini lakini nimeiipenda
Safi sana, Maguu safi sana baba ona wanavyokupenda kwa upendo wako KWA Watanzania.
Hayo magembe ya ccm. Safi,rais anajisikia yuko nyumban nimependa Sana japo sielew vzr
Nimekuelewa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Du ngoma imetulia kinyamaa
Huyu Mwimbaji amenifanya nihamie ccm
Hahaha amakweli anatisha
Hahaha amakweli anatisha
😄😄😄karibu sana chama la wana
Karibu Sana ccm
Kwani ulikuwa wapi?
Nzuri sanaaaa hiii 😍
Makufuli abarikiwe milele,nampenda kwa kazi anayoifanya kule Tanzania,ningelikuwa mTanzania ningelimpa kura yangu,heko kwake
Huwiiiiiiiii bana baryadi monitogishaaaaaa jpm juuuuu. Sebene lyangw' a bujiku hahaaaaa
Katika nyimbo za chama hii nyimbo Kali sana
Kawimbo kazuri sana.. Niko hapa Siha-Kilimanjaro narudia kila mara kusikiliza na hivi naelewa, Mpaka Mh. Rais, Mzee Enocka,Polepole,Heri jamani
Sasa unaludia unasikia babu
@@emmanuelzakaria2435 Sio kusikia tuu ninaelewa
Wasukuma ooyeeee .najivunia kuwa msukuma 💃💃
Najisikia kama Niko nyumbani kwa wimbo huo
Yani wimbo mzur.. Ccm yamkaya
Hawa wamam waliovaa viremba na matisheti ya ccm nimewaangalia .hadi machozi yamenitoka aisee wamekomaa.maskini kutuhangaikia watoto wao .mwallah walaaniwe watoto ambao hawawasaidii wazazi wao wakati uwezo.wanao🙏😭 kwa waliofiwa na mama zao Allah awape.pepo ya juu insha Allah
Tamu sana
Kawimbo tu nimependa kana beat nzuri
Rest in perfect peace my late president Dr JPM, always we will remember you greatest leader of Africa.
Who else is there smiling and dancing to the beats even though we don't understand,Magufuli hoyeeeeeee
So sorry for you
the song tries to appreciate and acknowledge magufuli of the time
Unajua Dada umepata sana itabidi mnene kgwa lugha ili. Atu wajue magufuli ndie aliyetumwa na Mungu kuikomboa tz alafu yashati is maneno aliyo Nena jpm nitachaguliwa na kila kitu hembu ona watoto Hao waliyofurahi EE jamani mungu atujalie amani siku kwa siku tz
Sanaaaa
Ni kwelii kbsaa huu Moto huwezi zimaaa kbsa
Amin
Kama mmemuelewa Msanii womkaya twende sawa kwa like kama zote
Safiii Sana nimejikuta namiss nymbn bila kujua
Japo sijaelewa yote yaliyo kwenye wimbo yana maanisha nini, ila uu ndiyo wimbo wangu bora katika kampeni za mwaka uu. Hongera sana mama una kipaji kikubwa
Daaah, simiyu kwetuuu gete
E mu ntuzu getee 💪
Dada umeimba vzr sana
Hongeren wasukuma kwajidongi la maana
Dada hongera, wimbo mtamu sana, japo hatujui lugha lakini tumetikisa mwili, magufuli oyeeeeeee
Mungu alikupenda zaidi nikishukur ila inauma pumzika kwa aman🙏🙏🙏
Lala salama baba yetu. Daima tutakukumbuka
Kaz ya mungu Haina makosa lakini mpaka Leo huwa najiuliza alikufaje huyu Mzee dah😢😢😢
Elizabeth 🔥🔥🔥🔥🔥 una balaa
Sijaelewa yote ila nimepanda sana huo wimbo big up mamy
Huu wimbo nimeupenda naomba jina lake jaman
Elizabeth
Ccm juuu
Safi sana kawimbo kazuri
Unajua dada nimependa sana wimbo huu
Wasukuma wanajua kukikonga chama👏👏👏
Wimbo mzuri Sana...Hongera mwimbaji!
Asante sana mama waooooo. Kisukuma napenda
Hongera kwa aloimba Ni uzalendo kwa mkoa wako
Sisikii anachoimba hasa maneno anayotamka ila beat safi na wimbo pia dahh safi hatari ,mwanamuziki mzuri sana
👏👏👏👏👏👏👏👏 kazi nzurisana
Mh sijui kama tutapata tena mtu anayependwa kama huyu ila bado tunamuombea apumuzike kwa amani
Viva jpm viva aruta continue
Nawapata vizur wasukum wezangu
Omwana Susana mwenoyo, Oyo, Oyo oyooo
Mungu akutunze Rais wetu 🙏❤️